Mwana FA Ft Linah - Yalaiti Lyrics
LYRICS

Mwana FA Ft Linah – Yalaiti Lyrics

MP3 DOWNLOAD Mwana FA Ft Linah - Yalaiti
Mwana FA Ft Linah – Yalaiti Lyrics

Tanzanian Hip Hop artiste with a career spanning over fifteen years, Hamis Mwinjuma also known as Mwana Falsafa, came through another banger Yalaiti, Featuring Linah.

SIMILAR: Mwana FA Ft Alikiba – Kiboko Yangu

Yalaiti Lyrics by Mwana FA Ft Linah

Keeping good music alive that is my job
My sunshine my moonlight and everything i dream about
Linah let’s go
Yalaiti napenda pasi kifani
Tofauti sikutilii moyoni
Sikuachi leo na kesho peponi
Aaa aaa aa i love you (repeat)

Sambaza love kama dawa sikuachi mpaka napagawa
Watu Wakisema me siwagusi natingisha kichwa
Mapenzi yako yanielemea kama chupa nzima ya tequilla
Si ulishasomwa nakupenda acha masihara
Kuna aja gani nikushikie fimbo ili nikusikilza kama gorrila
Me mtu na mapenz yangu nmeshaaja zaman usela
Una matatizo yako najua
Na me yangu boo
With u together from this moment
We will sue them through
Nikukosea nisute, nipige vibao nizodoe
Ninunie kwa siku kadhaa ila nachokuomba usinikimbie
Mapenzi hatamu me kwangu hadithi mambo ya kizamani hayo
Ukiniudhi ntakupiga kwa kanga ndo nilivyofunzwa Tanga ivyo
Toaga mabusu nikufute kwa kumbatio mpk tamu kwa kiss ya pili
Ukinikumbuka iwe kilio
Sipendi mapenzi napenda mapenzi nawe usinikatae utaniumiza me na
Biashara na wewe

Nshasema Sipendi mapenzi napenda mapenzi nawe
Usinikatae utaniumiza me na biashara na wewe
Ushaangaliwa niunge tela
Usingoje mpaka uambiwe
Ushaangukiwa anguka nawe usizubae mpaka irejewe
Kwako ntakuwa Bushoke sitajiulza ka zezeta
Yatoe mahaba mapenzi amani tumepita
Me sakafuni we ukingoni mbio zangu haziendi mbali
Na moyo wangu nitapenda bila kujali
Hata marefa wana timu zao mama
Hupanga matokeo
Pambano lianze
Washajua goli ngapi ngapi leo
Husiache kuvaa nguo ndefu hivi vimini waachie vicheche
Mwanamke kwetu staa hatuna tupendao sio wote
Akili haziwezi moyo na wenyewe una ubongo pia hauwezi kufuata fuata
Kila utakachouambia
Nahitaji yako mapenzi
Napata picha yako kwanza
Natamani upate yangu nayo iwe inakuliwaza

Linah: toa shaka na wasiwasi moyoni(ay: mashalaah)
Kukuepuka ilo haliwezekani

Ntakushika leo na kesho peponi

Nshasema Sipendi mapenzi napenda mapenzi nawe
Usinikatae utaniumiza me na biashara na wewe
Ushaangaliwa niunge tela
Usingoje mpaka uambiwe
Ushaangukiwa anguka nawe usizubae mpaka irejewe
Kwako ntakuwa Bushoke sitajiulza ka zezeta
Yatoe mahaba mapenzi amani tumepita
Me sakafuni we ukingoni mbio zangu haziendi mbali
Na moyo wangu nitapenda bila kujali
Hata marefa wana timu zao mama
Hupanga matokeo
Pambano lianze
Washajua goli ngapi ngapi leo
Husiache kuvaa nguo ndefu hivi vimini waachie vicheche
Mwanamke kwetu staa hatuna tupendao sio wote
Akili haziwezi moyo na wenyewe una ubongo pia hauwezi kufuata fuata
Kila utakachouambia
Nahitaji yako mapenzi
Napata picha yako kwanza
Natamani upate yangu nayo iwe inakuliwaza

Mwana FA Ft Linah – Yalaiti Mp3 Download

Check More Hits Song Mwana FA;

Leave a Comment