Marioo – Wauwe Lyrics
LYRICS

Marioo – Wauwe Lyrics

MP3 DOWNLOAD Marioo - Wauwe
Marioo – Wauwe Lyrics

Tanzanian fast-rising artist, Marioo is back again with another astonishing banger titled Wauwe.

SIMILAR: Marioo – Mapenzi

Wauwe Lyrics by Marioo

Dengula nyonga msokoto
Maana mimi nimekuja na bapa
Masha luv wee lete watoto
Wanyonyonga party za kukata

Nyumbani mimi nimechoka
Mavitu ya mama
Nataka dhuluma dhuluma eeh
Nipate ndogo ndogo baridi mwanana

Kama kuna nyama choma fire
Mapucho pucho
Akikupa kwenye kona gwaya
Nyuma kwa mbele, kulia,
Kushoto
Wauwe! Wauwe! Wauwe! Wauwe!

Maritili, ka dinner
Na anataka piece kama wema
Japo kitu kama mkono, mkono
Ata kwenye giza ndo kudema

Mama mama jishikilie
Nabadilikia kilimani
Oooh mama mama nitilie
Kama tandoni na ukokoni

Kama kuna nyama choma fire
Mapocho pocho
Akikupa kwenye kona gwaya
Nyuma kwa mbele, kulia,
Kushoto
Wauwe! Wauwe! Wauwe! Wauwe!

Alkaida!
Na kama alkaida
Alkaida!
Na kama alkaida!

Wauwe! Wauwe! Wauwe! Wauwe!

Marioo – Wauwe Mp3 Download

Chek More Track From Marioo;

Leave a Comment