Mbosso – Nadekezwa Lyrics
LYRICS

Mbosso – Nadekezwa Lyrics

MP3 DOWNLOAD Mbosso - Sitaki
Mbosso – Nadekezwa Lyrics

Once Caught in love in a hard place, Mbosso now finds himself in peace freed from confusion and guilt as his so-called “ex girlfriend” attempts to find her way back to his heart in ‘Nadekezwa’.

SIMILARMbosso – Tamba

Mbosso – Nadekezwa Lyrics

Hohohoo hohoo hoho
Hohohoo hohoo hoho

Hohohoo hohoo hoho
Hohohoo hohoo hoho

Salamu ulizo nitumia ah
Zimenifikia ah
Nipo salama hata usijali
Nalishwa vitamu
Vinono najilia ah
Biliyani yangamia
Penzi twadalikana poo kidali

Nimekusahau
Nakumbuka tu lako jina
Kidogo angalu
Umengoa mizizi sio kukatashina
Penzi wakapanda dau ah
Mjini baba pesa fitina
Mimi ukanidharau
Visenti haba mfuko umechina

Nando uwezo wangu ulipo ishia
Ningekupa nini tena
Kula yangu yakupapasia
(Hukumeza ukaatema)

Mimi sina gali
Ningekupa nini tena (ooohoohoo)
(Hukumeza ukaatema)
Eeeheeehee

Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… Nadeke…

Ndanimashamu shama mtoto kanikabiri ooh
Hadi na come come kuminambili arufajiri

Na nishamvesha nyota cheo chake kikubwa cha mapenzi
Kanijaza kanichota kanishika pabayaa

Nakutadharisha simu zausiku punguza
Unahatarisha penzi langu moto kuunguza

Nishakusahau nakumbuka tuu lako jina
Kidogo angaluu
Umengoa mizizi sio kukatashina
Penzi wakapanda dau anh
Mjini baba pesa fitina
Mimi ukanidharau
Visenti haba mfuko umechina

Nando uwezo wangu ulipo ishia
Ningekupa nini tena
Kula yangu yakupapasia {hukumweza ukaatema}

Mimi sina gali
Ningekupa nini tena (ooohoohoo)
{Hukumweza ukaatema}eeeheeehee

Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… Nadeke…

Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… Nadeke…

Mbosso – Nadekezwa Mp3 Download

Also, Check out More Hits Song From Mbosso;

Leave a Comment