SIMULIZI Muuza Supu Episode 01
CHOMBEZO

Ep 01: Muuza Supu

SIMULIZI Muuza Supu Episode 01

IMEANDIKWA NA : GEOFREY MALWA

*********************************************************************************

Chombezo : Muuza Supu
Sehemu Ya Kwanza (1)

Kijana Sonki akiwa ni mmoja kati ya vijana maarufu waliopo katika kijiji hiki cha TAMUNI,Hadithi yetu tamu inaanza Sonki akiwa ameketi nje ya nyumba yake,kama unavyojua tena nyumba za vijijini,nyumba ya Sonki ilikuwa ni ya udongo iliyoezekwa nyasi,,mara anakuja mwanaume Fulani wa makamo aliyemzidi umri Sonki
,,,,kijana wangu naona mdogo wako Chamunde anahitaji kuoa yule binti wa Chambuso hivyo nahitaji uwaandalie SUKUTO ili tuone kama kweli mdogo wako amekua sawa?,,,
,,,,sawa mzee wangu nimekuelewa,kesho nitakujulisha,,,
,,,,nashukuru kijana wangu,,,,
,,,,Hiyena hai,,,
,,,,hai nai lai,,,,
Aliongea mzee huyo ambapo Sonki aliahidi atatekeleza kama mzee huyo alivyosema huku mwishoni wakimalizia na salamu yao ambayo ilikuwa ni lazima mwisho wa Maongezi waiseme,salamu hii iliashiria ujumbe umefika au umepokelewa,,,
Sonki,kijana Hodari aliyekuwa na kazi ya kuandaa SUKUTO katika kijiji hicho,aliaminika na kila mwanakijiji kwa kazi yake nzuri ya kuandaa SUKUTO,kesho yake ilipofika,Sonki alikuwa tayari ameshandaa SUKUTO kwa ajili ya kumwona kama mdogo wake Chamunde anaweza kuoa?,,,
Basi wanakijiji wote wakinamama na kinababa,pia vijana wa kiume na kike waliokuwa na umri zaidi ya miaka kumi na nane,,,waliketi chini nje ya chumba kilichoandaliwa kwa ajili ya zoezi la SUKUTO,Chamunde akiwa amesimama nje ya chumba hicho na Seta binti Chambuso,,kabla ya kuingia ndani mwenyekiti wa kijiji aliwapa baraka zake na kuwaruhusu waingie ndani,,,
Katika kijiji cha TAMUNI,mwanaume alikuwa hawezi kuoa kama hana uwezo wa kufanya mapenzi na mwanamke mpaka akalegea kabisa,na suala la kulegea linapimwa na wanakijiji wote baada ya wawili wanaopimwa kumaliza tendo hilo,,,hivyo hata Chamunde na Seta waliingizwa kwenye chumba hicho kwa ajili ya kupimwa jambo hilo,,,zoezi hilo watu walishalizoea kwasababu lilianza tangu enzi za mababu zao,,,
Wanakijiji wakiwa nje wanasubiri,zilipopita dakika tano baada ya Chamunde na Seta kuingia ndani zilisikika kelele za malalamiko,,,aaaah,,ooooh,,,,aaaaisssssss,,,aaaaah,aaaaah,,Seta alikuwa akilalamika hivyo kwa sauti kubwa,,,basi baadhi ya vijana waliokuwa nje wakaanza kufurahia bila kutoa sauti kubwa,,,zilipita dakika ishirini,bado kelele zilisikika kwa nguvu,Chamunde akiwa juu ya Seta alijituma haswa,,,mpini wake uliosimama vizuri uliingia na kutoka kwa kasi kwenye kitumbua cha Seta ambaye alijitahidi kutumia kiuno chake vizuri kukizungusha juu chini,,,,mmmh,,aaaah,,aaaiiyaaaaaa,,,,uuuh,,alisikika Chamunde ambapo alimwaga uji wake ndani ya kitumbua cha Seta kisha akaunganisha na mzunguko wa pili bila kupumzika,,,aaaah,,ooooh,,aaaaiiiissshhhhhiiiiiiiiiiiii,,,Seta alikunwa vizuri na mpini wa Chamunde ambapo kelele zake za kusikia utamu ziliwafurahisha marafiki wa Chamunde waliokuwa wanafurahia kwa nje,,,
Ndani ya masaa mawili na nusu Chamunde alijikaza hakupumzika,alikuwa juu ya kifua cha Seta akipampu haswa,mpini wake mnene na mrefu uliingia na kutoka kwa kasi,jasho nyingi zilimvuja kifuani,kichwani na mgongoni huku Seta naye akilowa jasho vilevile kutokana na kubiringishana kitandani hapo,,,japo kilikuwa ni kitanda cha miti lakini waliweza kukitumia vizuri,,,,
,,,,nimekubali unaweza Chamunde,,wewe ni mume wangu,,,mi nimeridhika,tupumzike nimechoka,,,kwa sauti ya chini aliongea Seta akiashiria uzalendo umemshinda,,,lakini cha kushangaza Chamunde alikuwa kama ameweka pamba masikioni,,ndio kwanza alizidi kumpanua mapaja yake na kuzamisha mpini wake na kuutoa kwa kasi,alimsugua mtoto wa watu mpaka akaanza upiga kelele kwa nguvu,,,Chamundeeeeee,,,,aaaaaah,,,,,aaaaaoooooh,,,,mmmmh,,aaaaissssshhhhhhiiiiii,,,mamaaaaaaaaaa,,,,aaaaah,,,nakupenda Chamundeeee,,oohhiiuusshiiiiiii,,,kumbe Seta ndio alikuwa anakaribia kumwaga uji wake,alimkumbatia Chamunde kwa nguvu huku akikatika taratibu na kumalizia kumwaga uji wake mwingi uliomwagikia mpaka kwenye shuka,,,Chamunde aliendelea kumsugua kwa kasi,huku naye akijivuta kisha akamwaga uji wake mwingi,,,ukichanganya uji wa Chamunde na Seta kwa jinsi ulivyomwagikia kitandani ilionekana kama kuna mtu amekojoa,,,
Baada ya wote kumwaga,,kiukweli Seta hakuweza kunyanyuka kwa muda huo,alichokahaswa kiasi kwamba alibaki ametanua mapaja hata kuyarudisha vizuri aliona kazi,,Chamunde akiwa na bukta tupu ambapo kwa mbele kwenye zipu ilikuwa na matone ya uji kidogo,,,alikwenda na kumwinamia mwenyekiti wa kijiji ambapo alimwekea mkono mkono kichwani ishara ya kushinda kupata mke,,,
Baadaye kama dakika tano zilipopita ndipo Seta akiwa amejifunga upande wa khanga moja aliinuka na kutoka nje ambapo utembeaji wake ulionyesha ni jinsi gani kitumbua chake kilifanyiwa kazi na mwanaume anayejua nini maana ya kukaa juu ya kifua cha mwanamke,,,kwa mwendo wa uchovu alitembea mpaka kwa mwenyekiti ambapo naye alithibitishwa rasmi kuwa mke wa Chamunde,,,
,,,,wanakijiji wangu,nashukuru sana kwa kukusanyika hapa,kuanzia leo,kama ambavyo mmeshuhudia wenyewe,mimi sina mengi ya kuongea,Chamunde na Seta ni mtu na mkewe,,,hiyena hai,,,hai nai laiiiiii!,,,,wanakijiji walianza kushangilia huku wakiwasindikiza Chamunde na Seta mpaka nyumbani kwa Chamunde kisha kuwaacha hapo,,,,
Yaani katika kijiji hiki,kulikuwa hakuna kutongozana wala kupendana,walishajijengea kwenye akili zao kwamba mtu anayekupenda na anayestahili kuwa mumeo ni yule anayejua kukisugua vizuri kitumbua cha mwanamke kitandani,,,na mpaka inafikia hatua ya mwanaume kuingia kwenye SUKUTO na mwanamke,lazima watakuwa wameshabishana sana kwamba nani ni mkali zaidi ya mwenziye,,,wasichana wa kijiji hiki walijengewa dhana kwenye akili zao ya kumdharau mwanaume asiyeoa mpaka atakapoonyesha uanaume wake wa kumridhisha mwanamke kitandani ndipo wampe heshima,,,dhana hiyo kwa upande mwingine iliwanyima raha vijana wasiooa bado,kwani walikuwa hawaheshimiwi
Mbali kidogo na kijiji hiko,haya yalikuwa ni maeneo ya mjini kidogo ambapo palichangamka kiasi chake,,ndani ya nyumba ya mzee Kilomo zilikuwa ni nyakati za usiku wa saa sita,,,mkewe Kilomo aliyejulikana kwa jina la Ziha,kiukweli hakupata usingizi,alikuwa amelala macho juu huku akijawa na masikitiko sana,,,
Mume wangu,,,mbona unanifanyia hivi,mimi ni mkeo nina kiu,nakuhitaji baba yangu,ni wewe tu unayeweza kunipa hiki kitu,nakuomba mume wangu,,,aliongea hivyo Ziha huku akimpapasa Kilomo na mikono yake laini maeneo ya masikioni mpaka kifuani,,,bwana mimi nimechoka!,haelewi tu!,,,najuta hata kuoa mwanamke kutoka TAMUNI,yaani anataka afanye mapenzi kama kesho hakuna tena!,,vumilia tu bwan mi nimechoka,,,,maneno hayo yalimuumiza sana Ziha ambapo yalimfanya akumbuke wosia wa wazazi wake bwna na bibi Chambuso,,,mwanangu,kama unavyojua taratibu za kijiji chetu,mwanaume akitaka kukuoa lazima apitie kwenye SUKUTO,haya mambo ya kutoleana mahali sisi sio bidhaa,lakini wewe mwenyewe umesema umempenda sawa!,,,hayo yalikuwa maneno ya wazazi wake ambapo alipokumbuka aliona kama amekiuka miiko ya kijiji chake,

Mbali kabisa na kijiji cha TAMUNI chenye utamaduni wa aina yake,ilikuwa ni katika jengo moja zuri lililofanywa kuwa kama mgahawa ambapo waliopata kuhudhuria kwenye mgahawa huo walikuwa ni watu wenye pesa nyingi,,,jengo la mgahawa lilikuwa ni kubwa na lenye nafasi ya kutosha,ndani palikuwa na sehemu yenye viti vya kawaida na sehemu nyingine ni sofa,ilikuwa sio rahisi kwa mtu wa hali ya chini kumkuta kwenye mgahawa huo,Lina akiwa ndio binti mrembo mmiliki wa huo mgahawa alioupa jina la SWEET HOME,,
Siku hiyo Lina akiwa na rafiki yake Sensia ndani ya mgahawa huo ambao ulikuwa maalumu kwa uuzaji wa supu pekee,kuna jambo lilionekana kumtatiza Lina,,,
,,,Sensia,ujue tangu aondoke yule kijana aliyekuwa anatengeza supu,sijawahi kupata tena kijana mtengenezaji wa supu nzuri kama yule,,
,,,hivi aliendaga wapi jamani,ujue hata mimi mwenyewe nilikuwa nakuja kunywa supu hapa,,,
,,,Alisema kuna matatizo yametokea kijijini kwao hivyo anahitajika haraka,sasa tangu ameondoka ni miezi sita sasa imepita,sijui kimemkuta nini jamani,,,
,,,sasa rafiki yangu unapajua huko kijijini kwenyewe?,,,
,,,kiukweli nimelisahau jina la kijiji chake lakini nikilikumbuka nitakwambia,,,
,,,ni vyema tumrudishe maana hata wateja nao wamepungua siku hizi japo sio kwa kasi,,,,
,,,inabidi tufanye hivyo,,,kauli hiyo ilimaliza Maongezi yao ambapo walianza kupiga stori nyingine kuhusu mambo yao
Tukirudi kijijini TAMUNI ambapo muda si mrefu Chamunde ameoa,kiukweli katika kijiji hiki ukioa ni sawa umetua mzigo mzito wa gunia la miba kichwani kwani watoto wadogo walikuwa wanakudharau mpaka unajihisi una mapungufu kweli,kwa upande wake Chamunde baada ya kuoa heshima ikaanza kurudi huku kila asiyeoa hakuleta dharau tena,,,
Kijiji hiki kilijaaliwa kuwa na mto walioupa jina la NGASHA,ambapo ulitumika kwa matumizi ya kufulia nguo na kuogea,,,,mahali ambapo walikuwa wanaogelea wanawake palikuwa sio mbali sana na walipokuwa wanaogelea wanaume,,,,Jamali akiwa na wenzie watatu ambao walikuwa na umri wa miaka kama ishirini na sita kushuka chini ambapo mdogo kabisa alikuwa ni Togara mwenye miaka ishirini na tatu,,,basi Jamali na Sande wakashauriana kwenda kuwachungulia wanawake waliokuwa wanaoga,,,uzuri wa mto huu ilikuwa hairuhusiwi mke au mume wa mtu kuoga
Jamali akiwa ndio kiongozi huku nyuma yake Sande akimfuata,walijibana kwenye majani mbapo palikuwa na uwazi uliowawezesha kuona kila kitu kinachoendelea,,,walikuwa ni mabinti wakubwa wakiwa uchi kabisa,kwavile maji yaliwafikia magotini waliweza kuonekana maungo yao vizuri pindi waliposimama,,,Chuchu ndogo kifuani mwao zilivyokuwa zinarukaruka pale walipokuwa wakikimbizana,pia hata makalio yao kutikisika iliwafanya Jamali na Sande kusimamaisha mashine zao,,,kila mmoja alipeleka mkono kwenye mashine yake na kuanza kuishikashika
Wakiwa wamenogewa,hawana hili wala lile,mara wanashtuliwa kwa pamoja na mikono ya wadada wawili iliyowagusa mabegani mwao,,,,pindi walipozigeuza sura zao kuangalia nyuma kujua ni nani aliyewagusa,walipata kuwashuhudia dada wakiwa uchi kabisa huku vidole vyao vya kwanza wakiwa wameviingiza puani na kulegeza macho yao,,,ishara hii katika kijiji hiki akiifanya mwanamke ilimaanisha anahitaji usuguliwa na sio kuwa wapenzi,,,
Basi kwa upande wa Jamali alimchagua mmoja huku Sande naye akimvuta wa kwake,,,walipelekana kwenye majani ambapo kazi ngumu ikawa kwa Sande kijana asiyewahi kufanya mapenzi hata siku moja,,,kumbe ni mtoto eeh?,,haya kanyonye kwa mama kwanza,,,Sande baada ya kusikia maneno hayo mwili wote ulimwishia nguvu hata mashine yake ilianza kunywea,,,,
Tukirudi kwa upande wa Jamali ambaye alimlaza dada huyo kwenye majani kisha akaanza kumwingiza vidole kwenye kitumbua chake,,alikipandisha kidole juu ambapo alikifikia kidude mautamu na kukichezea vizuri,,,aaaaah,,ooooh,,uuuiissssshhhhhhhhh,,,aaah,,alilalamika dada huyo huku akizungusha kiuno chake,,,Jamali alipoona tayari kuna unyevu wa kutosha alichomoa kidole na kumzamisha mtalimbo wake uliokuwa mnene mrefu wenye kichwa kipana zaidi,,,
Kwa utamu aliousikia dada huyo alipanua miguu huku akiinyanyua juu,na kuishikilia na mikono yake,,,kichwa cha mtalimbo wa Jamali kiliiingia taratibu huku ;kikikikuna vizuri kidude mautamu cha dada huyo kilichosimama kwa hamu,,,uuuuwiiiiiiii,,,aaaah,,aaaah,,alisikika dada huyo huku akijilegeza haswa,,Jamali aliuzamisha mtalimbo wake wote mpaka ndani na kuanza kupampu juu chini,chini juu,,,kwa jinsi alivyokuwa anapampu Jamali ilionyesha naye ni muda mrefu hajapata kitumbua,,,basi akawa akikirudisha kiuno chini,anakandamiza kabisa kama mtu anayeshindilia kitu kitendo kilichokuwa kinamfanya dada huyo kuongeza milio ya kimahaba kwani mashine ya JAmali ilikuwa inagusa penyewe kwenye kona ya utamu,,Japo ni muda mrefu hajapata kitumbua lakini alijiuia Jamali mpaka dada huyo alipomwaga ndipo naye akajivuta ambapo hakuchelewa akamwaga pia,,aaaah,,,oooooh,,aah,,,alitoa miguno hiyo Jamali huku akimalizia kumwaga uji wake,,,
,,,,,mmmh,kweli wewe unafaa kuingia kwenye SUKUTO,unajua!,,,
,,,,,ahsante,usijali nitaingia tu huko,,,,
,,,,,kweli bwana uingie maana hata mimi baada ya siku kadhaa nikishasahau nitakudharau tu,,,
,,,heee jamani ee!,,Jamali naomba unitibu na mimi hapa maana mdogo wako hajakua vizuri,,,Maongezi yao yalikatishwa na kauli hiyo ya yule dada aliyechaguliwa na Sande ambapo dada aliyekuwa na Jamali alichukia na kuondoka kurudi mtoni,,,aaah achana naye yule bwana njoo,mi nataka hiyo jamani,,halafu inaanza kusimama,,si unaiona inavyotaka kitumbua changu eh,,ngoja niishike kwanza,,,alizungumza maneno hayo dada huyo huku akiupeleka mkono wake mpaka kwenye mashine ya Jamali na kuanza kukishikashika kichwa chake,,,ili kuongeza uimara wa mashine aliichukua na kuiingiza mdomoni mwake,,,,alianza kuinyonya kiufundi huku akichezea na kichwa,,aliuzamisha ulimi kwenye kitobo cha mashine na kushuka na ule mstari mpaka kwenye viazi mautamu,,aaaah,,,aaaah,,,aaaaahhhh,,ooooh,,alilalamika Jamali kwa sauti ya chini,mashine ya Jamali ilikakamaa na kusimama haswa ambapo dada huyo aliridhika na kupanua mapaja yake tayari kwa kusuguliwa,,,kwa mbali Sande alijificha huku akishuhudia mchezo mtamu kati ya Jamali na huyo dada
Basi taratibu Jamali aliishika mashine yake na kuichomeka kwenye kitumbua kisha akakipeleka kiuno chini hali iliyofanya mtalinbo wake kuingia ndani,,,,aaaauuuuuhh,,aaaissssssss,,,,,shiiiii,,ooooooh,aaaaaaah,,,alilalamika hivyo dada huyo huku akizungusha kiuno,,

Basi Jamali alianza kumsugua dada huyo kwa nguvu ambapo haikuchukua muda kwa dada huyo kutangaza kumwaga uji wake,,,cha kushangaza pindi tu alipomwaga hakutaka kumsubiri Jamali amalizie mzunguko wake,,,,jamali!,,jamali!,,hiyena hai!,,,haiii naiii laiiiiiiii,,aaaah,,basi Jamali alilazimika kuchomoa mtalimbo wake baada ya salamu hiyo iliyomaanisha jambo hilo limefika mwisho,,,basi binti huyo aliondoka na kuelekea mtoni kujisafisha,,,
Hahahahaaaaaa!,,,sauti ya mtu ikicheka ilisikika kwenye kichaka kilichokuwa karibu na eneo alilopo Jamali,macho yake yakiwa makini kuangalia kichaka hicho ili ambaini mtu huyo aliyesikika akicheka mara anamwona Sande akijitokeza huku mtalimbo wake ukiwa umesimama haswa,,,
,,,,,unacheka nini sasa?,,,
,,,,,Haiiii naiiii laiiiiiii,duh! Kama umepigwa kabali,,,hahaaaa,,,
,,,,,ni tamu mdogo wangu we acha tu,,
,,,,,haya bwana,mi nimeumbuka mwenzio,,,
,,,,,si uzembe wako mwenyewe,we ulifikiri unaingiza puani au?,,
Kufuatia kauli hiyo Sande alianza kumkimbiza Jamali ambapo walirejea mtoni na kujisafisha kisha kuelekea nyumbani,,
