MwanaFA Ft Harmonize – Sio Kwa Ubaya Lyrics
LYRICS

MwanaFA Ft Harmonize – Sio Kwa Ubaya Lyrics

MP3 DOWNLOAD MwanaFA Ft Harmonize - Sio Kwa Ubaya
MwanaFA Ft Harmonize – Sio Kwa Ubaya Lyrics

Tanzanian Hip Hop artiste with a career spanning over fifteen years, Hamis Mwinjuma also known as Mwana Falsafa, released this amazing banger tagged Sio Kwa Ubaya featuring konde gang boss Harmonize.

SIMILAR: Mwana FA Ft Vanessa Mdee – Dume Suruali

Sio Kwa Ubaya Lyrics by MwanaFA Ft Harmonize

Hela sio matako kwamba kila mtu anazo
Zilipo mwanangu usilete mchezo
Kuwaza hela hakuna kwenda likizo
Asa wenzangu na mimi ambao atukuzaliwa nazo
Eti hazileti furaha ukiwasiliza shauri yako
So swala la mjadara hii ndo iwe ramani yako
Eeh pambana ziwe zako pigana mwana mpka uchange jina lako
Tonatolea sadaka,sadaka tunazopata
Lana zinatuhepuka dua mbaya zinaturuka
Ata ufahamu kwa nini wananiita baba
Roho tisa kama za paka
Am my brother is kippa
The white call don kama poh castelano
Wanatangulia kufunga ila sipotezi mapambano
Husiende mbali kumbuka kuna kurudi mayai yote eka kumoja man karibu unabugi

Moyo wa champion sioni competition
Mitihani ya maisha ufauru kwa kwenda tuition
A.k.a ya ulimwengu
Ninaekutia fimbo za ugoko ka ukufuzwa na mamako shauri yako

Mi sina time ya kupoteza
Ngoma ya mtu siwezi cheza
So usiponiona husiulize
Jua tu niko busy
Nazichanga si kwa ubaya

Mi sina time ya kupoteza
Ngoma ya mtu siwezi cheza
So usiponiona husiulize
Jua tu niko busy
Nazichanga si kwa ubaya

Ukiwa na siku yakutafuta nayakupata ipo
Ridhiki hatoi baba ako kwamba itakufata ulipo
Nakutia moyo kukata tamaa mwiko
Sio lelemama ikibidi mnagombea fito
Penda hela husiziabudu husivukwe na utu
Roho yako sio ya chuma usiache iwe na kutu
Sheria msumeno lakin haichani dhiki
Mawe yameiva na mkaa bado umebaki
Pesa hainunui furaha ufukara unanunua nini
Mi nakimbiza hela mademu nimewaachia nyinyi
Izi sio habari ya mjini ni habari zangu mimi
Maisha hayana subtitle sio lazima uniamini
Pata hela maadui zako wanune
Softlife my nigga mpunga ndo nguvu zakiume
Au uendelee kulala ka utakula ulichokiota
Hasie aso na hasile ukija kitaa utatukuta
Moyo wa champion sioni competition
Mitihani ya maisha ufauru kwa kwenda tuition
A.k.a ya ulimwengu
Ninaekutia fimbo za ugoko ka ukufuzwa na mamako shauri yako

Mi sina time ya kupoteza
Ngoma ya mtu siwezi cheza
So usiponiona husiulize
Jua tu niko busy
Nazichanga si kwa ubaya

Mi sina time ya kupoteza
Ngoma ya mtu siwezi cheza
So usiponiona husiulize
Jua tu niko busy
Nazichanga si kwa ubaya

Kwanza naamka mapema kama naishi kigamboni
Dill isiyo na pesa kondeboy humuoni
Gari inafuka moshi ka nimepaki jikoni
Husipomuona mudi mnyama bunduki ipo kiunoni
I go for the money mura
Mi am go for the money money mura
I go for the money mura
Na sina time ya utani utani mura

MwanaFA Ft Harmonize – Sio Kwa Ubaya Mp3 Download

Check More Hits Song Mwana FA;

Leave a Comment