Kontawa Ft Billnass – Chegu Lyrics
LYRICS

Kontawa Ft Billnass – Chegu Lyrics

MP4 DOWNLOAD Kontawa Ft Billnass - Chegu
Kontawa Ft Billnass – Chegu Lyrics

Kontawa, the artistic alias of Abdu Hamid Said, a Tanzanian Bongo Flava recording artist, actor, and entrepreneur. Delighting his fans and music enthusiasts, he has recently unveiled his latest musical venture titled Chegu, Featuring Billnass.

SIMILAR: Kontawa – Wewe

Chegu Lyrics by Kontawa Ft Billnass

Me nachekaga tu !

Siku hizi wananiita chegu kama ujanijua
Hata nikifua dafu nahakikisha na kamua
Uko mtaani watu wananijua
Bingwa wa kukichafua
Nishawai kuchoma nyumba na kisu
hadi ikaungua

Eeeh Code zangu kama asake
muda wote naripuka kama bomu aaah
Oya watake wasitake
Napendeza hata nikivaa kondomu eeh

Me nilivo ukinipenda nakupenda
Na ukinitenda nakutenda eeeh
Nikiona chenga chenga
Wanangu wenye vibamia
kapikeni milendaaa

We usinijie kindezi utapata shida
Njia ya nyumbani kwangu ina miiba eeeh
Ukinichukulia barida nakulia bati
Mpaka tumbo linashiba

Eee ndo maana wananiita chegu chegue Vara
Nakichafua kama chegue chegue Vara
You better call me chegue uuh huu chegue Vara
Eeeh nakichefua kama chegue chegue Vara

Nenga !!!!
Nasitaki utani eeeh waulize wenzio
Wanajua nenga Nani eeeh
Me ndio master plan eeeh
Usije kwangu kupima Sina mzani eeeh

Oyaa pass me the rezlaah
Nikitulize kichwa
Na kama ukinyonga hakikisha ina filter
Jeshi la mtu moko nakalisha mtu Tisa
Na ukizingua sisafirishi na kuzika

Watalam wananiita chegue
Mbegu ilootoga kwenye mizizi
Nishaenda mpk milembe kisa love na machizi
Na hakitupwi kiporo anga hizi
Kwanza me nishauza godoro ili ninunue usingiz
Niko na sumu nyingi na Hakuna Panya kuwaua
Inashangaza kuona mnapanga kunipangua
Ulizia temeke wazee wa mapanga wananijua Ile
shaaa shaaa shaaa
Nakuchinja bila dua

Ndo maana wananiita chegue chegue Vara
nakichafua kama chegue
you better call me chegue chegue Vara yeeeeh
Nakichafua kama chegue chegue eeeh
chegue Vara

Kontawa Ft Billnass – Chegu Mp3 Download

Also, Check out More Hits Song From Kontawa;

Leave a Comment