Marioo – Raha Lyrics
LYRICS

Marioo – Raha Lyrics

MP3 DOWNLOAD Marioo – Raha
Marioo – Raha Lyrics

Tanzanian fast-rising artist, singer, and songwriter Marioo is back again with another astonishing banger titled Raha, Produced by Kapipo Beatz.

SIMILARMarioo – Asante

Raha Lyrics by Marioo

Aah mmmh mmmh
Ah unaringa umepima?
Aii utajiji
Huu mwaka utachina
Si ulileta unyang’au

Ukaukwi kunitishia
Unaondoka unaondoka
Kama daladala za Kariakoo
Inatoka inatoka

Hadharani unanisusia
Kuropoka ropoka
Ama domo lako shimo la choo
Yanakutoka

Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
Maana nishapata pa kuegemea
Mmmmh napendwa,
Na sio kwa ninavyojidekea
Hulka yako ya pupa,
Mwenzako ananinyenyekea

Oooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy

Mpa ka raha mpaka
Natakatishwa
Mpa ka raha mpaka
Anipaga kutwa mara tatu
Mpa ka raha mpaka
Naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka
Na tena naenjoy

Napenda akinipa
Akinipa migandisho
Kama anapigwa shoti
Akisakata migandisho

Na kama mapenzi
Roho yake bahari
Huu muda naelea
Maana nishazamaga
Nishakufa mzoga

Na kama penzi melody kali
Mi kwake ndo burudani
Wala sidhani ka
Ataridhika kunikosa

Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
Maana nishapata pa kuegemea
Mmmmh napendwa,
Na sio kwa ninavyojidekea
Hulka yako ya pupa,
Mwenzako ananinyenyekea

Oooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy

Mpa ka raha mpaka
Natakatishwa
Mpa ka raha mpaka
Anipaga kutwa mara tatu
Mpa ka raha mpaka
Naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka
Na tena naenjoy

Marioo – Raha Mp3 Download

Chek More Track From Marioo;

Leave a Comment