Mbosso – Merijaah Lyrics
Renowned Tanzanian artist and highly talented Tanzanian artist Mbosso returns with another soulful track titled “Merijaah”, from his newly released Extended Play (EP) project, Room Number 3.
SIMILAR: Mbosso – Tena
Merijaah Lyrics by Mbosso
S2kizzy baby
Jirani yangu, jirani yangu tumezoeana
Mlango wake, mlango wangu vinatazamana
Sukari kwake, chumvi kwangu tukaazimana
Akawa bf wangu, udugu wangu tukashibana
Mwisho tukapendana
Ooh meri merijaah
Kama ingekuwa ndoo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
Kama ingekuwa ndoo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
(Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah)
Mwambani mwambani eeeeh
Mwambani msuli na khanga
Wazania wazania eeheeeeehh
Waambie ndo tunayaanza
Ooooooooh
Ooh meri merijaah
Kama ingekuwa ndo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijah
Kama ingekuwa ndo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
(Oooh meri meri
Ooh meri merijaah)
Mbosso – Merijaah Mp3 Download
Also, Check out More Hits Song From Mbosso;