Kontawa – Mi Nachekaga Tu Lyrics
LYRICS

Kontawa – Mi Nachekaga Tu Lyrics

MP3 DOWNLOAD Kontawa - Mi Nachekaga Tu
Kontawa – Mi Nachekaga Tu Lyrics

Tanzanian artist better known as Kontawa comes up with new hits song titled Mi Nachekaga Tu.

SIMILAR: Kontawa X Jay Melody – Mbalamwezi

Mi Nachekaga Tu Lyrics by Kontawa

Mchumishe demu tembele
Kama unataka mbogamboga
Ukivaa boxer jua
Umevaa bodaboda
Mnaonipima nguvu
Mnisikilize mara moja
Nna nguvu kiasi kwamba naweza
Nikampa mimba shoga

Mama rudia ana watoto wawili
Wa kwanza anaitwa Tena
Wa pili ataitwa nani
Aaaah Aaaaah rudia

Waislamu hawapendi pombe na
Hawataki kuisikia
Ila unaweza kuta mke wa Ustadhi
Ana mguu wa bia

Na kwenye group la Adamu
Huwezi ukakuta admini
Utapita chaka zote hakuna
Rapa kama mimi
Na wanachonishangaza hawa marapa
Wa mjini
Wanaimba nyimbo ngumu
Alafu kwenye simu wanaweka laini

Kwa muda mrefu najiuliza
Ila jibu sipati
Kati ya Messi na Ronaldo yupo
Anapiga sana pasi

Nahisi ndoto nyingine sijui
Zinatokea wapi
Nimeona Yesu anarudi ila
Amepanda basi

Wabongo wanapenda uongo ndo
Maana hatuongei kweli
Unaweza kuta mzee magari
Hajawahi milili hata baiskeli

Home nna mabuti mengi
Mi si napenda vikali
We ukivaa buti la Jeje
Navaa buti la gari

Kama hunitaki sikutaki yaani
Sitaki watu feki
Naounguza resi kama kudunda nadunda
Kama kitenesi

Huwaga napiga badi wanaojifanya
Wamepinda
Nimegundua sketi nyingi hapa mjini
Hazina marinda

Shemeji usintenge mi uzalendo
Utanshinda
Maana mi ndo yule mtoto
Amezaliwa amedinda

Hawa jamaa wananiogopa utasema
Nimevaa mabomu
Wanaimba saresare sa si wavae unifomu

Watu wanaogopa maradhi hiyo ndo
Bongo Dot Com
Yaani mpaka hodi wanagonga na
Kondomu

Hey lord niko mbele yako napiga goti
Sipigi bebe sipigi picha
Sipigi makofi
Am hot sema nahitaji sana makofi
Maana juzi kuna mwanga mtaani
Kaniomba tochi

Binadu si mmea ila akilala anaota
Huo ndo ukweli na siwezi kuongopa
Akitoa mchanaji ambaye atachana
Hadi nkaogopa
Ntatembea uchi kuanzia Ilala
Mpaka Posta

Kontawa – Mi Nachekaga Tu Mp3 Download

Also, Check out More Hits Song From Kontawa;

Leave a Comment