Mbosso - Nimekuzoea Lyrics
LYRICS

Mbosso – Nimekuzoea Lyrics

DOWNLOAD MP3 Mbosso - Nimekuzoea
Mbosso – Nimekuzoea Lyrics

WCB Tanzania’s biggest record label singer Mbosso drops his new single “Nimekuzoea” Below are the Nimekuzoea Lyrics written and performed by Mbosso.

SIMILAR: Mbosso ft Reekado Banks – Shilingi Lyrics

Nimekuzoea Lyrics by Mbosso

Hujaacha tobo uliloniachi ni bonge la tundu
Sina nyendo mama kaninunia nahisi gundu
Nakunywa gongo najisaidia nguoni aibu
Uu walongo kitanda changu ndio chooni
Wee ndio sababu uh uh wewe sababu uh uh

Buto mobimba na nzolela
Naumia sana nimekuzoea
Buto mobimba na nzolela (mama)
Naumia sana mama
Nimekuzoea ah

Mmh ndoto za ajabu
Kichwani unakuja wewe, sura yako
Nishasomewa vitabu bado vinasema wewe
Nikifa maiti yako yee hee

Aya aya aya aya
Machozi hayataki kukauka
Aya aya aya aya
Nafuta kushoto kulia yashuka

Aya aya aya aya
Na machozi hayataki kukauka mama
Aya aya aya aya

Utamu wa nanasi
Ghafla huwa mchungu sana
Ukinywa maji
Baby wangu wasiwasi
Nani kakuficha mama
Rudi basi iiii

Ah tajiri wa huzuni machozi kwangu bwelele
Upepo wa firauni umemkumba ngedele
Mifukoni mbuni vichenjichenji njenjere
Namaliza sabuni mdomo koma kelele

Buto mobimba na nzolela
Naumia sana nimekuzoea
Buto mobimba na nzolela (mama)
Naumia sana
Nimekuzoea ah

Mmh ndoto za ajabu
Kichwani unakuja wewe, sura yako
Nishasomewa vitabu bado vinasema wewe
Nikifa maiti yako yee hee

Aya aya aya aya
Machozi hayataki kukauka
Aya aya aya aya
Nafuta kushoto kulia yashuka
Aya aya aya aya
Na machozi hayataki kukauka mama
Aya aya aya aya

Moyo una (malenge lenge)
Nahema kwa shida (malenge lenge)
Biashara yangu ya mapenzi (malenge lenge)
Ni hasara si faida (malenge lenge)

Maazoea (malenge lenge)
Nimekuzoea (malenge lenge)
Aaah (malenge lenge)
Nimekuzoea (malenge lenge)

Mbosso – Nimekuzoea Mp3 Download

Also, Check More Hits Song From Mbosso;

Leave a Comment