LYRICS

Marioo – Salio Lyrics

MP3 DOWNLOAD Marioo – Salio
Marioo – Salio Lyrics

Tanzanian fast-rising artist, Marioo, is back again with another astonishing banger titled Salio, a chart-topping track from The Godson (TGS) album.

SIMILAR: Marioo Ft Harmonize – Wangu

Salio Lyrics by Marioo

Kutoka alooh
Aah
Ooh yeah
Nashukuru nimejua kisa salioo
Ngoja kwanza nitafute hela
Kumbe shida sina salio
Acha basi nkatafute hela

Si ungesema kisa heee
Ndio inayofanya nikose raha
Si ungesema kisa heee
Ndio inayofanya nikose raha

Nilekaa, naumiza ndonga
Almanusura nidate
Aah nimekaa naumiza ndonga
Chupu chupu nipagawe

Maana usiku kucha unanisifia
Kukikucha unani cheat
Na tena
Mara kwa mara unaniambia
Kitu yangu ndio inayofiti

Mara paah natumiwa
Video zako unaliwa
Mate kwenye ndinga
Mara daah naambiwa
Una danga lako
Lenye umri wa kukuzaa
Nikawa nashangaa

Nashukuru nimejua kisa salioo
Ngoja kwanza nitafute hela
Kumbe shida sina salio
Acha basi nikatafute hela

Si ungesema kisa heee
Ndio inayofanya nikose raha
Si ungesema kisa heee
Ndio inayofanya nikose raha

Si kila kitu tulifanya kwaajii yako
Na wewe ukaniaidi utazikwa na mimi
Hata kitu niliwasha kwaajili yako
Ni wewe ndio ulitaka uvute na mimi

Maneno yako yaliniaminishaa
Na mi nikajiamini, comfortability
Vitendo vyako viliniaminisha
Kumbe sioo, negativity

Mara paah natumiwa
Video zako unaliwa
Mate kwenye ndinga
Mara daah naambiwa
Una danga lako
Lenye umri wa kukuzaa
Nikawa nashangaa

Nashukuru nimejua kisa salioo
Ngoja kwanza nitafute hela
Kumbe shida sina salio
Acha basi nikatafute hela
Si ungesema kisa heee
Ndio inayofanya nikose raha
Si ungesema kisa heee
Ndio inayofanya nikose raha

Marioo – Salio Mp3 Download

Check More Related Songs of Marioo;

Leave a Comment