D Voice Ft Zuchu – Nani Lyrics D Voice Ft Zuchu – Nani Lyrics — kichwahits
LYRICS

D Voice Ft Zuchu – Nani Lyrics

MP3 DOWNLOAD D Voice Ft Zuchu - Nani
D Voice Ft Zuchu – Nani Lyrics

Tanzanian upcoming singeli recording artist and singer signed under WCB wasafi label famous as D Voice is here with a new hit song titled Nani Featuring Zuchu.

SIMILAR: D Voice Ft Zuchu – Bambam

Nani Lyrics by D Voice Ft Zuchu

Aii sweet
Kuna kitu mi nataka nikwambie
Lakini naogopa

Utaniona ka nina wivu hivi
Ooh sweet
Nikuonong’oneze wa pembeni wasisikie
Maana naogopa
Wataniona ka nina wivu hivi

Asa sijui ndo ujinga
Sijui ndo ufala
Au sijui mazoea
Ila napata tabu ukiwa mbalii maa
Mana nashindwa
Kula ata kulala
Mnyonge nanyong’onyea
Mwenzio napata tabu ukiwa mbali maaa

Honey kwako michizi poyoyo
Usiende mbali na mi
We ndotulizo la moyooo

Honey kwako michizi poyoyo
Usiende mbali na mi
We ndotulizo la moyooo

Oh na kama si wewe (nani)
Wakuniliwaza (nani)
Kunibembeleza (nani)
Oh kunipepea nilale (nani)
Oh na kama si wewe (nani)
Wakuniliwaza (nani)
Kunibembeleza (nani)
Wa kunipepea nilale (nani)

Zuchu chu chu
Kuna vyenye utimamu
Unanitoka nakuwa chakalamu
Hii inaiitwaje kitaalamu
Ukitajwaa kimoyo mi paaa

Why why utamu
Mshwiti shwiti babugamu (babugam)
Yaani nyam nyam nyam nyam
Ndio mapenzi au ufalaa
Why why why

Kwanza yote tisa kumi
Moyo umeuwamisha kambi
Unanipa penzi sabuni
Lanitakatisha dhambi

Wanao subiri
Livunjike penzi hili
Hatutishwi na tumbili
Kuachana apange mwenyezii

Honey kwako michizi poyoyo
Usiende mbali na mi
We ndotulizo la moyooo

Honey kwako michizi poyoyo
Usiende mbali na mi
We ndotulizo la moyooo

Oh na kama si wewe (nani)
Wakuniliwaza (nani)
Kunibembeleza (nani)
Oh kunipepea nilale (nani)
Oh na kama si wewe (nani)
Wakuniliwaza (nani)
Kunibembeleza (nani)
Wa kunipepea nilale (nani)

D Voice Ft Zuchu – Nani Mp3 Download

Also, Check out More Hits Song From Mbosso;

Leave a Comment