Aslay – Angekuona Lyrics
LYRICS

Aslay – Angekuona Lyrics

MP3 DOWNLOAD Aslay – Bado Mapema
Aslay – Angekuona Lyrics

Top-rated Tanzanian young star and Natamba hit songmaker, Aslay is back with a brand new banger titled Angekuona.

SIMILAR: Aslay – Hauna

Angekuona Lyrics by Aslay

Mhhhh iyee
Yani raha hata tukilala na njaa
Kila saa nakuona mpya mamy
Tena raha huku ninavimba kitaa
Unang’aa hata kwenye giza mamy
Basi tulia eh, kama maji kwenye mtungi baby
Nitakulea eh, ilimradi unipe heshima
Kama mbolea eh, nitatia ili unawiri sana
Nimekuzoea eh, ukiniacha itaniuma sana

Ohhh I wish angekuona maaamama
Angefurahi mama (maaaamaaama)
Eh mama yangu mama (maaamaama)
Angefurahi mama (maaamaaaama)

Ninavyomjua mama, angekupa vitenge
Tena bila hiyana na kikapu cha embe
Ana viwanja mama, angekupa ujenge
Na ukirudi kwangu, upate muogo wa jang’ombe
Umeondoka mama imekuja zawadi
Nabaki nalia nalia sina budi
Usije itupa mwana naogopa dhambi
Ila nakuombea ulale pema kwa God

Basi tulia eh, kama maji kwenye mtungi baby
Nitakulea eh, ilimradi unipe heshima
Kama mbolea eh, nitatia ili unawiri sana
Nimekuzoea eh, ukiniacha itaniuma sana

Ohhh I wish angekuona maaaama
Angefurahi mama (maaaaaaama)
Eh mama yangu mama (maama)
Angefurahi mama (maaaaaaama)
Mama mama mama (maaaaaaama)
I wish angekuwepo mama (maaaaaaama)
Uko wapi mama, mama mama mama
Nakukumbuka me mwanao
Eh mama maaaama

Aslay – Angekuona Mp3 Download

More hit songs from Aslay;

Leave a Comment