Ibraah – Nimemuotea Lyrics
LYRICS

Ibraah – Nimemuotea Lyrics

Ibraah – Nimemuotea Lyrics

Tanzanian recording artist and Konde Music World Wide serial hitmaker, Ibraah has released a new hit song titled Nimemuotea.

SIMILAR: Ibraah – Sielewi Lyrics

Nimemuotea Lyrics by Ibraah

oh na na naa naa
ha chinga
konde music world wide
oo ye ye
ya ya ya….
anamwendo wa maringo ndo vile ananikosha shaaa
anadai yuko single eti ile kitu ataidondosha shaaa
ananistress huyu binti maringo nawaza ile kitu itantosha shaaa!
yake nyanya ikutane na tindo yani usiku tutakesha shaaa!
yani kwa macho hata ukimpima anaonekana fundi fundii! ee
sio wale wanaojiboost na pombe
eti nikifika chumbani nimuombe m m mh
katoto mnato hivi na zake lipse kama spice wa burundi rundii
kamechanua karembo shombe shombe twende mtwara ukamuone mama kondee ye ye
Nimemuotea ah nimemuotea
katoto kanakatika kana katakata
nimemuotea!
eti nimemuotea o o ohh!
nimemuotea
ona anakatika ana katakata
nimemuotea! mhh aaah aaa
anavyo smile smile ndo ananifanya me nafeel happy toto uko ndani kiboko
ye yeh
kifuani katunza tunda pori huyo
akitembea ka mudoli huyo
shida wala sio guu la bia mwenzio vinanichanganya vikuku
eee!
kanipenda mpori pori huyooo
ata nikashike kigoroli huko
yani kiza kikiingia eti bby nishike kwa hukuuu
eee ehh
she is my number one
ee eeh
she is my only one
ee eh
ati nimemzoea ee mazoea yananimaliza
yani kwa macho hata ukimpima anaonekana fundi fundii! ee
sio wale wanaojiboost na pombe
eti nikifika chumbani nimuombe m m mh
katoto mnato hivi na zake lipse kama spice wa burundi rundii
kamechanua karembo shombe shombe twende mtwara ukamuone mama kondee e eee
Nimemuotea ah nimemuotea
katoto kanakatika kana katakata
nimemuotea!
eti nimemuotea o o ohh!
nimemuotea
ona anakatika ana katakata
nimemuotea! mhhnhh
ya ya ya….
oya ya ya ya…
……..
ya ya ya…..
……

Ibraah – Nimemuotea Mp3 Download

More hit song from Ibraah;

Leave a Comment