Dj Joozey Ft Harmonize – Namficha Lyrics
LYRICS

Dj Joozey Ft Harmonize – Namficha Lyrics

MP3 DOWNLOAD Dj Joozey Ft Harmonize – Namficha
Dj Joozey Ft Harmonize – Namficha Lyrics

Tanzania’s most popular rising dee-jay and aspiring producer, Joseph Simion Misa, professionally known as DJ Joozey has released a new song titled, Namficha.

SIMILAR: Harmonize – Single Again

Namficha Lyrics by Dj Joozey Ft Harmonize

Tafadhali Tafadhali
Ka uko na baby ifiche mbali
Yani kuna wanaponda mali
Basi wanamwaga madolali
Wanaagiza Wanaagiza dorime
Kama una hela za mawazo nunua ushamba ukalime

Wanaagiza Wanaagiza dorime
Taratibu na tungi la ofa usije lewa uzime
Oya dada ficha danga lako
Siku hizi mjini kila demu ana matako
Na kama ukibisha ushauri yako
Mmmh inakaribia kula kwako

Me wangu namficha
Namficha kwapani
Namficha namficha kwapani
Eeeh namficha namficha kwapani
Baby wangu namficha namficha kwapani
Oooh Aaaah Eeeeh Mmmh
Eti nimwache nimwache nimwache nani

Nimwache nimwache nimwache nani
Nauliza nimwache nimwache nimwache nani
Nimwache nimwache nimwache nani
Eti nimwache nimwache nimwache nani
Nimwache nimwache nimwache nani
Ona mafisi wale wanavyoitazama pisi kali
Sio kama na-wa diss wale

Baby wangu hawezi kwenda kirahisi pale
Oya dada ficha danga lako
Siku hizi mjini kila demu ana matako
Na kama ukibisha ushauri yako

Mmmh inakaribia kula kwako
Me wangu namficha
Namficha kwapani
Namficha namficha kwapani
Eeeh namficha namficha kwapani
Baby wangu namficha namficha kwapani
Oooh Aaaah Eeeeh Mmmh

Dj Joozey Ft Harmonize – Namficha Mp3 Download

More hit songs from Harmonize;

Leave a Comment