MP3 DOWNLOAD Dizasta Vina – Chupa Moja ya Ziada
Edger Vicent Mwaipeta (born February 17, 1993), known professionally as Dizasta Vina is a Tanzanian rapper, songwriter, and record producer from Mbeya, Tanzania. Many of Dizasta Vina songs become very popular and trendy online with a great number of streaming and downloads.
Tanzanian hip hop musician and producer from Tanzania, Dizasta Vina unlocks a new song titled Chupa Moja ya Ziada, a number six song from his album titled A Father Figure Album.
SIMILAR: Dizasta Vina – Mbuzi
Dizasta Vina – Chupa Moja ya Ziada Lyrics
Kalala chini, ubongo na fuvu vimetengana,
Hatoi sauti, hana hata nguvu ya kulalama.
Macho yetu yanagongana, ya kwangu yanaona haya,
Natamani kufumba maana naona uchungu kumtazama.
Ni butwaa, siwezi eleza hali yake,
Mifupa imezagaa kadhaa haipo mahali pake.
Waungwana wamejaa, wanauliza ka’ mi’ timamu,
Damu nyingi, nataka niamini ni filamu.
Hata nikifumba macho, naona jambo hili hili,
Nafsi yangu inahofu, na inatukana kwa siri siri.
Ameumia, siwezi kumtazama mara mbili mbili,
Mguu mmoja umetengana na kiwiliwili.
See Full Dizasta Vina – Chupa Moja ya Ziada Lyrics here
MP3 DOWNLOAD
More hit songs from Dizasta Vina;

