Play Gal (Tina Zoa Zoa) Sehemu ya Tatu
CHOMBEZO

Ep 03: Play Gal (Tina Zoa Zoa)

SIMULIZI Play Gal (Tina Zoa Zoa)
Play Gal (Tina Zoa Zoa) Sehemu ya Tatu

IMEANDIKWA NA : ANDREW CARLOS

*********************************************************************************

Chombezo: Play Gal (Tina Zoa Zoa)

Sehemu ya Tatu (3)

Sikuwa najiamini amini kama kweli ndio nimeshawapa ukimwi ukoo wote au la.Nilitega masikio vizuri kumsikiliza Biggy akiongea na Jerry alipomaliza tu kuongea na simu, nilianza kumdadisi Biggy.”..kwa hiyo huyo mdogo wako Jerry anaishi mkoa gani sasa..?””..wala hata haishi mkoani, yupo hapa hapa Dar, yeye ananyumba yake huko Msasani..”Nilishtuka na kukaa kimya huku moyoni nikiguna guna..”..Mungu ailaze roho ya marehemu pahala pema peponi..””..Ameni.”Akili ya Biggy ikawa imeshamruka, na alijisahau kama alienda kupokea simu sebuleni huku amevaa boxer tu, na hata mie nilimfuata na kibikini changu huku chuchu zangu zikiwa wazi bila hata kuvaa sidiria yeyote.Tulirudi chumbani kuchukuwa nguo zetu lakini kwa upande wangu nilikuwa hata sijaridhika na huyu bonge, hivyo nikaanza kwa kumchokoza huku nikimrukia mgongoni nakupenyeza mikono yangu kwenye mjifua wake.

“..Gizzle embu tuache bwana, tuangalia hili jambo lililonifika kwanza..””..mh hapana bwana, mwenzako hata sijatosheka..? japo nishike shike basi nitaridhika..”Nilimdekea utadhani nimezoeana naye kwa muda mrefu kumbe tumeonana leo leo..”..Gizzle..? si unajua leo nilikuwa ofisi, na nilishakwambia nimechoka sana, hivyo nionee huruma basi, kwani kesho asubuhi sana mdogo wangu Jerry atanipitia hapa twende kwenye msiba Magomeni..Mapigo yangu ya moyo yakawa yamebadili muelekeo baada ya kusikia jina la Jerry..”..mie ndio tina, na asipojiangalia hata huyo Jerry atakuja ku sex na mie kwa mara ya pili bila hata kujigundua..”Nilijipa moyo huku mwili ukininyong’onyea.Nilichukuwa mikono yangu mpaka tena kifuani kwa Biggy huku nikiendelea kuyashika maziwa yake yalioambatana na minywele mpaka kwenye kitambi chake.”..haya tulale Biggy wangu, lala enh..”Nilianza kwa kumbembeleza huku tukiwa tumejiegesha kitandani na taa tumeshaizima.Ndani ya dakika kama kumi na tano, Biggy alikuwa amepitiwa na usingizi na nilichokifanya nilimvua ile boxer yake nakuanza kumnyonya nanii zake taratibu huku ulimi wangu nikiupeleka mpaka kwenye kitambi chake nakuanza kukichezea kitovu chahe kilichokuwa kimebonyea kwa ndan.Nilimchezea mpaka nanii yake ikasimama, hivyo nikavua kile kibikini changu nakupanda juu yake huku nikikatika nakujisikia furaha moyoni mwangu.Furaha ilinizidia pale nilipojikuta nakaribia cha kwanza huku nikizidisha kukatika nakumfanya mpaka Biggy kushtuka..”..no no Biggy acha, acha usitoe pliiz..”Biggy alinielewa na yeye akaendelea kukatika hivyo akanizidishia furaha na hamu mara mbili ya pale..”..Ooh Biggy, unaweza, unaweza na pliz nakuomba uwe wangu wa maisha Biggy..””..lakini si nilishakwambia nimemchumbia msichana huko Tanga na anaitwa Mwajabu..””..kwahiyo umeshatoa mahali..?””..mahali ndio jambo linalofuata, nilituma washenga wakapeleka barua, nikaitwa nijitambulishe kwao na tayari nimeshapewa masharti ya mahali jinsi ya kutoa..””..sasa kumbe hata mahali hujapeleka, nenda na kwetu basi jamani Biggy, nakuomba pliz japo nibahatike kuolewa Gizzle mie..”Nilimlegezea sauti huku nikivuta pua zangu kama zinakamasi vile nakujifanya nimechanganyikiwa.”..Gizzle, jambo lako ni lakukaa chini nakulifikiria, na subiri kwanza haya matatizo ya msiba yaishe kwanza, tutakaa chini nakuyazungumza.Nilijifanya kumuitikia kwa sauti ya chini huku nikichukuwa kichwa changu nakukilaza kwenye likifua lake nakupitiwa na usingizi.****Nilipokuja kuzinduka alfajiri, nilijikuta nipo peke yangu kitandani huku nikisikia sauti ya Biggy kwa mbali ikitokea sebuleni wakiwa wanajadiliana.Hapo hapo halmashauri ya kichwa changu ikanituma kuwa itakuwa ni Jerry huyo kaja kumpitia Biggy waelekee msibani.Nikiwa bado nipo kitandani najiuliza nakujijibu kimoyo moyo mara nikasikia sauti ya Biggy ikiniita..”..Gizzle..? Gizzle mpenzi,.?”Nilitamani ardhi ipasuke nakudumbukia, nilinyamaza kimya bila kuitika mpaka Biggy akaja mwenyewe chumbani nakuniamsha..”..Gizzle, Gizzle embu hamka bwana ukamsalimie mdogo wangu pia ukatengeneze japo chai..””..bwana Biggy nimechoka mwenzio..”Biggy alionesha kukasirika kwa kumkatalia.”..hapa tu umeanza kuringa je nikikuoa..?”Biggy aliongea kwa sauti ya chini na ya hasira, mpaka ikanibidi niamke..”..lakini Biggy..?””..lakini nini..?””..kweli nikamuone mgeni hata mswaki sijapiga..?”Nilijitahidi kutoa visingizio lakini ni kama viligonga mwamba kwa Biggy.Hivyo nikatoka pale kitandani nakuvaa nguo zangu huku sura nimeikunja mithili ya yule muimbaji ‘bibi kidude’Hatua mbili tatu nilikuwa nipo sebuleni huku Biggy akiwa nyuma yangu..”..haya yuko wapi sasa huyo mdogo wako..?”Niliongea kwa kujiamini huku nikiona hamna mtu pale sebuleni..Biggy alifungua dirisha la nje kumchungulia kama ametoka kisha..”..huyo hapo nje anaongea na simu..”Nilijifanya siogopi kitu na mie nikachungulia dirishani ndipo nilipoamiani kuwa ni Jerry kweli..Nilitamani niende nikajifiche huko jikoni lakini nikawa sina tena ujanja kwani hata jiko lenyewe lipo huko huko upande aliosimama Jerry, hivyo ikanibidi nikae na Biggy pale sebuleni huku tukimsubiria..Haikuchukuwa muda nikaona kitasa kinafunguliwa, uzalendo ukanishinda nakukimbia mpaka chumbani kwa Biggy..”..nilikuwa namtaarifu shangazi wa Mwanza, vipi bro huyo alioingia ndani kama namfahamu..?”Nilianza kuishiwa nguvu huku nikitetemeka nisijue nitatokaje..”…Gizzle..? we Gizzle..?”Biggy alianza kuniita tena kwa mara ya pili nakuufanya mwili na moyo wangu kuishiwa nguvu kwa pamoja.Ndani ya sekunde chache Biggy alikuwa yupo chumbani,”..hivi wewe unamatatizo gani? mbona umerudi tena chumbani?””..jamani Biggy mie sijazoea kutambulishwa pliiz”Nilijifanya kujitetea lakini Biggy hakutaka kukubaliana na mie kabisa,

