Nandy – Baikoko Lyrics
LYRICS

Nandy – Baikoko Lyrics

MP3 DOWNLOAD Nandy – Baikoko
Nandy – Baikoko Lyrics

Top Tanzanian female artist, singer, and songwriter, Nandy came through with a brand new banger titled Aibu. Below are the Aibu Lyrics that were written and performed by Nandy.

SIMILAR: Nandy – Nimekuzoea Lyrics

Baikoko Lyrics by Nandy

Huba langu nilikupa sioniie
Upendo wangu ukautupa jahani
Kumbe doriani tamu mdomoni harufu puani
Usio na uzio ya chumbani wayatoa hadharani
Acha niupete niupete nisije ula chuya
Acha niyabwage niyabwage gubu sijazoea
Acha niupete niupete nisije ula chuya
Acha niyabwage niyabwage gubu sijazoea
Ayaaah ayaaah aaaah ayaah
Ayaaah ayaaah aaaah ayaah

Wala si malumbano, imejawa mifano, wakileta maneno siwakohoi
Wala si malumbano, imejawa mifano, wakileta maneno siwakohoi
Halo halo
Kiroho papo papo huba la roho yako
Kiroho papo papo huba la roho yako
Singo nililosingwa, nimesingwa unyagoni
Kachiri wee funga mkanda, mbona yako huyaneni
Acha nitete nitete roho yangu
Usikurupuke ukapoteza mudi yangu
Sikupata tafadhali kunikeshesha
Hukujali yangu hali kutwa kunichoreesha

Wala si malumbano imejawa mifano wakileta maneno siwakohoi
Wala si malumbano imejawa mifano wakileta maneno siwakohoi
Halo halo
Kiroho papo papo huba la roho yako
Kiroho papo papo huba la roho yako
Kiroho papo papo huba la roho yako
Kiroho papo papo huba la roho yako

Nandy – Baikoko Mp3 Download

Get More Hits Song From Nandy;

Leave a Comment