Play Gal (Tina Zoa Zoa) Sehemu ya Pili
CHOMBEZO

Ep 02: Play Gal (Tina Zoa Zoa)

SIMULIZI Play Gal (Tina Zoa Zoa)
Play Gal (Tina Zoa Zoa) Sehemu ya Pili

IMEANDIKWA NA : ANDREW CARLOS

*********************************************************************************

Chombezo: Play Gal (Tina Zoa Zoa)

Sehemu ya Pili (2)

Hasira kali zialikuwa zimenishika ukichanganyia na wivu niliokuwa nao wa ghafla, na hivi tena simu nilikuwa nimeishikilia mwenyewe huku nimemuwekea ‘laudi spika’ John aongee, nilijikuta naikata ile simu nakumkunjia sura John huku mdomo na sura yangu nikivikunja kisha.. “..John, embu niweke wazi..! Huyo uliokuwa unaongea naye kwenye simu ni nani..?” “..mh mh huyo ni dada yangu, mtoto wa Mama yangu mkubwa, anaitwa Jescar..” “..aaah Jescar enh, eti mtoto wa Mama mkubwa..? Kwahiyo nyie huko Pemba mtoto wa Mama mkubwa anaweza kuwa mpenzi wako si ndio..?” “..kwani ameniita mpenzi..?”

“..yaani mara hii unageuka nakujifanya hujui kitu kabisaaa..” “…wee elewa hivyo tu na uamini, kama angekuwa ni mchumba wangu si ningeshakwambia..?” John alianza kukasirika huku akiongea kwa sauti mule ndani ya gari nakunifanya niwe mpole kama sijui kitu.. Ndani ya nusu saa tulikuwa tumeshafika kinondoni mkwajuni na John alikuwa mtu wa kwanza kushuka huku akienda upande wa pili wa mlango nakunifungulia kama vile mtoto wa malkia.. Ilitubidi tupaki gari mbali kidogo na kwake kani msongamano wa nyumba ulivyokuwa umekaa bila kupangiliwa ulitufanya tutembee kidogo mpaka kwenye chumba chake, Kulikuwa ni uswahilini haswa japokuwa tulipoingia tu ndani nilisahau kila kitu nakujiona kama vile nyumbani kwa Jerry kuna kachumba kamoja, “..karibu Tina na jisikie uko nyumbani..” “..nashukuru, usijari, vipi huyo dada yako yuko wapi sasa mbona hata hatujamkuta..?” “…aaah yule mambo mengi, sema wewe humjui tu, atakuwa kasubiri kidogo kajiondokea zake, haya chumbani na sebuleni kwangu ndio hapahapa, sasa wacha mi nikupishe ubadilishe nguo ukaoge si uliniambia kuwa una…” Kabla hajamalizia kuongea nikamuwahi, “..nikwambie kitu John..?” “..nimeghairi wala hata siendi kuoga, kwanza nawaogopa majirani zako, embu ona walivyokaa huko nje.. Ah ah mi sitaki…” Nilimkatalia John maksudi huku akili yangu yote nikielekezea jinsi nitakavyomtega mpaka anifanye.. “…John, embu niambie kweli mchumba wako yuko wapi..?” “..wallah tena, bado hata sijaoa na wala sina kwa sasa..” “…ila kwa sasa ukipata unaoa..? Maana mie naskia nyie wapemba mnachaguliwa mke wakuoa, na unaoa mpemba mwenzako..?” “…mh kwa hilo sijaliwahi kulisikia hata..” “..ok, kwahiyo hata mie unaweza kunioa..” Nilimuhoji kimtego huku akionesha kama kupagawa, kwani mua wote tuliokuwa tunaongea, nilikua nikimrembulia huku nikipandisha gauni langu juu nakuachia mapaja yote wazi, “…John, unapenda mwanamke bikra..?” Japokuwa swali hilo wasichana wengi huwa wanaogopa kuwauliza wanaume, kwangu Tina mie ilikuwa tofauti kabisa, nilijivika moyo wa kijasiri ukichanganyia na u ‘play gal’ niliokuwa nao ndio usiseme kabisaa.. “..hiyo ipo wazi, kwani sisi wapemba mwanamke utakayemtoa bikra ndio huyo huyo utakayemuoa..” “…hivyo tu..?” “..yeah ndio hivyo..” “..nikwambie kitu John..” Nikaanza kumdekea nakumlegezea jicho kana kwamba labda ameshakuwa mume wangu wa ndoa.. “..niambie kitu gani tena..” “..am virginity gal..(mimi ni msichana bikra..)” “..unasema kweli Tina..?” “..basi ni faraja kwa bro Jerry kwani atakuwa amepata mwamamke safi aliyetulia na mwenye kujali usichana wake..” “..simtaki huyo kaka yako, kwanza yeye ni rafiki yangu wakaribu kwakuwa tunafanya naye kazi pale ‘airport’..” “..unasema kweli Tina..? Dah kwa jinsi ulivyokuwa unamlilia nakuwa karibu naye mie nikadhania labda ni mtu wake..” Niliona kama ananichanganya kuendelea kupiga stori za kaka yake, nilichokifanya nilivua nguo zangu nakubakiwa na bikini tupu huku maziwa yangu yakiwa wazi kwani tiyari nilishaivua sidiria nakuitupia kwenye kochi.. “..haya John nipo tayari nitoe bikra sasa hivi mwenzako natamani unitoe wewe..” “..unasema kweli Tina..?” “..kweli, nimeitunza sana na wala sijawahi kutembea na mwanaume yeyote maishani mwangu..” Kabla hata sijamalizia kumwambia, nilishangaa John akifungua mlango nakutoka haraka haraka, “..Tina, nipe dakika 2 narudi sasa hivi..” Alitoka na nisijue hata anaenda wapi huku akiniacha pale chumbani kwake peke yangu, niliichukuwa simu yake nakuanza kuitafuta ile namba iliyopiga saa ile hadi akanidanganya ni dada yake.. “..mshenzi mkubwa, na atakiona leo,na nalala hapa hapa..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikijiongelea mwenyewe baada ya kuigundua kuwa ile ni namba ya rafiki yangu kabisaa Aisha sikukasirika sana kwani tayari nilikuwa nina uhakika wa ku sex.. Ndani ya muda mchache John alikuwa amesharudi huku mkononi kashika kondomu.. “..John, si nimeshakwambia mie bikra..? Sasa hiyo mikondomu yako yanini sasa..? Embu tupa kulee…” Nilichukuwa zile kondomu nakuzitupia chini, kisha nikavuta vijimikanda vya ile bikini yangu ikafunguka nakubakiwa uchi kabisa kama nilivzozaliwa… Muda wote huo John alikuwa kazubaa huku anatolea macho kifua changu kilichokuwa na chuchu ndogo utadhani kweli ni kabinti.. “..Tina, naruhusiwa kuyashika shika..” “..wewe tu wala hata usijari, lakini uyashike taratibu kwani mwenzako ni mara yangu ya kwanza hivyoo…” Aliyashika maziwa yangu kisha akachukuwa mdomo wake nakutoa ulimi akautelezesha mbele ya chuchu zangu nakunifanya mwili wote unisisimke.. “..nikwambie kitu John..” “..yeah niambie tu Tina..” “..pliz pliz mie bikra na usinisababishie maumivu pliz hivyo nakuomba uingize kichwa tu jamani..” John alinielewa kisha akavua ile boxer yake nakusex na mie alifanyak kama nilivyokuwa nimemwambia alijikuta ananogewa nakudumbukiza yote, pale pale nikambadilikia… “..nimeshakwabia ukiingiza yote utaniumiza ona sasa nasikia maumivu sitaki tena tutafanya siku nyingine..” Nikazivaa nguo zangu huku nikimwacha John akiduwaa.. “..haya vaa turudi hospitali tukamuone Jerry..” “…Tina no no nipe mwenzio nina hamu..” “..kwasasa sipo tayari tena na nguo nimeshazivaa..” “..usijari nitakusaidia kukuvua..” “…Jeff mie naogopa sana mwenzio kusalitiwa katika mapenzi..” “..wallah, haitakuja kutokea Tina..” “..hivi unajua ni wanaume wangapi nimewakataa kisa hii bikra yangu…” Nilimkazia macho John kisha nikamuonea huruma nakumvulia nguo tena kwa mara ya pili huku nikitoa machozi bandia kana nina bikra kweli… “..John taratibu pliz pliz..” John alinivaa nakuanza kusex, mwanzoni alifanya taratibu tenaj kwa juu juu lakini aliponogewa aliingiza kwa nguvu tena yote.. “..John John enough is enough, naskia maumivu sana na nahisi bikra kama inataka kutoka..” “..no no nakupromise tuache kwanza twende tukamuangalie Jerry hospitali na tukitoka huko tunarudi kuendeleaj mpaka asubuhi sawa John..” John alifurahia nakuvaa nguo zake haraka haraka na kupanda gari kwenda hospitali.. *

Umati wa wanawake bado ulizidi kumzunguka Jerry, kwa kipindi hiki aliweza kutoa macho na kuangaza huku na kule.. Nilikuwa namdekea John huku kila saa mikono yangu ikiwa mabegani kwake kwa makusudi ili kumkomesha Jerry.. Tulipomaliza kumuangalia Jerry tuliingia kupata chakula kisha tukaelekea kwake kinondoni… John alikuwa anashauku ya ajabu alikuwa akiendesha gari kwa kasi ya ajabu na hiyo yote nikuwahi kufika tu huko kwake na aweze kunitoa bikra.. “..angejua bikra yenyewe hata aliyenitoa nimeshamsahau..!” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikiendelea kumtolea jicho John aliyekuwa ‘bize’ kwa kuendesha gari.. “..Nimesahau kukwambia John, mwenzio kesho asubuhi sana ninakipindi..” “..hilo tu wala usijari kabisa, hapa tuna gari ya bro, ntakuwaisha asubuhi asubuhi, sema kingine mammii…” John aliongea kwa kujiamini. Haikuuchukuwa muda sana tukawa tumeshafika kwake, hakukuwa na sehemu yakulaza gari, hivyo aliliachia kwa mbali kidogo, halafu tukatembea mpaka kwake., njia nzima John alikuwa ni wakunishika mara mabegani, mara mikono sijakaa vizuri akanishika nywele zangu. Kwakuwa tulishakula hivyo tulipoingia tulijifungia ndani kisha… “..John nakuomba ukanitayarishie maji nioge..” John hakuweza kukataa kwani ndani ya muda mfupi alikuwa tayari mtumwa wa mapenzi na kila nilichotaka alikuwa yupo tayari, haraka haraka akatoka nje kwenda kunitayarishia maji,aliporudi tu nikaanza kumletea pozi.. “…haya nibebe mpaka bafuni..” “..aaah acha hizo basi..!” “..John unasemaje..? Kama hutaki kunibeba sikupi bikra yangu..” John alikuwa mdogo ghafla akanisogelea nakunipa mgongo wake ili anibebe.. “..haya panda basi..” “..aha haa haa John hutaniwi mpenzi..? Nilikuwa nakutania mwenzio..” Nikachukuwa kopo la kuogea nakuongoza mpaka bafuni kuoga, nilijisafisha vizuri kila kona na nilipotoka John naye alienda kuoga nakuniacha chumbani kwake peke yangu.. “..yani leo simuachi mpaka nimuambukize tu kama alivyonifanyia kaka yake japokuwa bado sijapima..” Nilijisemea peke yangu huku nikichukuwa hela kwenye kipochi changu nakukimbia mpaka nje kwenye kiduka kununua ‘tomato sauce’ tena ile inayotumikaga kwenye chipsi.. Niliificha nakuingia mpaka ndani kwa John napo nikamkuta bado hajatoka bafuni hivyo nikaifungua nakuiweka chini ya uvungu.. John alitoka bafuni na hapo hapo nikamuwahi taulo lake huku nikimfuta futa kuanzia ‘garden love’ lake mpaka mapajani mwake kisha nikaifuta nanilii yake.. “..nzuuuri..” nikaibusu nakuanza kuinyonya taratibu tena kwa pozi zote huku John akiishiwa nguvu nakujitupa mpaka kitandani.. “..John nikwambie kitu..?” “..yap sema sweetie..” “..embu zima taa yako, mwenzako naona aibu ndo mara yangu ya kwanza leo..” John alinielewa nakukimbilia mpaka kwenye kitasa nakuzima taa kisha akaanza kunipapasa kifuani mwangu nakuanza kuninyonya tumbo langu mpaka maeneo yakitovuni mwangu., Kiukweli sikusikia nyege zozote kwani nilikuwa sugu kwenye haya mambo hivyo nilijilegeza kiuzushi ili nimfurahishe John.. Giza lilikuwa limetanda haswa, “..no no John, usiingize vidole vyako bwana, utanitoa bikra kwa maumivu pliz pliz..” Hapo hapo nikamvuta John kwa nguvu mpaka kifuani kwangu.. “..John taratibu pliz usinifanye kama mchana, bikra ni yako, itoe taratibu bwana..” John alianza kuingiza nanii yake huku nikimbania mapaja kana kwamba nina bikra kweli.. John akiwa ndo kwanza ananifanya tena kwa juu juu tu bila kuingiza yote, nikatumia mwanya huo huo kuvuta ile chupa ya ‘tomato sauce’ uvunguni kwa kutumia mkono mmoja kisha nikaimwagia kwenye kiganja changu nakuisambaza kwenye nanii yangu.. Nikamsikilizia ile John anaingiza yote tu hapo hapo nikamsukuma nakuanza kulia.. “..nilikwambia John, ona sasa ninavyoumia, umeshanitoa bikra, sina tena bikra na ole wako unisaliti au usinioe John..” John alienda kuwasha taa haraka haraka kisha akakunja sura yake huku ananikaripia.. “..mpumbavu mkubwa wee, ushanichafulia shuka unajua bei yake wew..?” “..John, mbona umenibadilikia hivyo ghafla.. Basi kesho nitakufulia hizo shuka zako..” “..mie ndio kidume cha mbegu, kama bikra nishaitoa, kukuoa sahau, unahadhi yakuwa na mimi wewe..” “..ndio mana nilikuwa sitaki unitoe bikra yangu, nyie wanaume nawajua sana..” “..embu toka toka, nenda hostel kwenu ukajifutie mijidamu damu yako hiyo, tokaaaa..” John alinifukuza kama mbwa vile, nikavaa nguo zangu nakuchukuwa kimkoba changu mpaka nje, “..John utanikumbuka siku moja..” “..akukumbuke nani wewe, niache kukumbukwa Pemba na wachumba zangu eti nikukumbuke wewe..” Nilijichekea moyoni huku nikijifanya nalia nakutoka mpaka nje huku nikimwacha John peke yake, nilipofika tu kituoni nikachukuwa simu yangu nakutuma meseji kwa John.. ‘…John mpenzi, angalia chini ya uvungu wa kitanda chako, Kama ulidhani umenitoa bikra hapa umechemsha, nakifupi tu, NIMESHAATHIRIKA… Nilipomaliza kuituma tu, nikaizima simu yangu nakuirudishia kwenye kipochi huku nikifurahia kitendo nilichomfanyia John, “..hapa na bado, nitahakikisha nimeumaliza ukoo wao wote…!” Nilijisemea peke yangu huku nikipanda daladala ya kuelekea posta kwa usiku ule.. Sikuumia moyoni kisa John ameniacha bali nilikuwa nafuraha ya kumuambukiza ukimwi.. “..mh huenda sina hata huo ukimwi, halafu najisifu sifu, embu ngoja kesho nikitoka kwenye kipindi asubuhi niingie hospitali..” Bado nilikuwa nikijiuliza nakujijibu mwenyewe huku daladala ikikatiza maeneo ya magomeni kuelekea posta.. Mwendo wa kama dakika 20 ulitosheleza kunifikisha pale chuoni ‘Cbe ndani kabisa ambapo ndipo hosteli zetu zilipo, Nilipofika tu kwenye ‘rumu’ yangu sikumkukuta Aisha hivyo niliamini tu atakuwa kaenda kujirusha viwanja hivyo breki ya kwanza nikabadilisha nguo zangu nakuvaa kanga kisha nikaingia bafuni nakujisafisha zile ‘tomato sauce’ bandia zilizokuwa kwenye ile bikini yangu pia kwenye naniii yangu, Nilipomaliza nikarudi mpaka rumu nakuiwasha ile simu yangu. Meseji kama 5 ziliingia mfululizo na zote zilikuwa zimetokea kwa John, alikuwa akinitukana na kulaani kitendo nilichomfanyia nakunihakikishia ama zangu ama zake siku akinishika, nilizisoma zile meseji kisha nikafyonza kwa dharau nakuzifutilia mbali, “..akijifanya mjanja namfanya kama nilivyomfanya kaka yake ‘Jerry..’ eti anataka kuoa bikra..?, bikra aende huko kwao Pemba tena vijijini na umalaya wake ndio atapata mabikra..” Nilizungumza kimoyo moyo huku hasira kali iliyoambatana na dukuduku rohoni vikinishika nakutamani nimrudie usiku huu huu.. ~ Baada ya wiki 2 ~

Nilivalia nguo ya ‘baibui’ huku nikijifunika mpaka eneo la paji la uso, kama muislamu vile sikutaka kusindikizwa na mtu yeyote zaidi ya kubeba kamkoba changu nakuelekea hospitali ya mnazi mmoja tena kwa kujiamini… Niliingia mpaka ofisi ya dokta niliyokuwa nikimfahamu nilimweleza nia yangu yakuja kupima kisha akanichukuwa damu nakwenda kuipima. Haikupita muda akarudi, “..enh niambie dokta imekuwaje mzima..” “…unaweza kuniambia huyo mtu mara ya mwisho kukutana naye kimwili ni lini..?” “..dokta zimeshapita kama wiki mbili sasa..” “…matokeo yako haya hapa hauna tatizo lo…” “..kweli dokta..?” “..yeah ni kweli kabisa haujaathirika ila sasa we leo rudi nyumbani halafu njoo baada ya wiki mbili, kwani magonjwa kama ukimwi ni mpaka mwezi upite ndipo vijidudu vionekane..” Nilichukuwa yale majibu yangu japokuwa bado nilikuwa kishingo upande nakutokumuamini kabisa dokta japo huwa ananitibia mara nyingi niumwapo.. Nilienda tena hospitali nyingine lakini majibu yalinionesha nimeshaathirika, Njia nzima nilikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa, akili, ukichanganya na hasira kali ilinituma niende mpaka hospitali ile aliyokuwa amelazwa Jerry pale ‘Ocean road’ napo nilipofika ile wodi sikumkuta na alikuwa amesharuhusiwa kama siku mbili zilizopita.. Kwakuwa nilivalia ‘baibui’ ilikuwa ni vigumu kuonekana hivyo nikapanda daladala mpaka msasani alipokuwa anaishi Jerry, nilibadilisha sauti nakuwa nyembamba sana hivyo mlinzi akaniruhusu nikapita pale getini mpaka sebuleni, nikamkuta Jerry yupo kwenye kibaiskeli spesho kwa wagonjwa huku akiwa na wanaume wanne na wanawake kama sita hivi lakini John hakuwepo, Sikuwa muongeaji wala kuonesha mapepe yeyote, niliwadanganya kuwa mie ni jirani yao japokuwa sijaamia muda mrefu maeneo haya huku nikijitahidi kuizuia hasira kila nikimwangalia Jerry na nikikumbuka nilivyopima ukimwi nakukutwa nao, “..haya yote umeyataka wewe Jerry..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikimkazia Jerry macho ya hasira.. “..nimeanza na Jerry na sasa hivi ni zamu ya mmojawapo kati ya hawa..” Niliongea mwenyewe huku nikiwatolea macho wale wanaume waliokuwa wanamuuguza Jerry.. Haraka haraka nikaaga nakutoka nje, ile namuaga mlinzi, akatoka ndani mzee mmoja wa makamu huku mkononi kamshika mwanae.. “..bado hujaondoka tu..” Yule mzee aliniambia kiutani huku akiwa na lafudhi ya ki pemba, “,mie mbona nimeshafika, nyumbani kweu jirani tu hapo, sema naifikiria safari yakulekea kariakoo sasa hivi..” Nilimtega maksudi kumwambia hivyo kwani alikuwa na gari lake, “..ok, mie kwangu magomeni, twende nitakuacha magomeni uchukue daladala,” Niliingia siti ya pembeni yake na mtoto wake alikuwa siti ya nyuma kabisa, huku nikijidai na kujishembendua ovyo.. “..mtoto wako mzuri, anaitwa nani..?” nilianza uchokozi taratibu bila ya yeye kujijua “..anaitwa Latifah..” “..ohh anajina zuri, hivi we na Jerry mpoje..?” “..Jerry ni mdogo wangu anayenifuata akitoka Jerry anafuata John na ndio mtoto wa mwisho kwenye familia yetu.. “..kazi imekwisha, sasa hapa ndio simwachi ng’o, haijalishi ameoa au hajaoa au anamtoto sijui anajiheshimu.., hapa kwangu kaisha….” NJia nzima nilikuwa nikimwangalia kwa jicho la kuibia ibia huku matamanio yangu yakichukuwa nafasi yake, mpaka alipofika magomeni pale usalama, akapaki gari yake pembeni, “…mie naishi hapo kituo cha mbele ‘magomeni mwembe chai’ lakini natumai utapanda daladala pale za kwenda kariakoo..” “..wala usijari, kuna kitu naenda kununua mara moja halafu nakurudi kwangu ‘Ilala’..” Nilimdanganya tena kwa kujiamini, ile hali ya ujasiri nilikuwa nayo bila hata kuwa na mshipa wa aibu.. “..amh nimesahau kujitambulisha, mie naitwa Grace ni mfanyakazi mwenzake na Jerry..” “..ahaa, ni vizuri binti, mimi kama unavyomwona mwanangu hapa pembeni, naitwa Baba Latifah au ukipenda niite Ustadhi Juma…” “…ok, usijali labda kwa hapa sina ‘business card’ zimeniishia, labda ungenipa namba yako ya simu na mimi nikupe yangu..” “..ooh, wala usijari Grace, namba yangu ni 0713133633..” Niliichukuwa nakumpa namba yangu huku nikiondoka na uhakika wa hali ya juu mpaka kwenye daladala ziendazo posta na siyo tena kariakoo kama nilivyokuwa nimemdanganya hapo awali, “..na hivi leo sijaingia darasani, lakini Aisha atanielekeza walichofundishwa leo..” Niliendelea kuongea mwenyewe huku nikiwa ndani ya daladala maeneo ya ‘fire’ karibu na kituo cha ‘akiba’ ambapo ndipo ninaposhukia kwenda chuoni kwetu ‘cbe’. Nilipofika tu ‘hostel’ breki ya kwanza ilikuwa nikuvua ile mi nguo ya baibui kwani ilikuwa imenijazia joto sana, “..shosti kwa mishemishe, hata hutulii..?” Alikuwa Aisha akiongea na mimi. “..nitulie wapi wakati mjini kuna mambo mengi! Haya embu niambie mlichofundishwa leo..?” “..leo tumefundishwa somo moja tu..” “..lipi hilo” “..Entreprenuer..” “..na mwalimu wa ‘Law’ hakuingia..?” “..yule katuambie mpaka wiki ijayo hivyo tujiandae kwa ‘test’ kutoka kwake..” * Usiku wote akili ilikuwa ikimuwaza Baba Latifah, kila muda nilipotaka kumtumia meseji nilikuwa nasita nakuhisi huenda akaipokea mke wake nikaharibu kila kitu nakumkosa kabisa, hivyo nikajilalia zangu mpaka asubuhi.. Nilikuwa nakipindi asubuhi hivyo nilitumia masaa mawili nikawa sina tena kipindi, “..kwa muda huu kama hayupo ofisini sijui..” Niliichukuwa simu yangu nakumpigia baba Latifah, lakini iliita tu nakukatwa hapo hapo, Woga ulianza kuchukuwa nafasi yake katika mwili wangu huku akili ikinituma kuwa huenda ameshajua mchezo wote ninaoufanyaga.. Nikiwa ndani ya dimbwi la mawazo kwa muda mfupi mara simu yangu ikaita, harakaharaka nikaangalia jina lilikuwa ni baba Latifah, nikaipokea kwa pozi na tabasamu zito, “..hallow,” “..yeah, nani Grace?” “..ndio unaongea na Grace..” “..nisamehe binti, nilikuwa naendesha gari ndio maana niliikata simu yako lakini usijari, nimeshafika na kwasasa nipo hapa hapa ofisini kwenu..” “..uko wapi baba Latifah..?”

Niko hapa ‘aiport’ unapofanyia kazi na mdogo wangu Jerry, na nimekuja kufuatilia pesa zake kwa ajili ya matibabu, wewe uko kwa wapi..?” Nilijihisi mdogo ghafla kama kidonge cha ‘piriton’ huku nikiamini kwa asilimia zote nitakuwa nimeshaharibu haswa akiulizia jina la Grace akaambiwa hamna jina hilo nitakuwa simpati tena. Hapo hapo akili yangu ikachemka ghafla nakupata wazo nakumjibu.. “..nimetoka ofisini na nipo posta kuna bidhaa tumeleta hivyo kwa leo sintoweza kurudi ofisini mpaka kesho, lakini nahitaji kukuona leo jioni kuna vitu ninavyo nataka umpelekee mgonjwa ‘Jerry’ mie nimebanwa sana..” “..wala usijari binti, wewe niambie nikukute wapi..?” “…kwa sababu nitakuwepo posta mpaka jioni sana, nitakutafuta kwenye mida ya saa kumi na mbili, samahani kwa usumbufu lakini..” “..kuwa na amani kabisa binti yangu..” Nilimaliza kuongea na simu huku furaha kubwa nikiwa nayo, nikatafuta nguo ya kuvaa ambayo itaendana na zile za wafanyakazi wa ‘airport’ Hatimaye nikapata kisketi cha bluu na shati jeupe lililonipana na nikachukuwa kikoti cha Aisha cha bluu nachenyewe chakubana na kisha nikafunga funga mtandio wa bluu ndio ikawa kama tai.. Saa kumi na mbili kasoro nilikuwa nipo ‘Subway’ posta nikiwa nimeifunga kanga yangu ndani ya karatasi la kuhifadhia zawadi na juu yake nikiandika maneno ‘Get well soon Jerry’ (ugua pole Jerry) huku nikimsubiri baba Latifah… Nilimpigia simu kujua amefika wapi, “..hallow, nipo hapa ‘subway’ posta nakusubiri..” “..nami nakaribia nipe dakika kama kumi..” Sikusubiria sana akawa ameshafika, nilijifanya ninaharaka sana na nimechoka na mizunguko toka asubuhi nilipotoka na wenzangu kumbe wote uongo.. “…pole sana na kazi, ndio majukumu yalivyo..” “..chukuwa hii ni zawadi kwa Jerry ataifurahia sana akiifungua na utamwambia kuwa imetoka kwa wafanyakazi wenzake..” Aliichukuwa, “..ok, kwakuwa umechoka sana wacha nikusogeze mpaka karibia na kwako, uliniambia unaishi wapi tena..?” “..Ilala boma..” Giza lilikuwa limeshatanda, tukaingia ndani ya gari lake, Nikamuwahi kabla hajaliwasha nikamshika mkono, akashangaa..!! “…najua umeoa na una mtoto, ningependa leo nikucheleweshe kidoogo kurudi kwako..” Baba Latifah alikaa kimya huku akihema juu, hapo hapo nikavua kikoti changu nakusingizia joto.. Akiwa bado ananishangaa nikaanza kuvua vishikizo vya shati huku kisketi nikikipandisha kwa juu nakuachia mapaja wazi… Kigugumizi kiliendelea kumshika baba Latifah, “..vipi binti..? Mbona sikuelewi..?” “..hunielewi..? Mwenzio nasikia joto kweli hapa, yaani hili joto la Dar balaa kweli..” Niliendelea kusingizia joto huku nikitoa tabasamu feki kwa baba Latifah.. “..lakini gari yangu ina A/c si ungeniambia tu nikuwashie..” “..dah.. Nilijisahau, lakini nilivyofanya kwani ni vibaya..?” Hakunijibu zaidi yakuliwasha gari, niliuwahi ufunguo kabla hajaondoka nikalizima kisha nikatoa ufunguo wa gari nakumtolea macho baba Latifah. “..Samahani kwa kukufanyia hivi ila nakuomba unisaidie kitu kimoja tu..” “..eh..! kitu gani hicho..?” Nikachukuwa pochi yangu nakuchomoa shilingi elfu mbili. “..samahani sana, unajua mimi ni mtoto wakike kama walivyo wengine, na hali hii imenitokea ghafla..” Baba Latifah alionesha kushtuka huku akihema juu juu. “..sijakuelewa, unamaanisha nini tena..” “..nimeingia katika mwezi ghafla (na bleed), na sijatembea hata na ‘pedi’ nakuomba ukanichukulie pale dukani, samahani sana mzee wangu, kwani hapa nilipo nahisi damu zinanimwagika na nimeshachafua chu” Baba Latifah alinielewa, hakuchukuwa pesa yangu, alichokifanya alishuka kwenye gari nakuelekea dukani. Ndani ya muda mchache alikuwa amesharudi huku mkononi mwake akiwa ameshikilia mfuko. Alinipa nikaufungua nakutoa ‘pedi’ moja kisha.. “..samahani tena..?” “..kwanini..?” “..siwezi kubadilisha pedi kwani nimechafuka sana, nahitaji nijisafishe kwanza, pili sijatembea na chu** ya akiba..” “..kwa hapo sijui hata nitakusaidiaje binti..” Baba Latifah akiwa bado anajifikiria huku ananiangalia, na ukizingatia tulikuwa ndani ya gari lenye vioo vyeusi huku nje giza likiwa limeshatanda. Niliivua ile nguo yangu ya ndani kisha nikafungua kioo nakuitupa kwa nje, lakini muda huo.. “…najitahidi kujizuia lakini mie mtoto wakike tena niliyeumbwa kwa aibu, nisamehe kwa kilichonitokea..” “..hilo tu..! Wala usijari kabisa..” “..hivi kwa mfano nikawa mke wako wa pili, si utakubali..?” Nilianza maswali yakumtega baba Latifah kabla hajaliwasha tena gari.. “…ni kweli hata dini yetu inaruhusu, ila kwa wewe bado mdogo sana, na wala bado sijalifikiria hilo..” Nilimwangalia kwa jicho la hasira tena ile ya ghafla huku nikiubenua mdomo wangu.. “..Ananiona mdogo hee, na leo ataniona mkubwa sasa..” Nilijisemea kimya kimya huku nikiuchukuwa mkono wangu mpaka kifuani mwake nakuanza kumshika manywele yake ya kifuani bila ruhusa yake, kitendo cha kukaa kimya bila kuniongelesha chochote kilichochea zaidi hisia zangu nakuusogeza uso wangu mpaka nikakutana na uso wake, kisha nikatoa ulimi wangu nakumpa mate.. Uzalendo ulimshinda baba Latifah nakujisahau kabisa huku akiuleta mkono wake mpaka kifuani kwake nakuanza kushika shika maziwa yangu.. “..baba Latifah, mie bado binti mdogo tena sana, najishangaa nimepatwa na hisia ghafla, najua hii yote inatokana na hii ‘bleed’.. Nakuomba uwashe gari unipeleke kwangu Ilala..” baba Latifah hakunielewa wala kunijibu chochote, nikamwita tena.. “..baba Latifah, naongea na wewe..?” Bado alinitazama tu, nilichokifanya, nilivua kabisa lile shati langu nakubakiwa kifua wazi kilichojaa maziwa, kisha nikavua nakile kisketi changu nakubakiwa uchi mule ndani ya gari kwani taa zote za nje na ndani zilikuwa zimezimwa japo alilipaki maeneo yapale ‘subway’ posta.. “..mwili wangu umeshakuwa wamoto ghafla, nakuomba nikuridhishe sasa hivi.. Niliongea kwa kujiamini huku nikikaa juu ya mapaja ya baba Latifah.. “..utanichafua na damu zako binti, kwanza si una ‘bleed’ wewe..?” nilicheka kwa muda kisha nikazibana nywele zangu vizuri nakumjibu.. “..hapana bwana baba Latifah, nilifanya vile kujiweka sawa tu, si unajua sisi wasichana tukianza kujihisi hali kama ile tunatakiwa tuwa na ‘pedi’ karibu..” “..kwa hiyo unamaanisha hau ‘bleed’..?” “..ndio manake, au kama unabisha washa taa au lete mkono wako..” Niliuchukuwa mkono wake kishb nikakiweka kidole chake sawa nakukidumbukiza mpaka kwenye nanii yangu nakukitoa..” “..haya umeniamini sasa..?”

