Mlinzi wa Geti Sehemu ya Kwanza
CHOMBEZO

Ep 01: Mlinzi wa Geti

SIMULIZI Mlinzi wa Geti
Mlinzi wa Geti Sehemu ya Kwanza

IMEANDIKWA NA: MOONBOY

*********************************************************************************

Chombezo: Mlinzi Wa Geti

Sehemu ya Kwanza (1)

Ilikua ni saa 5 asubu tarehe 11/2/1995 nikiwa bado ni mtoto mdogo nisiojua hili wala lile, Nilikua na umri uiozidi miaka mitatu hivi, na siku hio nilikua natoka shuleni yaani Nursary school ( shule za awali) ( vidudu ) Siku hio nilikua na hasira sana maana mwalimu aliniadhibu kwa kukosa somo lake. Sasa nikiwa njiani narudi nyumbani nilikutana na gari ya baba angu tena akiwa spidi sana.

Nami siku hio nilikua na kabaiskeli kadogo ( vile vya kitoto ) nilishtukia breki ikishikwa mbele yangu

“Twende haraka”

aliniambia kwa sauti kubwa tena kwa kuyatoa macho kwa kuonyesha siku hio hayupo vizuri kuliko siku zote.

“Kwani kuna nini baba?”

“Pumbavu panda gari twende”

Sikua na chaguo lolote lile Lakini cha kushangaza nilimkuta mama akiwa analia tena anaonekana kua na hasira isio ya kawaida.

“Shkamoo mama?”

alipangusa machozi haraka na kuniitikia salamu yangu

“Malahaba ujambo mwanangu?”

“Sijambo, ila mama?”

“Nini?”

“Mbona unalia?”

“Aaah! ebu tulia bwana”

Baba aliingilia kati swala lile maana sikupaswa kujua chochote kuusu wao maana nilikua mogo mno. sasa cha kushangaza njia tunayopita ni ya kuelekea kijijini kwetu, sasa nikajiuliza maswali mengi lakini spati jibu lolote. Nikaona sawa tu maana huenda tunakwenda kuwasalimu wazazi Ila nilishangaa kuona mabegi yetu yote yakiwa katika siti ya nyuma.

“baba kwani tunaenda kwa bibi?”

“ndio tunakwenda kumsalimia bibi sawa eeh?”

“aya”

Basi safari ikasonga na moyo wangu ukawa umeridhika kwa majibu nilio yapata. mara simu ya baba iliita ila alivyopokea sikuskia sauti ya huyo mpigaji ila ya baba ilikua hivi

“Eeh halo Mr Deusi?…. ivi Deusi kwanini unanifanyia hivyo?”

Wakati huo mzee wangu akilalama namuona mama akiwa na wasiwasi mkubwa kama wa kuhofia kitu….bila kusahau mama yangu hapo alipo ana ujauzito wa miezi kama tisa au nane

“Lakini sawa Deusi…mmmm.mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni”

“Basi nakupa zile sheli mbili”

Baba yangu alishikwa na hasira huku akilegeza tai kidogo

“Deusi ndugu yangu usifanye hivyo…..basi chukua vyote ila we iache fam”

Kabla hajaongea kulitokea roli kubwa la mizigo lisilojulikana limetokea wapi…..kwa mshangao mkubwa na taharuki ya roli lile tulijikuta tumelivamia gari hilo na kutupushi pembeni kabisa ya korongo zito msitu mkubwa. katika watu waliokua salama ndani ya gari yetu ni mimi…kwani hata baba sikua namuona tena na mama nae yupo chini kazimia…. mara niliskia sauti ya mtu mmoja ambae sikumuona sura yake

“Oyaa huyu mzee huyu huku”

“Yuko wapi?”

“Huyu apa..lete hio bastola tumalize kazi”

Mara niliskia kin’gora cha ambulace kikilia….Na kwakua nilikua mdogo hivyo nilijua ni polisi…. sasa wale watu kuskia hivyo waliairisha kazi yao na kukimbia Ila walipokua wakikimbia nami ndipo nilipo maana si kuna msitu mkubwa…mara wakaniona

“Oya, P ee?”

“Sema”

“Uyu dogo ajaona uyu kweli?”

“Aaa! wala hakajui kitu bwana we kaache”

“Kanaweza kuja kua sumu baadae haka”

“Shkamo”

“We mtoto umeona nini?”

“Nimeona tumegongana na gari kuuuubwa”

“Ni hilo tu?”

“Eeeh!”

“Wazazi wako wapo wapi?”

“Mama yule pale na baba sijui kaenda wapi”

Mara mmoja wao akatoa sauti

“Oyaaa mwache uyo dogo bwana tutakutwa”

Lakini huyu mmoja hakuridhika kuniacha hai hivyo alinipiga na kitako cha bastola na kupoteza fahamu

Baada ya masaa kadhaa kupita nilijikuta nipo kitandani tena kulionekana kua ni hospitalini maana hapo pembeni yangu kulikua na dripu la maji na nikiangalia nje naona sio mjini… kwaio inaonekana hapa tupo kijijini kwa bibi…Mara kaja dokta wa kike

“Shkamo”

“Marabaa ujambo?”

“Sijambo..eti mamaa yuko wapi?”

“Mama atakuja usijali sawa?”

“Sitaki mi namtaka mama angu”

Mara bibi akatokea na hapo ndipo nilipotulia

“Bibi, mama yupo wapi na baba ?”

Sasa kabla hajanijibu niliskia mwanamke akilia upande wa pili

Ndipo bibi nae akatoka ili kuangalia kilichajiri… Mara na yeye analia

“Oohh mwanangu usijali utapata mwengie”

Hicho kilikua ni kilio cha bibi

Basi nami nikatoka pale odini ili nikashughudie watu wakili

Mara nesi mmoja kanivuta

“We mtoto huruusiwi kwenda uko”

“Mi nataka nimuone mama”

“Utamuona baadae”

Basi nikaona bora nikakojoe kwanza maana mkojo ulinibana mno

sasa nikawa choo sikijui maana vilikua ni vingi

Sasa nikaingia choo kimoja ambacho alikuamo hapo ndani ila inaonekana hakua akijisaidia bali alikua akiongea na simu ya siri sana….nikaacha kuingia lakini neno la mwisho katika maongezi yao lilinistua japo bado ni mdogo kwani neno lenyewe ni hivi

“Ni mapacha na hapa tulipo tuna mchakoto wa kuwabadirisha maana taya”

Nikamkatisha maongezi kwa sababu ya kubanwa na haja

“Heee we mtoto mbona huna adabu wewe?”

“Nataka kukojoa mamdogoo”

“Sasa si upige hodi”

Alikasirika mno huyu nesi Na wakati huo simu bado ipo hewani

“halooo halo? halooo dada?”

Aliokua akiongea nae alikua ni mwanaume

Sasa huyu nesi alihisi nimejua siri yake, hivyo alikuja resi mpaka pale chooni kisha akaniuliza kwa hasira

“Umeskia nini?”

“Sijaskia kitu mamdogoo”

Sasa akawa anaangaza macho huku na kule ili kunifanyia kitu kibaya

“Nakuuliza tena umeskia nini kwenye simu???”

Nilishikwa na hofu juu ya swala lile maana nesi huyu alionekana ni mkatili mno,

“Nitakuchapa wewe sema haraka”

Mara nikaitwa

“We Sheby?”

Alikua ni mama yangu ndio alikua akiniita huku akiwa kashikiliwa na bibi pamoja na nesi,

“Mama si ulisema utaenda kununua mtoto?”

Mara baada ya kusema hivyo, mama alianza kulia Ila binafsi yangu sikutambua kilichoendelea

“Bibi? mbona mama analia?”

“Usijali mjukuu wangu”

Ukumbuke kua hapo nilipo nina umri wa miaka 3 tu, hivyo ni ngumu kutambua kitu haswa vile vya kikubwa zaidi

“Bibi? baba yuko wapi?”

“Baba yako yupo ndani anaumwa”

Yaani yupo odini katika hospitali hio hio tuliopo

“Nataka nikamuone baba”

“Nesi? tafadhali mpeleke akamuone baba yake”

“Mmh! mama kwani hujui kua mwanao kahamishwa hospitali?”

“Lini tena jamani?”

“Jana ileile usiku”

“jamani mbona mimi sijui?”

“ndio kwani ni kwa kuokoa mais yake”

“sawa nimekuelewa nesi, Lakini kahamishiwa hospitali gani?”

“amerudishwa arusha katika hospitali ya maunti meru”

Sasa baada ya kusema hivyo mama alishtuka na kuzimia pale pale kwa kuyaskia maneno hayo alioyasema nesi,

BAADA YA SIKU MBILI BAADAE

Mama alifunga safari na kurudi arusha kwa nia ya kwenda kumuona mgonjwa ama baba yangu, huko hospitali ya maunti meru

Kisha kesho yake akarejea

Maana kutoka Kiteto mpaka Arusha hio ni safari ya siku nzima,

mama alirejea nyumbani huku akilia, wakati huo nipo chumbani nimelala nikawa nawaski wakiongea na bibi angu

“Mbona unalia mwanangu?”

“Mama we acha tu”

“Kwani kuna nini mwajabu?”

“Sikumkuta mume wangu mama”

“Unamaanisha amekufa?”

“Bora angekufa tukauona mwili”

“Sasa si useme jamani utanipa presha”

“Mama? nilipofika niliambiwa kua wiki yote hii hakuna mgonjwa aliohamishwa kutoka popote pale kufikia pale”

“Sasa atakua amepelekwa wapi jamani mwanangu?”

Kila mtu alikua akijiuliza maswali mengi mno kuhusiana na hilo

BAADA YA MIAKA 15 BAADAE

Sasa nimekua mtu mzima na kujijua mimi ni nani ila kwa bahati mbaya nilicheleweshwa shule kwa sababu ya maisha ya kifedha kwa ujumla, kwahio kwa sasa sikosi kama umri wa miaka 18 hivi alafu ndio niko darasa la saba, basi kama kawaida nilikua ni kijana mtiifu mwenye kumuheshimu kila mtu katika kijiji chetu cha kibaya wilayani manyara au kiteto, Kiukweli maisha ya kijijini yalikua ni magumu sana kama unavoyajua.

Sasa kwa siku ya leo ni siku ambayo naitaji kumkumbusha mama yangu swala moja tu, kama nitakapomkuta nyumbani kwani kwa wakati huu nipo njiani natoka shule, Ila huko shule nazomewa mno kwakua ni jitu kubwa afu niko la saba duuh Aibuu eeh? Ila sijali kikubwa elimu tu.

Njiani nilikutana na binti mmoja ambae hua nasomaga nae darasa moja ila nae ni kajitu kamakamo kidogo ila mi ni zaidi, Maana shule nzima mwanafunzi mkubwa ni mimi peke yangu ila sijapewaga cheo cha umonita.

“Mambo Sheby?”

“poa”

Tulikua tukirudi shule huku tukipiga story za hapa na pale

“mbona leo ni mpole ivyo?”

“nani? mimi?”

“ndio wewe”

“aah mbona mi ni kawaida yangu tu”

“hapana bwana leo umezidi upole mno”

“hhaha leo sipo vizuri saana”

“mmhh au ulipitia kwa wifi angu nini?”

“aahh ebu tuyaache ayo”

“ok poa basi kesho”

“poa”

“uwai namba kesho laa sivyo nitakuandika kua we ni mchelewaji”

“sawa kiongozi nitajitaidi”

Kadada haka kana cheo cha kuandika watu majina ( monitor )

Basi nilifika nyumbani ambapo tunaishi mimi mama na bibi angu ni kijumba kidogo tu cha mabati tena ni cha zamani sana

“we mume wangu huyoo”

Alikua ni bibi kwani si unajua mbwembwe za mabibi na mababu?

“shkamoni”

“marahaba ujambo?”

“sijambo”

“we mwandalie mtoto chochote basi”

“sasa mama kwani tumepika nini”

“shika hi 200 ukanunue mihogo sawa mjukuu wangu”

“lakini mama?”

“ebu subiri kwanza kabla hujaniuliza hilo swali lako”

“mbona unamkatisha mtoto asiongee?”

“mama ngoja akanunue hio mihogo kwanza ale”

“sawa, haya kanunue kwanza kisha uje”

“sawa”

Basi nilikwenda kununua mihogo ya 200 kisha nikaila kwa kusukumia na maji maana hata chai hakuna

“vipi umeshiba?”

“ndio”

“mmh haya ulikua unataka kusemaje?”

“aahh nilikua naitaji nikukumbushe kua si unajua kumebaki mwezi mmoja tu tufanye mitihani ya kumaliza elimu yangu ya msingi hivyo mjiandae basi na shule ya secondary”

“Mwanangu Sheby ivi kuna mtu anapenda mtoto wake asisome?”

“Hapana”

“Mwanangu maliza tu shule ya msingi halafu basi maana sisi wazazi wako ndio hivi unavyotuona sina hata cha kuuza”

Mama yangu alikua akilia kwa uchungu mno

“Sheby hebu nenda nje kwanza umwache mama ako kidogo”

Nilitoka zangu nje na kuanza kulia kwa kujionea huruma kwa kutokuendelea na masomo yangu ya secondary

Nilikua nimetulia katika mti nikifikiria mengi kuhusiana na maisha yangu yatakuaje hapo mbele,

“sheby usilie mwanangu jikaze tu we ni mtoto wa kiume”

“mama siamini kama sitosoma secondary”

“sasa nifanyeje mwanangu sina cha kufanya”

Nilikua nalia mno kwa machungu ya maisha afu bado hata kusoma sitosoma

“Sheby mwanangu? kama sio matatizo yaliotukuta ungekuta mpaka sasa haupo tanzania”

“ningelikua wapi?”

“baba yako alikua akikuandalia vitu vingi sana utakavyo vimiliki pindi utakapokua mtu mzima”

“haaa hahahaha Sasa viko wapi mama? hebu twende ukanionyeshe basi jamani mama”

“mwanangu Sheby?”

“nam mama?”

“sii kua hivyo vitu vipo”

Nilianza kuskia huzuni tena maana mawazo yangu nilijua kuna uridhi ambao mzee aliuacha ili nipate karo ya shule kumbe hakuna kitu

“mmh basi mama wala usiseme tena”

“sasa unakwenda wapi mwanangu?”

Niliondoka pale kwa hasira huku nikiwa na njaa iliotawala katika tumbo langu, Nisijue pakuliudumia maana ile miohogo ilishasagika kitambo tu, Basi mtoto wa kiume nilikua mtaani kwetu nikipita pita huku na kule ili kuangalia vijikazi vya kubeba hata mizigo.

Nilipita katika sehemu moja hivi Nikaona gari linapakua mizigo Nami nikaona sii mbaya nijichanganye.

“shkamoo broo?”

“poa vp dogo?”

“safi tu”

“vp unataka nini dogo?”

“kaka naomba namimi nijumuike kikazi broo”

“eeeh Hahahahaha oyaa njooni muone kituko hiki”

Aliwaita wenzie wanaobeba mizigo hio Ili waje kunitazama kwa ujinga wanaouhisi

“anataka nini uyu dogo?”

