Marioo – Yale Lyrics
LYRICS

Marioo – Yale Lyrics

MP3 DOWNLOAD Marioo - Yale
Marioo – Yale Lyrics

Tanzanian fast-rising artist, Marioo is back again with another astonishing banger titled Yale, Produced by Black Boi Beatz.

SIMILAR: Marioo Ft Sho Madjozi & Bontle Smith – Mama Amina

Yale Lyrics by Marioo

Navyojua kuteleza wa sio kuanguka
Nawe mwanadamu hujatimia utakosaje kuyumba
Wanajua umeniweza kwako siwezi furukuta

Sikutamani hii furaha wanione sikonayo
Ndomana na mie sizifuati zayo nyayo
Najivika ushujaa najivua jaka la roho
Mana upweke na mie hatuwezani

Naweka pata makosa yako yote nabonyeza na delete
Ntajisumbua kuzunguka kote ila chunga usirudie

Yale yalio niumiza yakafanya mpaka nikaugua
Yale yalio niliza yaka fanya mpaka nikapungua
Yale yalio niumiza yakafanya mpaka nikaugua
Yale yalio niumizaga (mmh)

Siunajua kwanza moja kipengele sana tu
Mboga libwata ugali mbele shida kuzoea
Mpaka aje kujua mi napendelea tembele ndo akanichumie
Sio leo sio kesho shida kuzoea

Mapenzi matamu amani ikiangazia na hasira kuvumilia
Japo ulimwaga damu na nikaugulia bado majeraha uje uniuguze

Naweka pata makosa yako yote nabonyeza na delete
Ntajisumbua kuzunguka kote ila chunga usirudie

Yale yalio niumiza yakafanya mpaka nikaugua
Yale yalio niliza yaka fanya mpaka nikapungua
Yale yalio niumiza yakafanya mpaka nikaugua
Yale yalio niumizaga (mmh)

Moyo unakataa eti mi nawe tusiwe
Tusikubali penzi liwake taa lituzimikie

Naweka pata makosa yako yote nabonyeza na delete
Ntajisumbua kuzunguka kote ila chunga usirudie

Yale yalio niumiza yakafanya mpaka nikaugua
Yale yalio niliza yaka fanya mpaka nikapungua
Yale yalio niumiza yakafanya mpaka nikaugua
Yale yalio niumizaga (mmh)

Basi usiridie utaniumiza
Yanichizi

Marioo – Yale Mp3 Download

Chek More Track From Marioo;

Leave a Comment