G Nako Ft Diamond Platnumz – Komando Lyrics
LYRICS

G Nako Ft Diamond Platnumz – Komando Lyrics

MP3 DOWNLOAD G Nako Ft Diamond Platnumz - Komando
G Nako Ft Diamond Platnumz – Komando Lyrics

High-rated Tanzanian Hip Hop artist and a member of Weusi, G Nako came through with a brand new banger titled Komando, Featuring MTV EMA winner and WCB boss Diamond Platnumz.

SIMILAR: Nako, Jux, Jay Melody Ft Whozu – Pipii

Komando Lyrics by G Nako Ft Diamond Platnumz

Mhh…
(Yeah.!)
Waaraaa…h!
(Leo lion simba na zombi wa mazombi)
We zombie.. !
(Leo lion simba na zombi wa mazombi)
Haujui..!?
(Leo lion simba na zombi wa mazombi)
We zombie
(Leo lion simba na..!)
Na simba la masimba dangote

Omalicha, omalicha..!
Wowowo feki unatingisha
Unaona sifa, tu misifa
We endelea kuzigida utazilipa
We jifanye born hapa
(Mzaliwa)
Na chako tukikitaka
(Kinaliwa)
Wana…….
(Maziwa)
Japo fululu mi matter
(Unalia)

Kwanza poleni, poleni
Nawapa wote poleni
Nawatakia poleni
Nawasalia poleni
Ee, mlioachwa
(Poleni)
Mnaodai
(poleni)
Msio na baby
(Poleni)
Mkakojoe
(Kalaleni)

Komando, komando
(Waambie sisi ndio vipensi komando)
(Waambie sisi ndio vipensi komando)
Kanfuma na katoto katanga
Kamfuma kametoka na kanga ghetto
(Ehh..)

Kanfuma na katoto katanga
Kamfuma kametoka na kanga ghetto
Abah tiee..!
Abah wenah..!
Oh my queen
Nipe tena
Apa chini
Shuka tena
Ona nini.?
Unahema.!

Mchepuko leo nae kasalitiwa
Mke wa mtu sumu kuna maziwa
Maziwa na kutaitiwa
(Tiwa savage)
Umealikwa, umealikwa
We njoo na mpunga patakalika
Mashimo yote kanapita
Twende milima na mabonde panapitika

Kwanza poleni, poleni
Nawapa wote poleni
Nawatakia poleni
Nawasalia poleni
Ee, mlioachwa
(Poleni)
Mnaodai
(poleni)
Msio na baby
(Poleni)
Mkakojoe
(Kalaleni)

Komando, komando
(Waambie sisi ndio vipensi komando)
(Waambie sisi ndio vipensi komando)
Kanfuma na katoto katanga
Kamfuma kametoka na kanga ghetto
(Ehh..)

G Nako Ft Diamond Platnumz – Komando Mp3 Download

More hits song from Diamond Platnumz;

Leave a Comment