Nandy Ft Harmonize – Acha Lizame Lyrics
LYRICS

Nandy Ft Harmonize – Acha Lizame Lyrics

DOWNLOAD VIDEO Nandy ft Harmonize – Acha Lizame
Nandy Ft Harmonize – Acha Lizame Lyrics

Tanzanian singer and songwriter, Nandy came through with a brand new banger titled Acha lizame. Below are the Acha Lizame Lyrics written and performed by Nandy and Harmonize.

SIMILAR: Nandy Ft Alikiba – Nibakishie Lyrics

Acha Lizame Lyrics by Nandy Ft Harmonize

Yao Yao Jeshi
Ooi Boy boy
Konde Boy

Maembe suru chuku chuku ni sasamole
Mi naning’inia kwa marati nipopoe
(On the Beat)
Kiduchu nipe tena baba niue
Mi nakuzimia usizingue unisumbue wewe

Mapenzi yetu ni ya mimi na wewe tu
Usiskize watu wananyongwa mbaya
Basi nifanyie kitu na boxy (Lazizi wee)
Usiku nipe shoti (Lazizi wee)
Ama ishike magoti (Lazizi wee)
Nilemshe mkomboti (Lazizi wee)

Ooh mi mwenzako imeshanikolea
My baby boy oooh ah 
Ukienda zako mi nitanyong’onyea
Ooh mi mwenzako imeshanikolea
My baby boy oh ah
Ukienda zako mi nitanyong’onyea

Acha lizame! 
Baby unapenda vya giza giza kama ujanizoea
Acha jua lizame!
Maana raha ya kuingiza ujue inapotokea
Acha lizame! 
Unapenda vya giza giza kama hujanizoea
Acha jua lizame…

Mama unafanya tembo
Kutwa nadindisha mkonga
We ndo kiboko ya warembo
Wale wanaojipitisha vitonga
 
Penye dhiki na shuruba
Mikeko ndo ulinikumbata
Piki piki upande Uber
Popote nilipo ukanifwata

Mimi bado wananiita mzugaji (Nilingojea)
Sikidhi hata yako mahitaji (Nilingojea)
Sina biashara mtaji (Nilingojea)
Ulisema Mola ndo mpaji (Nilingojea)

Ooooh maana nipande tumwage mbolea
Baby oh uh oh ah
Ukitaka tena tutaendelea
Oh oh ooh
Shamba mwaga maji nimwage mbolea
My baby oh uh oh ah
Ukitaka tena tutaendelea

Acha lizame! 
Baby unapenda vya giza giza kama ujanizoea
Acha jua lizame!
Maana raha ya kuingiza ujue inapotokea
Acha lizame! 
Unapenda vya giza giza kama hujanizoea
Acha jua lizame…
Whine nikuuliza
Bora ningejitengea oh nah nah

Oii boy boy, oooii boy boy
Yeah yeah yeah yeah 
Oii boy boy
The African Princess

Baby unapenda vya giza giza kama ujanizoea
Maana raha ya kuingiza ujue inapotokea
Unapenda vya giza giza kama hujanizoea
Asa whine nimecool na bora ningejitengea

Konde Boy!

Nandy Ft Harmonize – Acha Lizame Mp3 Download

Get More Hits Song From Nandy;

Leave a Comment