Lady Jaydee Ft Rama Dee - Kama Huwezi Lyrics
LYRICS

Lady Jaydee Ft Rama Dee – Kama Huwezi Lyrics

MP3 DOWNLOAD Lady Jaydee Ft Rama Dee - Kama Huwezi
Lady Jaydee Ft Rama Dee – Kama Huwezi Lyrics

Tanzanian singer specialized in the R&B, Zouk, and Afro Pop famous known as Lady Jaydee drop a new hit song titled as  Wangu, Featuring A top rap artist and serial hitmaker, Rama Dee. Below are the Kama Huwezi Lyrics written and performed by Lady Jaydee Ft Rama Dee.

SIMILAR: Lady JayDee Ft Mr. Blue – Wangu Lyrics

Kama Huwezi Lyrics by Lady Jaydee Ft Rama Dee

Vipi mpenzi huoni mbali
Kweli huwezi kwenda mbali na mie
Kweli mengi huletwa ndani
Si halali kuyapokea yote unitupie

Tutagombana kila siku mpenzi
Tutaudhiana kila siku ndani

Kama huwezi ehh ehh
Kuwa mkweli ehh ehh
Kamwe mpenzi mbele hatutofika mama
Kama pesa, zipo za kututosha ma
Kama huwezi ehh ehh
Kuwa mkweli ehh ehh
Kamwe mpenzi mbele hatutofika mama
Kama pesa, zipo za kututosha ma

Hizi lawama ziishie leo leo
Isifikie wakwe wanivue vyeo
Kwa gubu lako tu, mamii
Lawama zako zisinitie uchizi

Nibadili mipango yetu mingi
Hatutogombana tukifata yetu
Tutaheshimiana tukipanga yetu
Hatutafikia kugawana mali, mimi na wee

Kama huwezi ehh ehh
Kuwa mkweli ehh ehh
Kamwe mpenzi mbele hatutofika mama
Kama pesa, zipo za kututosha ma
Kama huwezi ehh ehh
Kuwa mkweli ehh ehh

Kamwe mpenzi mbele hatutofika mama
Kama pesa, zipo za kututosha ma
Tutagombana kila siku mpenzi
Tutaudhiana kila siku ndani
Tutatishana kugawana mali
Bila kumjua mchawi wetu nani
Hatutagombana tukifata yetu

Tutaheshimiana tukipanga yetu
Hatutafikia kugawana mali mimi na we
Kama huwezi ehh ehh
Kuwa mkweli ehh ehh
Kamwe mpenzi mbele hatutofika mama
Kama pesa, zipo za kututosha ma

Kama huwezi ehh ehh
Kuwa mkweli ehh ehh
Kamwe mpenzi mbele hatutofika mama
Kama pesa, zipo za kututosha mali

Lady Jaydee Ft Rama Dee – Kama Huwezi Mp3 Download

Chek More Track From Lady Jaydee;

Leave a Comment