Datty Tz – Uboya Lyrics
A Tanzanian Musician signed under Chamazi Music’s record label, Datty Tz whose real name is Theresia Francic Mathias comes with a new hits song titled Uboya. Below are the Uboya Lyrics written and performed by Datty Tz.
SIMILAR: Nandy – Siwezi Lyrics
Uboya Lyrics by Datty Tz
Intro
U uhhhhh
aaahhhhhh
Kazuu Vibe
Verse
Eti simu zangu huzioni
Inamaana umefumbaa macho
Masikio usikii uonii
Sawa unanidharau sana darling
Mbona unapitiliza unapiga
Bila kujali yangu halii
Eti umehamia kabisa
Ata uso wangu nauficha mambo gani
Yakufichuana ficha moyo wangu uhhuuu
Mzaha mzaha imekuwa share
Shemu shemu imekuwa fine asijali
Yatakuwa sawa rafiki yangu uuuhh
chorus
Uo uboya kakudanganya atakuoa ah wapi
Uo uboya bora ungeniuliza mimi namjua
Muongo uyo uo uboya
Kakudanganya atakuoa ah wapi
Uo uboya Sitaki kuamini mimi no!no!no!
Urafiki gani wa uongo ngo
verse 2
Mery upo wapi mama alichonitenda hawa
Siungwana bhana,Kumbe zile out zilimtoa roho
Mbona sikumtenga twaenda nae show
Kumbe moyo moyo anasema ngoja ngojaa
Nakuta status kampost Nicco
Nikasema niende nawakuta woote
Niulize nikafukuzwa toka tokaa
Eti umehamia kabisa
Ata uso wangu nauficha mambo gani
Yakufichuana ficha moyo wangu
Mzaha mzaha imekuwa share
Shemu shemu imekuwa fine asijali
Yatakuwa sawa rafiki yangu uuuhh
chorus
Uo uboya kakudanganya atakuoa ah wapi
Uo uboya bora ungeniuliza mimi namjua
Muongo uyo uo uboya
Kakudanganya atakuoa ah wapi
Uo uboya Sitaki kuamini mimi no!no!no!
Urafiki gani wa uongo ngo
Sitaki kuamini mimi no!no!no!
Urafiki gani eheeheeheee
Datty Tz – Uboya Mp3 Download
Get More Hits Song From Nandy;