Marioo – Anyinya Lyrics
LYRICS

Marioo – Anyinya Lyrics

MP3 DOWNLOAD Marioo - Anyinya
Marioo – Anyinya Lyrics

Tanzanian fast-rising artist, Marioo is back again with another astonishing banger titled Anyinya.

SIMILAR: Marioo – Aya

Anyinya Lyrics by Marioo

Ah inama nione yote yote
Changama nilaani kama lote
Changa nipe maji kakoba koba kawalalae
Kaanga maviazi kwa kutokota kepeyai

Ikatie karoti, uisage iwe rojorojo
Nishamwaga noti, nikirudi nikute sotojo
Unyunyuzie na sosi, unavyotenga ongeza mikogo kogokogo

Ah itumie uwezavyo hii
Ya matumizi ananitua
Chukua, yote yako
Nakupa chukua, yote yako
Eeh nakupa chukua, yote yako
Eeh pesa chukua, yote yako
Ya matumizi ananitua

Anyanyinya
Anyanyanya
Anyanyi nyanya nyanya
Ah nyanyanya

Nataka nyama kipapatiro
Eeeh kipapatiro
Ya kuku wa kienyeji eeh
Na sembe kilo

Nimemiss nyama kipapatiro
Eeeh kipapatiro
Na kakuku wa kienyeji eeh

Kwenye mboga chumvi iwe kido kido
Naogopa za fura eeh
We aisee imwage kilo kilo
Mapresha eeh

Ikatie karoti, uisage iwe rojorojo
Nishamwaga noti, nikirudi nikute sotojo
Unyunyuzie na sosi, unavyotеnga ongeza mikogo kogokogo

Ah itumie uwezavyo hii
Ya matumizi ananitua
Chukua, yotе yako
Nakupa chukua, yote yako
Eeh nakupa chukua, yote yako
Eeh pesa chukua, yote yako
Ya matumizi ananitua

Anyanyinya
Anyanyanya
Anyanyi nyanya nyanya
Ah nyanyanya

Marioo – Anyinya Mp3 Download

Chek More Track From Marioo;

Leave a Comment