Mbosso - Maajabu Lyrics
LYRICS

Mbosso – Maajabu Lyrics

MP3 DOWNLOAD Mbosso - Maajabu
Mbosso – Maajabu Lyrics

Tanzanian recording artist and former Yamoto Band member currently signed under WCB Wasafi, Mbwana Yusuph Kilungi better known as Mbosso drops a new hot banger titled, Maajabu.

SIMILAR: Mbosso Ft Chley – Sele

Maajabu Lyrics by Mbosso

Nana na naaa
Naa nana naaa na
Naa nana naa na
Naa naa nana

Moko mokooo

Imara kashikilia, mwache avimbe bichwa
Wallah kanipatia, anastahili sifa
Chumba kizima chanukia, uturi kajifisha
Vidole nasimamia, ukingoni nafikishwa

Ananikosha mwili, kwa maji ya madafu
Yendo kocha na ananifunza kucheza rafu
Anichua tumbo la ngiri, kwa mafuta ya karafuu
Nikichoka ananikanda kwa mabarafu

Maajabu maajabu, penzi lake la ajabu
Maajabu maajabu, mahaba yake ya ajabu
Maajabu maajabu, penzi lake la ajabu
Maajabu maajabu, mahaba yake ya ajabu

Kifuani unipaka harua, mikono tende anazichambua
Anilambaaa aah
Kitandani humwaga maua
Vingine hata chembe sikuwa najua. hanitoa ushamba aah uuuh

Na nitake nini kwake? Niombe nsipewee
Iwe pemba ama chako chake, nichague mwenyewe eeh
Kanipa pombe roho yake, ninywe nilewe eeh
Mambo shega ni mwake mwake, mangaka msewe eeh

Libanikee penzi kama gazeti walisomee,
Tuwa adabishe sangara shombo vibetwe tuwango’ng’e
Ni kila nilishe chapati za alizeti ni none
Tuwafungishe midomo uzi cement tuwashonee

Ananikosha mwili kwa maji ya madafu
Ye ndo kocha na ananifunza kucheza rafu
Anichua tumbo la ngiri, kwa mafuta ya karaafu
Nikichoka ananikanda kwa mabarafu

Maajabu maajabu, penzi lake maajabu
Maajabu maajabu, mahaba yake ya ajabu
Maajabu maajabu, penzi lake la ajabu
Maajabu maajabu, mahaba yake ya ajabu

Ayo laizer
Wasafiii…
Haluwa haluwa, hunipa vitamu laini lainii…
Haluwa haluwa kinyama cha hamu, uhondo utosinii
Haluwa haluwa sili kwa kijicho nalishwa kwa ulimii
Haluwa haluwa napewa hadi vya miko sa nitake nini

Mbosso – Maajabu Mp3 Download

Also, Check out More Hits Song From Mbosso;

Leave a Comment