LYRICS

Marioo – Mvua Lyrics

MP3 DOWNLOAD Marioo – Mvua
Marioo – Mvua Lyrics

A Tanzanian artist, singer and songwriter, Marioo has continued to impress fans with his unique style, soulful voice, and creativity. Over the years, he has released several projects that showcase his musical growth and versatility. His latest release titled Mvua was produced by Kimambo.

SIMILAR: Marioo – Dunia

Mvua Lyrics by Marioo

Mungu ndio mtaalamu
Mtaalamu wa kumatchisha
Ndomaana akaamua kunipa wewe eeh

Ona tulivyomatchisha
Ah Mungu, fundi
Dongo kalifinyanga
We mzuri hauna mapepe pepe
Nami magenta sinanga

Moja, mbili
Na tatu, namba zote za kwako
Mi kama maji mtungini
Sina makando kando

Baby mimi na wewe
Ni mtu na mtu wake eeh
Sifurukuti, siruki
Ndege ina mti wake
Mimi na wewe
Mtu na tamu yake
Nishapatikana, sijapatikana

Na kama inanyesha inyeshe
Ooo mvua
Mvua nyesha mvua
Huku nataka nikumbatiwe mimi
Mvua nyesha mvua
Ooo mvua
Mvua nyesha mvua
Unataka nipetiwe mimi
Mvua nyesha mvua, mvua

I wish ningekuwa na uwezo ni mjengee mama ake
Nyumba kali Mombasa
Mama mzaaa chema
Kaweza kaweza tena

Ningekuwa na uwezo ningemletea baba ake
Hata ka Verossa
Baba mzaaa chema kaweza

Mana ingekuwa mapenzi Safari, safari
Muda huu niko Kigoma mwisho wa reli

Oh baby mimi na wewe
Ni mtu na mtu wake
Sifurukuti, siruki
Ndege ina mtu wake
Mimi na wewe
Mtu na tamu yake
Nishajipata, sijapatikana

Na kama inanyesha inyeshe
Ooo mvua
Mvua nyesha mvua
Huku nataka nikumbatiwe mimi
Mvua nyesha mvua
Ooo mvua
Mvua nyesha mvua eeh
Unataka nipetiwe mimi
Mvua nyesha mvua, mvua

Marioo – Mvua Mp3 Download

Chek More Track From Marioo;

Leave a Comment