“eti anataka kazi ya kubeba gunia..Ivi na afya hii si katatuletea matatizo haka”

“we dogo Unaweza kubeba kilo 100 wewe?”

“ndio kaka nitaweza”

“ok ( bondi )?”

“naam bosi?”

“mpe kazi ya li gari pale abebe hadi liishe lile”

“sawa bosi”

Nilipelekwa kwenye hilo gari lililojaa magunia ya mahindi

“unaskia dogo? toa gunia hapa kisha peleka pale kwenye lile godown pale sawa?”

“aahhh sasa nitalipwaje kaka?”

“we beba kwanza maelewano baadae”

Basi kama kawa mtoto wa kiume nikajifanya najua kubeba kilo 100 za mahindi

“unafikiria nini njoo nikutwike”

Alikua ni mmoja kati ya makuli hao

“sawa nibandike basi”

Basi mtoto wa kiume nilijiinamia mgongo na kubandikwa gunia

“aaaaiiiiiii toa toa toa broo siwezi siweziij aaahh”

Nilidondoka chini na kurudiwa na lile gunia maana alichelewa kulitoa hivyo nilivyodondoka lile gunia lilikuja kwa juu na kunifunika nalo.

Nilipokuja kuzinduka nilijikuta nipo hospitalini tena huku nikiskia sauti ya mama yangu akilia sana. Sasa nilipostuka nilikutana na sura ya yule Nesi ambae miaka kadhaa nilipokua mdogo Alinikosa kosa kunichapa kwasababu nilimfuma chooni akiongea na simu kuusu watoto. Nilishtuka sana kumuona.

“usijali utakua salama tu”

Sasa nikajiuliza kua Ananikumbuka au kanisahau?

“kwani hapa nipo wapi?”

“upo hospitalini”

“kwani naumwa nini?”

“ulidondokewa na mzigo katika gari na makuli wenzio ndio wamekuleta”

“sawa asante je naweza kwenda?”

“bado hujapona kijana tulia”

Mara mama angu alitokea huku akilia kweli kweli

“mwanangu umzima? pole sana mwanangu”

“mama nisamee kwani ni ugumu wa maisha tu”

“usijali sheby mwanangu Utapona tu”

Basi mama angu aliondoka na kwenda kuniandalia hata uji maana nakumbuka hapo nilipo naskia ubao ( njaa ) mpaka nikatamani chakula cha mgonjwa alie jirani yangu.

Mara nesi mkuu alikuja huku akiniangalia mno, mpaka nikaogopa jinsi anavyokuja hapo nilipo, tena nesi huyo ni mweupe peee.

“Za saaizi jamani?”

“salama tu habari yako?”

“nzuri! aa wewe ndio mama wa huyu kijana eeh?”

“ndio”

“Okey basi unaweza kwenda nyumbni ukamuandalie mgonjwa chochote cha kumeza maana ana njaa huyu”

“sawa Nes, lamini Nesi?”

“mmh”

“nitamletea uji tu maana hata huo unga wenyewe nitaomba”

“apana huyu kijana hafai kupewa uji maana ana njaa kali sana”

Daahh mama angu alitoka huku akilia maana hajui atapata wapi vitu vya kunipa ili nile.

“unaweza kuendelea na kazi zako tu”

Alimuambia huyu nesi fatuma kua akaendelee na kazi zingine amuache na mimi tu.

“kijana hujambo?”

“ijambo shkamoo”

“aaahh usijali”

sasa mtoto wa kiume nikawa nalalamika njaa kweli kweli huku nesi akichukua vifaa vyake kwa ajiri ya vipimo zaidi.

“aah ijui ungevua tishet hio?”

Niliona ni jambo la kawaida kua tumbo wazi Hivyo nilivua ile tisheti yangu kisha nesi Akaanza vipimo vyake, anavyojua yeye

Ila cha kwanza aliniwekea kile kitu cha kupima mapigo ya moyo ambacho kipo kama head phone na kuanza kunipima kisha akatoa

“mmhh una kabodi kazuri”

Sikumjibu kitu maana sidhani kama lilikua ni swali

“unaendaga GYM eeh?”

“hapana sijawahi kwenda”

“mbona kabodi kako kazuri?”

Mmhh nikajiuliza huyu kimoyo moyo

“mmhh huyu nesi vp mbona simuelewi?”

“eti kijana una mpenzi?”

“sina na sihitaji kuwa nae”

“kwanini?”

“aaaiiiii njaa bwana nesi”

“tatizo ni njaa tu?”

“ndioo”

“okey subiri”

Basi Nesi akawa anatoka huku akitikisa makalio yake Na pia Nesi huyu siii haba ni mzuri na mweupee tena mwenye umbo la kuvutia mno

Mara karudi na kamfuko keusi nisichojua kuna nini ndani yake

“haya kijana unaweza kula kisha nikuulize maswali yangu”

“Ni nini?”

“Angalia mwenyewe”

Sasa nilipokua naangalia kuna nini huko ndani ya mfuko Mara akaanza kunishika shika mapaja yangu.

“mmhh una paja laini wewe hadi raha yani”

Sasa nikiwa nachungulia ndani ya mfuko kumbe huyu nesi alikua akinisogelea huku akinishika shika tumbo langu.

Mara mlango ulisukumwa na mtu kuingia ndani, Alikua ni mama angu kaniletea mihogo.

Na lile tukio la kushikwa shikwa na nesi kaliona kwa macho yake mawili. Mpaka ile mihogo ilimuanguka chini kwa mshtuko,

“Nesi unamfanya nini mwanangu?”

“Unasemaje?”

“Uakuuliza tena ulikua unamfanya nini mwanangu? kwaio haya ndio matibabu uliokua ukimpa?”

Nesi alikua kimya kama kamwagiwa maji ya baridi, nami nikawa nimezubaa na ule mfuko wenye chips kuku alizoniletea Nesi.

“hebu lete huo mfuko?”

Mama angu aliuchukua na kuangalia kilichopo ndani

“haaaa yaani unamdanganya mwanangu na chips kuku?”

Alimtupia usoni kisha mama angu akawa anafunga kanga vizuri ili wazichape hapo hapo odini, Tena wote wanaonekana wana umri sawa, ila Nesi ni mrembo sana kiumbo.

“We mama sheby ivi unataka tupigane na umri huu?”

“Hujui huyu mtoto nimempatia shida kiasi gani afu leo unamlubuni na chips kuku?”.

“Mama Sheby”

“Kelele mbwa wewe tena ngoja nikashtaki kwenye uongozi wenu”

“Noo no noo! mama Sheby nipo chini ya miguu yako please usiende”

“niachie nguo yangu pumbavu wewe”

Nesi alikua anamsujudia mama angu kwa magoti

“Mama Sheby nifanyie chochote utakacho kwani ni tamaa tu”

“Nikupe adhabu juu ya hilo?”

“Eehh! ndio niko tayari dada nipe tu”

Huezi amini nesi alikua ni mnyonge mno Utafkiri alimwagiwa maji baridi.

“sasa nataka huyo kijana apone sasa hivi?”

“sawa dada usijali”

“na ni kwa gharama zako”

“sawa dada nimekuelewa”

Basi Nesi alianza matibabu haraka iwezekanavyo huku akitetemeka hovyo..

“taratibu bwana utamumiza”

Daahh! Mama alikua kawa mkali mpaka basi yani

Mara simu ya mama iliita na kwenda kuipokelea nje ya wodi.

Na kumuacha nesi akishughulika na mimi kwa matibabu zaidi.

“mmhh Mama ako mkali eeh?”

Nesi alikua akiniuliza huku akitazama huku na kule ili asije kufumwa

Mara mama karudi na kumuachia onyo

“nimepata dharula kidogo ila sina muda nitarudi”

“usijali dada atapona tu”

Mama aliondoka lakini huku akiwa na wasi wasi kua huenda huyu nesi akanirudia tena kunishika shika. Baada ya kama nusu saa hivi kupita nilijiskia usingizi wa hali ya juu sana ila sii kawaida yangu kwa usingizi nilioupata. Nililala zaidi ya masaa 5 hivi, nilipokuja kuzinduka sikumkuta nesi wala nani ila nimetundikiwa madripu ya kutosha kwa ajili ya maji mwilini, Basi nikaona ngoja niegemee pembeni kidogo na saa hio chaa inaniuma maana nilikula ile miogo alioileta mama lakini bado naskia njaa ya aina yake

Mara yule Nesi akatokea Lakini safari hii kaja kiutofauti kidogo kwani alionekana kuvaa lile koti la kidokta tuu na chupi, Kwa maana alipokua akija nilikua naona kwa kutumia mwanga uliopo nyuma yake (nguo aliovaa ilikua ni nyepesi) Tena ukizingatia na umbo la huyu nesi lilikua ni balaa mno.. Maana ni mtetemeko wa aina yake mpaka njaa ilikata ghafla tu baada ya kuona maungo ya Nesi….kisha pale pale nilianza kusisimkwa na mwili. huku kijana wangu akianza kunisumbua sumbua, Nesi alifika hadi pale nilipo.

“Oohh umeamka? nilikuchoma sindano ya usingizi maana kuna maumivu ungeyapata bila kufanya hivyo”

“sawa ila nina njaa sana nesj”

“aahh kwanini usile zile chips?”

“niliogopa mama angeweza kurudi”

“we kula bwana usijali”

Akazichukua kisha akanipa huku na yeye akigeuka kimahaba kama kunitamanisha na umbo lake lenye mvuto wa kimapenzi

“kula ushibe nikuchome sindano moja kwinini sawa ee?”

“sawa”

Sasa mtoto wa kiume nilidata pale alipokua akiandaa hio sindano pald kwenye kimeza cha kuwekea zana. Nilikua nadata na hio miinamo yake isioisha mara kwa mara, mara ainame mara ainuke yaani ilikua ni furaha mtindo mzima tena nesi alikua ni mzuri wa sura bila kusahau umbo lake.

Basi mtoto wa kiume nikamaliza kula zile chipsi kuku na kumbia.

“Nesi? tayari nimeshamaliza”

“Ooohh Ok ngoja nije”

Basi nikawa namsubiri aje anichome sindano hio ya kwinini

“vua tisheti ili niichome begani”

Sikuona shida kuvua maana si nesi tu

“mmmhh yaani haka kachest chako kananikosha”

Sikua na lakumjibu zaidi ya kukaa kimya tu.

Sasa akawa anapatomasa tomasa pale kwenye bega langu.

Nami nikawa najihisi raha ambazo sijawahi kupata kabla ya hapa

“mbona unacheka cheka tu?”

“mmhh?”

“mmhhh nini?”

Nesi alianza kunirembulia macho kisha akauamsha upande wa lile koti la kidokta na kusababisha paja lionekane live bila chenga na kuona mpaka chupi yake nyeusi nzurii, nikajikuta nashikwa na butwaa huku mjomba nani anauma tena anakaribia kama kuachia mambo hivi. Maana sijawahi kusex hata siku moja na kama ni mwanamke basi ni bikira ila kwakua ni wakiume sijui mtaniitaje.

“wewe mkaka mbona umeduaa? wewe kaka? wee kaka?”

“eeehh aaahh choma tu usijali”

Nilikua nimeshawaza mbali mno kutokana na huyu nesi

“skia….Lakini usimuambie mama ako”

“simuambii kwani ni nini?”

Hakusema chochote zaidi ya kunishika mkono wangu na kunishikisha kwenye paja lake lainiiii kama mtoto mchanga vile

“jamani nesi mi sijawahi”

“usijali mi shida yangu uniingizie hili linanihii lako tu”

Kiukweli nilikua nimejaaliwa maumbile ya kiume, ila sikubahatika kua na mpenzi kutokana na maisha yalivyo magumu.

Basi Nesi alianza kunitomasa mbavu huku nanii yangu ilisimama mpaka inauma

“nini?”

“inauma”

“vua hio suruali”

“ah ah sitakii”

“bwana we utaniuzi”

“ah ah tutakutwa”

Sasa alivyoona ninakataa kuvua suruali Aliona dawa yangu ni moja tu

Alitoa kitita cha elfu kumi kumi kikubwa mno Ila sijajua ni kiasi gani ila kwa haraka haraka utasema ni laki 4 ama 5 hivi

Sasa nilivyokiona nilipapatika na kumuuliza

“unataka nifanye nini?”

“vua suruali basi”

“ni hivyo tu?”

“ndio”

“nipe kwanza”

“ah ah zile pale ukimaliza chukua”

Alizitupia pale mezani Kisha akaanza kunivua suruali huku akinitomasa kimahaba,kiukweli Nesi kaumbika jamani duuu Ni sheedah!.

Sasa baada ya kuvua suruali nesi alishangaa kukutana na uume wenye hadhi ya kuitwa uume kweli. Maana una urefu wa wastani na unene wa wastani wa kawaida yaani kile kiwango cha juuu cha mwisho, Nesi alibaki kutaamaki tu huku akifurahi kimya kimya.

Nesi alichojoa mavazi ghafla na kuanza kulishika shika huku akiwa na chupi tu tena ile kubwa na wala sio bikini.Sasa na mimi ninavimapenzi vyangu vya kuambiwa mtaani basi nikavianzisha. huku nesi anataka kunivyonya naniliu yangu.

“Nikunyonye?”

“ah ah”

“kwanini?”

“sipendi tu”

“bwana basi nitapunguza hizi pesa”

“aayaaa basi nyonya”

Daahhhh kiukweli sikujuaga kama kunyonywa kuna raha kiasi hiki

“siiiii aaaiiiii nesiiiiii toa vinakuja”

Nilikua nakAribia kupiz, maana alikua ananinyonya kwa ufundi wa hali ya juu mno,

Mara nesi akanyanyuka na kuchojoa jichupi lake na kukiona kitumbua chake live bila chenga maana sijawahi kuona live na hii ndio mara ya kwanza

Sasa nesi zimempanda nami mwenyewe ndio usiseme kabisaa sitamani hata kidogo aache kuninyonya

“njoo hapa chini maana hicho kitanda ni cha wagonjwa hivyo hakitoweza kuhimili mikiki yetu”

Nilimkubalia na kushuka chini na yeye akiwa amejiandaa na staili ya kuinama (Doggy Style)

Sasa ile najiandaa tu kuinaniliu Mara mlango uligongwa katika wodi ile. Maana wodi hio haikua na wagojwa zaidi yangu

“huyo ni nani tena na kasahau nini jamani?”

Nesi aliongea huku akiwa na hasira za ajabu kwa usumbufu anaopewa

“labda huenda ni mama”

“heee unasemaje Afu atakua ndie”

Nesi alianza kuchanganyikiwa na kushika kichwa maana mama angu ni mchaluko huo,

Basi alichukua over koti lake la kidokta na kulivaa kisha nami nikajikoki fasta lakini naniliu haikulala ng’ooo.

Basi nesi alienda kufungua mlango huku akifunga vifungo vya koti lake, Nami ile pesa nikaitia mfukoni huku nikiwa natetemeka kwa uoga wa kushika hio pesa

basi akafungua mlango huku akitetemeka maana mama angu anajulikana kwa ukorofi endapo utamchokoza.

Kweli alikua ni mama kaleta chakula.

“mbona mumejifungia?”

Mama alimuuliza nesi na nesi nae akajibu kwa hofu kubwa mno

“kuna dawa nilikua nampa hivyo haitaki kuwe na upepo maana ikipulizwa na upepo ni hatari sana kwa afya ya mwanao”

“ooohh sawa vp hali yake lakini?”

“aahh Hajambo kidogo”

“sheby? vipi hali yako?”

“safi tu”

Sasa alipokua akisogea kuna kitu alikikanyaga chini mithili ya nguo nguo hivi,

“sasa madekio hadi wodini jamani nesi”

“wala hakudekiwagi na madekio bali ni skwiza tu”

“sasa hiii ni ya nini? Heeeee hiii si chupi ya kike hiii?”

Nilimuona nesi akijikagua na kujikuta hana chupi kabisa

“nesi usiniambie kua hii chupi ni yako?”

“noo sio yangu”

“sasa ni ya nani?”

Mama angu alikua katoa macho huyo duuuhh

“labda ni ya hao manesi wadogo”

“una uhakika?”

“ndio”

“nije nikufunue hapo ulipo?”

“mmhhh Mhhh m..hh…mmhh…hh”

Nesi alianza kujiuma uma huku akijifunika vizuri koti lake la kidokta,

“si nakuuliza wewe?”

“Nisamee dada”

“Mbona manesi wengine ni wachafu hivi? sasa huyu atakufikisha wapi? au unataka kuniharibia mwanangu tu?”

“Ni shetani kanipitia tu dada”

Nilimuona mama kavimba ile mbaya kwa hasira juu ya huyu nesi,

“Sheby?”

“naam mama?”

“amka twende utaponea nyumbani”

“sawa mama”

Basi mama alinichukua pale na kuondoka na kumuacha nesi akijishauwa shauwa pale

Tulifika karibia na nyumbani nikaona nimuulize kitu fulani nini? lakini roho ilisita kuuliza maana swali lenyewe ni la kijinga tu

“we nawe hujui hata kukataa?”

“lakini mama?”

“lakini nini?”

“sikua najua anachotaka kukifanya kwa wakatk ule”

“basi yaishe”

mama alinikatisha kuongea

Basi tulifika nyumbani mida hio ikiwa ni saa 10 jioni…nikaona sii mbaya kupunga upepo nje ya kibanda chetu

Mara Rafiki yangu wa kiume alikuja

“aahh Daudi vipi kaka?”

“poa vp mbona leo ujaenda shule vp?”

“kakaa ivi hujui kua naumwa?”

“aahh masiara ayoo”

“kweli naumwa huoni hata karatasi la dozi hili hapa”

“duu pole sana Sheby?”

“daa asante kaka, Vp ulikua unaelekea wapi?”

“aahh nazurura tu kukagua mazingira ya kijiji chetu”

“daah ningelikua na nguvu nguvu tungelikua sote”

“aahh acha kujilegeza we wa kiume bhana ebu tunyooshe miguu”

“Daahh poa tutembe tembee bhasi”

“Au unaogopa kuchapwa?”

“na nani?”

“si maza ako”

“Aa wapi.. sema ni kizuizi kikubwa sana katika njia zangu”

“kivipi kwani?”

Tulikua tupo njiani tukitembea tembea na daudi Huku tukipiga stori za hapa na pale, Daudi ni rafiki yangu sana Ambae nasoma nae darasa moja (Class 7) Afu sisi ndio majitu makubwa shuleni Afu ni maboya kuliko chochote kile… ila mwenzangu Daudi kidogo kalelewa katika malezi ya kuachiwa huru kwa kila anachokifanya hafatiliwi kama mimi ninavyofatiliwa na mama…

“Kwaio unaniambia hata leo ulikua hospitali?”

“Kaka ndio nimerudi sasa hivi tu”

“Duuuh pole tena kaka”

“daahh asante sana kaka ila kaka nilipata zali kaka?”

“zali gani tena?”

“yule Nesi si alinitamani”

“aaacha utani wewee unasema kweli?”

“hata ela kanipa hizi hapa”

“aahh Sasa umemgonga?”

“wapii maza nuksi tuu”

“Kafanya nini?”

“alikua amchape Nesi makofi”

“kwanini?”

“si alimkuta nesi ananishika shika”

“aisee Sheby una mazali wewe duh hadi nayatamani ndugu yangu”

“Aaahh wapi ni uyo nesi tu ndio kajilengesha”

“sio nesi wakati hata wakina mwajuma asha na husna wanakutamani mbaya”

“aah Ao achana nao maana zao ni vibomu tu hawana jipya”

“Waambie basi kua huwataki ili nipate njia”

“mi mwenyewe hata kutongoza sijui”

“aahh wapi sheby wewe tena?”

“kweli vile sasa nikudanganyie nini?”

Kiukweli mimi sikua najua kutongoza yaani kama ni domo zege basi mi ni zaidi yao…maana hata kumuita mschana yenyewe naogopa mbaya..

Basi tukiwa katika mizunguko ya hapa na pale…Tulikutana na wasichana fulani ambao tunasoma nao…

Mara Daudi akaanza kujibalaguza nao

“Vero mambo?”

Daudi ndio alianza kumsalimia Veronica na Vero nae akajibu

“poa mambo?”

“poa mzima wewe?”

Wakati huo mimi nipo mbele nashangaa shangaa kama vile nawaachia nafasi waongee.

Mara nikamsikia Vero akiniongelea

“mbona yule rafiki yako ni mpole vile?”

“mmhh ndivyo alivyo vile”

Sikutaka makuu na mtu…nikawa naendelea zangu na mambo yangu ya kutazama miti.

Mara nikakutana na mwingine afu domo limejaa zege kibao.

“aya sasa ushindwe mwenyewe apo”

Alikua ni daudi akinisii nisimuache huyu demu apite bure

Kiukweli mimi sinaga mazoea ya kuwa na wanawake hata kidogo hivyo nilimuacha apite tu

“mambo sheby”

“safi tu”

Nilikua kama fala vile nisiojua kitu.

“mbona huongei?”

“muwai mwezio atakuacha”

“wala usijali nyumbani napajua”

“poa basi tutaonana kesho shule”

“mmhhh sawa”

Sikua najua hata kuongea na mwanamke kwani hata kusex yenyewe tu sijawahi toka nizaliwe mpaka sasa nina umri wa miaka 19

Sijawahi kugusana kimapenzi hata kidogo zaidi ya nesi kunishika shika mwili wangu..

Basi Daudi alimaliza kuongea na vero kisha Tukaendelea na mizunguko ya hapa na pale…

Ikiwa ni mida ya jioni hivi.

“yaani we Sheby malezi uliopewa sijui niseme ni mazuri ama mabaya”

“kwanini?”

“umeshindwa ata kupiga nae stori yule mtoto?”

“aisee tuyaache ayo kwani licha ya kuongea nae tu ni shida je akisema twende chumbani mi nitaanzaje?”

“kua mjanja Sheby?”

Basi tulifika mahali panauzwa vitabu vya hadith na jinsi ya kufanya mapenzi

“ehee sheby hichi kitabu kinakufaa”

“cha nini sasa?”

“si ujifunze tu”

“aahh kwani mapenzi yana haja sana?”

“sio sana ila kwa kiasi fulani we kinunue tu”

Basi kwakua nilikua na kama laki 3 hivi nilizopewa na nesi kule hospitalini…. Ilinibidi tu nikinunue ila haikua hiari yangu

Basi nilikinunua kitabu kile kiitwacho UTAMU WA HAMU ambalo kava lake la mbele lina picha ya mwanamke aliovaa nguo za ndani tu…

Tulitoka pale ikiwa ni mida ya saa 12 jioni hivi Ikanibidi tuachane na daudi kwani ilikua ni mida yangu ya kwenda nyumbani..

“sasa Sheby? kesho bhana”

“poa bhana”

Nilianza kushika njia inyookayo kwetu huku nikiwa na lile li kitabu la mahaba

Nilikua kama nakaribia nyumbani Mara nikamuona mama yupo na yule msichana niliegoma kuongea nae mida ile..

Sasa nikajiuliza Uskute kaja kunisemea nini. kua nilikua nafundishwa ujinga?

Nikaona bora niwatokee pale pale

“hee we Sheby unatoka wapi saa izi?”

Mama Aliniuliza huku akiwa kama wakawaida tu

Nikataka kudanganya lakini nikaona huyu amina uskute kashapasua jipu bure hivyo bora niongee tu ukweli

“nilikua na rafiki yangu Daudi tunanyoosha tu miguu”

“oohh sasa unamjua huyu?”

“mmh ndio ni mwanafunzi mwenzangu tu”

“najua kua unasoma nae ila mbali na kumjua kimasomo bado wapaswa kumjua zaidi”

Nilikatwa na ule upanga wa tumbo kwa uoga wa utambulisho huu

“kule ninapofanya kazi za ndani huyu ni mtoto wao Hivyo naomba umueshim kama dada ako sawa?”

“sawa mama”

“hebu msindikize basi mi nikapike”

“sawa mama”

Aaaggghhh Hili ni jambo ambalo silitaki kabisa maana huyu amina ana mapepe duuhh.

“we Sheby rafiki yako umemuacha wapi?”

“si ana kwao au?”

Nilikua namjibu kimkato ili asiniulize ulize ovyo

“mbona ye mjanja kuliko wewe?”

“kamuulize yeye”

“afu kama una hasira eeh?”

“nyingi mno”

“Najua hujapenda utambulisho alioutoa mama ako”

“Sanaa”

“Simama basi mbona una haraka we sheby?”

“Wahi kwenu bhanaa”

Ilikua tayari imefika mida ya saa 1 hivi na nusu… Amina alinilazimisha tusimame mahali.

“hee! umeshika nini huko mkononi?”

“haikuusu”

“jamani naomba nione”

Nikampa aone.

“waaoo kumbe unapenda kuona watu wakiwa uchi eehh?”

“ongea point sio uo ujinga!

“ok point ni hivi sheby mi nakupenda”

“mi sitaki”

Mara mtoto wa kike akaanza kunipapasa mapaja yangu huku akinipulizia shingo yangu kwa kutumia mdomo wake…Niliskia raha kiasi fulanj lakini nika kauka tu

“jamani sheby we wa moto hadi raha”

Sikujibu kitu..sasa nikawa nimeduwaa kwa kushikwa shikwa na amina…na amina nae sii haba yaani ni kisu mbaya kwani hata shule hua wanamgombaniaga kwa uzuri wake..sasa alipokua ananishika shika basi mi nikajua labda ananisachi hela

“niachie bhana”

“jamani sheby mbona unanitesa ivyo?”

“mazoea na wewe sitaki sawa?”

“sasa nami nakuambia hivi ukikataa hata kukunyonya denda namsemea mama ako ili afukuzwe kwetu”

“kwanini sasa we Amina?”

“sogea hapa”

“Kwahio ni lazima ama?”

“sio lazima”

“basi nami staki”

“Acha ujinga wewe au we sio rijali nini?”

“ebu nipe ilo likitabu langu kwanza”

“naenda kukisoma”

“amina? mazoea staki”

“we utakua mgonjwa wewe…yaani wenzio wanavyonipaparikia afu wewe unajifanya wambuzi eh?”

“Sikufunzwa tabia izo mimi”

“afu unaonekana hujawahi hata kusex wewe”

“haikuusu”

“njoo basi”

Mtoto amina Alikua hakati tamaa ya kunitongoza yaani utafkiri ndio zinamuwasha vile.

Ila mtoto wa kiume nilikua na msimamo wa hali ya juu japokua nawatamani wasichana lakini nashindwa jinsi ya kuanzana nao hapo kitandani. kwani nahisi nitaeibika vilivyo..

Nilichokifanya pale ni kumnyang’anya kile kitabu changu cha kujifunza ngono. Kisha nikamuacha pale pale gizani

“we si uliambiwa unisindikize hadi nyumbani?”

“jisindikize mwenyewe si unapajua?”

“ngoja nikamsemee mama ako”

“hainihusu iyo”

Nilimkatia shotkati za maana lakini bado halisikii tu.

Basi mtoto wa kiume nilitokomea kabisa. Ilikua ni mida ya saa 2:15 usiku..

Sasa nikiwa naelekea nyumbani nilikutana gari moja kali tena ikiwa inawasha taa fulu.

Nikawa najiziba macho na mikono ili mwanga usiniumize macho..

Nilishtukia nimekamatwa mikono na kuburuzwa na watu nisio wafahamu kwa sura wala majina

Kisha waliniingiza kwenye hio gari na kunifunga kitambaa cheusi usoni.

“ninyi ni wakina nani?”

“tulia kimya wewe”

Ilikua ni sauti ya kike ndio ilionijibu.

“niambieni bhana”

“leo jioni kuna pesa uliondoka nazo”

“wapi?”

“unajua mwenyewe kikubwa ni sisi tunazihitaji”

“nifungueni kwanza”

“tuambie ziko wapi hizo pesa?”

“nifungulieni kwanza nyie wadada”

Walinifungulia kisha wakaninyooshea bastola ya kichwa.

“aaahh hii ni ya nini tena?”

Sasa hapo ndipo nilipowaona wadada hao. Ila sura zao sizifahamu na wala sijawahi kuziona kabla.

“Oyii dida?”

“oya?”

“ndio huyu?”

“ebu washa taa kidogo”

“ndio mwenyewe uyo”

Walikua wakiambizana wenyewe hao wadada

“sasa kamuite bosi aje amalizane nae”

“bosi wenu ni nani?”

Niliwauliza hao wadada

“we nisubiri nae hapa niende nikamuite boss”

“poa but harakisha kidogo”

“usiwaze”

Aliondoka yule dada mmoja na kuniacha na mmoja hapo hapo ndani ya gari

Nikaona ngoja nimuulize huyu huenda Akanipa fununu moja wapo ya huyo boss wao

“eti dada?”

“unapaswa utulie”

Dada mwenyewe alikua ni mzuri na mwenye umbo la kuvutia tena alikua kavaa kimini. na ukilinganisha na vile alivyokaa kwenye basi na kale kakimini kalipanda juu..

Na kuyaonyesha mapaja yake yalio mazuri.

Sasa nikajikuta nayakodolea macho maana si nipo nae karibu kwa ulinzi zaidi..

“yaani dada mzuri ivi afu ni mtekaji?”

“nishakwambia sitaki maswali”

Sasa si tumekaa siti moja hivyo na mjamaa alikua anainuka inuka kimtindo

“nini?”

“ah ah sina kitu”

Aliona nanii yangu ilivyokua na hasira ya ngono

“mbona hapo panainuka inuka”

“ah ah amna kitu”

“ushaanza kunitamani eeh?”

“aaakaa nimtamani jambazi ninakichaa?”

“we ishia hapo hapo na hio kauli yako msiiiiuuu”

“sasa kama ninyi sio mijambazi mbona mumenishikilia?”

“sisi tumetumwa tu wala hatujui utekaji wala nini”

“ila we mzuri eeh?”

“Ivi wewe kijana huyu mama anakutakia nini?”

“mama gani?”

“dokta”

“ayaa kumbe ndio aliowatuma ninyi?”

“nakuuliza anakutakia nini?”

“niliondoka na hela yake kule hospitali”

“alikupa au uliiba?”

“alinipa”

“Sasa mbona anakufatilia?”

“hakupata alichotaka”

“kwani alikua anataka nini?”

“mbona umdadisi hivyo?”

“niambie ukweli ili nikusaidie”

“kweli?”

Nikaona ni bora nimuambie ukweli ili asinipeleke kwa yule nesi. maana hii pesa niliokua nayo naitegemea kulipia ada mwakani.

“kweli nitakuseidia we niambie”

“lakini iwe siri yako dada eeh?”

“usijali”

Basi mtoto wa kiume nikaanza kumpa story ya Nesi

Huku bado namtamani na mapaja yake

“nesi alikua akinitaka”

“akikutaka?”

“ndio”

“kivipi?”

“alikua ananishika shika sasa nikawa nakataa ndio akaniwekea laki 3 mezani”

“wewe?”

“mimi eeh?”

Sasa mdada akaniangalia kwa umakini kisha akacheka.

“hahah yaani siamini dokta mkubwa kama yeye akufate wewe. kwa lipi hasa?”

“we kama huamini basi”

Sasa jinsi anavyojitingisha ndivyo na kimini kinavyopanda juu na kukaribia chupi.

“shusha icho kinguo basi”

Nilimwambia huku nikimuangali kama vile namtamani na ana umbo zuri kweli mdada huyu

“unaonekana unateseka eeh?”

“sanaa”

“utaweza?”

Nilishikwa na kigugumizi cha ghafla maana nilimtega na maneno ya kimahaba ili aniachie, Sasa nashangaa anakubali kweli

“sasa nifanyeje?”

Nilijiuliza kimoyo moyo huku nikiangalia pembeni maana mitego imekua kweli

“wewe mbona upo kimya sasa?”

Walinifunga kamba za mikono Sasa huyu dada ananifungua huku akinikonyeza

“unaitwa nani kwanza?”

“naitwa Sharbiny”

“waaoo nice name”

Mdada huyu si mkubwa saana kwa hata tukilinganisha umri huenda kanipita miaka 3 tu..

“haya upo huru”

“asante”

Mara mtoto wa kike akaanza kung’ata lips zake na kupandisha kimini chake makusudi ili nimtamani

“sasa skia waweza kwenda ila nitakutafuta”

“sawa ila sina simu”

“ooohh usijali shika hii yakwangu mi nitanunua nyingine kesho”

“sasa huyu dokta akinikosa itakuaje?”

“we usijali kila kitu niachie mimi”

“sawa asante dada”

“mmhh sheby ata zawadi hunipi?”

“sasa dada angu nitakupa zawadi gani?”

“njoo nikuonyeshe”

Nikamsogelea hadi kufikia kugusana

Mara alinikamata na kuninyonya mdomo huku akiniminya minya mbavu zangu kwa hisia kali mno

“nini dada?”

“usijali hata mimi nimekutamani Sheby”

Saa hio nami hisia zinanipanda kwa mara ya kwanza

“watatukuta bwana we niache niende”

Dada huyu alionekana kua na uhaba wa mapenzi kwani alikua akinitomasa mwili wangu vilivyo

“Sheby kesho nakutaka uje tuonane sawa?”

Mara mlango wa gari ukafunguliwa kisha ikatoka sauti ya dida

“we Nancy mlete uyo dogo”

“ayaaa! umeona sasa tumekutwa”

Mwili ulianza kutetemeka maana nimekawia mpaka nimekutwa na Dida Ambae ndie mbabe kuliko wote

“usijali hapa hakiharibiki kitu sawa?”

“sawa”

Alinipa moyo huyu dada Nancy kuusiana na sakata hili

Basi mtoto wa kiume nikatolewa nje na kukutana na dokta uso kwa uso

“hee huyu nae kafata nini huku?”

Ni dokta akimuuliza Dida kua huyu nancy amefata nini huku…

Kwahio hapo moja kwa moja ndio tunajua Nancy hausiki kwenye utekaji huu.

“Niliona nimshirikishe maana ni rafiki yangu”

“Didaaa najua kua ni rafiki yako ila unajua mi na huyu kijana tunachodaiana?”

“uliniambia kua aliondoka na pesa zako”

“ok tuyaache hayo hebu nikabizi kazi niliokutuma”

Hio ni kauli ya dokta ikimuamuru Dida anikabidhi kwa dokta.

“subiri Dida”

Nancy aligoma kuniachia mkono kisha akamgeukia dokta

“mama? najua kila kitu kuusu huyu kijana na kama ni pesa zako hizo hapo mwache kijana wa watu”

Kumbe nancy huyu dokta ni mama yake kabisaa

“unaona sasa Dida? ulimshirikisha wa nini huyu?”

“nisamee dokta”

“kijana?”

“naam dokta”

“nipatie pesa yangu”

Nilijipokonyoa na kutoa pesa zake na kumpa ili niwe na amani hapa kijijini kwetu.

“yaani Dida umeniuzi leo”

“nisamee mama sikujua kua atabadirika”

Unajua dokta alimpa kazi dida kwa kumuamini kua ataweza na mikao ya Dida au swaga zake ni za kume kiume (gensta).

Basi Mama yule aliondoka bila hata ya kuhesabu zile pesa maana nilishazitumia kununulia kitabu cha mapenzi.

Na kutuacha sisi watatu

Mimi, Dida, na Nancy

“we Nancy umefanya nini sasa?”

“we Dida hujui tu mama ana mpango gani na uyu kijana wa watu”

“kwani alikua ana mpango gani nae?”

“anamtaka”

“kivipi?”

“kimapenzi”

“heee huyu mtoto atamueza kumbeba mama ako?”

“Afu tueshimiane Dida”

“kwani ni nini?”

“mbona unalitia mkazo hili jambo?”

“ila we Nancy huyu kijana na mama ako wanajuana wenyewe sasa wewe umeingilia wa nini?”

“yaani mtu wa kutembea na mimi akatembee na mama angu kweli?”

“aaahh tatizo watoto wa mama ndivyo mlivyo”

“ivi we dida ukimkuta kijana kama huyu yupo na mama yako kimahaba utamfanyeje?”

“nawaacha na swaga zao”

“we sio mzima wewe”

Nikawaomba waniache niende maana nyumbani ni mbali

“sjui naweza kwenda jamani?”

“we nenda ukoo”

Dida ndio alijibu hilo neno hapo

“iii Dida samaani wacha nimsindikize kwao”

“afu Nancy leo mbona sikuelewi?”

“utanielewa tu, Twende zetu”

Basi tukawa tunatembea kwa mguu taratibu bila tatizo na mtu

Na wakati huo dida tumemuacha nae akielekea kwao

Mida hii ilikua ni saa 5:10 usiku

“we Sheby?”

“mmhh?”

“ivi ni kweli huna mpenzi?”

“ndio sina”

“naomba nafasi basi juu yako”

Huyu Nancy licha ya mama yake ni dkta bado baba yake ni mtu wa selikarini hivyo tunaweza mwita mtoto wa kishua.

Basi nilikaribia kufika nyumbani huku Nancy akinishika kiuno. Mara nikamuona mama kakaa pale nje akinisubiria

“mmhh we dada tuishie hapa hapa kwani nimeshafika”

“si nikupeleke hadi kwenu?”

“ah ah mama yule pale bwana”

“poa basi usizime simu hio kwani nitakupigia sawa?”

“sawa”

Basi Nancy aliondoka zake na kurudi kwao

Nami ndio naingia nyumbani

“we unatoka wapi saa hizi mwanangu? umeniweka roho juu”

“aah mama kuna shida ilinikuta”

“shida gani hio mwanangu?”

“unamkumbuka yule dokta?”

“ndio kwani kakufanyeje?”

Hee mama kaanza kufunga kanga vizuri ili amtokee na usiku huu

“aah sasa mama saa tano hii unataka kwenda wapi?”

“niambie kakufanyaje?”

“ile jana nilipokua pale hospitali alinipa ela ili ninaniii sasa wewe ndio ukatokea kwaio nivyo ondoka niliondoka nazo zile pesa”

“zikuapi? lete nimpelekee miuchafu yake”

“kashachukua mama”

“afadhali achukue, ehee ulimpelekea au ulifanyaje?”

“Nilipokua narudi kumsindikiza amina nilikutana na wasichana wawili ndio wakanikamata na kunikutanisha na huyo dokta”

“kisha akachukua pesa zake?”

“ndio”

“na yule aliokusindikiza ni nani?”

“ni mmoja kati ya hao waschana”

“haya ingia ndani”

Basi mtoto wa kiume nikaingia ndani na kukimbilia kulala kwanza

Ilipofika asubuhi nilijiandaa kwa kwenda shule lakini nia yangu haikua kwenda shule bali ni kuenda makorongoni ili nikakisome hiki kitabu

“mamaa? we maa?”

“nini wewe?”

“mi naenda”

“haya nakutakia masomo mema”

Basi niliondoka nikiwa na hamu ya kukisoma kitabu kile

Nilifika mahali nilipopataka na kuweka begi chini kisha nikaanza kukisoma kitabu kile.

Ilikua imefika mida ya saa tano hivi asubuhi bado nakikodolea macho kitabu kile kwani kilikua na style mbalimbali za ngono bila kusahau jinsi ya kutongoza na jinsi ya kumshika shika mwanamke.

Nilikisoma hadi kichwa kikaniuma na nilikua kama nakimaliza hivi

Mara simu iliita. Afu mtoto wa kiume bado ni mshamba shamba wa simu kwani hata kupokea sikua najua Ila niliibahatisha kupokea

“halo nani?”

Mara nikaskia kicheko

“hahaha we sheby ni mimi nancy”

“aaahh sasa unacheka nini?”

“si ulivyosema we nani wakati namba ina jina”

“bwana we hili ni tatizo la kutokua na simu”

“tukutane basi”

“aahh sasa mimi nina sare za shule”

“Kwani we bado unasoma?”

“ndio”

“levo gani?”

“darasa la saba”

“yesu wangu na ukubwa huo?”

“aahh yalikua ni maisha tuu”

“ok usijali niambie ulipo nije”

“nipo korongoni huku mtoni chini?”

“upo mtoni chini?”

“ndio”

“unafanya nini huko jamani maporini huko?”

“si nimetoroka shule”

“oopss haya ngoja nije”

Baada ya kama robo saa Nancy alifika pale nilipo

“mbona upo mwwnyewe ivi huogopi?”

“aah mi si wakiume bhana”

“sasa nataka nikakusajirie laini yako”

“kwani hii vipi?”

“hio ni yangu nilikuachia ili nikupate kwa urahisi”

“mmh sawa”

“afu unasoma nini? haa unajifunza mapenzi?”

“aahh aagg mmh aah sio ivyo”

Nilijiuma uma huku nikiwa na aibu ya uso..Huku mtoto wa kike akiniangalia kwa jicho fulani hivi

“usijali ila si ungeniambia nikufundishe sasa”

“kwani we unavitabu kama hivi? nipe kimoja basi?”

“mi situmii kitabu chochote”

“sasa ungenifundishaje?”

Akachukua kitabu changu nilichokua nakisoma Kisha akakitupa ndani ya maji

“haa ndio nini ivyo sasa?”

Nilipaniki karibia niruke mtoni kwenda kukichukua

“usijali kama ni mwalimu mimi ndio mwalimu wako sawa?”

“aahh utawezaje kunifunza wewe?”

Mara mtoto wa kike akaanza kurembua namj hasira zikaanza kunishuka taratiibu kabisa

Sasa nikiwa nimeduua kumbe tayari mtoto wa kike keshanizungushia mkono na kuanza kunipapasa kiuno huku Akinisogelea kwa denda

“tuanze mafunzo sawa?”

“sawa”

Mara alianza kunilamba shingo sijakaa vizuri nishaanza kutomaswa

nami nikapandisha mori huku nikitumia utundu niliousoma muda mfupi uliopita.

“siiiiii we sheby mafunzo tu unafanya kweli?”

Mtoto wa kiume nilikua nataka kweli.

“siii Sheby su su su –subi-ri ki-dogo”

Sikua namsikia hata kidogo mdada huyu.

“sheby ngoja basi nitoe hiki kijinsi?”

Mtoto wa kiume nilipata joto la ghafla huku nikiwa na haraka ya kusex nae maana nina hamu ya toka nizaliwe na mama angu mpaka leo sijawahi kugusa sehemu ya siri ya kike kuacha siku niliozaliwa

Unajua kuna watu hapo wata tafsiri vibaya Ila ukweli ni huu kua mwanaume kama mwanaume asiseme kua hajawahi kugusa sehemu ya siri ya kike, Sio kweli na kama ni kweli je wewe ulitokea wapi?

Basi mtoto wa kiume nilikua kama Mtu mwenye puresha vile kumbe ni utamu wa kutomaswa

“sssiiiii we Nancy usifue kwanza”

“kwanini na wewe?”

“aahh sasa si unajua kua hapa ni porini”

“kwani wanatuona bwana na wewe sheby?”

Daahh! kiukweli mtoto alikua wamoto mno kuliko nilivyotegemea maana kwa sasa na mimi naweza kumpa mwanamke joto la hali ya juu maana mwanzo nilikua nawaogopa kwasababu ya sijui jinsi ya kuanza hivyo nilikua naogopa kuaibika mbele ya mwanamke kua siwezi kufanya ngono.

“Au twende nyumbani kwetu?”

“weee huko kwa mama ako?”

“kwani kuna nini?”

“nitokee mimi tena ushaniuzi kabisaa”

“bwana Sheby baasi nisamee”

“we ndio unajua ukweli wa mimi na mama ako afu bado unataka niende?”

“basi jamanii”

“sawa”

“Kwaio jamani Sheby?”

“nini?”

“zimenipanda bwana”

“aah ahh mhhh hahaha sasa?”

“sasa nini bwana? we ninanii hapa hapa”

“aahh hapa sio sawa bhana”

“kitenge si hiki tutandike bwana”

“aaahh afu wewe unajua kidogo ni mkubwa sana”

“sawa lakini si miaka mitatu tu”

Mara Nancy akatoa kinguo kilichozuia matiti yake. Kisha akajilaza chini ya kitenge alichokitandika

“kama wewe sii mwanaume utaniacha na kama wewe ni mwanaume basi malizia hio chupi”

Nikaona nikimuacha nitazaraulika mno.

Basi mtoto wa kiume kabla sijavua kinguo hicho nilianza na utundu ninaouju wa kusoma kwa vitabu

“sheby njoi bwana”

Nancy alikua ni mrembo na mwenye kuvutia mno tena ana umbo la unene kiasi fulani hivi

Basi kama kawa mapenzi hunogeshwa na denda

Basi ndilo tuliloanza nalo

Kiukweli nilikua na hamu mpaka basi

“siiiii sheby sheby wangu ngoja iiiiiiiiii”

Mtoto wa kike alining’ang’ania huku akikunja sura kana kwamba ndio nae alikua anafika kileleni. na wakati huo sijamvua kile kinguo kile

“siiii mmhhh aaaahhh ssiiii sheby mmhhh we mtoto mbona ulisema hujui sasa mbona unajua ivyooo mmhhh aaauuu”

Milalamiko ilikua ni mingi mno na muda huo nilikua nacheza na denda na matiti yake. kiukweli mtoto siku hio alikua ni wa kuzitupia

“Sheby? we shebiiii?”

“nini wewe mbona una kelele?”

“nakupenda sana sintokubali utembee na mama angu hata siku moja”

Mtoto alikua hataki nikutane na mama yake kimwili

“shebiiiiiii uuuuiiiii jamani ulipajuaje”

Nikaona kama napoteza muda maana kama ni vibao keshapiga kama viwili hivi….

Nikamueka sawa kisha nikaanza kuivua ile nguo

“bwana staki”

“nini shida?”

Mtoto wa kike anaona aibu kwa kua alishailoanisha hiyo chupi yake hivyo anaona aibu ya kuivua..

Nami sikua namlazimisha nikamuacha na chupi yake kisha nika nikaivuta tu kwa upande wa kushoto na kulia ikawa sawa…hapo ndio ilikua ni mara ya kwanza kuona naniliu ya mwanamke.

Basi sikua mshamba wa kuiangalia sana maana ataniona boya zaidi

Basi kama kawa uume wangu ulishasimama saa mingi mno bila kuchelewa nikaanza kumtekenya nayo ya kwenye mapaja yake

Ina raha sana hebu jaribu kumfanyia mpenzi wako hivyo uone na kwa ninyi wanawake kama jamaa wako hajui basi we mwambie akufanyie utundu huo, yaani mithili ya kama anaingiza ingiza katika mkunjo wa goti.

Sasa nilipofanya hivyo na mtoto wa kike kajilegeza na kuiachia chupi na hapo sikukawia kuivua.

“Sasa unafumba macho ya nini?”

“kumbe wewe ni mzuri hivyo kwenye mahaba?”

Sikumjibu kabisa nikamueka vizuri na kukaa sawa huku nanii yangu ilikaza visivyo vya kawaida kwani hata kuuma ilikua inauma mno.

Basi nikaanza na kupiga piga pale juu ya kisimi bila kusahau kukikwarua kwarua kwarua kiufundi kwa kutumia naniliu yangu.

Sasa kama unavyojua sisi wanaume,lazima tujifanye kama hatutaki vile.

Basi sikupoteza muda wala nini na kuishika naniliu yangu kisha

Kwa mara ya kwanza kuingiza uume wangu katika siri ya kike

“siiiiiii aaaaiiiii sheby una naniii kubwa eeh?”

Mtoto aliinua kifua kwa kuisikilizia jinsi inavyokuja na kumgusa gusa baadhi ya nyama laini.

Basi kama kawaida jamaa akiingia katika sehemu kinachofata ni kuingia na kutoka.

Basi nikiwa nafanya hivyo mtoto alikua anaguta mno

“wewe nancy taratibu na mikele yako iyoo?”

“sssssiiiiiiiiii sheby siwezi kuvumilia raha zakooooo aaaauiiiiiiiiii aha ah ah ah iiiiiiiiiiii ngoja kwanza jamani”

Wala sikua namfatilia anachokisema.

Mtoto wa kiume nilikua nachungulia na kuingia

“siiiiiii weeeeee ahe ah mhh mhh mhh mhhh mhh”

Basi kama kawa cha kwanza hakikawii kutoka

Na kufua dafu mapema

“Jamani Sheby usiminyie kwa nguvu mwenzio siliwezi kulizuia loteeee yesu”

“nini?”

“aaaaiii sheby baasi hii hii moja inatosha”

“unasemaje?”

“mmhh mhh kama ni uhusiano tuuwache”

“acha utani”

“sheby umejaaliwa sana afu wenzi bao la kwanza halifiki hata dakika 5 sasa wewe karibia dakika 20 je hilo la pili itakuaje sasa”

Kiukweli nilikasirika kupita maelezo maana hapa ni sawa na ntu kumuonyesha trela na wakati muvi ipo

Nilitoka pale kwa hasira nyingi mno huku nikielekea nyumbani. maana mida ya kutoka shule ilifika

“we sheby jamani ndio umenichukia kweli?”

“niache bwana”

Basi mimi na Nancy tumeshagombana hivyo ni fursa za kuombana tu misamaha

Nilifika nyumbani na kumkuta akichambua mboga

“shkamo mam”

“marahaba ujambo?”

“aahh sijambo”

“hebu kaa hapo tuongee”

Eehh nikajiuliza kimoyo moyo kua

“Au huyu maza kajua leo sijaingia shule nini?”

“kwani kuna nini mama?”

“mwanangu ivi unasomaga kwa bidii kweli wewe?”

“kwanini uniulize swali kama hilo?”

“leo nimeletewa taarifa kua hukuonekana shuleni”

“mama sio kweli leo nilienda shule”

“nataka nijitahidi nikulipie ada sasa kwanini unaanza kuleta utani na masomo?”

“ivi unajua kua baba ako alikua msomi sana?

“mama njaa inaniuma”

“we kale miogo uko ndani”

Sasa kabla sijaingia ndani nikaona kama mwanamke anakuja tenavmbio kweli…Nikajua eeheee kimeshanuka maana nimesex na mtoto wa kigogo

“we Sheby we shebiiiii? kuna tatizo”

“tatizo gani tena mbona wanitisha?”

Nilikua roho juu kuliko maelezo tena ukizingatia mama mwenyewe ndio huyu full mcharuko hee sijui itakuaje

“shkamoo mama”

“marahaba ujambo?”

“sijambo”

“eehe tatizo gani ilo?”

“ulisahau simu yako”

Mara mama akadakia juu kwa juu.

“Hee! ivi unasimu? umeitoa wapi?”

“aaah mama mi si mtoto wa kiume bhana ivi utanilinda adi lini?”

Niliipokea ile simu kisha akanipa na laini mpyaa ambayo tayari ilisha sajiriwa. Kisha Nancy hakutaka kusikia mengi juu yetu Hivyo aling’oa kongoro zake na kuondoka.

“Ivi we Sharbiny unaakili kweli?”

“kwanini?”

“kwanza simu umepata wapi iyo?”

“aahh yeye ndio kanipa”

“kwa kazi gani uliofanyia?”

“hahahaha we mama nawe mdadisi mmhh”

“hee we ni mwanangu kila jambo napaswa kulijua”

“alipenda kunipa tu”

“alafu Sheby sipendi tabia ya kuwa karibu na watoto wa watu wenye pesa yaani ungenijua rohoni mwangu wewe”

“Lakini mama mbona unachukia sana watu wenye pesa?”

“ivi unajua kilichompoteza baba ako?”

“apana sikijui”

“sasa kwanini nikikuambia achana na watoto wa watu wenye pesa husikii”

“hawa hawa watoto watakuja kukugeuka hawa kama baba ako”

“kwani baba alikua na urafiki na watoto wa matajiri?”

Sasa nikaona nimuulize mama kuusu baba yangu maana alivoniambia kua baba yangu huenda hajafa ila yupo tu lakini hatujui alipo…

“sio urafiki, baba yako alikua akishika nafasi ya pili kwa utajiri katika jiji la arusha”

“haaa sasa mbona tunakaa kwenye nyumba mbovu ivi?”

“ngoja nikupe story kuusu baba yako”

Nilikua nina hamu na kujua huo utajiri wote wa baba uliishia wapi

Mpaka sasa hatujui mbele wala nyuma ya hatma ya maisha yetu Au labda baba yangu alikua mpenda michepuko ama vipi? Nilikua nina maswali mengi mno ya kumuuliza mama

“Kwa sasa kuna tajiri mmoja anaewika sana hapo arusha…Wanamuita Mr Deus huyu ndio shida kubwa ya baba ako Na mzee mwingine wanamuita Mr James

pia ni watu waliompinga baba yako na kumsababishia matati…

baba yako alikua anamiliki sheli mbili na kiwanda kimoja cha nguo bila kusaha na kampuni ya usafirishaji wa mizigo TRANSPORTER

kampuni zote zilikua zinatumia jina moja kama vile

Kampuni zote tatu kwa sasa hazipo.

Na kuzipata hizo yahitaji elimu ya hali ya juu na mashahidi wengi watakamsapoti baba ako Je hivyo vyote utavipataje?

Baba yako hakua na shida na mtu bali watu hao ndio waliompoteza baba yako”

Duuuu mama aliongea mpaka alinichosha maana mimali yote hio ilikua ni yangu kabisa

“sasa mama kwani baba alikufaje sasa?”

“wee baba yako hakufa wala nini?”

“kwaio unataka kuniambia kua yupo hapa kijijini?”

“hapana kwani siku ya mwisho kumuona mume wangu ilikua ni hospitalini na wewe ulikua ni mdogo sana…Ila alikua amevunjika mguu kwa ile ajali ambayo tuliipataga miaka 15 iliopita na siku hio nilipomuona alikua kwenye hospitari hii hii ya hapa kiteto ila baada ya siku mbili nikaskia kahamishiwa katika hospitali ya arusha…sikuchelewa kwenda kumuona huko arusha Ila cha ajabu kufika hospitali pale wakanitaji list ya watu walioletwa kutoka mikoa mbalimbali kwa mwezi huo….Lakini baba yako hakuepo kana kwamba hajafikishwa hospitali….na ndio hadi leo sijawahi kumuona teena huyo baba ako”

“Atakua kafa uyoo”

“wee usimuongelee baba yako hivyo”

“sasa hhmm nina maswali mengi juu ya hayo”

“sasa hivi umeshakua hivyo nitakuambia kila kitu”

“eeheeee kuna siku uliniambia nina dada alafu pia kaka ninae….je wapo wapi sasa?”

“Oohoo! sasa skia huyo huyo mzee deusi mke wake alikuaga ni nesi kipindi hicho kabla hawajakua na mali nyingi…kipindi wakati nina mimba yako nilijifungua katika mikono yake yaani yeye ndio alikua akiwasaidia wamama wanaojifungua kama vile mkunga Unamjua mkunga?”

“Mkunga? aah ah simjui”

“Mkunga ni mtu anae waseidia wakina mama kujifungua ila yeye ni wa hospitalini sio wa Asili tena ni dokta mwenye cheo cha juu…

Sasa siku nilipojifungua nilifanikiwa kupata watoto wawili (mapacha) lakini mmoja nililetewa habari kua amefariki na nilimuona kabisa…hivyo ungelikua na kaka yako mpaka sasa”

“duuu mbona matatizo hayatuishi mama tumemkosea nini mungu?”

“usijali yatakwisha tu”

“eehe na hao wa kike ilikuaje?”

“wakike si hata wewe ulikuepo sema ulikua ni mdogo..siku ile tuliopata ajali nakumbuka nilikua nakaribia kujifungua sasa na vile tulivyopata ajali na tumbo likaniuma hapo hapo kufika hospitali nikaambiwa nilikua na watoto wawili tena wakike lakini walishakufa kutokana na ile ajali”

“uuuwiii yaani sina hata ndugu duu kwali hii ni shida mama”

Mama alinipa story zote za maisha yetu na hapo ndipo nilipochoka kwa kukosa ndugu

Basi niliingia zangu ndani huku nikiwa na njaa maana kila siku tu ni kula mihogo ya kuchemsha tuuu

BAADA YA SIKU TATU KUPITA

nilikua katika mizunguko ya hapa na pale nikashangaa kulikuta gazeti moja lenye sura yangu bila kusahau neno lililokua chini ya picha hio

WANTED sasa nilivyolipekua vizuri nikamkuta nancy akiwa uchi wa mnyama tena hata mimi nipo pembeni yake tukiwa tumekumbatia alafu kichwa cha habari kilisema hivi

MTOTO WA KIGOGO KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE MAENEO KORONGONI MTONI CHINI

Haa sasa hio habari sasa uuuwiii nimekwisha na mimi….sasa jela kama naiona vile…

Sasa nikiwa hapo kwenye magazeti nilipigiwa simu kucheki jina alikua ni nancy

“hallo we Sheby kuna tatizo kubwa mno Sheby plz naomba fanya chochote ujifiche kwani baba keshaapata hizi habari na ukikamatwa shauli zako mwenyewe”

“Lakini Nancy mi nilikuambia tusifanye pale ukajifanya nguli ebu ona sasa unavyonipa shida”

Maskini ya mungu mtoto wa kiume mimi nilikua nalia kwa uchungu wa hali ya juu

Sasa nikiwa bado nalia ghafla lilikuja kundi la watu waliozinyaka habari hizo

“jamani yule pale kwenye magazeti jamani yuleee Anatakiwa afe kibudu mpumbavu sana”

Nilikua ni mtu mwenye hofu kupitiliza Ila kwakua jela ama kifo kitanikuta pindi nitakaposhikwa na hawa raia walio ahidiwa donge nono juu yangu…..

Basi mbio zangu zilikua ni zaidi ya farasi tena sikua nikikimbilia nyumbani kwani sikua nataka kumpa mama angu shida ya mshtuko juu yangu…

“ivi haya maisha nitatokaje jamani?”

Nilikua najisemea mwenyewe huku nikikimbizwa na hawa raia..Nilifika mahari na kujibana kwani hata hivyo ilikua ni mida kama saa kumi na mbili na nusu hivi jioni…na habari ndio zilivuja muda wa saa 11 jioni na kuenea mida ya saa 12 jioni. na kupata msuko suko kama huu nilionao kwa sasa…

Raia hawa walipita bila kuniona na walivyopita tu nami nikarudi nyuma huku nikiwa na wasi wasi wa hali ya juu kuhusiana na hilo…

Maana nisipoenda jela basi kifo ni muimu maana nimetembea na mtoto wa mbunge ambae mama wa mtoto huyo ni yule dokta anaenitaka

“daahh haya ni majanga juu ya majanga”

Nilikua nikijisemea huku nikitokwa na mchozi mzito uliojaa simanzi nyingi za maisha.. kifupi naumia sana kuskia jambo hili

Kumbe mama alipokua akinizuia kutojihusisha na tabia za kupenda ngono kumbe alikua akinisaidia maisha yangu…hebu ona ninavyo tapatapa pasipo amani..

“nini wewe mbona unalia?”

Nilifika hadi nyumbani na wakati huo ilikua kama mida ya saa 1 hivi usiku.

“mama naomba unisamee mama”

“ni nini wewe mbona unanitisha?”

“ulikua ukinikataza kuwa na wanawake ona sasa yalionikuta”

“una ukimwi au?”

“bora ata ingelikua ni ukimwi maana ningeishi bado”

“sasa ni nini jamani we mtoto?”

Mkononi kwangu nilikua nina kile kipande cha gazeti hivyo nilimpa nae akipitie kwa umakini zaidi

“nilikuambia mimi usipende kukaa na watoto wenye pesa husikiii”

“mama naomba unisamehe mama”

“kwahio hapa sasa utafanyeje mwanangu na unajua hali yetu ilivyo mbaya”

Pale pale nikapata wazo la kumpigia simu Nancy

“Unampigia nani simu?”

“yeye”

“nani sasa?”

“Nancy”

“eehh halo Nancy?”

“we Sheby ushatoroka? yaani baba yangu kanifungia mpaka upatkane”

“jamani Nancy nitatoroka na nini sina hata nauli”

“sasa mi nitakuseidiaje? maana hata simu yangu yenye M-pesa anayo baba hapa ni kwamba nili idaiveti kwenye simu yangu ya mezani na ndio maana umenipata kwa urahisi….Sheby plz fanya kitu uondoke kwani baba angu ana hasira sana”

“Lakini yote haya uliyataka wewe”

“tusilaumiane sheby we fanya mpango wowote tu”

“Alafu mbona wameandika kua nimefanya na wewe kinyume naaa Ayaa poa basi baadae”

Nilijishtukia naongea ujinga mbele ya mama

“Sheby mwanangu ndio umeshafikia hatua hio? ama kweli sina mtoto tena yaani nilikua nakulinda ili uje unijali mama ako..leo umeshaanza kufanya uharamia huo?”

“Mama ni kweli tulinanii lakini sio hivyo walivyoandika kua hadi nanii uku”

“kwahio waandishi wa habari ni waongo?”

“hapana mama ila kwa hili ni waongo”

“waongo nini wakati ni kweli?”

“mama sikunanii nanii”

“nanii nini? hebu nitolee ushenzi wako na laana mimi”

Kwa hasira za bi mkubwa ilibidi nitoke nje ya nyumba na kufikiria nini nifanye juu ya hili maana ndio lishatokea hivyo… kwaio sina jinsi

Nilikaa pale nje na giza langu tena masaa yalikua yakikimbia kweli na sasa ilikua ni saa 4 usiku

“Sheby mwanangu? njoo baba ilikua ni hasira tu”

Mama ni mama tu hata ufanyeje lakini kama ni dingi apa heee tayari ata mguu ungekuta sina…

Basi niliingia ndani na kukaa na kujadili na mama kua tunafanya ninj juu ya hili…Sasa tukiwa tunajadili ghafla taarifa ya habari ilisomwa

BEACKING NEWS :- HABARI ILIOTUFIKIA HIVI PUNDE

“KIJANA MMOJA ASIEFAHAMIKA VIZURI AMEMBAKA MTOTO WA MH: JOEL MBALAZI NA KUMUINGILI KINYUME NA MAUMBILE.. .

KIJANA HUYO ALITAFUTWA TOKA HABARI ILIPOJULIKA NA KUMKOSA KATIKA VIKUNDI VYA VIJANA

MH: JOEL MBALAZI ALISEMA KUA

ENDAPO ATAPATKANA KIJANA HUYO APIGWE HADI KUPOTEZA MAISHA AU APOTELEE JELA KWA MIAKA 30 KWA KOSA HILO

VIJANA WENGI WA MTAA HUO WA KIBAYA WILAYANI KITETO WAMESEMA KESHO WATAWAELEKEZA POLISI HADI KWA HUYO KIJANA ANAPOISHI

NA HIO NDIO HABARI KAMILI KUTOKA REDIO ONE STEREO

“Duuuhh mwanangu umefanya nini lakini?”

Mama yangu alikua akilia kwa uchungu wa kunipoteza mimi

“yaani wewe ndio jicho langu la pekee na nilikua nakutegemea sana mwanangu hebu ona sasa”

“mama baasi nisamee”

“kwahio utafanyeje mwanangu?”

“dawa ni kutoroka tu mama”

“na masomo itakuaje mwanangu?”

“mama? sina jinsi ya kuendelea tena kusoma kikubwa nishajua kusoma na kuandika bora niepuke hili tatizo…ila sasa nauli mama”

“usijali nilikua nakukusanyia pesa ya sekondary hivyo nitakupatia hio”

“asante mama maana huu ni msala huu nitakufa”

“kwahio utatorokea wapi sasa?”

“sina pengine mama zaidi ya arusha”

“Sawa ila kuna mzigo nitakupa na uhakikishe haupotei mzigo huo…

“sawa mama ila ni mzigo gani?”

“hupaswi kuujua kwa sasa, we nenda kalete lile begi lako la shule na sindano iko pale juu”

Nilifanya hivyo kisha nikaenda geto kwangu na kujikusanya vizuri tena sikua na nguo nyingi zaidi ya nguo tatu tu…

Ambazo zote zilienea kwenye begi langu la shule…

“sheby?”

“naam”

“lete izo nguo zako nikupangie”

Nilizipeleka na kukuta nyuma ya begi kuna kitu kakishonea mithili ya madaftari hivi tena alishona kwa umakini wa hali ya juu ili nisikione kilichopo ndani ya begi hilo…

“ni nini hiki? mbona kama makaunta vile?”

“nimeshakuambia hupaswi kujua kwa sasa”

“mpaka lini labda?”

“mpaka mambo yatakapokunyookea vizuri na kuujua mji huo kwa umakini ndipo utaruhusiwa kufungua hicho kilichopo humo ndani sawa?”

“mmhhh sawa”

“sio mmmhh mimi nakuomba tu ukilinde hicho kitu kama unavyojipenda maana kikipotea hicho basi na wewe huna chako”

“Sina changu????”

“ndio”

“kivipi?”

“nimekuambia hupaswi kujua kwa sasa”

“sawa mama nimekuelewa”

Mida hio ilikua ni mida ya saa 6 usiku na kuna duka la mawakala ambalo lipo karibu na baa hivyo lipo wazi kwa muda huu

“sasa mama lete kile kitambulisho chako ili nikakusajilie laini yako kisha nikuachie hii simu maana hii laini iliopo hapa haifai tena kwa matumizi”

Basi nilifanya hivyo kisha nikaenda kwa wakala na kusajili huku nikijificha ficha

Basi nilifanikiwa na kurudi nyumbani

Na kuiweka line kwenye simu kisha nikaichukua namba ya yake na kuiandika kwenye begi hilo hilo ili isipotee…

“sasa mama hii simu we tumia tu”

“waaoo asante sasa wewe utatumia nini?”

“bora mimi kuliko wewe kwani mimi nitafanya mpango nipate hata kimeo”

“sawa mwanangu nakutakia maisha mema huko uendako maana mpaka wajue ulipo ni muda utakua umeshapita na kusahau washasahau”

“sasa mama? mi nataka niondoke sasa hivi”

“wee saa hizi? hapana ondoka saa 10:30 alfajiri”

“sawa”

KAMA KAWA ILIPOFIKA MIDA HIO SIKUKAWIA WALA KUCHELEWA

“mama?”

“bee”

“umelala?”

“nilale? nilale kwa raha gani nilio nayo?”

“usijali mama wacha niukimbie huu mtatizo”

“mwanangu usivae hivyo utajulikana mapema”

“sasa nivaeje mama?”

“kavae zile nguo zako za shambani”

Nikaona kweli bora nikavae hizo Maana nikizivaaga hua naonekana kama mzee fulani hivi wa makamo

Kisha nikavaa na zile buti za mvua ambazo zinatumika sana kunyweshea mboga mboga mashambani.. Na hio ndio dili kubwa huku kiteto

Baada ya kuvaa hizo buti kisha nikachukua na HATE yale makofia ya raund ambayo yanatengenezwaga na viukamba fulani hivi…Kisha nikachukua mkongojo nikawa fulu babu kabisaaaaa ila mwendo na sauti ndio sijui…

“mama tayari nimeshavaa”

“Sawa mwanangu chukua hii elfu 50 itakuseidia hata kwa chakula cha siku chache tu”

“usijali mama kwa mimi hii pesa ni kubwa sana hivyo ondoa shaka juu ya hilo”

“sawa mwanangu nakutakia safari njema”

“asante mama nashukuru kwa ushirikiano wako mama angu”

“ila sharbiny nakuomba sana huo mzigo ukiuacha ukipotea basi sitokua mama yako tena kwahio naomba iwe ni roho yako ya pili”

“sawa mama usijali”

Nilimuacha mama yangu akiwa analia kwa machungu makali mno ila sikua na muda wa kumrudia tena .

mama yangu.

BAADA YA MASAA 3 KUPITA

Na sasa ni saa 1 asubuhi tayari nipo ndani ya gari lakini cha ajabu niliona wana jeshi kule mbele wakiwa wanasachi gari hadi gari tena walionekana kuwa na picha yangu mkononi

Waliingia kwenye basi na kuanza na wale wa mbele…..

Sasa wakafika hadi nilipo mimi

“shikamoo mzee? Mzee ulishawahi kumuona wapi huyu kijana?”

Mungu wangu nikishtukiwa sijui itakuaje maana kuongea kizee siwezi

Ila kwakua ni wakiume na nina plani nyingi za kuwakwepa watu.. Nilijitia siwezi kuongea yaani nipo kama bubu..hivyo nilitikisa tu kichwa kuashiria simjui

Na mjeshi huyu akaelewa nilichomaanisha ni kitu gani

Maana hata uso hakuniona wala viganja vya mikono…kwani nilitumia ujanja wa kuvaa grops ili asije kuona mbona ngozi ni changa mno

Basi limjeshi lile halikupoteza muda likatoka kwa ajili ya kusubiria gari nyingine kwa msako zaidi…

Basi tukiwa safarini kuelekea arusha nilipitiwa na usingizi maana kama unakumbuka jana sijalala kabisa kwa hofu ya kukamatwa na mbunge joel mbalazi

Basi mtoto wa kiume sikua na wasi wasi tena maana hakuna kituo kingine zaidi ya tulichokipita

Basi kama kawa niliulaza mwili ili kuutuliza na kuipumzisha akili yangu ili ninapokwenda niweze kupata kazi…maana naenda tu wala sina mtu ninaemfahamu huku mjini.

BAADA YA MASAA KAMA 11 KUPITA

Niliskia kelele nyingi mno zikinistua usingizini

Haa kumbe palikua ndio stendi tumefika Na gari ilikua inakaa sawa ili ishushe watu

Sasa ukitaka kupachukia mjini na usipatamani ni giza litawale afu uwe huna pakulala… hee tamu iyo

Basi mtoto wa kiume nilishuka pale standi nikiwa bado nina yale mavazi yangu ya kibabu babu..

Ilikua ni kitu kama saa 12 na robo hivi ndio nilifika arusha katika jiji lenye ukorofi kuliko popote tz

Sasa niliposhuka maskini sijui pakwenda maana naona tu watu wakikatiza katiza mjini hapo

Na muda huo bado naonekana kama kibabu fulani hivi tena ndio kwanzaa nainamia kama babu wa ukweli….Kisha nikaingia kwenye kahotel kadogo. hivi vya mtaani na kuulizia bei ya msosi

“za jioni jamani?”

Nilijitahidi kuongea sauti ya kizee ili wasinijue kua mimi ni m-bushi

“salama mzee shkamoo?”

Ayaaa walinisalimia wote niliowakuta pale mgahawani

“marahaba vijana hamjambo?”

“hatujambo mzee”

“Yaani wangejua hawa wasinge nisalimia hata kidogo?”

Nilikua najisemea moyoni mwangu huku nikijikalisha kitini taratibu kama mzee kweli

Yaani wakinijua hawa sijui itakuaje

“mzee unataka chakula gani?”

“ahh nipe hubwa hubwa”

“sawa”

“na kajuisi kidogo au chai”

Nikawa nachagua vile vitu vya kizee zee

“hiki hapa mzee ila juisi imekwisha”

“hakuna shida mama usijali”

Basi nikaanza kutupia msosi huku nikiwa nimeshikilia lile begi lenye nguo na mzigo wa watu nisioujua

Sasa mtoto wa kiume nilimaliza kula na kuuliza bei

“ni shing ngapi?”

“ni elfu 3000 tu”

“sawa mama”

Basi mtoto wa kiume nikazama mfukoni na kukutana na vumbi

“heee hii hela ipo wapi?”

Sasa kutokana na paniki ya kukosa pesa nikajikuta nimeropoka sauti ya kawaida

“hee mbona ana sauti ya kitoto huyu?”

“jamani pesa yangu ipo wapi?”

“hee heeee mjini shule babuu”

Walianza kunicheka kwa kejeli mingi zenye kuchukiza

“jamani sioni pesa yangu”

Sasa nikajiuliza kama ni kuibiwa itakua ni wapi? Aaahh itakua niliibiwa kwenye basi nilipokua nimelala. Nashukuru tu kwa kua nimefika salama tena uzuli ni kwamba nililipa nauli kabla sijapanda ndinga.

“we mzee kijana nipe changu”

“dada angu pesa wameniibia”

“hainihusu iyooooo”

“Duu kweli hii ni arusha”

“ndio vunga chalii wangu hii ni arusha”

“unasemaje?”

“hujaskia ama?”

“hilo neno vunga uskute ni tusi?”

“Utajiju na roo yako we nibwagie changu nivunge kimtindo”

“dadaa ongea kiswahili fasaha basi”

“kwani apa naongea kichaga nini?”

“basi mama we nipe vyombo nikuoshee ili niilipe pesa yako”

“wewe? Acha utani na biashara za watu hebu jipige uko”

“makofi mangapi?”

“nini?”

“namaanisha ujipapase we bwege nini”

Daahh kweli apa ndio nimeingia choo cha kike tena ni choo cha ma big mama ya ukweh…

Basi mtoto wa kiume sikua na jinsi ya kufanya kwa wakati ule…

Mara alikuja binti mmoja wa makamo tu akanunua chakula kisha akakiweka kwenye mfuko (take away)

Kisha akatoka nje Nikaona huyu simuachi maana alikua kavaa kiislamu hivyo huenda labda akawa msaada hata wa kunilipia chakula cha watu…

“Dada dada samaani?”

“shkamoo”

“aahh Apana mi ni kijana tu”

“ehe unashida ganj?”

“nakuomba dada angu unilipie ile sahani moja tu kwani nimeibiwa pesa bila kujua dada angu”

“hee we kaka ivi una wazimu wewe?”

“hapana dada angu mi mzima”

“Ebu nitokee uko”

“dada nipo chini ya miguu yako tafadhali”

“wewe na ujana wako woote unaibiwa?”

“dada kama ningelijua sina pesa nisingekula”

“kwaio?”

“ni saani moja tu”

“we mdada? dada mpishi?”

“abee?”

“Tafadhali naomba unihesabie na hio sahani ya huyu”

“sawa haina shida”

“haya sasa si tayari?”

“ndio dada nashkuru sana na mungu akubariki ufanikiwe juu yako dada”

“asante na kwaheli”

“sawa ila dada samaani kidogo hivi hujaskia hata mahari wanahitaji mfanya kazi”

“mbona una mambo mengi ivyo?”

“Dada mimi ndio nimefika sasa hivi yaani sina hata pakulala wala pakula dada angu..hata ni za ndani nitafanya tu”

“sasa hata kama ipo mi sikujui je nitakuseidiaje?”

“dada we niamini tu maana sina cha kukuzibitishia juu ya hili”

“kesho mida ya saa 10 nikukute hapa sawa?”

“sawa dada”

“utaweza kazi ya ulinzi?”

“eeehhh dada nitaweza yaani silali ng’ooo”

“sawa mi naenda tuonane kesho”

“sawa dada angu nashkuru sana”

Basi dada yule aliondoka na kuniacha pale pale maeneo ya stend kuu jijini arusha

Basi nilirudi mgahawani na kuchukua begi langu na kuondoka

Sasa nikiwa nazunguka huku na kule ili kutazama sehemu ya kulala kwa leo maana kesho nimeahidiwa kazi sasa sijui ni kweli au vp

“Oyaaa”

Nilishtuliwa na hio sauti kisha wakanikata mtama na kulala pale chini Huku tayari wameshachukua lile begi

“asee begi ilo jamani”

“we? Vungaaa”

“kuna madaftari tu uko jamani msiwe ivyo”

“jitero basi”

“eeh?”

“jitero { jisachi ) mwenyewe kabla hatujakutero”

“aahh mbona siwaelewi jamani”

“unainuka unaenda wapi? shuka danta areef”

“danta?”

DANTA LINA MAANA YA “CHINI”

“oyaa uyu hana swaga areef tumteme ila tung’oe na ii bako areef”

“poa areef”

“areef we boya usipige kelele hadi tupotelee”

“sawa baba hata ukisema ninyamaze hadi kesho nitanyamaza tu”

Daahh begi limeenda na ule mzigo wa watu

Basi nikainuka na kuvua lile likofia na kulishika mkononi…

Sasa nikaskia mziki mnene maeneo haya nikaona hebu nisogee ili nitulie hapo mpaka pakuche

Nikakuta mahali pameandikwa AQ yaani AQUELIN na hapo ndipo mziki unapotokea…Nikaona tu labda ni kuingia tu. Saa ngapi sijapigwa likibao na baunsa moja nene

“nini sasa broo mbona unanipiga?”

“we fala nini kajenga baba ako hii?”

“kwani si naskiliza tu”

“kaskilize kwenu uko”

Daahh nilikosa pozi la kukaa kutokana na lile kofi la kichwa nililozabwa na yule baunsa

Sasa nikiwa nimekaa zangu pembezoni mwa tax moja hivi mara niliguswa kwa nyuma na sikusita kugeuka

“nilijua tu utakuja”

Ilikua ni sauti ya kike tena ni mzuri kuliko hata sjui nani uko..ukicheki hilo umbo maskini weeee

Basi Nikageuka kuangali uyo mtu anaeongea nae ni nani? lakini naona mbona ni mimi tu

“nini?”

“nini nini sasa?”

“we unanijua mimi?”

“aaah ebu acha utani wako uo”

Sasa akawa ananishika mkono na kunivutia club AQ tukacheze

“ebu niachie bwana we vp?”

“jamani shebe najua leo huna mudi ya kucheza ila we tuingie tu”

“umetaja jina gani vile?”

“aahh bwana hebu twende basii”

“nasema hivi hebu rudia hilo jina”

“Shebe”

“oohh basi umelong namba mi naitwa sharbiny au sheby Sasa huyo unaemjua wewe ndio anaitwa shebe”

“unajua spendi utani?”

“umenifananisha bwana we dada”

Sasa akamuita baunsa mmoja pale getini ili amuulize kama ni kweli kanifananisha ama

“eti broo unamjua huyu?”

“ndio”

Mhhh nikashangaa

“unaona sasa?”

nikaona ngoja nimuulize mwenyewe

“broo ivi wewe una uhakika unanijua mimi?”

“wewe na huyu dada ambae ni mpenzi wako munaingiaga disco kila siku”

“sasa kama munanijua mbona mumenizaba m-bao pale”

“aaahh labda ni yule baunsa mgeni na ni kwakua hakujui”

“ok poa haina shida broo”

,”poa karibuni ndani?”

“tunakuja usijali”

Baunsa yule aliondoka na kutuacha pale nje

“sasa kumbe una mahasira yako ya kuzabwa m-bao huko afu unajifanya hunijui?”

“ivi we dada unaakili vizuri kweli?”

“ngoja kidogo labda huenda umepoteza kumbu kumbu ila ndio wewe tu hata ufanyeje”

Akawa anapokochoa pochi lake na kutoa bonge la simu kisha akaifungua na kunionyesha vilivyopo ndani ya simu

“what????”

“what nini? si ulikua hutaki kuamini wewe?”

“huyu ni nani?”

Alinionyesha picha za huyo mtu ila hizi picha ni mimi kabisa yani

“we ulizitoa wapi hizi picha?”

“yaani unavyoongea ukomedi wako ndio unazidi kuniboa”

Sasa nikaona mbona kama bahati naipiga mateke Bora nimkubalie tu maana hapa nilipo sijui nitalala wapi afu istoshe nina kibarua cha kutafuta begi lenye ule mzigo wa watu… Duuhh yaani ni shida juu ya shida

“unajua leo sina mudi ya kuwepo hapa?”

Nikaona bora nimkubalie ili nipate pakuishi

“kama huna mudi basi twende nyumbani tukapumzike”

“sawa twende basi”

Mara kaita tax

“leo sijaja na waleti kwaio labda utalipia wewe”

“kwani kila siku unalipaga wewe?”

“sawa”

Maskini mtoto wa watu simjui hata jina ila ni mzuri kupita hata modo…

Sasa nikajishauri kua nimuulize jina lake au? Lakini nikaona hapana kwani huenda atanistukia

Ila kwa siku hio sikua na raha sana kwakua nimepoteza mizigo ya watu nisioijua ina thamani gani ndani yeke

Na hicho ndicho kinachonikosesha raha kwa siku hii ya leo…

“afu leo mbona umevaa hovyo ivo?”

“leo kuna filamu tulikua tunaigiza”

Nilimdanganya maana anaemuwazia siye

“kumbe ndio maana ulikua unajifanya hunijui”

“usijali”

Saa hio tupo ndani ya tax tukielekea huko nyumbani kwake

“hafu vp shebe una njaa?”

“ndio kwani nilipotoka kwenye maigizo nikanyooka moja kwa moja pale klabu”

“ngoja tununue chips pale”

“poa ila leo nina njaa kweli”

“kwaio nikujie na mbili?”

“ndio”

“kinywaji gani?”

“aahh leo wacha ninywe mirinda nyeusi”

“toka lini ukinywa mirinda wewe”

“nimeonywa kua nisinywe kilevi mpaka filamu iishe”

“oohh kumbe? basi poa”

Daahh! nilishkuru kwa kuuwelewa uongo wangu

Maana nilikua nawaza nitamdanganyaje

Muda huo tax ilikua imesimama na huyu dada yupo kwenye kibanda cha chips akizisubiri

“ebwana kaka eeh? vp uyu dada unamjua?”

Nilimuuliza huyu dereva

“nani uyo? uyo demu alieshuka?”

“ndio”

“mbona unamuulizia hivyo na wakati ni demu wako?”

“aahh unajua nimempata katika hali ghafla ghafla sana, hivyo simjui kiundani zaidi”

“Amna mbona ni demu mpole mstaarabu na mwenye mvuto na umbo zuri kama unavyomuona”

“ni kweli ilaaa Ivi anaitwa nani?”

“yaani miaka yote hio humjui jina?”

“nalifahamu jina alilonambia ila nitajuaje kama alinidanganya?”

“aahh kwahio unataka uzibitisho sio?”

“eehee”

“naskiaga tu wanamuitaga jaki”

“oohh basi ni sawa”

Mara Karudi na mapocho pocho ya nguvu ambayo sijawahi kuyala

kabla maana kama ni chips niliwahi kula pale hospitalini kwa kurubuniwa na dokta…hivyo leo nitazila kwa mara nyingine tena

Basi mtoto wa kike aliingia na kuendelea na safiri ambayo kwa mimi siijui inaishia wapi ila sipaswi kuuliza kwakua nitastukiwa kua mimi sio Shebe ila ni Sheby

TAFADHALI SANA NDUGU MSOMAJI KUA MAKINI NA HAYO MAJINA KWANI NI TOFAUTI SANA KWA MAANDISHI ILA KWA MATAAMSHI UNAWEZA JUA NI MOJA ILA NI

SHARBINY (SHEBY) NA SHABANI (SHEBE). ZINGATIA SPELING IZO ILI USIJIULIZE SANA KUUSIANA NA UTAAMSHI HUO

Ghafla gari ilisimama na kufungua milango

“vp mbona tumesimama?”

Nilimuuliza huyo dada ambae anaitwa Jack

“si tumesha fika”

“aahh tatizo giza ndio limenizingua”

Nilidanganya maana hata sehemu yenyewe siijui hata kidogo

“ni kiasi gani?”

Jack alimuuliza dereva

“elfu 6000 tu”

“sawa hii hapa, Asante”

Hee nikajiuliza huyu dada ana hela nyingi sio? maana elfu 6000 kama ni mimi ningelia hadi nitoe nusu yake…

“twende bwana beybi mbona upo kama mgeni?”

“unajua beby nimechoka sana”

Niliogopa kutangulia mbele maana sijui ni chumba gani

Ghafla tukawa tumefika Ila nafsi inanisuta kua kwanini natembea na demu wa mtu?

lakini nikaona sio tatizo ni kwasababu ya shida

Ila moyoni mwangu natamani agundue tu kua sio mtu anayemzania

Maana sijalelewa kujua tabia hizi za kishenzi

Basi tulingia mpaka ndani na kukaa kwenye hizo sofa….

Daahh tena chumba chenyewe ni dabo rumu. Afu kuna fenicha za maana bila kusahau tv ya kunata ukutani

Ila kitu ambacho sikijui humo ndani siulizi ng’ooo maana atanijua bure

Ila wasi wasi nilionao ni kwamba jee huyo jamaa akija itakuaje? na akitukuta huku ndani? mi sijui

Basi mtoto wa kike jack aliandaa chips zile na vinywaji kisha akaviwasilisha mezani

Kiukweli sikutegemeaga kama nitakula vitu vitamu kiasi hiki

Sasa tukiwa tunapata chakula muda huo wa saa 5 usiku mara simu yake iliita ila aliiangaliaaa kisha akaniangalia

Basi mapigo ya moyo yalinienda mbio ila nikajikaza kiume

“vp mbona unaiangalia sana hio simu?”

Nilimuuliza huku hofu ikinitanda mwilini

“nashangaa unanipigia na wakati tupo wote hapa”

“nani?”

“si wewe”

Nilishaanza kutetemeka na hofu kunizidi, maana ishu inaenda kumbuluka sasa hivi tu.

“aaayaa kata kata kata haraka”

Akaniskiliza kisha akaniuliza

“kwanini sasa?”

“ivi sijakuambia pale AQ kua nimeibiwa simu?”

“hujaniambia”

“ndio hivyo sasa simj iliibiwa usiku huu nilipokua natoka maigizoni”

Nilimdanganya kwasababu huyo aliepiga ndio alikua ni shebe Orijino kabisaa

“tena ifanye iwe blacklist na uifungie hata meseji isiingie mpaka niende nikairinyiu kesho maana hao ni vibaka tu”

“sawa ila ungeniambia mapema”

“usijali mpenzi mbona yatakwisha tu”

Basi kila kitu kiliishia pale Na kuendelea kugonga vipsi mayai na vipocho pocho vingi kweli.

Ila sina raha kwasababu ya lile begi kwani kuna vitu vya watu mule ndani

“mbona kama kuna kitu unawaza mpenzi?”

“aaaAA mi niko sawa mbona sema hio simu ndio naiwazia sana”

“kama hutaki kununua basi mi nitakununulia kesho”

Nikaona ili nijulikane ndio yule yule inabidi nikatae

Maana huyi Shebe inasemekana kua ni matajiri wakubwa sana hapa mjini, na hata nikiangalia ukutani naona picha za huyo jamaa katingishia suti ya maana.

Ila akilini mwangu Najiuliza kua inamaana mimi na huyo jamaa tumefanana kiasi gani hadi huyu dada ashindwe kujua tofauti ya mpenzi wake na mimi? au uskute ananiinjoi tu?

Maana najua watu wa mijini lazima wang’ae zaidi ya mimi niliokuepo kijijini, lakini hata nikimuangali sana huyu jamaa anaonekana ni sharobaro wa hatari maana kuna picha zingine katupia mipamba ya ukweli…

Ila pia jamaa mwenyewe sii mweupe bali rangi yake kidogo ni ya kimjini zaidi… Lakini itawezekanaje tufanane hadi sauti kiasi kwamba huyu dada ashindwe kunijua kua mimi sie huyo mtu?

Ila hii itakua tu ni bahati yangu

Baada ya muda tulimaliza kula. sasa tukawa tunapumzika hapo hapo sofani na wakati huo bado hata sijaoga na bado nina kile kijasho cha shambani..

Lakini hata akikiskia hicho kijasho hawezi kuhoji maswali mingi maana nilishamwambia kua hapa bado nipo maigizoni.

Basi mtoto wa kike alinitaka twende ndani tukalale Siku sita kwenda kwani tayari mimi ni mpenzi wake ila sina nia ya kufanya nae mapenzi coz haitokua sawa hummegea mwezio afu kikubwa zaidi ninachokitaka ni hifadhi ya siku moja ama mbili..maana sina mwenyeji hapa mjini hivyo bahati kama hii nisiiachie kiurahisi namna hii..

BAADA YA MASAA 8 KUPITA

Na sasa ni saa 2 asubuhi hivyo niliamka kwa nia ya kwenda kutoa taarifa juu ya begi langu

“mbona leo unaamka asubuhi hivyo?”

“nawahi maigizo au umesahau nini?”

“oohh nilisahau”

“pia nataka niende police kutoa taarifa juu ya simu yangu”

“we karinyiu tu bwana”

“sawa nakuskiza wewe”

Aaahh! sasa mswaki siiinaa

“una mia tano ya karibu apo?”

“ya nini saa hizi?”

“mswaki sina”

“sii ule kule niliueka kwenye sinki pale”

“aahh ule umeisha”

“duuhh kweli una maringo yaani mswaki uliununua juzi tu leo umeisha?”

“aahh yaani najuta kutokuja na pesa maana unaninyanyasa sana jack”

“wala tu sema ni nyodo zako tu”

“sawa na siji tena hapa kwako”

Nikajifanya nachusa ila moyoni naomba asikubaliane na uchusaji wangu

“basi mpenzi wangu”

“kwaio unanipa au hunipi?”

Nikajifanya nagomba kiushkaji pale

“si ukachukue pale kwenye droo?”

Nikaona nikiuliza ipi iyo itazua maswali mengi mno.

Hivyo nikawa natafuta mwenyewe hadi nikakuta mifungu ya pesa kwenye droo tena imefungwa na rababendi yaani kuna buku buku za kutosha na jero jero za kumwaga bila kusaha miekundu iliotawala ndani ya droo hio.

Nilishangaa kidogo kisha nikachukua pesa husika na kutoka nje ili kununua mswaki.

Nilifanikiwa na kuja kupiga chapu na kuelekea kabatini na kukuta mavitu ya maana

Kisha nikaanza kuyafakamia kwa ulaku wangu..na hapo najua jack bado yupo ndani kalala

Mara kaja na kunikuta nikila makeki na mavitu mengine

“jamani shebe hivi vyakula vimeshaharibika ni vya kutupa”

“vina muda gani toka viwe hapa?”

“ni vya jana tu”

Hhhmm Angejua nakulaga hata vilivyoexpaya asingesema ni vya jana…

“kwaio watakaje?”

“tukanunue vingine”

“sijafunzwa kutupa chakula”

“mmmhh mbona kila siku hulagi?”

“ushaanza mabishano ya kikandanda eeh?”

“basi yaishe mmhh na wewe hutaniwi? Afu jana mbona hata hujanigusa?”

“jana nilichoka mno”

“leo je?”

“kama nitalala kwako nitakugusa usijali”

“jamani dia naomba ulale maana toka juzi hujanigusa yaani nina hamu hio”

“mi mbona sina”

Nilidanganya lakini hapa nilipo nina ugwadu wa sikuvmingi duu

“jamani kama huna ni wewe ila mi nina haamuuu”

Mtoto alikua anaongea huku akinitekenya mbavu lakini kidume nikakaza tu

Basi mtoto wa kiume nilimaliza kula misosi na kumuaga jack

Kisha nikatoka bila kujua naelekea wapi? maana hata kituoni sipajui

Ila niliuliza uliza na hatmae nikapaona

“shakamoo mzee”

“marahaba ujambo kijana?”

“sijambo kabisa mzee”

“nikusaidie nini kijana?”

“aahh mzee jana usiku niliibiwa begi langu pale stendi na kuna vitu vyangu vya muimu mule”

“unawajua hao watu?”

“mzee nitawajuaje mzee wangu na ilikua ni usiku”

“ok basi ngoja nichukue vijana kadhaa ili tuongozane sawa?”

“sawa mzee”

Daahh kidogo nilijihisi ahueni maana mmhh

Basi tulifika stend na kuwapata vijana fulani ambao siwo ila walipobanwa zaidi waliwataja maana niliwapa maelezo jinsi walivyo

Na kutupeleka huko wanapo patikana

Punde sii punde tulianza kuwasaka hao vijana na wakati huo tuna wenzao

“wapo pale banda la video”

Ni mmoja kati ya hao vijana wezi

“mpaka tuwaone ndio tutawachia”

hayo Yalikua ni maneno ya askari mmoja akiongea na huyo kijana wa maelekezo……

Tulifanikiwa kuwapata vijana hao ila walisema lile begi walilitupa baada ya kuona hakukua na cha thamani kama walivyozani

“mlilitupia wapi?”

“kwenye dampo kule mjini kati”

Ilibidi niondoke nackuwaacha wakiwa na mtuumiwa wao

“mzee ngoja nikaliangalie huko dampo”

“sawa we wahi kisha uje kituoni sawa?”

“sawa mzee”

Nilifika hadi katika dampo hilo na kukuta hakuna hata taka yaani ndio zimebebwa na kwenda kutupwa kwenye dampo kuu

Ikanibidi niulize juu ya dampo hilo lipo maeneo gani

Nilipopata maelekezo sikukawia kwenda..

Sasa ile nafika ndio gari linamalizia kumwaga taka…kana kwamba litakua limefunikwa na taka tena naona kuna watu wameshika petroli kwa nia ya kuzichoma taka zile, nikawafata kwa upole na kuwaomba

“kaka naomba nitafute kabegi kangu”

“kabegi kako?”

“ndio”

“kalifikaje huku?”

“aahh kaka ni stori ndefu kaka naomba uniseidie tu”

“we una wazimu nini hebu toka apa”

Alinisukuma na kudondoka chini.

Ghafla Alitokea yule askari na kuongea na yule kaka.

“we ivi unamjua huyu kijana?”

“hapana mzee”

“sasa?”

“nisamee mzee”

“unamjua mr deusi nyange?”

“yule tajiri wa hapa jijini arusha?”

“sasa huyo ni mtoto wake”

Hee saa ngapi yule jamaa hajaja kuniomba msamaha kwa magoti kisha akaenda kuchukua lile gari aina ya kijiko na kuvuruga zile taka

Nilishkuru mungu Nimekiona kibegi changu…maana kilikua kinanipa wasi wasi mkubwa sana

“mzee nakushkuru sana mzee wangu”

“usijali kijana ila mwambie baba ako nitakuja mida hii hii ya saa 10 sawa?”

“sawa mzee we karibia tu usijali”

Sasa aliposema saa kumi ndio nikakumbuka kua jana usiku kuna dada aliniambia nikutane nae mida hii ya saa 10..

Hivyo sikuchelewa wavkung’aa sharubu. Basi nikawa nimesimama pale tulipokutania jana..maana bila hivyo itakula kwangu

Mara nikaguswa begani Ile kugeuka nilikutana na mrembo mzuri na mwenye umbo la kuvutia

“naitwa shamimu tulikutana jana hapa na nikakuahidi tukutane hapa?”

“kwani ndio wewe?”

“tuache maswali mengi hebu twende nikupeleke”

Nikaona nikiendelea kuongea naweza kosa kazi

Hivyo nikamfuata popote aendapo

“mbona kuna kaharufu nakaskia?”

“ni hili begi”

“sasa hiki kipande cha begi si ukitupe tu?”

“hapana nakipenda kibegi changu”

Basi ilibidi aniache kama nilivyo… Sasa tulifika mahari kuna saluni ya kike. Akaingi na kutoka na msichana mmoja hivi

“ahh jeni? niliskia ukisema marafiki zako wanatafuta kijana wa kazi?”

“ndio ila sijui kama walipata au vp hebu ngoja niwaulize”

Basi aliwauliza na kupata jibu

“kaniambia nimpeleke kule ofisini kwa baba yao kwani yeye akimkubali basi na wao watamkubali”

“sawa mpeleke ila kama atakosa unipigie simu sawa?”

“usijali sham nitakukolu”

“oyaa wacha huyo dada akupeleke huko sawa?”

“sawa dada asante?”

“usijali”

Basi huko njiani nilikua naomba mungu nipate kazi maana sina ninapo pategemea zaidi ya kazi tu.

Tulifika kwenye ofisi hio na kumkuta mzee kajiegemeza kwenye kiti chake saafi..

“shkamoo baba”

“marahaba jesca hujambo?”

“shkamoo mzee”

“marahama kijana huyu ni nani jesca?”

“huyu ndio yule kijana ambae uliosema tumtafute kwa ajili ya ulinzi wa nyumba”

“yaani huyu kapurwa ananuka hivi akakae na watoto wangu?

Nikajua kwa staili hii kazi sina Ila kwakia nilikua na shida ya kazi ilinibidi niombe kwa unyenyekevu wa hali ya juu mno.

“mzee si unajua michakato ya maisha hii. Nilikua nachakalika mzee, naomba nisaidie mzee wangu”

“lakini mbona unatoa harufu mbaya hivi?”

Ni lile begi ndio lilikua linatoa harufu

Na kumsababishia mzee kuziba pua

“haya kesho atakupeleka huyu. toka nje Na skia kijana Utalipwa elfu 50 sawa”

“aaaahhh mzee niongezee kidogo mzee wangu maisha magumu”

“hutaki kazi au wataka kazi? kama hutaki toka?”

“mzee nataka nataka uuuwiii nataka”

“utaongezewa elfu 10 kama utafanya kazi vizuri sawa?”

“sawa mzee”

Basi nilitoka pale nikiwa na yule dada ambae wanamuita Jesca.

“skia wewe Nenda kajiandae afu kesho mida ya saa 5 au 6 hivi njoo hapa saluni nikupeleke sawa?”

“sawa dada nitakuja”

Tukaachana kihivyo Na muda huo Ilikua ni mida ya saa 12 jioni kana kwamba siwezi poteza muda kurudi kwa Jack maana hata nikisema nitembee tembee kidogo sintoweza maana ni mgeni wa jiji hili hivyo lazima nilieshimu tena hakuna mkoa wenye fujo na ubabe wa aina yake…Sasa we m-bongo njoo chuga na swaga zako za kibongo kama kesho yake hutorudi kwenu sio mimi.

Basi kama kawa usiku ndik zile biashara haramu na za madhambi hufanyika hususani machangudoa nini.

Yaani ni fulu shangwe tu na uchafu uliokithili jiji hili

Basi mtoto wa kiume nimeshafika getini kwa jack

“ngo ngo ngo?”

“nani?”

“shebe apa”

Daahh Mtoto alifungua mlango kisha nikaingia ndani

“uuuwiii shebe nenda bafuni afu siku hizi sijui ukoje”

“aahh leo wamenipa igizo la kwenye dampo”

“kumbe ndio maana! haya kaoge basi”

“usijali”

Daahh hio nyumba ina bafu na choo humo humo,Sasa kazi ni kufungua hayo makoki ya maji.

Mara nikaona kuna likitu kama beseni la kumuogeshea mtoto ila hilo ni jeupe halafu ni kubwaaa.

( kalo la kuogea )

Nikaona sasa nitaogaje maana sio hata koki ya kuzungusha ili maji yatoke

Sasa katika kugusa gusa ukuta Saa ngapi mimaji isinishukie

Ndio nikajua kumbe ni fulu kubonyeza tu

Basi kama kawa oga ya mjini hainaga muda mrefu

Nilitoka nje huku nikiwa nimejifunga taulo yaani kama kwangu vile

Kumbe naiba wake za watu. Basi niliingia chumbani na kuyakuta mafuta yamejaa jaa tu nikachukua na kuyapaka.

Afu kwa pembeni kuna nguo za kiume yaani kama suti majinsi na kadhalika

Nikachukua likaputura moja na kulivaa Pamoja na singlendi ya huyo huyo jamaa

Kisha nikatoka kwa pale sebuleni ili kusubiria msosi

Basi nikiwa nacheki tv mara jack kapita akiwa ana kangu cha ajabu yaani hadi chupi naiona.

“mbona mi sina haja nae afu ananitamanisha hivi?”

basi mtoto wa kike alikua katika michakato ya kupika

“naona leo umeamua kupika eh?”

“nimechoka kununua vyakula”

“lakini hivyo ndio poa zaid kupika kwako”

“afu shebe mbona unanukia karo raiti?”

“karo raiti?”

Nikahisi yatakua ni yale mafuta niliojipaka saa zile.

“umepaka mafuta yangu? we kweli hayo maigizo yatakuharibu sasa”

“aahh ni kwa leo tu”

Sasa mtoto akiwa anageuza wali basi huku nilipo napata shida maana anageuza huku akiruka ruka na kujisababishi mtetemeko wa makalio yake… tena na hivyo kavaa mtandio na chupi tu

Yaani naona kama xrei vile

“mbona unapika huku nguo ulizovaa ni chache?”

“si nipo na wewe tu jamani Afu leo una deni langu sawa?”

“Deni ganj?”

“unalijua mwenyewe”

Sasa kwa mbwe mbwe za kupika huku akijitikisa mara kale kamtandio kakadondoka chini na kubakiwa na chupi tu tena chupi yenyewe ilikua ni ya pinki afu kubwaa,

Saa hio nilikua naumia tu huku nikibadili mikao ya hapo sebuleni

“shebe naomba unifunge huu mtandio maana nimeshika mafuta”

Ayaaa huu sasa ni mtihani huu

“aaa we funga tu si utafua?”

“bwana shebe we njoo”

“aaah naskia uvivu”

“afu siku hizi umebadilika sana mpenzi wangu”

“wala tu sema kuchoka”

“njoo basi?”

Nikaona bora niende Afu nimfunge kisha nirudi kukaa Lakini nilipookota kile kimtandio na kutaka kumfunga niliona shanga moja kiunoni mwake afu mtoto alikua ana makalio ya kumvutia kila mwanaume.

Nilijikuta nimesita kumfunika

“Jamani nifunge basi”

Aahh nilijihisi sitokua kidume kama endapo nitamuacha huyu

Niliutupa ule mtandio chini na kumshika kiuno kwa mahaba mazito

“ssssiiiiiii shebe nini?”

Mtoto alijipinda kwa msisimko wa viganja vyangu

“ngoja basi nimalize kupika”

Mtoto wa kike huyu alikua anaongea na pua yaani kwa sauti ya kunong’ona

Afu huku mtoto wa kiume nipo kama nataka kuivua ile chupi yake

Maana nilikua kama naipanua panua hivi na kuiacha

Kiukweli jack aliumbika sii mchezo

Juu alivaa sidiria Ila mi nikaitoa

“Jamani shee-b-e”

Mtoto alikua akilainika taratiibu kabisa na kuanza kunipa sapoti

“zima jiko ilo”

Nilimuambia huku nikiipandisha pandisha chupi yake

“shebe twende basi”

Nilim-beba mtoto wa kike na kumueka sofani

“vp shebe? unataka hapa kwenye sofa?”

“pazuri pia”

Mtoto aliivua singlendi nilioivaa kisha akaanza kushika six parck zangu

“afu mbona kamwili kako kamekua kazuri hivi?”

“maigizo hayo”

Basi kama kawa tulianza na denda

“mmhhhh uuuggg mmmhhh hnnnggg uuyyyyii sh-e-b-iiiiiii”

“nini?”

“mmh mhh sina kituuuu”

“mmhhh siiiiiii mmmhhh jamani shebe skuizi ukoje mbona mtamu hivyo?”

“hayo ni maigizo tu”

“jamani vu-a bas-i hi-o ka-pt-ur-a”

Basi nikafanya kama alivyotaka mtoto huyu na kuiweka pembeni Na wakati huo jamaa wangu alishakaza saa mingi hivyo alikua anasubiri kutulizwa

“mmmmmhh sssssssiiiiiiii aaahhhhhhhiiiiiggggg”

Mtoto anapiga kelele si mchezo

Basi nikaanza kumnyonya shingo huku nikizisugua chuchu zake

Bila kusahau miguu nayo ilikua na kazi yake

Baada ya hapo nikahamisha mkono wangu na kuuingiza ndani ya chupi yake ili kukichezea kile kitu

“aaahhh kumbe ulishaloana”

Nilikuta mtoto kaloana tayari tena haikua bao moja yaani ilikua ni mafuliko ya sunami

Na wakati huo mtoto ananiangalia tu wala hasemi…Ila punde sii punde niliona kama kuna kitu kakijua vile

“shebe?”

“mmhh?”

“nikuulize kitu?”

“kitu gani?”

“jibu swali ndio au hapana”

“ndio, uliza tu”

“hebu naomba uniambie ukweli ivi we ni shebe ninaekujua au ni huyo sheby unaemsemea wewe?”

Oooohh maskini ya mungu sijui kashagundua? lakini si angegundua tukiwa tumemaliza bwanaa?

Ayaaa sasa sijui itakuaje na hii hali niliomfikisha

ITAENDELEA

Mlinzi wa Geti Sehemu ya Pili

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment