Nandy – Nyayasa Lyrics
LYRICS

Nandy – Nyayasa Lyrics

MP3 DOWNLOAD Nandy - Nyanyasa
Nandy – Nyanyasa Lyrics

Top Tanzanian female artist, singer, and songwriter, Nandy came through with a brand new banger titled Nyanyasa. Below are the Nyanyasa Lyrics that were written and performed by Nandy.

SIMILAR: Nandy – Nigande Lyrics

Nyanyasa Lyrics by Nandy

Aaah aaaaah, unaninyanyasa
Unaninyanyasa unaninyanyasa 
Unaninyanyasa unaninyanyasa 

Mwili umekonda nimepungua
Haieleweki nachougua
Moyo kidonda unakwangua 
Inauma sana 

Mbele za watu unaniumbua sina la kusema
Visa unanifanyia japo navumilia 
Iila naumia sana na siku ukijua 
Kuwa unanikosea itakuwa too late

Japo unaninyanyasa 
Baby unaninyanyasa
Wewe unaninyanyasa
Baby unaninyanyasa

Unaniangusha chini, aniokote nani?
Japo ujui dhamani yangu me 
Nani ataitambua?

Kwanza kumbuka baby 
Si tumetoka mbali
Ukiwa huna siwazi 
Nimekubali tuijenge familia

Visa unanifanyia japo navumilia 
Iila naumia sana na siku ukijua 
Kuwa unanikosea itakuwa too late 

Japo unaninyanyasa 
Baby unaninyanyasa
Wewe unaninyanyasa
Baby unaninyanyasa

(Aaah aaaaah, unaninyanyasa)

Nandy – Nyanyasa Mp3 Download

Get More Hits Song From Nandy;

Leave a Comment