Harmonize – Amelowa Lyrics
LYRICS

Harmonize – Amelowa Lyrics

MP3 DOWNLOAD Harmonize - Amelowa
Harmonize – Amelowa Lyrics

High rated Tanzania recording artist, multi-award winner, and Konde Music WorldWide serial hitmaker, Harmonize  released new hit song titled Amelowa. Below are the Amelowa Lyrics written and performed by Harmonize.

SIMILAR: Harmonize – Influencer Lyrics

Amelowa Lyrics by Harmonize

Hiyo miinamo huko nyuma yaliyomo yamo eeeh
Binti wa makamo come closer na give me some more
Kama tunda lilimshinda Adamu akashindwa kuvumilia
Sa kwanini tuitane binamu na nyongo itatumbukia
Ulimi ukipitiliza kunanimaliza mwenzako bado najiuliza
Hivi ni kweli ama tunaigiza

Moyo umezama kwake bila yeye siwezi toboa
Mi ndo fundi wa raha zake natwanga nakukoboa
Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gia
Zikanipanda hisia na nilipochuchumia maji yakatoka

Amelowa, amelowa amelowa na mvua, amelowa amelowa amenyeshewa na mvua,
Mtoto amelowa amelowa amelowa na mvua amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

Uuuh aaah ameniweka kwenye chupa ndo maana natamba,
Uuuuh aaah kwenye papara pupa nawona washamba
Jeupega mwanao wenye kwilejakuloa jejikukila mwanau
liduvalipapa ukakaukyilamba, liduvalipamba ukakaukakyilamba

Moyo umezama kwake bila yeye siwezi toboa
Mi ndo fundi wa raha zake natwanga nakukoboa
Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gia zikanipanda hisia
Na nilipochuchumia maji yakatoka

Amelowa, amelowa amelowa na mvua, amelowa amelowa amenyeshewa na mvua
Mtoto amelowa amelowa amelowa na mvua amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

Ameniweka kwenye chupa ndo maana natamba
Kwenye papara pupa nawona washamba
Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gia zikanipanda hisia
Na nilipochuchumia maji yakatoka amelowa

Harmonize – Amelowa Mp3 Download

More hit song from Harmonize;

Leave a Comment