MP3 DOWNLOAD Dizasta Vina – Waridi
Edger Vicent Mwaipeta (born February 17, 1993), known professionally as Dizasta Vina is a Tanzanian rapper, songwriter, and record producer from Mbeya, Tanzania. Many of Dizasta Vina songs become very popular and trendy online with a great number of streaming and downloads.
Tanzanian hip hop musician and producer from Tanzania, Dizasta Vina unlocks a new song titled Waridi, a number eight song from his album titled A Father Figure Album.
SIMILAR: Dizasta Vina – Hatia V
Dizasta Vina – Waridi Lyrics
Waridi na baba yake hazikuiva
Mzee alimtia hofu waliweka distance
Waridi alificha yaliyonisibu kwenye kichwa
Tension kubwa mfano wa maadui baada ya vita
Na alishazoea mzee kumkemea
Ilikuwa adimu sana kuona baba anamchekea
So, kila mzee wake aliporudi alijificha
Kwani mtoto kumwogopa baba ilikuwa sifa
Alipopata shida alikaa kimya alitunza
Alikosa jibu alivunga
Hakuwa na mtu wa kuzungumza
Alisema siku… nitakuwa mkubwa nitahama nyumba
See Full Dizasta Vina – Waridi Lyrics here
MP3 DOWNLOAD
More hit songs from Dizasta Vina;
- Dizasta Vina – Mlemavu
- Dizasta Vina – Tribulation
- Dizasta Vina – Best Friend
- Dizasta Vina – Kibabu na Binti
- Dizasta Vina – Wimbo usio bora
- Dizasta Vina – Wachezaji wa Timu



