Mbosso – Sitaki Lyrics
LYRICS

Mbosso – Sitaki Lyrics

MP3 DOWNLOAD Mbosso - Sitaki
Mbosso – Sitaki Lyrics

Tanzanian recording artist and former Yamoto Band member currently signed under WCB Wasafi, Mbwana Yusuph Kilungi better known as Mbosso drops a new hot banger titled, Sitaki.

SIMILAR: Mbosso – Amepotea

Sitaki Lyrics by Mbosso

Mimi wewe mimi ntakufa na wewe
Mimi wewe mimi ntakufa na wewe

Ni baraka za mungu na malaika
Zimefanya mi nawe tujuane
Sinashaka maana imeandikwa
Ndege warukao wafanane

Sisikii la muadhini wala lamnadi swala
Tumelishana yamini kwa dua sio kafara
Sio wanyuzi tisini wala buku shidala
Mambo yakuzini zini tuwe halali twahara

Kama mapenzi ugonjwa wa macho mi kabisa kengeza
Na kama changuoni ndo kikulacho mi kwangu kanimeza
Na sitaki nishauriwe, sitaki nishauriwe
Na sitaki nishauriwe, sitaki nishauriwe

Ngamia wangu anifaae jangwani
Nimemuombea dua tusiishie njiani
Ngamia wangu anifaae jangwani
Nimemuombea dua tusiishie njiani
Ooh usingizi wangu zeze la kitandani
Nimemuombea dua tusiishie njiani
Ngamia wangu anifaae jangwani
Nimemuombea dua tusiishie njiani

Kama mapenzi ugonjwa wa macho mi kabisa kengeza
Na kama changuoni ndo kikulacho mi kwangu kanimeza
Na sitaki nishauriwe, sitaki nishauriwe
Na sitaki nishauriwe, sitaki nishauriwe
Aiih makopa kanimwagia makopa jama
Aiih makopa kanimwagia makopa jama

Ma ma ma ma kanimwagia makopa jama
Aiih makopa kanimwagia makopa jama
Mwa mwa mwa kanimwagia makopa jama
Aiih makopa kanimwagia makopa jama

Mbosso – Sitaki Mp3 Download

Also, Check out More Hits Song From Mbosso;

Leave a Comment