Marioo – Manyaku Lyrics
LYRICS

Marioo – Manyaku Lyrics

MP3 DOWNLOAD Marioo – Manyaku
Marioo – Manyaku Lyrics

Tanzanian fast-rising artist, Marioo is back again with another astonishing banger. Marioo the hitmaker of Mama Amina comes with the new hit titled Manyaku.

SIMILAR: Marioo – For You

Manyaku Lyrics by Marioo

Blaq (blaq)
Blaq kwenye beat
They call me toto bad

Sir God kaumba kapatia
Hana dosari anavutia
Sebule kwa chumba kajazia
Ladha asali ananatia

Akitupia anapendeza kama mdoli
Lips color mpaka raha kama kachori
Namba D car haijatembezwa bado kigoli
Kama kungu kala mpaka raha jicho goroli

Kama samaki sangara hiyo mikogo
Manyaku kama nawaona mimacho kodo mie
Akinitachi tachi moyo una dundaga
Una dundaga
Akisema sitaki akinuna moyo una dundaga
Una dundaga

Wapo wataosema hunifai ili wakuchukue
Waniachie majanga penzi wachakachue
Watakodi mandinga matai ili wakuzuzue
Wajitie waganga penzi waligangue
Ujasiri sina wakuvumilia ninapoumizwa
Huo moyo sina nikizama kina mpaka giza

Kama samaki sangara hiyo mikogo
Manyaku kama nawaona mimacho kodo mie
Akinitachi tachi moyo una dundaga
Una dundaga
Akisema sitaki akinuna moyo una dundaga
Una dundaga

Manyaku nyaku manyaku nyaku
Manyaku nyaku manyaku nyaku
Manyaku nyaku manyaku nyaku
Manyaku nyaku manyaku nyaku
The mix killer

Marioo – Manyaku Mp3 Download

Chek More Track From Marioo;

Leave a Comment