Mlinzi wa Geti Sehemu ya Pili
CHOMBEZO

Ep 02: Mlinzi wa Geti

SIMULIZI Mlinzi wa Geti
Mlinzi wa Geti Sehemu ya Pili

IMEANDIKWA NA: MOONBOY

*********************************************************************************

Chombezo: Mlinzi Wa Geti

Sehemu ya Pili (2)

Niliingiwa uoga na kuisababisha nanii yangu kulala doro

Maana katikati ya mapenzi ukiingiza hofu tu basi huezi kufanya tena hadi baada ya nusu saa au lisaa mpaka ile hofu itoweke kabisa

Ndio uweze kusimamisha tena

Sasa mtoto wa kiume nilikua naulizwa na jack huku tukiwa katika pozi lile lile la kushikana tena hata mkono wangu sikuutoa kule ndani ya chupi maana baada ya kugusa maeneo yale ndia akaanzisha maswali ya kijinga kijinga tu

“Kwanini uulize hivyo?”

“Ndio, kwasababu Shebe ninaemjua mimi hajawahi kunimwagisha mabao kabla ya kuingiliana kwasababu yeye yupo bize sana na kazi za baba yake hivyo akija tu ni denda kisha ananifanya na kuondoka zake yaani hana muda mrefu wa kunianda sasa nashangaa leo miraha yote hii inatoka wapi na wakati hajawahi kunifanyia hivyo?”

Sasa kabla sijamjibu nikawa nachezea kisimi.

“Sssssiiiiiii ebu toa kwanza uo mkono wako”

Akautoa kisha akanyanyuka na kusimama huku chupi ikionekana kuloana kabisaaa

Nikaona sasa hapa ipo kazi maana tena na usiku huu hili ni dili iliobuma ilibidi tu niongee ukweli

“aaahh ni kweli mimi sii huyo unaemzania ila nilishakwambia toka ile siku ya kwanza pale disco kua mimi sio huyo unaemzania kua Ila hukutaka kuasikia…na mimj kutokana na shida zangu nilikubali kwani ulinilazimisha kua mpenzi wako na mimi kama sio wewe sijui ningelalia wapi siku zote hizi”

Sasa mtoto wa kike kuskia hivyo alichukua ule mtandio na kujifunga

Eti ili nisimjue wala nisimuone uchi wake

“ah ah lakini mimi sina kosa kwani ulijirazimisha mwenyewe”

“unasema kweli we sio Shebe?”

“ndio na kama huamini mpigie simu na ueke laudi spika umsikie”

Basi mtoto akachangamka kutafuta simu ili ampigie mpenzi wake wa kweli ni yupi?

Yaani mtoto vile anavyotembea na makalio nayo ndio usiseme yaani yamelegea kupita maelezo maana si nilimlegesha kwa mikono tu

“Mpigie sasa”

Basi mtoto wa kike akampigia kisha akaiweka laudi spika

“haloo shebe?”

“we jack mpenzi mbona simu yako haipatkani?”

“iliku ”

Akasita kwanza kisha akaniomba ushauri

“nimuambieje sasa?”

“mwambie ilikua chaji kwa jirani kwani umeme wenu uliisha”

“hapana hivyo hatoniamini”

“basi mwambie luku ilipoisha ukaskia uvivu kwenda kuchukua”

“kwani luku si inanunuliwa kwa simu?”

“sasa simu si iliisha chaji we vp mwambie”

“mpenzi simu ilikua chaji kwa jirani”

Sasa alipokua akiiongea na simu alikua kashika sofa mithili ya kuinama sasa ukijumlisha na kale kamtandio alichovaa yaani ni majanga tupu…

Hadi alinitoa hofu na uume wangu kusimama kwa mara nyingine tena

Nikamfata na kumshika kiuno wakati bado anaongea na simu

“jamani baby nisamee mpenzi wangu”

“unajua jana nilitaka kuja hadi kwako sema nilizidiwa na kazi”

“usijali we njoo kesho asubuhi mpenzi”

“Niandalie mayai basi baby”

“usijali mpenzi”

“poa i love u”

“love u too”

“ok goog night”

“night to you”

Alimaliza kuongea na simu mimi nikiwa nipo nyuma yake nimemkumbatia

“ebu niachie uko”

“nini tena Jack?”

“Kwanini usingeniambia ukweli? Afu ukanishauri kua niweke blacklist kwakua simu yako iliibiwa”

“sasa si baada ya wewe kunikubali kwahio ili nifanikishe mambo yangu ikabidi nami nikudanganye”

“hebu ona sasa nimemsaliti mpenzi wangu”

“usilie jack”

“usinishike tena toka kwangu”

“aaahh yamekua hayo tena?”

“sikutaki toka kwangu”

“jamani sasa na usiku huu nitakwenda wapi jack?”

Kweli Jack alikasirika sana tena sana

Ila sikua na jinsi ya kutoka maana ndio kashagundua sasa ukweli wote

“sawa natoka ila nashkuru kwa msaada wako wa kunihifadhi ndani kwako”

“toka bwana”

Mtoto wa kiume nilibeba vilago vyangu bila kusahau kabegi kangu kale nilikokatesekea

Basi mtoto wa kiume nilitoka hapo nyumbani kwake…ila nikiwa nafikiria pakwenda kulala Mara ilipita gari moja kisha likarudi kinyume nyume na kufunguliwa kioo

“mambo kijana?”

Ilikua ni sauti mwanamke wa makamo hivi

“poa shkamoo”

“asante kwa heshma yako”

Sasa yule mama akawa anafungua mlango wa gari na kutoka nje…

Lakini kabla hajaanza kupiga hatua nishtukia kuvutwa mkono huku nipotokea

“twende ndani hao wanawake sio wazuri”

Alikua ni Jack ndio alienivuta mkono

“kwani wana nini?”

“ni mashetani hao wanapenda vijana wadogo”

Tuliingia ndani huku nikihema juu juu kwa uoga

“Shebe? ivi ulisema unaitwa nani vile?”

“Sheby?

“uuwii yaani majina yenyewe ni sawa”

“we ita unavyojua…ila umependeza ulivyonirudisha”

“kwani nilikua m-baya?”

“wala tu”

Sasa tukawa tumekaa kwenye kochi na yeye akiwa vile vile na mtandio wake

Sasa nikawa namsogelea huku nikimuuliza maswali

“ulifikiria nini kunirudisha ndani?”

“mmhh niliogapa saa izi ukapate janga uko nije niambiwe nilikua nae”

Sasa mtoto alivyokaa kwenye kochi alijiachia yaani ilikua ni fulu mitego

“eeeee baba usinisogelee”

“kwanini sasa jack?”

“ulivyoviona mwilini mwangu vinatosha babu eehh?”

“mmhh moja tu jamani Jack”

“nitakutoa nje tena wewe oohoo we haya tu”

“mmhhh kama ni hivyo basi yaishe”

Sasa nilipogeuka akawa ananicheka kwa jinsi alivyonipiga mkwara”

“sheby? samaani ee?”

“samaani ya nini?”

“usione kama nakunyanyasa eeh?”

Mtoto alikua akiongea huku macho yamelegea vilivyo

“naomba”

“unaomba nini sasa?”

Mara akanisogelea kisha akauvua ule mtandio na kumkuta akiwa mtupu yaani hata ile chupi yenyewe alishaivua.

“Tooobaaa”

“toba nini bwana?”

“umevua chupi?”

“sasa kwani ni ajabu?”

“sss una nanii nzuri Jack duu”

“ndio, ishuulikie sasa”

“lakini?”

“Lakini nini Sheby? ulizani kuna mwanamke ataweza kuukataa mwili wako kweli?”

“una maana gani?”

“mwanzo nilikua nakutania tu ila kwa sasa nipo tayari U-n-i-m-ali-zie ut-am-u w-ako”

Mtoto kushikwa tu kidogo kesharembua na kuniachia nijisevie

Sasa najisevia kama Sheby na sio Shebe

Mtoto wa kike tayari alishalegea baada ya kuingia mikononi mwangu

Maana anavyojiskia ni raha juu ya raha

Basi mtoto wa kiume nilikua na likaptura langu niliojivalisha muda mfupi tu uliopita

Nikalivua na kubaki mtupu kama jack alivyo maana kinachonifurahisha kwenye mwili wa jack ni matt yake yalivyo ya saizi ya kati afu hayajaanguka kama yalivyo ya waliozaa..Afu pia nanii yake haikuchoka kama za wengine. Coz utakuta naniliu mbayaa mpaka unaiogopa yani kwa sura ilivyo mbaya

Basi mtoto wa kiume baada ya kuvua nguo jack akaiona nanii yangu

“mmhh jamani sheby umejaaliwa”

“aah kawaida tu”

“mmhh na hio ndio ilionifanya nikakushtukia muda ule. maana shebe hana nanii kubwa kama hio”

“hata ivyo utaiweza?”

Nilimkejeli kidogo ili nione atasemaje

“jamani sheby mbona unanidharau hivyo?”

“mmhh nakuona kama mtoto wa mama vile”

“bwana tuachane na hayo….Sheby?”

“mmhh?”

“nao -na-om-ba niinyonye basi”

“nini?”

“si hio”

Mungu wangu kumbe watoto wa mjini wanazinyonyaga? yesu na maria sijuagi kama hii tabia ipogo kweli maana niliskiaga tuuu ila nikaona ni fununu tu…kua itawezekanaje mtoto wa kike aunyonye uume? Kumbe ni kweli? dah

“ah ah sitaki”

“ivi nyie mpoje nyie?”

“wakina nani sasa?”

“si wewe na huyo mwenzio?”

“nani?”

“si Shebe”

“nayeye pia hatakagi?”

“ndio”

“basi sasa ndio ujue kua kunyonya sio kuzuri”

“basi mi staki, tena niachie”

Mtoto akazila na kuelekea maeneo ya jikoni

Nikaona huyu mtoto leo nikimkosa basi huenda hata dhambi nitapata maana ni sawa na mungu akupe riziki afu uikatae na kusema kua sio yako kwani yako bado haijakufikia?

Hapana simuachi kwakweli na kama ni kunyonya wacha aninyonye tu

Nilimfuata kulekule maeneo za jikoni

Na kum bambia kwa nyuma na muda huo hatuna hata nguo

“bwana niache we sheby”

“sawa nimekubali”

“kweli?”

“ndio”

“oohh thenx, Sheby? I love u?”

“love u too”

Mtoto aliinama kwenye kalo la kuoshea vyombo mithili ya kama anaosha vile Ili nimshike shike vizuri

Na mwanaume mie sikulaza damu

“siiii aaaahhh sheby twende kwenye kochi baasi”

Basi tukarudishana hadi kochini

Kisha nikaanza mautundu yangu ya kumshika shika mwili wake ule huku denda linaendelea kwa wingi

“Sheby nipe basi”

“nini?”

“niinyonye”

Nikaona hapana siwezi kumpa

“sitaki”

Sasa ile anataka kuchoropoka ili aondoke nikamkamata kisha nikamuweka

“sheby bwana niachie ukoo”

Raha ya uume unaosimama bila shida ni hii..kwani sikuushika ili niingize ila niliulengesha wenyewe tu

Na kitu kikajibu

Fujo zote kwisha na sii huyu tu

Basi mtoto wa kike alitulia tuliii akiiskilizia jinsi ilivyopitishwa bila ya yeye kutarajia

Kisha baada ya hapo ni swaga za nje ndani

“ssssssiiii sheby taratibu basi mpenzi aaaaahhhh”

“tulia jackiii”

“uuuuhhhhhh uuuh uuuhhh uuuuhh ooommmh jjkkkg ”

“sssssiiiii aaahhhhh”

Nilimuweka staili ya kushika sofa ila wote tulikua juu ya sofa Akiwa kashika sehemu ya kuekea kisho (mkono) Nilikua nakatika kwa hasira maana karibuni navunja dafu

“mmmmmmmmhhh aaaaa sss aaaa ssss aaaa sss aaa”

“we majirani wataskia”

“laki-n-i ha-wa-too too”

“unasemaje?”

Mtoto alikua hawezi hata kuongea kwa miraha ninayompa

“ja-ma-ni s-he-b”

“nini wewe?”

“pizi basi”

“usijali”

Basi mtoto wa kiume sikuchukua muda nikapasua dafu

“aaaaiiiiiiighhhhh mmmhh”

Nilipasua dafu lakini nanii bado ilikua yamoto yaani haikulala

“we sheby umemwagia ndani?”

“mmhh”

“kwanini sasa na hatuvaa kondom?”

“nisamee”

Nikatoka nikawa naelekea kwenye friji ili kupata maji baridi

“sasa unaenda wapi sheby?”

“kwani vp?”

“aaaaAA utanipigaje bao moja bwana wakati bado nanii lako linataka?”

“nakunywa maji kwanza”

“fanya fasta basi nisipoe”

Nilikunywa maji chapu na kuja kumpaamia

“sheby?”

“mmhhh?”

“sasa ivi nataka staili ya kukaa juu”

“ipi iyo?”

“yaani mimi nikukalie”

“sawa njoo”

Basi mtoto alikuja juu na kuilengesha mwenyewe

“aaiiii ssiii”

“haya sasa kazi kwako”

Mtoto alianza kunikatikia mauno huku nikimshika shika matt yake na kuchezea ile shanga yake

“siiiiii sheby usiishike hio shanga”

Nikawa sisikii tena ndio nikazidi kuichezea kwa kasi zaidi

huku nikimnyonya matt yake

Mara akaanza kunifinya huku akifumba macho na kung’ata meno

Nikajua mtoto wa watu anakufa nini?

Na wakati huo bado anakatka kwa spidi kali mno

Mara akaupeleka mdomo wake kwenye shingo yangu nikajua nanyonywa shingo kimahaba.

Ayaa kumbe ananing’ata

“weee Jack unaning’ata bwana, wewe”

“We vp wewe? mbona umening’ata sasa?”

“plz Sheby nisamee sio kusudio langu kufanya hivyo”

“huu ni ujinga bhana kama ulikua hutaki ungenambia kuliko kutaka kuntoa kovu mi mtoto wa mwenzio”

“nisamee sheby Ila uloyataka mwenyewe”

“niliyataka? kivipi?”

“mi nilikuambia usiguse hio shanga husikii”

Sasa Aliposema hivyo ndio nilikumbuka stori moja hivi ikisema kua

Hua baadhi ya wanawake wafikapo kileleni huwa wana staili zao tofauti za kumaliza raha hio.. Sasa huyu jack staili yake ni kumng’ata mtu

Lakini Nikaona Hebu nimkague Maana usikute ni vimashetani vyeke vilimuamka na kutaka nyama za watu Afu mi nikazani ni kilele kumbe natakiwa

“we Sheby unanipanua panua nini?”

“subiri nikukague”

“bwana mi staki”

Asilimia kubwa ya wanawake hua hawatakagi wajulikane kua wamefika kileleni ila utamjua kwa vitendo tu na sio umchunguze

“subiri bwana usikute unataka nyama yangu wewe”

“bwana sheby sio vizuri hivyo unavyofanya”

“Basi nilichokitaka nimeshakipata”

Kumbe mtoto alikua anapizi tena kapizi bonge la bao

Maana lina…….au basi tu

Basi pale pale sikumchelewesha wala nini

Nilishika uume na kumueka sawa kisha Nikautupia kunako kiu yake

“we sheby mbona kama una hasira na mimi?”

Saa hio mtoto wa kiume nayakata mauno kwa hasira ili nichoke mapema nilale

Maana saa hio ilikua ni saa 6 usiku

Mtoto nilimueka staili ya mbuzi kagoma

Hii staili ni raha sana kwa wanaume

Doggy style , mbuzi kagoma na kichuma mboga hizi stali kwa wanaume zina sifa fulani ndani yake hivyo usione tukizipenda tu……

Basi mtoto wa kiume nilikua nampagawisha jack na miraha yangu

Bila kusahau kushika shika Makalio yake pamoja na kiuno

Kisha nikarudia kuzishika zile shanga

Sasa ndio nikagundua kumbe hizi shanga ndio zinampa midadi eeh? nilikua sijalijua hilo

Basi ndio nikazianzishia kazi huku nikiendelea na shuhuli zangu za kawaida

Nilimuona jack kaanza kukunja sura na kung’ata meno

“ssssiii aaaaaggg iiiiii sheby ongeza spiiiii aaaaaiiiigg ssss

Sssssiiiii oohhhhhhppppss aaaiii aaaiiii aaaa sheby ongeza spidiiiiiiiii”

Mara namuona anang’ang’ania sofa mithili ya kutaka kulichana hivi huku akijikaza kwa nguvu

Sikuchukua hata muda nilihisi joto kali sana kwenye naniliu yangu huku vitone tone vya nanii zake vikidondoka

Na wakati huo mtoto wa kiume bado sijafanikiwa hata bao la pili bado Afu yeye karibia 4 nzima

Mtoto alinigeukia na kunipa denda huku Akihema kwa nguvu

Ukiona mpenzi wako kachoka na anahema sana michosho basi nyie kuleni denda au mpe kidole chako cha shahada ili muongezeane pumzi maana kuhema sana ni dalili ya kukosa pumzi.

Basi mtoto alikuja ili nimnyonye denda huku mkono mmoja ukiwa katika shanga zake na mkono mwingine upo juu ya matt yake

Hivyo ni kama namuamsha tena hisia zake

“asaahhhhh sheby usi-sh-ik-e aaaahhh iiiiiiiggg uuuuuuuhhhh”

Mara mguu wangu ukahisi joto maeneo ya mapaja maana si alikua kanikalia huku tukila denda ila sikua katika shuhuli bali alikua kakaa tu juu ya mapaja yangu akiwa uchi

Sasa kuangalia ni nini kinachonipa joto hapo alipokaa jack kumbe alikua anapiz

“aaa we jack?”

“mmhh!”

Mtoto hata kuitikia vizuri hawezi kwa kuchoka

“ivi hii minanii yako ni mingi sana au?”

“we si umenishika shika mwenyewe”

Na wakati huo dudu yangu imesimama dede wala haina hata dalili ya kulala

“Sheby? basi mi nimechoka na siwezi tena kuendelea”

“sasa mi bado sijafika kileleni”

“pliiizi sheby nitakubania mapaja ili umalize”

“haaa Yaani unibanie mapaja na kitu nakiona hicho apo”

“Sheby plz yaani joto ninaloliskia hapa siwezi tena kuendelea”

“ivi unaakili kweli?”

Na mtoto kweli alikua kachoka kisawaa sawa maana hata macho yake hayawezi kufumbua kabisa

Lakini ili mwanamke akueshimu basi napaswa kuendelea…

Nilimshika mtoto wa kike na kumueka staili moja iitwayo KATELELO unaijua hio? najua huijui au unaijua

Basi mtoto alikua akilia kwa maumivu ya nanii yake lakini bado sikujali hilo…

Nilianza shuhuli huku mtoto analia kama mtoto mdogo

“Sheby sasa hapo unanibaka”

Wala simjibu Kwani nilikua bize kulitafuta bao la 2 na lilikua mbali kweli Ila jack aligundua kitu anachokijua yeye

“sheby hebu subiri kwanza”

“ninj bwana unanikatishia utamu”

Jack alijua mimi sina ugonjwa wa kupizi mapema hivyo ili nipizi mapema basi inabidi Atumie akili ya ziada ili nipizi mapema japo hio stali inawachosha sana wanawake na huwa hawaipendi ila kwa kumkomoa mwanaume basi lazima waifanye.

Staili hio wanaiita FRONT TO FRONT yaani ni watu wanaoangaliana Na ipo hivi ni ile mwanaume chini kisha mwanamke juu yaani mwanamke ndio atakatika badala ya wakiume na mkatiko huo pia sii kama ya ule wa juu chini ah ah

Hua anakua anakizungusha kiuno yeye mwenyewe Ila swala hili linahitaji mwanamke ambae sii mgeni na ngono ndio ataweza kumpizisha mwanaume kwa dakika chache tu

Basi jack alinilaza pale kwenye kochi na kuja juu kisha akailengesha mwenyewe na mimi nimetulia tu

Sasa mtoto alipoanza mapigo yake

Mungu wangu dakika 7 tu nilianza kuskia utamu wa kupizi bao la pili maana kiuno kinavyozungushwa duuhhh ilikua ni shida.

Sasa yeye akinifanyia hivyo nami nikawa nazishika na kuzichezea zile shanga zake huku nikiyatomasa matt yake

Mara nahisi kupizi Ila na yeye ndio kwanza anachanganya kiuno nikajua naevatapizi muda sii mrefu hivyo nikazidi kuzichezea zile shanga kwa kasi

“aaaaaaaa aaaaaaa!”

Nilipizi kibao cha pili kwa taabu sana

Mara namuona jack analeta domo lake huku kalipanua

Nikajua tu huu ni ule muda wa kutoa makovu kifuani

Hivyo nilichukua mto wa sofa na kumuegeshea pale kifuani ili Aung’ate badala yangu

Maana haya mapenzi ya kung’atana haya na kufanyana wamakondo mi staki

“we jack amka basi”

Mtoto alivyopizi na kuegemea kifuani kwangu naona hatikisiki wala nini

“we Jack? hebu amka bwana tukalale”

“Jack? Jack? jamani we jack utani gani huo?”

Nikamsukuma kwenye kochi kisha nikaamka

“unajua utani wako wa kijinga mi spendi…jack? jack? jack?”

Sasa nikamgeuza kama nataka kumlaza chali

Nilichokiona pale kwenye sehemu zake

“tooooobaaa yarabi mtoto wa watu mieee Uuuuuwiiiiiii Jack? Jack? Jack?”

Nilikua niko kama mtu aliechanganyikiwa hivi Maana sikua najua la kufanya kwa usiku huo na wala sijui kafenyeje mtoto wa watu Maana nilipomtazama ukeni nilimkuta akiwa ana damu kidogo

Hii inatokeaga hadi kwa wanaume pia.

Mtu hua akisex sana bao la mwisho hutoka damu iliochanganyika na manii hivyo kama sii mtu wa wa mazoezi basi waweza kupoteza fahamu kwani bao hilo huwa linajipanga kwa nguvu zote na wewe ukajikuta unazidi kukatika kumbe nyege zilishaisha.

Samahani sana kama wewe ni mtoto bora uishie hapa hapa maana yatakayotajwa huko mbele hua hayakuhusu na hata wewe mtu mzima pia….kama hupendi nitaje viungo basi we nicheki inbox au Usisome Maana hizi story zinalenga mapenzi sana na maisha kidogo hivyo hakuna kufichana kalne hiii hakuna asiejua majina ya viuongo hivi

Ila we mtoto siku nikikufuma unasoma hizi story Utajuta ku Log In faceBook

Tuendeleeni ila nikivitaja usichukie maana kila mtu anavyo. kwaiyo hakuna kuogopana hapaaaa

Basi bwana…. bao hilo huwa lina utamu tofauti na yote kwa sababu linatumia nguvu nyingi kujikusanya.

Hivi unajua kua nyege zinajikusanyaga pindi unapokatika?

Kama ulikua hujui basi ndoo ujue

Hivyo kibubu cha Jack kilishaisha na ndipo damu yako inakusanywa

ila damu hio ni tofauti na damu ya ngozi kwani ile ipo spesho kwa ajili ya pale tuu na ndio maana ukiskia kua watu wanakimbilia kupima D.N.A ili kujua kua mtoto ni wake au sio wake? Sasa hua damu ya mtoto inatokea huko

Sasa mtoto wa kiume nilipoona damu kwenye siri ya jack nilizidi kupagawa zaidi

Ila nilijikaza kama mtoto wa kiume na kumchukua jack moja kwa moja hadi kitandani maana tulikua sofani

Nilichukua taulo na kuanza kumfuta siri zake ili hata kama atakua amekufa basi asikutwe na damu ukeni…muda huo moyo wangu ulikua ukidunda mno…Maana natamani kumpeleka hospitalini lakini na ugeni huu nitapajuaje na usiku huu Hivyo lazima iwe kesho

“Jack? Jack? we Jack we? Jamani Jack hebu onyesha hata dalili za uzima basi?”

Nilikua nikijiongelea mwenyewe huku nikimfanyia usafi wa siri yake kwani hata kuoga sikua na hamu nako tena

Nikicheki muda tayari imetimu saa 7:30 usiku

Maski sheby mimi hata usingizi tu sikua nao kabisa Kwani nilenda kukaa kwenye sofa lililopo hapo hapo chumbani na kuanza kumuangali huku machozi yakinitoka tu

Na hata nguo sijamvalisha wala shuka kumfunika Ili apate hewa.

Sasa nikiwa namuangalia Mara nikaona vidoe vya mguu vinacheza cheza

“heee we jack umzima kumbe mama?”

Nilikurupuka pale sofani hadi kitandani huku nafsi yangu ikiwa na furaha kidogo.

“Jack? jamani itika basi nifurahi”

Niliona tu akitoa ishara ya mkono kua nilale tu yeye ni mzima

“uuuufyuuuuusss”

Nilipumua pumzi kubwa na hapo hapo nikalala usingizi mzito sana

BAADA YA MASAA KADHAA KUPITA

Na sasa ni asubuhi mida ya saa 2 hivi

Kuangalia kitandani namuona jack bado hajaamka

“Jack? Jack? jamani tayari kumekucha”

Nikaona ngoja nimuamshe na kumsimamisha kitandani

Masikini Jack hata kusimama hawezi

Nikaona dawa ni kumuogesha maji ya baridi ili apate nguvu…

Nikambeba hadi bafuni na kumlaza kwenye kalo la kuogea…kisha nikaanza kumtazama mtoto wa kike jinsi alivyoumbiaka afu mtoto sura anayo bila kusahau Umbo Alilonalo mtoto huyu…

Nilimtazama hadi nikafikia hatua ya kumtamani tena ila inabidi nijizuie

Basi nikafungulia maji baridi na kumsababishia atetemeke na kufungua macho kwa umbaaali sana

“Jack jamani mbona umeniweka roho juu hivyo?”

Mtoto anatamani kuongea lakini hawezi

Sijui kamekua kabubu? maana kanatoa mimacho tu

Basi nilimnyanyua pale na kumkumbatia akiwa mtupu na mimi pia nipo mtupu

Nilimpaka sabuni na mkono mmoja huku mkono mwingine ukiwa umemshikilia maana hata kusimama hawezi hivyo nimemsimamisha tu kama mdoli huku nikimsugua maeneo yote

Wakati nikiyafanya hayo uume wangu ulikua unauma kwa kusimama kwa muda mrefu bila kupata chakula chake….

Na yeye mwenyewe analiona jinsi dude lilivyokaza

“yaani angelikua mzima huyu? ningemuinamisha hapa hapa bafuni yani”

Nilijisemea kimoyo moyo huku nikiendelea kumsugua…

Sasa nikiwa namgeuza geuza ili nimsugje kila mahali basi mwili wake ulikua ukinigusa maeneo ya siri yangu hasa makalio yake yalikua beneti sana na uume wangu tena ukizingatia na vile alivyolegea afu na lile povu ninalompaka? duuuuhh Alinisababishia maumivu makali sana mpaka nilimueka chini kwanza ili vipoe…lakini bado tu vinauma…utafkiri nilikunywa dawa ya kusimamisha uume kumbe wala ni asili yangu tu….

Unajua vijana wa sasa hivi hua hatuwezi kusimamisha uume bara bara kwa sababu ya hili gonjwa lililotukuta (kujichua) hii ina afecti sana mishipa isababishayo msisimko.

Hivyo kama hujawahi kujichua hata siku moja basi ukiona mwanamke alie uchi ama nusu uchi….basi ni lazima uume wako utasimama kwa muda mrefu bila tena huku ukitetemeka tena na maumivu juuu na huyo aliekusababishia msisimko huo sio kwamba bado unae lahasha utakuta tu mlipishana njiani… na yule mwenye hii tabia hua akiona uchi au nusu uchi atasimamisha ila haina muda mrefu italala tu…… tena kama tatizo ni la muda mrefu utakuta keshamaliza bao kwa macho tu.

Basi mtoto wa kiume nilikaa chini na kuusubiria upoe huku nikimpotezea Jack katka akili yangu

Kumbe Jack alikua akiniangalia tu kwa mateso ninayo yapata kwa mida huo Na kunionea huruma juu ya mateso haya

Nilimuona Jack akijitahidi kuamka lakini hawezi kuamka maana miguu yake haikua na nguvu

Ila aliniambia kwa vitendo kua

“unasemaje we Jack?”

Alilala mithili ya kifo cha mende kisha akaniita

“we Jack una maana gani?”

Aliniita kwa kiganja cha mkono huku akinionyeshea pale chini yaani ukeni

“apana jack siwezi kwani bado unaumwa”

Nilikua kama nakaribia kulia ila jack yeye alikua akilia maana nilikua nina maumivu sana afu ukizingatia pale nilipokua nasex na jack nilipizi bao mbili tu. kiaskwamba bado hamu haijaisha.

Sasa kama ulikua hujui mwanaume ambae hajafika kileleni anajiskiaje? sasa ujue kua maumivu yake ndio hayo. “shiii she- by shi she b shiii aaii”

“we jack tulia bwana si umgonjwa?”

Nikaona ili asiteseke kuongea bora nimletee kalamu na karatasi ili aongee

“shika hii kalamu haya andika hapo”

Basi mtoto wa kike alikua anaandika

Aliandika kitu fulani ila sikukiafki kabisa

“Tafadhali sheby nakuonea huruma kwa jinsi unavyoteseka hivyo nakuomba nikubanie mapaja yangu ili upunguze hayo mateso plizi mpenzi kubali coz najua ni mbaya sana kufanya hivyo ila pia waweza poteza maisha kwa hali hio pliizi nakuomba njoo usex katikati ya mapaja yangu”

Hivyo ndivyo alivyoandika Ila sikutaka kufanya hivyo kwani asili ya mapaja na uke ni tofauti kabisa

Nilimuamsha na kumuogesha chap chap kisha nikaenda kumlaza kitandani Afu nami nikaenda kuoga na kurudi chap chap kisha nikawaza Atakula nini kitakachompa nguvu.

Maana kama ni kupika siwezi ,nilikumbuka kwenye ile droo yake kuna mibunda ya pesa hivyo nikachukua kama elfu 10 hivi na kutoka nayo nje…. Ila kabla sijatoka nikamtengeneza jamaa ili akae vizuri maana bado limesimama tuuu…na nikiwa nafanya hayo yeye alikua akiniangalia tu

Baada ya kuiweka ndonga sawa sasa nikatoka nje ili kutafuta kifungua kinywa

Nikaona genge moja la mgahawa nikalinyookea hilo hilo

“hodi?”

“karibu mwaya karibu ukae”

“apana silii hapa ila nataka kufunga”

“tukufungie nini?”

“supu munayo?”

“ndio ipo mpaka supu ya kitimoto”

“Aaaaggghh Achano na nguruwe bwana nipe steki ya ng’ombe safi na limau kwa wingi bila kusahau pili pili Afu na maziwa munayo?”

“ndio”

“nipe maziwa fresh lita moja akikisha yawe hayana maji eeh?”

“sawa”

“chapati zipo?”

“ndio”

“au funga chapati 6 za chips mayai”

“sawa kaka”

“ebu nipe kipande cha limau kwanza nikilambe”

“sawa”

Basi nilifungiwa mavitu yangu na kutoka pale huku nikilamba limao kwa nia ya kuisisimusha damu labda huenda ikatulia

maana hakuna uchi niliouona

“kaka chenchi yako?”

“aahh hio chukua tu”

Nina shida na pesa ila kile kiumbe cha watu kule ndani ni muimu zaidi

Basi nilifika ndani na kuandaa breki fasti kwa ajili ya jack

Nilimuandalia mezani mazaga zaga kibao ya kurudisha nguvu

Kisha nikaenda kumbeba ili aje avitabaaruku

Muda huo dude lilishapoa saa mingi mno tuu

“Haya twende ukale basi”

“umeleta nini?”

“vitu vitamu tuuu”

Sasa nilipokua namuamsha mara kanga ikadondoka

“Aaayaaa kumbe hukuvaa Chupi?”

Akatikisa kichwa kuashiria kua asingeweza kuvaa mwenyewe hivyo alihitaji kampani

Basi kabla hajaanza kula nikaona bora nimvalishe nguo kwanza

Basi nilimtenga pale sofani na kumuuliza

“hizo chupi zako unaekaga wapi?” nikampa kalamu na karatasi “zipo kabatini afu kwa pembeni kuna gauni langu jekundu na taiti ipo kwa juu ya kabati” “mbona maagizo mengi hivyo?” “jamani Sheby kama naweza kwenda mwenyewe si ningeenda?” “haya basi yaishe eehh hutaniwi”

Na hapo alikua akiongea kwa kuandika

Kwani kitu ambacho hawezi ni kuongea vizuri na kutembea kwa anasema kiuno chake hakina nguvu kabisa

“sasa ni chupi gani unavaa?”

“Nyekundu na taiti nyeusi”

basi nikaenda kuvileta kisha nikaanza kumvalisha kimoja baada ya kingine

Duuu nilipomaliza kumvalisha chupi nikaanza kumtamani na kuamsha midudu yangu tena..

Nikamvalisha na ile taiti kisha nikamaliza na gauni afu akakatishia na kanga..

“haya sasa supu hii ni lazima iishe na haya maziwa sawa?”

Nikampa kalamu na karatasi

“Tule wote”

“we kula mi nishakula huko huko”

Nilimdanganya

“Basi mi sili kama wewe huli”

Nikaona ngoja nile ili tuepue marumbano

Basi tuliila ile misosi hadi iliisha Kisha nikamchukua na kwenda kumlaza kitandani

“ayaaa Afu nimekumbuka jack? nina miadi na mtu leo saa 5 asubui hii sasa sijui itakuaje na ni kwenda kuonyeshwa kazi”

Nikampa kalamu na karatasi

“Sheby sitaki uende mahali na kama ni kazi ofisi kwa baba zipo nafasi nita kupeleka”

Nikafikiriaaa lakini nikaona hapana wanawake ni vigeu geu kwani ananidhamini sasa hivi baadae ndio yale ya kutupiana nguo nje..ikawa aibu tupu

“apana jack yule mtu ataniona mi mbaya kwani nilimuomba anitaftie na imepatkana”

“Laki si utalala huku kwangu?”

“pia hivyo haitowezekana”

“Kwa nini mpenzi angu?”

Unaona kashaanza kuniita mpenzi na wakati anae mpenzi Yaani hawa wanawake sijui wana mioyo gani hawa

“kazi yenyewe ni ya usiku tena hapa ninapoongea ndio nazidi kuchelewa”

“skia nitakaa hapa kwa dakika 10 tu za kumpigia rafiki yako yoyote wa kike aje akae na wewe hapa. Fanya hivyo kabla sijaondoka”

“Jamani Sheby tafadhali sana usiniache mpweke pliizi jamani”

kweli nilikua “Hapana sheby kwani ni kazi gani hio?” “Ni kazi ya ulinzi” “Jamani sheby pliizi nitakutaftia kazi ofisini kwetu tena ya maana tu”

Namuonea huruma Jack kwani alikua analia kama mtoto

Ila sikujali nilichukua vitu vyangu na kuviweka sawa hasa hasa kibegi changu

“skia mi ndio naondoka hivyo sasa we fanya mpango wa kupiga simu kwa rafiki yako yoyote”

Sasa nikawa naondoka bila hata ya kumuaga

“sheby ngoja kwanza”

Aliongea kwa mdomo huku akiwa kadondoka chini

“umeweza kuongea? ebu jaribu hata kutembea”

Nilimuamsha pale chini na kumsimamisha taratibu kwani hata kuongea yenyewe sio kwa sana sasa sijui kaafectika nini uko

“sheby siwezi bwana”

Sasa hivi haongei na kalamu tena

Sasa tukiwa tunatembezana taratibu mara mlango uligongwa

Ila ugongaji huu Jack anaujua hivyo alinisii nimrudishe kitandani haraka na nijifiche

“ni nani?”

Nilimuuliza huku nikiweka vitu vyangu sawa

“ni shebe”

“haaa kweli?”

“ndio”

“basi tutaonana siku nyingine kwani akiingia tu mi natoka”

“jamani sheby plii naomba uwe unakuja”

“nikipata nafasi nitakuja”

“mwambie asukume mlango upo wazi”

Basi alimuambia kisha jamaa akaingia ila sijamuona sura zaidi ya kuona suti na sauti za foengo

Sasa nikiwa nimetoka hadi nje nilikutana na gari mbili kali

Moja ni ya huyo shebe na nyingine ni ya yule mwanamke alienipita hapa jana usiku wakati nimegombana na jack na kama sii jack kunichukua basi mpaka sasa ningelikuepo kwenye mikono ya huyu mama

Sasa cha kushangaza zaidi ni yule mama alipowaamuru watu walioko ndani ya gari laku kua wanikamate

“kijana mwenyewe ndio yule pale. hebu mleteni haraka”

Nilianza kutetemeka kwa uoga maana hata sijui nakamatiwa nini na sijui nimewakosea nini hawa watu

“jamani labda sio mimi”

Nilianza kujitetea kwa njia hio kwani huenda nitakamatwa kwasababu ya shebe

“ulizani hatukujui? Afu unajifanya umebadili nguo ili tusikujue?”

“skia bro mimi naitwa sheby”

“nini? hata huyo tunaemtafuta pia anaitwa hilo jina”

“kwani nimewafanyeje jamani?”

“mzee wako tulimfanyia kazi miaka 15 iliopita afu Alivyo mjinga akatufungulia kesi na kutusababishia kufungwa jela sasa tunakukamata wewe ili atulipe kupia wewe”

“brooo sio mimi”

“mamy? mbona kinakazia tu sio yeye kwani huna picha ya huyo kijana?”

“picha yake hii hapa”

“haya sasa kataa tena…mjinga nini wewe”

“skia broo huyo munaemtafuta yupo pale ndani na mimi nimefanana nae tu”

Nikaona bora niseme ukweli juu ya hilo maana nitakamatwa kwa kesi isionihusu

“we jemali hebu mshike huyu kijana ili mimi nikaangalie huko anaposema kuwa wanafanania”

Basi nilikabiziwa katika mikono ya mmoja wao tena sikua na wasi wasi wowote kwani najua tu sio mimi mwenye hilo kosa.

Sasa jamaa alifanikiwa kumpata ila pia sikumuona kwani alikua analetwa akiwa nyuma yangu hivyo hata yeye hakuniona sura zaidi ya kuona mgongo na kichogo tu

Sasa yule mama akashangaa kwa kutuona tukiwa copiraiti kabisa na kushindwa kutambua kua huyo anaemuhitaji ni yupi

“we dogo? hebu sema kati ya wewe na yule nani ni mtoto wa mzee Deosi?”

“aiisee broo kwaio kama tunafanana sura kwani hata mavazi huyaoni?”

Saa hio nikiongea hayo wala sikua natamani kumuona huyo ambae nafanana nae

“watasema vizuri hawa hebu wachukueni wote twende nao kambini”

Daahh nikaona sasa haya maisha ya kufanana saa mingine mazuri ila saa mingine ndio kama hivi…yaani nimelaani mnoo kitendo hiki

Sasa kabla hawajaanza kutuburuza na kutukutanisha mara kuliskika king’ora cha police..Sasa kumbe hawa majamaa bado wana kesi ya kutoroka jela Hivyo waliposkia tu king’ora aliniachia na kusema kua

“muna bahati sana kwa leo..ila siku tutawatafuta tu nyie”

Waliondoka mbio isio ya kawaida

Sasa na mimi nikakumbuka kua nina kesi yangu binafsi ilionitoa kule kijijini na kunileta mjini

Hivyo sikukawia nikakata chocho fasta na kumuacha yule jamaa akishangaa shangaa

Basi nilikwenda kutokea mahali ambapo sikupatarajia kutokea.

“oya kaka? mi ni mgeni eti stendi ni wapi?”

Nilishukuru kwa kuelekezwa sawa maana naskiaga Dar kama huna pesa ukiulizia mahali basi wanakupoteza Ila huku chuga hakuna huo ujinga…

Basi nilifika stendi na kumsubiri yule dada Aliesema tukutane hapa

Punde sii punde dada yule alitokea na kunipakiza kwenye tax kisha tunaelekea huko kwenye kazi…

“eti samaani unaitwa nani vile?”

“naitwa sharbiny”

“oohh ulishawahi kufanyaga kazi kama hio?”

“aahh ndio”

Nilimdanganya Coz unaweza ukasema sijawahi afu ndio ukajikosesha kazi

“uliifanyia wapi?”

“mmhhh kule kule nyumbani”

“ok…Tax tumefika ni hapo mbele tu”

“sawa dada”

“huku ni maeneo gani dada”

Nilimuuliza huku nikiwa kama napafahamu vile

“huku wanapaita SAKINA na mtaa wenyewe ni KIBANDA MAZIWA”

“oohh sawa, kuzuri kweli”

Tulifika mahali tukashuka kwenye tax na kuanza kutembea kwa mguu

“Dada huko kwenye hio nyumba ni mbali eeh?”

“wala tu, si ile pale”

“ile ghorofa pale?”

“ndio”

“kwaio nitalinda lile jumba lote lile?”

“na usafi juu sio kulinda tu”

Tulifika hadi getini na kugonga kengele ya geti

“triiii triii?”

Nilipochungulia niliona mdada fulani hivi anakuja kufungua

“kwahio ukibonyeza hapo vinaenda hadi wapi?”

“inaishia sebuleni tu”

“kwaio hapo wametuskia kabisa?”

“ndio”

Dada huyu Alinivumilia kwa maswali niliokua nikimuuliza maana kashajua tu mimi ndio wale walee wa bushiiii…

Mara mlango ulifunguliwa na mtoto wa kike mrembo afu toto maji ya kunde Afu alinivalia mini sketi yaani hata taiti nilikua naiona.. Sasa si nikawa namuangalia

“unaniangalia nini? we fala nini?”

“hee we jesca sio vizuri hivyo, kwani we ni nani hasa usiangaliwe?”

“hee mwezangu yamekua hayo? basi yaishe, Ehe huyu ndio huyo mlinzi au?’

“ndio”

“mbona kichafu hivi hata hadhi ya hapa ndani hana”

“kwani we ni kwenu?”

Haaa kumbe huyu jesca sio kwao alafu ndio ana mdomo hivyo? Je kama ingekua ni kwao je?

Ila huyu dada alionileta ananifurahisha sana kwa kumpa vigongo vyake japo ni mrembo

UNAJUA MWANAMKE UKISHAKUA MZURI NA MWENYE UMBO LA KUVUTIA AFU UKAWA NA KIJIROHO FULANI HIVI, BASI UJUE KUA HUO UZURI NA UMBO LAKO SII KITU KWA WATU NA HESHMA ZAO HIVYO KWA WATOTO WAZURI NA WENYE MAUMBO YAO HAWAPASWI KUA NA ROHO MBAYA COZ UNAUPOTEZA UZURI WAKOOOO…

“haya ingieni ndani”

Lakini hii nyumba kama haijapotea saana taswira yake.. Au huenda zinafanana na hio nilioifananisha… kwani hii tofauti yake ni rangi tu

Sasa nilipokaribia kuingia ndani haka kajesca kalinizuia na kuniletea kiti kwa hapo nje…

“wewe huna hadhi na huku ndani sawa?”

“haya dada”

Niliitikia kwa upole wa hali ya juu mno huku nikiangalia madhingira ya nyumba hio…Basi punde si punde nililetewa chakula pale pale nje Na kukichapa kisawaa sawa

Baada ya muda nilipelekwa kwenye kijijumba ambacho kipo karibu na geti kubwa yaani hio ndio geto ya MLINZI WA GETI rasmi

Na kuingia mpaka ndani na kuonyeshwa kua nitalala hapo hapo na chakula wataniletea hapa hapa

Basi sikua na jinsi ya kukataa Ila kakitanda ni ka futi 4-5

Kisha alinizungusha nje ya huo mjengo kwa kunionyesha kazi ambazo nitazifanya saa za mchana na asubuhi….

“njoo na huku mbona unazubaa hivyo?”

Jesca Alikua akinipeleka puta kweli kweli

“umeona haya maua?”

“ndio nayaona”

“yanamwagiwa maji kila siku kwa mara 3 sawa?”

“sawa dada”

“tafadhali mimi sio dada yako”

“haya nimekuelewa”

Nilikua muoga kweli maana ushamba wa kijijjnj bado ninao

“kesho utapunguza haya majani na mashine ile pale sawa?”

“hayaa”

“ona domo lake lile Hayaaa”

Nilikua sina cha kumjibu maana bado ni mgeni wa jiji hili

Basi jesca alinionyesha mazingira yote yatakiwayo kufanyiwa kazi wakati wa mchana

BAADA YA MASAA 5 KUPITA

Na sasa ni mida ya saa 11:30 jioni

Nikiwa nimetulia kwenye geto A.K.A nyumba ya mlinzi Niliskia honi ikipigwa

“we shaba sijui shaba uko hebu fungua geti uko”

“sawa”

Nilifungua na kuingia gari moja kalii ila sikuona alioko ndani kwani vioo vilikua ni vyeusi tiii..

Gari iliingia kisha nikafunga geti vizuri

Na kuangalia huyo mtu anaetoka nikitegemea kua nitamuona mama mwenye nyumba hii

Aisee Kulitoka mtoto mzuri huyo

“haa ivi kaumbwa yulee au kashushwa?”

Nilikua nikijisemea mwenyewe huku nimeshika kidevu kwa uzuri wa huyu mschana…

Mara jesca akaja na domo lake chafu

“hee jesca leo hujaenda kazini nini?”

“yaa coz sijiskii vizuri, vp happy yupo wapi?”

“yupo anakuja,, Na huyu kijana ndio huyo atakaetunda?”

“mmhh shosti hata mimi tu nimeshangaa kukaona maana sijui ni kaki kalagosi cha wapi”

“hahahaha bwana we jesca usinichekeshe, vp nancy yupo wapi?”

“yupo bize na jiko huko”

“ok nipo ndani Oohh sorry we kaka samaani naomba uje”

Nilienda kwa adabu na unyenyekevu wa hali ya juu mno japokua anaonekana ni mdogo kwangu

“mimi naitwa AGNESS ila ukipenda niite Agii”

“nashkuru kukufahamu ila nami naitwa sharbiny ila ukipenda waweza niita sheby”

“Ati nani?”

“sharbiny”

“ok so utaitwa sheby sio?”

“ndio”

“ok vp umeshaelekezwa jinsi ya kufanya kazi? na mazingira kwa ujumla?”

“ndio”

“ok sawa, nipo ndani”

Jamani Duniani kuna watu wameumbika sio mchezo Maana AGNESS huyu kajaaliwa makalio ya wastani ila sio mnene saana

Sasa nikiwa namtafakari Agii Mara geti iligongwa

Basi kama wajibu wangu ulivyo ikabidi niende nikafungue geti ndogo huku nikiwa namtafakari agii

Sasa cha ajabu na cha kushangaza Agii ndio alikua akigonga mlango

“we si ulikua ndani? umefikaje tena huku”

“mambo?”

“mara ngapi sasa?”

“ivi unaakili wewe?”

“we dada samaani kule kuna mlango wa nyuma”

“kwani uliambiwa ni godauni hili?”

“nakuuliza tu”

“kwani vp?”

“nataka kujua umetokaje huku nje?”

Basi mtoto wa kiume nikawa nakomaa na huyu mtu Maana si nishamjua hana shida hivyo nikawa naenda nae kiutani utani tu

Sasa Nilipotupa macho kule ndani nikaona mwingine na huyu Agness Ninae hapa Getini nikiwa bado namuhoji maswali ya kizushi

“mbona sielewi jamani?”

“utajiju na macho yako”

Sasa huyu Agii akawa anaondoka kwa mikogo yaani anaonekana ni mtu wa watu…

“sasa Agii mbona unaenda na bado hatujamalizana”

“wee ishia hapo hapo mimi siitwi agii sawa eehh? AM HAPPYNESS”

“toba yarabi na jina umebadili”

“wewe tueshimiane Huyo agness wako yuleee”

Astakafiru rwahi sikuamini macho yangu

Kumbe wapo wawili hawa watoto wa kike? Yaani hawana hata tofauti itakayo watofautisha. Kwani hata sauti zenyewe haziachani kabisaa

Yesu na maria Mbona nitakoma humu ndani

Alafu watoto wameumbwa na wakaumbika sema sio wanene ila maumbo wanayo

Basi mtoto wa kiume nikarudishia geti langu na kurudi zangu kibandani

Muda huo Ulikua ni kama saa 12:30 jioni hivyo nilikua katika mchakato wa kufunga funga mageti vizuri huku nikiwa na mawazo mengi sana juu ya mama angu…kwani nilimuachia kesi ambayo haimuusu hata kidogo

Sasa nikawa namalizia malizia kufunga geti Mara Hausi geli kaja

“mambo we mkaka?”

“safi tu”

“mbona unajibu shotkati hivyo?”

“lakini dadaa si unaona nina kazi?”

“na giza hili jamani? mhh haya chukua chakula hiki apa”

“saa hizi chakula jamani? au Baiti baiti izo?”

“humu ndani chakula kinaliwaga saa 1 usiku..sasa kama unakulaga saa 4 ni huko kwenu babu weye”

“sasa ndio unanisuta?”

“sikusuti ila nakupa taarifa uijue”

“haya kipeleke kule geto basi”

“boooo nani aingie kule?”

“kwani kuna nini?”

“kuchafu babu weye”

“Basi nipe nipeleke mwenyewe”

Nikachukua msosi uliowekwa mahanjumati ya hatari hatari…

“na uvioshe hivyo vyombo?”

“jamani we dada sio vizuri hivyo”

“vizuri unavijua wewe au Unaongea tu?”

“sawa ntaosha”

Mara nikaskia sauti

“we Nancy weee?”

“Abee?”

“yaani kumpelekea tu chakula ndio imekua nongwa?”

“nilikua nasubiria vyombo”

“utavichukua kesho bwana”

“sawa nakuja”

Aliemuita alikua ni jesca, Kwani jesca hua ana kajiroho kabaya duu

Basi mtoto wa kiume nikaanza kukandamiza diko lenye rost ya roiko jichuzi mix

KESHO YAKE ASUBUHI MIDA YA SAA 3

“piiiii piiii”

Honi ilikua inagongwa Ili watoke waende kazini

Basi nilitoka mkuku mkuku nikiwa sina hata tisheti. maana nilikua nimelala utafkiri sio mlinzi vile

“yaani we fala ndio umelala hadi saa hii?”

“dada jesca nisamee tu kwa leo”

“hebu fungua geti uko”

“sawa”

“mmmhhh Afu mbona unanuka dampo dampo tuu?”

“aaaaa jana sijaoga”

Nilimdanganya Maana kinachonuka ni kile kibegi kwani nilikilalia usiku kucha huku nikiwa nimekikumbatia na kunisababishia harufu mbaya

“au usikute ana mzoga huku ndani eeh? hebu tumsachi huyu”

Akawa anaenda kule geto kwangu

“bwana jesca we achana nae”

Ilikua ni sauti ya pacha mmoja ila simjui jina maana siwaelewi kabisa

“hapana happy huyu utakuta ana mzoga huyu”

“sisi tunakuacha bwana”

Sasa jesca akaingia hadi chumbani kwangu kule kwa mlinzi

“hiki kibegi kina nini?”

“ayaa dada naomba sana nipo chini ya miguu yako tafadhali hicho ni kibegi changu”

“We mshenzi nini? Yaani utunukishe uchafu wakati tumeuona?”

“jamani dada zangu hicho kibegi kina nguo zangu za ndani”

Niliwadanganya kua nina boxer zangu huko kwenye begi…ili waniambie nizifue na wasikitupe

“sasa kama ni nguo za ndani ndio zinuke kama dampo?”

“mmmhh sijawahi kuzifua dada angu”

“msiiiuuuu (msunyo) hebu tutolee uchafu huko”

Akakitupa kwa nje yaani amekirusha kikapita juu ya uzio

kiukweli nilichanganyikiwa mno.. Maana nimeambiwa nisikiache wala kisipotee

“Naombeni nikakichukue tu”

“na ukienda kukileta tena hapa? na kazi hauna”

“sawa niko tayari kuacha kazi lakini sio hicho kibegi”

“hee ivi anaakili kweli huyu?”

Nikawa natoka nje ya geti

“we mbwa hebu rudi”

“jesca hebu muache akilete”

Hio ni kauli ya huyo happy sijui egi

Na kumpooza jesca….maana ana kilanga utafkiri ni kwao

Basi mtoto wa kiume nilikwenda kukichukua kile kibegi na kuingia nacho ndani kwa mara ya pili

heee Niliwakuta wamesimama wote watatu Tena wanaonekana wana jambo la kusema…mi nikajua tu nafukuzwa kazini..

“tupe hilo begi”

Ni sauti ya jesca

“la nini jamani?”

“we si utoe hilo begi”

Aliongea mmoja wa wale pacha

“jamani naombeni mliache ni nguo za ndani tu”

“hutaki au?”

Nikaona ngoja nijikaze kiume ili wasinizoee hovyo hovyo na kama ni kazi yao naacha

“Kwani munataka nini ndani ya hili begi?”

“tunalitaka tulikague huko ndani lina nini? ”

Sasa nikajifikiria kua mi mwenyewe niliambiwa nisilifungue kwa sasa hadi maisha yangu yatakapokua mazuri Sasa iweje niwape hawa waone? hapana bora kazi niiache kuliko kumsaliti mama angu

“jamani mutanisamee kama tatizo ni hili begi basi mi naondoka na vitu vyagu”

Kweli waliona ni utani Mara wakaona natoka na mikoba yangu begani….

Lakini saa hio nawasikia wanajilaumu kweli..

Sasa nilipotoka nje nilimuona Omba omba mmoja kakaa kando kando ya bara bara Afu kwa pembeni kuna askari

“ayaa Hawa wananitafuta mimi nini?”

Nilijiuliza maswali mengi ila nikajikaza tu ili nipite maeneo yale

“we mtoto mbwa sana wewe…tena kafiri mkubwa kama baba ako. pumbavu sana”

Sasa nikaangalia anamtukana nani? mbona kama ananinyookea mimi

“mzee unaongea na mimi?”

“mpumbavu mkubwa wewe tena ni mwizi kama baba yako”

Sasa wale askari kuskia mwizi ndio wakapata nafasi ya kunikamata sasa.

“mzee unasema huyu kijana ni mwizi?”

“ndio tena likamateni kabisa jibwa kabisa ilo”

“wee kaa chini pumbavu sana”

Sasa nikiwa napigwa marungu ya magoti Niliskia sauti safiii ikistopisha mirungu hio…

“jamani we askari utamuua kaka wa watu we sema nikupe shingapi umuache?”

Nilipogeuza macho na kumuangalia huyo mtu mwenyewe Duuu Sikuamini kama ndio yeye kweli

Na pia alikuja kwa upole sana utafkiri sio yeye

“we dada unamjua huyu kijana?”

Ni yule askari ndio alimuuliza huyu dada

“ndio”

“mbona inasemekana ni muizi?”

“hapana sio muizi mbona”

Kiukweli Jesca alinitetea sana na kutoa kiasi cha shilingi 50000 kwa ajili yangu

Basi askari yule aliniachia na kurudi tena ndani

Kwani Jesca ndio alifanya yote hayo mpaka kufikia hatua ya kuingia ndani kwa mara nyingine tena

“Sheby? naomba unisamee kwa yote niliofanya juu yako”

“nishakusamee”

“Jesca hivi ulivyokua ukimfanyia sheby haikua vizuri kabisa”

Aliongea mmoja kati ya hawa pacha kwa kumuambia jesca

“Sheby? nakuomba umsamehe tu”

Ni huyo Agness ndio aliniambia hivyo

“asijali kwani tayari nimeshamsamee”

“Sheby?…. sina tena mpango na hilo begi lako na tena kua huru juu ya hilo sawa?”

“sawa dada jesca”

“ok baki salama eeh?”

Waliniaga vizuri huku wakipanda gari yao kali..maana si walikua wanaenda kazini

Basi mtoto wa kiume nikafunga geti na kuingiza virago vyangu ndani

Na saa hio nilibaki tu na mfanyakazi wa ndani (house girl)

“we nancy? nancy weee?”

“Abeee?”

“kwa maana ndio usikii au?”

Nilianza na mimi kua kiburi cha kuongea maana washaanza kunikubali

“vp iyo chai sasa?”

“kwani ulileta sukari umu ndani?”

“unasemaje wewe?”

“na mdomo afu pua ikinong’ona”

“kweli we kumbe hunijui wewe”

“basi nakuleteaaaa”

Ilikua ni moja kati ya utani kati yangu na nancy

BAADA YA WIKI TATU KUPITA

Na leo ni juma pili mida ya mchana

Na leo kuna marafiki zao wamekuja

kuwatembelea

“we sheby?”

“ndio ndio??

“ndio ndio nini uko njoo uchukue chakula”

Watoto wa kike wote wale wakina jesca, na huyu nancy bila kusahau wale mapacha Ila mapacha wenyewe bado sijawajua vizuri kwani bado sijaona tofauti yao ni ipi ili niweze kuwatofautisha Maana hakuna hata mwenye alama ya uso wala mikononi mwao…tena bora saa zingine wanavaaga tofauti lakini wakivaa sale ni shida kabisaaa

Basi Nilienda kuchukua msosi ili nikaulie geto kwangu

Kumbuka hizi ni wiki tatu zimepita toka nianze kazi hapa

Sio nianze kufanya yangu Afu unihoji mbona haraka ivyo?

Basi mtoto wa kiume nilikua nakula chakula cha mchana

Ili nirudi kazini kwa kukata majani ya bustani.

Basi Nilimaliza kula kisha nikamuita nancy

“we Nancy wee?”

“abee?”

“njoo uchukue vyombo bhana”

“naja”

Basi nikatoka na kuelekea bustanini huko nyuma…

Ili nikatengenezee bustani. Mara niliitwa na nancy

“we sheby wee?”

“nini wewe?”

“uko wapi?”

“nipo uku nyuma”

“ngoja nije”

“uje kufanyeje bwana?”

“We si nilikuambiaga uwe unaoshaga vyombo vyako?”

“aaahh nancy kua mpole basii”

“niwe mpole nini?”

“sasa mimi si wakiume nitaoshaje vyombo”

“nani kakuambia wanaume hawaoshi?”

“basi na wewe nancy tuyaache hayo…Ehe vp wale wageni wanalala au?”

“kwani unawatakia nini?”

“aaahh si nauliza tu”

“wamekuja tu kumtembelea dada Agness”

“duuu ni warembo kweli yani duu”

“mmhh sheby wewe mbona sisi hujawahi kutusifia?”

“ah sasa we una urembo gani?”

“unasemaje?”

Mtoto kuambiwa hivyo alianza vurugu za kupigana pigana mabao bila kujua hii ni hatari sana kwake

“we nancy niache bwana”

“sikuachi mpaka nikupige ngumi kwanza”

Utani ulipelekea hadi tukadondoshana kwenye Urondo (Majani ya bustani) Sasa katika purukushani za kupigana mangumi huku tukiwa chini ya majani lainiii Mkono wangu ulikosea njia bila kutegemea

“we Sheby umenishika manyonyo”

Nilianza kuogopa maana alionekana kuwa siriasi na lile jambo

“nisamee Nancy”

“mi sipendi tabia hii…na lazima nikisemee”

“Ayaaa Nancy usifanye hivyo jamani dada angu mpendwa eeh?”

Nilifikia hatua ya kupiga magoti ili nisamehewe Kwani ikifika kwa vifaru basi huenda kibarua kikaota nyasi

Sasa tukiwa bado tunaombana msamaha wa hapa na pale Mara niliskia kuitwa

“we shebiiii?”

“ndio ndio dada?”

“njooo uku mbele”

“sawa nakuja mkuu”

Sasa nikawa naondoka ili nikamsikilize kifaru…Ambae ni hawa mapacha

“we sheby unaenda wapi?”

Nancy aliniuliza huku akinizuia

“kwani hujaskia nikiitwa?”

“na kuniomba msamaha kumeishia wapi?”

“bado si narudi ili tumalizane”

“haya nenda haraka nakusubiri hapa hapa”

Basi nilitoka mbio kweli maana ni muoga mimi duu

“yaani we saa zote nakuita ulikua wapi?”

“nilikua uwani huko”

“ukifanyaje?”

“nilikua nakata nyasi”

“aya fungua geti haraka”

Sasa nikaenda mbele ya gari ili nifungue geti na gari litoke

Kwani ni hao marafiki zao walikua wanaondoka

“hee we agnes hebu njoo”

“ni mmoja kati ya wale wageni ndio alimuita agii

“umeona nini nasma?”

“huyu kijana ndio mfanyakazi wenu?”

“ndio kwani vp?”

“Yaani baba ake na huyu mvulana ndio tajiri wa kwanza hapa jijini arusha”

“unamaanisha mr deosi patna wa baba angu?”

“ndio huyo huyo”

“hapana yule mzee alisema hana mtoto wa kiume”

“no Mtoto wake alienda kusoma uingereza”

“kwaio karudi?”

“ndio karudi na ndio huyo hapo mbele yetu”

“hapana nasma haiwezeka huyu kwao kuwe na pesa afu aje kulipwa elfu 50000 Sio rahisi”

“Jamani jamani agii huyu kijana tena anaitwa shebe”

“sasa huyu anaitwa sheby”

“mmmhh haya lamda huenda kafukuzwa kwao”

“labda”

Basi wakina nasma walitoka huku wakinikodolea macho tu

“kaka bai eeh?”

“haya karibu tena”

“asante”

Nilipomaliza kufunga geti tu Nikakutana na Agness macho kwa macho

“we umeskia alichokisema nasma?”

“kwa umbaali sana nimeskia”

“anasema eti we ni mtoto wa tajiri”

“sasa hapa nafanya nini kama mi ni mtoto wa tajiri?”

“sijui mwenyewe labda kakufananisha”

“na sio mara ya kwanza hivyo sishangai”

“haya kaendelee na kazi zako”

“sawa”

Sasa nikarudi kule nyuma nilipomuacha nancy ambae ni hausi geli wa nyumba hii

“we mbona umechelewa?”

“heee si nilikua nafungua geti”

“ndio masaa yote hayo? hebu kaa chini kwanza”

“ehe nimesha kaa ila kama unanichelewesha kufanya kazi zangu?”

“niombe msamaha wangu kwanza”

“haya naomba unisamee”

Lakini mtoto wa kike alionekana kua tofauti kabisa kwani vimacho vyake vilishaanza kurembua

“sheby?”

“nini?”

“unajua? unajuaaaaaaa naniiiiii”

“nini mbona husemi?”

Nancy Alikua ana kigugumizi fulani hivi

“naniiiii tu ila si uanze wewe mwanaume”

“sasa mi nisemeje labda nikuambie ukaoshe vyombo tu”

“mbona kama sio mwanaume na wewe”

“kivipi?”

“ivi mpenzi wako anaitwa nani vile?”

“ah mi naona unanipotezea muda tu we nenda zako bwana”

Sasa nikawa nanyanyuka ili niendelee na kazi zangu

Mara akaniita kabla sijainuka

“sheby?”

“tatizo huna jipya alafuuuuuummmmmhhhhhhhh jjjkkklll we nancy nini?”

Huezi amini nancy alinivamia na DENDA tena huku akiichukua mikono yangu ili nimshike matt yake

“sheby? Uliponigusa matt nilisisimkwa na mwili Plz naomba uni uni uni shi shi shike tena”

Na saa hio mtoto anarembua kweli

“mikono yako sijui ina nini?”

Sasa mtoto wa kiume nikashindwa kujizuia na kuanza kumshika shika maeneo ya kiuno

“haaa nancy hata wewe una shanga?”

“vp unaweza kuzitumia?”

“kiasi fulani tu”

Saa hio denda limekolea na kujisahau kua ni mchana kweupeee

Mara niliskia sauti ikitushtua kwa nguvu

“nyie mnafanya nini apo? pumbuvu kumbe ndio zenu eeh?”

Ama kweli ng’ombe wa maskini hazai na akizaa basi hilo ni Dume

Nilianza uoga wa kutetemeka hadi aptaiti ya ngono ikatoweka yote nikawa kam nimemwagiwa maji ya baridi vile kwa jinsi nilivyokua muoga

“ivi muna akili nyie?”

Alikua ni dada jesca ndio aliotufumania tukitaka kufanya yetu hapo hapo…tena ni bora kawahi maana angekuta pameshaharibika

“dada tusamee tu”

Huyu jesca na wale mapacha sii wakubwa sana tena wanaonekana ni wadogo zangu bali pesa tu ndio iliowafanya wawe wakubwa na kusababisha niwaite dada ila sio kua ni wakubwa…

Sasa jesca alikua mkali mkali ila sana sana alizidi kua mkali kwa Nancy Tena alikua akimfokea kweli…”dada jesca nisamee”

Nancy alikua akiomba msamaha

“we nancy ni mjinga sana yaani unataka kumuaribia mwenzio kibarua?”

“ni shetani dada jesca”

“haya fanya haraka na ukauke nisikuone afu siku nikikukuta tena”

“asante dada”

“Ehe na wewe unaejifanya kidume cha mbegu? Yaani kuja juzi tu unataka utupitie wote si ndio?”

“hapana”

“ila?”

“kanifata mwenyewe”

“kwakua una uume mrefu si ndio?”

“hapana dada”

“hapana nini si hio iliovimba hapo ni nini?”

Ayaaa kweli nanii ilikua kumbe haijapoa bado

Duuuh nilikimbia geto kwa aibu

“sasa unaenda wapi?”

“narudi”

nilienda kujifungia geto na kutulia kimyaa…Maana ni aibu kweli

“we sheby?”

Huyo ni jesca ananiita

“ndio ndio?”

“kwani umemaliza ile kazi yako?”

“apana dada ila kichwa kinaniuma tu”

Nilimdanganya ili asinisumbue

“umekunywa dawa?”

“hapana”

“njoo uchukue parasetam kule ndani”

Ayaaa sasa siumwi Itakuaje hizo dawa

Nikawaza haraka haraka hizo dawa nitazifanyaje

“nikija nazo ni kuzitupa uvunguni”

Nilikua najisemea kimoyo moyo huku nikitoka nje Ili nipokee hizo dawa

“ziko wapi hizo dawa?”

“twende ukachukue ndani”

“ndani wapi?”

“si chumbani kwangu”

“hee we kaniletee hapa hapa”

“bwana twende kwani mi sirudi tena huku”

“lakini we si ulisema mi sina hadhi ya kuingia huko ndani?”

“lakini sheby si nilikuomba msamaha”

“haya twende ila naishia sebuleni”

“we twende bwana”

Basi tukaingia ndani Huku nikishangaa shangaa hapo sebuleni maana sijawahigi kuingia toka nije hapa.

“twende wewe sheby”

“ah ah mi naishia hapa hapa”

“mi sirudi tena huku jamani mbona huelewi?”

“mbona pacha siwaoni”

“si wamelala”

“saa 8 hii?”

“Wamelala saa izi ili usiku waende disco”

“haa wanaendaga?”

“ndio”

Basi nilikubali kuingia huko ndani kwa jesca.. Daahh nilikuta chupi za jesca zimesambaa kitandani mpaka nikageuka nilipotoka ili nisiziangalie

Sasa ile kugeuka kumbe yeye huku nyuma anabadili nguo

Na baada ya kufanya hivyo alikuja pale mlangoni na kunishika kiuno

“We sheby mbona umesita sasa?”

“we nipe hapa hapa tu”

“ivi unaamini kua umekuja kuchukua dawa tu?”

Nilishtushwa na maneno yake ambayo sikuyapatia jibu Hivyo nikageuka na kumuambia

“una maana gani?”

Sasa ile kugeuka nilimkuta jesca kavaa Night dress (nguo ya kulalia) mpaka chupi aliovaa inaonekana kabisaaaaaaaa kama xray vile

“heeee kama ni hio dawa basi”

“we sheby acha utoto basi”

“we si ulikua umevaa gauni safi tu mbona umevaa nguo ya ajabu hivyo?”

“haya chukua hio dawa sasa?”

Nikanyoosha mkono ili niichukue tena huku nimejibana mlangoni

“sasa si uingie ndani?”

“sitaki”

Mara nilivutwa mkono hadi ndani kisha mlango ukafungwa na komeo

“mbona sikuelewi jesca? yaani dawa tu hadi tufungiane milango?”

“hebu kaa sasa”

“hakuna viti”

“si ukae hapo kitandani”

“toa izo chupi zako apo”

Saa hio mtoto wa kiume naniii yangu imesimama mpaka basi kwa vile nilivyo yaona mapaja ya jesca

“nipe basi nikatulize kichwa”

“nitakupa ila naomba jambo moja tu kutoka kwako”

“jambo gani ilo?”

“sheby? nilitamani lile denda uliokua ukimpa nancy nami nalitaka”

Akawa ananisogelea huku akiyafunua mapaja yake na kuibinua binua ile chupi yake alioivaa

“sheby? unajua muonekano wako tu unaonekana tu kua we ni rijali”

“kwaio watakaje?”

“naomba uniiii mmhhhhh ssssiiii sheby naomba uninanihiiiii”

Mara kayafyodoa matt yake nje

“naomba uyashike shike kama vya nancy?”

Nilishangaa kuyaona matt ya mrembo huyu kwani sikua nawaza jambo kama hili

“ah ah sitaki tena usinizoee na ukifunulia tu nakusemea kwa pacha”

“kwaio dawa hutaki?”

“kwa taarifa yako siumwi wala nini?”

“kwaio ulinidanganya sio?”

“sasa je?”

Nilimjibu shombo afu nikatoka huku nikimuacha akinitumbulia macho tu

Sasa nikajiuliza kua huyu dada na uzuri wake woote aje anipende mimi boya tena mlinzi wa geti?

Hata mimi mwenyewe nahisi huenda ikawa ni ndoto…maana sio rahisi kabisa kupendwa na kitoto cha kishua kama hiki au kile Jack kule soweto

Maana pamoja na jesca kuishi hapa sii kua kakosa pakuishi kwani inasemekana kua Jesca kwao pia ni washua kinoma…hivyo kuja kuishi hapa ni kama kapenda tu yeye mwenyewe kwa sababu za kua karibu na rafiki zake hawa pacha Hivyo nae kwao hafai kifedha

Basi baada ya kumkimbia jesca kule ndani nilirudi zangu geto na kuendelea kuskiliza mkulima wangu

Nikiwa nimekaa zangu sina hili wala lile mara nancy alikuja mpaka ndani

“nini wewe Nancy bila hata hodi?”

Hakunijibu kitu bali aliniinamia na kuninyonya denda kisha akaniambia kua

“we sheby ulifata nini chumbani kwa jesca yaani kavimba huyo”

“nilienda kuchukua dawa”

“kwani unaumwa?”

“ndio”

“maskini polee?”

“asante”

“yaani Sheby toka nikunyonye lile denda mpaka sasa hivi nakuwaza tu na ndio maana nimekuja kukuona”

“mmmhh poa”

“mmmhh ya nini sasa?”

“ah ah Nashangaa upendo wa siku moja”

“kweli Sheby nakupenda sana…..yaani ile siku tu ulivyoletwa nilifurahi wewe”

“nancy nakuomba nenda tusije kukutwa tena”

“sawa ila leo nitakuja usiku”

“ili iweje?”

“si naniiii”

“nini?”

“bwana Sheby kua kama mtu mzima basi”

“ok na hao wenyewe wakiwa wapi?”

“leo wataenda disco”

“aaa sitaki”

“sheeebiiiii sio vizuri kutesa wenzioo”

“aaahh mi sijiskii kufanya sasa”

“ila yote tutajua hapo mida ikifika bai eeh?”

“poa”

Basi mtoto wa kike alitoka na kurudi jikoni kwake

Huku mi namuwazia tu jesca tu maana mtoto ana mipaja si mchezo mitt yenyewe ni ile ya saizi ya kati afu mtoto kajaaliwa makalio si mchezo.. yaani nikikumbuka ile nguo ya kulalia yaani napata wazimu wa ngono.

BAADA YA MASAA KADHAA KUPITA

Na sasa ni saa 4 usiku nawaona wanawasha gari na kupanda

Basi mimi ni wajibu wangu kufungua geti

Nikafungua kisha wakatoka wote watatu

Baada ya dakika 2 tu kupita mara mlango uligongwa Yaani geti kubwa

“nani?”

“si mimi Jesca”

Nikafungua geti dogo

“hee we huendi leo?”

“twende”

“twende wapi?”

“si disco”

“alafu na kazi yangu itakuaje?”

“nancy si yupo”

“ah ah mi siendi”

“acha ushamba wewe twende ukale bata”

Nikajifikiriaaaaa kisha nikaamua moja Tu bora niende nami nikazungushe macho

“sawa twendeni ila mwambie nancy aje afunge geti”

“usijali nitamtext afanye hivyo”

“sawa”

Basi nami nikapanda gari na kwenda disco

Pacha mmoja ndio alikua akiendesha gari

Tulielekea moshono kwenye lile disco la kistarabu…

Basi mtoto wa kiume niliosha siku hio kwa kutembea na matoto ya vifaru

Basi tulifika disco hapo na kulipiwa kiingilio na Jesca

“mbona mpole ivyo? au ni kaushamba kamekuzidi nini?”

“wala tu sema mazoea tu”

“ok sisi tupo pale kaunta”

Wakaniacha kati ili niyarudi mangoma

Sasa nikiwa nacheza mara kalikuja kasichana fulani hivi kembamba alafu ni kazuri kweli

“kaka naomba tucheze”

“ok sio tabu”

Basi mtoto akaingia kati na kuanza kubambia kimtindo Huku nikiwa namshika shika kiuno Afu mtoto analia vibaya kwa jinsi nilivyom bambia kwa hapo nyuma

Afu kitoto chenyewe kilivaa lile gauni wanaliita TENTEMENTE sijui ndio jina lake? au nimechapia? Ni lile ambalo wakitembea hua wanalishika pale mbele

Sasa mtoto alilivaa na chupi tu hebu imageni kigauni kama kile na uwepesi ule halafu na chupi tu.. .Itakua ni ndembe ndembe ya kiasgani…

Yaani ni SheeDahhh

Sasa mahali tulipokua tulikua kando kando ya ukuta hivi afu kwa pembeni kuna litukunyema (Mwanamke mnene) Limesima nalo lina tafuta wakucheza nae

Sasa huyu mtoto wa kike saa ngapi hajanigeukia na kuninyonya denda la maana mpaka mwenyewe nilipoachiwa nahema juu juu…

“hee dogo ni noma hadi nimedata gafla tu”

Alisema mtoto wa kike huku akirembua mijicho tu

“geuka uko basi tuendelee kucheza”

“aahh mi nimechoka kucheza”

“basi kama umechoka ngoja mi niingie kati niangalie mwingine”

“we kaka kuchoka kucheza sio kua nimechoka kukaa na wewe”

Mtoto wa kike huyu aliichukua mikono yangu na kuishikisha kwenye makalio yake ili nijue kua hana nguo nyingi

“kwanza unaitwa nani?”

“naitwa Sharbiny”

“”oohh mi naitwa batuli”

“mmhh jina zuri na nashkuru kukufahamu”

“sasa Sheby?”

“nini?”

“nimedata na swaga zako”

“kama zp izo?”

Mtoto ana matt yanachoma balaa yaani ana kifua kilichosimama vibaya mno Japokua ni kipotabo wa ukweli

“hebu nishike shike makalio basi”

Mtoto akaniambia nimshike makalio

“sheby?”

“mmhhh”

“sina nguo nyingi”

“kwaio?”

“yaani ukifunua tu hili gauni Yaani nanii yangu nje nje tu plz”

“aaahh unamaanisha unataka tuduu hapa hapa?”

“ndio”

Na mtoto wa kiume nilikua na kaugwadu mbaya

“lifunue basi hilo gauni”

Basi mtoto akawa analifunua huku yule tukunyema yupo karibu yetu na wenginewe Kwani taa za mwanga zilikua hakuna bali ni zile taa za kufifia fifia Zile za disco

Hivyo sehemu tulipo tulikua kwenye kagiza hivi….

Sasa mtoto alikua anapandisha gauni juuu

“na hii chupi je?”

“we ivute kwa pembeni tu”

Basi mtoto wa kike huyu nilimuegemeza kwenye ukuta wa disco yaani huku tukiwa tunaangaliana uso kwa uso..Kisha nikamnyanyua mguu mmoja begani

“we sheby sasa hivi utaninanihiiii vp?”

“kwani we watakaje?”

“labda nishike vidole vya miguu”

“poa kama utaweza”

Basi akainama staili ya kichuma mboga basi kutokana kagiza kele sioni pakulenga hivyo nilimshauri alengeshe mwenyewe

“oya batu mi sioni nanii mwenyewe”

“poa”

Sasa mtoto alipokua anapeleka mbona sipaelewi? Maana ni pagumu alafu panabana kweli

“we umeingiza wapi uko?”

“we ingiza bwana”

“apana bwana mbona naisi tofauti?”

Niliichomoa na yeye akaamka

“skia we ni mtoto wa kiume Ona hichi kibegi kina zaidi ya laki 5 hivyo ukifanya vizuri zitakua zako”

“apana kwa huko siwezi walai vile”

“njoo sasa unaenda wapi sheby?”

Mara yule tukunyema katoka pale tulipo Ila sikumuwazia kua anaenda wapi

Kumbe Alienda kumshtua jesca bwana

Saa ngapi jesca hajaja kama kifaru na kuanza kumvamia yule dada wa watu huku akimpa mabao ya mgongo

Nikaona bora niwavunie Basi nikaingia kati yao na kuwavunia lakini hawasikii

Nikaona dawa ni kumkumbatia jesca na kumla denda ndio atatulia

Basi nikafanya hivyo na kweli alitulia maana najua kinachomsumbua ni wivu tu..

Baada ya hapo Alinivuta mkuku mkuku hadi nje ya disco

“hivi we sheby mbona ni malaya sana?”

“aahhh amna tuuu”

“amna nini? ivi mchana sijakuvulia nguo wewe?”

“ulinivulia”

“mchana sijakutolea matt yangu wewe?”

“ulinitolea”

“mchana sijakuomba uduu na mimi?”

“uliniomba”

“je? ulikubali au ulikataa?”

“nilikataa”

“sasa sheby mbona sikuelewi? Au unataka wanawake wembamba sio?”

“hapana”

“sasa kwanini uliniacha mchana?”

“sikua nimejiskia”

“sasa nasema hivi hapa hapa nataka tuduuu laa sivyo nasema kua nilikukutaga na Nancy mkifanya uchafu wenu kule nyuma”

“Aaahhh sasa hayo yote ya nini?”

“chagua kunyoa au kusuka Uduu na mimi au ukatae na urudi kwenu”

“sikia Jesca?”

“sikia nini Sheby? unajua nyie wanaume mukipendwa tu basi mnaliiiinga mpaka basi yani?”

Huezi amini jesca alikua analia kabisa huku michozi ikimtoka hovyo hovyo tu

“basi nyamaza na wewe eeh?”

“unajua sheby we unaonekana ni mtamu sana coz ukinigusa tu napata raha sana”

Basi nikamkumbatia huku nikimpapasa papasa makalio ili nijue kaavaa nguo ngapi

“Sheby?”

“mmmhh”

“tuchukue chumba nini?”

“apana”

“kwanini?”

“kesho mchana”

“aahh kesho mi naenda kazini”

“ata jumaapili ijayo tutaduu”

“unasemaje? Ebu niachie uko”

“nini tena mamaa?”

“usinishike”

Jesca alikasirika mno hadi akaingia ndani na kuwasomba wakina Agness na kutoka nao nje

“hee mnaenda wapi sasa?”

Niliwauliza kwa upole na adabu

“heee we huoni kua mida imeenda?”

Alijibu pacha mmoja huku wakiingia kwenye gari

“kwani ni saa ngapi sasa hivi”

“we mbona una maswali bwana hebu panda twende”

Basi nilipanda gari upande wa nyuma kwenye siti za nyuma na kumkuta jesca kavimba huyo yaani hata kuongea hataki

Basi kama kawa mimi ni mtoto wa kiume na mwenye uchokozi na mbinu za kumchekesha alienuna

Basi nikawa namshika shika mapaja

Lakini hataki anaitoa mikono yangu Sikukata tamaa Niliamua kumlalia kwenye mapaja

Saa hio mapacha wapo mbele wote wanapiga stori huku mziki mkubwaa

Sasa nilipomlalia mapajani mtoto alishindwa kunitoa

Nami nikaona ngoja nimlizishe angalao kidogo

Basi nikageuza kichwa na kule kwenye tumbo lake na kufunua kablauzi chake na kuanza kumnyonya kitovu chake….

Wakati huo bado nimemlalia mapajani kwake

Yaani Mtoto alikua anaskia raha ya ajabu..

Mara namuona na yeye anajishika shika matt yake yalio nyooka nyooo

Nikaona huyu tayari zimempanda

Basi nikanyanyuka pale miguuni kwake

“jamani sheby mbona unatoka?”

“apana tutakuja kuzua jambo lingine bure”

“hivyo ndivyo ninavyotaka iwe?”

Mara niliskia honi ikilia nikajua labda kuna jam kidogo

“hee kumbe tumeshafika nyumbani?”

Nilijisemea mwenyewe huku geti likifunguliwa na nancy

Maskini nancy wa watu huenda hajalala.

Basi tuliingia ndani na kila mtu kuingia chumbani kwake na kulala

ASUBUHI MIDA YA SAA 3 AU 4 HIVI

niliamka na kuanza kufanya kazi zangu za kawaida

Huku nikiwaona pacha wanatoka na kuelekea kazini

“Sheby fungua geti”

“sawa dada”

Nikafungua kisha wakawa wanapita

“vp leo mbona simuoni dada jesca?”

“hajiskii vizuri hivyo anapumzika”

“oohhh haya kazi njema”

“nawe pia”

Walitoka na kutokomea kabisa Basi kama kawa wakiondokaga mi naitawala nyumba hiii kama yangu vile

“we Nancy?”

“abee?”

“lete chai hio”

“njoo uchukue mwenyewe”

Nikakurupuka na kuelekea jikoni ili nikachukue chai

“iko wapi sasa?”

“si hio hapo unaipita”

“aahhh kitafunio kipo wapi?”

“kaangalie kabatini”

Basi nilienda mtoto wa kiume na kuchukua mijisosi ya maana

“Sheby?”

“nini tena?”

“njoo”

Nikaenda huku nikiwa nina hamu ya kunywa chai maana nina njaa kweli

“sasa mbona jana ulienda disco?”

“aaahh mi mwenyewe niliburuzwa tu”

“kwani umeshindwa kukataa?”

“nililazimishwa”

“ok leo usikose kuja chumbani kwangu basi”

“saa ngapi?”

“nitakuita uje uchukue chakula cha mchana”

“poa”

Basi mtoto wa kiume nilikula mabaga yale pamoja na masambusa na mavyapati bila kusahau vyuku na makalimati ya maana

Sasa nikiwa nakunywa chai niliskia geti likigongwa

Nikamalizia kunywa chai kwanza kisha nikamuambia nancy achukue vyombo nami nikaenda kufungua geti

“ni nani?”

“ni mimi”

Ilikua ni sauti ya kike

“wewe nani?”

“rafiki yake nancy”

“aaahh karibu basi”

Lakini nguo alioivaa huyu mtoto ni shidaa halafu ni linene nene kidogo

Yaani mpaka chupi inaonekana

“sasa vazi gani hilo jamani?”

“samaani sikujua kama kuna mwanaume humu ndani Afu umekuja lini?”

“nina kama mwezi hivi au wiki tatu”

“oohh poa mi naitwa fatuma ni hausi geli wa nyumba hio ya jirani”

“ooohh ok nami naitwa sharbiny na kazi yangu ndio hii unayoiona hapa”

“ok poa Nancy yupo wapi?”

“atakuepo ndani uko”

“poa ngoja nikamuone”

“poa ila umenisisimua wewe?”

“ehehehehehehehehehe”

Kalicheka kisha kakaondoka na kumfata Nancy…

Mara baada ya dakika kama tano hivi kalitoka kakiwa kamekasirika kweli

“vp fatuma kuna nini?”

“niache”

“sasa si useme”

Mara nikaitwa na Nancy

“we Sheby?”

“ndio ndio?”

“muache aende zake”

Lakini huyu dada alipotoka alinitolea macho kuashiria kua ananichukia sana sasa ni kwanini?

Nilijiuliza lakini sipati jibu sahihi

“we nancy kwani umemfenyeje yule dada?”

“nitakuambia sababu”

BAADA YA MASAA KADHAA KUPITA NA SASA NI SAA 8 MCHANA

“Shebiiiii?”

“ndio ndio?”

“njoo uchukue chakula”

“sawa maadam”

Basi nilikurupuka na kuelekea jikoni huku nikiwa na furaha ya hali ya juu

Maana nimeahidiwa vitu leo Alafu nancy mwenyewe ana ndembe ndembe hio mmhhhh Ni shiiidaahh

Basi nilifika na kuchukua chakula fulani hivi

“we hicho sio chako”

“changu kipo wapi sasa?”

“nimekupikia chakula spesho kwa ajili yako”

“kweli?”

“ndio si hiki apa”

“waaaoo mbona mapaja ya kuku ni mengi hivi?”

“ndio maana nikakuambia ni spesho kwa ajili yako”

“duuu asante”

“ila usiniangushe sheby au vipi?”

“kivipi tena?”

“jamani au ushasahau nini?”

“hebu nikumbushe kidogo”

Nakula huku ninaongea ili asije akaalisha kunipa

“si uje chumbani kwangu”

“aaahh tufanye usiku”

“mi staki bwana nataka sasa hivi kwani toka asubuhi nawashwa”

“kwaio?”

“kwaio nini tena nahisi kama ndio unachelewa vile”

“usijali Ehe niambie yule fatuma kanunishwa na nini?”

“nitakuambia tukifika chumbani”

Sasa mtoto pale pale akaanza kunifunulia kanga na kunionyesha chupi nyekundu

“sasa ndio nini kunionyesha jichupi lako?”

“si nataka usisimke kabla”

“Oohh Ebu tena?”

Basi mtoto aligeu na kuegemea jiko kisha akanibinulia makalio ili nimkague vizuri

Yere uuuuwiii toto lina mikalio hio duu

“we sheby si ushaashiba? twende basi”

“ngoja chakula kishuke kwanza”

“basi nishike shike kwanza”

Mara ile kanga ikadondoka na kubakiwa na chupi tu

“ona sasa hadi kanga imejua kua nawashwa hebu twende basi”

Basi mtoto wa kike alinikokota huku akivaa kanga yake

“we jesca yupo wapi?”

“kalala ndani”

“oohh poa ila si unajua yeye ndio kidudu mtu wetu eeh?”

“najua ila tutafanyeje na wenzetu wana pesa?”

“kweli”

Basi tulifika hadi chumbani kwa nancy kisha tukajibwaga

“hee mbona unavua chupi haraka ivyo?”

“bwana nasi utaghairisha”

“wala tu”

Basi mtoto akarudishia kachupi chake na kuja kitandani…

Kama kawa mtoto wa kiume nilianza na denda la nguvu huku mikono yangu ikimpagawisha kiunoni kwake kwa kuzishika shanga zake…

Mtoto alikua kavaa chupi tu yaani hata matt hayana sidiria wala mtandio

Nami nilikua nina libukta libaya hilo duu

“sheby vua basi hilo bukta lako”

Basi niliamka na kulivua kisha nikabaki na boxer tu…kama vile nancy alivyo

“sheby we ni mtamu mmhh Hivi umeumbwaje wewe?”

“umeanza kelele sio nitaondoka”

“basi basi basi naomba yaishe”

TAFADHALI SANA WEWE NDUGU MSOMAJI….UNAPOFIKA SEHEMU YA MAHABA KAMA HIVI BASI HEBU PASOME KWA HISIA YAANI UPASOME KWA SAUTI KIMAHABA KWANI HATA HIZI ZAKWETU PIA NI ZA KIMAHABA TU…HIVYO KAMA UNASOMA UTAFIKIRI UNATANGAZA VIFO BASI HUTOIONEA RAHA YAKE

KWAIO WAPASWA KUVUTA HISIA NDIO UTAIELEWA TENA KIMOYO MOYO UKIWA MTULIVU

Sasa mtoto alikua keshaanza kurembua na kunidondokea kifuani

“she–b-y? ffffffanya kazi yako basi”

“usijali”

Nilimshika mtoto na kumlaza chali kisha nikamueka kifo cha mende ila sikua nataka kula bali nilikua naitafuta G sport ilipo

G SPORT NI SEHEMU FULANI YENYE MSISIMKO WA MARA MBILI ZAIDI YA KINEMBE

G SPORT INAPOGUSWA GUSWA VIZURI NA MTUMIAJI (MWANAUME) BASI NI LAZIMA MWANAMKE APIZI MABAO MAWILI KWA WAKATI MMOJA…ILA WE WAKIUME WAPASWA KUWA MTUNDU NA USIWE MVIVU WA KUMUANDAA MPENZI WAKO KABLA YA KUINGILIANA……..

NA HATA MWANAMKE PALE ANAPOJICHUA (KUJISAGA) PEKE YAKE HUA ANATUMIA KINEMBE NA MATITI NA HAKUNA KINGINE…..KWANI G SPORT MWANAMKE HAWEZI KUJIGUSA MWENYEWE KWANI KIDOLE KITAKUA KIFUPI HIVYO LABDA AWE NA MWENZIWE ILA AKIWA PEKE AKE HAWEZI KUIGUSA G SPORT

KUIJUA ILIPO NA JINSIVYO NA NAMNA YA KUIGUSA BASI WE NJOO INBOX COZ NI SIRI KUBWA

     INBOX KWA WOTE

Basi mtoto nikamueka mkao kama wa kula ili nimtekenye zaidi

Sasa nikawa namvua ile chupi yake

Oooohhh Masikini ya mungu kumbe mtoto alishaloana kitambo sana wakati mi najua bado…

Tena anaonekana kavichapa kama viwili hivi

Basi sikujali hilo kikubwa nifanye kilichonileta hapa

Basi nikawa namvua chupi taratiiiiibu kabisa huku nikiyakuna mapaja yake

IVI WE WAKIUME UNAJUA KUA KUVUA TU CHUPI KUNAHITAJI UFUNDI? YAANI UNAPOIVUA YENYEWE TU. ANATAKIWA ASIKIE RAHA TUPU YAANI KAMA MIMI NILIVYOKUA NAIVUA PALE HUKU NIKIMKUNA MAPAJA…YAANI UNAJIKUTA USHAMALIZA DAKIKA TANO AU KUMI KWA KUVUA CHUPI TU

Basi nilipokua naivua mtoto alinishika mkono kumaanisha niivue haraka…yaani jinsi ninavyo ivua chupi ile hadi anang’ata lips za mdomo na kufumba macho

“nini tena nancy?”

“yaani kila unachokifanya kwangu ni raha tu”

Basi niliendelea kuchojoa nguo ile na kuitupa huko

MWANAUME UNAPOMALIZA KUMVUA MPENZI MKEO CHUPI YAKE USIIWEKE TARATIBU HUA SIO KANUNI KABISA…

HUA TUKIMALIZA KUIVUA TUNAITUPILIA MBALI <>> ILA UITUPIE HUMO HUMO NDANI ILI MUKIMALIZA MUANZE KUITAFUTA KWA WOTE…AFU PIA PALE UNAPOITUPA HUA KUNA HISIA FLANI ZA KIJASIRI ZINAKUJIA ALAFU NA MWANAMKE NA KUNA JAMBO FULANI ANALIWAZA JUU YAKO TENA SIO JAMBO BAYA…KWASABABU KAONA UMEITUPA CHUPI YAKE KWA HASIRA HIVYO ATAWAZA KUA LEO UTAMKUNA KISAWAA SAWA

NADHANI MUMEELEWA EEHH? BASI TUENDELEENI NA STORY YETU

Baada ya kuitupa chupi ile nilianda kidole kati kisha nikakiingiza hukooo

“ssssiiiiii we sheby ndio unaanza au?”

Sikumjibu kitu bali niliendelea na kazi yangu ya ukunaji

Basi nikawa naitafuta G sport na kuanza kuifanyia kazi kwa usawa zaidi

Nilimuona mtoto anaanza kutikisa miguu na vidole kuvikunja kunja

Ila mimi sijali anachofanya Tena nilikua nakisugua kwa hasira hicho ki G sport

Mara mtoto aliamka ghafla tu kama mzimu vile Na kunikumbatia kwa nguvu mpaka niliumia mbavu kidogo maana aliniminya mbavu

Sasa kuangalia vizuri kwenye shuka

Ooohhooo kumbe kesha pizi saa mingi tena anaonekana kapizi bao 2 maana kachafua sehemu kubwa ya shuka

“aaah mbona umeloanisha shuka sasa?”

Mtoto hanijibu wala nini yeye yake macho tu

Yaani nancy amelendemka (kalegea) huyo yaani hata bamia lina nafuu

Maana ukiinua mpaja wake na kuuachia unadondoka tu

Ukigusa mkono ndio kabisaa umelege

Sasa nikaona huenda kamezimika nini? Maana sikaelewi

“we nancy hebu nipe ishara ya uzima maana sikuelewi japo unaniangalia”

Nanch alikurupuka na kunikamata kisha akaniweka chini badala yake

Nilishangaa nguvu katoa wapi? Ila najua mwanamke kwenye mapenzi ana nguvu kushinda wakiume hivyo nancy kaona nilikua namchelewesha afu bado namuuliza uliza maswali

Sasa nancy akaingiza mkono kwenye boxer na kutaka kuitoa nanii yangu

“ngoja basi natoa”

Nancy hakua wakuongea wala nini yeye vyake vitendo tu

Basi niliamka na kuvua boxer kisha nikamfata na kumueka sawa huku nikiichukua miguu yake na kuiweka begani yote

hii staili inaitwa DEEP PENETRATION maana yake ni UREFU UNAOPENYA

STAILI HII INAMFAA SANA YULE MTU MWENYE UUME MDOGO INAMFANYA MWANAMKE AKOSE NYAMA NYINGI PALE MAENEO

NJOO INBOX NIKUTUMIE HIO PICHA JINSI YA KUMKALIA MUMEO AU KUMUEKA MKEO

INBOX KWA WOTE

sasa baada ya kumuweka staili hio nikaishika nanii yangu na kuipiga piga pale juu kwenye kinembe

KIDUME YEYOTE RIJALI LAZIMA UFANYE HIVYO ILI KUINOGESHA MAKALI ZAIDI

Baada ya kuipiga piga nikaiweka sawa na kuilengesha kisawa sawa kisha nikajisukuma kwa kiasi fulani

“uuuuuwiiiiii sheby subiri subir toa toa kwanza”

“nini tena?”

“Eh we Sheby ivi una uume au matatizo?”

“kwanini?”

“mbona kubwa ivyo? Na mwenzio toka nije hapa sijaguswa”

“kwahio we ni bikra?”

“hapana”

“sasa unaogopa nini?”

“vinaumaa ukoo”

“basi nitananiliu taratibu”

“haya”

Basi mtoto alikaa tena mkao na kuilengesha tena

“apo je?”

“su-k-uma ki-dogo……Aiiiiii tena”

“Hapo?”

“hapo hapo usiongeze”

Basi mtoto wa kike huyu alikua muoga kweli kiaskwamba hata nanii yangu haikuingia yote…

Basi kama kawa ya seksheni hii ikifikaga hua ni ile swaga kama unatwanga mpunga vile Yaani nje ndani huku kiuno kikichukua nafasi yake

“sssssiiii uuuuuwwwiiiii sheby ongeza kidogooo Aaaayiiiiiii basi”

Mtoto alikua akiongeza kipimo kila mara maana moto ninao enda nao ni shida

“jamani sheeeemmmhhh mhhh mmhh mmhh jiiiikkii

Mara mtoto anaanza kukunja mashuka kwa viganja vyake vya mkono huku akifumba macho na kujikaza mwili mzima

Huku mtoto wa kiume nazungusha kiuno balaa yaani

Na mtoto analia mbaya na mimi ndio kwanzaaa ndio naanza

“aaaaiiii ssiiiiiii mkmmmmmhhhhh”

Mtoto alipizi cha kwanza ndani ya gemu Maana vile vya maandalizi haviesabiki

“Sheby mbona humalizi?”

“kwani vp?”

“hii staili nimechoka”

“tukae ipi sasa?

“ile ya nanii”

“nini?’

“si ile nainama”

“Dogi staili?”

“mmhhhm”

Mtoto anataka kukaa staili hio bila kujua kua hii staili tunaipendaga sana sisi wanaume

Basi ntoto alikaa staili hio na kubonyeza kiuno kimtindo Aaahhh Mtoto ana mkalio huo duuu yaanibunatikisika kama nini vile

Na wakati huo mimi sijapiga hata bao la dawa yaani ndio kwanza hata sijielewi kabisa yani….Afu mtoto ana vinyege vya karibu mno. kwani ukigusa tu kanata

Sasa demu kama huyu ndio mzuri vibaya

Basi mtoto wa kiume niliilengesha huku nikimsifia kwa ukubwa wa makalio yake

“we sheby sio uko bwana we huoni?”

“aahh samaani nimekosea”

“au unataka?”

“nini?”

“si huko?”

“huko wapi sasa?”

“huko ulipokosea”

“aaaaakaaa silagi uko mimi”

“bwana tujaribu”

“staki”

“bwana we Sheby utaniuzi ujue”

“bhana huko mungu hapendi”

“si tunajaribu tu”

“hapana bhana tutanogewa”

“mmmmhh mi nataka”

Mtoto alikua anaishika shika nanii yangu huku akiizungushia kiganja chake ili nipate hamasa ya kummega anapotaka

“kwani we Nancy? ulishawahi kunaniiiliwa huko?”

“wala tu ila naskia ni vitamu”

“basi umedanganywa kwani ni hatari sana”

“mi sijali”

“na mimi sitaki tena umeshanichefua na ngono naishia hapa hapa”

Basi niliamka pale kitandani na kuitafuta boxer yangu ilipo

“we sheby sasa unaenda wapi?”

“aaa sipendi tabia za ajabu ajabu mimi”

“basi nilikua nakutania tu”

“niache”

“bwana Sheby njoo mmmhhh”

Basi mtoto alinitomasa tomasa hadi nikarudi kitanda na kuendelea na shuhuli pevu.

“sssiiiiiiii we sheby jamani hebu ingiza yooooteeee……Aaaaaaiiiiiii hapo hapo”

“acha kelele bhana”

“utamu wako Sheby”

Mara kapizi Afu mtoto kachoka mbaya huku mimi ndio kwanza namueka vizuri ili shuhuli iendelee

“minya kiuno basi”

Nilimuambia huku nikimshika shika mapaja yake mazuri

“sawa ila nimechoka”

“usijali nitamaliza sasa hivi tu”

Basi nilipolengesha tu mtoto aliyakata mauno mpaka namimi nikajiskia kitu fulani moyoni

“sssiiii kumbe unaweza eeh?”

Nancy haongei na mtu wala nini yupo bize ila kachoka kweli

“ngoja nikukalie bwana sheby”

“sawa tu we njoo”

Kila anachokitaka mimi nilikua namkubalia tu

Sasa mimi nikalala chali afu mtoto akaja juu

“we unalengesha wapi uko?”

“jamani Sheby”

“ivi ni kwanini unapenda hii tabia?”

“rafiki yangu kanambia na pia tulikua tukii tukiii tukiingiziana vidole”

“na nani”

“si na fatuma”

“Ehee afu mbona leo katoka na hasira vile?”

“bwana mi staki maswali yako”

“sasa si nakuuliza”

“alitaka nimsage”

“sio umsage…sema tulitaka tusagane”

“ndio”

“kwaio ikawaje?”

“nimekataa na nikamuambia wewe ndio mpenzi wangu kwa sasa na ndio maana akatoka akiwa kanuna”

“kumbe ndio maana alinikodolea macho afu kama alinisonya vile”

“ndio ivyo na yeye kaniambia nikipata mwanaume aninanihii huku maana alisema ni vitamu”

“Kwa mimi sitaki aisee yaani ujue mapemaaa”

“jamani sheby hebu angalia nilivyonona nyuma”

“hata ungekua kama masogange wala nisingegusa Afu kama hutaki useme sawa?”

“basi”

Basi mtoto wa kike alinikalia kisha akaanza kuyakata mauno huku akinipapasa kifua changu kilicho jaa gaden love ya kutosha

Sasa na mimi nilikua nakaribia kupizi Kwani staili tuliofanya ni staili ya kumpizisha mwanaume kwa haraka

Nami nilihisi utamu usio na kifani

Sasa wakati napizi kumbe nancy aliihamisha na kuiweka kule anapopataka nami sikujua na hata kama ningejua nisingefanya kitu ndani ya ule utamu

“we ni fala nini Nancy?

“Uuuuuuwwiiiiiiiiiii Sheby toa naumiaaaaa”

Sikuweza kuitoa kwani utamu ulikua bado haujaisha hivyo nilijikuta nimekula bila kutegemea

“Aaaaaa ssss Aaaaaa sssss Aaaaa”

Sasa kumbe Nancy kweli hajawahi kufanywa na hii ilikua ndio mara yake ya kwanza

Hivyo kuingiza kule kumemfanya akate moto tena na damu nyingi zikimtoka

Sasa ile kelele aliopuga kumbe ilimshtua jesca kule chumbani kwake na kumfanya aje chumbani kwa nancy

“we Nancy una nini?”

Alikua akiongelea kwa nje ya mlango

Basi chap chap nilichukua boxer na kuivaa bila kusahau bukta yangu kisha nikaendelea kumpepea

Mara Jesca kaingia

Na kumkuta nancy akiwa ndio anazinduka

Huezi amini Jesca alitukodolea tu macho bila kutuseidia

“tuseidie basi we Jesca”

Nilimuambia huku nikiwa na hasira za kula bila kupenda

“Jesca sio vizuri hivyo”

“sikiliza Sheby huyo mtoto wa watu hatochukua muda tena kesho hata haifiki”

“una maanisha nini?”

“kwa hali hio lazima afe…malaya mkubwa wewe”

“sawa lakini imetokea tu”

“tena usinichefue akili yangu wewe”

“basi usijali”

Mara Nancy akafungua macho kisha akaanza kuongea

“dada Nancy? usimlaumu sheby kwani nilikua nataka mwenyewe”

“sasa we unajua hujawahi afu unajifanya unajua?”

“nisamee tu bure”

“aaahh mimi leo sina shida na wewe ila namtaka sheby na ndio nina kesi nae”

“tooobaa yarabi……. mimi tena jamani?”

“Eee wewe”

“sasa mimi wa nini na unaona nina shida hapa?”

“kwanza we Nancy nilikuambiaje? maana usione nimetulia kimya ukaniona nimefurahiwa na hilo jambo?”

“lakini dada nishakuomba msamaha”

“sikia we Jesca yaani katika siku ambazo nina hasira basi ujue ni leo kwa kitendo alichonifanyia huyu Nancy”

“hizo ni hasira zako kwani mlipopanga mlinishirikisha?”

“we Nancy inuka”

“jamani sheby vinauma”

“eee umeona eeh? uliambiwa vitamu”

Na wakati huo nancy yupo uchi wa mnyama yaani hata chupi tu hana

“we sheby hebu njoo uijibu kesi yangu kwanza”

“sasa tutamuachaje mgonjwa pale?”

“atajua mwenyewe na ugojwa wake”

Basi jesca alinitoa hadi sebuleni na kuanza kuongea mambo ambayo hayaeleweki

“ivi we Sheby? mimi sina mvuto? hebu nione nilivyo…namzidi hata nancy lakini mbona unanikataa jamani..na hata leo yenyewe siumwi wala nini ni uchovu tu na kukuwaza tu wewe”

“utaniwazaje mimi bhana?”

“ivi unafikiri kila ninavyo wakuta ulizani mi nafurahiwa sio? yaani hapa nilipo roho inaniuma Sheby”

“basi yaishe na tuyamalize hapa hapa”

“kwaio sasa? Maana mi sijali huo uchafu wenu mliofanya huko ndani ila ninachotaka ni majibu sahihi kuusu mimi”

“nitakuambia baadae”

“Afu we sheby ivi upoje wewe? au mi sikuvutii nini?”

BASI HAYO YALIPITA NA SASA NI SAA 3 USIKU

Ni muda wa kufunga geti na kutulia ili niletewe chakula cha usiku

Nikiwa nipo kibandani kwangu naskiliza mkulima wangu

Niliskia taarifa ya habari ikielezea kuhusu mtoto wa mbunge

BREAKING NEWS

YULE KIJANA ALIE M-BAKA NTOTO WA M.BUNGE MR NOEL MBALAZI AKAMATWA NA KUTOZWA FAINI YA SHILINGI MILIONI 5 ZA KITANZANI NA HIO NI FIDIA YA M.BUNGE HUYO BADALA YA AHADI YA KUUA KUSHINDIKANA…….

AIDHA BABA WA KIJANA HUYO AMESEMA KUA MTOTO WAKE AMETOKA UINGEREZA HIVI KARIBU KWA MASOMA YAKE…MZEE HUYO ALISEMA KUA KIJIJI HICHO HAKIJUI NA WALA HAJAWAHI KUMPELEKA MTOTO WAKE HUKO…

KIJANA HUYO ALIPOULIZWA ALIDAI KUA HAMJUI HUYO MTOTO WA M.BUNGE KWAHIO ATAKUA KASINGIZIWA NA MAADUI ZAKE

LAKINI KWA UPANDE WA POLISI WALIKUA NA PICHA YA HUYO KIJANA HIVYO WALIKUJA KUDHIBITISHA NI YEYE AMA VIPI NA KUGUNDUA KUA NI YEYE TU

HIVYO ALILIPISHWA KIASI HICHO CHA PESA NA KUWEKEWA MZAMANA

NA BABA WA MTOTO HUYO ALIOMBA HIO KESI IFUTWE HARAKA IWEZEKANAVYO

NA MPAKA SASA NINAPOONGEA NI KWAMBA KESI IMESHAFUTWA

NA HUO NDIO MWISHO WA TAARIFA YA HABARI KUTOKA HAPA RADIO ONE

Daaahhh nilichoka mwili wote ila pia nina furaha juu ya hilo kwani inavyoonekana ni yule shebe ndio alikamatwa siku ileeeee kama unakumbuka

Sasa nikiwa nimekaa niliskia mlango wa geto kwangu unagongwa “nani?”

“fungua bwana”

Ni sauti ya jesca ndio ilionijibu

“unataka nini?”

“chukua chakula chako”

“hee toka lini ukaleta wewe?”

“bwana sheby we si uchukue”

Nikafungua mlango ili nichukue hicho chakula

“haya lete”

“we vipi kwani siwezi kukuekea mezani”

“nitaweka mwenyewe”

Basi kutokana na kua kataka mwenyewe kuingia ndani haya nikamruhusu…Lakini jesca alivaa kanga moja tu na chupi ndani

“sasa utakujaje huku namna hii jamani?”

Akaweka chakula chini afu akaanza kutandika kitanda changu

“Afu mbona leo sikuelewi jesca?”

Sasa vile mtoto anavyotandika kumbe hajui huku mi naumia mbaya Maana si kapiga magoti kitandani huku akijivuta kwa kuiingiza shuka kwenye godoro…Yaani hio chupi inavyo onekana ni shida….Yaani ni sawa na mwanamke avae chupi nyeupe afu akatishie na mtandio mweusi. Hebu imagin kitu utakachokiona Afu mtoto ana mipaja sio mchezo

“we kuna liliokuleta hapa na wala sii kuleta chakula”

Nilikua kama naongea mwenyewe kwani jesca alikua bize kwa kukitandika kitanda changu cha geto

Lakini vile alivyoinama niliona kabisa anaongeza na manjonjo ya kujitikisa makalio Afu sijui katoka kuoga? Maana kanga imenata nata Sasa kwa vile anavyojitikisa.. haki ya mungu usiposimamisha basi una shida na huo uume wako

Sasa mtoto wa kiume saa ngapi sijaanza kumtamani mtoto wa kike Lakini nikajikaza kua ngoja nimalize kula kwanza ili nipate nguvu kisha nimvutie kasi

Basi nilikaa hapo hapo kitandani huku yeye akiwa kajilaza kama kwake vile tena kapanua mipaja hio duuuhh

“asante kwa kunitandikia Haya nenda sasa”

“sikia sheby Yaani leo ukiniacha tu. nataka sababu za msingi Maana nilikua nawaza kua huenda ukawa sio mzima Lakini nilipomkuta nancy anavuja damu ndio nikakuaminia sasa leo ni leo”

“lakini Jesca?”

“lakini nini?”

“leo sijiskii”

Nilimdanganya kwani hapo nilipo nina ugwadu bado Maana mchana nilipiga bao moja tu na mimi hua napiga 4 au 5 ndio nitulie ila bila hivyo? ujue bado sijafika kileleni

“jamani Sheby mpenzi hata bao moja tu plz”

“moja tu?”

“mmmhhmm”

“kama ni moja basi ngoja nimalize kula”

Basi mtoto wa kiume nikala nikamaliza kisha nikatulia kwanza ili chakua kishuke

Huku nikiwa nje nakagua kwanza madhingira yalivyokaa sawa….ili yasije kunizingua

Nilipokagua hio nyumba yao niligundua kua wamelala kabisaa

Basi nilichofanya pale ni kurudi ndani na kuendelea na shuhuli pevu

Nilipofika ndani nilimkuta jesca kalala kifudi fudi yaani tako limeangalia juu

“njoo basi jamani”

Aliniita mtoto huyu huku akiyarembua macho yake kama vigoroli vile

“bado muda…Afu mbona wenzako wamelala?”

“kwani si kila mtu na chumba chake?”

“sawa nalijua hilo ila mlango ni mmoja je usiku utapitaje?”

“niliwaambia napunga upepo na sheby hapo nje”

“haaaaaa kwaio wanajua upo na mimi nje?”

“ndio”

“Ayaaa toka toka toka usije niharibia kazi bure”

Huezi amini nilikua siriasi kweli na kumfanya jesca anyanyuke pale kitandani na kuenda kusimama mlangoni huku akilia kabisa…Yaani ile simama yake tu …..mikalio ilikua inatikisika kwa kwa upungufu wa nguo mwilini

“kwaio hapo ndio umetoka sio? toka nje na uende kwenu”

“ivi sheby ni kwamba mi sina mvuto au?”

Mtoto alikua anaongea huku akilia machozi kabisa

“sasa unalia nini?”

Yaani vile anavyolia na kumsababishia kwikwi ya ukweli sasa chukua picha jinsi anavyopiga kwikwi na ile kanga moja…

Au we mtoto wa kike unaesoma hii story vaa kanga moja afu piga piga kwikwi uone huo mtikisiko wa hapo nyuma ulivyo Labda uwe huna makalio

Sasa nilipo muangalia mtoto jesca anavyotikisika makalio kwa kupiga kwikwi nilijiona mjinga sana kama hii bahati itatoka nje

Huezi amini nilimfuata pale aliposimama na kumshika kiuno kisha nikaivuta ile kanga na kuitupa chini Akabakiwa na chupi ya rangi ya pink na shanga pia alikua nazo kama 3 hivi….

Mtoto katulia tu Nikaingiza vidole ndani ya chupi yake yaani kama vile nataka kuivua Lakini mtoto bado katulia tu.. yaani hakatai hata tone…nikaishusha hadi kwenye mapaja kabisa Lakini mtoto ndio kwanzaaaa Ananyanyua mguu ili hio chupi itoke haraka…

Basi mtoto wa kiume nikaipandisha tena juu kisha nikamuacha pale pale nami nika kaa kwenye kitanda

“jamani sheby kweli unaniacha hivi hivi?”

Sikumjibu kitu…Nikavua shati langu pamoja na suruali kisha nikabaki na boxer huku dudu likiwa limevimba balaa karibia boxer ichanike

“njoo”

Nilimuita huku nikiwa nimekaa kitandani huku miguu ikigusa chini

Basi mtoto nilivyomuita alikuja spidi kweli Afu alivyo mjanja akanikalia mapajani mwangu

AISEE KUKALIWA KWENYE MAPAJA NA MWANAMKE VINA RAHA WEWE ILA AWE NA CHUPI TU…KWANI AKIWA UCHI KABISA HAVINA RAHA NA PIA AKIWA NA NGUO ZAKE ZOTE NDIO HAVINA RAHA KABISAA…..

YAANI ANATAKIWA AWE NA CHUPI TU….TENA NA VILE ANA UPAJA YAANI NI SHIDA

sasa mtoto jesca akaanza kunilamba lamba shingo huku akinigusisha matt yake kifuani kwangu

Na mtoto alijaa mapajani kwangu maana si ana umbo kidogo?

Basi kilichofata ni kumpa denda tu huku nikimuingizia vidole vya skio na kitovuni bila kusahau kwenye mkunjo wa miguu yake…huku nikipitisha mdomo katikati ya matt yake…

Huku nikimminya minya mbavu zake

Mara mtoto akaanza kujikunja huku akinikumbatia kwa nguvu…na wakati huo bado kanikalia mapajani kwangu

Nikaona kayabana mapaja yake Nikajiuliza kua ‘Au usikute kasha pizi nini?’

Ila nikaona ngoja nimkague Kwa vidole Basi nikawa naupeleka mkono kunako chupi yake pale mbele Mara naona ananyanyua kapaja chake ili nifanye ninachotaka

KAMA GELI FRENDI WAKO UKIWA NAE CHUMBANI AFU UKIMPELEKEA MKONO KULE MBELE AKAWA HATAKI AU BADO KABANA MAPAJA TU. BASI UTAJIJUA… NA ATAKUA HAKUPENDI….

ILA KAWAIDA YA MWANAMKE UKIWA NAE FARAGHA HUA UKIUPELEKA MKONO KULE MBELE YA CHUPI YAKE UTAONA TU KAPAJA KANANYANYUKA ILI KUKUPA NAFASI YA UKITAKACHO ILA PAJA HILO HALINYANYUKI LENYEWE? BALI NI GELI WAKO NDIO KAKU KUBALIA UINGIZE MKONO HUKO KUNAKO RAHA ZOTE

sasa Jesca ndio alikua akinyanyua upaja wake ili nimguse mzee wake

Sasa kumbe mtoto alikua kesha pizi kitambo tu yaani hapa anasubiria mechi tu

“Sheby?”

“mmhhh?”

“naomba kitu kimoja tu”

“kitu gani?”

“plz naomba unikubalie”

“we sema mi nipo tayari”

“mimi nataka nanii?”

“,nini sasa?”

“bwana naogopa utakataa”

“kweli vile sikatai”

“nataka nii……nanii yani ninanihii hio nanihii”

“hebu nyoosha maelezo ili nikupe basi”

ITAENDELEA

Mlinzi wa Geti Sehemu ya Tatu

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment