CHOMBEZO

Ep 02: Nipe Nikupe

Nipe Nikupe Sehemu ya Pili
Nipe Nikupe Sehemu ya Pili

IMEANDIKWA NA: HAFIDHI J IKRAM

*********************************************************************************

Chombezo: Nipe Nikupe

Sehemu ya Pili (2)

Nikiwa najishauli ya kwamba nimfate nipe nikupe au niende town kuwashughulikia hao wapumbavu nikapata jibu ya kwamba niongozane na mama hadi town niweze kumsaidia kila hatua atakayo itaka kuifanya,

nikawai kwenda kuchukua kuchukua vitu kazaa chumbani kwangu nikatoka na kuwai stende, nikasikia naitwa na Azizi “oyaa kaka Hafidhi, nikasimama na kugeuka niweze kumsikiliza anasemaje akaja mpaka pale nilipo simama na kuniuliza,

“vipi ndugu yangu naona begi kubwa nini ya wapi hiyo?”

“naenda town mara moja, “mbona safari ya gafla hivyo vipi kwema kweli huko uendako?”

Azizi bwana embu acha maswali yako ya kitoto wacha mimi niende nikaagana nae na kusepa zangu nikafika nikiwa nakaribia stendi nikakutana na Rukia akiwa analudi kutoka stendi nikajuwa bila shaka kamuacha mama stendi

nikampa hai na kumuuliza “samahani binti kama nilikuona kuna mtu umeongozana nae hivi?”

“ndio niliongozana na mama yangu mdogo yeye anaenda mjini, “oky ndio umemuacha stendi au?”

“hapana sijamuacha stendi yeye kashapanda gari tayari keshaondoka, nikajishika kichwa na kuhofia moyoni mwangu isije kuwa nipe nikupe kazuga tu pale baada kuniona mimi hata kumuaga Rukia sikukumbuka nikatoka mbio huku nyuma akibaki kushangaa tu nikaingia nyuma ya nyumba flani hivi na kukata shauli je ningojee basi lingine au vipi kama nitapanda basi lingine itakuwa ngumu mimi kumlinda mama iwapo Nipe nikupe akamrudia pale nikajigeuza nipo ndani ya pikipiki na kutoka nayo speed ya ajabu sana baada kufika mavuji tu nikailiona lile basi ambalo mama ndio yupo ndani yake nikajiuliza je niingie kwa style ipi?

nikaamua kulipita kwanza cha ajabu mbele nikaona wadudu aina ya vibwengo wametanda balabalani nikamtupia jicho dereva wa lile basi na kumuona kashadata kutokana na kile alicho kiona na kuanza kuyumbisha gari nikajuwa hapa ni kifo cha kupangwa tu kwa ajili ya mama yangu nikamnyooshea kidole machoni yule dereva asiweze kuona chochote mbele yetu na kuliweka gari katika njia yake maana abilia walishaanza kupiga makelele ya tunakufaa!!!,

nikatema moto mzito sehemu ile waliyotanda wale vibwengo wakatawanyika na kuanza kukimbizana nikatema cheche tena na kuacha njia gari ipite hakuna aliyeweza kuona mpambano ule wa aina yake,

zaidi ya mimi na vibwengo wale hakuwa kazi kubwa sana ndani ya dakika kama nne hivi kila kitu kikawa sawa nikachanja mbuga kuwai mbele kufika kilwa masoko nikajigeuza ni mtu wa kawaida tu

nikiwa na begi langu kuubwa

nangojea basi huku nikiwa nimetupia viwalo vya maana mwilini

nahisi kila mmoja alinitizama mimi

na kujiuliza “cheki tozi nyangema yule duhuu, nikiwa nachezea smart phone yangu aina ya Apple,

gari likafika maeneo yale nikapanda nikiwa kama abilia wa kawaida ila nilipoingia ndani ya gari hali ya hewa ikabadirika gafla si deleva konda wala abilia wote wakabaki kunikodolea macho mimi tu sikujali sana nikasimama maana gari ilikuwa imejaza abilia nyomi

“wee kaka samahani kama hautojar njoo nikupakate, ni sauti ya binti moja hivi mrembo wa haja nikawa nasita kwenda yani mimi nipakatwe na mwanamke mmh! hayo macho sasa, “wee kaka si unaitwa na mwenzio kule, ni maneno ya mama akiniambia bila kufahamu ya kwamba mimi ni mwanae na nipo hapo spesho kwa kumlinda yeye tu,

kuna njemba moja akasema “kama hataki nipakate mimi akaenda kumkalia yule binti, “staki naomba utoke unanuka kikwapa nyanyuka bwana,’ yule brother akawa m bishi kunyanyuka japo binti anamsukumiza atoke mapajani kwake nikaona isiwe shida sana

nikaenda na kumwambia jamaa

“naomba unyanyuke nikae muhusika mwenyewe,’

“wee boya nini si uliitwa ukae ukadengua kama shoga hapa sitoki, laiti angejuwa au kufahamu mimi ni nani nahisi angetamani hata kuruka kwenye buss, nikaamua kuachana nae baada washikaji flani kuingilia ile ishu

kwa kumwambia “wee mshamba embu inuka mapajani kwa Dada yangu tusije kukutoa sadaka ya mashamba yetu,’ jamaa kiunyonge akanyanyuka na kumuacha binti wawatu akipumua

nikamsogerea na kumuuliza

vipi je naweza kukaa mimi?”

akanitizama kisha akatabasamu na kunijibu “kaa tu, nikamwambia si vizuri mwanaume kupakatwa anacho takiwa apakate kwahiyo nyanyuka nikupakate mimi, basi akanyanyuka toto figa figa ingekuwa enzi zangu nishabofya kitambo

nikakaa akaja kunikalia mmh mkomboti wangu ukaanza kupiga stata kila dakika inavyo yoyoma mimi nazidi kuwa hoi taabani hasa gari ikipita kwenye vishimo au matuta hivi ikidunda binti akawa anapetwa petwa na kujikuta anazidi kulikandamiza dudu langu mpaka likatamani kuchana zipu afakamie pango gafla buss

likafunga break huku abilia wakipiga kelele

tunakufaa!!!!!

wengine Mungu wangu!!!!! weee

Kitendo cha buss kufunga break gafla mpaka watu tukayumba yumba na kujikuta mimi na yule binti tukigusana lipsi zetu maana alinikumbatia asiweze kudondoka vilio vikasikika “tunakufa!!! eee Mungu baba!!!

maana buss likawa linayumba tu, nikazidi kukumbatiana na yule binti wakati nilitakiwa nitoe msaada mwisho gari ikasimama yani ile break ilikuwa kama ya trean kila mmoja akavuta pumzi zito kwa kuweza kunusulika kwa ajali ile pasipo kufahamu nini chanzo yule binti baada kutoka maungoni mwangu ndipo nikapata ufahamu ahaa kumbe namlinda mama,

nikanyanyuka faster na kumcheki mama si nikakuta siti aliyokaa ipo tupu khaa! nikanyanyuka nikiwa nishadata na kucheki dirishani nikapumua kidogo opsii, baada kumuona mama akiwa na baazi ya abilia wameshuka wakiwa wanaenda mbele sijui kufanya nini?

nikatupa macho vizuri na kuona kama mtoto hivi akiwa amelala barabarani huku damu zikimvuja kwa kitendo cha faster nikapima darubini yangu ya

macho nikagundua kumbe

yule ni mtoto ndio ila kategwa

pale awe kama chambo tu,

nikajikuta nasema “hapana!!!

msimguse huyo mtoto rudini tuondoke haraka sana!!!

kila mmoja akageuka kucheki kule

sauti yangu inapotokea kabra hawajafanya

chochote wakajikuta wamezungukwa

na kikundi cha maninja sema maninja hawa mikononi

wamebeba SMG na mapanga wakaja kulizunguka buss

na kujikuta wale walioshuka na na sisi tuliobaki kwenye gari tukiwekwa

chini ya ulinzi,

binafsi sikutaka kufanya chochote

nikahitaji kuona nini watatufanyia

majambaika haya,

mmoja wao akaamrisha kwa sauti ya kibesi “shuka!!!shuka!!! nyinyi panya buku kenge blue!

yani ukileta ubishi unapigwa panga moja tu kwa kutumia ubapa nikashuka huku nikiwa nimeweka mikono kichwani

tukaamrishwa tusonge mbele kwa kuingia porini “tembea wewe acha kutizama nyuma tukazidi kusongeshwa mbele zaidi nikawa najiuliza wanatupeleka wapi na je lile buss si litakutwa pale barabarani au?”

safari ikawa ndefu kidogo hatimae tukajikuta tunaingia kwenye kambi yao kuna watu wana sura ngumuu baada kufika tu kuna jamaa mmoja akaja mbio na kumnyanyua yule binti mwingine akaja kumnyanyua mama nikaweza kufahamu wanaenda kubakwa

dadeki umbake mama yangu Mimi

ogopa sana hii ikawa purukushani kwa kila mwanamke aliye bebwa, “niachee stakii!!! niacheni!!!!

nikacheza show moja ya kibabe zaidi

kwa kumshika ninja mmoja nikamtupa mbaali akaenda kujibamiza kwenye ukuta na kupasuka vipande vibande

yule jamaa ambaye alikuwa

analeta ubishi kwa kumkalia yule binti

kwenye gari ndio akaonekana

yeye ndio kafanya kitendo mile

ajabu hii kitendo bile kuchelewa wakamzunguka na kuanza kumtika mapanga amini usiamini jamaa akawa na nguvu za ajabu sana na kujitahidi kupambana mwisho akachoka na kupiga goti chini damu chapachapa “ili iwe fundisho kwa majinga kama hawa kila atakaye jaribu kupambana nasi lazima au mie kwakuwa kamuua mwenzetu nae hana budi kufa, ni moja kati ya maneno kati ya wale maninja,

jambia likainuliwa juu kwa ajili ya jamaa kuchinjwa nikainuka faster na kwenda kumpushi yule mchinjaji yani nae akarushwa mbaali na kupasuka vipande vipande hapo sasa ikawa ngoma inogire wakanizunguka mimi kumbuka wakati wa uhai wangu kupambana hivi ni kitu cha kawaida kwangu

ila sasa nimechanganya na nguvu za kuzimu ni sawa na kunywa maji tu

kuna wakanivamia basi kila alienigusa kwa upanga au jambia akajikuta anajichinja mwenyewe au kujichomeka nalo tumboni nikawasha moto zaidi kwa kuwatemea cheche za moto, nayafanya yote hayo nikiwa nishawapa hali ya sitofahamu abilia wote wasiweze kuona kama natumia nguvu za kijini wao wakawa wakiona napambana kiume tu ndani ya dakika kama kumi hivi kila kitu kikawa shwali

kila mtu alinipa pongezi kwa kazi nzuri niliyo ifanya tukaongozana kurudi kwenye buss cha ajabu pale tulipo liacha halipo sasa limepelekwa wapi?

ni swali ambalo kila mtu akabaki kujiuliza na kukosa majibu tukaanza kulisaka kwa kufata hatua za matair ya gari kwa bahati nzuri tukaliona deleva akapanda na kuchochea moto kila mmoja akaomba dua kwa imani yake maana dahaa

majanga matupu yule kijana aliyetaka kuchinjwa kusema kweli damu nyingi sana zilimvuja kuepusha asije weza kufa kwa kupoteza damu zaidi nikajifanya kutoa dawa flani hivi ndani ya begi nikaanza kumpaka paka haikuwa dawa ya kawaida bali ni kitu kutoka kuzimu ikawa inaziba majeraha na kuirudisha damu yake kimtindo tu

baada kumfanyia vile nikamuacha apumzike kwenye kiti akiwa hajitambui kabisa nikamcheki mama nae akanitizama na kutabasamu kila abilia alikuwa na furaha

buss baada kufika kimanzi chana ikabidi tumuwahishe jamaa hospital tukatoa maelekezo kituo cha police kitendo bila kuchelewa wakapanda kwenye defender zao na kuelekea eneo la tukio baada ya hapo tukaingia kwenye gari safari ya kwenda mjini ikaendelea mpaka tunafika mbagala rangi tatu yapata saa kumi na moja jioni kila mmoja abilia wote tukashuka nikabaki kushanga shangaa jiji la dar es salaam jiji la gharama watu wake hawaishi kulalama ukishindwa utahama,

nikiwa bado natafakar niende wapi wakati nimekuja kumrinda mama nikaja kuguswa begani nikageuka ni yule binti “mambo?”

poa tu niambie naona ndio tunaachana hapa,

ndio hivyo kwanza ningependa kufahamiana nawe mi kwa jina naitwa Swahumu naishi yombo vituka sijui wewe mwenzangu?”

“mmh! mimi naitwa geofrey naishi ilala bungoni, “ohoo una jina zuri sana kama ulivyo wewe mwenyewe, “silishindi jina lako nikiwa bado naongea na yule binti nikaweza kumuona mama anagombania kupanda daradara kama ujuavyo mbagala time za hasubuhi na jioni shida

tupu nikastuka baada kumuona

kijana mmoja hivi akichomoa kitu kutoka kwenye kipochi cha mama nikafahamu bila shaka ile ni simu tu

nikanyoosha kidole kumstua mama ya kwamba unaibiwa akageuka kama jinamizi vile na kumkwida yule kibaka na kuanza kumtia makofi huku akimuitia kelele za mwizi na laiya wa sasa hivi town hawana dogo wakamuungia tera na kuanza kumshushia kipondo moyoni nikaingiwa na huruma baada kuona jinsi kijana yule anavyo pigwa na siraha za kila aina kuna mwanamama akatoka mbiio huku akipaza sauti kwa kusema “pisheni!!! pisheni!!! watu wakapisha mkononi kabeba kalai la mafuta ya moto akaja kummiminia yule mwizi dahaa

ni maumivu kwa kiasi gani anayo yapata akawa anababuka kila maeneo ya mwili wake kama haitoshi wakamvisha pira na kummiminia petror kibiriti kikawashwa na kutupiwa yule mwizi akawa anawaka moto nikahisi maumivu makali sana moyoni mwangu kwa jinsi yule mwizi anavyo piga kelele ndio ni mwizi je adhabu aliyo pewa anastahili kufanyiwa hivyo nikaona hapana!

nikanyoosha mikono juu na kuishusha vua kubwa ya mawe ikiambatana na upepo mkali watu wakaanza kukimbizana huku na kule nikajifanya na mimi kwenda kujibanza kwenye kiduka flani hivi na kuona kila mmoja anachezea cm yake

“hallo!! kaka vipi huko buguruni vua inanyesha au?” akajibiwa upande wa pili hapana huku pako shwari tu hata wingu hakuna, “ee bwana ee huku mbagala kuna bonge la vua ya mawe,

nikamtizama mama

simuoni kumbe kashapanda gari na kuondoka zake nikacheki kwenye kiganja cha mkono

niweze kufahamu je kwa sasa yuko wapi kucheki nikastuka baada kuona siti aliyo kaa mama kuna mtu pembeni yake si kiumbe cha kawaida nikaizima ile vua na kumpoteza yule mwizi kimazingara nikatoka mbio mpaka kwa madereva boda boda na kumwambia je anaweza kuniwahisha kinondoni mkwajuni maana ndio sehemu wanapo ishi wazazi wangu nikaitaji kuwai kabra kile kiumbe hakijafika ndani ya nyumba hiyo,

“Oyaaa kimbiza pikipiki hiyo mbona speed ndogo hivyo, “ahaa brother hii sio ndege bwana mbona tuko mwendo kasi hapa, binafsi nikawa na kitete sana moyoni mwangu hakuna kitu kibaya kama kumruhusu yule jinamizi aweze kuingia kwenye nyumba ya wazazi wangu kwani itakuwa hatari kuliko moto wa petroleum japo speed ya boda boda ilikuwa kubwa kwangu niliona kama mkokoteni tu,

nikajikuta namwambia yule kijana wa pikipiki “kama huwezi kuendeesha kwa speed nikabizi mimi, akafunga break na kunitizama kwa macho yake mekundu bila shaka atakuwa anavuta bange nikajisemea moyoni nikizubaa hapa na huyu bwege nitamkosa mama,

nikafanya tukio ambalo hata yule kijana hakuamini baada kumsukumiza na kuondoka na pikipiki kuna baazi ya madereva wa pikipiki wakaniungia tera kwa kunikimbiza kusema kweli kila nikichochea moto nao hao, kufika ilala boma kuna msururu wa magari yani hiyo foreni si yakitoto kibaya zaidi upande ninao tokea mimi huku uwanja wa taifa kitendo cha faster nikachenji pikipiki na kuichukua yangu, kama ushawai kuicheki muvi flani hivi ya jann dushman ni yaki hindi utakuwa umenipata hiyo pikipiki imetokaje nikapita kama upepo trafik akaruka kama kule na kuacha hali ya mshangao maeneo yale,

mpaka nafika magomeni hospital sikuweza kuliona gari alilo panda mama nikacheki kwenye dira yangu kumbe lipo mbele yangu tu nikamcheki mama kwenye ile gari hayupo khaii nikazidi kuscani niweze kumsaka hii kumbe yupo kwenye bajaji,

mbona majanga nikaja kutambua yule jinamizi kashamuingia mama mwilini anamperekesha anavyo taka yeye ndio kamsurutisha ashuke kwenye coaster apande bajaji ili wawai mapema wakati some time bajaji inakaa katika foreni nikaifikia ile bajaji,

nikaweza kuifikia ile bajaji nikawa nayo beneti zaidi huku nikimtupia jicho mama akiwa anasinzia sinzia nikapata akili ya kwamba niwai mimi kufika nyumbani kwa wazazi wangu nikaipita ile bajaji na kuzidi kusonga mbele zaidi nikafika kinondoni mkwajuni sikupata shida kuifahamu nyumba yetu iko wapi nikajibadirisha na kuwa kimjusi nikatambaa na ukuta wa nyumba mpaka nikatokezea ndani nikaenda getini na kutega mtego wangu,

mama akifika pale atapita kama kawa ila lile jinamizi litanasa nikazama nikaweza kusikia mighuno ya kimapenzi ikitokea chumba kimoja wapo ndani ya nyumba ile nikiwa vile vile mjusi nikaingia ndani ya chumba hiko nilicho kiona nikabaki kutoa macho tu, ni baba yangu mzazi anafanya kitendo cha kumsariti mama why?”

nikajigeuza faster nikajivika katika umbo la mama na kufungua kitasa cha mlango nikatoka kwa nnje na kujifanya nausukumiza mlango baba na yule mwanamke wakastuka na kuangalia kule mlangoni wakabaki kuduwaa tu nikakaza macho na kuanza kudondosha mchozi na kusema “yani siamini kama unaweza kunitendea unyama kama huu yani nimeeondoka juzi tu leo hii unaingiza mwanamke ndani tena juu ya kitanda changu unafanya unyama kama huo,!!!

kwa sauti ya kubabaika baba akatamka “hapana!! mke wangu ni shetani tu kanipitia nisamehe mama Hafidhi,’ “hapana siwezi kukusamehe kwa hili mangapi mabaya umenitendea unakunywa mipombe yako bange unavuta nikikwambia acha unanipiga ukaona haitoshi umeamua kuzini nnje ya ndoa bora huo uchafu wako ungeufanyia huko sio kwenye kitanda changu mimi,

nikamtupia jicho yule binti na kuweza kuusoma wasifu wa maisha yake maana mzimu una uwezo wa kufahamu kila ulicho kifanya nikamtolea sauti ya ukali “wee!!! malaya mkubwa mshezi sana mpumbavu wee usiekuwa na haya naomba upotee haraka sana ndani ya nyumba yangu huku akitetemeka akatoka na viwalo vyake mbio ile anatoka tu akapishana na mama,

mama akajikuta anajisemea “mbona Habiba yuko mbio vile anatokea wapi?” akabaki kusikitika tu nikamwambia baba nimekusamehe kwa kitendo ulicho kifanya iwapo utaniahidi kufanya hiki nitakacho kuomba, huku akiwa kapiga magoti kwa kuomba msamaha akasema “ndio mke wangu nipo tayari kufanya chochote kile uniambicho niambie hata sasa hivi nitatenda,

“kwanza kabisa uache kunywa pombe na kuvuta bange kingine urudi kazini kesho yake hasubuhi haraka sana mwisho kabisa mwili wa mwanetu Hafidhi mdogo ufukuliwe haraka sana,

sawa mke wangu nimekusikia nitafanya hivyo, jamani usiombe kufumaniwa ni shida sana unakuwa mdogoo kama kidonge cha pilitoni vile nikafahamu mama ndio yupo getini anaingia usiku saa mbili sasa nikatoka ndani ya chumba na kujigeuza njiwa nikapaa na kwenda kukaa juu ya geti kama nilivyo panga mama akapita ule mzimu au jinamizi likabaki pale pale getini,

sikutaka kufahamu kitakacho endelea ndani nikashuka kutoka juu ya geti ule mzimu ukastuka baada kuweza kuniona mimi nikamshika na kusepa nae safari moja kwa moja mpaka daraja la sarenda nikatua hapo na kuanza kumuhoji “wewe ni nani?”

“naitwa figisu,

“ahahaha unaitwa figisu unatokea wapi?”

kikanijibu nyodo kwa kusema natokea utotoni, nikamshika na kumminya zaidi kwa kumuunguza na moto akabaki kupiga kelele nimuache, “aiiii!!! inaumaa!!!

“ukitaka nisikutese na nikuache ukiwa mzima nijibu maswali yangu kiufasaha staki upindishe swali hata moja, “sawa mkuu niachie basi!!!

nikamuachia na kumuuliza “eheee unatokea wapi?”

“natokea handeni, “handeni ndio wapi?

“ni tanga, “oky sasa kwa nini ulikuwa unamfatilia mama yangu?”

nilitumwa na mkuu, “mkuu wako ni nani na yuko wapi kwa sasa?”

akashindwa kujibu swali hili nikamshika tena na kuzidi kumuunguza akapiga kelele tu “niachee!!! nikutajie mkuu wetu ni Nipe nikupe, baada kutaja jina la Nipe nikupe nikajikuta namuachia haraka sana na kusema “shit! pumbavu zake huyu mwana haramu kumbe kote kote yupo nikiwa nimegeuka nikasikia kivumbi tu nyuma nikageuka kucheki kumbe kile kimzimu kinakimbia kwa kupaa juu,

nami nikapaa na kuanza kukakimbiza ni kiumbe kidogo sana kwangu ila ni hatari kwa maisha ya wanaadamu kusema kweli kina mbio kama kishada tukajikuta tunatokea bahari ya hindi akajitosa kwenye maji ya bahari nami nikazama humo humo ndugu mpenzi msomaji iyache bahari iitwe bahari ndani yake kuna viumbe vya ajabu sana

tukawa tukikimbizana kupitia balabala za majini huku tukikoswa koswa kugongwa na magari mwisho tukafika sehemu akaingia kwenye mjumba mkuubwa wa gorofa hivi kabra sijachukua uamuzi wa kuingia ikaibuka midudu aina ya Godzilla inawaka moto nikarudi nyuma kwanza niweze ku fightng nikajivuta nyuma zaidi na kuanza kujibadirisha nikawa Godzilla mkubwa zaidi yao sasa vita vikaanza chini ya bahari ikawa patashika nguo kuchanika nikapambana yani nang’ata natikisa natupa kule vile viumbe vibishi hivyo mpaka kero na wao wakazidi kujibu mashambulizi cha ajabu gorofa linatembea ndio nishaona vitu vingi vya ajabu ila sio gorofa kutembea bwana kama uchawi huku majini kumezidi baada kupambana takribani maasaa 6 hivi hali ikawa shali ila tumeleta maafa makubwa kwa viumbe wengine kama samaki n.k nikaibuka kutoka chini ya maji na kupanda juu nikaona hali ya sitofahamu coco nzima usiku ule imechafuka kwa samaki waliokufa na kusikia sauti za walio jeruhiwa wakiomba msaada “ehee Mungu baba saidia mimi kiumbe chako niweze kurudi majini nisije nikafa hapa angali nina watoto nawanyonyesha ni baazi ya samaki mmoja akiongea

hivyo nikasimama na kupuliza upepo mkali sana vitu vyote vikarudi majini hali ikawa shwali

nikatoka na kuingia kwenye ukumbi wa coco siku hiyo kulikuwa na wasanii wakitumbuiza sijui kina j.t na nyimbo yake ya kidato kimoja kuna Mr blue yani wengi tu nikaweza kutambua katika umati ulio jazana mule kuna mchanganyiko wa viumbe yani binaadamu na majinni kama jamaa mmoja anayanyonya matiti ya binti mmoja wa kijini kufahamu akizani binaadamu mwenzie nikajikuta naguswa begani kucheki ni muhudumu akaniambia huku akininyooshea kidole “samahani wee kaka unaitwa kulee, nikacheki sehemu ambayo naitwa macho yangu yakagongana moja kwa moja na binti mrembo matata sana nikajinyanyu na kumfata kitendo cha kufika likasikika zinga la yowe kutoka kwa yule Dada aliye niitaa “mama weee!!!

nakufaa! akaenda chini

Nakufaa yule mwana dada akaenda chini huku akiwa anavuja damu tumboni nikaona mpini wa kisu ukiwa una ning’inia tumboni kwake nikainama faster na kukichomoa kile kisu huku akiwa anagugumia kwa maumivu hata aliye mtendea kitendo kile sikuweza kumuona ni nani na kwa nini kamchoma kisu mrembo kama huyu nikiwa bado nimeinama nikajikuta nashikwa na kutupwa mbaali na kudondokea kwenye meza ya vinywaji nikainuka haraka sana kumcheki aliye nifanyia kitendo kile dahaa ni mmoja kati ya majini akiwa kainama na kuinyonya damu ya yule binti kusema ukweli ndani ya ukumbi hali haikuwa shwari ni mkimbize mkimbize kuwai kutoka nnje wakati walioko nnje wakatamani kuingia ndani kuja kushuhudia kunani mbona vurugu,

nikaenda kwa kasi na kumzoa yule jini nikam bamiza ukutani akabaki kuganda tu kutoka hawezi nikamnyanyua yule binti na kusepa nae nikaenda nae moja kwa moja mpaka hospital ya taifa muhimbili na kukuta madocto na manesi wameuchapa usingizi wakati pale four hours 24 inakuwaje wana lala kizembe hivi si kuna shift au vipi?

nikanyanyua mdomo wangu na kutoa sauti ambayo kila mmoja akastuka kutoka usingizini kama una ndugu yako yupo ICU andaa turubai tu maana ile sauti itamuuwa tu,

wakaja kunipokea mwili wa yule Dada moja kwa moja akapelekwa wodini nikabaki kusubili huku nikiwa situlii tulii binafsi japo mimi ni mzimu ila nina roho ya kibinaadamu pia

kila nikimuona doctor au nesi akitoka nasimama na kumuuliza vipi anaendeleaje?”

mara nyingi huwezi kupata jibu la moja kwa moja zaidi ya kuambiwa subili kwanza,

nikawa nimekaa kwenye bench na kucheki jinsi watu walivyo laliana katika hospital ile amini usiamini usingizi ukanipitia hata sisi mizimu tuna lala ikumbukwe ya kwamba katika jamii tunayo ishi vitu vingi sana binaadamu wanashare na majini au mizimu kuoga kula swala la mapenzi n.k

nikaja kustuka baada kusikia sauti ya kama mtu anafagia hivi nikajinyanyua kisha kupiga miyayo kazaa ila nikahisi pembeni yangu kuna mtu kani simamia nikageuka kumcheki ni bibi kakunja ndita na kunikazia macho vibaya mno baada kutizamana akaniomba nimfate,

nikamfata kikawaida tu baada kufika sehemu ambayo pako kimyaa hakuna watu watu akaniuliza, “wee Hafidhi hivi unaujuwa wajibu wa kazi uliyo tumwa au?”

“ndio bibi naujuwa! “kama unaujuwa sasa mbona unafanya kazi ambazo ziko nnje ya makubaliano yetu kule kuzimu?”

“ndio bibi nafahamu kwani vipi mpaka unaniuliza hivyo?”

huku dar es salaam umekuja kufanya nini?”

“huku nimekuja kumlinda mama yangu!

“aliye kwambia wewe una mama hapa duniani ni nani?”

“ina maana yule sio mama yangu sio?”

“sikia nikwambie kitu Hafidhi kila dakika unazidi kuwapa gadhabu wakubwa wa kuzimu kazi uliyo tumwa ni nyingine wewe umekuja kufanya nyingine sasa basi tambua usipo jilekebisha tabia yako mizimu

itakutenga,

baada bibi kusema vile akapotea kabra ya kusikia naitwa

“wee kaka!!! nikageuka kucheki naitwa mimi au,

nikamuona nesi wa kike akiniita nikaenda kumsikiliza akaniambia naitajika chumba cha doctor

hata hakunielekeza wapi nikaondoka moja kwa moja mpaka ndani ya chumba hiko nikabisha hodi na kumkuta mzee wa makamu hivi amekaa akiwa ametinga koti lake kuubwa jeupe na miwani ya macho shingoni kaning’iniza kidude cha kupimia joto

nikakaa kwenye kiti na kupeana nae salamu

“kwanza pore sana kijana,

“hasante doctor!

“kwanza napenda kukwambia ya kwamba hari ya mgonjwa wako sio mbaya sana

usiku kucha tulijitahidi katika kutibu jeraha lake na chakushuru ni kwamba kisu alicho chomwa hakikugusa utumbo time a kulishona jeraha lake,

shukrani doctor tena hasante sana huku nikimpa kiganja cha mkono tena akanipokea

“hivi katika tukio kama hili japo limetokea usiku sana je ushatoa taarifa police?”

“ndio nishatoa na maafande wapo nnje hapo ngojea niwaite,

“sawa waambie waingie maana hili tukio si la kawaida kijana wangu usije jikuta unaingia matatizoni bure,

kuna maneno nikayasema

moyoni na kutengeneza

maafande wa uwongo kama watatu hivi kisha nikatoka nikafungua mlango na kujifanya nawaita

“afande Nyemo, mnaitwa hofisini kwa doctor basi wakaingia wakiwa nazifu maana hata doctor alipo waona ikabidi asimame kwanza basi tukahojiwa pale na kutoka kwenda kumuona mgonjwa nikampa pumzi aweze kuongea akatoa maelezo yote akawataja baazi ya watu anao hisi ndio wamemtendea unyama ule akataja na familia yake kwa ujumla

baada kuandika andika baazi ya maelezo wale

maafande vivuli wakaondoka

nikaenda kwanza kupiga cm kwa familia ya yule binti maana usiulize number zao nilizitoa wapi kama robo saa hivi magari yaka jazana kila aliyekuwepo kwenye gari akashuka mbio mbio na kwenda mapokezi nikatabasamu na

kusema,

“shukrani sana Cristina nazani ushapata msaada wacha mimi niende zangu nikajongea mpaka wodi aliyo lazwa Christin kupia nnje ya mlango nikamtizama

kwa ndani na kuona jinsi ndugu

zake hasa mama yake akilia

nikamsikia baba yake akiuliza

“doctor yuko wapi huyo kijana aliye msaidia mwanangu kumleta hapa?”

akamjibu “yupo nnje huko,

“embu twende nikaonane nae!

wakiwa wanajiandaa kutoka nnje nikajivika kivuli sitoweza

kuonekana na mtu wa kawaida

hata kidogo wakatoka nnje na kuanza kunitafuta kila kona hawanioni mwisho doctor akasema “labda atakuwa katoka kwenda kunywa chai maana muda mrefu tu alikuwa pale amekaa,

Nikasepa zangu kwa kupanda daladala ya tandika muhimbili nia na madhumuni kwenda kumuangamiza mmoja kati ya wale walio mmbaka Rukia kazi yake kubwa ni deleva tax na huwa anaipaki pale k/koo sokoni

nikiwa ndani ya daladala nikaweza

kumuona mtoto mmoja

kusema kweli hakuwa ni

mtoto wa kawaida ndio maana kuna msemo.mmoja ya kwamba waarabu wa pemba hujuana kwa viremba ndio

ilivyo kwa sisi mizimu

popote tunapo kutana

tunajuwana tu nikabaki kumkodolea macho yule mtoto akiwa kashika kitu kama mguu wa kuku hivi anakula kwa macho ya kawaida utaona mguu

wa kuku ila haukuwa mguu wa kuku ni kiganja cha mtoto mchanga nikafahamu itakuwa katoka muhimbili kuchukuwa

nyama kati ya maiti moja

ya mtoto mchanga tu,

konda akafika kwangu na kunidai nauli nikajisachi sina na

kujikuta namwambia

brother samahani nimedondosha wareti yangu,

“wee usinitanie kabisa boya wewe naenda nyuma kudai pesa nikirudi

niikute pesa yangu mtoto wa malaya wee!!!

akapita kwenda kudai siti za nyuma kile kitoto kikawa kina nicheka na kuniambia nifanye mambo

basi nikatabasamu baada

kufahamu nini anataka nifanye mwisho konda akarudi kwangu ile kufika tu nikajisachi tena nikatoa

wareti ikiwa imetuna pesa akasema

“ahaa kumbe wee jamaa pesa unazo ulitaka kunizingua tu nikampa noti ya shilling elfu kumi

akajisachi atoe chenji akaanza kubabaika huku akijisachi kila kona, yule dogo anacheka mbavu hana unajuwa tumemchezea mchezo gani konda niambie kwenye comment yako,

Konda akazidi kujisachi mpaka kwenye chupi ikabidi amuulize dereva wake “oyaa Seba kaka zile pesa ulinikabizi kweli?”

“pesa zipi Chollo?”

“zile za makusanyo ya jana, “ndio nimekukabizi kwani vipi?”

kwa sauti ya kubabaika konda akajibu “amini usiamini mwanangu nimepigwa changa la macho dahaa,

“Chollo unasema?” dereva akajikuta anafunga break ya gafla na kumgeukia konda umesema huzioni?”

ndio kaka, “unajuwa Chollo acha uboya ndugu mafao ya jana hatujapeleka afu unasema huzioni, konda akashindwa kujibu kitu akabaki kujiuliza maswali mengi tu,

imekuwaje pesa zipotee gafla wakati alikuwa nazo, kuna baazi ya abilia walikuwa wanadai chenji zao “oyaa konda chenji yangu nimekupa elfu kumi na mimi konda usinisahau nimekupa elfu tano, yule mtoto akabaki kucheka maana alichokuwa anataka nikifanye nimefanya hata mimi nikabaki kutabasamu tu si kaniita mimi mtoto wa malaya tuone

sasa mimi na yeye nani mtoto

wa malaya konda akawa mnyonge kama kifaranga kilicho mwagiwa maji vile

mzozo ukawa mkubwa kati ya konda na dereva maana hakumuelewa kabisa

“chollo acha uboya embu nikabizi hizo

pesa k****ma wee mshenzi nini!!!

wakakunjana huku abilia wakijitahidi kuwaamulia wengine wakidai chenji zao kwa ushenzi hata ile elfu kumi niliyo mpa nikaibeba baada kuiweka mfukoni tu

“nyie vipi bwana mimi hapa sina pesa zaidi niliyo pewa na yule jamaa tuu!!! kuna zinga la baba akamkunja konda na kumnyanyua juu huku akimwambia “wewe mpumbavu nahisi haunijui mimi nani nitakufanyia

kitu kibaya ohoo nipe chenji yangu usilete umama mama hapa konda

masikini akawa anapapatika

kama kuku kishingo vile

“wee baba embu muachie kwanza mwenzako utakuja kumuuwa ni sauti ya mama mmoja hivi kama ujuavyo k/koo watu kibao wakajazana kushuhudia songo mbingo lile

kwakuwa hatukuwa mbali na kituo cha policy msimbazi maafande wakafika haraka sana baada kusikiliza maelezo kwa abilia konda akavishwa pingu safari mpaka kituoni kuna

sister mmoja akawa analia baazi ya watu wakajaribu kumuuliza kipi kinacho mliza, akajibu ya

kwamba “nilimpa konda shilingi elfu kumi hakunipa chenji afu pesa yenyewe nime agizwa matunda ya mgonjwa!!!

wengine wakampa pore wengine wakamchangia changia tu mwenye mia tano au elfu moja japo haikutimia

yule binti akashukuru na kuondoka zake nikaingiwa na imani nikamfata yule binti nikiwa nyuma yake nikamgusa begani na kumwambia “samahani binti nimekuona pale unalia sijui konda hajakupa chenji yako je walivyo kuchangia ilitimia hiyo pesa?”

“hapana kaka yangu nimepata hii tu

huku akinionyeshea hizo pesa ni kiasi cha shilling elfu tatu tu nikaingiza mkono mfukoni na kumpatia elfu kumi hakuamini kama nampatia yeye

akabaki kusita sita kuipokea

nikamwambia “chukua tu dada yangu usiogope!!! akaipokea

na kunishuru sana kwa kusema “shukrani sana kaka yangu maana nilikuwa na weweseka hapa ntaitolea

wapi pesa ya watu,

“usijali Dada yangu ni kawaida

tu si unafahamu nyie ndio mama zetu

usingizi wetu, akabaki kutabasamu

nikamuaga na kusepa zangu

cha ajabu kile kitoto kikawa kinanifata kila nikipiga hatua au kukata kona yupo nyuma yangu dahaa

sikutaka kumuuliza kwa nini ananifata nikaendelea na safari yangu kwa kuingia k/koo sokoni na kushuhudia mambo mengi ya ajabu lazima niyaseme hapa ili asie ona na aone asie sikia na asikie

nikaweza kumuona mzee mmoja anauza njegere kusema kweli hazikuwa njegere bali ni mavi ya mbuzi,

kisturi alicho kalia sio

kisturi ni kiuno cha mwanaadamu yani amekatwa kati kati kiwili wili cha juu kikatupwa wakakata miguu eti akaifanya sturi ukicheki wateja wamejazana kwake wakinunua bizaa zake za ajabu ajabu tu hakuna cha kiazi kabichi wala nyanya

kiini macho tu

kama kuna bibi anauza matango karoti na vinginevyo nahisi nikivitaja utahisi kutapika ewe mwana adamu tambuwa ya kwamba uchawi upo katika dunia hii ila ukimtumainia Mwenyezi mungu utaokoka na mengi mabaya,

nikaenda mpaka kwa yule babu “shikamoo babu!!!

“marhabaa mjukuu wangu yani hapo yuko busy kweli kuwahudumia wateja, moyoni nikajiuliza je niwafumbuwe watu macho waweze kujionea uchafu anao ufanya huyu babu au nimkaushie nini?

sikuweza kupata jibu zaidi ya kuondoka nikiwa naondoka nikamsikia yule babu ananiita “wee kijana vipi mbona unaondoka embu njoo kwanza, “nikamjibu “hapana babu nilicho agizwa hapo akipo, si akasema “nenda zako mwanga mkubwa wee kama umetumwa kunijalibu hapa umedunda dogo,

“sasa mzee Mudy hayo yote yametokea wapi tena kumwita mtoto wawatu mwanga kisa hajanunua kitu kwako au?”

ni maneno ya mama mmoja nae muuza bizaa lakini zake original, yule mzee baada kumjibu kiustaarabu yule

mama akampayukia,

huku akimnyooshea kidole “wee!!!wee!!!

tena ukome kuingilia mambo yangu nisije kukunasa makofi sasa hivi, yule mama akawa mpore tu hakumjibu kitu,

yule dogo akanishika mkono nikamuangalia akanifanyia ishara ya kwamba kama kawa fanya mambo basi brother,

sikutaka kuremba kitendo cha haraka sana nikaenda hadi kwa yule mzee nilipo mfikia tu nikamuwasha kofi nahisi akili zote

zilivurugika “nani kanipiga?”

nikazigusa bizaa zake amini usiamini kila aliye ziona akatamani kutapika wenye roho nyepesi wakatapika kabisaa maana dahaa hizo karoti ni sehemu za siri yani huwa wanaenda kuwakata maiti miume hakuna aliye amini kile akionacho,

baada kufanya vile nikamuonyeshea kidole yule bibi akabaki kutetemeka huku akiniomba nisimfanyie hivyo

maana watamuuwa nikampa

maneno ya ishara aache upumbavu

huku sasa kwa yule babu

wananchi wenye hasira washalishwa sana uchafu

wafanya biashara nao kumbe walikuwa wanapotezewa wateja kwa sababu ya mjinga mmoja tu wakaanza

kumshushia kipigo nikaona kitu anakifanya gafla yule babu akapotea kila mtu akabaki kupagawa nikapiga mahesabu nikaweza kumuona yupo mtaa wa Congo kajichanganya na watu anasepa

nikataka kufata ila yule mtoto akanizuia kwa kuniambia niifanye kazi iliyo nileta kwanza huyo babu

tutamzukia siku yeyote tu

tukaondoka kwani policy walishafika eneo lile na kuvichunguza chunguza vile viungo,

nikamuuliza yule mtoto

“hivi wewe mbona unanifata fata mimi kwani vipi?”

baada kunijibu ndio kwaanza kinacheka tu,

nikajisemea subili time ifike nikupige changa la kisogoni maana ukigeuka tu mi sipo sio changa la macho,

tukafika sehemu nikasikia sauti ikiniambia “wee pisha njia nyau wee!!!

kucheki ni msukumiza mkokoteni nikapisha ila kama nilichelewa hivi basi akanipushi nikaenda chini puhuu!!!

nikajikuta nadondokea bizaa za watu

kama haitoshi akasimamisha mkokoteni na kuja kunizoe pale chini

kabla sijanyanyuka akanipiga kichwa nikayumba kwa mara nyingine nikaenda chini

“wee boya unaleta umama mama hapa,

akaondoka unajuwa binaadabu bwana

shida tu usimzarau mtu usie

mjuwa yani kukutana nae njiani tu

unamchukulia

ni mtu wa kawaida cheki sasa napigwa pasipo sababu kisa tu

kuchelewa kumpisha

njia kingine yeye ndio kanipushi,

nikamcheki yule dogo anasikitika tu,

kudadeki sitakiwi kukasirika

ila nikakasirika

gafla wingu zito likatanda upepo mkali ukavuma k/koo pakawa hapatoshi tena,

Kitendo alicho nifanyia msukumiza mkokoteni cha kunipushi

kisha kuja kunipiga kichwa kikanifanya nikasilike vipaya sana na nikikasilika nakuwa noma vibaya sana wingu zito likatanda upepo mkali ukaanza kuvuma

k/koo pakawa hapatoshi

watu wakabaki kushikwa na taharuki wasiamini wakionacho nguo za machinga zikawa zikipeperushwa huku na kule

nikatoka faster kumuwai yule bwege

lakini kale katoto kakanizuia njia kwa kukaa mbele yangu

nikabaki kukatizama tu sijui

nikatafune au vipi akanisihi nipunguze

hasira kwani naleta maafa kwa

viumbe visivyo na hatia maduka yakawa yanafungwa kuepusha zoruba ile isije kusomba vitu vyao nikaanza kushusha hasira zangu hali

ikatulia na kuwa shwali

nikamuomba anipishe “nipishe basi nimuwai yule boya!!!

“achana nae kaka, kwa mara ya kwanza nikaweza kuisikia sauti ya huyu mtoto ilikuwa ni sauti nzuri sana

kama kinanda nikamruka na kutoka mbio kama upepo huku nae akija nyuma yangu tukawa tukishindana mbio

mbele yangu kidogo nikamuona yule msukumiza mkokoteni nikaenda kuushika ule mkokoteni wake kwa kuuvuta kwa nyuma akashindwa kwenda mbele na kugeuka huku akidondosha tusi

“m***nge gani huyo analeta mambo ya kishoga si akaniona mimi,

“hivi wee boya kichapo nilicho kupa kule hujatosheka tu mpaka umeamua kunifatilia si ndio?”

sikumjibu kitu maana nilikuwa nishaanza kusikia harufu ya damu na nyama,

akanisogerea kitendo cha

kunyoosha mkono wake ili anikunje nikakunjua vidole vya mikono yangu kwa kutumia mikucha iliyo chomoza kwenye vidole nikamkata kiganja chake cha mkono kikaenda chini akabaki kupiga kelele tu “uwiiiiiii….nakufaa wingu likatanda tena radi likaunguruma na umeta meta kuwaka kama short ya umeme nikajikuta nabadirika na kuwa kiumbe cha ajabu sana hata

yule mtoto akanihofia maana sikuwa mimi tena nikamzoa yule jamaa na kummeza kabisa ndugu msomaji ombea iwe story kwako au iwe kama unacheki muvi tu maana hali ikawa tete katika jiji la dar es salaam watu wakabaki kukimbizana kila mmoja akiitaji kuiyokoa nafsi yake nikawa nafinya kila ninae mpata na kummeza roho ya kinyama iliyo niteka

nikasababisha maafa makubwa kabisa

police wakafika

kuja kupambana nami

nikawa nawapulizia upepo tu na kujikuta wakirushwa huku na kule pamoja na magari yao kikosi cha fanya fujo uwone

nao wakafika cheki upumbavu wao sijui walijuwa mimaji yao ya washa washa au mabomu ya machozi yata nituliza kumbe wamenia jeshi likaitwa na kuanza kunivurumishia makombora nikawa nayarudisha kwao

damu ikazidi kumwagika huku kila maeneo miili ya watu ikiwa imetapakaa nikiwa katika kuangamiza watu wasio kuwa na hatia gafla mbele yangu akatokea mdogo

wangu

Hafidhi j ikram na huku akilia nikabaki kumtizama tu akaniambia “kaka nakuhitaji uje viwanja vya jangwani akapotea kitendo cha yeye kupotea na mimi nikapotea nikatokea jangwani ndio ni mdogo wangu sasa swali la kujiuliza amekujaje huku

wakati yupo kifungoni katika gereza linalo milikiwa

na Nipe nikupe

hakutaka kupoteza muda alipo niona tu akasema ya kwamba

“kaka nilikutegemea sana ya kwamba utafanya haraka kuniokoa katika kifungo cha mateso huko nilipo nateseka sana mpaka natamani kufa kaka kumbuka damu nzito kuliko maji inakuwaje husikii wala kujali jinsi ndugu yako

ninavyo umia umepewa kazi ya kuja kupambana na

Nipe nikupe matokeo yake umemkimbia kule kilwa umekuja huku kucheza na wanaadamu kwa taarifa tu kaka yangu

Nipe nikupe anajisifia usiku na mchana kuwa yeye noma hakuna anae muweza

kama kweli

kaka unanipenda

basi rudi kilwa ukamuangamize huyo fisadi

Nipe nikupe kazidi kuwapoteza watu kila uchwao,

kusema kweli maneno ya mdogo wangu yali nichoma sana hakutaka kusubili nitasema nini zaidi ya yeye kuondoka zake nikapiga mahesabu na kuapa usiku huu huu nitavamia kilwa nikajigeuza mtu wa kawaida tu na kuanza kukata mitaa ya jangwani nikaja kutokea kwenye jengo la clabu ya yanga nikakodi bajaji na kumuomba dereva anipeleke kinondoni mkwajuni tukiwa njiani yule dereva akaanza kusema “duhuu yani siamini, nikamuuliza huamini nini kaka?”

“kwani wewe hujasikia kilicho tokea leo k/koo?”

“hapana sijasikia

“kweli ndugu yangu umechelewa ukisikia mwisho wa dunia ndio huu basi uamini tu ndio huu maana kilicho tokea leo ni balaa sijui jini au shetani kashuka toka mbinguni kaja kuwaonyesha wanaadamu ya kwamba wao si chochote si lolote marofa tu akawasha moto viafande na vibastora vyao vya kitoto mbona walisanda hicho kiumbe hakishikiki yani

kikafanya umafia

wa kinyama kisha akapotea,

“ehee ikawaje baada kupotea?”

“inavyo semekana kuna kitoto cha ajabu wamekinasa maeneo yale kina minjino mireefu mpaka sasa sijui wame kipeleka wapi?”

nikastuka kusikia kuna kitoto cha ajabu eti wamekinasa maeneo yale nikajuwa bila shaka atakuwa yule mtoto niliye kutana nae kwenye daladala mpaka sasa sikuweza kufahamu katokea wapi zaidi ya kufahamu ni mzimu mwenzangu ila yeye hana nguvu kiviile kama mimi, basi tukafika kinondoni nikashuka

nikamlipa dereva na

kwenda zangu nyumbani

kwa wazazi maana nime waacha tokea jana usiku

baada kufika maeneo yale nikajivika kivuli nisiweze kuonekana

nikaingia ndani nikakuta kuna furaha ya ajabu baina ya mama na baba wanacheza cheza na kukimbizana huku na kule

mara wapo jikoni mara sebreni,

baba akauliza swali

“kwahiyo mke wangu shart la

kwanza nishalifanya nimerudi kazini leo hii je hilo shart lingine unataka litendeke lini?”

mama akamtizama baba akiwa aamini kile akisikiacho,

nikafahamu nisipo fanya kitu hapa mambo yanaweza kualibika sasa hivi nikaenda kumuingia mama ndani ya mwili wake akatamka “vizuri sana mume wangu

naitaji hili zoezi lifanyike kesho hasubuhi,

“sawa mke wangu hakuna neno tutatoka hapa leo hii usiku tukiwa na Jeep ya jeshi nitachukua vijana wangu

kazaa na kwenda kuifanya kazi hiyo,

“sawa mume wangu wakakumbatiana na kuanza kutekenyana mi nikatoka na kuitaji kuiyandaa safari ya kurudi kilwa nikapanga kabra sijaondoka nifanye ishu ya kwenda kumtoa yule mtoto mikononi mwa mapolice nikacheki kwenye kiganja cha mkono wangu na kuona jinsi alivyo jikunyata mpaka anatia uruma dahaa

nikamwita “wee figisu!!!figisu!!!

akayatoa macho pima,!

Nikamwita “wee figisu!!!figisu!!!

akayatoa macho pima huku akishangaa shangaa kwa kugeuka ni wapi sauti hii inatokea,

nikabaki kucheka tu,

mida hiyo mpaka usiku kama saa mbili hivi wazazi bado wapo ndani wakilicheza sebene tu

nikaitaji kujiandaa kwa safari nikaizunguka kwanza nyumba na kuikagua kama iko salama au vipi nikanyoosha mkono wa kushoto juu nikajikuta naenda angani nikapaa moja kwa moja mpaka gereza la ukonga sikuta shida kufahamu

ya kwamba figisu kaifaziwa sero ipi nikam beba na kusepa nae nikamkumbuka yule konda ili nisiweze kumuacha kwenye mateso bila shaka atakuwa kajifunza kitu nikaenda hadi kituo cha police msimbazi na kuingia kwenye sero aliyo

fungiwa

nikamkuta kalala nikamshika kwa kumuamsha akastuka

sana akabaki kufikicha macho asiamini kile akionacho mbele yake

nikamuuliza

“je unanikumbuka?”

akatikisa

kichwa kuashilia ya kwamba hanikumbuki, nikamshika begani huku nikitabasamu na kumfahamisha ya kwamba “mimi ni mmoja kati ya abilia walio panda daladala uliyo kuwa ukisanya wewe ukafika muda wa wewe kukusanya nauli na ulipo

fika kwangu mimi sikuwa na pesa nilivyo jaribu kukwambia brother sina pesa ukanitukana kwa kuniita mimi ni mtoto wa malaya na kusema unaenda nyuma kudai nauli ukirudi kwangu uikute pesa yako

nilicho fanya mimi ni kuzibeba pesa zote

basi hii itakuwa fundisho kwako sio kila umuonae ni binaadamu wa kawaida

wengine ni mizimu sasa basi mimi naondoka

ila kesho hasubuhi atakuja mkeo na mwanao kukuangali

na boss wako ataitaji kukufunga

cha kukusaidia mpatie hii mkeo kuna kitu nikampatia konda yule

akawa anaogopa kupokea

maana katika maisha harisi kuongea na mzimu si jambo la kawaida “pokeaaa!!! kwa sauti ya ukali nikamwambia hivyo

huku mikono ikimtetemeka akaipokea baada kuona tayali

kashaipokea

nami sikuwa na cha ziada tena zaidi ya kusepa tu

kama msaada nishampa nikatoka zangu nnje ya kituo kile na kumkuta figisu amekaa akinisubilia

nina mengi maswali juu yake niweze kufahamu wapi

ametokea familia yake ipo wapi?”

kwa jinsi anavyo tia huruma nikajikuta namwambia “sina haja ya kujua wala kufahamu matatizo yako kuanzia leo nakuahidi nitakulinda

mimi ndio baba yako au kaka yako napenda uwe na furaha,

Figisu akatabasamu na kumwambia twenzetu,

safari ikaanza kwa kukata mawingu usiku ule usiku wenye kila dhoruba uko angani tuliweza kuyaona

mengi tu wachawi wakiwa katika kupiga misele yao huku vibwengo wakipiga rada kwenye uso huu wa dunia,

safari yetu ilikuwa ni ndefu sana ila yenye furaha njia nzima tukawa tukipiga

story za hapa na pale

mpaka tukaingia kilwa kivinje yapata majira ya saa nane usiku tukatua hapo maana

tulikuta timbwili timbwili si laki toto baina ya wachawi na waganga wa mji huo ilikuwa ni vita tupu nikamshika kichwa Figisu na kumpa full mauwezo sasa ngoma inogire,

tukawa tumeshika mijeredi ya moto

na kuanza kuwachapa nayo basi wakawa wanapiga makelele huku wasiweze kuona wanaazibiwa na

nani Figisu kwa kutaka sifa anawachapa mijeredi ya matakoni baada kuona hali

imezidi kuwa tete kwao

wakaanza kukimbizana

waganga wakashukuru kwa kuweza kupata msaada

maana walikuwa

washazidiwa tukafika Kiwawa na kumuonyeshea Figisu nyumba ambayo nilikuwa naishi tukaingia ndani na kupakuta pako vile vile kama nilivyo paacha,

hakuna aliye weza kushangaa au kujiuliza baada kuniona mimi nikiwa nimerudi pale wakati mimi nahisabia tokea niondoke hapa kwenda town

ni siku ya pili sasa kumbe

wenzangu wanajuwa miezi miwili maana Azizi aliniambia “kamanda tokea uondoke kwenda town miezi miwili sasa ndugu,

nikataka kum bishia sio miezi miwili ni siku mbili nikasita kufanya hivyo tusije tukaanza kubishana bure,

nikamcheki

Figisu akiwa anacheza na watoto wa pale kijijini

kuna maneno

nikayatamka

kumwambia figisu

japo kimoyo moyo hata

Azizi aliyoko mbele yangu hakusikia wakati

Figisu yuko atua akasikia

na kuitia sawa mkuu

nilimwambia ya kwamba

Figisu mwanangu cheza nao vizuri hao watoto usiwaogopeshe kwa hali yeyote ile,

Azizi

akaendelea kuniambia ya kwamba

“hivi kaka unamkumbuka yule msichana ambaye kuna siku

tulikuwa tumekaa pale kijiweni akaja na kukuomba ukamtwishe gogo?”

“ndio namkumbuka,

“basi yule demu

juzi tu kaenda mjini kitendo cha kurudi tu jana leo hii amekutwa kitandani amekauka,

“ame kauka ndio nini ndugu?”

“yani amekufa!!!

nikastuka kusikia vile na kumuuliza

“msiba upo wapi kwa sasa?”

“upo nyumbani kwao, nikamshika mkono na kumuomba twende tukatoka haraka haraka mpaka nyumbani kwao yule na kukuta kina mama wakilia nikaenda kukaa kwenye jamvi mimi na Azizi tukawa tukiona pilika pilika za watu wengine kuzimia baada kuzidiwa kwa uchungu wa kifo cha yule binti sikumbuki hata jina lake

Azizi akaniambia ya kwamba inavyo semekana binti amevunja mira za kijiji kwahiyo nipe nikupe kashafanya yake

katika kutupa tupa macho yangu nikaweza

kumuona yule binti akiwa kapiga magoti afu mbele yake kuna kiumbe anakiomba msamaha kucheki vizuri kile kiumbe ni

Nipe nikupe nikaitaji kwenda kuwasha moto ila nikajiuliza nitaanzaje anzaje kufanya hivyo kwakuwa Azizi pekee ndio yupo karibu yangu akiongea na mimi nilicho fanya ni kumshika mshipa wa fahamu haraka sana

akaniegemea na kuanza kukoroma kwa usingizi nikamlaza kwenye jamvi kisha nikaenda hadi pale yule msichana alipokuwa kapiga magoti nikamnyanyua

Nipe nikupe akastuka kwa kitendo kile nilicho kifanya nikaanza kumchimba biti sasa

“wewe ni kiumbe mdogo sana katika uso huu wa dunia ila una jina kubwa sana kila kiumbe kina kutaja wewe

Nipe nikupe sasa basi

hilo jina lako ni kama sisimizi kwangu nakufinya tu nimeondoka kwenda mjini juzi ukaanza kujisifu nimekukimbia wewe kwa kipi hasa ulicho nacho mpaka nikukimbie

sasa nimekuja kuwasha moto naanza na kumrudisha huyu binti duniani tena mbele ya macho yako,!!!

“Ha!ha!ha!ha! ni kicheko cha kifedhur alicho kitoa nipe nikupe na kusema “kijana acha kujidanganya huwezi kupambana na mimi hata kidogo hao walio kutuma jiulize kwa nini hawakuja wenyewe kuifanya hiyo kazi walijaribu wakashindwa umesema mimi ni sawa na sisimizi ndio sikatai ila wewe ni kiroboto tu huwezi kufanya chochote juu yangu kama unaweza basi nakualika leo usiku saa nane katika uwanja wa shule tuonyeshane kazi!!!

sikutaka kuongea sana zaidi ya kufanya vitendo nikamgeukia yule binti akiwa anatetemeka nikamshika na kumvutia kwangu nikanza kumnyonya denda huku nikizishika shika chuchu zake mchongoko hakuwa mmbishi katika zoezi lile akaonyesha ushilikiano zaidi huku

Nipe nikupe akibaki kukodoa macho

tu asijuwe cha kufanya

nikamchojoa chupi

huku tukitoleana mighuno

Assssss,,,possess!!!!

aaaaaaha nikamuweka style ya chuma mboga na kuutoa mkomboti wangu

huku nikikiandaa vyema kisimi chake,

Nipe nikupe hasira zikamshika na kuunguruma kwa kwa sauti ya kutisha mpaka walio kuwepo msibani wakastuka kwa kishindo cha sauti ile

nikiwa najiandaa kuuchomeka mkomboti wangu

Nipe nikupe akaja mbiiio kwa kasi ya kimbunga kunirukia nikamnyooshea mkono tu!,

Baada nipe nikupe kushikwa na hasira

akaja kwa kasi ya kimbunga kunivamia

nikamnyooshea

mkono tu akajikuta anarushwa mbaali na pale akatua chini puhu!!!

kama mzigo wa kuni binafsi hakuamini nikamgeukia na kumuonyeshea kidole cha kati akabaki kughaa sharubu tu nikauchomeka mua wangu kwenye kitumbua cha yule binti gafla kwenye kijumba flani watu wakatoka ndani mbio huku wakipiga kelele ya kwamba maiti imepiga chafya

“vipi tena muosha maiti mbona mbio?”

huku akihema akajibu

“wee acha tu wakati naendelea

kumuosha kumbe kashazinduka kitambo tu

anatoa mighuno ya kimahaba,

ikabidi baba yake yule binti na baazi ya wazee waingie ndani kushuhudia je ni kweli au ndoto tu!

kitendo cha kuingia nikafanya jambo maana nikiwaacha waende kuugusa ule mwili utaamka na kunikatia uhondo wangu

kabra sijapizi nikakituma kiumbe kidogo tu kinatisha mbaya walipo ingia tu wakajikuta nao wanatoka

mbio huku wakipiga mikelele “jini!!!jini!!!

jamani tunakufa kuna mzee mmoja

ana mshipa na kanzu aliyo vaa akajikuta anaenda chini chali nikabaki kucheka tu

huku nikisukuma mashine kwenye kitumbua cha yule binti kina

joto flani hivi nikasikia sauti ikisema

“ahaa! kumcheki anae sema hivyo ni

Figisu huku mikono kaweka

mdomoni

nikampa ishara wee mtoto

fumba macho binti akazidi kukatika miuno asssssss,,,ahaaaa,,,ohooo,,nikajikuta namwagia uji wangu humo humo kwenye kitumbua chake

ile namwaga tu na

kuuchomoa mkomboti wangu binti akayayuka mbele yangu

maana hiki kilikuwa kivuli tu mwenyewe yupo kule kitandani kutoka kwenye kijumba kile zikasikika kelele za yule binti akiomba msaada

kumbe wakati ana amka akakutanisha macho yake na kile kiumbe nikampa ishara

Figisu afanye mambo katika kuupima uwezo wake

hakutaka kuremba wala nini faster akazama mule ndani,

yule binti aka nyamaza nikageuka kumcheki

Nipe nikupe hayupo dahaa!!

watu wakajazana eneo lile lakini kila mmoja alikaa mbali na nyumba ile

Azizi nae sijui alistuka saa ngapi maana na yeye nikamuona yupo kati umati wawatu

“sasa mzee mwenzangu hali mbona imekuwa ngumu hivi?”

“mimi sielewi kwa nini hali imekuwa hivi,

sasa hapa tumngojee mganga

Kubina afike tu!!!

yalikuwa mazungumzo kati ya baba wa yule binti na mzee mmoja wa pale kijijini

nikajigeuza mtu mwingine kabisa kama shekhe flani hivi,

embu niwape kisa kimoja kabra sijaendelea na muvi yetu matata sana hii

hapo zamani za kale kulikuwa na kijana mmoja

anaekwenda kwa jina la

Othmani hassani ni kijana mcha Mungu sana huyu hakuwai hata siku moja kuchelewa katika swala ya jamaa akawa ni mtu wa kusoma sana Qur an

na kujiepusha na mabaya yote aliyo yakataza Allah (s.w.t)

kumbe shaitwani ana umia roho vibaya sana

akatafuta kila mbinu ya kumteka

Othman akashindwa kijana alikuwa kizingiti kikubwa sana kwake akaamua kuja na mbinu hii ya kujigeuza bonge la shekhe smart sana tu akawa hakuwa ni mtu wa kuswali kwa maana ya kwamba inapo somwa Qur an ina muumiza kichwa ijapo kuwa yeye mwenyewe

kahifazi juzuu zote 30

akawa anavizia time ile watu wakitoka msikitini tu anajichanganya nao ikawa tabia yake ni ile ile kuna siku

Othman akajiulize

“hivi yule shekhe ana tokea wapi

maana sijawai kumuona katika msikiti huu!

basi siku moja baada swala ya saa kumi akaamua kumfata na kumsalimia

“Assalam alaykum shekhe!!!

akaitikiwa

“Waaleykum ssalam kijana Qifa kh’al?”

“bigh‘ail,

“niambie kijana wangu,

“sijui niseme nini shekhe wangu kwa kifupi tu nimevutiwa na jinsi ulivyo natamani kuwa kama wewe tu,

“ha!ha!ha!ha! kijana mbona kuwa kama mimi ni kazi ndogo tu!!!

ITAENDELEA

Nipe Nikupe Sehemu ya Tatu

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment