D Voice Ft Zuchu – Nimezama Lyrics
LYRICS

D Voice Ft Zuchu – Nimezama Lyrics

AUDIO D Voice - Swahili Kid MP3 DOWNLOAD
D Voice Ft Zuchu – Nimezama Lyrics

Tanzanian upcoming singeli recording artist and singer signed under WCB wasafi label famous as D Voice is here with a new hit song titled Nimezama Featuring Zuchu, a number six song from his new album titled Swahili Kid Album.

SIMILAR: D Voice Ft Zuchu – Bambam

D Voice Ft Zuchu – Nimezama Lyrics

Habibi nkuulize swali kipi chakukuongeza
Kama unaona bado sema kilichopungua
Vingine vyote tayari madeko kunidekeza
Umeniwezea hapo chali mi ushaniua
Penzi lako ni mradi naweza kulikopea
Aaah mamlaka yenye kodi watudai nafidia
Aah mana raha zimeziidi mpka zanimwagikia
Mmh mana raha zimezidii mpaka zanimwagikia

Ufukweniii
Ufukweni mwa bahari
Aaah mikono
Mikono tumeshikana
Aaah mawimbi
Mawimbi yameshamili
Nyoyo zimee
Nyoyo zimesemezana

Kwako nimezama
Kwako nimezama
Kwako nimezama
Kwako nimezama

Aah upande wa kanga ukinivalia
Kiunoni shanga zinachungulia
Ndo ugonjwa wangu ndo ugonjwa wangu
Wala siendi kwa mganga wakaniibia
Mama nyakanga nimemrithia
Sio shida zangu sio shida zangu
Naa huba lako birianii
Lenye shombo shombo la mbuzi
Aiih napenda unavyonisifu laini
Aah nafaa kwa matumizi

Ufukweniii
Ufukweni mwa bahari
Aaah mikono
Mikono tumeshikana
Aaah mawimbi
Mawimbi yameshamili

Nyoyo zimee
Nyoyo zimesemezana
Kwako nimezama (kwako nimelaa niko lala lala)
Kwako nimezama (nime nimezama)
Kwako nimezama (ooh nimezaa nimezamaa)
Kwako nimezama

Ili penzi limemshindwa shetwani mkaa kichwani
Mtaliweza nyingi wapambe wakaa vibarazani
Ili penzi limemshindwa shetwani mkaa kichwani
Mtaliweza nyingi wapambe wakaa vibarazani

D Voice Ft Zuchu – Nimezama Mp3 Download

Check out More Hits Song From D Voice;

Leave a Comment