Jay Melody – 18 Lyrics
LYRICS

Jay Melody – 18 Lyrics

MP3 DOWNLOAD Jay Melody – Superstar
Jay Melody – 18 Lyrics

A young talented Tanzanian boy raised in the slams of Tandale Kwa Mtogole he has the street hustle spirit in him, commonly known as the singer and composer Jay Melody released a new banger tagged 18, a number six song from his new album titled Therapy Album.

SIMILAR: Jay Melody – Sielewi

18 Lyrics by Jay Melody

Nilipanga nitapenda nikifika miaka 20
Hivi sasa 18 sijui nimepatwa nini
Kuna mtu nampenda lakini sijiamini
Sio kama najua sana kwamba mapenzi ni nini
Ananitoa kwenye malengo
Sikupanga kuingia kwenye maupendo
Ananitoa kwenye malengo
Vitu vyake navutiwa kila engo
Oh mimi

Tafadhali moyo wangu
Haya mapenzi dhahabu
Tafadhali kweli moyo wangu
Haya mapenzi yangu dhahabu

Bado najiuliza kama ana hisi
Nnavyo hisi
Ila najua kua hivyo sio rahisi
Na mi mgeni wa mapenzi nisije
Nikaitiwa police
Nikaumbuka nikachukia mapenzi

Penzi oooh penzi oooh
Usiniumbue mwenzio
Nikaanza na kilio
Eti ndo kiinglio

Ananitoa kwenye malengo
Sikupanga kuingia kwenye maupendo
Ananitoa kwenye malengo
Vitu vyake navutiwa kila engo
Oh mimi

Tafadhali (we tafa) moyo wangu (we moyo)
Haya mapenzi dhahabu (tafa we)
Tafadhali kweli moyo wangu(oh moyo)
Haya mapenzi yangu dhahabu

Ololoooo mmmh dhahabu
Ooonhooo mmmh dhahabu
Once again”

Jay Melody – 18 Mp3 Download

More hit songs from Jay Melody;

Leave a Comment