Nyashinski Ft Femi One – Properly Lyrics
LYRICS

Nyashinski Ft Femi One – Properly Lyrics

MP3 DOWNLOAD Nyashinski Ft Femi One - Properly
Nyashinski Ft Femi One – Properly Lyrics

Kenyan recording artist, R&B, and Hip-Hop king, Nyashinski formerly of the Kenyan Rap Trio Kleptomaniax, is back with a brand new banger titled Properly, Featuring Femi One. Below are the Properly Lyrics written and performed by Nyashinski and Femi One.

SIMILAR: Nyashinski – Lucky You Lyrics

Properly Lyrics by Nyashinski Ft Femi One

Hallo! (Cedo) Hallo!
Kama we ni mwenyeji (Mmmh mmh)
We ni mwenyeji (Hallo)
Kama we si mwenyeji (Mmmh mmh)
Mind your business

Ka unataka ule anaichapa mpaka ilale
Basi harakisha njoo na
Nyumba inanukia shasha money
Usitume nini kwa floor na
Msupa ako mood ya ladha gane
Tunaeza enda fasta au slow baby
Naiva nikiskia ma Bob Marley
Nikitafta plan ya doh, yeah
Hatuanzishi vita tunamaliza
Nani ukiniita tuma mamita
Hao ma lip syncher wanawaingiza
Napanda stage ju naona miujiza
Originator, baba wa keja
Wananitii wananiiga
Nilikuwa nachoma mpaka kwa filter
Ka bado uko ushago, hallo

Life iko order
Mpaka ukweli inasound unachocha
Vile naifanya sio hoja
Huku East si ni si tunazoza
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyaga

Sikudai number 2 wakanichuja daro
So nikajenga shule waje walipе karo
Sai mi ndio speaker Frank Ole Kaparo
Matutor zinapiga ki Usman Kamaru
Kwa fam ya kipunk sikutoka
So fam ya kipunk itatoka kwa mimi
Amini ni jasho na damu zinatoka
Nikiroga hii injili naitrеat kama dini
Sai ma divai zinakuja na mzinga
Wananidai na ni juzi waliringa
Mungu akisense unajua huwezi pinga
Odds ziko right mi sichezi na tinga
Okay! Ki Femi kijembe kikali
Bila budi inabidi wakubali
Watajali ujue nani hakujali
Hii maisha ni tamu naichase na makali

Life iko order
Mpaka ukweli inasound unachocha
Vile naifanya sio hoja
Huku East si ni si tunazoza
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyaga

Guess nani ako in the zone (Aje)
Na anafeel right at home (Aje)
Utajua nilikuwa kwa chuom (Aje)
Na harufu ya cologne (Sare)
Na sijawahi kosaga form (Sare)
Last year niliuza ma phone (Sare)
Jana niliota naperform (Sare)
Na kabla ya kuota niliperform huh
Short na uli know kwa cliff
Kabla ujue mambo ya drone
Blunder imejaa na Keith
Nadry ni ka na clone
Mkiuliza nana ni gwiji hapa
Mi naskianga ka mnanikosea heshima
Hamwezi nipima, hamwezi nizima
Na nimeingia naskia wananiambia?

Life iko order
Mpaka ukweli inasound unachocha
Vile naifanya sio hoja
Huku East si ni si tunazoza
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyaga
Life iko order
Mpaka ukweli inasound unachocha
Vile naifanya sio hoja
Huku East si ni si tunazoza
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyaga

Nyashinski Ft Femi One – Properly Mp3 Download

Chek More Track From Nyashinski;

Leave a Comment