Harmonize – Dunia Lyrics
LYRICS

Harmonize – Dunia Lyrics

MP3 DOWNLOAD Harmonize - Dunia
Harmonize – Dunia Lyrics

High-rated Tanzania recording artist, multi-award winner, and Konde Music WorldWide serial hitmaker Harmonize released a new hit song titled Dunia.

SIMILAR: Harmonize – Amelowa

Dunia Lyrics by Harmonize

Eti mziki shetani, pesa nazo shetani
Mpira na pombe shetani
Mademu na mihadarati, shetani

Naamini Mungu yupo najua
Ndo ananifanya ninapumua
Akitaka hata sasa ananichukua
Ila mi nataka kujua

Ni nini dunia
Dunia dunia dunia
Hivi ni nini dunia
Dunia eeh

Mmmh wanaoishi kwa imani
Misikitini makanisani
Uwepo wao hauonekani
Hali zao zipo taabani

Hivi ulikuaga wapi before
Hujaja duniani
Na kwanini kunakifo
Unapokwenda hapajulikani

Sawa safari ni yetu sote
Na hakuna aliyekwenda na akarudi
Japo kutusimulia
Kama pazuri ama pabaya

Uwe tajiri ama masikini
Kwa mchanga utarudi

Minatoa wosia tusiishi kwa ubaya
Kunakidude kinaitwa mapenzi
Hakijawahi kueleweka
Wakati wewe unalia mwenzako yeye anacheka

Hivi ni nini dunia dunia dunia
Ni nini dunia, dunia eeh
Eeh Pedezye Kumbuka
Msalimia mwijaku

Tuombeane mwisho mwema (eeh eeh yeah)
Tuombeane mwisho mwema (maana hakuna anaejua kesho)
Tuombeane mwisho mwema (kama wewe muislamu)
Tuombeane mwisho mwema (omba kwa dini yako)
Tuombeane mwisho mwema (kama wewe ni mkristo)
Tuombeane mwisho mwema (nisiri nisiri)
Tuombeane mwisho mwema (tuombeane nisiri)

Harmonize – Dunia Mp3 Download

Also, check more tracks from Harmonize;

Leave a Comment