LYRICS

Jay Melody – Sina Lyrics

MP3 DOWNLOAD Jay Melody - Sina
Jay Melody – Sina Lyrics

A young talented Tanzanian boy raised in the slams of Tandale Kwa Mtogole he has the street hustle spirit in him, commonly known as the singer and composer Jay Melody released a new banger tagged Sina, a number eleven song from his new album titled Addition Album.

SIMILAR: Jay Melody – Hujaona Bado

Sina Lyrics by Jay Melody

Ladies and gentlemen
Jay once again
Ona nananah

Ona nananah
Leo mimi hadharani
Nakupa vyeo
Manyota nyota kibao
Kama police
Umenipa faraja
Toka umenipa hiki cheo

Na kwa upande wangu
Mi sina kipingamizi
Kama mapenzi
Macho yangu ukiyatazama
Ukiyatazama, yatakwambia
Nishajiweka kwako ujue
Sa itakua mbaya ukinidanganya

Nitatangatanga
Kwenye hii dunia
Ooh sina pakukimbilia
Anhaa basi na wewe usicheze
Na zangu hisia
Taratibu taratibu na moyo wangu
Nisije kuumia

Onhooo ooooh sina
Pakukimbilia
Sina ooh sina
Pakukimbilia
Oooh basi na wewe usicheze
Na zangu hisia
Taratibu taratibu na moyo wangu
Nisije kuumia

Onhooo sina
Pakukimbilia

Si unajua uwezo sina
Wakupigana nitaumizwa
Mwili wangu wa mapenzi
Basi nitunzie huba langu
Usijaribu kunipima
Ukanichota ukanimimima
Ukanichanganya na wengi
Hapo ndo pressure kizungu zunguu

My sweet, penzi sio kisinia
Kwa bonge au kwa shishi
Watu kukigombania
My darling, penzi sio kisinia
Eti kwa Esha, Buheti
Watu kukifakamia

Kama mapenzi, macho yangu ukiyatazama
Ukiyatazama, yatakwambia
Nishajiweka kwako ujue
Sa itakua mbaya ukinidanganya
Nitatangatanga
Kwenye hii dunia
Ooh sina pakukimbilia

Anhaa basi na wewe usicheze
Na zangu hisia
Taratibu taratibu na moyo wangu
Nisije kuumia

Onhooo ooooh sina
Pakukimbilia
Sina ooh sina
Pakukimbilia
Oooh basi na wewe usicheze
Na zangu hisia
Taratibu taratibu na moyo wangu
Nisije kuumia

Onhooo sina
Pakukimbilia

Jay Melody – Sina Mp3 Downlod

More hit songs from Jay Melody;

Leave a Comment