Dully Sykes Ft Mr. Blue – Dhahabu Lyrics
LYRICS

Dully Sykes Ft Mr. Blue – Dhahabu Lyrics

MP3 DOWNLOAD Dully Sykes Ft Mr. Blue - Dhahabu
Dully Sykes Ft Mr. Blue – Dhahabu Lyrics

Dully Sykes is a Tanzanian musician who sings majorly in the bongo Flava genre, comes up with the new song titled Dhahabu, Featuring A top Tanzanian rap artist and serial hitmaker, Mr. Blue. Below are the Dhahabu Lyrics written and performed Dully Sykes Ft Mr. Blue.

Dhahabu Lyrics by Dully Sykes Ft Mr. Blue


Nakupenda maa!
Basi njoo maa!
Nikila saa kabisa! uko kwa kichaa!
Girl just listen,tuishi kama
heaven
Nakuweka kwenye top 10
Nadata na reception
Mi nachoka hoi, pande zote huniboi
Niite baby boy to me, achana na
toy
Dozz pipo doz mapozi
Sasa dozi na hisia za machozi

Na napenda zako nywele ndefu
Zimekwenda shule
Upande wa maumbile
Nadata toka pande pande ile
Sura yenye mvuto mashavu yenye
dimpose
Sura yenye mvuto mashavu yenye
dimpose

Oh! oh! oh! yaani soo!
Nimepata dhahabu mtoto wa kariakoo
Mtoto anavutia kila upande ooh!
Mtoto anakomesha mpaka mabishoo
Oh! oh! oh! yaani soo!
Nimepata dhahabu mtoto wa kariakoo
Mtoto anavutia kila upande ooh!
Mtoto anakomesha mpaka mabishoo

Mara ya kwanza nilikutana naye kiutani
Nikampa hi! huku akinishika shavuni
Am a Josline a.k.a mpendwa na watu
Kwasababu mi naflow style zaidi ya tatu
Ye kashtuka kanifagilia
Hakuamini kama ‘Basi’ nimewaimbia
Mshkaji mmoja hivi ndo uliofuatia
Mara akatikisa kichwa kifuani akaegemia
(Ghafla akaanza kulia)
Huku akinishika kwa hisia
(Wasiwasi ukanijia)
kumuona demu anaridhia
Anadai anazimika nnavyo flow
Nambusu mpaka mwisho, yaani naweka fullye
Hisia zangu kwenye muziki zinachoma
Ndo sababu kubwa iliyomfanya anipende sana
Mtoto mzuri ukimwona utampa heshima
Mi namuita dhahabu ndani ya
kariakoo nzima

Oh! oh! oh! yaani soo!
Nimepata dhahabu mtoto wa kariakoo
Mtoto anavutia kila upande ooh!
Mtoto anakomesha mpaka mabishoo
Oh! oh! oh! yaani soo!
Nimepata dhahabu mtoto wa kariakoo
Mtoto anavutia kila upande ooh!
Mtoto anakomesha mpaka mabishoo

U-Lonely tena bye, mi nafurahi
Niko sehemuza majani, kichwani
niko high
Namuona manzii maskani, yuko
so fly
Mi nawahi, najigeuza Dully namfuata
nampa hi
Nimeshaini kama Mully, kadata
mtoto hakatai
Anangaa kama Gold
Yeah! yeah! yeah! yoah!
Anaita kama bling thing
Kama dhahabu, amefika kwa King
Queen wa kheri na ajabu
Anakila sababu, asipate tabu
Nimezimika ajabu…sana tu
Yoah! Hapendi pesa, hapendi show
Yeah anampenda Blu
Washamteta hasemi no!
Ye anawaona fool
Noma na kabaisa ajulikana mpaka kwetu
Steve unataka kumjua?
Master J twenzetu

Oh! oh! oh! yaani soo!
Nimepata dhahabu mtoto wa kariakoo
Mtoto anavutia kila upande ooh!
Mtoto anakomesha mpaka mabishoo
Oh! oh! oh! yaani soo!
Nimepata dhahabu mtoto wa kariakoo
Mtoto anavutia kila upande ooh!
Mtoto anakomesha mpaka mabishoo

Ohhhh! Unasifiwa style
Una bonge la smile
Nila ‘am telling’, napenda yako smile
Popote najinadi (2x)
Hakuna wa zaidi, hata awe P.Diddy
Oh my girl sema chochote nikugee
Mtoto unakata, hapo mi ndo nadata
Kiuno nakamata, oh! raha nazipata
Raha nazipata
Go! go shorty
Washa mi nidate,no story
Unaponipa mate, ona sasa wameshaanza hao
Nishikie, na sa walete gan tena zao

Dully Sykes Ft Mr. Blue – Dhahabu Mp3 Download

Also, check more tracks from Harmonize;

Leave a Comment