Barnaba Ft Malkia Karen – Upofu Lyrics
LYRICS

Barnaba Ft Malkia Karen – Upofu Lyrics

Barnaba Ft Malkia Karen – Upofu Lyrics

The hitmaker of Lover Boy and the THT member known as Barnaba Classic, drop a new hits song titled Upofu Featuring Malkia Karen, a number thirteen song from “Refreshmind Album“.

SIMILAR: Barnaba Ft Linah – Yes I Do

Barnaba Ft Malkia Karen – Upofu Lyrics

Penzi upofu, darling nina mapungufu
Haoni hata harufu
Kunusa ipi nzuri ipi mbaya

Nimejikanyaga kumpenda
Kumpenda kisha akaenda
Kanijaza mavidonda mavidonda

Aii naugua, ndwele fala wee
Mwenzenu naugua, na tena mi nipotee
Aii naugua, ikibidi nisimbolee
Maumivu mapenzi

Aii naugua, ndwele fala wee
Mwenzenu naugua, na tena mi nipotee
Aii naugua, ikibidi nisimbolee
Maumivu mapenzi

Penzi chupa la chai
Umelimimina sukari hakuna
Magomeni Mwembe chai
Wanakuita mfalme wa mamama

Eti ukajikuta halua tani
Kutupishanisha uani
We baba huishi mabonge huenda
Waliingianga bonde

Mapenzi niache
Nipe muda kidogo vumbue
Moyo ukomae
Nipe muda kidogo nitimie

Wewe njiwa peleka salamu
Nenda mwambie nimefunga ukurasa

Aii naugua, ndwele fala wee
Mwenzenu naugua, na tena mi nipotee
Aii naugua, ikibidi nisimbolee
Maumivu mapenzi

Aii naugua, ndwele fala wee
Mwenzenu naugua, na tena mi nipotee
Aii naugua, ikibidi nisimbolee
Maumivu mapenzi

Naomba usinitoe kwenye pepo yako
Maana mie mnyonge mnyonge
Au umekunywa kombe mwana lisombe
Ili mradi unisahau

Aah mwanaume macho kodo
Hunaga jambo doog
Havikupiti kodooo..

Naomba usinitoe kwenye pepo yako
Maana mie mnyonge mnyonge
Au umekunywa kombe mwana lisombe
Ili mradi unisahau

Heri niwe mpofu kuliko kukukosa wewe
I go die for you
You go die for me my angel

Barnaba Ft Malkia Karen – Upofu Mp3 Download

More hit song from Barnaba;

Leave a Comment