Ibraah Ft Skibii – Subira Lyrics
LYRICS

Ibraah Ft Skibii – Subira Lyrics

MP3 DOWNLOAD Ibraah – Nani
Ibraah Ft Skibii – Subira Lyrics

Tanzanian recording artist and Konde Music World Wide serial hitmaker Ibraah after releasing a new hits song titled One Night Stand with his boss is back with another banger titled Nani. Below are the Subira Lyrics written and performed by Ibraah and Skibii.

SIMILAR: Ibraah – Nani Lyrics

Subira – Ibraah Ft Skibii

Oh nah nah 
Subira imeniponza, natokota
Kwote kupambana tatu bila
Langu penzi tamu tamu, wameliokota

Eh moyo ukauwacha na malenge lenge
Umeota vidonda eh
Nimefuba hali ni shiwenge
Wivu nakonda

Anipita mbali kama kigege
Aniacha hoi mi mlege lege
Nadharaulika ananiona bwege
Oh inauma

Kama asali nishapokonywa masege
Kaniachiaga homa ya dege dege
Leo mlezi bichi mi wa mla ndege
Hakumbuki nyuma

Tena sikudhubutu
Kumfanya ajutie kunipenda
Niliamini wa milele daima
Daima

Kwake sikuaga zumbukuku
Japo yangu ya kitochi, alimulikiaye 
Anavyoiweka kando inaniuma 
Inaniuma

Eh yangu akili,
Ameichanganya changaya, Ameidanganya
Hakuna tena siri
Ameichanganya, moyo ameugawanya

Ye kumbe alipita kunusa
Ameichanganya
Penzi amelipangusa
Lipangusa aah, aah nalia

(Skibiii)
Baby no – crazy —

Umeniachia kidonda kidonda
Mi mwenzako ninakonda
Kidonda kidonda
Skiibii Mayana nakonda


Ma enjoy my money
I go stop by your side 

I wish you treat me right
I wish you do me right
I wish you do the right
My heart is beating I love you —

Yangu akili,
Ameichanganya changaya, Ameidanganya
Hakuna tena siri
Ameichanganya, moyo ameugawanya

Ye kumbe alipita kunusa
Ameichanganya
Penzi amelipangusa
Lipangusa aah, aah nalia

Ibraah Ft Skibii – Subira Mp3 Download

More hit song from Ibraah;

Leave a Comment