Lady JayDee Ft Mr. Blue - Wangu Lyrics
LYRICS

Lady JayDee Ft Mr. Blue – Wangu Lyrics

MP3 DOWNLOAD Lady JayDee Ft Mr Blue - Wangu
Lady JayDee Ft Mr. Blue – Wangu Lyrics

Tanzanian singer specialized in the R&B, Zouk, and Afro Pop famous known as Lady Jaydee drop a new hit song titled as  Wangu, Featuring A top Tanzanian rap artist and serial hitmaker, Mr. Blue. Below are the Wangu Lyrics written and performed by Lady JayDee Ft Mr. Blue.

SIMILAR: Lady Jaydee – Yahaya Lyrics

Wangu Lyrics by Lady JayDee Ft Mr. Blue

Nilishakuwaga na wangu, ila akanitenda
Hakuthamini utu wangu, akaniacha akaenda
Nilishakuwaga na wangu, ila akanitenda
Hakuthamini utu wangu, akaniacha akaenda
Nikabaki nalia na roho
Nikabaki nalia na moyo
Nikabaki nalia na roho
Nikabaki nalia na moyo

Wivu unahusika kwenye mapenzi ya kweli
Na chuki hudhihirika ukiwemo utapeli
Wivu unahusika kwenye mapenzi ya kweli
Na chuki hudhihirika ukiwemo utapeli aah
Moyo kiza kinene huwezi kujua
Yupi mkweli, yupi muongo anakuzingua
Na moyo giza nene huwezi kujua
Yupi mkweli, yupi muongo anakuzingua

Nilishakuwaga na wangu, ila akanitenda
Hakuthamini utu wangu, akaniacha akaenda
Nilishakuwaga na wangu, ila akanitenda
Hakuthamini utu wangu, akaniacha akaenda

Nikabaki nalia na roho
Nikabaki nalia na moyo
Nikabaki nalia na roho
Nikabaki nalia na moyo

Yule fedha, huyu mvuto
Vishawishi na tamaa, ujana maji ya moto
Huyu mkubwa, yule mdogo
Vishawishi na tamaa, ujana maji ya moto
Kesha usiku mchana ukiomba dua
Walaghai ni wengi wanataka akiugua
Kesha usiku mchana ukiomba dua
Walaghai ni wengi wanataka akiugua aah

Nilishakuwaga na wangu, ila akanitenda
Hakuthamini utu wangu, akaniacha akaenda
Nilishakuwaga na wangu, ila akanitenda
Hakuthamini utu wangu, akaniacha akaenda
Nikabaki nalia na roho (nalia na roho, nalia na moyo)
Nikabaki nalia na moyo (nalia na roho, nalia na moyo)
Nikabaki nalia na roho (aah what? nalia na roho)
Nikabaki nalia na moyo, (Jay Dee!)

Nilivua penzi, kumjali kwa malazi, mavazi, makazi
Aa ah! Kumbe mshenzi, hana hadhi, bure tu napandisha ngazi
Nikamweka wazi kwa paparazi
Nikamleta uswazi kwa wazazi
Kumbe sina demu naishi na jambazi
Mi naziba huku, kule pako wazi
Ah no, sitaki tena kuumia moyo
Sitaki tena unione poyoyo
Sitaki hilo penzi la kichoyo
Mi sitaki mifupa mi kibogoyo
Nataka vile vitu laini, no money, no honey nimebaini
Kwanini naumia kila saa, wakati penzi lako haliendi bila ya chapaa

Nilishakuwaga na wangu, ila akanitenda
Hakuthamini utu wangu, akaniacha akaenda
Nilishakuwaga na wangu, ila akanitenda
Hakuthamini utu wangu, akaniacha akaenda
Nikabaki nalia na roho (moyo)
Nikabaki nalia na moyo (nalia na roho, nalia na moyo)
Nikabaki nalia na roho (mh mmh)
Nikabaki nalia na moyo (Jay Dee!)

Lady JayDee Ft Mr. Blue – Wangu Mp3 Download

Chek More Track From Lady Jaydee;

Leave a Comment