Tayari baba Latifah alikuwa kwenye himaya yangu huku akiwa si mtu wakujiamini amini kwa kile nilichomfanyia.. Alijikuta akivua nguo zake mwenyewe nakuniweka sawa. “..unataka tu sex baba Latifah..?” “..nashindwa kujizuia pliz..!” “..Lakini si unamke wako nyumbani, acha mie nivae nguo, ukifika kwako utafanya naye ngono tu..” Nilimtega baba Latifah kwani nawajua kabisa wanaume, ukishamruhusu hata akushike maziwa, hiyo hamu atakayokuwa nayo mbona atakulilia usipompa. Aliona kama naendelea kumchelewesha, akaniweka vizuri juu ya mapaja yake. “..baba Latifah, mwenzio naogopa sana mimba na sina mtoto mpaka sasa, nakuomba urudi pale pale dukani uliponinunulia ‘pedi’ ukanunue na kondomu au unaniamini.” “..mie nakuamini bwana kwanza hapa nilipo ngut zote zishanilegea na mpaka nivae nguo, siwezi.” “..haya basi, namimi nakuamini, ila iwe siri, mfanyakazi mwenzangu Jerry asijekujua kwani anamjua mchumba wangu na mie pia nitakutunzia heshima hutasikia popote..” Maneno hayo yalizidi kumpa nguvu baba Latifah nakumfanya anivae nakuanza kufanya naye ngono kavu kavu bila kutumia kinga huku nikimdhihirishia kuwa mie siye binti mdogo kwa ukubwa wa sehemu zangu za ndani mpaka viuno nilivyokuwa namkatikia. Tulipomaliza cha pili tu, mara tukasikia hodi ikipigwa kwenye vioo vya gari… Baba Latifah alionesha kushangaa sana, alinisukuma pembeni kisha akavaa nguo zake haraka haraka nami nikavaa hivyo hivyo japokuwa tayari nguo yangu ya ndani nilikuwa nimeshaitupa nje kabisa.. Ndani ya muda mchache Baba Latifah alinitolea macho kisha akabonyeza kidude cha kushusha kioo ili kumjua ni nani.. “..ahaa hujambo John..” “..sijambo shikamoo kaka..” Nilikuwa nimeshagundua kuwa alikuwa ni John tena yule niliyempa ukimwi na kwa muda huu nilibaki ndani ya gari huku Baba Latifah akishuka nakuongea naye.. Nilitega sikio huku nikiwasikiliza kwa mbaali.. “..vipi unafanyaje huku John..” “..bro nilikuja mara moja na rafiki yangu tunayesoma naye hapo ‘Ifm’ lakini nimeshaachana naye baada ya kuona gari lako umepaki maeneo haya vipi bro Jerry anaendeleaje..?” John alizidisha story na Baba Latifah hadi woga ukaniingia nakuona hapa kama nitaendelea kuwasikiliza hawachelewi kuingia ndani ya gari tukaondoka wote na nitakuwa nimeshaumbuka. Nilichokifanya niliiacha ile zawadi ya Jerry ‘khanga’ kisha nikavishika viatu vyangu mikononi nakufungua mlango wa pili yake taaaratibu nikinyata huku nikiwaacha wakiendelea na maongezi.. “..watajuana tu ndo nimeshawaachia, mie ndio Tina sifi na mmoja na mwaka huu hata nikifa nahakikisha ukoo wao wote unanifuata kaburini..” Niliendelea kujisemea mwenyewe huku nikikatiza mitaa ya posta nakwenda mpaka ‘cbe’ kwa mguu kwani hakukuwa mbali. Nikiwa bado nipo njiani huku nimeshavalia viatu vyangu japokuwa nywele zilikuwa zimenivurugika hilo wala sikulijari mtoto wakike mie, mara ghafla simu yangu ikaita, nikaitoa kwenye pochi haraka haraka huku nikiangalia jina. Alikuwa ni John tena John yule niliyempa ukimwi pale kinondoni kwake, nikaipokea huku nikiongea kwa sauti ya taaratibu, “…hallow..!” “..hivi we mwanamke? Umeniambukiza ukimwi ukaona haitoshi na sasa umeamia kwa kaka yangu si ndio..?” “..hiyo ndio salamu, na huyo kaka yako sikumlazimisa alinifuata mwenyewe hapo unapopaona..” “..embu ona, ana familia inayomtegemea na hapa alipo ameniambia alikuwa na mdada hamuoni humu ndani, nilivyomonesha namba yako ya simu akapata presha ya ghafla, ona sasa unamuua pumbavu zako…” “..wapumbavu ni wewe Jerry na huyo sijui ndo kaka yenu mkubwa sijui ndo baba Latifah, na tena msubiri kama sijaja kwenye msiba wenu mtakuja kwenye msiba wangu..” “..unasemaje..?” “..kama ulivyosikia..” “..nilishakwambia na narudia kukwambia ama zangu ama zako nikikushika nahakikisha nakishona kwa sindano hicho kinanii chako unachowaambukiza watu wasio na hatia..” Hasira za ghafla zilinipanda nikaikata ile simu nakuizima hapo hapo kisha nikaidumbukiza kwenye kipochi changu nakuendelea na safari yangu yakurudi chuoni.. Nilipofika tu Aisha rafiki yangu alinipokea kwa fujo zote, “..niambie Tina wangu wa ukwee..! Ehh vipi tena shosti mbona leo umepooza hivyo..?” “..hamna wala hata sijisikii chochote, nimeamua tu niwe mpole, kwani hupendi..?” “..hee..? Makubwa, haya ndio ujiandae hivyo leo tunaenda muziki, tena nipo na shemeji yako ambaye hata humjui..” Nilibaki namtolea tu Aisha macho akiendelea kuongea kwani yote yalikuwa yanapitia sikio la huku nakutokea upande wa pili.. “..jamani Tina, si ujiandae twende wote na hivi leo ‘club bills’ wasichana bure..” “..Aisha..? Tungeenda ila akili yangu haiko sawa kabisa, ila kama utakubali nipumzike kama nusu saa ndio twende sawa tutaenda..” Aisha alinielewa, kwa uchovu nakulegea kwa mawazo yalionitawala kichwani mwangu nililala hivyo hivyo na nguo nilizokuwa nazo bila hata yakwenda kujisafisha.. Baada ya kama lisaa zima niliamshwa na rafiki yangu Lucy.. “..jamani bado nina usingizi mbona tunakatishana, haya huyo Aisha yuko wapi..?” “…yupo nje anaongea na bwana wake, na amenipigia simu nikuamshe ujiandae kisha tumfuate mpaka alipo huko nje..” Kwa jinsi nilivyonapenda starehe Tina miimi, haraka haraka niliingia bafuni nakuoga nilipotoka nilivaa kipensi changu kilichoachia mapaja yote wazi huku juu nikiwa na kiblauzi kilichoshikilia matiti tu, huku tumbo lote likiwa wazi nikaongozana na Lucy huku tukitoka nje.. “..haya we Lucy yuko wapi sasa huyo Aisha..? Na kama ametuachaaa…?” Niliongea kwa hasira baada ya kutoka nje nakuwakuta hawapo. Nikampigia Aisha simu.. “..hee Aisha mko kwa wapi..?” Simu yake ilipokelewa tu lakini haongei zaidi ya kusikia sauti za mahaba.. Nilikata nikapiga tena kwa mara ya pili ikapokelewa.. “..Aisha uko wapi, sie tunarudi kubadilisha nguo bwana..?” “..angalieni upande wa pili huku kwenye giza giza karibu na ukuta wa chuo cha ‘Dit’ kwenye kagiza mtaona gari ya bluu imepaki ndio tulipo..” Nilikata simu nakumchukuwa Lucy mpaka lilipopaki hilo gari. Sikuwa naifahamu hata kidogo, “..Aisha na yeye wachini chini..?” Nilikuwa naongea na Lucy huku tukilikaribia hilo gari, ile tunafika tu Aisha akafungua mlango kwa mbwembwe zote huku akimvuta bwana wake atoke, Nilimwangalia mara moja tu, uso kwa uso na sura niliyokuwa naifahamu sikuonesha kutetemeka wala kuogopa kwa nilichokiona, nilijikaza nakuongea kwa kujiamini huku nikisita kumpa mkono.. “..John habari yako..?”

“..Salama tu, na tena bora ulivyojileta mwenyewe hapa..” John alibadilika ghafla nakutufanya wote tuendelee kumshangaa kwani aliinama mpaka chini ya kiatu chake akavua soksi nakuitoa ‘bastola’ kisha akaninyooshea.. “…malaya mkubwa wewe tena uliyeniteketeza mie na ndugu zangu bila hata huruma yeyote..” Nilikuwa mdogo ghafla huku kijasho chembamba kilichoambatana na mkojo uliokuwa tayari unapenyeza ndani yakile kipensi changu.. “..John nisamehe..” “..tena ishia hapo hapo malaya wewe. Unasikia Aisha wangu, huyu mwenzako ni muuaji tena yule aliyeshindikana, amemfanyia kitu kibaya sana bro wangu ‘baba Latifah’ kwani amemuambukiza ukimwi kwa makusudi kabisa na hivi ninavyoongea yupo hospitali hoi kwa presha..” “…ingia? Ingia ndani ya gari kabla hata sijakufyatua sasa hivi, wewe Aisha asanteni sana kwa kuniletea huyu mpumbavu na nilishamwambia ama zake ama zangu na ndio sasa..” Muda wote nilikuwa bado nikitetemeka vidole huku meno yakiumana na mwili kunisisimka hadi kuishiwa nguvu.. “..nimekwisha leo Tina mimi..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikikubali kuingia ndani ya gari kisha John akatumia mkono mmoja kuwasha gari na mkono mwingine alikuwa ameniwekea ile bastola yake kichwani mwangu, Aisha na Lucy muda wote walikuwa bado wameduwaa huku wakiwa hawajielewi elewi kwa kile kinachoendelea. John aligeuza gari nakutoka spidi mpaka kusikojulikana. Giza lilitanda sana kwani kama haikuwa saa 5 usiku basi ni saa sita kwani ukimya na uchache wa magari tuliokuwa tunapishana nayo ndio yalikuwa yakinipa jibu sahihi. Ilituchukuwa mwendo mrefu sana mpaka akasimamisha eneo nililokuwa silijui kisha akapaki gari yake pembeni nakuanza kutembea kwa miguu huku tukikatiza vichochoro hata sikuwahi kupita wala kupajua.. “…unanipeleka wapi uku jamani John..” “…we twende, utapajua nikishatoa hiyo roho yako isiyo hata nachembe ya huruma..” Nilianza kuhisi kichwa changu kizito tena kizito kwa kufikiri, nilikuwa na mawazo mgando tena yale yasiyoelewa elewa nitokapo wala niendapo.. Hatimaye tukafika kwenye jumba moja zuri lililokuwa na fensi kubwa ya ukuta iliyozungushiwa zile taa kubwa. John hata akugonga mlango zaidi yakunivuta mpaka ndani huku mlinzi akitutolea macho, nadhani yule mlinzi alikuwa anajua kila kitu kinachoendelea..”..huyu hapa bro..” Moyo ulinipasuka ghafla baada ya macho yangu kugongana ana kwa ana na baba Latifah huku kashika bomba la sindano.. pale pale John alinivua kile kipensi changu na kile ki blauzi huku nikibakiwa mtupu kama nilivyozaliwa.. “..chagua moja We malaya..” Sauti ya ukali ilitokea kwa baba Latifa ambapo kwa muda huu alikuwa kakunja ‘ndita’ huku ananitolea macho ya hasira.. “..John embu mfunge kwa kumzungushia kamba mwili wote hapo kwenye kiti.. John alipomaliza hapo alichukuwa tambala chafu kisha akanilazimisha liingie mdomoni kwangu na alipotoa tu nilitapika sana huku nikikohoa nakuomba japo nipatie maji lakini walinikatalia.. Baba Latifah alichukuwa sindano tena ya kushonea viatu kisha akachukuwa na uzi wake.. “..Leo tunakuziba hicho kidude chako nanakishona hapa hapa na ole wako ujitingishe..?” Baba Latifah aliendelea kuongea kwa sauti ya juu nakunifanya woga uendelee kunitanda nakuona sasa mwisho wangu wa u play gal na maisha kwa ujumla unaishia hapa. Nilijua utani lakini ilinibidi kuanza kuamini kwani tayari John alikuwa ameisogeza bastola yake karibu na paji langu la uso huku nimezungushiwa kama ya manira, nilikuwa sipewi nafasi hata ya kuzungumza kwani waliniwekea matambala mdomoni yaliyopunguza kasi ya kuhema.. Baba Latifah alianza kwa kunishona sehemu zangu za siri kama washonavyo mafundi viatu ama cherehani, hakukuwa hata nasindano ya ganzi zaidi yakupata maumivu ambayo sikuwahi kupata maishani mwangu. Damu nyingi zilinimwagika, nguvu ziliniisha na macho yalikosa nguvu kabisa. hatimaye Baba Latifah akafanikiwa kunishona sehemu yangu ya siri yote huku akiziba mpaka eneo la kukojolea Tina mie, John aliponitoa tu lile tambala nilitapika mfululizo nyongo si nyongo kwani ilikuwa imechanganyika na mabonge bonge ya damu.. Nikaanza kuhisi fahamu zinanipotea taratibu huku uwezo wa kufikiri ukipotea nao kabisa, “..najua nitakufa muda si mrefu, nisameheni kwa yote niliyowatenda. Niagieni na kwa wazazi wangu..” Nilijitahidi kutoa sauti lakini ikawa haitoki hivyo kizungu zungu cha ajabu na ghafla kikanitawala nakuanguka mpaka chini… Mwili wangu ulikuwa sugu tena sio sugu kwa maumivu tu bali ulikuwa sugu kwa mateso ya aina yeyote. Lakini kitendo cha kudondoka mpaka chini nakuanza kusikia kizungu zungu huku nikiwaona baba Latifa wawili wawili vivyo hivyo hata kwa John.. Baada ya muda kimya kikatanda, nikiwa bado nipo pale chini huku damu yangu mwenyewe ikitawala kwenye mwili wangu, sauti ilikuwa haitoki, nilijitahidi japo kuinuka kwani zile kamba nilizokuwa nimezungushwa nilikuwa nimeshafunguliwa.. Kitendo cha mimi kuinuka nilishindwa nakujikuta natambaa huku kwa mbaali nikiona ukungu ukungu kwakuwa macho yangu yalikuwa hayana tena nguvu ya kuona mbali ila kwa karibu kidoogo.. Nilitambaa kwa kutumia magoti huku nikitafuta mlango wakutokea, magoti yote yalikuwa yamelowa damu zangu mwenyewe, japo niliteleza nilifanikiwa kufika hadi kwenye mlango uliokuwa umefungwa ambapo nilianza kukishika kitasa nakufungua, “…Ooh, why me, why me Tina..” Mlango ulikuwa umefungwa, nilijaribu kuutikisa nikahisi kama ufunguo umedondoka chini yangu hivyo nikainama nakuanza kuutafuta kwa kupapasa papasa huku nakule huku nikiambulia kushika damu zangu tu.. Nilijaribu japo kuyapikicha macho yangu ili nipate nguvu yakuona mbele lakini ikawa ndio kwanza nimeyaharibu macho yangu kwani zile damu nilizokuwa nimezishika wakati napapasa chini kuutafuta ufunguo zote zilikuwa zimeniingia machoni nakunisababishia muwasho wa ajabu ambao sijawahi kuwasha maishani mwangu, nilipiga kelele lakini sauti yangu ilikuwa bado haitoki, nikashika kitu sijui ndio ilikuwa ni kikombe ama meza ya kioo kwani nilivyokirusha kwa nguvu nilisikia mlio wa kuvunjika kwa kile kitu.. Napo sikupata msaada hata kusema atokee au asikike baba Latifah au John anipige ama kunikaripia lakini haikuwa hivyo zaidi yakuendelea kupata mateso. “..najua nimekukosea sana tena sana, eeh mungu wangu niachanishe na mateso haya yaliyonipata..” Nilijikuta nimeokoka ghafla nakuanza kumuomba Mungu anisamehe.. Nikiwa bado nipo pale chini bila kupata msaada wowote na nimeshakata tamaa, mara nikahisi nimekalia kitu kama kichuma chuma, nilianza kuogopa huku nikikishia nakudhania huenda ni kati ya kile nilichorusha kikapasuka chini lakini haikuwa hivyo kwani nilikishika vizuri kile kitu nakusogeza vizuri mpaka machoni kwangu.. Nilisisimka mwili ghafla baada yakugundua kuwa ule ulikuwa ni ufunguo hivyo nikaaninuka nakuanza kuupenyeza taratibu kwenye tundu la mlango nakuanza kuufungua bila ya mafanikio yeyote.. “..Eeh Mungu saidia, saidia..” Hatimaye mlango ukafunguka lakini nguvu za kusimama zikaniisha tena hivyo nikaanza kutambaa nikitoka mpaka nje kabisa.

Giza bado lilikuwa limetanda sana hilo sikulihofia kwani lengo langu nikutoka nje kabisa na hili eneo la ukatili na mauaji.. Maumivu makali nilianza kuyasikia nilipofika nje kabisa, ule ubaridi wa nje ndio ulioamsha maumivu makali kwenye sehemu zangu za siri.. “..unakwenda wapi..?” Ilikuwa ni sauti ngeni kabisa masikioni mwangu lakini kwa hisia nikajua tu atakuwa yule mlinzi tuliyempita wakati John ananivua kuingia ndani.. “…naomba msaada wako tafadhali embu nionee huruma na nilichofanyiwa, ni unyama, unyama kabisa..” Nilimjibu lakini sauti yangu ikawa bado haitoki hivyo yule mtu alinifuata nakunibeba kisha nikahisi kama ananirudisha tena ndani… “..nitoe nje tafadhali sasa huko unanipeleka kufanya nini..?” Nilijitahidi tena kuongea lakini bado Tina mie kutoka sauti haikuwezekana kabisa. Yule mtu hakunijibu chochote zaidi yakunitupia kwenye chumba nisichokifahamu kisha nikasikia sauti ya maji maji yakimwagika hivyo kwa hisia tena nikajua ni lazima patakuwa ni chooni ama bafuni.. Nilihisi kama anakojoa kisha akanishika kichwa changu nakunidumbukizia kwenye tundu la choo naku ‘flash’ hapohapo.. Aliponitoa kichwa changu sikuweza tena kuona mbele masikio yote yakawa yameziba, Kizungu zungu kikanitawala hapo hapo nakupoteza fahamu hapo hapo… Nilishtuka nakushangaa mwili wangu wote umelowa maji hivyo akili yangu ikafanya kazi nakujua kumbe yule mtu aliyenileta huku bafuni ndiye aliyenimwagia maji pale nilipohisi kizungu zungu nakuanguka mpaka chini..”…amka hukoo..? Amkaa husikii..?”yule mtu bado aliendelea kunifokea nakujikuta nikiamka kwa kupepesuka, lakini ile nainuka tu nguvu zikaniishia nakujikuta nandondoka tena mpaka chini kabisa..Niliinuliwa na yule mtu kwa nguvu huku akinishambulia kwa vibao pamoja na mangumi mwili wangu wote, nakilichofuata alinivuta nywele zangu mpaka mlango wakutokea, sikuwa na sauti kwani ilishanikauka, mwili wangu sasa ulikuwa kama uliyepigwa ganzi kutokana na maumivu kupitiliza.Yule mtu aliendelea kuniburuza mpaka getini huku nikiwa uchi tena mtupu kama nilivyozaliwa, aliacha kunivuta kwa kutumia nywele zangu na safari hii alikuwa kayashikilia matiti yangu yote mawili huku akiyaminya nakuyavuta kwa nguvu zake zote mpaka nje ya geti..Masikio yangu yakawa kama yananasa sauti za watu huku macho yangu yaliyojawa na ukungu wa maji uliochanganyika na zile damu zangu yakikosa nguvu yakujua ni wakina nani ninaowasikia, nikajaribu kupiga kelele kama sauti itatoka..”..nisaidieni jamani, niokoeni nakufa mie..”Nikahisi kama sauti imetoka tena kwa nguvu mpaka mwili ukanisisimka, haraka haraka nikapikicha macho yangu yakapata uwezo wakuona mbele,”..Ahsante sana Mwenyezi Mungu kwa kunionesha tena duniani..”Nilijisemea kimoyo moyo huku nikiuangalia ule umati wa watu uliokuwa umetanda na kunishangaa nikiwa uchi wa mnyama.Niliinuka pale chini nakurudi mpaka ndani ambapo breki yakwanza ilikuwa kwenye kinyumba cha mlinzi napo sikumkuta, nikachukua bunduki lake na panga kisha nikaingia mpaka ndani kwa hasira, nilipofika sebuleni nilizikuta zile damu zangu zimetapakaa mpaka kwenye masofa, nikaingia vyumbani chumba kimoja kimoja nikifungua bila kumuona mtu yeyote mpaka nikafikia chumba kilichokuwa kimelokiwa,nikatumia lile gobole kuvunja, ile namalizia tu nageuka nyuma namuona Jerry akiwa na John pamoja na baba Latifah wakinifuata huku wakicheka.Kwa hasira niliyokuwa nayo nikachukuwa lile bunduki nakuwaelekezea huku nikitaka kuwafyatua mara..*”…Aaah.., aah.., wanabahati kweli..?, uuhf..! Uuuf..! Uuuf..!”Niliropoka kwa sauti ya juu na ya ukali huku nikikodoa macho huku nakule kwa mshangao ulioambatana nakuhema juu juu mpaka jasho likanitoka huku nikiwa kitandani nisiamini kilichotokea kama ni ndoto..Haraka haraka niliwasha taa nakuangaza chumba chote kulikuwa kimya hivyo nikaamini nilikuwa naota. Na wakina Aisha watakuwa waliniacha wameenda ‘club bills’..Nilianza kupata kumbukumbu sawa nakukumbuka mara ya mwisho nilimwambia Aisha aniache nipumzike kidogo halafu ndio twende nao huko ‘club’ nadhani hawakuniamsha hivyo nikapitiwa na usingizi nakuanza kuota ndoto za ajabu ajabu eti nimeteswa na baba Latifah wakisaidiana na John pamoja na mtu nisiyemfahamu, mpaka wakanishona sehemu zangu za siri..Bado nilikuwa sijiamini na ile ndoto niliyokuwa naota, mwili wangu wote ulikuwa unanitetemeka, nikajifunua nguo yangu ya ndani nakuhakikisha sehemu zangu za siri zipo salama..Nilibaki natikisa kichwa cha dharau huku nikishika shika vizuri sehemu zangu za siri, kwani zilikuwa nzima kabisaa..”…eti Tina mie wanishone..? Mbona wangejuuuta kunijua..?”nilijisemea mwenyewe huku nikiinuka nakuelekea bafuni kuoga.Ndani ya muda mchache nilikuwa nimesharudi nakujifuta tayari kwa kulala tena.Usingizi kwangu ulikuwa wa shida sana hivyo nilishindwa kulala mpaka alfajiri waliporudi wakina Aisha na Lucy ambapo napo ilikuwa ni makelele mtindo mmoja mpaka kunakucha..Asubuhi ilipofika nilijikuta mtu wa mawazo mawazo haswa kwa kile kitendo nilichowaambukiza ukimwi kwa makusudi John na baba Latifah, nafsi yangu ilinisuta nakujikuta nanyanyua simu yangu tayari kwa kuwapigia ili nikawaombe msamaha kwa nilichowafanyia nakuwaelezea huo ukimwi nilipoupatia..Nilianza kwa kupiga namba ya John napo ikawa inaita tu lakini haipokelewi nikaikata nakupiga namba ya baba Latifah,”…Hallow.. Kwanza nianze na samahani Mzee wangu..”Nilijivika moyo wa kijasiri huku nikiwa pembeni ya ukuta wa chuoni huku nikiongea kwa kujiamini..”..enhee ulikuwa unasemaje binti..?””..najua nimekukosea tena sana na haukustahili kupewa adhabu hiyo uliyonaye, nakuomba unisamehe mzee wangu..” “…Nakusikiliza vizuri, unamuona huyo Mama anakuja nyuma yako..?”Sikuamini amini nikageuka nyuma huku nikitetemeka nakumjibu..”..ndio nimemuona Latifah akiwa na Mmama..””..huyo ndiye mke wangu na hapo yupo na Latifah pamoja na Polisi mie nawasubiri, nadhani umeshajua nini kinachofuata…?Nikaikata ile simu nakugeuka tena nyuma kwa mara ya pili kuhakikisha.Maskini Tina mie nilikuwa tayari kama mtu aliyechanganyikiwa kwani ile simu niliyokuwa nimeipiga hakuwa baba Latifah bali alikuwa ni ‘classmate’ wangu na wale niliowaona walikuwa ni wapita njia tu tena mtu na mtoto wake.Ile hali ya kuchanganyikiwa bado iliendelea kunitawala ndani ya ubongo wangu, niliizima kabisa simu yangu nakuelekea ‘intarnate cafe’.kama kawaida yangu nilifungua moja kwa moja mtandao wa kijamii ‘facebook’ nakuanza kuchati na marafiki zangu ikiwa ni pamoja nakupokea marafiki wapya.Nilipomaliza tu nikaingia moja kwa moja kwenye group la Andy Ryn Stories kwani stori zake huwa nazipenda sana haswa ile ya play boy yani hadi natamani ningepata kukutana na huyo Jeff ryder mbona angejuta kwa Tina mie..

Ilinichukuwa kama nusu saa nikawa nimesharidhika kwa ile story ya play boy, nikaanza kufuatilia zile comment mpaka nikakutana na jina la ‘Biggy'”..mh siku nyingi sijakutana na mabonge embu wacha nimchokoze..?”Nilijisemea peke yangu huku nikilikagua profile lake, niliangalia picha zake zikaanza kunivutia taratibu.”..mh hapa kaisha, na lazima afuatane na wenzake kina baba Latifah na Jerry..”Nilijesemea kimoyo moyo huku nikifurahia kuipata namba yake ya simu ambapo alikuwa ameiweka kwenye mtandao huu wa facebook.Bila kupoteza muda Tina mie nikaichukua ile namba kisha nikatoka pale intarnate huku nikitafuta sehemu nzuri iliyotulia nakuanza kumpigia..”..hallow..?””..yap mambo vipi? samahani naongea na nani?..””..mh, biggy mara hii umeshanisahau?”Nilimtega makusudi kwani wanaume huwa hawanibabaishi hata kidogo..”..Sauti kama ya Gizzle hivi..?””..yeah, lakini siyo Gizzle unayemjua wewe..?””..haya ndio uniambie sasa naongea na Gizzle yupi..?”Nilisita kidogo halafu nikafikiria jina lolote la mbele kisha nikamjibu..”..unaongea na Gizzle precious beiby wa tabata..””..enh bado sijakupata vizuri, ‘anyway’ niambie mambo vipi lakini..””..am mh mh mie nilitaka tu kukusalimia coz ni rafiki yangu kwenye facebook..”Nikamtia simu makusudi ili tu nimpime nione kama atanipigia.Nikiwa bado nimezubaa peke yangu mara simu yangu ikaita kuiangalia ni huyo huyo Biggy..”..mh wanaume bwana,?”Nilijichekea kimoyo moyo huku nikiipokea ile simu nakumlegezea sauti kabisaa.”..yeaah ni a a ambie Biggy..?””..dah poa tu, ujue nini?””..yeah nini?”Biggy akakaa kimya kwa muda na hapo ndipo ukawa mwanya wangu kwani zile ndoto za jana usiku zimenifanya nisiendelee kuambukiza ukoo wa kina baba Latifah..”..Biggy nikuulize kitu?””..uliza tu wala usihofu..”Nilikaa kimya kidogo kisha,”..unapenda kwenda ‘club’?””..yeah kwanini nisipende wakati mwili unaniruhusu..?”Nilimtega makusudi,”…aah, tumrudie Mwenyez Mungu, nakuomba leo jioni tukutane kwenye ibada pale magomeni mwembe chai..”Biggy aliguna kisha akahaidi kutokea muda utakapofika.Nilirudi zangu mpaka hosteli kwetu pale Cbe huku nikiwa na furaha ya ajabu na nikiomba jioni ifike haraka ili niwe na Biggy.Ilipofika tu saa tisa na nusu Tina mie nikawa nimeshaoga na nimevalia gauni refu mpaka chini huku mkononi nikishikilia biblia niliyoazima kwa rafiki yangu Rose.Ndani ya lisaa tayari nilikuwa ndani ya Magomeni mwembe chai pale kituoni huku nikimtumia meseji Biggy kumtaarifu kuwa namsubiria..Haikuchukuwa muda akawa tayari amefika, sura yake haikunipotea kwani tayari niliinasa katikaa picha zake alizokuwa ameziweka facebook.Alikuwa amevalia mavazi ya kikanisani kweli.”..angejua naenda kumpa ukimwi leo..?”Niliusemea moyo huku nikimtolea jicho la kiheshima kana kwamba ni binti mlokole kweli.”..Biggy kanisa liko mbali kidogo, utanisamehe..”Nilimdanganya huku nikiingia kwenye gari ya Biggy tena ki ‘Starlet’ kilichokuwa na vioo vyeusi,”..haya niambie tunaelekea njia ipi?”Aliniuliza Biggy.”..pita njia hii, ukifika kwa mbele kuna kona ntakuelekeza tena..”Nilimdanganga huku akili yangu yote nikiielekeza ni jinsi gani nitamteka aweze kufanya mapenzi na mie..”..Biggy lakini hujaniambia kama umeoa, mie nilijua utakuja na mkeo..?””..dah bado hata sijaoa lakini ndani ya miezi hii mitatu ntakuwa nimeshaoa..”Hapo hapo ndo ukawa mwanya kwangu.kwa bahati nzuri nilikuwa napafahamu kanisa ambalo huwa kuna maombi mara kwa mara. “…kunja kwa hapa kushoto kwa mbele kidogo tutaliona kanisa la KKKT hapo hapo..” Nilimwelekeza kwa kujiamini kanakwamba kila siku huwa nakuja hapa kusali. ndani ya muda mchache tayari tulikuwa ndani ya kanisa, waimba kwaya wachache walikuwa wamejipanga kwa vikundi vikundi, tukapitiliza na kwenda kukaa mbele kabisa huku tukisubiri ibada. “..ukisikia kuumbuka Tina mie ndio leo..?” Nilijisemea peke yangu baada ya kukaa zaidi ya nusu saa bila kuonekana dalili zozote za ibada zaidi ya wanakwaya ambapo walikuwa wanafanya mazoezi kisha wakatawanyika. Nilianza kumchokoza Biggy pale pale kanisani. “..Biggy nikwambie kitu.?” “..enhe niambie tu..” Nikakaa kimya kwa muda huku nikiona kaaibu fulani kisha nikamwambia.. “..samahani sana kwa kukusumbua leo kupoteza muda wako mpaka sasa, itakuwa jana nilipokuja hapa kwenye maombezi nilimsikia vibaya mchungaji hivyo nikajua na leo atakuwepo kama kawaida..” “..Hilo tu wala usihofu mpendwa katika bwana..” “..ameni..” Niliitikia kwa kujiamini huku tukitoka pale kanisani nakuelekea nje mpaka alikopaki gari yake.. “..haya embu niambie unakaa wapi nikusogeze..” Nilimwangalia kwa jicho la uchokozi kisha nikamjibu kwa kumtega, “..Biggy mie nakushukuru kwa kuja, kuhusu kuondoka usihofu nitamsubiri mume wangu atanipitia akitoka ofisini..” “..kwani wewe Gizzle unakaa wapi?” “..am mh mh naishi mabibo” “..Sasa mie naishi Sinza twende nikuache pale njia panda ya kwenda huko Mabibo..” Niliitikia kwa shingo upande huku nikiingia ndani ya gari la Biggy. Giza lilikuwa limeshaanza kutanda, kafoleni kapale Manzese kalinifanya nijifanye nimechoka sana kwani hata na biblia niliiweka kwa mbele karibu nakioo, akilini mwangu nilikuwa najua nini nafanya kwani giza lilipofunika tu nilijifanya usingizi umenipitia haswa tena nakoroma utadhani nimetoka safari ya mbali sana kumbe magomeni mpaka manzese tu. “..Gizzle, Gizzle haya tumeshafika njia panda, wacha mie nielekee kwangu..” Aliniamsha Biggy nakunitaka nishuke, ndio kwanza mwili wote ukanilegea zaidi. “..mhh Biggy, najishangaa sijui ni homa? kwani mwili unanitetemeka sana embu ona..” Nikauchukuwa mkono wake nakuugusanisha kwenye shingo yangu kisha nikauamisha nakuupeleka mpaka kwenye matiti yangu nakuumalizia mapajani mwangu. “..Nisamehe sana Biggy kwani naumwa, naumwa kweli..?”

Biggy akawa hajiamini amini huku ananitolea jicho la uoga. “..ok, mpigie mumeo simu basi aje kukupitia hapa..” “..hapana Biggy, niliogopa kukwambia ukweli, mie sijaolewa bado..” Wanaume kama hawa wala hawanisumbui Tina mie, pale pale nikauvua ulokole kwa muda.. “..Biggy, nakuomba nikwambie siri kubwa ambayo iko moyoni mwangu..” Biggy tayari alikuwa msikivu huku akinitolea macho nikatumia mwanya huo huo kumdanganya, “…pliz pliz Biggy nakuomba story hii usije mwambia hata Andy Ryn ataniandika kwenye mastory yake..” Biggy alicheka kidogo kisha. “..ondoa hofu kabisa Gizzle..” Sikuwa na story yeyote zaidi ya kumpotezea muda wake pale.. “..nakuomba uniruhusu nikakusimulie huko huko kwako kisha utanirudisha mpaka mabibo au?” Muda wote naongea naye Biggy alikuwa anaonekana hajiamini kabisa. Aliwasha gari yake na safari ya kuelekea huko Sinza anapoishi ikaanza. Ilituchukuwa kama nusu saa kutoka pale njia panda ya mabibo na tulipofika tu, cha kwanza nilishuka huku nikiiacha ile biblia kwenye gari la Biggy. “..unaishi peke yako kweli..? nisije nikapigwa binti wa watu wakilokole mie..” Nilijisemea kiutani huku Biggy akitoa funguo mfukoni nakuanza kufungua mlango wa chumbani kwake kwani alikuwa na chumba kimoja na sebule tu tena nadhani ilikuwa ni nyumba ya kupanga ile.. “..Mh Biggy unajipenda? ubarikiwe na bwana..” Bado nilimpa vijimaneno vya uchokozi na tulipoingia tu ndani, “..Biggy samahani, lete mikono yako mara moja..” Alishangaa kisha akanipa mikono yake, nikaishikilia nakumuamuru tufumbe macho tuombe.. “..Bwana Mungu, mkuu uliye mbinguni, nasema ahsante Baba kwa kunileta katika nyumba hii, Baba weza kumbariki kijana huyu niliyenaye katika mambo yake ya ofisini hata na nyumbani, najua hakuna lishindikanalo mbele zako Baba.., Nikiwa katika maombi ya uongo na kweli pale mara mlango ukafungulia nakuingia msichana huku akionekana mwenye hasira kali… Sikutaka kujifanya nimeshtuka, pale pale nikaendeleza maombi. “..tazama Baba wa mbinguni, nimekuja humu ndani kuweka baraka, kwa jina la Yesu mbariki Biggy na wapangaji wake wote.. nasema ahsante Baba..” “..Ameni..!!” Wakaitikia wote Biggy na yule msichana aliyeingia mule ndani kwa pamoja. “..karibu..” Biggy alimkaribisha yule mdada, huku akimtolea macho. “..ahsanteni, za hapa lakini..?” “..salama tu, Gizzle..? huyu dada unayemuona hapa ni mpangaji mwenzangu na yeye pia ameokoka nadhani maombi yetu yamemtia nguvu nakujongea mpaka hapa..” “..ahsante kwa kumjua, Bwana wetu asifiwe..” “..Ameni..” Aliitikia yule mdada huku akitoa kijikaratasi nakumkabidhi Biggy nakudai kuwa ni bili ya maji imeletwa kwani wapangaji wako wawili tu katika ile nyumba. Alimpa kile kijikaratasi nakuondoka huku akituacha mie na Biggy wangu peke yetu. “..Gizzle sijui unatumia kinywaji gani..?” “..Maji ya kunywa tu yatanitosha..” “..hapana, mie naenda kukununulia Juici..” “..mh haya bwana kama umependa hivyo..” Biggy alifungua mlango nakutoka nje kabisa kwenda kuninunulia juici huku akiniacha peke yangu pale kwenye sebule yake.. “..nadhani sasa ndio atanielewa vizuri nimeokokaje, ngoja arudi, mbona atajuta na Tina zoa zoa mie..” Nilijisemea kwa sauti ya kimya kimya huku nikifungua kijipochi changu nakutoa wanja kisha nikafunua nguo yangu hadi maeneo ya tumboni nikajichora mstari kidogo. Ndani ya muda mchache Biggy tayari alikuwa ameshaingia huku mkono wake mmoja akiwa ameshikilia juici ya boksi. Alipofika tu alifungua kabati lake nakutoa glasi mbili kisha akafungua juisi nakuimimina. “..haya mpendwa katika Bwana karibu juisi..” Haya tufumbe macho Biggy tuiombee. “..Eeh Mwenyezi Mungu muumba wa vyote, karibu tujumuike wote katika juisi hii, ibariki..” “..Ameni..” Tayari kwa asilimia zote nilikuwa tayari nimeshamteka Biggy huku akiamini kabisa kuwa mie ni mlokole.. “..yaani hapa leo simwachi..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikichukua glasi nakuanza kuinywa ile juisi.. “..haya Gizzle uliniambia kuna kitu unataka kuniambia, ndio uniambie sasa..” “..haa Biggy nawe? husahau..?” Nilimwambia kiuchokozi huku nikijifanya nina aibu kweli.. “..hapana Biggy roho inanisuta, najiona mzito sana kukwambia jambo hili..” “..wee kuwa na imani tu ya Bwana, hata katika maandiko huwa yanasema, roho ya kusita ni ya kishetani, usiiruhusu hapa siku moja ikutawale katika maisha yako, haya niambie tu Gizzle niko tayari kukusaidia..” Maneno yale aliyoongea Biggy yaliniogopesha nakuona huenda Biggy akawa mlokole kweli japo mie namzuga tu. “..Biggy..?” “..enh niambie..?” “..kama nilivyokuambia, nisingependa hadithi hii ya maisha yangu ukamwambia Andy Ryn, ataniandika kwenye mastory yake yule, na nitaonekanika sina thamani tena katika hii dunia..” “..Gizzle..?” “..abee” “..embu nakuomba uniamini nakunielewa, ni leo tu tumejuana lakini niamini, hutakuja kusikia popote pale, kwanza mie nimelelewa kwenye maadili ya kidini toka nikiwa mtoto na mpaka sasa nimeokoka..” “..Bwana Yesu asifiwe sana Biggy..” “..Ameni..” “..kama unavyoniona Biggy, kwanza toka nimezaliwa sijawahi kumjua mwanaume Gizzle mimi. Baba yetu alitulelea katika mazingira yakumjua Mungu mpaka hivi sasa.., umri wangu wakuolewa umefika sasa, na sikt zote nilikuwa namuomba Mwenyezi Mungu anioneshee njia nimpate mume bora mchapakazi na mcha Mungu, nimeangaika sana hadi kwa waganga, nikaona njia sahihi nikumrudia tena Bwana nakumuomba, ndipo nilipokutana na wewe..” Muda wote huo Biggy alikuwa anatetemeka tu huku kijasho chembamba kikimtelezesha kupitia shati lake la mikono mirefu alilokuwa amelivaa. “..Biggy mie ni msichana kama wasichana wengine na nimekamilika na bikra yangu kabisa, nahaki kuwa na mwanaume kama wasichana wenzangu wengine waliookoka katika huu utukufu wa Bwana..” Pale pale nikatoa mchozi wa uongo huku nikijifanya kuchanganyikiwa. Biggy alitoa kitambaa mfukoni mwake nakuanza kunifuta yale machozi yaliokuwa yakinidondoka.. “..Biggy, naamini wewe ni mwanaume niliooneshwa na Mwenyezi Mungu..” Biggy alikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa fulani huku mikono yake ikimtetemeka. “..Gizzle nimekuelewa, ila najisikia na mimi uchungu kwani tayari nimeshamchumbia binti mmoja yupo Tanga anaitwa Mwajabu na ndio maana nilikwambia kuwa ndani ya miezi mitatu nitakuwa nimeshaoa..” “..Lini nitakuwa na bahati Gizzle mie, we ni mwanaume wa tatu kuniambia hivyo, ni bora tu nisiwepo duniani bora, bora..

Nilibadilika sura kabisa huku nikijifanisha kwikwi imenishika kwa sababu yakulia, pale pale nikajifanya nimepoteza fahamu. “..Gizzle..?Gizzle..?” Biggy aliniita lakini nikajifanya sisikii lolote zaidi yakulegeza viungo vyangu vyote vya mwili. Biggz alininyanyua nakunipeleka mpaka chumbani kwake nakunilaza kisha akatoka nakurudi na feni akaiwasha inipepee pale kitandani. Ndani ya dakika kama kumi nzima nilijifanya bado fahamu hazijanirudia, muda wote nilichomoza jicho langu kwa mbaali nakumuona Biggy akiwa pembeni yangu amekaa na nguo zake zile zile za ofisini. Alifungua Biblia nakuanza kuniombea huku mkono wake akiuweka kichwani mwangu. Nilijipindua upande wa pili ili kumshtua Biggy nakujifanya nimeamka. “..Gizzle..? Gizzle.” “..mhh, abee..!” Niliitikia kwa kujinyoosha, huku nikifumbua macho yangu taaratibu nakumfanya Biggy aoneshe uso wa furaha kwa kuzinduka kwangu. “..pole Gizzle, enh unajisikiaje na hali..?” “..kichwa kinaniuma sana, pia nasikia kizungu zungu sana..” “..najua sasa hivi utakuwa unatafutwa sana nyumbani kwenu, nakuomba nikurudishe..” “..hapana Biggy nyumbani hakuna shida, wacha nilale tu hata kama ni sebuleni..” Biggy hakuafiki kabisa swala la mie kulala kwani alidhani huenda nikazimia tena wakati mie nilimzuga tu.. “..Biggy..? Biggy..?” “.enh unasemaje..?” “..Nimeanza kusikia maumivu ya ajabu tumboni mwangu na sijui ni nini..?” Nilivua gauni langu kwa makusudi mpaka tumbo lote likabaki wazi na mapaja yote yakionekana bila kuonesha woga wowote ule. “..Biggy embu niangalie maeneo ya kitovuni kushuka chini.. umeona nini?” “..kuna mstari mkubwa tu kama ile ya wajawazito. kwani we ni mjamzito..?” “..we we ninavyoogopa, tangu lini bikra akawa mjamzito..? huu mstari ukiwa mkubwa zaidi halafu huna mimba ujue we ni bikra..” “..anhaa kuumbe..” “..Biggy sogeza sikio lako nikwambie kitu..” Hapo hapo sikutaka kupoteza nafasi, alipoleta tu sikio lake, nikamwingizia ulimi kwenye sikio lake nakuanza kulichezea huku Biggy akilegea nakutojiamini kama nimeshamwingiza mtegoni.. Niliutoa ulimi masikioni mwake nakuuamishia mdomoni mwake, Biggy alikuwa mshamba wa mapenzi kwani alikuwa hajielewi kabisa. Nilianza kumvua vifungo vya shati lake taratibu huku mkono wangu ukipapasa likifua lake lililojaa matiti utadhania mwanamke vile, nilimvua nguo zake zote kisha namimi nikivua nguo yangu ya ndani nakumkalia Biggy pale kitandani tena bila ya kutumia kinga yeyote. Unene wake ulinifanya nishindwe hata kubadililishia staili japokuwa tayari nilianza kuridhika si unajua sie wanawake tena. “..Biggy..? Biggy..?” “..yeah niambie Gizzle..” “..Pliz nakuomba unitoe bikra yangu sasa hivi..” “..Biggy akawa kama mtu aliyeingiliwa na pepo mchafu, kwani alinifanya kwa vurugu zote mpaka nikafurahia haswaa.. Tukiwa bado katika mapenzi mazito, mara simu ya Biggy ikaita huko sebuleni.. Haraka haraka tukayakatisha mapenzi yetu kisha Biggy akaenda kuipokea huku mie nikimfuata kwa nyuma nakumsikiliza anavyoongea na simu, Aliongea mara moja tu akaikata kisha akanifuata huku akionesha kuchanganyikiwa, “..Biggy vipi mbona umekuwa hivyo ghafla..” “..matatizo Gizzle, tumefiwa..” “..poleni sana, kwani nani aliyefariki..?” “..kafariki mjomba wangu kabisa anaitwa Baba Latifah.. anaishi magomeni, ngoja nimpigie mdogo wangu Jerry nimwambie.. ITAENDELEA

Play Gal (Tina Zoa Zoa) Sehemu ya Tatu

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment