kusah – Utaniua Lyrics
LYRICS

kusah – Utaniua Lyrics

AUDIO Kusah - Romantic Ep MP3 DOWNLOAD
kusah – Utaniua Lyrics

Tanzanian Bongo Fleva’s talented recording artist, Kusah came through with another hits song titled Utaniua, from his new extended playlist, tagged Romantic. Below are the Utaniua Lyrics written and performed by Kusah.

SIMILAR: kusah – On Fire (Nakukunda) Lyrics

Utaniua Lyrics by kusah

Dopa beat
nikikuona nanyamanza hata kama nilikua nalia
macho unayapumbaza
Raha zinazidi nalia
upepo utoke maghalibi
yani uvume pwani ya mabala
Hizi raha zanizidi
mimi huba lako lanitawala
na taka nitangaze kwa redio na
nataka wasikie na wenzio
penzi lako napeleka mbio na
baby wewe kichwa mm sikio
nataka nitangaze kwa redio na
nataka wasikie na wenzio
penzi lako napeleka mbio na
baby wewe kichwa mm sikio
ukizidisha utaniua
walahi utaniua
ukizidisha utaniua
walahi utaniua
oooh baby leo pombe na muziki
maisha yetu sio ya Kiki
wasitingishe kibiriti
we ni show unavyo ni show penzi letu ni muchongo
mmmmh
usiwape hata uso wape mugongo
mmmmh
nataka wasikie na wenzio
penzi lako napeleka mbio na
baby wewe kichwa mm sikio
nataka nitangaze kwa redio na
nataka wasikie na wenzio
penzi lako napeleka mbio na
baby wewe kichwa mm sikio
ukizidisha utaniua
walahi utaniua
ukizidisha utaniua
walahi utaniua

kusah – Utaniua Mp3 Download

Get More Hits Song From Kusah;

Leave a Comment