Rich Mavoko - Ibaki Story Lyrics
LYRICS

Rich Mavoko – Ibaki Story Lyrics

MP3 DOWNLOAD Rich Mavoko - Ibaki Story
Rich Mavoko – Ibaki Story Lyrics

Top-rated Tanzanian star and ex-member of WCB, Ibaki Story hit song maker, Rich Mavoko is back with a brand new hits song titled Ibaki Story.

SIMILARRich Mavoko – Naogopa

Ibaki story Lyrics by Rich Mavoko

Hmm-aah
Hmm-mm, hmm-hmm
Wasafi

Matapishi ni kinyaa, huwezi rudisha tena kwenye kinywa
Japo mengi ulisema, kama nuru ghafla ukazima
Ikawa ngumu kukusahau, nikasema moyo ukome
Kwa kali sulu na madharau, penzi ulivunja na ngome
Na unajua hata nikilia siwezi kutokwa na machozi
We ndo ulifanya macho yangu nione wengi waongo
Aa ukaudhurumu moyo wangu, uliuza penzi kwa magendo
Leo unatamani wewe kurudia zamani, ni ndoto
Wewe nirubuni kwa penzi la kidani kama mtoto

Mi na wewe, acha ibaki story mi na we
Mapenzi mi na wewe, acha ibaki story mi na wewe
Mi na wewe, acha ibaki story mi na we
Mapenzi mi na wewe, acha ibaki story mi na wewe

Kiliniumiza kitanda na shuka tuliolalia
Mapenzi yana siri kubwa, sishangai mtu akilia
Nimekubali mboni zangu zimtazame mwingine
Maridhia ya moyo wangu huenda si fungu pengine
Cha kushangaza hadharani mengi ya kuficha ukaweka wazi
Nikahisi sijui mapenzi, labda kwako sinogi nazi

Na unajua hata nikilia, siwezi kutokwa na machozi
We ndo ulifanya macho yangu nione wengi waongo
Aa ukaudhurumu moyo wangu, uliuza penzi kwa magendo

Leo unatamani wewe kurudia zamani, ni ndoto
Wewe nirubuni kwa penzi la kidani kama mtoto
Mi na wewe, acha ibaki story mi na we
Mapenzi mi na wewe, acha ibaki story mi na wewe
Mi na wewe, acha ibaki story mi na we
Mapenzi mi na wewe, acha ibaki story mi na wewe

Yalinitesa mazoea aya
Lakini mi nishazoea mwaya
Ila tambua mapenzi mabaya
Kidonda chake hakinaga dawa
Ee mazoea aah
Lakini mi nishazoea mwaya
Ila tambua mapenzi mabaya
Kidonda chake hakinaga dawa

Mi na wewe, acha ibaki story mi na we
Mapenzi mi na wewe, uuh uuh
Mi na wewe, acha ibaki story mi na we
Mapenzi mi na wewe, uuh uuh

Rich Mavoko – Ibaki story Mp3 Download

More Hits Song From Rich Mavoko;

Leave a Comment