Asubuhi na mapema ilipowadia kijana Sonki akiwa ametoka kuamka,macho yake bado yakiwa yamezongwa na usingizi,alipotoka nje alikuta ndoo mbili za maji na kidumu kidogo kimejaa maziwa ya ngombe,,,juu ya ndoo moja ya maji palikuwa na chungu kilichojaa nyama ya kuku iliyochemshwa,,,kwa upande wake Sonki alijua alichotakiwa kufanya,ilikuwa ni ishara ya mtu Fulani kuhitaji kuingia kwenye SUKUTO,hivyo alitegemea baadaye atakuja mtu kumwambia habari ya SUKUTO kuhusu mwanaye,,,,basi kama alivyotegemea Ilipotimia majira ya saba mchana alikuja Mzee Ndiriri mzee mwenye wanawake wawili,ni mmoja kati ya wazee walioweka historia ya kipekee katika kijiji hicho kwa kuingia SUKUTONI na wanawake wawili kisha kuwaoa wote,,,mjukuu wangu,,,kijana mwanzako Kiderege anahitaji kuingia katika Sukuto na Shona binti Sinyemba,,,aliongea hivyo Mzee Ndiriri baada ya kuwasili na kukaribishwa vizuri nyumbani kwa Sonki,,
,,Hiyena hai,,,
,,Hai nai lai,,,
Basi baada ya salamu hiyo Mzee huyu aliondoka huku Sonki naye akijiandaa kutengeza mahali kwa ajili ya SUKUTO,,,alichokifanya Sonki ni kuwataarifu watu wote waliovuka miaka kumi na nane na waliopo katika ndoa,,,,,basi Ilipotimia saa tisa alasiri sehemu kwa ajili ya SUKUTO ilikuwa tayari imeshaandaliwa vyema na kijana mashuhuri Sonki,,
Kabla ya SUKUTO kuanza mwenyekiti aliwabariki Kiderege Ndiriri na binti Shona Sinyemba,,,baada ya kupokea baraka wawili hao walingia kwenye nyumba maalumu iliyoandaliwa,,,huku nje wanakijiji wote hawakuwa na wasiwasi wowote kuhusu kijana huyo kwasababu ya historia nzuri ya baba yake kushinda wanawake wawili kupitia SUKUTO,,,
Sonki akiwa amesimama pembezoni mwa nyumba hiyo,,Kiderege akiwa ndani tayari alishamvua kila kitu Shona ambaye alikuwa na umbo lililovutia haswa,,,baada ya kutomasana hapa na pale,kidole cha Kiderege kilifika kwenye kitumbua kisafi cha Shona na kuanza kupekecha kile kidude mautamu,,,,aaah,,aaaihhhh,,aooooohh,,,alilalamika Shona huku akilamba midomo yake na ulimi wake,,,kitumbua kilipotengeneza unyevu wa kutosha,,,Kiderege alichomoa mtalimbo wake uliokuwa mrefu na mnene kupita kawaida,,,bado Shona akiwa amejilaza chali hakuuona kwa kudhani itakuwa ni kawaida,,,ndio kwanza alijipamnua mapaja kushoto na kulia ili kuongeza ukubwa wa kitumbua mtalimbo upite vizuri,,
,,,mwenyekiti,,kama mwanamke huyu atamvumilia mwanangu,nitaweza hata kumpa hata mbuzi na ngombe wengi wa kufuga,,,
,,,mmh!,,hata mimi nilikuwa nalifikiria hilo,sioni kama mwanao ataoa,maumbile yale yatamkosesha raha sana,,,
Maneno hayo yaliendelea chini kwa chini huku mwenyekiti na wazazi wa Kiderege wakiwa wanajua suala la ukubwa wa uume wa Kiderege,,,kwa upand wa Kiderege taratibu alikuwa anauingiza ili Shona asije kushtuka,,,kwa vile kwenye kitumbua kulikuwa na unyevu wa kutosha ilirahisisha mtalimbo huo kuzama bila wasiwasi,,,aaaaah,,oooh,,aaaah,,alilalamka Shona mtalimbo ulivyokuwa unaingia taratibu kwani ulibana kona zote ambapo kisimi ndicho kilikuwa kinaguswa ipasavyo,,,aliingiza mashine mpaka ikafikia mahali akaona Shona anarudisha kiuno nyuma,,kila akijaribu kukandamiza kuna sauti Fulani ya kuguna alitoa Shona tofauti na hii ya kusikia utamu,,,basi Kiderege alipoona hivyo aliishia hapo hapo hakuendelea kuzidisha kuiingiza ndani,akaanza kupampu kwa urefu huo mtalimbo ulipofikia,,
Aaaah,,aaaaah,,oooh,,uuuuuh,,,aissssss,,kwa sauti kubwa alilalamika Shona mpaka nje watu walisikia,,,ikawa furaha kwa Mzee Ndiriri na mwenyekiti pia,,,sauti za kilio cha utamu ziliendelea kusikia kwa nguvu,,Kiderege alijitahidi kumsugua Shona kitumbua chake ambapo hakuwa na haja ya kuhangaika,kwa jinsi mtalimbo wake ulivyokuwa mkubwa,ulimkuna vizuri shona kidude chake mautamu mpaka akamwaga uji wake,,,
Lakini Kiderege alipoona Shona amemwaga tayari alihesabu ushindi kwani mwanamke akishakojoa ni hatua ya kwanza ya kumfanya achoke,,,hakuchomoa mtalimbo wake,alichokifanya aliendelea kupampu huku akijizuia asipitilize maana anaweza hata akahamisha kizazi,,,aliendelea kwa muda wa masaa matatu bila kupumzika,,,tayari alishashinda goli moja huku Shona akishinda goli tatu za maana,,,baada ya kumaliza kufanya mapenzi ambapo Shona kiukweli hakujielewa,,,alikuwa amechoka sana,alijiweka sawa kisha akajilaza kiubavu ambapo alijifunika upande wa khanga,,,
Kama ilivyo Sheria ya SUKUTO huruhusiwi kutoka ndani na mwanamke,ukitoka naye jua hujaweza kumchosha wala kumridhisha hivyo hutaweza kuoa,,Kiderege akiwa na tabasamu pana alitoka nje peke yake,,,kidume kikiwa kinavuja jasho huku bukta yake ikionyesha ukubwa wa uume wake jinsi ulivyo kwasababu bado ulikuwa haujalala vizuri,,,watu waliishia kumwangalia na kumshangilia,,,,,
Lakini walipokuwa wanamsubiri Shona atoke ndani kisha wamsindikize mpaka nyumbani kwa Kiderege kwa nderemo na vifijo,,,mara gari aina ya NOAH iliyokuwa na rangi nyeusi iliwasili katika kijiji hicho ambapo wanakijiji wote akiwemo na mwenyekiti wao walijikuta wakiitolea macho,,,

Tibuta!,wageni wako hao,,,alisikika mwenyekiti akimwita kijana aliyekuwa maalumu kwa ajili ya kuwapokea wageni wa aina yeyote waingiao katika kijiji hicho,,,kwa haraka Tibuta alitii alichokisema mwenyekiti wake na kwenda mpaka karibu na hiyo NOAH,basi mlango wa gari hiyo ukafunguliwa ambapo aliteremka mzungu mmoja mwenye mwili mkubwa,,,kwa bahati nzuri alikuwa anajua Kiswahili,,,
,,,,jambo!,,,
,,,,jambo habari,,
,,,,nzuri,karibu,,,
,,,,santye sana,tyumekaribia,,aaah,tumekuchja hapa kwa ajili ya kufanya utalii,samawani kwa kuwaingilia kidogo,,,
,,,,hamna shida,Karibuni sana,,,
,,,,santye sana,,,
Baada ya kuzungumza Maongezi hayo mafupi Tibuta alirudi mpaka kwa mwenyekiti wake na kumwambia lengo hasa la ugeni huo,,,kila mwanakijiji alipopata kujua ugeni huo unahusu nini,wapo waliobaki kushuhudia ugeni huo huku wengine wakitawanyika majumbani mwao,,,
Wanakijiji wachache waliokuwa wamebaki eneo hilo kushangaza gari hilo,,,mara walianza kushuka mabinti wakizungu waliovalia mavazi yaliyoacha miili yao wazi sehemu kubwa,,,macho ya vijana wa kijiji hicho yalikuwa moja kwa moja kwenye mapaja ya mabinti hao waliokuwa wakiongea lugha ya kizungu,,,
Kabla ya utalii kuanza ambapo kuna maeneo maalumu ya kihistoria Tibuta ilibidi awapeleke,walianza kujichanganya na wanakijiji kwasababu Kiswahili walikijua kiasi,,,ilikuwa ni familia ambayo ilihusisha baba,mama na binti wao mmoja aliyeitwa Marry,,,hawa mabinti wengine walikuwa ni marafiki wa Marry,,
Kila mmoja alijichanganya kwenye kona yake ambapo alikuwa makini kuongea na wanakijiji,,,wazazi hao wa kizungu wenyewe walielekea kwa mwenyekiti na kuzungumza naye mambo machache kuhusu utamaduni wa kijiji cha TAMUNI,,,kwani kwa wanaoishi mbali na kijiji cha TAMUNI huwa wanadhani SUKUTO ni hadithi za kusadikika kwamba hakuna kitu kama hicho,,,
Mmoja kati ya marafiki wa Marry aliyeitwa Celline katika kuzunguka kwake kwenye ekijiji hiki alikutana na Sonki akiwa ameketi nyumbani kwake,ni muda mfupi tu amerudi kutoka kwenye uwanja wa SUKUTO,hata ndani hakuingia,,,
,,,mambo kaka!,,alisalimia mzungu huyo mpaka Sonki akashangaa kwa jinsi maneno yalivyotamkwa vyema bila kigugumizi
,,,safi,habari?,,
,,,nzuri,mzima wewe!,,bad Sonki aliendelea kushangazwa na jinsi binti huyu wa kizungu alivyokuwa akikichapa Kiswahili vizuri,,,
,,,mzima,karibu uketi,,,
Sonki alitoa kiti alichokalia yeye huku akimsogezea Celline akae kisha yeye Akakaa chini kabisa,,,cha kushangaza Celline naye hakukalia kile kiti alichokifanya akamfuata Sonki na kuketinaye karibu,,,,nimekuwekea kiti ili ukae,hapa utachafuka!,,,Hapana,sichafuki,kama wewe hutachafuka na mimi sitachafuka,,,,jibu hilo lilimmaliza nguvu Sonki aliyeketi hapo chini,,,
,,,,unaitwa nani,,,?
,,,,naitwa Sonki,na wewe je,,,,?
,,,,mimi naitwa Celline,unaishi kwenye nyumba hii,,?
,,,,mmh,ndiyo naishi hapa,,,
,,,,nyumba yako nzuri,nimeipenda,,,
,,,,ahsante,karibu sana,,,
Sonki alikuwa akijishtukia kwani akijiangalia yeye jinsi alivyo alijishusha hadhi na kujiona hakufaa kukaa na binti kama huyo mzuri wa kizungu,,,macho ya Celline hayakubanduka kwenye kifua cha Sonki kilichojengeka kutokana na kazi ngumu anazozifanya Sonki,,,kiukweli Sonki alijisikia aibu na kuhisi kama ana kasoro kwenye kifua chake,akawa anajiangalia kifuani kama kuna kasoro,,
Celline hakuweza kuficha hisia zake juu ya Sonki,kama unavyojua utamaduni wa wazungu,huwa hawaogopi kuwakilisha hisia zake za kimapenzi kwa mwanaume tofauti na ustaarabu wa kiafrika wanawake wengi huongea kwa vitendo kwa mwanaume kama amempenda,,
,,,,Sonki!,,unajua mapenzi ni kitu cha ajabu sana,,,alianza kuongea hivyo Celline huku akijisogeza karibu ya Sonki na kumwekea mkono begani,,,harufu ya uzungu ikampitia kwa karibu Sonki kwenye pua zake pia mwili wake ulisisimka kwa kuguswa na mkono mweupe begani mwake,,,
,,,nimejikuta nakupenda,na nakuhitaji uwe mpenzi wangu,,,bila aibu yeyote aliongea hivyo Celline
,,,mmmh,,aaah,,eeh?,,alijiumauma maneno Sonki huku akiitika tena kanakwamba hakusikia kilichosemwa na Celline
,,,jamani,makusudi hayoo,,mwone kwanza,,nimesema hiviiiii,,,
,,,enheee,,,
,,,nakupenda na nahitaji uwe mpenzi wangu,,,,safari hii Sonki hakuweza kujifanya hajasikia vizuri kwani Celline alijiamini kupita maelezo mpaka Sonki mwenyewe aibu zilimshika usoni,,,nambie kama unanipenda pia,,,alizidi kuongea hivyo Celline ambapo alizidi kumsogelea Sonki kwa karibu,,
Celline alikuwa amevaa taiti ndani huku nje akivaa sketi Fulani fupi iliyoonyesha taiti aliyoivaa kwa ndani,,juu alivaa blauzi iliyoacha mabega yake wazi mpaka eneo la mgongoni,Chuchu zake zilichomoza kwenye blauzi hiyo na kumfanya Sonki kubadili namna ya kuhema,,kitovu chake kilikuwa wazi huku tumbo lake flati likimfanya aonekane vyema,,,alijaaliwa umbo la kimisi ambalo lilikunwa na hatari zake,,,nywele ndefu alizozibana kwa nyuma ambapo zilikuwa ndefu mpaka mgongoni,,,hakuwa na pua ndefu kama wazungu wengine,lipsi zake zilizonona zililegea kuashiria zinahitaji kitu Fulani,,
Akiwa ameilegeza midomo yake tayari kwa kupokea kitu chochote kutoka kwa Sonki,,aliusogeza mdomo wake mpaka kweny ekidevu cha Sonki na kuanza kukinyonya,,,akapanda juu mpaka kwenye lipsi za Sonki na kuanza kuzinyonya kabla hajaingiza ulimi wake ndani,,,,alizinyonya kwa muda huku mkono wake ukiwa unaipekeha Chuchu ya kulia kifuani kwa Sonki kitendo kilichomsisimua Sonki na kumpandisha mizuka yake taratibu,,
Kama unavyojua watoto wa kizungu wanavyojua kunyonyana ndimi,,,Basi Celline aliutumia vizuri ulimi wake kuumungunya ulimi wa Sonki mdomoni kwake,,,mmmhmmwaaah,,mmmhmwa,,,mmhmwah,,,milio ya midomo yao ikinyonyana asali tamu toka vinywani mwao ilisikika hivyo,,,
Kwa upande wake Sonki tayari ukuni wake ulikuwa umeshasimama dede,,,bukta yake asiyoivalia chupi kwa ndani ilionyesha mtuno mkubwa kuashiria askari jeshi ni mzima wa afya,,,Celline aliendeleza zoezi la kunyonyana ndimi kwa muda ambapo Sonki akaanza kuingiwa na hofu kwa hayo mazingira ya nje waliyopo,,,alichokifanya,alimnyanyua Celline na kuingia naye ndani kwa ajili ya kumpatia dozi tukufu,,,
Pindi alipomfikisha ndani,alimlaza kitandani na kuanza kumvua kile kiblauzi chake,,,akazibakiza Chuchu za Celline zilizokuwa zimesimama kwa hamu,,,haraka ulimi wa Sonki uliwasili kwenye kifua kiteke cha Celline ambapo ulizivamia Chuchu zake na kuanza kuzimungunya taratibu,,,alifanya hivyo kwa Chuchu zote mbili huku akichanganya na kuyatoa meno yake kumtekenya,,,Sonki aliyatumia meno yake vizuri kumsisimua Celline ambapo alimwona Celline akipandisha sauti juu ya kulilia utamu,,,,mmmh,,,uuuh,,aaaaiiihhhhh,,,come on bbeibiiii,,,,aaaah,,oooh,,,yalikuwa ni meno ya Sonki yaliyotumiwa kiufundi zaidi na kumfanya mzungu Celline kupagawa kabisa,,,
Baada ya Sonki kuona Celline amepagawa na zoezi la kunyonywa Chuchu zake,,aliamua kuunganisha matendo mawili kwa wakati mmoja,,aliishusha mkono wake taratibu kuelekea kwenye kitumbua,,,,lakini alipofika kwenye kitovu alishangaa kumwona Celline akiitumia mikono yake kujivua nguo yeye mwenyewe na kukiacha kitumbua wazi,,,,ikawa nafasi nzuri kwa Sonki ambaye mkono wake ulikuwa unaelekea huko,,,
Alipofika kwenye kitovu alikiingiza kidole ndani yake na kuanza kumtekenya kidogo,,,aaaah,,,oooh,,uuuuh,,,,honeyyyyyy,,,,aaah,,,aaaah,,,bado Celline alionekana kuchanganyikiwa na kunyonywa Chuchu zake,,,mkono wa Sonki ulipofika kwenye kitumbua laini na cheupe cha Celline akakiteua kidole kile cha matusi cha kati na kukiingiza kwenye kitumbua,,,
Taratibu kidole kilipita kwa kuteleza kwasababu tayari kulikuwa na unyevu,,,moja kwa moja kidole kilikigusa kidude mautamu,,,,whauuuuu,,,,aaaaaassssssss,,,alitoa miguno hiyo Celline baada ya kidole cha Sonki kugusa kidude mautamu chake,,,akaanza kukishika kama anachora namba nane muda mwingine sifuri,,,,kidude mautamu kilipata joto na kusimama,,,aaaaah,,,,oooooh,,,,uuuwiiiiii,,ooooooh,,,mtoto wa watu alilalamika kwa sauti kubwa kutokana na mazoezi mawili kuendelea,,kunyonywa Chuchu na kuchezewa kidude mautamu,,,
Sonki aliendelea kukisugua kwa kasi kidude mautamu cha Celline kwa kutumia kidole chake cha kati mpaka Celline akawa ananyanyua kiuno juu kukifuata kidole cha Sonki,,yote hayo yalikuwa makusudi ya Sonki kumtesa binti wa watu,,,mmmh,,,aaaah,,ooooh,,,aaaah,,,mmh,,aisssssssss,,,zilikuwa ni kelele za juu tofauti na mwanzoni alizitoa Celline,,,,kiuno alikipandasha juu ili kidole cha Sonki kiweze kuingia chote,,,mmh,,ooooh,,uuuuh,,aaaaaah,,,,,na,,ku,,peeeee,,eeee,,nda,aaa,,aaaaaa oooh,,,alilalamika mtoto wa watu huku akimwaga uji wake na kukirudisha kiuno chini,,macho yake yalilegea haswa ,baada ya kumwaga alitulia kimya kama mtu aliyelala,,,
Mtalimbo wa Sonki ulikuwa umesimama kweli kiasi kwamba ile mishipa iliyojitokeza ikaanza kumuuma,,,alimwacha kwanza Celline apumzike kidogo,zilipopita dakika nane Sonki hakuweza kuvumilia tena alimgeuza Celline ambaye kitumbua chake kilikuwa kimelowa kweli,,tayari mtalimbo wake alishauacha wazi hivyo aliushika na kuuingiza kwenye kitumbua,,taratibu mtalimbo uliteleza na kuzama wote mpaka mwisho,,,aaaaaah,,,oooh,,,aliendelea kulalamika Celline kuashiria kuna kitu kizito kimeingia mwilini mwake,,
Kabla Sonki hajaanza kupampu alivutwa shingo na Celline kisha midomo yao ikakutana ambapo walianza kunyonyana ndimi zao,,,basi Sonki taratibu akaanza kupampu,,,miguno ya kimahaba kwa pande zote mbili ikaanza kutawala chumbani humo,,,,zilipopita dakika kumi na tano Sonki alijibana na kumwaga uji wake ambapo hakuchomoa mashine yake,,aliendelea kupampu na kuunganisha mzunguko wa pili,,,
Celline alizidi kutoa miguno ya kimahaba kiasi kwamba ukiwa nje ya nyumba hiyo unaweza kuhisi anapigwa kipigo cha mbwa
mwizi,,,,mamaaaaa,,,nakufaaaaaa,,,aaaaaah.,,ooooh,,,uuu,,,tamuuuuu,,aaaissssssss,,,alilalamika Celline huku Sonki sauti yake ikiwa ya chini ya kuunguruma,,,alikuwa anapampu kwa kasi na kukandamiza mtalimbo wake wakati kiuno kikishuka chini,tendo hilo lilimpa raha sana Celline aliyedai anakufa,,,Celline alikuwa mwepesi sana,kila alipogeuzwa Alikaa na kujibu mashambulizi ipasavyo,,,kitendo kilichomfanya Sonki kuzidisha kasi ya kupampu haswa,,,,aaaaahghh,,,ooooh,,aaaaaah,,aaaaah,,alilalamika Sonki na kukakammaa mwili wake,kumbe ndio safari yake ilikuwa inamalizikia hapo,,,,akamwaga uji wake uliokuwa mwingi huku akiendelea kuunguruma kutokana na utamu aliousikia,,,,,baada ya kumwaga,wote walilala chali ambapo Celline hakuifunga miguu yake aliiacha wazi kwa kuipanua kama mtu anayekipungisha kitumbua upepo,,,,Sonki naye mtalimbo wake ulikuwa umesinzia,,,
,,,,Sonki,nakupenda sana,sikutegemea kama hivi ndivyo ulivyo,hongera,,,
,,,,nashukuru,hata wewe uko vizuri kwenye kukizungusha,,,alizungumza hivyo Sonki huku akikishika kiuno laini cha mzungu huyo
,,,,mmmh,,kiukweli tangu nizaliwe sijawahi kukutana na mwanaume kama wewe,ndio maana nasema nakupenda,,,
,,,,hata mimi pia nakupenda,usijali kwa hilo,,,
,,,,nafurahi kusika hivyo,yaani hapa natamani ningekaa hapa hapa na wewe,,,,
,,,,mimi pia natamani hivyo lakini ungeamini kitu kimoja kwamba,ipo siku tutakao pamoja,,,
Baada ya mazungumzo hayo akiwa katika hali ya uchovu,Celline aliteremsha miguu chini ambapo bado alikuwa amekaa kitandani,,,basi Sonki alijiinua kutoka kitandani kisha akaokota nguo za Celline na kuanza kumvalisha taratibu huku akimwangalia kimahaba kitendo kilichomfanya Celline kuona aibu,alimvalisha nguo zake zote kisha wakakutanisha midomo yao na kunyonyana ndimi kwa muda,,,,wakiwa wameumana midomo yao mara wanasikia mtu akibisha hodi,,,ngo,ngo,ngo!,,,wote mapigo ya moyo yaliwaenda mbio kusikia hivyo,,kwa ujasiri Sonki akajitoa mwilini mwa Celline na kwenda kufungua mlango,,,,
,,,,Muandaaji wa SUKUTO,kuna ugeni uliwasili mchana wa leo kwa ajili ya kukitalii kijiji chetu lakini tunasikitika mmoja wapo bado hajapatikana,,,ukiwa kama kijana hodari ningeomba utusaidie katika hili maana wenzie wanataka kuondoka,,,alikuwa ni mzee wa kuheshimiwa sana kwenye kijiji hiko akiongea hivyo huku kwa mbali Sonki alipotupa macho yake alipata kuona kundi la vijana wa hapo kijijini wakichanganyika na wale wazungu wengine wakitembelea nyumba hadi nyumba,,,unaona wale vijana,wote wanamtafuta mwenzao,sijajua kama kutakuwa na kijana mshenzi wa kumficha binti huyo,,,alizidi kuongea tena mzee huyo baada y akumwona Sonki ameyakaza macho yake kuliangalia hilo kundi,,,
Akiwa haelewi afanye nini hapo mlangoni mara kundi kubwa la wale watu likawasili nje ya mlango wake,,,alishtuka kumwona mwenyekiti wa kijiji akiongoza msafara huo,,,,nadhani mzee Mandoku ameshakwambia nini kinaendelea sasa hivi,,,tumeshakagua nyumba zote za hiki kijiji na maeneo yote mficho tumemkosa,,,hivyo kwa heshima yako kijana wetu mtukufu tunaomba radhi kwa hili,uwaache hawa wazazi waingie ndani wakague ili wajiridhishe nafsi zao,,,,

***********
*****************
********************
**************************
,,kaka Sonki,samahani,si unamjua Silata,yule binti wa kwa Senyagwa,,?
,,,enhee,,amefanyaje,,,?
,,,nadharaulika sana,mara aniambie mimi sisimamishi,mara aniite majina ya kike,kiukweli sipendezwi na tabia hiyo,,,
,,,nenda moja kwa moja kwenye lengo la Maongezi,usikatishe maneno bwana mdogo,,,
,,,nataka uniandalie SUKUTO,tuingie mimi na yeye,nimwonyeshe kama mimi ni kidume asinidharau tena,,,
,,,una uhakika na unachokisema,,,?
,,,ndiyo kaka Sonki na sitakuangusha,,,
,,,usije ukayarudia ya Jaka,,!
,,,Hapana niamini mimi kaka Sonki,,,
,,,sawa nitakuandalia,wewe kajiandae,baadaye uingie kwenye SUKUTO,,,
,,,Hiyena hai,,,
,,,Hai nai lai,,
Maongezi hayo yalifikia tamati kati ya Sonki na Konkara mtoto wa mzee Simbadu,,,ambapo kutokana na kudharauliowa na Silata Binti wa Senyegwa,bwana Konkara aliamua kuingia naye kwenye SUKUTO ili kuitafuta heshima,,,ili kuingia kwenye SUKUTO katika kijiji hiki,kwanza uwe umetimiza miaka kumi na nane na kuendelea,halafu unaweza letewa taarifa wakati wowote kwamba unahitajika kwenye SUKUTO,pindi utakapofika huko ndipo utamjua mtu anayetaka kuingia na wewe,,,hivyo ndivyo alivyofanyiwa Silata alipewa taarifa dakika chache kabla ya SUKUTO halijaanza,,,
Akiwa yuko nyumbani kwake Sonki alijilaza kwenye kitanda huku akiongea na Celline yule msichana wa kizungu kupitia simu,,alizungumza naye kwa kirefu huku akijigeuza geuza kitandani hapo,,,lakini Maongezi yao yalikata baada ya simu kuishiwa chaji,hapo ndipo akakumbuka anatakiwa kwenye uwanja wa SUKUTO,,,kwavile alikuwa tayari ameshaandaa,alikimbia na kukuta Konkara akiwa na Silata wanapewa baraka na mwenyekiti,,,mwenyekiti,hivi ni kweli huyu ataweza,,?,,aliuliza hivyo Silata kwa dharau,,kwasababu majigambo kabla ya kuingia kwenye SUKUTO yaliruhusiwa hivyo Silata kauli yake haikuwa na ubaya wowote zaidi ya watu kucheka,,,Konkara alimpania Silata kiasi kwamba hata hakusikia maneno hayo,,,
Basi Konkara na Silata walingia ndani kwenye nyumba maalumu iliyoandaliwa kwa ajili yao,,,Silata kwa jinsi alivyo na kihelehele alivua nguo zake zote kisha akimsogelea Konkara,,,vua basi nikuone kama wewe kidume kweli,,,mara baada ya kuvua nguo zote Konkara alivamiwa na Silata kisha wakakaribiana midomo yao na kuanza kunyonyana denda,,,denda liliendelea huku mkono mmoja wa Silata ukiwa kwenye Chuchu ya Konkara ukiiminyaminya,muda mwingine ukiikuna na kucha za vidole vyake,,,
Konkara naye aliishusha mkono wake mpaka katikati ya mapaja ya Silata yaliyonona ambayo yalikuwa kama yamefunika kitumbua kwa jinsi yalivyojaa,,taratibu Silata alipanua mguu yake ambapo nayo mapaja yalipanuka na kukiacha kitumbua wazi,kidole cha Konkara kikawa kinapita taratibu mpaka kwenye kitumbua,,kinaingia na kutoka huku kukisugua kile kiarage,kwa bahatio mbaya au nzuri kiarage cha Silatta kilikuwa ni kirefu,,ikawa faida kwa Konkara kukichezea anavyotaka,,,uuuh,,aaaah,,aaaisssss,,,aaah,,ooooh,,,alilalamika Silata huku ubishi ukianza kumuisha taratibu,,,
Mkono wa Silata naye uliaambaa mpaka kwenye mtalimbo wa Konkara na kuanza kuushikashika na mkono wake laini,,,alikishika kile kichwa na kukiminyaminya kama mchaguaji wa nyanya sokoni,,alishuka chini mpaka kwenye viazi mahaba na kuanza kuvichezea na vidole vyake vyenye kucha za wastani,,,Konkara alijikuta akipanua miguu ili vidole vya Silata vipite vizuri,,,alichokifanya Silata,alivitumia vidole vyake vyote vinne ukitoa kidole gumba,,,kwa kuikuna ile sehemu iliyoko kati ya viazi mahaba na kitobo cha haja kubwa,,aliikuna vizuri na kumsisimua vyema Konkara aliyekuwa anapumulia juu juu,,,mi nilisema wewe huwezi,ukajidai mwanaume,sasa uanaume wako uko wapi,,?,yaani muda wote huu nakuchezea hata husimamishi,,?,,,maneno hayo yalikuwa kama msumari kwa Konkara ambaye hakujua tatizo ni nini mpaka mtalimbo umelala dolo,hautaki kusimama hata kidogo,,,
Konkara alibaki akitoa macho kama mwizi aliyefumwa akiiba mali za wezi wenzake,,kwa mbali alitamani kulia kwani kama Silata ataanza kutoka nje,itakuwa ni aibu kubwa kwa Konkara,,,sura ya Konkara ikaanza kubadilika,akawa kama mtu anayetaka kulia kabisa,,,we huna lolote,kumbe una matatizo yako hapa,mimi napiga kelele ya GOHA,,aliongeza kusema hivyo Silata huku akitaka kupiga kelele ya GOHA,ukiwa ndani ya SUKUTO halafu huridhishwi na ufanyaji wa mwanaume au mwanamke,maana unapiga kelele ya GOHA,watu wakisikia kelele hiyo wanajiandaa kuzomea mtu,,,,
,,,,GOOOOHAAAAAA,,,!!,,alipaza sauti yake Silata ambapo Sonki alianza kuhesabu muda,,ilikuwa zikipita dakika kumi baada ya kelele ya GOHA kusikika ndipo wawili walioingia Sukutoni huruhusiwa kutoka huku mmoja wao akizomewa haswa,,,dakika zilianza kuyoyoma,,Konkara alitulia kimya kwani alishajua kinachofuata ni kuzomewa,,,akaeti pembezoni mwa kitanda na kuinamia chini,,,ona,!,Ona,,!,,aliongea hivyo Silata huku akijipanua mapaja yake na kukiacha kitumbua chake wazi kilichojaa unyevu wa kutosha,,,aaaah,,aaaiiiiih,,ooooh,,mmmh,,alilalamika Silata huku akijishika matiti yake,yote hii ilikuwa ni kumtukana Konkara,,mara aalijipindua na kuinama kisha kumgeuzia makalio na kuyepanua ambapo kila kitu kilionekana laivu bila chenga,,,njo basi jamani uingize hivyohivyo,njoo weweee,,jamaniii,,alizidi kuongea hivyo Silata huku akimkejeli Konkara,,,
Dakika ya tisa kuelekea ya kumi,Sonki akiwa makini na kuangalia saa yake,tayari alishapandwa na jazba kwani Konkara alikuwa kama amemwahibisha,SUKUTO lililopita kijana aliyejulikana kwa jina la Jaka alimshindwa mwanamke na kuzomewa hasa,,,ndani ya chumba cha SUKUTO ikawa kama maajabu yametokea,,mtalimbo wa Konkara ulisimama wima na kukaza kisawasawa,,,Silata hakujua kama tayari Konkara amesimamisha,kwa muda huu alikuwa amejibinua huku amepanua makalio,,,sura yake ikiangalia mbele,,basi Konkara alipanda kitandani na kuchomeka mtalimbo wake mrefu na mnene uliokuwa umezama haraka kama mshale,,,aaaah,,alitoa sauti hiyo Silata baada ya mtalimbo wa maana kuingia kwenye kitumbua chake,,,
Konkara hakufanya makosa,alianza kupampu kwa kasi huku mikono yake ikimshikashika makalio kwa kuminya kwa hasira,,,alisugua na kuukandamiza mtalimbo wake akihakikisha Silata ahemi wala kuongea chochote,,,aaaaaah,,,,,aaaaah,,ooooh,,uuuu,,aaaisssssssssssssssssss,,,,,mamaaaaaaa,,,,,aaah,,mmmmh,,silata alilalamika kwa sauti kubwa mpaka nje walisikia,wakawa wanashindwa kuelewa,Konkara alimbinuabinua Silata kila aina ya mkao,huku akihakikisha anamkuna vyema hasa kiarage chake kirefu kilichosimama,,,konkiiiiiiii,,aaaah,,oouuh,,konkiiiiiii,,,kokoooo,,,konkaaaaaaa,,,aaaah,,oooh,,alijikuta Silata akishindwa hata kumalizia kuita jina Konkara,,,pale alipotaka kulitaja vizuri jina hilo,Konkara alizidi kumzamisha mtalimbo na kusababisha kukosea,,,,wakati SUKUTO linaendelea ndani ugeni mwingine uliingia ambalo lilikuwa ni gari aina ya PRADO,
Gari hilo liliingia mpaka karibu na uwanja wa SUKUTO kisha likaegeshwa pembeni,,,mwenyekiti alimruhusu Tibuta kwenda kuwapokea wageni hao ambapa Tibuta alifanya kama alivyoagizwa,,,utaratibu wa kijiji hicho jambo pekee ambalo linaweza kusitisha zoezi la SUKUTO ni kifo cha ghafla cha mtu,mbali na hapo hata litokee jambo gani haliwezi kusimamisha zoezi hilo,,,
Aaaah,,aaah,,,aisssss,,,,mmmmh,,inatoshaaaa,,aaaah,,,mmmh,,jamaniiiii,,aaaah,,,mamaaaaaa,,,alilalamika Silata na kuomba mapumziko mafupi kitu ambacho Konkara hakuelewa kabisa,lengo lake lilikuwa ni kumkomesha kwa kumsugua hasa,basi alizidi kumzamisha mtalimbo huku akikisugua kiarage chake kilichoanza kuchoka,,Konkara jamani inatosha bwanaaa,,,mi nimechokaaaaa,,,chomoa bwana,,alizidi kusema hivyo Silata huku akiwa ametulia kama gogo kitandani hapo,,,Konkara hakusikia chochote,hakutaka hata kumwangalia machoni,,alizidi kumpelekea mashine mpaka ikafika muda Silata mchozi ukaaanza kumtoka,hamu yake ilimuisha na hakutamani tena kuendelea,,,
,,,,Konkaraaa,,sikudharau tena,samahaniii,,naomba uchomoe naumia mwenziooo,,uuuh,,munguuuu,,,jamaniii,Konkara chomoa mbona hivyooo,,,,baada ya maneno hayo Konkara ndipo akimwangalia usoni Silata aliyekuwa ameshaanza kutoa mchozi,,,alipunguza kasi na kwenda zile za kiminyato kama mwendo wa mshale wa sekunde kwenye saa ya ukutani,,,aaah,,aaah,,ooh,,alianza kulalamika tena Silata baada ya Konkara kupunguza kasi,kumbe tayari alishamsoma Konkara anakaribia kumwaga,,,ooooh,,,,aaaaaah,,,aaaisssssss,,,,uuuuuh,,,aaaaaah,,alilalamika Konkara na kumwaga uji wake mwingi mpaka nje ya kitumbua ulijitokeza,,,,
Pindi alipomaliza kumwaga,alibaki akimtazama usoni Silata aliyekuwa amenuna na kugeukia pembeni huku mikono yake akiipishanisha kifuani ambapo ilibana matiti yake,mkono wa kulia ukashika bega la kshoto na wa kushoto ukashika bega la kulia,ilionekana mikono yake imeunda alama eksi,,,Silata,,!,,Silata,,,!,sijakusudia mwenzio,nilikuwa nimezidiwa nisamehe mpenzi wangu,,,aliongea Konkara kwa sauti ya upole huku sura yake akiisogeza karibu na Sialata aliyekuwa bado amegeukia pembeni,,,alivuta pumzi ndefu Silata na kukishusha kisha akamgeukia Konkara,,umefanya makusudi wewe,ulitaka kunikomesha sijui mwenyewe,,,kwa sauti ya kudeka Alisema hivyo Silata,,,
,,,sijakusudia jamani,nielewe mamaa,,
,,,toka huko,,,!
,,,unanifukuza tena jamani,,,
,,,ndio,we unafanya kama upo kwenye mashindano,,,
,,,sasa ningefanya taratibu,ungesikia raha,,,?
,,,ndiyo,,,
Baada ya kujibu hivyo Konkara alimsogezea uso wake Silata ili amnyonye denda lakini Silata akawa ameziingiza lipsi zake ndani na kuzibana,,,lakini Konkara alianza kumnyonya kidevu chake na kushuka mpaka kwenye shingo,ulimi wake ulifanya kazi ya kumtekenya na kumsisimua Silata kwenye shingo yake nzuri,,,hamu ya Silata yote ilikuwa imeisha pangine angetulia hata kwa muda ndipo arudie tena tendo hilo,hivyo hata Konkara alivyokuwa akimpitisha ulimi shingoni hakuhisi kitu chochote,,,aliporudi juu kwenye lipsi bado Silata alikuwa amebana,alichokifanya aliuingiza ulimi wake kwa nguvu hapo hapo alipozibana lipsi zake,,,ilikuwa ni kama Hodi ambapo Silata aliisikia,akafungua mdomo na kuanza kunyonyana ndimi zao,,,,
Sonki akiwa nje mlangoni hapo panapofanyikia SUKUTO,alibaki akiwaangalia wageni hao ambapo ilikuwa ni muda mrefu hawajaonana,,,,moyoni mwake alijishtukia kwasababu aliwaaga anakwenda kijijini kwao halafu atarudi baada ya muda kidogo lakini kikapita kipindi kirefu,,,wageni hao hawakuwa wengine bali ni Lina na Sensia ambao kwa muda huu walikuwa wamesimama na Tibuta yule kijana anayeshughulika na kupokea wageni katika TAMUNI,,,
,,Karibuni sana TAMUNI,mjisikie mpo nyumbani,,,kwa ukarimu Tibuta aliongea hivyo
,,samahani,naomba kuuliza,mbona siyaelewi mazingira haya na mambo yanayofanyika humo ndani,,,,?,alihoji Sensia
,,huu ni utaratibu unaoeshimika sana kijijini kwetu TAMUNI,na unaitwa SUKUTO,,,
,,SUKUTO,,,?,ndio nini hiko kitu,,,?
,,unajua katika jamii zingine wanaamini kwamba ukitaka kumwoa mwanamke lazima umtolee mahali huyo ndio anakuwa wako na sherehe kubwa mfanye,wengine wanaamini hisia bila matendo,yaani mtu akikupenda basi mnaoana,lakini sisi tuko tofauti kidogo,ili mwanaume aweze kuoa lazima awe na uwezo wa kumridhisha mwanamke kitandani kwanza,na jambo hilo kipindi linafanyika hushuhudiwa na watu wote wenye umri wa miaka kumi na nane na kuendelea,kama ilivyo hii leo,,,
,,,,mmh,ina maana watu wanaoingia humo ndani wanakuwa hawapendani kabisa,,,?
,,,,sisi hatuamini kama kuna upendo pasipo hili jambo kufanyika kikamilifu kwanza,hivyo wote waingiao ndani humu mioyo yao ndio inajua,lakini imani yetu ndio kama niliyokueleza,,,na utamaduni wetu huu,unawafanya watu wengi hasa wanawake wakiolewa na kwenda nje ya TAMUNI huwa haipiti mwaka tayari wamesharudi kwasababu mwanamke yeyote wa TAMUNI hawezi kuishi na mwanaume mvivu kitandani,lakini wanaume wanaochukuliwa hapa ambao wamependwa na wanawake huwa wanarudi kutusalimia na sio kurudi kwamba wamefukuzwa,,,
,,,,mmmmh,kweli haya mapya mwenzangu,,,,
Maongezio hayo yalisitishwa baada ya Konkara kutoka nje huku akiwa anavuja jasho haswa,bado mtalimbo wake ulikuwa umesimama ambapo bukta yake ilikuwa imetuna kwa mbele,alitembea mpaka kwa mwenyekiti,kisha zikapita dakika kadhaa ndipo Silata akatoka nje,alikuwa akitembea kama mtu aliyeweka tonge la ugali la moto katikati ya mapaja yake hivyo anaogopa kugusanisha mapaja,,,ilionyesha dhahiri bwana Konkara alitenda kazi ya maana,,,,basi mwenyekiti aliwapa baraka ambapo wanakijiji wakaanza kushangilia kwa kuwasindikiza mpaka makazi yao mapya,,,
Lina na Sensia walikwenda na kumsalimia mwenyekiti wa kijiji cha TAMUNI ambaye kwa lugha ya upendo aliwakaribisha,ambapo taratibu zinazofuata zilizkuwa kati ya wageni hao Tibuta,,,
,,,samahani,Tibito,,,!
,,,naitwa Tibuta,,,
,,,ooh,Tibuta,sasa,,,kuna kijana alikuwa amesimama pale mlangoni kwenye kile kijumba walichofanyia hiyoo nini sijui,,SUKIII,,
,,,SUKUTO,,?,,alimalizia kulitaja jina hilo Tibuta baada ya kuona Lina hawezi kulitaja vizuri
,,,enhee,nahitaji kuongea naye sasa hivi,,,,
,,,hilo limekwisha,hivyo ndivyo vijana wetu wanavyopata bahati,,,
,,,(kicheko,,!),,hapana bwana,tunahitaji kuzungumza naye tu,,,
,,,basi hilo halina tatizo kabisa,tunaweza kwenda nyumbani kwake,,,
Baada ya kauli hiyo ya Tibuta wote watatu waliongozana mpaka nyumbani kwa Sonki,kijana aliyekuwa anauliziwa na wageni hao,,,pindi walipokuwa njiani Lina kwavile sio mwongeaji sana alimnongoneza Sensia kuwa wakifika asimwachie hata nafasi amshawishi mapaka Sonki akubali kurudi nao mjini,,,Sonki alipowaona aliwakaribisha vizuri na kuwatolea mkeka,kisha wote wakaa chini,Tibuta aliaga na kuondoka ambapo aliwaacha Sensia,Lina na Sonki kwenye mkeka,

,habari za hapa Sonki,,?
,,,nzuri tu,sijui ninyi huko mjini,,,?
,,,kwetu si nzuri sana,lakini tunashukuru mungu ni wazima,,,
,,,Karibuni sana TAMUNI,Karibuni nyumbani kwangu,,,
,,,aaah,sisi tumeshakaribia,lakini,,,tuna jambo tunahitaji utusaidie,,,
,,,nawasikilizaa,,,
,,,Sonki,ukiwa kama kijana shupavu unayeelewa nini maana ya maisha,tunakuomba tena tuko chini ya miguu yako,bado tunakuhitaji kwenye mgahawa wetu,unajua si jambo rahisi kufunga safari kuja mpaka huku kijijini kwa ajili ya kumfuata Muuza Supu,inaonyesha jinsi gani wewe ni wa pekee katika biashara hii,tafadhari Sonki rudi nasi,tunakuhitaji kwakweli,,,aliongea hivyo Sensia kwa sura ya kutia huruma
,,,aaah,nimewasikia vizuri,lakini mtanihakikishia vipi usalama wangu,,,?,maana ningeendelea kubaki pale nilikuwa nakufa mimi,,,
,,,,usijali kuhusu hilo,Bosi wako ameshakuandalia mpango madhubuti ambapo hutasumbuliwa tena kama kipindi kile,,,
,,,,mmmh,mngenipa muda nifikirie kwakweli,,,
,,,,Sonki tafadhari,ujue ni mbali kutoka hapa mpaka kijijini kwenu,yaani hivi tulivyokuja,tunahitaji kuondoka na wewe kama ulivyo,kila kitu usijali tutakununulia,,,
,,,,kwahiyo mnataka tuondoke sasa hivi,,?
,,,,Hapana,wewe jiandae,ukiwa tayari utakuja nyumbani kwa mwenyekiti kisha tutaondoka,,,,
,,,,sawa,ngoja nijiandae basi,,
,,,,haya,tunashukuru sana Sonki,,,
,,,,msijali,,,,
Maongezi yao yaliishia hapo ambapo Lina na Sensia waliongoza mpaka kwa mwenyekiti na kumsubiri Sonki,,,hazikupita dakika ishirini Sonki alikuwa katika mavazi yake ya kutokea sikukuu,hakuweza kuyapangilia na kuonekana kupendeza zaidi mvuto alionao,hakukuwa na muda wa kupoteza ambapo waliaga na kuondoka kijijini hapo pamoja na Sonki,,,jambo la kumpata Sonki lilimfurahisha sana Lina aliyekuwa akimuwaza kila muda kuhusu biashara yake,,,
Asubuhi na mapema ilifika ambapo kila mmoja aliamka huku Lina na Sensia wakihisi uchovu wa safari,,,lakini kwa Sonki alishajizoelea kazi nyingi hivyo hakuhisi kama alichoka,,,Sonki alifikishwa kwenye nyumba ya Lina ambapo nyumba nzima kulikuwa na mfanyakazi wa ndani aliyeitwa Queen na mlinzi aliyeitwa Msuba,kwahiyo jumla kwa sasa wakawa watu wanne nyumba nzima,,,Sonki hakuwa mgeni kwenye nyumba hiyo kwani Queen na Msuba walimjua vyema kwasababu hata kipindi cha kwanza alipokuja alikuwa anakaa hapo,,,
Zilipofika nyakati za usiku,,Sonki akiwa chumbani kwake,mara alisikia mlango ukigongwa,,,kwa heshima na adabu zote alikwenda na kuufungua,ambapo alishtukla kumwona Queen akiwa ndani ya khanga moja iliyoangaza maungo yake ya ndani
,,,hivi wewe nikwambie mara ngapi kama sitaki huu mchezo,,?,Sonki aliongea hivyo kwa hasira na kutaka kufunga mlango
,,,Sonki,kwanini unanifanyia hivi lakini,,?,mi nakupenda kweli,yaani hunielewi tu tangu kipindi kile jamani,,?,,kwa sauti ya kutia huruma aliongea Queen huku macho yake akiyalegeza na kuyarembua
,,,,nimeshakwambia,hayo mambo sitaki,we nenda bwana,,,
Jibu hilo lilimvunja nguvu Queen ambaye amekuwa akimfuatili Sonki tangu kipindi kile bila mafanikio,siku hiyo alijiandaa hata kupigwa kabisa na Sonki lakini lazima acheze naye mchezo wa kikubwa,,,jamani Sonki tafadhari usinifanyie hivyo,,,aliendelea kudeka Queen huku akimwangalia Sonki kwa jicho la kumtega,tayari mikono yake ilishafika kwenye kifua cha Sonki kilichojaa kimazoezi na kuanza kuitambaza kifuani hapo,,,lakini Sonki alitoa kwa hasira na kuendelea kuwa mkali,,,,
Queen alikata tamaa kabisa kilichofuata ni hasira kumpanda,,,alishikwa na hasira ambapo hakutaka tena kuendelea kuelezea hisia zake,,,,alimwangalia Sonki kwa jicho la ukali akaanza kumpandisha na kumshusha huku akiubenua mdomo wake kwa dharau,,,usikute napoteza muda kumbeleza hanisi,,,kwa dharau aliongea hivyo Queen na kutikisa mguu mmoja uliosababisha tako lake lililojaa vizuri likawa linatikisika huku mkono wake ukiwa kiunoni kwake,,,,
Katika maisha ya kuishi kijijini TAMUNI,vijana wote wa kule wana kasumba moja kwamba mwanamke akikudharau hususani kama alivyofanya Queen kitu pekee kinachoweza kurudisha heshima hiyo ni kumsugua haswa mpaka asahau jina lake,,,ndio maana wasichana wa TAMUNI wanawadharau vijana wasiooa mpaka waoe ndio wanaheshimika,,,hivyo maneno ya Queen yalipita mpaka moyoni kwa Sonki moja kwa moja na kumchoma,,,
,,,,loh!,nisije nikapata mkosi bure kumbe naongea na hanisi,,,,alirudia neno lake ambalo lilimaanisha Sonki jogoo wake hapandi mtungi,au mtalimbo wake huwa unalala dolo masaa yote,,,Sonki hakuendelea kuvumilia maneno hayo,alipandwa na hasira ya kumkomesha Queen kwa kumsugua kitumbua chake,,,
Alichokifanya Sonki wakiwa hapo mlangoni mpaka yeye mwenyewe Queen alishangaa,hakuongea kitu alimvutia Queen kwa ndani na kuufunga mlango,,kisha akaanza kumkumbatia na kumpapasa sehemu mgongoni mwake,,mikono yake ilimpanda mpaka kwenye shingo na kuanza kulichezea eneo kwa kucha zake ndefu wastani,,,Queen hakuwa n aujanja kwani hamu alikuwa nayo,,alijibu mapigo kama mtu ambaye hataki anataka,,,aliishusha mkono yake mpaka kwenye makalio laini ya Queen yaliyofichwa kwenye khanga moja,,aliyaminya kwa nguvu kama anayapandisha juu na kumsukumia kwake,,aaaah,,,mmmh,,aliguna kimahaba Queen mikono hiyo ilivyo kuwa ikimshikashika vyema,,,
Kwa jinsi ambavyo alikuwa akimshikashika makalio,khanga yake ilimpanda juu na kuyaacha mapaja yake wazi,,,Sonki aliona kama khanga hiyo inamzuia mambo mengi,aliivuta kwa nguvu na kuichana kisha akaitupa mbali,hapo Queen alibaki kama alivyozaliwa,,,basi Sonki kwa vile alikuwa na nguvu,alimbeba kama kikaratasi na kumweka ukutani,yaani ilionekana kama Sonki amembeba mtoto mchanga na kumweka ukutani hapo,,,Queen mwenyewe hakuamini,alijua ataanguka,,,lakini misuli ya mikono ya Sonki ilikuwa ngangali hasa,,,
Akiwa ambana hapo ukutani ambapo kitumbua chake kilikuwa usawa wa kifua,,,kwa jinsi ambavyo Queen alikuwa na hamu kiarage chake kilisimama na kwa jinsi ambavyo alipanuliwa mapaja ndio kilionekana vyema kabisa,,,basi Sonki taratibu aliusogeza ulimi wake na kuanza kukinyonya kiarage cha Queen,,,aaaah,,,aaaah,,oooh,,uuuh,,aaammmh,,mmmaaaaaa,,,aaaah,,,alilalamika Queen kwani alisikia raha mara mbili,ya kubebwa na kunywonya kiarage,,,,Sonki alikuwa kama anakombeleza uji ndanio ya bakuli kwa kutumia ulimi,,hadi mishipa yake ya shingo ilimtoka wakati akiwa anamnyonya Queen,,,mmmh,,,oooooh,,aaaisssssssssssssssssss,,aaah,,,aaammmmh,,,aaahaaaaa,,,mmmh,,alizidi kupiga kelele za mautamu ambapo kiarage chake kikizidi kusimama,,,
Sonki aliendelea kukinyonya kiarage hicho ambapo kwasasa aliukaza ulimi wake na kufanya kama anauingiza kwa nguvu wote na kuutoa,,,aaaah,,mmmhm,,,,aliendelea kupiga kelele mtoto wa watu,,,Sonki alibadili zoezi ambapo akiwa ameukaza hivyo ulimi wake,alikuwa kama anakipigapiga kiarage na ulimi wake ambapo kiarage hicho kilikuwa kinachezacheza kama kimepigiwa mziki wa taarabu kicheze,,,kitendo kile kilimsisimua zaidi Queen na kujikuta akimwaga huku akitoa milio ya utamu,,,
Wakati huo mtalimbo wa nguvu wa Sonki ulikuwa umesimama haswa,,Queen akiwa amebebwa,aliishiwa nguvu baada ya kumwaga,ambapo Sonki alimshusha chini ili kuendeleza mchezo,,,dakika tano ndizo alizopewa Queen za upumzika ambapo baada ya hapo,,,Sonki alimlaza chali Queen aliyekuwa kama mtumwa kwa bwana wake,alifuata kila alichoambiwa na Sonki,,,taratibu alishika gobole lake lililojaa risasi,kisha akalielekezea kwenye kitumbua na kuanza kuuchomeka,,,mmmh,,aah,,alilalamika Queen baada ya mtalimbo wa Sonki kupita taratibu kwenye kitumbua chake,,hakuhisi maumivu bali alihisi raha ya ajabu kwani mtalimbo huo haukuacha hata nafasi,ulibana haswa,,,kiarage chake nacho kilisuguliwa vyema wakati mtalimbo unaingia,,aaaaah,,oooh,,alilalamika Sonki baada ya kuuzamisha mdude wake wote,,,kabla hata hajaanza kupampu alimlaza kiubavu Queen na kujibana miguu yake vyema,kisha akaipandisha juu kama anataka kuikutanisha na kifua cha Queen,,mtindo huo ulifanya kitumbua cha Queen kubana hasa,,,,akaanza taratibu kupampu,,,ndani nje,,aliutoa mtalimbo nje mpaka kwenye ile sehemu ya kichwa cha mtalimbo kisha akawa anauchomeka wote mapaka ndani ambapo breki ilikuwa ni viazi mahaba,,,kitendo hicho kilisababisha kiarage chake kukunwa vyema,,,aaah,,mmmmh,,aissssssss,,oooh,,aaaah,,

Alilalamika Queen baada ya kupewa mikiki ya nguvu kitandani hapo,,,katika ufanyaji mapenzi kuna ile kufanya kawaida kwa ajili ya kuridhishana lakini Sonki alifanya kwa kumkomesha Queen huku kichwani akiwa na uhakika kwamba baada ya hapo lazima ashike adabu na hii ndio ilikuwa imani ya wanakijiji kutoka TAMUNI,,,
,,,sonki tupumzikeee,,,nimechokaaa,,aah,,alianza kuomba po Queen ambapo Sonki alikuwa kama hasikii,,,kila mtindo aliomuweka,alimgeuza bila kumchomoa mtalimbo,,,muda huu alimlaza chali ambapo miguu yao ilipishana na kutengeneza alama ya X,yaani mguu mmoja wa Sonki ulipita katikati ya miguu ya Queen,vivyo hivyo mguu mmoja wa Queen ulipita katikati ya miguu ya Sonki,,,macho ya Sonki yalikuwa yakiangalia upande wa mgongo wa Queen ulipogeukia,,,mmmh,,aaaaah,,,oooosshhiiiiii,,Sonki chomoaaaa,,,chomooo,,,,,chomooaaaa,,alilalamika Queen baada ya kuona Sonki apumziki wala haonyeshi dalili ya kumwaga,,,Sonki aliendelea kuuzamisha mtalimbo wake na kuutoa kwa kasi ya ajabu ambapo kuna muda Queen alihisi kama kitumbua chake kinataka kulipuka kwa joto la msuguano,,,
Mechi kali ikiwa inaendelea kati ya Sonki na Queen ambapo Queen alionyesha kila dalili ya kushindwa mpambano,,,nje ya geti la nyumba hiyo ilisikika Honi ya gari ambayo Si Sonki wala Queen aliyeisikia bali ni mlinzi pekee,,,alienda na kufungua mlango kisha ikaingia gari ya Lina ambapo pembeni yake aliketi Sensia rafiki yake kipenzi,,,
,,,Sensia,,,!,
,,,vipi tena mbona hushuki,,,?
,,,ujue roho yangu kama inauma,,,!
,,,inauma,,?,yaani unaumwa roho,,?
,,,usifanye utani,yaani kama kuna kitu hakiko sawa vile,,!
,,,aaah,uchovu huo,,twende ukaoge ukipumzika utakuwa sawa tu,,,
,,,ngoja niongee na mlinzi hapa alinambia kuna jambo anataka kuzungumza na mimi tangu jana,,,,
,,,sawa,utanikuta bwana,,,
Sensia aliingia ndani na kumwacha Lina akimfuata mlinzi na kuzungumza naye,,,ile Sensia anafungua mlango wa sebuleni,kama kuna kitu kikamtuma aingie ndani kimya kimya wakati siku zote lazima aite jina Queen,,pindi alipokatiza kwenye korido ya kuingilia chumba cha Sonki,,aah,,ooh,,uuuh,,,,Sonkiii,,nakupendaaaa,,aaaah,,,mmmmh,,oooh,,nakufaaa,,,,nakufaa mimiii,,kelele hizo alipata kuzisikia,ambapo zilimpa hamasa ya kutaka kujua nini anacholilia binti huyo kwani alishajua ni Queen na Sonki,,,
Kupitia upenyo mdogo wa kitasa pale kwenye uwazi funguo inapokaa,,,jicho la Sensia lilipata kuona kilichoendelea ndani,,,alijikuta akimaliza dakika ya kwanza nzima,,ya pili ya tatu,,kiukweli sio kuvutiwa tu bali ufanyaji aliokuwa anamfanya Queen kwa muda huo ilikuwa ni hatari na hakuwahi kuona kwa mwanaume yeyote yule,,,japo si sana lakini kunamsisimko aliupata kutokana na tukio hilo,,,
Muda huo Sonki alionekana kama amepiga magoti katikati ya mapaja ya Queen huku mtalimbo ukiwa unaingia na kutoka,,,mkono mmoja wa Sonki ulikuwa nyuma ya mgongo karibu na shingo ya Queen huku mkono mwingine ukiwa kwenye kiuno karibu kabisa na makalio,,,alimnyanyua kwa mikono yake yenye nguvu kama mtoto mchanga anayetaka kubembelezwa,,kilichomfanya Sensia kuendelea kumtazama Sonki uwanjani ni jinsi alivyokuwa akizungusha kiuno chake,,alikikata kiuno mwanaume kama hana mfupa kwa muda mrefu,,ilionyesha jinsi gani ana nguvu za mwili mpaka kuhimili kumbeba mwanamke huku akimsugua hasa,,,Queen alihisi raha ya ajabu kwani baada ya kulalamika sana alijikuta hamu ikianza upya,,,Sonki alimbana kisawasawa Queen aliyekuwa amepandwa na mizuka kama mwanzoni,,
,,,,nifanye mpenziii,,,aaah,,,oooh,,,chote chako kitumbuaaaa,,,mmh,,aaaah,,alilalamika hivyo Queen kuonyesha jinsi gani anapata utamu madhubuti,,,kama unavyojua ukiwa umechoka ukimwaga jinsi unavyojisikia,,,Queen alijikuta akisikia utamu ambapo mtalimbo wa Sonki ulimkuna hasa na kumsisimua zaidi pale kiuno chake kilipokuwa kinazunguka huku mtalimbo ukimsugua,,alijikuta akitoa miguno ya mahaba kwa sauti na kumwaga uji wake,,,,Sonki naye baada ya kufanya kwa muda mrefu,sasa ndio safari yake ilikuwa ikifikia kikomo,,,alimkamata Queen kama anataka kumnyonya mgongo,,,mpaka misuli yake ya kichwa ilimtoka,,alisisimka kwa utamu ambapo alikuwa kama anaona jinsi uji ulivyokuwa ukipanda kutoka miguuni na kuja kwenye mtalimbo,,utamu ulizidi ambapo mtalimbo wake uliongezeka ukubwa hasa kile kichwa cha mtalimbo,,,aaaah,,ooooh,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,,oooooooooh,,uuuuhmmmmmmmm,,aaaaaaaaaah,,,alilalamika kwa sauti Sonki na kumwaga uji wake nje ya kitumbua cha Queen,kiukweli ulikuwa ni uji mwingi kiasi kwamba ulitapakaa tumboni kwa Queen na kwenye Godoro,,,
Sensia akiwa kwenye kitasa hicho kuna mambo aliyaona kama ni mageni kwake,,hata hili la mwisho la kumwaga uji mwingi kiasi hiko lilimsisimua na kumfanya amwone Sonki na mwanaume wa aina yake,,,baada ya kupiga chabo kwa muda kama wa dakika kumi na tano ndio anashtuka na kumtafuta Lina ameenda wapi,,alikimbia mpaka sebuleni na kuchungulia nje,akamwona bado mlinzi anaongea na Lina,,,
,,,,Sensia naomba niitie Sonki na Queen hapo,waambie waje haraka,,,,ilikuwa ni kauli ya Lina ikimtaka Sensia aitimize,kwa haraka Sensia akajikuta anachelewa kutoa jibu kama aende kuwaita au lah!,,,we Sensia jamani,mbona huendi,,?,,aliuliza tena hivyo Lina baada ya kumwona Sensia kama anasita ambapo alinyanyuka na kuanza kuelekea ndani ili akaonane nao yeye mwenyewe,,

ITAENDELEA

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment