D Voice – Umenifunza Lyrics
LYRICS

D Voice – Umenifunza Lyrics

AUDIO D Voice - Swahili Kid MP3 DOWNLOAD
D Voice – Umenifunza Lyrics

Tanzanian upcoming singeli recording artist and singer signed under WCB wasafi label famous as D Voice is here with a new hit song titled Umenifunza, a number one song from his new album titled Swahili Kid Album.

SIMILAR: D Voice Ft Mabantu – Umekopwa

Umenifunza Lyrics by D Voice

Ooohh Aaaah
Ooohh Aaaah
Ayo Laizer
Uliompata Anaupiga Mwingi
Sio siri umenawirii Rangi Mashalllah
Kampe hongera Zake
Battle Siwezi amenizidi Vingi
Mwenzangu tajiri mi kapuku mlala njaa
Sijafika Level Zake
Uuh mi hali yangu Pangu pakavu
Ridhiki yangu ndondondoo
Nilichojaliwa Malavu Davu
Ila Kipato Ndio Mchongooo
Mwenzangu Kanizidi Ubavu
Mie Kijitie nondo
Ningewezaje Kutoa Madafu
Wakati mi mpera Si uongoo
Lakini nimemiss nimemiss Kukuona Kwangu
Yalaiti nami Mungu angenipa Fungu Langu
Labda usinge Cheat kama muuni ningekuwa na Vyangu
Ila atabarikii Nami Mungu Atajibu Maombi Yangu

Ila umenifunza Umasikini Mbaya
Umenifunza umasikini Mbayaaa
Umenifunza umasikini Mbayaaa
Umenifunza umasikini Mbayaaa

Na uyoo uliempata Usmwache
Maana anakupa Nilivyokosa Mimi
Mungu abariki fungate Muwe wa halali
Awaepushe kuzini
Walomwambia asikuchape Oah
Kumbe Na sikukuchapa Mimi
Na wewe jeuri Uache mpe sifa mama
Uchunge yako ndimi
Siwezi sema nimemsusa nitakuwa muongo
Kama ikitokea Fursa mi bado nipo single
Hamu mwezako kimejaa kichupa
Pakumwagia songombingoo
Nisamehe kama mstari nauvuka
Maji yamefika kwa shingoo

Maana nimemiss nimemiss Kukuona Kwangu
Yalaiti nami Mungu angenipa Fungu Langu
Labda usinge Cheat kama muuni ningekuwa na Vyangu
Ila atabarikii Nami Mungu Atajibu Maombi Yangu

Ila umenifunza Umasikini Mbaya
Umenifunza umasikini Mbayaaa
Umenifunza umasikini Mbayaaa
Umenifunza umasikini Mbayaaa

D Voice – Umenifunza Mp3 Download

Also, Check out More Hits Song From Mbosso;

Leave a Comment