“..haya tangulia nakuja..”Biggy akarudi zake sebuleni nilichokifanya nikuchukuwa kipochi changu nakutoa poda, lipustiki na wanja, kisha nikajiremba uso mzima kwa lengo la kujibadirisha lakini nilipojiangalia kwenye kioo nilibadilika kidogo sana na sivyo nilivyotaka,”..ah liwalo na liwe bwana mie ndio Tina..”Nilijipa matumaini nakubeba kipochi changu huku nikielekea sebuleni huko alipo Biggy na huyo mdogo wake Jerry.Kitendo cha kutoa sura yangu tu pale sebuleni kulimfanya Jerry asimame kutoka kwenye kochi alilokuwa amekaa..”..Aah Tina? Tina?”Jerry aliita kwa mshangao huku akinisogelea, muda wote huo Biggy hakuwa anaelewa chochote zaidi kutoa macho nakusikiliza.”…Hee shem..? utakuwa umenifananisha, mbona mimi siitwi Tina?”Kabla sijamalizia kumjibu Jerry nilishangaa amenipiga bonge la kibao nakumfanya hadi Biggy naye asimame kwa mshangao..”..Jerry..? Jerry? vipi tena mdogo wangu? umechanganyikiwa? mbona sasa unampiga shem wako?””..Bro huyu demu ni nyoka? tena yule mwenye sumu kali..? yeye ndio chanzo cha msiba wa Baba Latifah..””..lakini si nimemsikia akisema kuwa umemfananisha? we unajua mie nimemtolea wapi?”Biggy alianza kumsema mdogo wake huku akimpandishia sauti ya ukali akinitetea.”..We Gizzle? unamfahamu huyu mdogo wangu au marehemu Baba Latifah..?”Aliniuliza Biggy huku nikibaki nakigugumizi kutokana na Jerry kunitolea macho kisha nikamjibu.”..unasikia Biggy, kwetu tupo mapacha mimi na mdogo wangu anaitwa Tina anasoma pale Cbe.. na nimefanana naye kisura hata ukituona japo maumbo siyo sana, sasa namshangaa shem Jerry kunipiga vibao..”Niliongea kwa kujiamini huku nikitoa machozi yakujilazimisha nakumfanya Jerry awe na huzuni ghafla.”..Shem? samahani nakuomba unisamehe kwa nilichokifanya kwako muda si mrefu, ila mdogo wako huyo Tina anamakosa sana..”Sikuamini macho yangu, Jerry alinipigia magoti huku akiniomba msamaha kisha akampigia goti na kaka yake ‘Biggy’.”..Shem, nimeshakusamehe, ubarikiwe na Bwana..”Nilimjibu Jerry kwa kujiamini kisha.”..Biggy pliz nakuomba ukanichukulie biblia yangu niliiacha jana kwenye gari lako..”Kwa asilimia zote Jerry akawa ameshaamini kuwa amenifananisha hata Biggy alipotoka nje kwenda kunichukulia Biblia yangu, Jerry alikuwa ananiangalia kwa jicho la uogo huku akionesha kutetemeka.Biggy aliporudi niliichukuwa ile biblia kisha nikafungua kurasa za ndani halafu.”..Shem? Biggy? tufumbeni macho tusali kabla hatujaondoka..”wote wakafumba macho.”..Baba katika jina Yesu, nasema ahsante Bwana kwa kutuamsha salama, baba tunamtanguliza ndugu yetu ‘Baba Latifah’ weza kumpokea Bwana.Tusikilize somo katika, Mathayo sura ya kumi na tatu mstari wa kwanza mpaka wa sita..’Bwana asema, kheri wao wamcha Mungu maana watauona ufalme wa mbingu, na bora mtu yule alitangazae neno la Bwana kila pahali kwani atabarikiwa na kujazwa nguvu..,na hilo ndilo neno la Mungu..””..Amen..”Wakaitikia wote Biggy na Jerry kisha baada ya hapo tukatoka wote nakuelekea kwenye mgahawa tukapata chai na baada ya hapo safari ya kuelekea Msibani huko magomeni mwembe chai ikaanza,Tulipokaribia kufika nikaanza visingizio,”..Biggy nimesahau kukwambia kitu, nilipewa hela za matumizi nyumbani nimpitishie pacha mwenzangu ‘Tina’ pale Cbe..””..ok, kwakua hakuna foleni kwa sasa, wacha tukukimbize then tutarudi wote..””..itakuwa vizuri tu..”Jerry alikuwa kimya tu huku akiangalia nje,ndani ya dakika kumi na tano tulikuwa getini pale Cbe huku wakinishusha kisha Biggy akanipa shilingi elfu ishirini..”..Haya Gizzle hiyo utamuongezea huyo Tina, pia ufanye haraka kidogo, si unajua bado hatujafika hata msibani..”Aliongea Biggy kwa sauti ya kawaida na yakubembeleza.”…narudi sasa hivi, hiyo Biblia yangu niwekee vizuri..”Niliongea kwa maringo huku nikitokomea ndani mule chuomi Cbe.”..mh, wangejua Tina mwenyewe ndio mimi..?”Nilifika hosteli kisha nikamtumia meseji Biggy,’NENDENI TU KWANI TINA MWENYEWE ANAYEPELEKEWA HELA NI MIMI..’Nikaizima simu kisha nikabadilisha nguo zangu nakujitupa kitandani huku nikiutafuta usingiziNilipokuja kushtuka tayari ilikuwa imetimia saa sita za mchana. Nilikuwa peke yangu kitandani huku nikiwa sijielewi elewi na uchovu niliokuwa nao toka usiku kutwa nilivyokuwa na Biggy. Niliiwasha simu yangu nakukutana na meseji mfululizo zote zikiwa zinatokea kwa Biggy.. Nilichokifanya nikumpigia simu bila aibu yeyote Tina mimi. “..hellow Biggy wangu..!” “…Gizzle..?” “..Eeh Gizzle? umekosea bwana! au Jerry hajakwambia kuwa naitwa Tina?” “..hivi unajua kuwa nipo msibani enh? na ulichonifanyia asubuh nakipenda sana tena sana, sasa basi kuanzia sasa ama zangu ama zako..?” “..Biggy Bwana Yesu hapendi hivyo..?” “…kumbe ndio makucha unavyoyaficha enh? eti mlokole..? weewe? wewe? yani ole wako..?” Niliona kama ananizingua tu hivyo nikamkatia simu huku nikiinuka pale kitandani nakuchukuwa kitenge changu mpaka bafuni kwenda kuoga. Ndani ya nusu saa nilikuwa nimependeza haswa sio tena Tina yule unayemjua wewe kwani nilivalia kipedo changu cheusi huku juu nikivaa kiblauzi kifupi kilichoachia matiti yangu wazi kidoogo.. Nikaingia kantini kupata chakula kisha nikatoka nje kabisa ya geti kwa lengo la kwenda kwa shangazi yangu Ubungo. pesa ile alioniachia nayo Biggy nilikuwanayo hivyo nilikodi teksi kutokea hapa Cbe mpaka ubungo. Nikiwa njiani ndani ya teksi tena nikiwa nimekaa siti ya mbele mara simu yangu ikaingia meseji, haraka haraka nikaichukuwa nakuiangalia kwanza namba lakini sikuweza kumfahamu ni nani hivyo nikaifungua nakuisoma.. “…UNA CHAKUJITETEA..? GEUKA NYUMA YAKO..?” Sikutaka kabisa kuamini macho yangu ila ni kweli alikuwa Jerry peke yake kakaa siti ya nyuma, “…Nisamehe Jerry..!” “..what? eti nisamehe Jerry? we si unajifanya mtoto wa town siyo..? sasa mimi ni zaidi yako? dereva? embu ongeza spidi mpaka Sinza..” Mwili ulianza kunitetemeka huku nikiamini kwa asilimia zote dereva anajua na ndio aliopanga dili la kukamatwa kwangu..

Mwili ulinilegea huku nikiona kama ndoto tena inafanana na ile niliyoiota kipindi kile mpaka eti nikashonwa kinanii changu. Nikiwa bado kwenye dimbwi la mawazo mara Jerry akatoa simu yake nakupiga.. “..yap Bro, tayari nimeshampata yule dada wa asubuhi? nimehakikisha nafanya kila njia na nampata na tayari yupo mikononi mwangu..” Tina mie nilijihisi kama kojo linatiririka kwenye kipedo changu huku jasho likianza kutanda kuzunguka matiti yangu, ilinibidi kubadilisha sura na sauti huku nikijifanya mtakatifu.. “..jerry, nawaombeni mnisamehe, kama hela zenu hizi hapa..?” Nilishangaa napokea bonge la kofi kutoka kwa Jerry.. “..aliokwambia tuna dhiki kama hizo nani? na leo utajuta kuzaliwa..?” Ilituchukuwa kama nusu saa mpaka kufika Sinza, muda wote yule dereva taksi alikuwa kimya tu, tulifika mpaka pale nyumbani kwa Biggy kisha akanifungia nakutoka nje na yule dereva. Nikiwa bado nashangaa pale sebuleni kwa Biggy mara Jerry akaingia tena na kijana ambaye hata simjui.. “..haya Vonso, kidemu chenyewe hiki hapa..? narudi baada ya dakika kumi na tano, ngoja niende msibani mara moja, hakikisha hapigi kelele, akikusumbua, funga domo lake libake ndio dawa yake hilo..” Bado nilikuwa sijielewi elewi huku mdomo wangu ukinitetemeka na meno kuumana.. Jerry alitoka zake nakuniacha ndani na yule Vonso huku tayari nikiwa nimefungwa kamba mikononi… Mwili wangu ulikuwa bado ukinitetemeka kila nilipokuwa namuangalia huyu Vonso. Kwanza kwa jinsi limwili lake lilivyokuwa kubwa, pili macho yake na weusi wake ndivyo viliniogopesha Tina mie. Nilitamani japo nimuongeleshe, lakini kuvimba kwake mdomo Vonso kulinifanya niwe mdogo tena kama kifaranga cha kuku kilichonyeshewa maji ya baridi. Kamba nilizokuwa nimefungwa zilinifanya nisiweze kuwa na ujanja wowote, ila nilichokifanya niliinamisha kichwa chini kisha, “..eeh Mwenyezi Mungu uliye juu, weza kuniokoa na kunisimamia katika haya yote, Mungu Baba. Baba mtakat…” Nikiwa katika kujisalia mwenyewe kabla sijamaliza nilishangaa kuvutwa nywele zangu na Vonso, “..nyamaza hukoo..?” Vonso alinifokea huku akinitolea macho ya ukali. Nilikaa kimya kama dakika kumi nzima huku nikifikiria kwanza nitajiteteaje pindi wakirudi Jerry na Biggy kutoka msibani? pili nitamtokaje hapa huyu Vonso kwani u siriazi wake tayari umeshaniogopesha sana. Nilitamani japo nimvulie blauzi niliyoivaa japo niweze kumlaghai lakini sikuweza kutokana nakufungwa kamba mikononi, mara wazo likanijia.. “…Vonso..? Vonso..?” Nilimwita kwa sauti ya chini na ya kubembeleza. “..unasemaje..?” “..mkojo umenibana..!” “..umekubana..? jikojolee..” Hakutaka kunielewa kabisa, alinijaza hasira nikataka kumtemea mate usoni mwake lakini ikanibidi kuwa mpole nakuishia kumuangalia tu. Ni masaa kama mawili yameshapita tangu Jerry aondoke nakuniacha na Vonso, nilikuwa nimeshachoka kwa kufungwa kamba pili kukaa sehemu hiyn hiyo kwa muda mrefu. Vonso naye alikuwa katulia mbele yangu huku akichezea simu. Safari hii nilijikaza Tina mie nakumuita tena. “..Vonso..? Vonso..?” “..enh shida yako..?” “..pliiz nakuomba, uje uchukuwe simu yangu hii hapa..” Nilimdanganya kuwa simu nimeiweka kwenye matiti lakini haikuwa hivyo kwani simu ilikuwa kwenye kipedo changu. Vonso alinisogelea mpaka karibu huku kaikunja sura yake. “..iko wapi..?” Vonso aliuliza kwa ukali. “..ipo huku, ingiza tu mkono kwani niliiweka ndani ya matiti yangu na hapa mmnifunga kamba siwezi kuitoa..” “..iko wapi?” “..kwenye matiti yangu, we ingiza tu mkono uitoe..” Vonso hakujiamini amini, akachukuwa mkono wake nakuanza kuingiza taratibu huku akiyapapasa matiti yangu kwa lengo lakuitafuta simu yangu. “..mbona haionekani..” “..Vonso, we tafuta tu, nimeiweka chini chini ya matiti yangu..” Ukumbwa wa matiti yangu ukichangia na kiblauzi cha kubana nilichokivaa vilimchanganya sana Vonso, huku akiangaika. Kama kawaida Tina mie nilitumia mwanya huo huo kujilegeza huku nikitoa sauti ya mahaba na kujinyonga nyonga kiuno changu mithili ya yule mwanamuziki ‘Shakira’.. Vonso alitafuta bila mafanikio huku akiutoa mkono wake.. “..hakuna, unanidanganya sio? enh?” Vonso alinibadilikia baada ya kuingiza mkono wake nakuambulia patupu. “..ipo Vonso, embu kama huamini, nakuruhusu nifungue vifungo vyote uone.” Vonso akanifungua vifungo vyote vya blauzi huku akiniacha na sidiria tu iliyobebelea matiti yangu mithili ya matikiti.. “..haya malizia sasa na sidiria uitoe hiyo simu..” Tayari Vonso alikuwa kaama kiakili, kwani aliponivua tu sidiria, matiti yangu yote yakajiachia nakumchanganya kiakili Vonso, kwa jinsi yavyokuwa makubwa na meupe vilimfanya hata lile wazo lakuitafuta simu limpotee huku akiyatolea macho nakuyashika shika kisha.. “…mh, mh haya yote ni yako..?” Vonso alibaki nakigugumizi asijielewe.. “..hapo tu unashangaa Vonso..? haya ebu nifungue kamba nikuoneshe mwili wangu wote..” “..kukufungua kamba..? aha ha ha ha, hilo siwezi kufanya..” Vonso alikuwa njia panda huku akisita sita, “..we nifungue tu jamani Vonso, halafu unanifanya utakavyo mpaka uridhike..” Kusema hivyo tu, kulimfanya Vonso kuwa na midadi ya ajabu nakujikuta akinifungua kamba haraka haraka huku akinivua kile kipedo changu nakubakiwa na bikini tu.. “..Vonso..? malizia tu kunivua bikini..?” Alinimalizia kunivua kila kitu kisha nikamvua tisheti yake nakumalizia jinsi lake. Kitendo cha kujiweka tayari kwa kusex, mara tukasikia mlio wa honi ya gari ikiashiria inaingia ndani, nguvu ziliniisha ghafla,kwani lengo langu nikumlaghai Vonso na kumtoroka.. “..ahaa mabosi wengine bwana..?” Vonso alisema kwa sauti ya kukereka huku akivaa nguo zake haraka haraka, “..unashangaa nini..? we hujasikia mlio wa gari? embu vaa vibikini vyako..?” Vonso alikuwa kaikunja sura yake huku akijutia kitendo cha kuniacha Tina mie. Alinifunga kamba nakunirudishia kama nilivyokuwa mwanzo kisha Vonso akaufungua mlango ule wa nje. “..anhaa, vipi hajakutoroka enh?”

Jerry alimuuliza Vonso huku akiingia mpaka ndani na Biggy. Nje giza lilikuwa limeshaingia. “..Huyu anabahati sana tupo kwenye matatizo, ‘anyway’ Vonso embu tumpeleke kwenye gari nje..” Aliongea Jerry kwa sauti ya hasira huku Vonso akininyanyua nakunipeleka mpaka nje kabisa kwenye gari lao.. Muda wote Biggy hakuwa na lolote la kuongea zaidi yakuniangalia mara mbili mbili.. “..Bro..? nimepata wazo..? kwa usiku huu nimeshajua cha kumfanya..” Jerry alikuwa akiongea na Biggy huku wote tukiwa ndani ya gari. Gari iliwasha huku wote tukiwa ndani ya gari, mimi Vonso na Biggy na dereva alikuwa Jerry, njia yote nilikuwa sina raha huku nikitetemeka nisijue napelekwa wapi na nitafanyajwe…? Kila mmoja wetu alikuwa kimya nakunifanya niingiwe na woga zaidi Tina mie, niliamini watakuwa walishapanga kitu cha kunifanyia. “..lakini mimi ndio Tina bwana, Tena Tina zoa zoa, hapa nawageuka tu..” Nilijipa moyo huku nikimuangalia pembeni yangu Vonso na kwa siti ya mbele alikuwa amekaa Biggy huku akituendesha Jerry. Tulikuwa maeneo ya magomeni tena kwenye foleni pale usalama, akili ilikuwa bado inanichemka huku nisielewe hatma yangu niendako, wazo likanijia huenda wananirudisha hostel pale Cbe wakaniaibishe. “..hapa hadharirishwi mtu..” Kwa hasira niliokuwa nayo nilijkuta naropoka kwa sauti ya juu na ya ukali huku macho nimeyakaza. Wote waliniangalia nakunishangaa kwa nilichoropoka. “..unasemaje..? hudharirishwi enh?” Aliongea Jerry kwa kunikaripia kisha akaongeza spidi, ilinibidi niwe mpole nijue mwisho wangu. Ndani ya dakika kumi tulikuwa tupo maeneo ya akiba karibia kabisa na chuo cha biashara ‘Cbe’, mapigo yangu ya moyo yalizidi kwenda kasi tena kasi ya ajabu, nilitamani labda iwe ndoto lakini ilikuwa ni kweli kabisa, kitendo cha Jerry kupunguza mwendo kisha akamuangalia Biggy kama ishara ya kuafikiana kitu ndicho kilichonitetemesha sana. Akili yangu niliiamishia haswa kwa wavulana na wasichana wanaonijua hapa chuo. Nikiwa bado kwenye dimbwi la mawazo Tina mie mara nikashangaa Jerry ameongeza mwendo kisha tukapapita pale chuo nakuitafuta ile bararaba iendayo ‘Ocean road’. Baridi kali iliyoambatana na upepo huku harufu ile ya baharini ndio iliyonipa akili kuwa tupo maeneo ya ufukweni, kwani Jerry alisimamisha gari kisha akashuka yeye na Biggy wakaniacha ndani ya gari mimi na Vonso. “…au wanataka kunirushia baharini niliwe na samaki?” Ni kati ya maswali niliokuwa najiuliza bila kuyapatia majibu huku nikiyaangalia maji yale ya baharini kupitia dirishani. Nikiwa ndani ya gari na Vonso huku mwili wangu ukiwa umeshakata tamaa kabisa mara. “..Vonso?” Jerry alifungua mlango nakumuita Vonso kisha, “..hakikisha unamvua nguo zake zote mpaka chupi unaziacha humo humo ndani ya gari kisha unamtoa uchi kama alivyozaliwa huyo mpumbavu..” Jerry alimwambia Vonso kwa sauti ya ukali na hasira. Nilitia huruma Tina mie hata na Vonso sura yake dhahiri haikuafikiana na suala la mimi kuvuliwa nguo lakini kwakuwa wameongea mabosi zake hakuwa na jinsi zaidi ya kunivua. Nilishindwa hata kugoma kwani niliamini nitasababisha wanigeuzie adhabu japo sikufahamu adhabu wanayoenda kunipa. Ndani ya muda mchache Tina mie nilikuwa uchi wa mnyama huku Vonso akinifungulia mlango na kutoka mpaka nje. “..gud? unapendeza sasa?” Aliongea Jerry kwa sauti ya kukejeli huku akifurahia yeye na Biggy wake kisha, “..Kesho tunamzika kaka yetu ‘Baba Latifah na yote umesababisha wewe, si ndio?” Biggy aliongea kwa sauti ya kupanda na kushuka. Sikuwajibu zaidi ya kukaa kimya huku matiti yangu yakipigwa ubaridi nakufanya niendelee kutetemeka. “…hiyo bahari unayoiona hapo mbele ni yako kuanzia sasa, unachotakiwa kukifanya, hivyo hivyo na uchi wako malaya wewe, tembea mpaka tuhakikishe hatuoni kichwa kisha baada ya nusu saa hatuondoki ukitoka tunakubadilishia adhabu” Aliongea Jerry kwa kunikaripia huku Tina mie nikijikaza, sikuwahi kuogelea maji ya baharini hata siku moja lakini sikuwa na jinsi kwa wanaume hawa ilinibidi nianze kutembea huku nikifuata kina cha maji, “…leo kwangu kesho kwao” Nilijisemea kimoyo moyo huku maji yakinifikia mpaka kiunoni na nikitetetemeka kwa baridi kali la ndani ya maji. “..endelea? endelea tukikufuata tunakuchinja..” Aliongea Jerry kwa sauti ya ukali. Kwa muda huu maji yalianza kunifikia mabegani, nilitetemeka sana niligeuka nyuma kuwaangalia lakini kwa mbaali nikawaona wanageuza gari lao kwa kuondoka. Nilitulia ndani ya maji kwa muda mpaka nikawaona wamepotelea. “..walijua nitadharirika na kufa enh?” Nilijisemea mwenyewe huku nikigeuza nakurudi taratibu, sikuogopa kwa kuwa uchi nilichothamini kwanza ni uhai wangu ndio baadaye niuthamini uchi wangu. Ndani ya dakika chache nilikuwa nimeshatoka baharini, mwili wote ulikuwa ukinitetetema mpaka meno yote yalikuwa yana ganzi kwa jinsi mdomo ulivyokuwa unanitetemeka. Nilipotoka kwenye yale maji nilikaa kwanza ufukweni huku nikijifikiria nitatumia njia gani mpaka kufika hosteli kwetu pale chuoni Cbe. Nikiwa bado najiuliza mara mwanga mkali wa gari ukanimulika nyuma yangu huku ukiambatana na mlio mkali wa honi.. “..umetoka? hujafa enh..?” * Nilitamani nirudi tena kwa mara ya pili ndani ya maji lakini ikawa sina tena jinsi zaidi ya kujiamini huku nikiongoza kuufata ule mwanga wa gari.. “..mtakufa nyie sio Tina mimi..” Nilijisemea kimoyo moyo tena kwa sauti ya chini chini na ya magambo huku nikijiamini mpaka nikafika lile eneo. “..kweli nimeamini wewe mwanamke shujaa..?” Niliguna na kumuangalia yule mtu aliyekuwa ananiongelesha huku kalipaki gari nakunimulika na mwanga wa ile gari. “..Vonso..? umefuata nini huku tena? au wamekutuma? kwanza wako wapi?” Mwili ulianza kuishiwa nguvu baada ya kumuona Vonso tena akiwa na taksi pamoja na dereva taksi.. “..Tangu walipokuleta kule Sinza nimekuwa nikikuonea sana huruma, na mbaya zaidi ulipoletwa humu baharini ndio kabisa nimeumia..” “..Kweli Vonso..?”

Nilikuwa kwanza sijiamini amini kama kweli naongea na Vonso yule alionileta huku pamoja na wakina Biggy na Jerry, kwani alionekana kuwa na huruma sana na mie. “..sasa Vonso nguo zangu ziko wapi?” “..nguo zako, kina Biggy na Jerry walimpa mtu pale hostel kwenu apeleke mpaka bwenini kwako..” “..hadi na chupi?” “..vyote” Nilizidi kuishiwa nguvu huku nikijishika sehemu zangu za siri nikizificha na kuachia maziwa yangu wazi kabisa. “..Tina? usijari nimewaacha wamerudi msibani, ila nakuomba ingia kwenye gari nikupeke mpaka kwangu kwani mke wangu kaenda kwao na watoto na kwa sasa naishi peke yangu, kwakuwa sasa ni usiku sana hivyo twende nikakupatie japo khanga halafu nitakurudisha hadi chuoni kwenu..” Vonso alionesha kuwa na huruma sana na mimi, mwanzoni nilisita lakini kwakuwa nilikuwa uchi, haikuwa na jinsi nikaingia ndani ya gari na safari ikaanza yakuelekea mwananyamala anapoishi Vonso. Nilikuwa nimekaa siti ya nyuma na Vonso alikuwa mbele na dereva, muda wote nilikuwa kimya huku mawazo tele yaliombatana na dukuduku moyoni la kisasi kwa Biggy na Jerry. Mwendo wa nusu saa ulitosha kutufikisha Mwananyamala kwani hakukuwa na foleni njiani. Vonso aliingia ndani kwake nakutoka na khanga mbili ambapo nilivalia kisha.. “..ahsante sana Vonso kwa moyo wa huruma uliouonesha kwangu, nakuomba unirudishe basi chuoni..” Vonso aliniangalia kwa jicho matamanio huku akiwa hajiamini amini. “..no no Tina, kwa sasa huwezi kurudi ukiwa katika hali hiyo, pili Jerry anahasira sana na wewe na lazima ataenda tena chuoni kwenu ndivyo alivyoniambi.., hivyo wewe dereva chukuwa hela yako hii hapa, ntakutafuta tena kesho..” Maneno aliyokuwa anaongea Vonso yaliniingia akilini. “..haya twende ndani” Nilijikuta naogopa hata kukaa pale nje hivyo tukaingia mpaka sebuleni kwake Vonso. “..Vonso pliiz nihakikishie usalama wangu kwanza, hapa wakina Jerry hawawezi kuja?” Hofu nilikuwa nayo lakini nikajipa moyo kuwa liwalo na liwe.. Vonso bila hata ya kuniuliza, alikimbilia moja kwa moja mpaka nje kisha akarudi na chipsi mayai na maji makubwa. “..Tina hapa jisikie upo nyumbani, karibu ule..” Aliniambia Vonso huku akifungua vizuri mfuko nakuziweka zile chipsi vizuri kwenye sahani.. Njaa kali nilikuwa nayo nilijikuta nafakamia zile chips kisha nikashushia na maji. “…asante sana Vonso..” Vonso alikuwa bado ananiangalia juu mpaka chini kisha akanifuata hadi kwenye kochi nililokuwa nimekaa peke yangu.. “..Tina twende tukalale chumbani kwangu..?” “..usijari Vonso hata hapa hapa sebuleni panatosha, we kalale tu” Niliongea kwa kujiamini japo nilishamuelewa Vonso nia yake. Vonso hakutaka kukubaliana na mimi kabisa hapo hapo akauchukuwa mkono wake nakuanza kuupenyeza katikati ya mapaja yangu.. “..Tina, nataka tufanye kama tulivyofanya mchana..” Vonso aliongea kwa sauti ya chini na yakubembeleza.. “..hapana? siwezi Vonso, kwanza nimechoka sana leo..?” “..wote tumechoka, nielewe Tina jamani..?” Vonso alilegea hadi nikaingia moyo wa huruma wa kumuachia mwili wangu.. “..haya kazime taa kwanza…” Haraka haraka Vonso aliinuka kwenye kochi nakwenda kuizima taa, mara simu yake aliisahau kwenye kochi ikaita, jicho langu moja kwa moja likakutana na jina na namba ya Jerry… “..embu niangalizie nani huyo anapiga?” Vonso aliongea kwa kujiuma uma kabla hajaizima ile taa. “..jina, inaonesha Jerry ‘Boss'” “..kata, halafu izime kabisa hiyo simu..” Woga na tamaa katika mwili wangu aliyokuwa Vonso vilimfanya azime taa haraka haraka huku akinifuata mpaka pale kwenye kochi nilipokuwa nimekaa, aliichukuwa simu yake nakuitupilia pembeni kisha akanikumbatia huku akipapasa mikono yake juu ya kifua changu, japokuwa nilikuwa nimechoka lakini niliapa hata huyu Vonso simuachi lazima aingie kwenye kundi moja na wakina Biggy na Jerry kwani Vonso anajifanya anatamaa sana ya kufanya ngono. Kwa muda huu Vonso bado alikuwa kanogewa na mwili wangu kwani alikuwa akizitekenya chuchu zangu nakuzinyonya kwa papara.. “..Vonso Stoooop..” Alibaki kaduwaa huku anahema juu juu sambamba nakunitolea macho. “..where is Condom Vonso?” Alibaki nakigugumizi huku akionekana kama kuyeyuka ovyo kama barafu inapochanganywa na maji. “..am mh mh mh, usijari kondomu zipo chumbani kwangu..” “..sasa kama ziko huko chumbani kwako ndio huwezi kuzifuata au? yaani unipe nyege sebuleni then ukaninanii huko chumbani, kwahiyo mimi umeniona kama malaya si ndio Vonso ?” “..aah ah hapana bwana Tina, haya ngoja niende nikazichukue..” “..ufanye haraka na ukichelewa kurudi hunikuti tena hapa sebuleni kwako..?” Vonso alitoka spidi ya hali ya juu na ndani ya dakika chache alirudi mpaka sebuleni. “..aina gani ya kondomu hiyo?” “..ahh Tina hizi zinaitwa Familia..” “..kwahiyo tunapanga uzazi wa mpango hapa? kwani umenioa? tuna watoto? sasa hiyo mikondomu yako kairudishe chumbani kwako umsubiri mkeo muendelee kupanga uzazi wa mpango sio Tina mie..” Nilimkazia jicho Vonso haswa hadi akajiona kama hana bahati na mimi alinisogelea karibu huku akionesha ishara kama ya kunibembeleza. “…usiniguse Vonso? niacheee?” Vonso alizidi kuwa mdogo kama vile anaugua homa kali tena ile yakulegea na kuetetemeka mwili mzima. “..Vonso, nakuomba unijibu swali moja.., kesho watazika wapi huo msiba wa Baba Latifah…” “..nilisikia wakisema kuwa watazikia makaburi ya kinondoni..” “..saa ngapi?” “..kwa muda bado sijajua..” Vonso bado alikuwa hajiamini amini hata hivo nilimuonea huruma nikamvua suruali yake kisha nikamalizia na chupi, nilivua blauzi yangu nikamalizia na sidira huku matiti yangu yakijidondokea, Vonso aliyawahi nakuanza kuyanyonya tena. “..haya Vonso nimekubali nakukuamini chukuwa mwili wangu naufanye utakavyo lakini fanya kavu kavu hiyo mikondomu yako inaharufu kali sana. “..sawa usijari Tina..” Vonso mwanaume huyu kwejh alikuwa amekamilika kila idara kwani alikuwa na nanii kubwaa lililofanya niumie sana kwa papara zake alizokuwa nazo. Ndani ya muda mchache nilikuwa na maumivu makali katika mwili wangu na hii yote imetokana na sex ya huyu Vonso.

Tulipomaliza tu chakwanza sikutaka hata kuendelea, tulilala. Asubuhi namapema Vonso alikodi taksi mpaka chuoni kwetu, Mshipa wa aibu niliuweka pembeni Tina mie, nikashuka na mijikanga yangu hivyo hivyo mpaka bweni. Niliingia bafuni nikaoga fasta fasta, hakukuwa na pochi yangu wala nguo walizozileta hapa, Kilichoniuma ni simu yangu tu iliyokuwa kwenye hiyo pochi.. “..ama zangu ama zao..?” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikivalia baibui langu lenye kunifunika mpaka usoni nakuachia eneo la macho tu. Ilinichukuwa karibu dakika ishirini nzima kujiandaa tu. Nilipomaliza nikaenda kupanda daladala ya kuelekea magomeni kwenye msiba wa Baba Latifah..Mwendo wa dakika kumi na tano ulinitosha kabisa kufika mpaka magomeni mwembe chai ambapo niliposhuka tu nikaulizia maeneo ambapo kuna msiba nakuoneshwa. Akili yangu ilikuwa ikinicheza kwa muda wote na hata nilipofika nilipishana na Biggy bila yeye kunitambua moja kwa moja nikaelekea mpaka kwa akina mama wenzangu ambapo nilijifanya kimbelembele kusaidiana nao katika kuandaa chakula huku nikichukuwa ungo tayari kwa kupepeta mchele.. Ndani ya masaa matatu kila mmoja alikuwa ameshakula huku nikipata nafasi ya kuuona ukoo wote wakina Biggy. “..kumbe ukoo wakina Biggy wazuri kiasi hiki..?” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikimtolea jicho mkaka mmoja aliyekuwa karibu na Jerry. Weupe wake ulinifanya hata nisimwache kwani tayari alikuwa katika hesabu zangu kichwani. Hatimaye ukafika muda wa kwenda kuzika, na kwakuwa katika ukoo wa kina Biggy ni Baba Latifah pekee ndiyo alikuwa amebadilisha dini nakuwa muislamu. Watu walikuwa ni wengi sana wakiomboleza huku Tina mie nikiwa katika orodha hiyo hiyo, muda wakwenda kuzika walitakiwa wanaume pekee wakazike hivyo nilitumui kila njia niweze kuonana na yule mkaka aliyekuwa amevalia tisheti ya msiba yenye picha ya Baba Latifah, nilifanikiwa kumpata kabla hawajapanda kwenye basi kwenda kuzika.. “..Sorry, naomba kuuliza kitu” Ndani ya muda mchache nilikuwa nimeshamshika mabegani huku akinitolea macho.. “..uliza tu..?” Nilibaki kigugumizi huku nikijiuma uma nisielewe nitamwanzaje.. “..am mh mh nilikuwa na mimi naomba hizo tisheti za msiba..” Ile nammalia tu kumwambia, jicho langu moja kwa moja likakutana na Jerry akitufuata mpaka eneo tulilopo.. “..Steve vipi? tunachelewa na kule kuna gari ya wanandugu embu twende tukapande..” Aliongea Jerry akimwambia Steve na hapo hapo nikajua kumbe anaitwa steve. “..unajua vipi Jerry, huyu dada anaomba Tisheti ya msiba vipi si bado zitakuwepo..” “..zipo tena sebuleni nenda basi ukamletee fasta fasta mie nakusubiria naye hapa sawa?” Nilijihisi kama presha inapanda na kushuka haswa kila nikimtokea jicho Jerry nilitamani hata asiijue sauti yangu kwani ningeharibu kila kitu.. “..mimi naitwa Jerrson ama Jerry, sijui wewe unaitwa nani jirani mwenzetu..” Jerry aliniuliza, nilitamani ardhi ipasuke nidumbukie, kwani anaijua vizuri sana sauti yangu hata nikikohoa., nilijikaza na kuongea sauti ya besi kidogo.. “..naitwa Asia..” “..sijakusikia vizuri unaitwa nani?” “..nimesema naitwa Asia?” Masikini sikujua kumbe nilivyomwambia mara ya pili nilijisahau nakutoa sauti yangu.. Nikiwa bado katika hali ya uwoga nakutojiamini amini mara Steve akatokea.. “..nimebahatika kuipata hii hapa, haya Jerry twende zetu” Steve akimuamrisha Jerry baada ya kunipatia tisheti, Jerry alisita kuondoka. “..haya Asia, ngoja tukazike tunarudi muda sh mrefu..” “..hata mkirudi mimi ndio Tina hamnipati na huyo Steve lazima awe kwenye orodha ya kunifunua chupi yangu nakuninanilii..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikiichukuwa ile tisheti nakurudi ndani. Muda wote akili bado ilikuwa haijakaa sawa, ule ugonjwa wangu wakumpenda mtu mpaka nahakikisha nampata, bado ulikuwa unatawala ndani ya ubongo wangu. Matamanio yangu yote nikumsubiri Steve mpaka watakapotoka kwenye kuzika kieleweke. Ndani ya Masaa mawili na nusu tayari wote walikuwa wamesharudi, nilijitahidi sana kumtafuta Steve mpaka nikampata, “..poleni nakuzika..” Nilimwambia Steve kwa jicho la uchokozi.. “..usijari tumeshapoa na inshallah tumemaliza salama kumzika kaka yetu mpendwa..” “..kwahiyo kuondoa matanga lini?” Nilimuuliza kichokozi nakumsikia atasemaje. “..dah hapa kwa mimi itanibidi niondoke leo leo kwangu kwa maana nina mlundikano wa mikazi ofisini..” Nilifurahi kimoyo moyo huku roho yangu ikifurahi nakujiwekea uhakika.. “…kwani huko kazini ni mbali na nyumbani?” nilijikuta nimoropoka tu hilo swali nakufanya Steve ashtuke.. “..naishi Bagamoyo nakazini ni huko huko na itanibidi nitoke na mke wangu usiku huu..” Nikiwa bado kwenye maongezi na Steve mara Jerry akatokea tena na safari hii alikuja na Biggy mpaka eneo tuliokuwa tumesimama na Steve kisha, “..Biggy Asia mwenyewe niliokuambia huyu hapa..? Mwili wote ulianza kunitetemeka huku lile baibui nililolivaa nikihisi kama linaniletea fukuto la ajabu haswa alipoongea Jerry. “..Steve? unamjua huyu mama?” Aliongea Biggy nakuniacha kwenye fumbo huku nikiamini Tina mie leo utakuwa mwisho wangu. “..ndio namfahamu, si anaitwa Asia?” “,ahaa, kama unamfahamu ni vyema kwani tulimfananisha na binti fulani..” Kabla Biggy hajamalizia kuongea nikazuga nimechukizwa na maneno yake yakufananishwa. “..Steve? safari njema, wacha nijirudishe makwetu hapo jirani..” Nilimwambia Steve makusudi ili tu nione kama kweli mwanaume kweli atawaacha wenzake nakunifuata. “..ok, wacha nikusindikize mpaka hapo juu..” Aliongea Steve kwa sauti ya chini kidogo nakuwaacha Jerry na Biggy wakimshangaa kwa kitendo alichofanya. “..na leo leo lazima kieleweke, simwachi mwanaume huyu, na hivi alivyo mweupe?” Niliusemea moyo huku nikiushika mkono wa Steve mpaka hatua kama kumi na tano, tukakatisha uchochoroni na hapo ndipo ikawa nafasi yangu ya kujidai Tina mie. “..Steve, umesema unarudi na mke wako leo leo huko Bagamoyo?” “..ndio, kwani kama kuzika tumeshazika leo, kwahiyo sioni kitakachoendelea kuniweka hapa wakati mikazi kibao inanisubiria..”

Nilijitahidi kumbembeleza Steve abaki japo nia yangu kubwa alikuwa haielewi, ndani ya muda mchache tena tukiwa katika maongezi mke wake Steve akampigia simu. “..mke wangu kanipigia simu kaniambia kunakikao cha wanandugu cha kumalizia msiba, hivyo wacha niende, nipe namba yako ya simu nitakutafuta siku nyingine..” “..Steve, hata usijari, namba yangu nimeisahau kichwani na simu niliacha kwenye chaji nilikuja hapa kwenye msiba, lakini usihofu ngoja..” Alinisubiri nikaenda kwenye kiduka cha jirani nakuchukua kalamu na kikaratasi.. “..haya nitajie namba yako?..” Nilichukuwa namba yake ya simu nakutokomea zangu huku nikijipa asilimia zote nitamnasa tu. * Usiku kutwa sikupata usingizi huku nikifikiria ni njia gani nitaitumia kumpata huyu mwanaume Steve. Ilipofika saa saba za usiku nilichukuwa simu yangu nakumpigia, simu iliita bila kupokelewa, nilijaribu mara mbili tatu mpaka akapokea.. “..Hallow Steve?” “..yeah, niambie naongea na nani?” “..mh mara hii hata sauti yangu umeshaisahau? naita Asia” “..anhaa, nimeshakukumbuka, upo?” “..nipo nipo tu, usingizi hata haupandi, nipo hapa Mwenece Grocery hapa mitaa ya magomeni usalama, niko peke yangu tu napoteza mawazo na uchovu niliokuwa nao, karibu tujumuike?” Nilimtega kwa makusudi.. “..dah, umesema wapi?” “..kama unakuja ukifika magomeni usalama nishtue..” “..hapa kwenye msiba, kila mtu kalala hamna chochote vinywaji haswa mlevi mie, ngoja niwashe gari langu, nipe dakika kama kumi tu..” Furaha ya ajabu ilitawala ndani ya moyo wangu, sikutaka kuchelewa fasta fasta nikavaa kimini changu na blauzi ya pinki nakuchukuwa pochi yangu huku nikiiweka ile dawa yangu ya usingizi ninayoitumiaga kwa wanaume sugu ndani yake. Dakika tano zilinitosha kufika hapa Mwenece na Taksi na ilikuwa ni ‘night pub’ nikatafuta enen lililojificha kidogo kisha nikaagiza kinywaji. Haikupita muda Steve akanipigia simu, haraka haraka nikaipokea. “..enhe umefika wapi?” “..nipo hapa magomeni usalama kwenye hiyo grocery uliyoniambia..” “..Mwenece?” “..ndio mwenece grocery” Nilitoa macho huku na kule sikumuona ikanibidi niinuke nakuwafuata.. “..Njoo niko hapa Asia..” Niligeuza jicho langu nakumuona Steve akiwa na Jerry na Biggy… Akili ilizidi kunichemka huku nikibaki natetemeka mwili mzima, nilichokifanya nilijiangusha makusudi huku nikijifanya mtu mwenye kifafa kwa kutapatapa, “…Steve ona sasa? Umeyataka mwenye, si tunakuacha” Aliongea Jerry huku akimshika mkono Biggy nakutaka kuondoka naye. Nilizidi kutapatapa huku na kule pale chini huku chupa za soda,glasi na bia zikinimwagikia. Ndani ya dakika kama tano tayari umati wa watu na wahudumu wa baa hii walikuwa wameshafurika huku Steve akinishikilia mikono kwa nguvu. Mate mengi niliyokuwa nimeyatoa pembeni ya mdomo wangu huku macho yangu nikiyageuza nakuyatunisha mithili ya mtu aliyekabwa na mfupa wa samaki. “..Asia, Asia..?” Aliniita Steve kwa sauti ya ukali nakufanya ule umati kuendelea kupiga makelele.. “..nipe maji, nipeni maji ninywe..?” Nilijifanya nimezinduka kutoka katika kuchanganyikiwa huku nikijifanya kuyazungusha macho kwa hisia kali.. “..Asia? Nini tatizo jamani?” Steve aliendelea kuniongelesha kwa huruma, akili yangu ilikuwa ni kuwaangalia Jerry na Biggy kama watakuwepo bado katika huu umati uliokuja kuniona. Nilitizama bila kumuona cha Biggy wala huyo Jerry zaidi ya kushikiliwa na Steve huku akiyafungua maji nakunipa niyanywe. Baada yakunywa tu maji. “..Steve nisamehe jamani..?” “..nikusamehe kwakipi tena Asia..?” “..kwa kilichonitokea kwani kila inapofikaga tarehe hizi huwa nadondoka kifafa..” “..Usijari Asia, hali kama hiyo mbona niyakawaida, kwani hata na mke wangu anamatatizo hayahaya” Niliguna kimyakimya huku nikimwangalia kwa jicho lakutia huruma nakufanya ule umati uliokuwa ukinishangaa ukasambaratika wote hadi nikabaki mie na Steve pale. “..wenzako wako wapi sasa?” nilimuuliza Steve kwa makusudi.. “..achana nao? Ujue nilikuja nao hapa kwa lengo la kunisindikiza kwani sijazoea vizuri maeneo ya huku Dar, sasa tatizo lakudondoka lilivyokutokea nikashangaa wamenikimbia..?” “..usijari Steve yatakwisha tu..” Nilijikamua machozi bandia huku nikivuta kamasi zangu mithili ya mtu aliyepatwa na mafua ya ghafla. “…Asia, embu acha kulia bwana, ujue mie sipendi kabisa kuona mtu ananyanyapaliwa kisa ugonjwa kama huu ambao unao wewe na mke wangu..” Kimoyo moyo nilibaki nikijichekea huku nikifuta mchozi feki taratiiibu.. “..Steve? Mpaka sasa nashindwa hata nikushukuru vipi?” “..usijari Asia hayo mambo madogo tu, embu twende kwenye gari nikirudishe kwako, si kule kule maeneo ya msibani?” “..ndio..!” nilimwitikia Steve huku akinishika mkono wangu nakuongozana naye mpaka kwenye gari lake alipolipaki. “..na hapa kwenye gari simwachi, mbona atajuta kuzaliwa au kukutana na Tina mie?” Niliusemea moyo huku tukiingia kwenye gari lake kisha kabla hajaliwasha gari tu. “..no, no Steve?” nilimzuia kuwasha gari huku nikiuchukuwa mkono wake ambao tayari ulikuwa umeshikilia funguo za gari.. “..nini tena Asia..?” “..nikuulize kitu?” “..uliza tu?” “..leo mwili wangu nausikia wamoto kweli haswa baada yakudondoka pale chini, nashangaa ute ute katika sehemu zangu za siri, kwani hata mkeo hali hii humtokea anapoangukaga?” “..mh, hajawahi hata kuniambia wala kumtokea ndio nasikia kwako?” “..embu nipe mkono wako?” alinipa mkono wake na ndio ukawa mwanya kwangu kwani niliuchukuwa nakuupenyeza mpaka sehemu zangu za siri huku Steve akitetemeka nakupumua juu juu.

Nilijikaza nakutoa sauti ya kimahaba huku niking’ang’ania kumvua suruali yake. Steve alilegea nakuvua nguo yake tena kwa papara akaniwahi juu juu nakuniingizia nanii yake. Utamu ulituzidia nakujikuta Steve anaanzisha tena raundi ya pili, Akiwa anajiandaa kwa mara nyingine tena, ghafla tukasikia sauti inatokea siti ya nyuma tena inafanana na ya Jerry.. “..Steve..? Steve my brother? Jana tu, tumemzika bro kwa kosa la huyo huyo mpuuzi, na tulishakwambia kuwa ameathirika, ona sasa umeshaingia mkenge.. Wote tumekuwa safari moja..” Nilibaki natetemeka mwili wote huku kijasho chembamba kikijipenyeza ndani ya mwili wangu nakuvaa nguo haraka haraka vivyo hivyo nakwa Steve, “..huyu dawa yake sasa imeshafika..” Jerry aliendelea kuongea huku akishuka nakupishana na Steve siti ya mbele kisha akaloki milango yote nakuliwasha gari nakutokomea nisipopajua. Mchozi wa ukweli ulianza kutawala ndani ya paji la uso wangu huku nikiwa wa moto mwili wote nisielewe ninapopelekwa, “..sasa Biggy watakuwa wamempeleka wapi? Au ndio tunayemfuata?” ni kati ya maswali niliokuwa najiuliza. Steve alikuwa kimya sana huku akimuangalia Tina. Jerry aliendesha gari kwa spidi kali. Mwili wote ulikuwa ukinitetemeka nilijitahidi japo kuusogeza mkono kwa Steve japo nimchokoze lakini alionesha kuwa mkali kwa vitendo nakunifanya niendelee kuwa mdogo. Mwendo wa kama nusu saa tulikuwa tumefika eneo ambalo hata sikulijua. “..shuka, shuka wewe mpuuzi..” Jerry aliongea kwa sauti ya ukali huku Steve akijifanya kunitoa ndani ya gari.. “..hapa mtanisamehe tu, hapa hatoki mtu..” Majibu hayo yalimkera sana Jerry nakufanya avue mkanda wa suruali yake nakunifuata kwa lengo lakunipiga, bado nilijifanya mbishi huku Jerry akinipiga kwa kutumia mkanda wa suruali, tayari nilikuwa kama mtu mwenye sugu, kwani alinipiga mpaka maeneo ya usoni. “…Mwacheeeeeeeee…” Nadhani ni huruma ilikuwa imeanza kumuingia Steve, aliushika ule mkanda kisha akaniongelesha. “..kwa usalama wako tu, Asia nakuomba ushuke tu..” “..ndio alikudanganya anaitwa Asia si ndio..” Jerry bado alikuwa na hasira na mimi. Tukiwa bado tupo katika lile eneo lilojaa giza huku taa zaa gari zikiwa zimezimwa mara nikaanza kusikia sauti kama za minyororo zikikwaruza kwa chini, Sauti za mbwa zilianza kuvuma ndani ya masikio yangu nakufanya nijihisi kama kojo linapenyeza ndani ya nguo zangu.. “..sasa leo ndio mwisho wako umefika, na hawa mbwa halali yako leo..” Aliongea Biggy ambaye alitokezea huku kashikilia minyororo iliyofungwa mbwa.. Sikujua alipotokea ila kwa alivyokuwa akihema dhahiri utajua kuwa ametokea mbali kidogo. Masikini Tina mie nikawa sina tena ujanja pale zaidi ya kutetemeka tu huku nikiwa sina tena mtetezi kwani hata huyo Steve niliyodhania huenda akawa mtetezi wangu alikuwa tayari upande wao. Walinivua nguo zote nikabaki uchi kama nilivyozaliwa huku baridi kali likipenyeza kwenye maziwa yangu, “..tunakuhesabia mpaka tatu uwe umepotea..” Biggy aliendelea kuongea huku akiwashikilia mbwa vizuri.. “..1, 2…” Kabla hajamalizia tu kuongea, nilitoka spidi kali huku nyuma Biggy akiwaachilia wale mbwa aliokuwa amewashikilia.. Nilijitahidi kukimbia japo hakukuwa na nyumba hata moja, nilijitahidi kukimbia lakini niliteleza hivyo mbwa wale wote wakanivaa nakuanza kuniparua kwa kutumia makucha yao, walizingira matiti yangu huku wakiyauma nakuyavuta. Nililia nakuumia sana haswa waliponivuta mdomo na masikio yangu, nilijitahidi japo kupapasa mpaka nikaambulia kushika kuni ndefu ambapo kwa hasira kali niliyokuwa nayo niliwatawanya mpaka wote wakakimbia nakutanda pembeni huku wakinizunguka. Nguvu ya kusimama sikuwa nayo hivyo nilitambaa chini chini huku mkono mmoja nikishikilia ile fimbo.. Niliendelea kujiburuza taratibu huku nikiiyasikilizia yale maumivu.. Nilipowakaribia tu tena wale mbwa walinikimbia kwa kuwa nilikuwa nimeshikilia kuni.. Kitendo cha kuendelea kujikokota nilianza kuhisi kama sauti za watu wakijibizana wenyewe, hapo hapo halmashauri ya kichwa changu ikatambua kwa haraka kuwa hao watakuwa kina Jerry.. “..Hamka hapo..?” Ilikuwa ni sauti ya Biggy alioonesha kuwa na hasira zaidi ya wote. Alinipora ile kuni iliyokuwa imenisaidia kufukuza lile rundo la mbwa. “..Na safari hii tunakubadilishia adhabu malaya mkubwa wee..” Aliendelea kuongea huku akinishambulia kwa mateke usoni na mgongoni mwangu. Jerry alikuwa mtu wa kwanza kunishikilia mapaja huku akisaidiwa na Steve kisha Biggy akamchukuwa mbwa mmojawapo nakumsukumiza mbele ya kifua changu kwa madhumuni ya kunifanya.. “..umezoea kutuambukiza huo ukimwi wakp haya waambukize na hawa mbwa malaya mkubwa wee..” Biggy aliendelea kuongea. Wale mbwa walikuwa wamefundishwa hivyo walinivaa kwa pupa huku wakinifanya. Sikuweza kujua idadi yao kamili lakini waliniharibu nakunichafua sana mpaka nikahisi damu damu zinanitoka kupitia sehemu zangu za siri.. Kizungu zungu kilichoambatana nakuishiwa nguvu ndicho kilichowaongozea kasi wale mbwa. Waliporidhika wakina Jerry waliwafunga wale mbwa minyororo kisha wakabakiza mnyororo mmoja ambapo walinifunga mikononi kisha wakaniburuta mpaka eneo walipokuwa wamepaki gari kisha wakaniunganishia ule mnyororo. Waliingia ndani ya gari wakaliwasha nakuondoka huku wakiniburuta na mbwa wakinifukuzia kwa nyuma. Nilichubuka karibu mwili wote, nilijihisi mwili wangu wote umejaa damu na michubuo. Mwili wangu wote ukawa kama umepigwa ganzi kwani nilisikia maumivu mpaka yakaisha. Gari iliniburuta kwa mwendo mrefu kidogo mpaka nikashuhudia taa za barabarani hivyo moja kwa moja nikajua tu itakuwa tupo katikati ya jiji. Baada ya kamwendo kidogo mara gari ikasimama.. Safari hii Jerry ndiye aliyenifuata nakufungua ile minyororo kwenye gari kisha akamalizia kunifungua mikononi mwangu. “..Twende, twende tena kwa mwendo wa haraka..?” Aliongea Jerry huku kanishikilia mkono, niliweza kutambua lile eneo kwani palikuwa ni chuoni kwetu pale chuo cha biashara CBE, na tayari mbele yangu alikuwepo Biggy na Steve tena wakinena kitu na mlinzi pale getini. “..haya Jerry mpeleke moja kwa moja mpaka bwenini kwao..?” Aliamrisha Biggy huku akimsisitizia Jerry ahakikishe amenifikisha bwenini kwetu. Aibu kubwa ilinijaa moyoni, sikuweza kukimbia kwani upande wangu mmoja ulikuwa kama umepooza hivyo nilimlalia Jerry upande mmoja katika bega lake.

Tulipofika tu bwenini kulikuwa kumefungwa hivyo Jerry alipofika tu mlangoni alipiga hodi na mtu aliyetufungulia alikuwa ni rafiki yangu kipenzi Aisha. Maskini kwa mshtuko aliokuwa nao Aisha alivyoniona tu katika hali ile alidondoka pale pale nakupoteza fahamu. Umati wa wanafunzi waliokuwa wamelala walikuwa wakinishangaa na kwa muda huu Jerry alishanikimbia hivyo nilibaki na Aisha pale chini.. Joto kali lililoambatana na fukuto ndivyo vilivyoniamsha toka usingizini, kichwa changu kilikuwa kizito sana na yote hiyo nikutokana na ndoto mbaya niliokuwa nimeiota usiku. “..Ndoto nyingine bwana..? Unaweza ukaota umekufa hivi hivi..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikijikagua vizuri mwili wangu ambapo sikuwa na hata kovu. Nilizubaa peke yangu pale kitandani huku nikiwa sijielewi elewi, mwili ulikuwa wa moto mishipa ya hasira ilianza kunitawala usoni mwangu. Nilijitahidi kuvuta kumbukumbu kujua ilikuwaje mara ya mwisho, mpaka nikajua kuwa tuliachana na Steve na aliniandikia namba yake ya simu kwenye kikaratasi, na nakumbuka nilimdanganya kuwa nakaa nyumba ya jirani na maeneo ya pale kwenye msiba. Nilionesha tabasamu mwenyewe huku nikivuta simu yangu nakuchukua kile kikaratasi alichoniachia Steve jana nakupiga zile namba. “…Hallow Steve..?” “..yap naongea na nani mwenzangu..?” “..Yaani hata sauti yangu umeisahau Steve..? Haya naitwa Asia, jana uliniandikia namba yako ya simu kwenye kikaratasi..” “..nimeshakukumbuka jamani Asia, enh niambie upo wapi sasa hivi..?” “..am mh mh nilitoka nyumbani asubuhi sana, kwani si bado upo..?” “..nategemea kuondoka na mke wangu asubuhi hii, ila usihofu tutawasiliana tu hata siku nyingine..” Nilibaki nimenywea huku nikiikata simu yangu nakuelekea bafuni kwa kujiandaa kwenda darasani.. Niliingia darasani kwa ajili ya kipindi lakini bado akili yangu ilikuwa ikiwaza vitu vitatu. Cha kwanza ni ile ndoto mbaya niliyoiota usiku kutwa, pili ni huyu Steve, nitafanyaje fanyaje ili nimpate? na tatu kabisa ni hapa darasani najua kabisa leo sitaelewa chochote zaidi ya kutoa macho tu. “..ahh kusoma itakuwa bongo..?” Nilijisemea kwa sauti ya chini chini huku nikichukuwa mkoba wangu uliokuwa na madaftari na kurudi bwenini kabla hata mwalimu hajaingia. Wanafunzi wenzangu walinishangaa lakini hilo mimi sikulijali kwani hawanisumbui hata kunilipia ada. Ndani ya muda mchache tayari nilikuwa Tina mwingine kwani nilikuwa nimebadilika kimavazi kidogo hivyo nilichukuwa mkoba wangu nakutokomea zangu mpaka Mwenge. Nilitafuta magari ya Bagamoyo yanapopaki mpaka nikayaona kisha nikaingia na safari ya kuelekea Bagamoyo ikaanza japo nilikuwa sipajui Steve anapoishi lakini nilijipa moyo kwanza nitamfanyia kama ‘suprise’ hata kama anaishi na mke wake huko alipo. Simu yangu niliizima kwani ilikuwa na chaji kidogo sana hivyo nilijipa moyo nitaiwasha nitakapofika tu huko Bagamoyo. ndani ya mwendo kama wa dakika arobaini tayari tulikuwa tumeshaipita Boko na tulikuwa mbali hata sipajui, hasira kali zilizoambatana na hisia chanya ziinifanya mishipa ya usoni mwangu kutuna kwa hasira huku akili ikifananisha maeneo yale kama niliyokuwa nimeyaota usiku, kadri gari lilivyokuwa linatembea ndivyo na kichwa changu kilifura kwa hasira kwani mapigo yangu ya moyo yalibadili kabisa uelekeo haswa baadaya kuwaona mbwa kwa nje. “..mamaaaaa…?” Nilistuka, kusisimka nakujikuta nikitoa sauti kali iliowafanya abiria wote kunigeuzia macho nakunishangaa kwa kelele nilizokuwa nimetoa. “..vipi tena binti, kuna tatizo..?” Aliongea kaka mmoja mwembamba mweusi aliyeonekana mtanashati. “.. hapana? hapana sina tatizo” Nilimjibu kwa kujiuma uma huku nikimwangalia kwa jicho la upande upande tena lile la uoga utadhani nawaogopa kweli wanaume. Nilitoa kitambaa changu nakujifuta usoni mpaka maeneo ya mdomoni kisha nikauweka mkoba wangu vizuri huku tukiendelea na safari. “..naitwa Shebby, sijui mwenzangu unaitwa nani..?” Aliongea yule kaka ambaye nilikuwa nimekaa naye siti moja, nilimwangalia mara mbili mbili huku nikiusemea moyo nakumuonea huruma kwanza nikiamua nitamuambukiza ukimwi na ikawa matatizo kwa mengine bure. “..naitwa Lucy..” Nilimdanganya huku nikiubetua mdomo wangu kwa nyodo ilyochanganyika na dharau kidogo. Sikumpenda kwanza alikuwa ni mweusi japo sio sana lakini wavulana kama hao hata siwapendi kwanza hawako kwenye akili zangu ila kama angekuwa mweupe mbona angenikoma leo kabla yakumfikia huyo Steve. Nilijifanya kama niko bize sana kwa kufungua mkoba wangu nakujifanya naukagua kagua kana kwamba kuna kitu nimekisahau au nakitafuta na hii yote ni kukwepa maongezi yake kwani wanaume mimi nawajua hapo anatafuta njia tu yakutaka kunitongoza. “..huku Bagamoyo tunapoenda ni nyumbani enh..?” Shebby aliendelea kuongea nakunifanya nizidi kuwa bize na mkoba wangu huku yale anayoniuliza yakiingia upande wa huku nakutokea upande wa kule. Hatimaye mpaka nikapata pete yangu feki ambayo huwa nawadanganyia wanaume kama hawa wasumbufu. “..mh sorry, nilikuwa natafuta pete yangu ya ndoa, ulikuwa unasema..?” Shebby alibaki mdomo wazi na macho yakimtoka haswa akitolea macho mkono wangu niliokuwa nimevalia pete. “..nilikuwa nauliza hivi..?, huku Bagamoyo tunapokwenda ni nyumbani au..?” “..yeah, nipo naishi na mume wangu na watoto wangu watatu..” Kwa majibu hayo ya uongo yalimfanya Shebby kuacha kuniuliza kisha akachukuwa gazeti lake aliokuwa amelishika nakuanza kulisoma. “..mpumbavu mkubwa wee, wanaume wengine bwana..?, yani wakishamuona mwanamke kapendeza wao wanajua ni kutongoza tu, hawafikirii hata nani anayempendezesha, mshenzi mkubwa sana…!!” Nilijisemea peke yangu huku nikitoa macho yangu nje ya dirisha. Hali ya hewa yenye ubaridi kwa mbali ulioambatanaa na rasha rasha ya mvua huku mawingu yakichukuwa nafasi yake kuunguruma kwa milio ya radi na mwanga wa hapa na pale mithili ya mtu anapiga picha tena zile zakutumia ‘flash’. Kila mmoja alikuwa bize huku wakina mama wengi wakiwa katika mavazi ya baibui na wanaume wakivalia kanzu sambamba na baraghashia kichwani. “..Twende dada, twende dadahii apa…?” Aliongea dereva wa boda boda baada tu yakushuka hapa Bagamoyo. Sikuwa naelewa naanzia wapi na naishia wapi kwani nilikuwa mgeni kabisa katika mji huu wa Bagamoyo. “..unaelekea wapi..?” Aliropoka Shebby baada tu ya kushuka kumbe alikuwa akiniangalia nilivyokuwa nashangaa shangaa mazingira ya pale. “..si nilishakujibu naelekea kwangu kwa mume wangu na watoto wangu..?” “..Sina maana mbaya, nakuomba unielewe naa kama nimekukosea au kukukwaza naomba nisamehe..” “ss%^(^&%^%$$ tena usiye na hata haya, malaya mkubwa wee kazi kufatilia wake za watu tu..?” Niimfyonza nakumtolea jicho la dharau huku abiria walioshuka na madererva wa boda boda wakimcheka na kupiga miluzi kwa makelele. nilijona kama shujaa, sikutaka kukaa maeneo yale haraka haraka nikapanda boda boda.

“..nipeleke chuo cha sanaa.” “..buku mbili tu..” “twende nipeleke kwani shida yako nini..?” Ilituchukuwa kama mwendo wa dakika tano mpaka maeneo ya chuo cha sanaa, ambapo alinishusha kisha nikatafuta mgahawa uliotulia nakuagiza chipsi kwanza kwani nilianza kusikia njaa inaniuma. Nikiwa bado nasubiiri chipsi zikitengenezwa, nikapata wazo lakuitoa simu yangu kwenye mkoba ili niiwashe nimwambie Steve kuwa nimmeshafika na nipo Bagamoyo. “..Maaamaaaaaaa, uwiii uwiiii..!!!” Nilijihisi kuchanganyikiwa, sikuiona simu yangu zaidi yakuona vipodozi tu na khanga yangu ndani ya mkoba. “..nimeshaibiwa simu, nitafanyaje na sijui hata namba za huyo steve na hata maeneo anayoishi siyajui ni bora wangenibakizia hata laini..” Ndani ya muda mfupi nilikuwa kama nimechanganyikiwa, hata zile chipsi niliona kama hazifai tena, nilizilipia japokuwa njaa ilipotea ghafla huku akili yangu nikiielekezea kwa yule dereva boda boda aliyenileta. Ilinibidi nichukuwe tena boda boda nyingine mpaka maeneo ya pale stendi. Kwa bahati nzuri nilipofika tu nilifanikiwa kumkuta yule dereva boda boda aliyenipakiza saa ile. “..vipi tena dada yangu..?” “..nimekufuata wewe, umenionea simu yangu, nimeidondosha nadhani wakati natoka na wewe hapa stendi…” “..Yule kaka uliyeshuka naye kwenye dalalala kisha ukamtukana ndio nasikia ameichukuwa na ameacha maagizo kama utarudi umfuate kwake ukaichukue…” “niiiiiiiiiiiiiiiiiiiniiiiiiiiiii….????” “..amesema ameichukuwa simu yako na umfuate ukaichukuwe kwake..?” “..nipeleke haraka..” Sikuamini macho na masikio yangu, aibu kubwa ilianza kutawala ndani ya moyo wangu kabla hatujafika haswa nikikumbukaa nilivomtukana pale stendi nakumuaibisha kama mtoto mdogo vile. Haikutuchukuwa muda tukawa tumeshafika nyumbani kwa Shebby, alikuwa na nyumba kubwa tu. “..embu niambie, kwanza anaishi na nani..?” “..ahhh Shebby hanaga mke mbona, yupo peke yake tu..” yule dereva bajaji alinisubiri nikaingia nakugonga mlango. Shebby alitoka huku kajifunga taulo akiashiria kama hajatoka kuoga basi atakuwa anaelekea kuoga. “..karibu Lucy..” “..Ahsante, samahani nakuomba nisamehe kwanza kwa nilichokufanyia kule stendi, pili nirudishie simu yangu nimeambiwa unayo..” “.. nilishkusamehe pale pale stendi, zile najua zilikuwa ni hasira tu ambazo kila binadamu ana hasira japo tumetofautiana, simu yako ndio ninayo, lakini karibu basi ndani nikupe..” Kwakuwa shida yangu ilikuwa nikupata simu, ilinibidi niingie mpaka sebuleni kwake kisha Shebby akaingia mpaka chumbani kwake.. “..Lucyyyyyyy…..??? Lucccccccccy…??” Shebby aliita kwa sauti ya ukali, sikutaka kuinuka pale sebuleni, nilikaa kimya kama simsikii akiniita. Nikiwa bado nipo pale sebuleni nimezubaa nakumsubiri Shebby aniletee simu yangu mara nikaanza kuuona moshi mweupe ukitanda kwa juu huku ukija kwa kasi. Mapigo yangu ya moyo yakaishiwa nguvu nakwenda taratibu sana nakuusababisha mwili wangu unilegee kwa kukosa nguvu huku macho pia yakinilegea. Kwa mbali nilisikia mlio wa pikipiki ukiondoka, nilijitahidi kutoa sauti lakini haikuwa na nguvu hivyo nikataka kuinuka ili nikimbie nakutokomea nje lakini nguvu sikuwa nazo zaidi yakuendelea kukaa kwenye kochi pale sebuleni nikiwa hoi….Kila nikijitahidi kusimama bado nilikuwa hoi, ule moshi uliokuwa unatanda ukatoweka ghafla na kwa muda huu kimyaa kilitanda, kila nikijitahidi kutoa sauti ilikuwa haitoki mithili ya television iliyozuiliwa sauti isitoke. Akili yangu ikawa haifanyi kazi tena, niliweza kutambaa chini chini, kila nikijaribu kutoka upande wa nje nilikuwa nashindwa hivyo nikajikuta nikiranda randa pale pale senuleni. Harufu kali na nzuri ya marashi tena yale marashi ya karafuu nzuri inayotengenezwa Zanzibari ndio ilikuwa ikinivuta bila ya mimi kujitambua ambapo nilijikuta nikitambaa mpaka kwenye chumba kilichokuwa wazi. “..siiiiiiimmmmuuu yako.., sssiiiimmmmuuu yyaaakkkooo hhhhiiii ccchhuukkkuuuwa.., cchhhuukkuuwa…?” Sauti mbili mbili zilikuwa zikipishana katika masikio yangu hali ambayo ilinijaza hofu kubwa huku mwili ukinitetemeka sambamba na mkojo kunimwagika. Niijaribu tena kwa mara ya pili kutoa sauti ya juu lakini nilishindwa zaidi ya kutomuona mtu yeyote bali kusikia sauti tu. “…kweli nimeamini hii ndio bagamoyo..” Niliusemea moyo huku nimejipumzikia zangu pembeni ya ukuta nikisubiri hatma yangu ndani ya hiki chumba. Machozi mfululizo yaliokuwa yananidondoka kuanzia usoni mpaka tumboni mwangu nakuufanya mwili wote usisimke si kwa furaha bali kwa mateso ya ghafla niliyopata humu ndani. Ile arufu ilizidi kuwa kali zaidi huku ikisababisha moshi ujae tena na safari hii haukuwa moshi wa kawida bali ulikuwa moshi ule wa kijani kama ule wa sehemu za disco na haukunidhuru zaidi ya kujaa ndani ya chumba mpaka nikajikuta sioni kitu. “..njooo..?, njooo mpenzi..?” Sauti ya taratibu na yakuvutia tena ile iliyokuwa imechanganyikana na ya Biggy, Jerry, Vonso na Steve ndio iliyokuwa inakonga masikio yangu nakuyatekenya. Kila nikijaribu kuutoa mkono wangu bado niliendelea kushikwa na mtu nisiyemwona wala kumtambua. Kutokana na sauti yangu kushindwa kufanya kazi nilijikuta sina nguo huku nikiendelea kutekenywa karibu mwili mzima, nguvu yakuutoa mkono sikuwa nayo kwani nilikuwa kama mlemavu aliyepooza mikono au kukatwa kabisa. “..hapa hapa.., lala, lala mpenzi..” Zile sauti mbili mbili bado zilikuwa zinaranda ndani ya masikio yangu, na kwa muda huu niijikuta nimelala sehemu ambayo sikuiona kwa macho kutokana nakujaaa sana moshi, ila nilijihisi niko kwenye manyoya manyoya tena yale malaiiini. Nilianza kuhisi kama sehemu zangu za siri zinavuja maji maji tena yale yanayoteleza, mara nikahisi tena yale maji maji kama yanarudishwa ndani kwa nguvu huku nikijihisi mumivu si yakawaida, nilijaribu kuinua mkono wangu tena kwa mara nyingine lakini hali ikawa ni ile ile sikuweza kuinua mkono wangu. Mara ule moshi ukayeyuka na macho yangu yakakutana uso kwa uso na Shebby huku pembeni yake wakiwa mabaunsa tena wakiwa uchi kabisa na nanii zao zikiwa zimesimama sana. ule moshi ukaanza kutanda tena kwa kasi nakusababisha nisiweze kuona tena mbele na safari hii nilihisi kama nachapwa na fimbo mgongoni na tumboni kwani maumivu niliyasikia mara mbili mbili, nilishikwa maziwa yangu kwa nguvu huku nikihisi tena kama maji maji yanatoka kupitia sehemu angu za siri nakurudishwa kwa nguvu sana hali ambayo ilinipelekea kupoteza kabisa fahamu zangu.. * Kelele za watu zilizoambatana na vigelegele mithili ya harusi ndio zilizoamsha hisia zangu toka usingizini nakujikuta niko peke yangu uchi wa mnyama tena makaburini, ndio kwanza kulikuwa kunakucha, woga ulinitanda sambamba nakusisimka mwili wangu, nguo zangu zilikuwa zimerushwa juu ya misalaba ya makaburi na mkoba wangu pia. Bila kuhofia chochote nilitoka pale nakukusanya nguo zangu moja baada ya nyingine ile nataka kuvaa tu.. “..mwanga huyooo…??, mwangaaa…?, jamani mchawi huyo nayetuwangia….?” Kelele za watu zilianzaa kusikika kila upande nakusababisha watu wajae pale makaburini nilipokuwa huku baadhi yao wakitaka kunitupia mawe. “..unatoka wapi? na umetumwa na nani..?” Mzee mmoja wa makamo aliniuliza kwa sauti ya ukali nakunifanya niendelee kuwa nakigugumizi huku mchozi ukinitoka kwa aibu iliyonipata Tina mie. Ule umati wa watu haukuridhika na mie kuwa kimya hivyo mmoja wapo akaja na kamba na kunifunga.

“..dawa yake tunamfanya kama tulivyomfanya bibi Mwajabu, tutamtembeza mitaa yote hivi hivi uchi kisha tunampeleka polisi akanyee debe, ndio dawa yao hawa wachawi..” Kila nikijitahidi kujitetea haikuwezekana zaidi yakuambuliwa kupigwa makofi huku wakizigombania nguo zangu nakuzichana chana vipande mithili ya ile picha ya Yesu kisha wakachukuwa mkoba wangu. Aibu kubwa ilinishika haswa nilipotembezwa mtaa mzima, watoto, wazee sambamba na vijana ndio waliokuwa mstari wa mbele kupiga makofi na kunicheka, kila nikijitahidi kuuficha uso wangu ndo kwanza nilikuwa nikiambulia makofi na wananchi wenye hasira kali. “..tumpitisheni na mtaa wa shekhe Juma?” Aliropoka mzee mmoja, watoto walinisogelea karibu yangu huku wakishika shika matiti yangu na hata watu wazima wengine wakinishika makalio yangu, kuna kipindi niliteleza kwa bahati mbaya mpaka chini nikaambulia kuchezewa sehemu zangu za siri huku wengine wakizipiga piga kwa kutumia fimbo na mawe. “..mnisamehe jamani..!, mnisamehe mie sio mchawi..?” “..usistutanie hata kidogo…? na makaburini ulifuata nini tena ukiwa uchi kabisa?” Waliniinua juu nakunitembeza tena huku wakiifungua mikono yangu kamba nakuitanua huku na kule, mwili wangu sasa ukawa hautamaniki kwa kupigwa pigwa, damu zilianza kuniganda mwilini kuanzia usoni mpaka maeneo ya sehemu zangu za siri. Umati wa watu ulizidi kuwa mkubwa sana mara tatu ya ulivokuwa huku madererva teksi na boda boda wakipiga honi zao. Niliendelea kuumia mwili wangu wote na akili yangu ikawa imenivurugikaa kabisaa, nikiwa bado katika hali ya mshangao wa ule umati mara uso wangu moja kwa moja ukakutana na mtu kama Steve… Bado niliendelea kuangua kilio huku nikimtazama yule mtu aliyefanania kama Steve. Maumivu niliyokuwa nimeendelea kuyapata ndio yalikuwa yamenivuruga kichwa changu na akilli kwa ujumla huku zile kelele za madereva taksi na boda boda zikiharibu kabisa halmashauri ya ubongo wangu nakujikuta sijielewe elewi.. “..Steve..? Steve..?” Nilimwita yule mtu niliokuwa nimemfananisha na Steve, hakunijibu chochote zaidi ya yeye kuchukuwa kipande cha fimbo pembeni kwa mwenzake kisha akanivaa na kuanza kunichapa kwa nguvu zote. “..Kituoni palee, tumpelekeni tu, mpumbavu mkubwa, yaani usiku tulale yeye atukoseshe usingizi wetu kwa kutuwangia, tena fala kabisa..” Aliendelea kuongea yule mtu niliokuwa nimemfananisha na Steve na kweli hakuwa Steve niliyemdhania, kwani huyu alikuwa mweupe sana pili hata ile ongea yake ilikuwa tofauti na Steve ninayemjua mimi. Maskini baada ya kunidhalilisha Tina mie hatimaye wakaniburuta mpaka kituo cha polisi. “Afande Adrian, huyu asiingie kwanza ndani, hiyo midamu yake kuanzia kichwani mpaka miguuni inabidi tuitoe..” Aliongea askari mmojawapo tena kwa ukali huku ule umati wa watu uliokuwa umenizunguka na kunipiga ukitawanyika, na sasa ilikuwa ni vita yangu mie na mapolisi hapa kituoni. “…afande embu changamka na kalete ndoo mbili za maji pamoja na viwembe viwili..” Yule afande aliendelea kuamrisha na punde, yule aliyekuwa ametumwa akawa amesharudi na ndoo mbili huku mkononi mwake akiwa kashikilia viembe. Zile ndoo mbili zote ziliishia kwenye mwili wangu huku mabaki ya damu damu yaliochanganyika na vumbi vumbi yakichukuwa nafasi yake kutoka katika mwili wangu, na baada ya hapo nilipewa lishuka chafu chafu lililonuka mikojo nijistiri. Ndani ya muda mfupi nikawa sio Tina yule unayemjua kwani nilinyolewa kichwa changu chote nakubakiwa na upara tena ule uliojaa madonda donda yaliokuwa yamegandishwa na damu damu. Niliingizwa ndani nakuchanganyika na wahalifu mbali mbali tena mwanamke nilikuwa peke yangu.. “..utakaa apo kwa mda na usiku tutaliamisha na kulipeleka kulee..” Alionge askari, akimwambia mwenzake kuhusiana na mimi. Woga uliokuwa umenijaa tena ule uiochanganyika na kutetemeka mwili mzima huku nikiwa kama mtu aliyepigwa na ganzi kwa maumivu yake. Hata ile hamu ya kula sikuwa nayo tena, na mpaka inaingia jioni hakuna hata polisi aliyetaka kuchukuwa maelezo yangu hivyo nikajipa maswali mengi kichwani nakuona huenda hakunaga maelezo kwenye kesi kama hizi za kichawi. Taa zilizokuwa zimewashwa ndani ya kituo hiki cha polisi ilidhihirisha wazi umeshawadia usiku. Hata askari yule aliyekuwa akinifokea mchana naye aliondoka nakuja maaskari wengine wakakabidhiana zamu pale huku nawasikiliza. Nikiwa bado katika dimbwi la mawazo mara.. “.. wee mchawi..?, mchawi…?” Aliniita polisi mmoja huku akija kunitoa nakunipeleka hadi kwenye meza kubwa kisha akachukuwa kitabu kikubwa nakuanza kunihoji huku akiandika kitu. “..embu niambie jina lako kamili, na unaishi mtaa gani hapa Bagamoyo..?” “..naitwa Lucy Andrew na natokea Dar es salaam..” “..Lucy Andrew, huku Bagamoyo ndio ulikuja kuwanga..? wenzako wako wapi..?” “…Afande ni vigumu kuniamini lakini ukweli bado upo pale pale, tangu nimezaliwa mie nausikiaga tu uchawi na sijui hata huwa wanafanyaje fanyaje, na nilikuja kwa ndugu yangu anaitwa Ste….” Kabla sijamalizia kuongea chochote nilishangaa kumuona Steve akiingia ndani ya kituo cha polisi tena huku sura yake kaikunja. “..Steve..?, Steve..?” Nilijikuta nongea kwa sauti ya chini chini huku nikijihisi mate yamenikauka kwa sauti yangu ilivyokuwa ndogo. Steve alinisogelea mpaka pale kwenye meza kuu tulipokuwa tumesimama. “..jambo afande..?” Walisalimiana na hapo hapo halmashauri yangu ya kichwa ikafanya kazi wa urahisi zaidi nakujua haraka kumbe Steve ni polisi tena yule anayeheshimika. Baada yakusalimiana pale kumbe Steve hakugundua kuwa aliyekuwa anahojiwa ni mimi hivyo ile anataka kujiweka sawa hapo hapo nikaropoka kwa nguvu. “.Steve ni mimi Lucy hujanijua jamani..?” “..kelele…?, shiiiiiiii….!!! huruhusiwi kuongea chochote mpumbavu weeeee….?” Alidakia yule polisi aliyekuwa ananihoji mwanzoni na nilivyoongea tu hivyo Steve alinigeukia taratibu huku akiusogeza uso wake karibu yangu nakuniangalia vizuri.. “..umejuaje jina langu na wewe ni Lucy wa wapi..?” Ni vigumu kuamini Steve kwakuwa nimeshaharibiwa sura na hata nywele sina embu niangalie vizuri, mie ni Lucy yule wa Dar es salaam na hii yote nikukufuata mpaka huku na ona nlichofanyiwa na watu wenye roho mbaya.., ningeuliwa Steve..!! ningeuliwa tena kwa ajili yako..!!” “..unasemaje…? Lucy sasa hapa umefikaje..?” “…ndio maana nikakwambia ni stori ndefu ila kifupi nimefanyiwa vibaya na mtu ambaye nilipanda naye daaladala mpaka hapa Bagamoyo ambapo aliniibia simu yangu kwenye daladala niliposhuka tu sikumuona, nilielekezwa mpaka anapoishi na nilipofika kwake akinifanyia madawa yake nakuniharibu sehemu zangu za siri na nilipokuja kuzinduka asubuhi nilijikuta nipo makaburini tena huku nguo zangu zikiwa imetapakaa kwenye misalaba ya makaburi na hapo hapo ndipo watu wenye hasira kali wakaniona nakunifuata nakuniita mchawi huku wakinitembeza mitaa ya huku karibu yote tena nikiwa uchi kama nilivyozaliwa…” “..pole sana Lucy, Afande..? huyu binti namjua na hata nilivyokuwa kwenye msiba wa kaka yangu kule Dar huyu alitusaidia sana nakuwa karibu yetu katka kipindi chote cha majonzi..” Nilihisi moyo wangu kujaa na barafu tena ile ya baridi kwa furaja ya ajabu huku mwili wangu ukinisisimka nakuona mtetezi wangu sasa amepatikana, ile hamu yakuwa kicheche sikuwa nayo tena zaidi yakufikiria nirudishwe zangu Dar tu nikajisomee.. Ndani ya muda mfupi Steve aliongea na askari mwenzake kisha wakanichukuwa mpaka kwenye gari huku nikijikunyata na lile shuka nililopewa kipindi nimemwagiwa maji na kunyolewa nywele zangu. Nilifikishwa mpaka nyumba aliyokuwa akiishi Steve, ilikuwa ni nyumba kubwa na tulimkuta mke wake ambapo nilipofika tu alinishangaa sana lakini baada ya Steve kumuambia kilichonikuta alinionea huruma nakuingia chumbani kwake kisha akatoka na gauni na khanga halafu akanipeleka mpaka jikoni nikavaa nakurudi sebuleni.. Hakukuwa na chumba cha wageni lakini kulikuwa na godoro la akiba ambapo nilitandikiwa vizuri pale sebuleni kisha nikapewa shuka la kujifunika nikalala zangu. Ndoto za ajabu ajabu ndizo zilininyima kabisa usingizi wangu, usiku wote nilikuwa mtu wa mawazo huku machozi yakijitokea peke yake, nilijikuta hata kwanini sikuingia darasani nikatulia, nilimuonea huruma baba yangu aliyekuwa akinitumia ada na hata hela ya matumizi kila baada ya wiki mbili ambapo alikuwa akinitumia hela nyingi sana tu.

“..kweli dunia tambala bovu…” Niliusemea moyo huku nikiufuta mchozi wangu nakujifunika vizuri. Kutokana na kukosa usingizi ukijumlisha mawazo niliyokuwa nayo na ubaridi uliokuwa unausumbua mwili wangu hatimaye nikaanza kuhisi hisia za ajabu zinatawala ndani ya mwili wangu huku akili ya kishetani ikinituma nimfuate Steve chumbani kwake akanifanye.. “..Hapana…? hapana..? nimesema nooo…?, noooooooooo…? Sitakiiiii….?” Hisia zilishindwa kabisa kuuzuia mwili wangu hivyo nikajikuta nimetupa shuka pembeni nakuinuka huku nikiongoza mpaka chumbani kwa Steve, ile nakaribia tu kufika mara mlango wachumbani kwake ukafunguliwa kisha akatoka mkewe aliyekuwa amevalia nguo ya kulalia, kabla hajaongea kitu nilishangaa macho yake yanabadilika rangi nakuwa kama yakijani tena yenye mwanga mkali na meno yake yakichomoza mithili ya zile picha za kutisha za mazombi. Nikiwa bado kwenye mshangao ghafla nikahisi kama yule mke wa Steve kayeyuka, niligeuka haraka haraka nyuma sikumuona, nikaangalia na mbele sikumuona hivyo nikajijaza moyo wa kijasiri nakufungua kitasa cha mlango wao taaratibu huku nikiamini kabisa atakuwepo Steve na watoto tena wamelala kwa usiku huu. Kila nikifungua kitasa ndivyo kilizidi kuwa kilaini huku kikipitiliza mpaka nikafanikiwa kuingia, taa ilikuwa imewashwa ambapo nilimshuhudia Steve akiwa amemkumbatia mke wake. Niliishiwa nguvu nakujikuta nikiurudishia ule mlango kama nilivyoukuta nakurudi sebuleni, ile najigeuza tu nirudi zangu nilipotoka mara tena uso kwa uso na mke wa Steve na safari hii alikuwa kabadilika kidogo….. *** Kwa hali kama hii kweli Tina atakuja kuachana na u play gal..? *** Hiyo ndio Bagamoyo aliyoivamia Tina kwa pupa, Tina atafanikiwa ku sex na Steve..? *** Unavyodhani Tina atatoka salama tena? na kwanini Tina hatumii akili? *** Huu ni mwanzo tu, huko tunapoelekea ndio balaa ni zaidi yakutisha, kusisimua, kukuliza na hata kukuondolea stress kama ulikuwa na mawazo…

ITAENDELEA

Play Gal (Tina Zoa Zoa) Sehemu ya Nne

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment