Play Gal (Tina Zoa Zoa) Sehemu ya Kwanza
CHOMBEZO

Ep 01: Play Gal (Tina Zoa Zoa)

SIMULIZI Play Gal (Tina Zoa Zoa)
Play Gal (Tina Zoa Zoa) Sehemu ya Kwanza

IMEANDIKWA NA : ANDREW CARLOS

*********************************************************************************

Chombezo: Play Gal (Tina Zoa Zoa)

Sehemu ya Kwanza (1)

(1)”…Jamani mi sijui utaratibu wa hapa., naomba mnirudishie tu huo mkoba wangu..” Nikiwa bado naendelea kulalamika pale uwanja wa ndege, mara akatokea mkaka mmoja mweupe aliyevalia sare za hawa wafanyakazi wa ndege.. “..embu niambie tatizo nini dada mbona unalalamika..” “..Leo ndio mara yangu ya kwanza kupanda ndege na wakati natoka Mwanza hawakunizuia hivi, lakini nashangaa nimefika hapa Dar eti wamezuia mkoba wangu wanadai kuwa hawaruhusu kusafiri na vipodozi kwenye ndege.. Ni haki kweli jamani..?” “..dada unaitwa nani..?” “..enh, Tina.., sio hapa tu ‘Precision Air’ hata mashirika mengine ya ndege huwa hawaruhusu..” “..ok, lakini ndio nimeshafika Dar sasa utanisaidiaje..?” “..subiri kwanza hapo hapo nakuja..” Aliondoka akaingia kwenye ofisi zao na baada ya muda akarudi.. “..Unaruhusiwa kwenda..” “..oh thanks., na vitu vyangu..?” “..we nenda navyo tu nimeshaongea na mabosi..” Nikachukuwa mikoba yangu nakuondoka zangu ile natoka hatua tatu tu, “..Tina.? Tina..?” yule mkaka akaniita..

“..Nimesahau kitu..” Moyo ukaniripuka tena huku nikibaki sijielewi elewi.. “..umesahau kitu gani tena kwangu..?” Akaingiza mkono wake mfukoni nakutoa kikaratasi kisha akanipa.. “..Business Card yangu hiyo.., naitwa Jerry..” Nilichukuwa nakuonesha tabasamu huku ‘dimpozi’ zangu nikizilazimisha, “..Hanijui kama chuo wananiita Tina zoa zoa enh” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikijiondokea mpaka hostel zetu za chuo pale ‘chuo cha biashara’ CBE’.. **** Usiku wote sikulala kwa raha kwani nilikuwa namfikiria Jerry tu jinsi alivyonisaidia pale uwanja wa ndege, nilijikuta hata asubuhi ilipofika sikuingia darasani zaidi ya kujilalia tu kitandani huku nikichukuwa simu yangu nakutuma meseji kwa Jerry.. ‘..morning Jerry..’ Haikuchukuwa muda akapiga simu.. “..hallow..” “..yap mambo Jerry..?” “..pouwa, naongea na nani..?” “..otea, sauti ya nani hii..?” Nilimtega kwa makusudi ili nijue kama ni kicheche.. “..mmhh.. Sijui bwana niambie tu..” “..aukey naitwa Tina..” “..Tina.. Tina.. Tina yule wa jana aliozuiliwa mkoba wa vipodozi..?” “..Exactly..(sawa kabisa)” “..Jerry..?” Niliita kisha nikakaa kimya huku nisijue ntamwanzaje kwani kiukweli nilishamtamani toka jana na nilazima aujue mwili wangu na hivi handsome tena mweupe… “..mmh ningependa kujua una..” Kabla sijamalizia kumwambia akaniwahi.. “..Tina..? Sorry kunakazi imetokea hapa fasta nitakupigia baada ya muda..” Akakata simu.. “..hapa leo leo lazima kieleweke na hivi toka nimetoka mwanza sija sex na mwanaume..? Huu mshawasha wote lazima aumalize Jerry..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikiingia sehemu yakuandikia meseji nakutaka kutuma meseji lakini kabla sijatuma Jerry akawa

ananipigia.. “..tayari, haya ulikuwa unasema..?” “..Natafuta kazi, ninaweza kupata hapo..?” “..kazi.? Kazi gani unataka..” “..i mean’ nahitaji niwe mfanyakazi wako wa ndani ‘housegal’ na chochote utakacho nitatekeleza., au umeshaoa..?” “..Tina.? Kumbe unavituko hivyo..? Mi sijaoa..” Nikajikaza nakumtamkia huku mshipa wa aibu nikiuweka pembeni Tina mie.. “…ok, nimekumis japo nikuone ukitoka ofisini.. Kwani unaish wapi..?” Akanikatia simu.. “..shiit.., bado nitampata tu tena leo leo lazima nimnyonye nanii yake mpaka nichoke.. Na ntakavyomkatikia hadi atajuta mbona…” Niliendelea kujipa moyo huku nikiongea peke yangu nakuinuka pale kitandani kisha nikabadili nguo…. Nilijitesa vya kutosha lakini bado sikuridhika, nikampigia tena simu, “..hallow..!” “..yap Tina, nimebanwa tena hapa nashindwa hata kuongea huku nafanyakazi, lakini usihofu nitakupigia baada ya muda..” “..hapana mie sitaki bwana, kwanza niambie tutaonana leo..?” Nikaanza kumdekea kana kwamba ndo ameshakuwa mpenzi wangu.. “..Leo nitawahi kutoka ofisini hivyo ondoa wasiwasi kabisa lazima tutaona..” “…ok, kazi njema basi..” “..pouwa baadaye..” Niliinuka nakuelekea bafuni kwenda kujisafisha vizuri na nilivyorudi nikawakuta wenzangu tayari wameshatoka madarasani na kwa muda huu walikuwa wakikishangaa kikadi nilichopewa na Jerry.. “..Tina we nomaa, naona mambo yako makubwa shosti..” Ilikuwa ni sauti ya Aisha rafiki yangu wa karibu, “..mh nawewe aisha kwa kuchunguza mambo..?” “..kwahiyo toka umetoka huko Mwanza tumeanza kufichana siyo..?” “…Kipi cha kukuficha jamani huyo ni rafi..” Kabla sijamalizia kumwambia Aisha mara simu yangu ikaita, haraka haraka nikaangalia jina ni Jerry.. “..yap, niambie Jerry…” “..mi ndio natoka ofisini nipo na gari tuonane wapi..?” Nikakaa kimya kama dakika 1 kisha nikamjibu.. “…njoo hadi chuoni hapa Cbe ukifika maeneo ya hapa nipigie..” Nilikuwa namuelekeza huku muda wote huo Aisha alikuwa akinishangaa, “..Shosti naweza kwenda na mimi..?” Aisha aliuliza nakunifanya nimuangalie kwa jicho la dharau, kisha nikampa dongo kama kawaida yetu yakutaniana.. “..nawewe..? Nawewe ukakatikie au ukanishikie nanii yake..” Ndani ya dakika kama 40 tayari mlio wa simu yangu ulikuwa ukiita kuashiria kuwa Jerry keshafika maeneo ya chuo, nikaipokea ile simu… “…hallow Jerry..” “..sorry sana..” “…Nimepigiwa simu,nahitajika kwa shangazi kunamatatizo yametokea..” “..unasemaje..?” “..wala usihofu hakijaharibika kitu, kwani suala la kuonana bado lipo pale pale..” Niliona kama ananizingua, nikamkatia simu, hasira kali ilinishika huku nikiishiwa na pozi. Nikarudi zangu mpaka rum kwangu nakuzivua zile nguo kisha nikajitupia kitandani, “…siyo mbaya, anabahati..? Yani leo? Mbona angeisoma namba..?” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikiangalia namba yake ya simu mara mbili mbili nakuifutilia kabisa.. Nilipomaliza kuifuta nikashangaa napigiwa simu na namba ngeni tena ya airtel, nikaipokea fasta.. “..bila shaka nazungumza na Tina..

“..yap, ndio mie nani mwenzangu..” “..mie ni mdogo wake na Jerry naitwa Nyemo, bro kanituma nije nikuchukuwe..” “..kwani yeye yuko wapi na wewe uko wapi..?” “..kaelekea kwa shangazi Temeke ila mie nipo hapa chuoni Cbe nje kabisa..” Furaha ilinijia upya kabisa na sikutaka hata kupoteza muda, nikaichukua nguo yangu ile ile nakuivaa, nikachukuwa na mkoba wangu nikauwekea kanga na vipodozi nikatoka nakujifanya kama naenda darasani kujisomea kumbe naelekea nje kabisa, nilipotoka nikampigia simu huyo mdogo wake.. “..enhe, upo upande gani..?” “..nipo upande wa huku karibu na chuo cha DIT nipo kwenye gari toyota Noah nyeusi namba T612 ATB..” Kama nilivyoelekezwa wala sikukosea, ndani ya dakika chache nilikuwa nje ya hiyo gari ya Noah, alikuwa amekwishaniona hivyo akanifungulia mlango.. “..oh, Tina..?” “..ndio mimi, mambo vipi..?” Sikuamini kama Jerry atakuwa na mdogo wake mzuri namna hii, tena shombe shombe mweupee.. “…Huyo Jerry anajifanya mtu wa mambo mengi siyo..? Sasa namalizana na mdogo wake tena leo leo..” Nilijisemea kimoyomoyo huku mawazo yakiwa yamebadilika, pale pale kabla hajaliwasha gari nikaanza kwa kumtega, nilipandisha kisketi changu mpaka nguo ya ndani ikaonekana, Nyemo akanitolea macho mapaja yangu, nikayashika maziwa yangu vizuri mpaka yakapanda juu kama yanataka kutoka. Muda wote Nyemo alikuwa kazubaa tu.. “..Nyemo endesha gari twende.. “..lakini si umeshajua tunaelekea wapi..?” “…si unanipeleka alipo Jerry au..?” “…mie Bro Jerry kaniambia nije nikuchukue kisha nikupeke mpaka kwake, hivyo akitoka huko Temeke atakukuta..” “…ok, nimekuelewa Nyemo..” Baada ya hapo Nyemo aliwasha gari na safari yakuelekea huko kwa Jerry ikaanza huku mie akili ikinibadilika nakujikuta nikimtamani Nyemo njia zote tulizopita. “…Nyemo hizo ni nywele zako halisi..” Nilikuwa mtu wa kumchokoza Nyemo njiani, kwani kiukweli nywele zake zilikuwa kama zimewekewa dawa na ukichanganya na weupe aliokuwa nao daah.. Ilituchukuwa kama nusu saa mpaka kufika maeneo ya Msasani ambapo alikuwa akiishi Jerry.. “..Nyemo nikuulize kitu..?” “..uliza tu wala usihofu..” “..embu niambie ukweli, Jerry kashaoa..?” Nilimtega maksudi Nyemo kwa swali hilo baada ya kuona jumba aliokuwa akiishi Jerry. Nyemo alisita, akawa kama hajiamini amini jinsi ya kunijibu hivyo akilini mwangu nikawa nimeshajua kuwa atakuwa keshaoa, “..hata kama, mie namtaka mdogo wake tu atanitosha..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikimlegezea jicho la kimahaba Nyemo kisha akashuka kunifungulia mlango wa gari nakushuka kama vile mtoto wa mfalme au malkia.. Kulikuwa na geti ndani yake magari matatu. Masofa ya kisasa, meza za vioo na vistuli vya vioo ndivyo vilivyonichanganya kabisa, hakukuwa na mfanyakazi wa ndani yeyote, nikiwa bado nashangaa shangaa pale sebuleni ndipo macho yangu yakakutana moja kwa moja na fremu kubwa ukutani, “..Nyemo..? Huyu si kaka yako Jerry akiwa na mkewe siku ya ndoa..?” Nyemo hakuwa na chakunijibu zaidi yakubaki nakigugumizi huku akinitolea macho natabasamu kwa mbali, “…Nyemo..? Embu nionyeshe chooni wapi nikajisaidie, nimebanwa na mkojo..” Alinielekeza nikaingia japo lengo langu halikuwa kwenda kujisaidia, niliofika chooni tu, “..Nyemooo..!! Nyemooo…!!” Nilimwita Nyemo kwa makusudi ili aje chooni nilipo, alikuja akagonga mlango wa choo nilichokuwepo, niliufungua kiupande huku nikitokeza kichwa kidogo, “..samahani kwa kukusumbua Nyemo..” “..usihofu bila samahani..” “..Kwenye mkoba wangu niliokuja nao kuna ‘Pedi’ naomba ukaniletee..” Nyemo alionesha kusita kisha akaenda kuniletea, nilikuwa hata ‘bleed’ sijaanza ila ule ulikuwa ni mtego tu kwa Nyemo.. “..Chukua hizi hapa..” Sikutaka kuzichukuwa kwa muda ule zaidi ya kumshika Nyemo tisheti yake nakumvuta mpaka akajikuta tupo naye chooni tena huku akihema juu juu, “…Nyemo usiniogope pliiz..” “…mh hapana, Tina chukuwa ‘pedi’ zako, niache niende..” Muda wote Nyemo alikuwa akiangalia kwa pembeni huku akitaka kundoka.. “…Nyemo mie simtaki kaka yako kwanza anamke na kashaoa…” “..Tina hapana, hapana haiwezekani uwe namimi..” Nyemo alichoropoka na kunikiambia pale chooni.. “..hanijui kama naitwa Tina zoa zoa tena bila uoga..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikimfuata Nyemo mpaka sebuleni alipokuwa tena nikiwa uchi wa mnyama na mikononi nikizishikilia zile ‘pedi’.. Nilipofika tu sebuleni nilimkuta Nyemo akiongea na simu, sikuingiwa hata na woga kwani akili yangu yote niliielekezea ni jinsi gani nitamkabili handsome boy Nyemo.. Nilikuwa kama mtu aliyepigwa na butwaa kwa kumshangaa Nyemo mpaka alipomaliza kuongea na simu.. “..Tina nilikuwa naongea na bro Jerry..” “..enh anasemaje..?”

“..mie nilijua labda mnamahusiano yeyote..?” “..si rafiki tu..” “..kama ni rafiki basi kaa ukijua bro Jerry alikuwa Temeke kwa wakwe na siyo kwa shangazi, na alikwenda kusuluhishwa na mke wake..” “..enh kwa hiyo..? Lakini mie nakutaka wewe Nyemo..” “…embu vaa vinguo vyako na tena potea haraka kwani bro Jerry yupo njiani anakuja na mke wake wasije wakakukuta hapa…” “…yaani kwa kifupi tu leo hapa Nyemo sitoki mpaka unipe ninachotaka..” “..enh enh nini unachotaka kwangu we malaya..?” “…hata unitukane vipi Nyemo mie nataka ni sex tu na wewe nitaridhika..” Mwili wangu ulikuwa tayari wa moto huku nikijihisi kutokwa na maji maji sehemu zangu za s**i.. Nilimwangukia Nyemo mpaka miguuni mwake huku nikishikwa na kwikwi si yakiu ya maji wala ya kulia bali ilikuwa ni kwikwi ya hamu ya kufanya mapenzi kwani ninamuda mrefu sijafanya mapenzi na mwanaume na hii yote nikutokana nakubanwa pindi ninaporudi likizo nyumbani kwa wazazi wangu Mwanza.. “..Nyemo pliz uchukuwe mwili wangu.. pliiz nakuomba uniridhishe..” Nilimbembeleza mpaka nikamshuhudia Nyemo naye akilegeza macho kisha akanibusu shavuni kupitia kitovuni mwangu, kisha akazilamba chuchu zangu nakunifanya nisisimke mwili wote. Nyemo alikuwa mtundu haswa waj kumlegeza mwanamke kwani pamoja na u ‘play gal’ wangu nijikuta sina ujanja kwa Nyemo. Akiwa ndio kwanza ananinyonya maeneo ya shingoni mwangu ambapo ni hatari sana kwangu kwani huwa najihisi nipo dunia nyingine kabisa, mara tukasikia mlio wa honi ya gari kwa nje, pale pale Nyemo akashtuka nakuvaa suruali na shati lake haraka haraka huku akiniongelesha.. “..Bro Jerry huyoo.. Atakuwa mwenyewe tu..! Tena anakuja na shemeji dah..!! Dah..!!” “..sasa tutafanya… Kabla sijamalizia kuongea nilishangaa Nyemo akinibeba mpaka uani yalipopaki magari yakwao kisha akafungua nyuma ya gari (boneti) kisha akanitupia mule ndani.. “..Nyemo na nguo zangu je..?” Aliondoka haraka nakwenda kunichukulia kisha akazitupia naku ‘lock’ mule nyuma ndani ya gari(boneti), “..nitakuja kukutoa baadaye..” Aliongea Nyemo huku akiniacha nikipumua kwa shida… Nikasikia kwa mbaali sauti ya kufunguliwa kwa geti kisha kilichofuata ni sauti ya Nyemo akiongea na mtu, lakini kwa halmashauri yangu ya kichwa niliweza kugundua itakuwa ni sauti ya kaka yake Nyemo. Baada ya muda mfupi sikuisikia tena ile sauti. Niliweza kuivumilia ile hali ya hewa mule ndani japokuwa ilikuwa si nyingi sana. Haikuchukuwa muda nikahisi kama gari inaondoka nikiwa bado sijielewi elewi mara simu yangu ikaita kutoka kwenye nguo zangu ambazo nilikuwa sijazivaa. Nikaanza zoezi la kuitafuta tena kwa kuufuata mlio wa simu, nikaipata, “..hallow..” “..yap, Tina? Nyemo hapa anaongea.. Nipo ndani ya gari hapa naendesha nataka nikurudishe chuo kwa hiyo anza kuvaa nguo zako huko huko..” “..unasemaje Nyemoo..? Embu nitoe huku mwenzio kuna giza sana halafu napumua kwa shida sana..” “..Huko sikutoi na nakurudisha chuoni kwenu, vaa nguo zako haraka haraka..” “..kwa taarifa yako Nyemo hapa sivai chochote ni bora unipeleke kwako tu…” “..nadhani we utakuwa namatatizo ya akili, mie naishi na wazazi wangu.. sasa kama unajifanya mbishi ngoja nikuoneshe..” Hapo hapo Nyemo akanikatia simu.. Niliendelea kuzubaa ndani ya gari huku nikiwa mbishi wakuvaa nguo zangu na nikiamini kwa asilimia zote Nyemo atanipeleka tu hata kama ni ghetto ili mradi animalizie hii hamu niliyonayo kwa muda mrefu sana. Mara nikahisi gari imesimama, sijakaa sawa Nyemo akanifungulia mule nyuma ya gari ‘boneti’ “…haya nimekwambia vaa nguo zako utoke fasta mpumbavu mkubwa wee..” “..sitoki..” “..unasemaje we malaya..?” “..sitoki mpaka unihakikishie kuwa unanipeleka kwako..” Nilipotoa tu kauli hiyo Nyemo alioneshwa kuchukizwa nami, aliubamiza ule mlango nilioakuwamo kisha nikashangaa gari kutoka kwa spidi kali. Safari iliendelea, joto kali lililokuwa limeanza kuniandama nilijkuta napiga ngumi ule mlango kwa nguvu zote huku lengo langu kubwa likiwa nikumfanya Nyemo atelekeze kile nilichokuwa Nakitaka. *** Mwendo wa taratibu niliouanza kuusikia, nilihisi kama haitakuwa ni foleni basi itakuwa tunaingia huko anaponipeleka Nyemo. Kelele za watu zilioichochea zaidi hisia zangu, mara gari ikasimama tena ule mlango wa nyuma niliokuwamo ukafunguliwa giza lilikvwa limeshaanza kuzama na sikuelewa kabisa eneo niliopo, “…huyu hapa mtoeni, malaya mkubwa sana..” “..niacheni, niachieeeni…” Walikuwa ni vijana wa mtaani ‘wahuni’ ambapo Nyemo alikuwa amewatumia wanitoe mule ndani ya gari, Walinivuta kwa nguvu zote mpaka wakafanikiwa kunitoa huku wakinitupia nguo zangu.. Watu walianza kujaa lile eneo lakini Tina mimi sikuwa hata na mshipa wa aibu nikazivaa nguo zangu kisha nikachukuwa kibegi changu, “…Nyemo..? Nyemo Mie ndio Tina, ahsante kwa kunidhalilisha..” Nilimtamkia hayo maneno Nyemo, aliniangalia kisha akaingia ndani ya gari lake nakuondoka na Wake vijana walionishusha kinguvu.. nikaondoka zangu nakufanya ule umati wa watu uliokuwa pale uendelee kunishangaa. Njia nzima nilikuwa sijiamini amini kwa kitendo alichonifanyia Nyemo huku nikigeuka nyuma mara mbili mbili, “..samahani kaka hapa ni wapi..?” Ilinibidi niulize baada ya kunyosha njia kama nisiyoifahamu.. “..hapa ni mabibo Loyola, kwani we unaelekea waipi..?” “..daladala za kuelekea posta zipo wapi..?” “..nenda na hii njia moja kwa moja na ukifika mwisho mwa lile geti la shule ya Loyola, utazikuta daladala pale..” Niliendelea na safari yangu mpaka nikazikuta daladala za kuelekea posta nikapanda. Ndani ya dakika kama arobaini nilikuwa tayari nipo chuoni ‘Cbe’ nilijitahidi kuweka tabasamu ili kuaficha wenzangu lakini kabla sijaingia geti la ‘cbe’ simu yangu niliokuwa nimeweka kwenye begi ikaingia meseji kwa haraka haraka nikaichukua Nakuanza kuisoma.. ‘..NIPO NJIANI NAKUJA CHUONI KWENU KUKUCHUKUWA TWENDE KWANGU…” Nikaangalia mara mbili mbili kujua imetokea wapi, nikaja kugundua kuwa jina limeandikwa Jerry.. 

“..Aisha, Aisha Jerry yuko wapi..?” Nilishtuka usingizini na kitu cha kwanza nikumuuliza rafiki yangu Aisha, “..nawewe Tina kwa ndoto zako za mchana mchana tumeshakuchoka sasa, huyo Jerry ndio nani..?” Maskini Tina mimi kumbe yote ile ilikuwa ni ndoto eti mpaka nimekutana na mdogo wake Jerry anaitwa Nyemo na mpaka nikamng’ang’ania kwenda ku sex naye duh.. Nilijichekea kimoyo moyo huku nikivuta kumbukumbu vizuri imekuwaje kuwaje ndoto hii, ndipo wazo likanijia kuwa mara ya mwisho Jerry alinipigia simu kuwa amepata dharula mara moja ataenda Temeke, hivyo nilikasirika nakurudi zangu mpaka bwenini nakubadili nguo zangu kisha nikajilaza ndipo usingizi uliponipitia nakuanza kuoto ndoto hizi.. “..natamani ingekuwa kweli..? Mbona huyo Nyemo angenitambua..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikichukuwa simu yangu nakutaka kumpigia Jerry, nilihangaika kuitafuta namba yake bila mafanikio lakini nikakumbuka kuwa niliifuta pindi kile aliponiambia amepata dharula mara moja. “…sasa namba yake nitaipata wapi..?” Nilikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa fulani huku muda wote Aisha akinitolea macho, “..yeees..!! Furaha ilinirudia pale nilipokiona kikadi chake cha ofisini alichonipa kilikuwa kimeandikwa hivi, “..Jerry .M. Ng’onye.. Asst… Supplies officer.. Fax ; +255 265451733 Mob ; +255 713 214656 ” Nikaikopi ile namba ya simu haraka haraka kisha nikai sevu upya nakumpigia.. “..mambo Jerry..” “..enhe niambie Tina..” “..jamani niambie basi unatoka huko saa ngapi mwenzakn nimeshachoka hivyo kukusubiri..” “..unaskia Tina, wala usijali yaani swala la kuonana na wewe lipo pale pale..” “..nikuulize kitu Jerry..?” “..uliza tu wala usijali..” “..umeoa..?” “..dah nadhani mwakani ndio nampango huo lakini kiukweli nina mchumba tu..” Moyo ukanilipuka, huku nikijihisi vinyweleo vyangu mwilini vimesimama ama kupulizwa na upepo wa ghafla.. “..unaishi naye huyo mwanamke..” Nijikaza nakumuuliza kwa makusudi.. “..hapana, yeye anaishi nakufanyakazi huko huko Tanga ila mie naishi peke yangu hapa Dar..” “..Jerry huna mdogo wako..?” Nilimuuliza kwa makusudi, “..mh hapana, ila nina dada tu.. Kwanini umeamua kuniuliza hivyo..?” “..amh, nilitaka tu kujua jamani, kwani ni vibaya Jerry..?” “..ok, nina muda mfupi nitatoka huku Temeke, lakini itanibidi niunganishe moja kwa moja mpaka home nikabadili nanguo kabisa then tutatoka usiku kwa ajili ya ‘dinner’..” Furaha iliniongezeka mara mbili nailivyokuwa, “..jamani Jerry, mbona mie niko tayari hata sasa si unipitie tu nikapajue na kw…” Kabla sijamaliza kuongea simu ikakata, nikajua labda huenda Jerry amekasirika nilivyomwambia, lakini haikuwa hivyo kwani nilipouliza salio langu lilikuwa ni sh. 0. Nikiwa bado najishangaa na kwa muda huu rafiki yangu Aisha alikuwa ametoka hivyo chumba chote nilibaki peke yangu mara simu ikapigwa.. “…nitajitahidi kupambana na foleni, naanza safari ya kuja hapo chuoni kwenu ‘be prepared..'” “..mie mbona niko tayari ni wewe tu Jerry..” **** Pedo nyeusi yenye vitundu vidogo vidogo, chini nikiwa na viatu vya chini huku kichwani nikiwa na wigi lakushonesha, blauzi yenye mistari ya pinki na nyeusi mikononi nikiwa na bangiri kubwa nyeupe na nyeusi ndivyo nilivyovalia huku nikiishikilia pochi yangu ndogo nyeusi. Niliichukuwa simu yangu nakumpigia tena Jerry.. “..enhe niambie jamani umefika wapi..?” “..ndio nakaribia maeneo ya Mnazi mmoja, nikukute kwa nje basi ili iwe rahisi kuendelea na safari..” “..pouwa..” Giza lilikuwa limeshazama ndicho kilichonipa ujasiri zaidi huku nikitoka nje kwa makogo yote.. Haikuchukuwa muda nikawa nimeshaonana na Jerry, alionesha kuchoka sana kwa kazi ukijumlisha na mizunguko, “..mh, hapa atake asitake leo lazima alale na Tina mie..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikimlegezea macho Jerry huku akiendesha gari kuelekea kwake, “..enh, niambie Jerry mbona kimya ghafla..” “..unafikiri nina usemi basi, enh embu niambie we kabila gani..?” “..mie ni mdigo mtu wa Tanga.. Wewe je..?” “..mie mpemba, kwani unanionaje..?” “..ndio maana, nywele, sura na weupe ulionao vinajitosheleza kujua..” Stori zilinoga mpaka nikaona kama safari fupi, ilituchukuwa kama dakika 40 kufika anapoishi Jerry, Jerry alikuwa anaishi jumba kubwa mwenyewe na mlinzi, tulipoingia ndani tu Jerry alipitiliza mpaka chumbani kwake huku Tina mie akiniacha sebuleni, “..hajanijua tu..” Nilijisemea peke yangu huku nikiyarekebisha maziwa yangu vizuri kisha nikainuka pale kwenye kochi nakuongoza mpaka chumbani kwa Jerry nakuanza kubisha hodi mpaka akafungua, “..vipi unasemaje tena Tina..?” “..am, mh, mh plizi Jerry unaniruhusu nikakuogeshe…? “…anhaaa Tina embu acha utani wako huo…” “…Jerry huniamini, au ndo unaona aibu..?” Jerry alikuwa hajiamini amini kama Tina mie naweza nikamuuliza maswali yale na tena nikiwa ‘siriaz’ kabisa.. “..nikwambie kitu Tina..” “..yap, niambie Jerry..!” “..nakuomba, pliiz rudi ukanisubirie sebuleni, nioge fasta fasta tuondoke…” Nilimwitikia kwa shingo upande huku nikijirudisha mpaka sebuleni. Nilikaa kama dakika 2 nzima huku akili ikinihama kabisaaa, nikaona kama Jerry anachelewa kutoka, nikarudi tena mpaka mlango wa chumbani kwake kumgongea. Nilipiga hodi bila majibu yeyote mpaka nikaamua kuufungua mlango nakuingia kwani bafu na choo kilikuwepo ndani ya chumba chake ‘self container’.. Niligonga ule mlango wake wa bafuni bila majibu yeyote. Akili ikanituma nijilaze pale pale kitandani kwake akitoka atanikuta na lazima kitaeleweka tu. Haikuchukuwa muda Jerry akatoka bafuni.. “..hee, Tina unafanyaje tena hapa..? Inamaana nilivyokuambia uende sebuleni hukwenda..?” “..aku..

Tina mie nlishakwambia kuwa ninajiheshimu na ninamchumba kwanini unanifanyia hivyo lakini..?” Jerry alilalamika mpaka nikaingiwa na moyo wa kutoka mule chumbani.. “..Jerry wala usiwe na hofu na mie jamani, kwanza mie mwenyewe nina mchumba na hapa nilipo na ‘bleed’..” “..sawa nimeshakuelewa Tina nenda basi sebuleni..” Niliondoka nakumuachia uhuru Jerry ili avae nguo.. Ndani ya dakika kama 7 tayari Jerry alikuwa ameshavaa nguo tena amependeza, nywele zake zilikuwa zinang’aa sana na weupe alionao ndio ulionidatisha sana Tina mie.. “..haya nipo tayari sasa Tina twende..” “..kabla hatujaondoka Jerry pliz nisaidie kitu kimoja..” “..kitu gani tena..?” “..kiss! Jerry kiss yako tu ndo ninahitaji..” “..Haa haa haa hicho ndo unachohitaji..?” Jerry alikuwa hajanielewa mchezo gani ninaotaka kumchezea, alinipiga busu la shavuni mpaka nikajihisi niko dunia nyingine.. “..one more Jerry..(Jerry tena..)” “..umeshaona raha enhee..” Jerry alinibusu shavuni, nikampa na mdomoni akanibusu.. “..Jerry naweza na mie nikakubusu..?” nilimuuliza kiuchokozi “…yeah” Nilitumia mwanya huo huo kujifanya kama nammbusu mdomoni, hapohapo nikatoa ulimi nakumdumbukizia kwenye mdomo wake naye nikamshuhudia akinipa denda lililonifanya mwili wangu wote usisimke ghafla huku nikiyafumba macho yangu nakutoa pumzi ya kimahaba.. Jerry alinogewa na kujisahau, akajikuta amevamia kifua changu nakukusanya maziwa yangu huku akizipapasa chuchu zangu za mbele.. “..no.. Noo Jerry nipo kwenye ‘bleed’ usinishike maziwa yananiuma..” Nilimwambia makusudi ili nijue kama kweli kalainika au la! “..Tina unasema..?” Jerry alikuwa anauliza huku akiongea sauti ya kimahaba.. “..na leo ataisoma namba, nitahakikisha anakuwa mtumwa wa mapenzi ghafla, nalitesa kwanza wee baadaye kabisa ndio nitaliachia linifanye..” Niliongea kimoyo moyo huku nikiendelea kumtolea macho Jerry ambapo bado alikuwa ameng’ang’ania matiti yangu.. “..Jerry, nakuruhusu nichezee kuanzia kichwani mwisho tumboni tu..” Kabla sijamaliza kusema nilimshangaa Jerry akinitupia kwenye kochi nakuanza kuninyonya kuanzia masikioni mpaka shingoni huku ulimi wake akiutelezesha mpaka kwenye kitovu changu.. “..noo noo Jerry huko sitaki tena acha, nimekwambia nableed’ kwahiyo nishike kote lakini usinishike matiti yangu wala sehemu zangu za si**..” Ama kweli na wanaume kumbe dhaifu kama sie wasichana, Nilimshangaa Jerry akitamani japo ku sex, “..Jerry, twende basi ulipotaka kunipeleka tukapate hiyo ‘dinner'” Jerry alinyong’onyea nakukaa kama dakika moja kisha akachukuwa funguo ya gari na simu yake kwa shingo upande uku akionesha kutoridhishwa kabisa na mie, “..ok, twenzetu” Nilijirekebisha nguo zangu vizuri kisha nikaongozana na Jerry mpaka kwenye gari yake nakuingia kisha akaliwasha gari lake nakuondoka. “…Jerry hujaniambia ni wapi huko tunapoelekea kupata chakula..” “..tunaenda pale makumbusho na leo wikiendi huwa kuna ‘live band’.. “..ok..” Saa ya kwenye gari la Jerry ilinionesha imeshatimu saa 08:14 usiku, tayari tulikuwa maeneo ya morroco nikaanza kumchokoza tena Jerry. “..Jerry, nikwambie kitu..” “..yeah, niambie tu..” “..ujue muda wote kule kwako nilikuwa nakudanganya, mwenzako hata si bleed..” “..unasemaje..” Nikavua kile kipedo changu nakutoa ‘pedi’ feki niliyokuwa nimeivaa ambapo ilikuwa haina hata chembe ya damu, kisha nikamuonesha Jerry, nikaitupa nje huku nijirudishia nguo yangu vizuri nakumchekea jerry ambaye bado alikuwa kapigwa na butwaa..”..Jerry angalia mbele jamani tusije tugagongwa bure..” Jerry alikuwa bado kanitolea macho huku anaendesha gari lakini tukiwa katika mwendo wakawaida. Kunakipindi alishindwa kuzuia hisia zake kabisa nakujikuta mkono mmoja anaendesha gari na mwingine akipapasa mapaja yangu.. “…Jerry mbona hivyo jamani embu niache mwenzio..” Nilimwambia kiutani ili niwapime wanaume wakoje, kwa Jerry hakutaka kunielewa wala kusikiliza chochote, kuna muda alipunguza spidi kabisa nakufanya magari ya nyuma yetu kutupigia makelele kwa honi. Ndani ya kama nusu saa tulikuwa tumeshafika Makumbusho hivyo tukatafuta sehemu nzuri ya kukaa na kisha Jerry akaagizia chakula tena kile cha asili tukala. “..kwahiyo Jerry live band itaanza sa ngapi hapa..?” Nilianza tena kumchokoza Jerry.. “..kwanza nimeghairi live band itakuwa kwangu leo..” Tulipomaliza kula tu Jerry alinishika mkono.. “..twende tu nyumbani kwangu kwanza akili yangu hata haipo hapa..”

Tuliingia kwenye gari nakuondoka zetu huku nikifurahia ushindi wakumlegeza Jerry kwani nilishajua lazim nitasex naye tu huko kwake. Njia nzima Jerry aliendesha gari kwa kasi ya ajabu huku safari hii macho akiyaelekeza mbele tu mpaka tulivyofika kwake.. Kitendo cha yeye kufunga tu mlango wake wa sebuleni, “..haya sasa Jerry tuanze live band sasa..” Kwa ujasiri niliokuwa nao mtoto wakike mie, nilianza kuchojoa blauzi yangu nakuziachia chuchu zangu wazi na hivi tena zilikuwa zimesima, zilimfanya Jerry aziwahi nakuanza kuzinyonya huku akiniacha mwili wote kunisisimka… Nilimvulia na pedo yangu niliyokuwa nimeivaa hivyo nikabakiwa na ch** peke yake. Jerry alionesha kuchanganyikiwa na umbo langu kwani nilikuwa nimeumbika sana kiuno ninacho Tina mie , ukija maeneo ya nyuma utasema labda mchina kumbe ‘body’ la ukweli tena la kule kwetu Tanga kabisaa.. Nilianza kutumia utundu wa kucha zangu kumparua Jerry ambapo nilianza na shingoni mwake, kisha nikamvua vishikizo vya shati lake nakuanza kupapasa nywele zake za kifuani huku nikitoa miguno feki ya kimahaba nakumchochea zaidi Jerry nakumfanya avue jinsi yake nakubakiwa na ‘boxer’.. Taaratibu na utundu niliofunzwa toka kwetu japo bado sijaolewa, nilichukuwa mkono wangu wa kushoto na kuichomoa nanii yake kisha nikajisogezea mpaka eneo langu la kwenye maziwa nakuanza kuzigusanisha huku nikitelezesha, nilipomaliza hapo nilitoa ulimi wangu nakuanza kulamba kile kieneo cha juu cha nanii yake huku nikifanya kama naking’ata ng’ata.. Jerry aliishiwa nguvu kabisa nikamtania kama nataka kuvaa nguo zangu.. “..no noo Tina unafanyaje tena jamani hatujamaliza mbona..?” “..kwangu mie nimeshalizika, twende nirudishe chuoni jamani..?” Jerry alibakiwa mdomo wazi nakuishiwa nguvu huku nikimshuhudia nanii yake kusinyaa ghafla.. Nikaivua ile pedo tena, nakumfanya Jerry apagawe upya nakuanza kwa kunishika shika makalio yangu.. “..Jerry inatosha sasa kunishika shika nataka unifanye..” “..nikwambie kitu Tina…?” “..yeah, niambie..” “..si unajua mie ni ‘Mpemba’ na sisi kawaida yetu mwanamke unatakiwa umfan..” “..whaaat..? Unasemaje Jerry..?” Tayari nilikuwa nimeshamulewa Jerry alichokuwa anamaanisha japo nilikuwa nasikia tu kwa watu kuhusiana na hawa wapemba.. “..Jerry, kwanza mie naogopa, pili sijawahi kufanya mchezo huo hata siku moja na haitatokea..” “..pliz Tina nionee huruma mwenzio..” “..nikuonee huruma kwa upumbavu huo, hivi Jerry umeshanichukulia mie malaya siyo..?” “…ok basi nimekuelewa, nipe tu huko mbele..” “..hata huko nimeghairi sitaki,

nirudishe chuoni kwetu kama hutaki nifungulie mlango niondoke mwenyewe pliiz..?” Kijasho chembamba kilikuwa kimeshaanza kumtoka Jerry kutokana na kulegea kwake kulimfanya aonekane na sura ya huruma sana.. “..Jerry, nakupa kimoja tu, tena mbele na iwe mwanzo na mwisho..” “..oh tanx tanx..” Jerry alionesha kutabasamu na kutojiamini amini kwa nilichomwambia mpaka pale nilipovua tena kila kitu nakubakiwa uchi kabisa nikimtanulia Jerry mapaja, “..Jerry..?” “..yap Tina..” “..where is condom..?” “..am mh mh mh mh sina..” “..wee mwanaume gani usiye hata na kinga kwako jamani..? Sasa hivi sitanii ndio sikupi kabisaa..” “..tufanye tu Tina, embu ona ulivyonilegeza..?” “…eti tufanye tu..? Na ukinipa mimba..?” “..nitalea..” “..eeh eeh embu wacha kunichekesha Jerry..” Nilimuonea huruma kwa mara nyingine huku nikivaa sura ya Tina mwenyewe tena play gal haswaa aliyeshindikana.. “..hapa hapatufai embu twende huku..” Nilimvuta mkono vile vile alivyokuwa uchi kisha nikaongozana naye mpaka chumbani kwake, na tulipofika tu zoezi la kushikana likaanza upya. Ndani ya muda mchache Jerry alionekana kulegea zaidi hata yangu mie hivyo nikamkabidhi mwili wangu wote auchezee anavyotaka.. Alikuwa anapapara sana kwani ndani ya muda mchache tayari alikuwa akitafuta bao la pili.. Alinifanya nijisikie tofauti sana kwani kiukweli Jerry nayeye anajua kukatikia haswa tena kila pembe.. Tulivyomaliza tu Jerry akawa amechoka sana hivyo akapitiwa na usingizi nakuniacha pale kitandani usingizi ukininyemelea taaratibu.. **** Nilishtuka usiku sana na kilichonifanya nishtuke ni maumivu niliyokuwa nikiyasikia kutoka nyuma kwangu.. “…Jerry? Jerry ndio nini unanifanyia jamani..? Si nilishakwambia sipendi mie..” Jerry alikuwa nyuma kwangu akiniingilia kinyume na maumbile na mbaya zaidi alinikojolea nakufanya minanii yake iteleze mat** mwangu.. “..pliz Tina niache nimalizie..” Nilimwangalia kwa jicho la hasira huku kwikwi ikinibana na mchozi kuanza kunidondoka kwani sijawahi kabisa kufanyiwa mchezo huu tangu niwe play gal. “…sitaki..?” “..sasa kama hutaki toka ndani kwangu tokaa..” Jerry alinibadilikia ghafla nakunifanya nijutie kukubali kuja hapa kwake. Tulibishana naye mpaka akazima taa nakunifunga mdomo kwa nguvu kisha akaniingilia nyuma

kwa kutumia nguvu zake nakunifanya niishiwe nguvu na pumzi nakumuacha anizidishie maumivu.. Alipomaliza kunifanya.. “..Tina pole eeh, lakini utazoea tu..” Akiwa bado anaongea nilimuwahi na bonge la kibao kisha nikachukuwa nguo zangu nakuongoza mpaka sebuleni na nilipofika nikazivaa nguo zangu haraka haraka, Sikutaka hata kujua ni saa ngapi, nilijipa moyo kuwa nitapata daladala tu kwani Dar huwa daladala haziishi. Ile nataka kufungua tu mlango Jerry akawa nayeye ameshafika sebuleni.. “..unakwenda wapi we malaya..?” “..Jerry inamaana nimeshashuka thamani na sasa hivi unaniita malaya siyo..?” “..we malaya tu, asa unachobisha nini? Kama kukunanii tayari tena kavu kavu, si mbele wala nyuma mpumbavu mkubwa wee..” Nilibakiwa na hasira kali rohoni, nilimwangalia Jerry kwa jicho lililojawa na ghadhabu kisha, “…Jerry huu ni mwanzo tu picha lenyewe bado linakuja..” Nilimwambia kwa ukali kisha nikafungua ule mlango wa sebuleni nakuubamiza kisha nikaenda mpaka getini mlinzi akanifungulia nikatoka zangu nje kabisa. Sikuwa hata na mshipa wa aibu na wala sikutaka hata kuangalia pembeni zaidi kushika viatu vyangu mkononi nakuongoza mpaka kituoni.. Hakukuwa na hata dalili yoyote ya daladala, nilikaa sana pale kituoni mpaka bajaj ikapita nikaipungia mkono, “…hapa mpaka chuoni cbe sh. Ngapi..?” “..nipe elfu 5 twende..” Sikuwa na njia yoyote zaidi ya kutoka katika lile eneo huku nikifungua pochi yangu kwani hela ya kujilinda nilikuwa nayo.. “..lakini dada mbona unaonekana kama si salama huko utokako?” Alikuwa ni dereva wa kibajaji akiniongelesha.. “..Wee mkaka embu koma, maswali gani hayo unaniuliza..” “..kwahiyo dada kujua ni vibaya kwani..? Sura yako siyo ngeni kabisa..?” “..nadhani kazi ya kuendesha hiki kibajaji imekushinda ila kufuatilia watu ndio unaipenda..?” “..lakini dada, jioni ya leo nilikuona na Jerry mtata kwenye gari yake mkiingia naye kwake sasa ghafla nakuona upo kwenye hali hiyo, na usiku sana..” “..enhe kama ulituona tatizo lako ni nini haswa…” “..dah unajua nini ‘aunt’ yule Jerry mtaa mzima anachukiwa nakunyooshewa vidole nakila mtu, Jerry ni malaya wa kutupwa na anaukimwi anasambaza kwa watu makusudi..” “..embu achana na hizo stori zisizo na kichwa wala miguu..” “..sawa bwana, juzi tumetoka kumzika Jamila… Na alikuwa anatembea na Jerry huyo huyo, pia Jerry akishajua amekuambukiza hapo hapo lazima akutimue kwake, yani ndio mchezo wake huo..” “…unasemajeee..? “..sasa ‘aunt’ huniamini au..?” “..embu chukuwa hela yako nishushe hapa hapa na endelea na safari yako..” Maneno makali aliyokuwa amenijaza yule dereva wa bajaj, yalikuwa yameamsha hasira zangu upya, nilimpatia hela yake akaniacha mitaa ya pale ‘Ocean road.. Nilijisogeza mpaka karibia na casino ya ‘las Vegas’ nikaingia pub moja inaitwa ‘Jolly’.. “..nipe Savvanah dry ya baridi..”

Siku zote hasira zikinizidia huwa napenda kunywa pombe. Mhudumu aliniletea nikanywa, nikaongeza ya mwisho nikanywa nakumpatia hela yake. Nilivyomaliza nikaendelea kujikokota taratibu huku nikitafuta uelekeo wa chuoni kwetu. Hakukuwa na haja ya kukodi tena bajaj wala tax japokuwa zilikua nyingi pale nje huku nikiamin hata kama nitakodi yatakuwa tena yale yale aliyoniambia yule wa bajaj muda si mrefu.. Nikiwa ndio nakaribia kuingia chuoni mara simu yangu ikaita tena huku mlio ukitokea kwenye kipochi changu.. Haraka haraka nikaichukuwa nakuipokea.. “..hellow..” “..jamani Tina hivi kweli leo umeniacha hivi hivi shosti wangu..” “..yaani Aisha ni booora hata ningeondoka na wewe, kwanza hata hivyo nimeshafika hapa hostel nakuja kukupa yaliojiri huko shosti.. Nilipofika tu nilimtoa Aisha mpaka nje nakuanza kupiga naye stori usiku kutwa huku nikimficha kitendo alichonifanyia Jerry na hata sikumwambia kuwa Jerry kaathirika.. “Hiyo mbon kazi ndogo tu Tina, we cha maana nipe namba yake ya simu kesho kesho atajuta kilichomtoa pemba nakuja bongo kufanya umalaya wake.., na hivi kesho wikiendi..? Mbona atapatikana tu shosti..” Alisema Aisha kwa kujidai huku akinishika mkono nakuingia ndani kulala.. *** Asubuhi na mapema Aisha alikuwa mtu wakwanza kuniamsha huku akiitaka namba ya Jerry.. Nilimpa pale pale akampigia simu, “..jamani Jerry yani mara hii umeshanisahau..? Anyway leo mie siendi kazini tunaweza kuonana..?” Aisha aliongea na Jerry kwa simu huku akijiamini kwa asilimia zote, “..shosti yangu Tina, hili limeshapatikana hapa..” “..enhe, kakwambiaje..?” “..kaniambia Jioni ya saa 12 tukutane pale ‘chaga bite’ Namanga..” Muda wote tulikuwa tunaisubiri hiyo saa 12 ifike haraka. Hatimaye ilifika na Jerry alikuwa fasta kumpigia Aisha simu, hivyo tukaenda mpaka pale na kumuacha Aisha huku mie nikijificha. Haikuchukuwa muda nikaiona gari ya Jerry, hakutaka kushuka hivyo Aisha alimfuata nakuingia ndani ya gari kisha wakaondoka. “..ninavyomjua Jerry lazima atakuwa anampeleka kwake tu..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikiita bajaj upande wa pili fasta.. “..unaiona ile gari mbele, ifukuzie mpaka mwisho wake..” “..ile si gari ya Jerry mtata, na tena jana usiku alimfanyia visa dada mmoja nikampakiza mpaka ‘las vegas’ lakini kama atakuwa hajaambukizwa yule? Kwanza kwa Jerry huwa hapon.. Nilijikaza nakujifanya kama siyo mimi niliyepanda bajaj yake jana usiku.. “…hayo maswali mengi yanatokea wapi wee..?” Nilivyosema tu hivyo akanyamaza kimya huku akiniendesha. Mwendo wa kawaida aliokuwa akiuendesha Jerry kwenye gari lake lililokuwa mbele yetu, ilinifanya kujawa na duku duku rohoni huku nikiamini Aisha atakuwa anafanyiwa kama nilivyofanyiwa jana.. “..kama hashikwi mapaja basi atakuwa anachezewa maziwa, na Aisha anavyopendaga hivyo mhh..” Nilijikuta najiuliza mwenyewe kimya kimya huku hasira zikinizidia kwa kuendelea kuitolea macho gari ya Jerry, mpaka ilipokata kona ya kuingia kwake.. “..sasa we nishushe hapa hapa.., unanidai sh. Ngapi..?” “..elfu 3 tu itanitosha..” Nilimpa hela yake yule dereva bajaj nakuanza safari ya kuinyemelea gari ya Jerry.. Giza lilikuwa limeshaanza kutanda hivyo ikawa rahisi kutojulikana Tina mie.. Kwa namna tulivyokuwa tumepanga na Aisha nikuwa atangulie kuingia na Jerry, kisha afanye kila njia yakumchanganyia Jerry vidonge vya usingizi, iwe kwenye juici au chochote watakachokunywa na akifanikiwa anipigie simu ili niingie ndani.. Nilijificha pale karibu na geti la kuingilia kwa Jerry takribani nusu saa bila yakupigiwa simu yeyote kutoka kwa Aisha, niliogopa endapo nitapiga mie mchezo wote ungevurugika.. Muda ulizidi kuyoyoma, nilikaa kama lisaa 1 na nusu ndipo nikapata meseji kwenye simu yangu.. Kuiangalia imetokea wapi? Naliona jina limeandikwa Jerry, nilihisi vidole vinanitetemeka huku kama presha ya ajabu inaninyemelea.. “..nilijua tu Aisha kichwa box ona sasa inshu, atakuwa ameshashtuka tu Jerry..” Niliusemea moyo huku nikiifungua ile meseji kwa spidi nijue kilichoandikwa mule ndani yake.. “..KAZI IMESHAKWISHA HUKU FANYA HARAKA UKO WAPI..?” Bado nilikuwa sijielewi elewi kwa aliyoituma ile meseji, nilichokifanya nikaifuta ile meseji nakumpigia Aisha ili nipate kujua ukweli wa hii meseji.. “..enhee vipi shosti umepata meseji yangu..?” “..ipi hiyo tena..?” “..si nimekutumia hapo kwenye simu ya Jerry, we uko wapi saa hivi..?” “..nipo hapa nje karibia na geti la huyo malaya Jerry..” “..nisubirie hapo hapo nakuja kukuchukuwa..” Ndani ya dakika chache Aisha alikuja kunichukuwa huku kichwani nikijiziba kwa mtandio ili yule mlinzi asinitambue kwani jana aliniona nilivyotoka japo ilikuwa usiku sana. Tulipitiliza hadi chumbani kwa Jerry tukamkuta kalala fofofo hajielewi, “..haya jitu lako hili hapa hata halijitambui, nililipa maji haya hapa niliyoyachanganya na vidonge vya usingizi nikaona haitoshi, liliposinzia tu nikaliongeza na sindano ya usingizi hii hapa..” “..nakuaminia shosti wangu wee wa ukweli…” “…mie ndio Aisha bwana utaniambia nini nishindwe kufanya..? Ila dah Jerry anajua kumuandaa mwanamke kabla ya kufanya mapenzi..” “..yeah Jerry anajua kweli, kwani ulimpa..?” “..anhaaa we Tina vipi wewe, yani anilegeze vyote nakunijaza minyege halafu aniache hivi hivi tu..?” “..hujanijibu vizuri Aisha, inamaana Jerry umesha sex naye..?” “..si ndio nakuambia Jerry mtamu, nilimpa kavu kavu aliniambia hana kondomu nikamuelewa..” “…Aishaaaaa..” “..yani nakwambia Tina, Jerry amenitoa nyege zangu zote.. Tena alinibembeleza nikampa akanifanya na nyuma kabisa..” Aisha alinijaza hasira sana, sikutaka kumwambia nilichoambiwa na watu kuhusiana nakuathirika kwa Jerry na makusudi anayof anya kwa wasichana.. Nilichokifanya nilifungua kipochi changu nakutoa viwembe.. “..Aisha huyu Jerry si anajifanya kicheche siyo..? Mie nataka nimtahiri kwa mara ya pili hapa…” “..mh aha ha ha Tina usifanye hivyo hapa chakumkomoa nikumpa chanjo nyingi kwenye dude lake hili..” Aisha alishika ile nanii ya Jerry huku mie nikichanja chanja maeneo ya juu na damu kumtoka nyingi, Jerry alikuwa bado yupo usingizini muda wote huo, “mie nayakata haya madude yake tuondoke nayo Aisha..” “achana naye kwanza hapo tu alipo usingizi ukimuisha atalia sana nadhani utakuwa mwisho wa umalaya wake..” Tulipomaliza zoezi lile lakumchanja chanja Jerry sehemu zake za siri haswa sehemu ya kichwa kile cha juu ndicho nilikichanja chanja haswa.

Tukatoka mpaka getini lakini mlinzi akatuzuia kutoka.. “..mbona mnatoka wenyewe..? Bosi Jerry yuko wapi..?” Yule mlinzi akaushikilia ufunguo wake wa getini vizuri huku anamuita bosi wake Jerry kwa sauti akienda mpaka mlangoni nakutaka kuingia…Yule mlinzi alifungua ule mlango nakuingia mpaka ndani.. “..Aisha huyu mlinzi naona hatujui vizuri enh..” Nilimwambia Aisha huku kila mmoja akipandisha nguo yake vizuri tayari kwa nakuruka ukuta japo haukuwa mrefu sana.. Ndani ya muda mchache kila tulikuwa nje ya geti huku tukifurahia kitendo tulichomfanyia Jerry. “..sasa shosti tukafanye shangwe wapi..?” “..hilo tu wala usihofu, we twende pale ‘nyumbani lounge’ tukaburudike na mdada Jide kisha turudi zetu hostel.. *** Ilituchukuwa mwendo wa kama nusu saa kwa mwendo wa bajaj huku tukifurahia kwa mbwembwe zote.. Ilipotimia mida ya saa 8 usiku Aisha alikuwa kalewa sana ila kwa upande wangu nilikuwa bado niko freshi, hivyo tukatoka nje nakukodi tena bajaj mpaka chuoni kwetu Cbe zilipo hostel. Ndani ya dakika chache tayari tulikuwepo hostel, nilimkokota Aisha wangu mpaka bwenini, tukajipumzisha japokuwa akili yangu ilikuwa haipo pale kabisa, kila muda nilitamani japo nipige simu ya Jerry nijue kama tumempa ulemavu wa maisha au limekufa kabisa.. “..naombea nisikie limekufa hata sasa hivi..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikiuweka mto vizuri tayari kwa kulala.. Kesho yake asubuhi na mapema ambapo Aisha alikuwa bado na uchovu kalala fofofo, nilichukuwa simu yangu nakutuma meseji ya kiuchokozi kwa Jerry huku nikiamini kwa asilimia zote itajibiwa tu, niliandika hivi.. ‘..Mambo Jerry, miss u..!’ Kweli haikupita muda nikapigiwa simu.. “..hallow..” “..sorry, naongea na Jerry..?” Sauti niliosikia ni tofauti na ile ya Jerry.. “…Jerry yupo hapa Ocean road kalazwa yupo hoi toka usiku wa leo kwani we nani mwenzangu..” Nikajichekea kimya kimya na kwa dharau huku nikiendelea kumdadisi yule mtu.. “..jamani mpe pole sana sana, mchana wa leo nitakuja kumuangalia, mie ni rafiki yake naitwa Tina..” Nilipomaliza tu kuongea na simu, nilishikwa na furaha ya ajabu huku mwili ukinisisimka nakuamini alichonifanyia mara ya mwisho kwake tayari nimeshalipizia.. Ilipofika mida ya saa 5 tano tano, Aisha naye alikuwa ameshahamka hivyo nikamwelezea kila kitu, nakumwambia yeye abaki mie nitaenda huko hospital kuhakikisha.., Kwakujifanya na mie nilikuwa nampenda Jerry nikanunua Juici kubwa ya box na matunda matunda mchanganyiko, kama kawaida kichwani nikajifuka kwa mtandio huku chini nikiwa na gauni refu lenye heshima, nikiwa ndio nakaribia tu hospitali ya ‘Ocean road’ nikanyanyua simu nakupigia tena ile namba ya Jerry.. “..samahani, unaweza kunielekeza wodi aliyolazwa..?” “..njoo huku ‘block C’ wodi namba 4 single..” Nilifuata maelekezo mpaka hapo, na nilipoingia nilikutana na wasichana wengi kama 10 na, huku wakiwa wameleta vyakula mbalimbali, wanaume walikuwa wawili tu huku baadhi ya wasichana wakishindwa kujizuia nakulia kwa sauti ya juu.. Jerry bado alikuwa usingizini hivyo nilishindwa kumuona akiongea.. Yule niliyekuwa naongea naye kupitia simu ya Jerry ni ndugu yake kabisa na Jerry, nilipofika yeye ndiye alikuwa karibu yangu sana nakunipa maendeleo ya Jerry alivyoambiwa na dokta.. Nikuwa itamchukuwa muda mrefu kupona haswa lile eneo la juu ya nanii yake.. Matamanio mengine yakanianza hapo.. “..duh, Kumbe ndugu zake Jerry wazuri, dah ila sidhani kama atakuwa na tabia kama za Jerry..” Niliusemea moyo huku nikimpa vile vitu nilivyoleta. Kama kawaida Tina mie nikishaonaga wanaume weupe tu akili yote inahama nakuanza matamanio.. Nilijikaza Tina mie nakumuongelesha yule mkaka.. “…samahani naweza kukwambia kitu, mie nataka kuondoka..” “..bila samahani wala usihofu..” Alinifuata nikamtoa mpaka nje nakuanza maongezi naye.. “..najua utashtuka kukuita huku lakini nachoweza kukwambia ni kwamba…” Kabla sijamalizia kuongea, yule kaka akapigiwa simu akapokea, alivyomaliza tu kuongea na simu akanyong’onyea ghafla.. “…Ohh my God..!! Jerry hatunaye tena… Nikabaki na mshangao huku siamini amini, tukajikuta wote tunakimbia mpaka wodini kuhakikisha kama kweli Jerry kafa.. Tulipofika tu wodini wasichana walikuwa bado wamemzunguka Jerry huku wakimlilia zaidi, “..itakuwa kafa kweli nini..?” Niliusemea moyo huku nikijipenyeza katikati ya wale wasichana. Tabasamu kubwa alilokuwa analitoa ndicho kitu kilichowatoa zaidi machozi wakinadada waliokuwa wanamlilia, Jerry alikuwa hajafa japokuwa alikuwa hawezi kuongea lakini macho yake yaliweza kuangaza huku na kule.. Bado swali moja lilinisumbua kichwa, ninani aliyemwambia ndugu yake Jerry kwenye simu kama Jerry kafa..? Nilimshika tena mkono kwa mara ya pili yule ndugu yake na Jerry mpaka nje.. “..embu niambie vizuri nani aliyekwambia Jerry amekufa..?” “..anhaa, ile simu nilipigiwa na mjomba na nikweli Jerry amefariki..” “..Jerry..? Jerry gani sasa..?” “..Huyo mjomba wetu naye anamtoto anaitwa Jerry ujue jina la Jerry ni la marehemu babu yetu, sasa huyo mtoto wake mjomba alizaliwa akiwa na moyo mkubwa, na aliugua sana, ndio hivyo tena kazi ya mungu haina makosa..” “..dah, poleni sana..” Nilisisimka kana kwamba na mie ni ndugu wao tena ukarimu niliomuoneshea huyu kaka.. “..kwa hapa Dar unakaa wapi..?” “..mh, nakaa kinondoni pale ‘mkwajuni..” Alinijibu huku akinionesha tabasamu nakunifanya nisisimke tena huku nikiuangalia ‘lips’ zake mara mbili mbili jinsi zilivyokuwa pana.. “..hata kama wanamatatizo, sijui wamefiwa, sijui wanauguza, mie hilo wala silitambui, huyu Kaka kweli simuachi..” Niliusemea moyo huku nikimrembulia macho nakuvilazimisha vidimpozi vyangu feki.. “..ok, lakini unaonekana kama umeoa enh..” “..we bado umri haujafika, ndio kwanza nipo mwaka wa kwanza pale Ifm..” “..sasa hapo kinondoni unaishi na nani..?” “..pale nimeamua kupanga tu kachumba kamoja, sipendi kukaa hostel.. Wewe unakaa wapi..?” Kabla sijamjibu dokta akaja maeneo yale tulipokuwa naye nakuongozana naye mpaka ofisini.. Nilirudi kumuangalia Jerry kinafiki kujua anahali gani.. Kwa kipindi hiki alikuwa kafunga macho kuonesha kuwa anausingizi sana, nilitamani nichukuwe sindano pale pembeni yangu nakumchoma tena nanilii yake..

Kitendo alichonifanyia Jerry cha kuniingilia kinyume na maumbile ndicho kilichoniuma sana nakumchukia Jerry kila nilipokuwa namuangalia pale kitandani.. “..na kama amenipa ukimwi, naurudisha tena kwenye ukoo wao, nitahakikisha natembea na ndugu zake mpaka nawamaliza..” Hasira kali nilizokuw nazo ilinibidi kuzipunguza kwa kutoka nje kabisa huku nikimsubiria John ‘ndugu yake Jerry’ atoke huko ofisini kwa dokta.. Haikumchukuwa muda sana nikamuona John ametoka huku akionekana mwenyehuzuni sana.. “..enhe vipi dokta kakwambiaje..?” Nilimuuliza kwa shauku ya hali ya juu.. “…Dah, ‘bro’ maendeleo yake yanatia huruma, na nikija kumjua aliyemfanyia hivyo, atanijua kama mimi natokea Pemba ama Unguja..” “..ok, niambie basi kitu gani umeambiwa na dokta..?” “..ni kwamba bro Jerry anapata shida sana kukojoa, hivyo watamfanyia upasuaji mdogo ili kupata njia nyingine yakutolea mkojo. Na vile vile kunamshipa ambao unatumika kupitishia ‘sperm’ (manii/shahawa) nao ulichanjwa ukawa wazi hivyo anaweza akakosa uwezo wa kuzalisha tena maishani mwake..” Pale pale nikajifanya kama muvi za kibongo nikaanza kutoa machozi yakinafiki huku nikilazimisha kukohoa na makamasi kuyavuta yalioambatana na chafya bandia.. Alinibembeleza sana, lakini ni kama alinizidishia sauti, kwani nilizidisha sauti kana kwamba nimefiwa. Umati wa wauguzi pamoja na wapita njia ndio walionisaidia kuninyanyua pale chini nilipokuwa natapatapa huku nikilitaja jina la Jerry mara nyingi nyingi. John alinibeba akisaidiana na wapita njia mpaka kwenye gari ya Jerry kisha, “..unaishi wapi nikupeleke..?” Aliuliza John kwa hasira, kwani nilivyolia kwa sauti kulimkera sana, kumbe mie nilikuwa na mtego wangu.. Nikashusha pumzi huku nikijifuta machozi feki nakumuangalia John.. “..nipeleke kwako kwanza nikabadilishe nguo yangu ya ndani imechafuka sana, niko katika mwezi..” Nilimdanganya ili iwe rahisi kuwa naye lakini alionesha kama kushtuka kitu, “..lakini mbona hapa kuna vyoo na unaweza kubadilisha tu..” “..kama hutaki nishushe, kwani hapa kuna mabafu? Nataka nioge kabisa..” “..ok, mie niko tayari kukupeleka hadi kwako hata kama ni mbali.. “..naishi hostel, na leo Jumapili wanaume kibao bwenini..” Hadi mwenyewe akakubali nakuliwasha gari nakuelekea kwake, furaha ya ajabu iliyoamsha mshawasha wangu huku nikijiamini kwa asilimia zote huko tuendako lazima anifanye tu.. Ile tunafika njia panda ya kuelekea kinondoni, John akapigiwa simu lakini hakupokea alichoniambia nipokee halafu niweke ‘laudi spika’ kwakuwa yeye anendesha gari, “..halow..” “..vipi mpenzi wangu J uko wapi? Mi niko kwako hapa…

ITAENDELEA

Play Gal (Tina Zoa Zoa) Sehemu ya Pili

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment