Mama Mwenye Nyumba Sehemu ya Kwanza
CHOMBEZO

Ep 01: Mama Mwenye Nyumba

SIMULIZI Mama Mwenye Nyumba
Mama Mwenye Nyumba Sehemu ya Kwanza

IMEANDIKWA NA : MBOGO EDGAR


Chombezo : Mama Mwenye Nyumba

Sehemu Ya Kwanza (1)

Ilikuwa ijumaa usiku saa nne kasolo, nje ya kidogo ya jiji la dar es salaam, mtaa wa M’buyuni kibamba ccm, ndani ya nyumba moja kubwa sana iliyo zungushiwa ukuta mkubwa (fensi) na nyumba nyingine ndogo tatu za vyumba viwili na sebule za kupangisha, na moja iliyo kuwa na chumba kimoja tu! licha kujengwa kwaajili ya mlizi lakini nacho kilipangishwa,

Binti mmoja mrembo sana mwenye miaka 28, anayeitwa Suzana, mtaani vijana umwita Suzana mahips kutokana na jinsi mwiliwake ulivyo, maana amejaliwa umbo namba nane, ilikipambwa na mapaja manene na makalio makubwa sana, ilifikia kipindi vijana wakolofi uwa wana piga miluzi, asa wakimwona anapita mtaani akitembea kwa miguu, kitendo kilicho sababisha aweanashindwa kushuka ndani ya gali lake aina ya totota lav 4, ata anaponunua kitu kama gazeti au mboga za majani, nyama kwenye mabucha, samaki, uwa ana agiza akiwa ndani ya gari ,bahati nzuri kwakea wadau wenye kuuza vitu hivyo pale mtahani, walikuwa wanamjuwa, na walikuwa wanafahamu usumbufu aliokuwa anaupata

usiku huu Suzana ma hips alikuwa amejilaza kitandani mtupu kama alivyo zaliwa, nakufanya umbo lake lionekane wazi kabisa, mle chumbani pia alikuwepo mzee Mashaka, ni mzee wamakamo wamiaka 59, alikuwa anamalizia ku funga mkanda wasuluali yake, “baby inamaana ndiyo basi atufanyi tena?” aliuliza Suzana kwasauti yaunyonge sana akionyesha kuitaji kitu flani, “nimechelewa sana alafu nimechoka sana, husijari kesho uta enjoy” alisema mzee Mashaka huku akiichukuwa simu yake nafunguo za gari mezani na kuanzakutoka nje, “kilasiku unasema hivyo hivyo ukija una nichezea tu! alafu unanihacha na hamu zangu, sijuwi unazani nani atanikatakiu zaidi yako” alijisemea kimoyo moyo Suzana, huku ana jiinua na kuichukuwa nguo yake nyepesi inayo angaza ya kulalia nakuivaa bila nguo nyingine yoyote ndani nakufanya mwiliwake huonekane vyema asa mahips na makalio yake manene namakubwa, “ila husijari mpenzi ata leo nime enjoy sana mpaka kiuno kina niuma” aliongea Suzana akimliwaza mzee Mashaka hasijione zaifu, lakini moyoni alimlahumu kwa tabia yake ya kumwacha njiani kila siku,tokea wamekutana nakuanza kufanya mapenzi bila kumfikisha kwenye kilele cha utamu wenyewe, “hahahaha sasa ungenikuta enzi zangu ungekimbia bila vitatu nilikuwa sibanduki” aliongea mzee mashaka akionyesha uso wa tabasamu la ushindi, waliagana na mzee Mashaka akangia kwenye gali lake aina ya nisan safari na kuondoka zake huku Suzana mpenzi wake ambae umri wake ni sawa na binti yake wapili Sophia, akimfungulia geti nayeye akapita na nakutokomea zake, Suzana alifunga geti huku akiwa ana mawazo mengi sana juu ya penzi lake na huyu mzee Mashaka, baba wa rafiki yake Sophia ambae, nipenzi linalo mtesa sana ni mwaka watatu sasa toka akutane na kuanza kuwa wapenzi na mzee Mashaka, lakini hakuwai kuenjoy penzi la mzee huyu tena mbaya zaidi mzee Mashaka ndie mpenzi wake wakwanza nandie alie uchukuwa uschana wake na kumwingilia kwamala yakwanza, aliwaza sana Suzana akiwa amesimama pale kwenye gate ambalo hakuweka mlinzi maana kulikuwa na wapangaji familia tatu pia kunakijana mmoja ambae alijulishwa kuwa nimwanafunzi wa chuo anaitaji kupanga chumba kimoja, licha yakuruhusu kijana huyo aingie kwenye chumba hicho, lakini niwiki sasa ilikuwa ina karibia kuisha bila kukutana na mpangaji huyu nakupeana mkataba nakupewa pesa yake ya miezi mitatu, hii nikutokana na shughuri zake za kila siku, ** kabla yakuajiliwa na Bank ya wananchi kama mhasibu msaidizi wa tawi la ubungo Suzana alikuwa anasoma chuo cha usimamizi wafedha, akiwa ametokea mkoani Iringa kwenye familia yakawaida, ya watoto watatu wawili wakiwa ni wanaume ambao ni kakazake, baba na mama yeke waliwalea kwamisingi ya maadili mema kitendo kilichosaabisha mpaka mwaka wa pili katikati akiwa chuo bado Suzana alikuwa hajawai kuruhusu dudu ya mwanaume yoyote

akiwa chuo ndipo alipo kutana na Sophia Mashaka , huyo alikuwa mtoto wapili wa mzee Mashaka kati ya watoto watano, akitanguliwa na kaka yake Atony wenyewe walimwita Tony, pale chuo Suzana aliwapa wakati mgumu sana vijana wakiume, kutokana na uzuri wake wa mwili na sura pia tabia yake ya upole na utulivu, uliwavutia wengi sana, vijana kwa wazee wamjini waliangaika sana, wakipanda dau kwa ahadi nyingi sana, huku wengine wakitangaza ndoa na kutanguliza offer mbalimbali, lakini zote ziligonga mwamba, adi siku ambayo Tony alipomwona dada yake Sophia akiwa na Suzana, alipokuwa amemtembelea pale chuo, “Sophy unaonaje ukiniunganishia huyo demu” Tony alimpigia simu dada yake baada yakurudi nyumbani, maana dada yake alikuwa anakaa hoster chumba kimoja na Suzan, “mh! nimgumu huyu, alafu mshamba flani hivi, sijuwi kama utaweza” alijibu Sophia, lakini Tony akajipa moyo, “hakuna kitacho shindikana wewe mlete home kisha nitajuwa lakufanya” “poa juma mosi nakuja naye” kweli ikawa hivyo, juma moss Sophia na Suzana walienda nyumbani kwa kina Sophia, licha ya kumkuta Tony lakini hakuweza kuongea chochote, na bint huyu mrembo, ni baada ya kumkuta baba yao mzee Mashaka akiwa amejaa tele nyumbani ( nimzee mwenye tabia ya kupenda sana mabinti wadogo), ilo likawa tatizo kwa Tony, angekuwepo mama yao pekeyake hisingekuwa tatizo, na mbaya zaidi mzee Mashaka alikuwa nao bega kwabega pale sebuleni, atamuda wakuondoka ulipo wadia aliwachukuwa kwenye gari na kuwa peleka kwanza madukani nakuwafanyia shoping ya nguvu kabla ya kuwapeleka kwenye hotel moja kubwa kwaajili ya chakula cha jioni, Suzana hakuwa ametilia mashaka juu ya offer hiyo ya mzee Mashaka baba yake Sophia, asa ukizingatia ni baba warafiki yake, siku hiyo ilipita salama, mzee Mashaka akawarudisha wakina Suzana hoster akiahaidi kuwa pitia week end ijayo, lakini haikuwa hivyo, mzee Mashaka aka chezamchezo wa hakili mingi, kwanza akaanzia nyumbani, akaongea kilefu na mkewe akijifanya kuwa hazielewi tabia za watoto wake, asa hawa wakubwa Tony na Sophia hivyo amwite Sophia iliakae nao wote kwa pamoja aongee nao juu ya mwenendo wao, kweli mama alimpigia simu mwanae Sophia nakumwambia aje alaka pekeyake, kwani anamzungumzo muhimu, saa tano asubuhi mzee Mashaka alisimamisha gari kwenye hoster, akijifanya kumwulizia mwanae Sophia, akaambiwa ametoka ila yupo rafiki yake, akaomba aitiwe huyo rafiki yake ambaye ni Suzana, Suzana alipofika akamsalimia mzee Mashaka kisha akaambiwa kuwa akajiandae ili waende mjini waka chukuwe baadhi yamaitaji ya Sophia maana yeye mwenyewe anakikao na mama yake, Suzana pasipo kujuwa kuwa Mzee Mashaka analake jambo akaenda kujiandaa alaka nakuondoka na mzee Mashaka, kwanza kabisa walianza kwenye maduka ya nguo na viatu vyakike, pia kwenye maduka ya urembo, kitu kilichoanza kumshangaza Suzana nikwamba, manunuzi yote yaliyofwanywa yalimuusu yeye na siyo Sophia kama alivyo ambiwa, atimaye saa saba mchana walikuwa wame ingia kwenye hotel moja kubwa ya ghalama wanayoingia watu wenye uwezo mkubwa kifedha, na kwakisingizio cha busara na heshima yakutopnda kuonekana na watu sehemu kama ile mzee Mashaka akashauri wachukue chumba chenye chumba na sebule (suit) ili wakae wakipata chakula cha mchana, akiwa mwenye wasiwasi Suzana alikubali lakini moyoni mwake akipanga namna ya kuepuka na mtege wowote ambao unge tegwa na baba Sophia, waliingia ndani ya chumba kizuri ambacho kina kilakitu ambapo ungeweza kukaa humo ata wiki nzima pasipo kutoka nje, wakaletewa vinywaji vyao wakati wakisubiri chakula, mzee Mashaka aliagiza wine na Suzana aliagiza soda, walikunywa huku mzee Mashaka akijitaidi kuongea kwa ucheshi uliosababisha Suzana aondokewe na wasiwasi, nakumwamini mzee huyu, kwamba hakuwa na niambaya, saa moja baadae walikuwa wamesha maliza kula na walisha zoweana sana, ata Suzana hakuwa na wasiwasi tena, hapo ndipo mzee Mashaka akaanza kumshawishi Suzana kuchanganya soda na wine nyekundu licha kuofia kidogo lakini alipo ijaribu ilimpendeza Suzana, akaanza kunywa bila kujuwa kuwa itamsababishia vitu vingine, ilichukuwa dakika 45 kumlegeza Suzana huku mzee Mashaka akijaribu mala mojamoja kuchezea sehemu mbali mbali za mwili wa binti huyu mrembo, naalipoona amtulia akitbasamu akajuwa anavutiwa na kamchezo kake, hivyo akazidisha kupeleka mkono shemu nyeti zaidi ikiwemo na matiti magumu yaliyo simama, ata muda wakuingiza dudu ulipo fika ndipo mzee Mashaka alipo gundua kuwa binti yule mrembo alikuwa bikira, akisaidiwa na pombe alizo kuwa amekunywa Suzana alivumilia na dudu ikaingia na kutoboa kizuwizi kwenye kitumbua chake japo maumivu aliyapata lakini haikutumia muda mrefu ni baada ya kupump kwa sekunde chache mzee Mashaka kwa utamu wakitumbua chenye joto cha Suzana, hakuchelewa alijikuta akikalibisha mashabiki waingie uwanjani, kwani alikuwa amsha mwaga watoto, sikuhiyo mzee Mashaka ali furahi sana asa kumkuta binti mzuri kama huyu akiwa bikira, kwanza alimpatia fedha kiasi cha shilingi millioni moja mkononi, nakumwaidi kwamba atasimamia shugulizake zote za chuo, huo ndio ukawa mwanzo wa mapenzi yao ya siri pasipo Sophia kujuwa lolote, licha ya kujilaumu kwa kupoteza uschanawake kizembe lakini alipiga moyo konde asa kutokana na msaada mkubwa wakifedha aliokuwa akipewa na mzee Mashaka kilamala, kiasi chakuonekana nmmoja wa wana chuo wenye uwezo kifedha pale chuoni, ata alipo maliza chuo ni mzee mashaka ndie ali mtafutia kazi pale bank na kumnunulia gari pamoja na nyumba kubwa huko kibamba ccm, licha ya kudumu kwa miaka mitatu na mzee Mashaka ktk mapenzi yao lakini kiukweli hakuwai kufuraia utamu wa dudu, maana mzee huyu hakuwai kudumu japo dakika tatu juu ya kifua chake, na hakufikilia kutafuta mtu mwingine wakumwingiza dudu, bado Suzana alikuwa amesimama getini baada ya kumaliza kulifunga, “haa tunaumizana viuno kwa kufunga mageti baada ya kupeana utamu” alisonya Suzana akianzakutembea kulekea ndani, mala akasikia geti likipiga kelele akageuka nakutazama, kwamsaada wa taa zilizopo pale kwenye uwanja wanyumba yake akaona geti dogo likifunguliwa, nakufwatiwa na kuingia kwa kijana mmoja mwenye umbo zuri lakiume, akiwa amebeba begi dogo mgongoni, moja kwamoja akajuwa huyu ndie mpangaji wake mpya “karibu pole na masomo” aliongea Suzana nakumfanya yule kijana kustuka sana, maana inaonyesha hakuutambua uwepo wa Suzana pale, asa ukizingati niusiku sana, “sante sana, habari za leo dada” alijibu yule kijana akiamalizia kufunga geti na kumsogelea Suzana “nzuri birashaka wewe ndiye mpangaji mpya mwana chuo?” aliuliza Suzana akimkagua kwamacho kijana huyu, ” yahaa! ndiyo mimi, …. ndiyo.. nilipanga kesho juma mosi nije nimwone mama, maana toka nimefika sijamwona ata wewe sikujuwa kama hupo maana sija wai…. sija wai kukuona” aliongea kijana huyu akionyesha kubabaika, kama kunakitu kina mtatiza au kumshangaza, kitendo kilichomfanya Suzana atabasamu maana alisha juwa kinacho m’babaisha yule kijana, “husijari mimi ndo mama mwenye nyumba keshotuta ongea, vipi mbona hiyo suruwali yako imechafuka tope, uliingia kwenye maji machafu?” aliuliza Suzana baada ya kuona tope kwenye nguo ya mpangaji wake “ha! kuna gari nimepishananalo hapo limenimwagia tope, nazani nibahati mbaya” alijibu yule kijana akiishika shika suruwali yake ya jinsi, “nigari gani hilo?” aliuliza Suzana akionyesha kutilia mashaka gari ilo “ni NISSAN tena nazani utakuwa umlisikia maana limtoke huku huku” moja kwamoja akajuwa ni mzee Mashaka mpenziwake, “hooo! pole sana itakuwa bahati mbaya” aliongea Suzana akiangalia ile sehemu iliyo chafuka, lakini safari hii aliona kitu zaidi kilicho mstua moyoni nakuufanya mwiliwake usisimke, maana macho yake yalitazama usawa wa lisani ,(flayze) ya mpangajiwakealiona dudu ya kijana huyu ikiwa imevimba na kutuna kiasi cha kutengeneza ramani namna ilivyo kaa ikionyesha kutamani kitumbua muda hulehule, “nikweli itakuwa bahati mbaya maana usiku asingweza kuona” alisema yule kijana nakumstua Suzana ambae bado alikuwa ameduwaa akiangalia jinsi dudu ya kijana huyu ilivyo tuna, “mh! nikweli.. nikweli… ok! kesho basi… eti unaitwa nani vile?” sasa ilikuwa zamu ya Suzana kupatwa na kigugumizi “naitwa Edy …. Edgar” alijibu kijana huyu “ok mimi naitwa Suzana, nazani tuataonana kesho nikupatie mkataba” aliongea Suzana huku akiondoka kuelekea ndani kwake, ataalipoibia kumtazama kijana yule alimwona bado amesimama akimkodolea macho, kiukweli Edgar ali simama akiya kodolea macho makalio ya mama mwenye nyumba wake jinsi yalivyo kuwa yaki tikisika yakimaananisha kuwa licha ya ukubwa wake lakini hakuwa amevaa chupi ndani “mh! kuna watu wana faidi yani da!” alijiemea Edgar baada yakushuhudia mlango wa nyumba ya mwenyenyumba ukifungwa, taratibu akaelekea chumbani kwake, alipo fika kwanza akawasha taa alafu…

Kijana Edgar , akaweka begi lake kitandani na kuanzakuvua viatu na nguo zake zote akaelekea bafuni, ni bafu lililopo ndani ya kile chumba, dakika chache baadae alikuwa ameshamaliza kuoga, akajiweka tayari na kuji laza kitandani, wakati ana tafuta usingizi mawazo yake yakamrudisha nusu saa iliyo pita, mida hiyo alikuwa bado chuoni akijisomea pamoja na wenzake, niutaratibu wao kujisomea usiku hapo chuoni, asa kwa wanafunzi wanaokaa karibu na eneo la chuo kama yeye, na sasa walikuwa wana karibia kutawanyika maana muda wa mwisho kuwepo eneo ilo ni saa tatu nanusu usiku, Edgar akiwa anajiandaa kuondoka akawaona wanafunzi wenzake wanne, wanaume wawili na wanawake wawili wakiwa wamejibanza kwenye kona moja ya dalasi,wakiwa wameizunguka computer ndogo mpakato (lap top), licha ya kutokuwa fahamu wale wenzie kutokana na ugeni wake pale chuoni, lakini akaona nivyema akaenda kuangalia wanachotazama wenzake, pengine nisomo ambalo linaweza likamsaidia katika masomo yake pale chuoni, lakini alipo sogelea, akashuhudia mambo tofauti kabisa, kioo cha computer ile ndogo kilionyesha vijana wawili wakike na wakiume, wakiume, mwafrika na wakike akiwa mkolea, wakiwa uchi wa mnyama wakifanyiana michezo yakimapenzi, mala wachezeane sehemu zasiri, wanyonyane ndimizao, wakadiliki ata kunyonyana dudu nakitumbua, ikiwa ni maandalizi ya kupeana dudu tamu tamu, kiukweli Edgar katika mahisha yake yote mpaka anatimiza miaka 24, na ukiwa ni mwaka wake wamwisho wamasomo ya chuo degree ya kwanza ya sanaa na uandishi, hakuwai kuona vitu kama vile, iwekwenye video au moja kwamoja (live), kiukweli Edgar alijikuta akiganda nakushindwa kuondoka mahali pale, asa baada yakuona wenzake wakiwa katka utulivu kama wana msikiliza mwalimu darasani, huku macho yake yaki shuhudia wapenzi wale kwenye video wakipeana mambo, hisia zilikolea kichwani kwake, akajikuta dudu ikisimama na kubana kwenye suluali yake jinsi, akajihisi ahibu kidogo akageuza macho na kuwatazama wale wenzake, aliona wale wanaume walikuwa busy wakitazama ile video, lakini wale wanawake machoyao yaligongana nayakwake yeye Edgar, huku yakionekana wazi macho ya mabinti wale warembo, yakiwa yamelegea kwakuzidiwa na nyege, Edgar alijikuta akishikwa na aibu zaidi akaamua kuondoka zake maali pele, akisindikizwa na macho ya wale wanawake, njia nzima alitembea huku dudu imemsimama vibaya sana, kiukweli hakuwai kuonja kitumbua cha mwanamke yoyote toka amezaliwa, nisababu ya maisha aliyoishi, maana toka chekechea alisoma shule ya bweni, ya kimissional, yakanisa katoliki. huko mkoani Ruvuma, adi anamaliza kidato cha sita, lengo la wazazi wake lilikuwa ajekuwa padre katika maisha yake, waliamua hivyo ni baada ya kupata watoto sita, nawatano wakiwa ni wakike, nawamwisho ambae ni Edgar ndie wakiume, wakapanga awe padre, lakini tofauti ikaja miezi michache iliyo pita Edgar akiwa anakaribia kumaliza chuo nakupata degree yake ya sanaa na uandishi, kwenye chuo cha seminal huko pelamiho songea, ilitokea siku moja wakina Edgar wakiwa kwenye mechi, ambazo ufanyika mala kwa mala, wakishindana na vyuo jilani, Edgar alipigana na kijana mmoja wa chuo cha ualimu, aliemshutumu kuvuruga mausiano yake na mpenzi wake, aliekuwa anasomanae chuo hicho cha ualimu, nikweli yule binti alionyesha shobo kwa Edgar, kituambacho Edgar hakujuwa nawala hakuwaza, ndipo kijana yule, alipoona shobo ya mpenzi wake, akaamua kumvamia Edgar, lakini Edgar ambae nimtu wamazoezi, na mjuzi wakupigana , alimtandika sana yule mwalimu mtalajiwa, nahiyo haikuwa na maojiano, Edgar alifukuzwa chuo nakuombewa nafasi yakumaliza masomo yake kweny chuo cha habari kibamba dar es salaam akiwa amepwa kiasi kidogo cha fedha na wazazi wake kwaajili yamatumizi na shemu ya kukaa kwa miezi mi tatu iliyobaki maana ada ya chuo ililipa kanisa na shirika alilokuwepo, kiukweli hakuwa na mausiano na binti Happy aliesababisha ugomvi, ila Happy ni mmoja kati ya mabinti wengi waliokuwa wanaitaji penzi la mseminali huyu ikafikia kipindi akaandika barua yakumtaka kimapenzi Edgar ni baada yakusikia kuwa wanakuja kucheza mpila na chuo chao, lakini kwa bahati mbaya barua hile ilikamatwa na mpenziwake ambae alijawa na wivu na kwenda kumvamia Edgar, lakini Edgar hakuwa mzembe alimzibiti na kumtandika kisawasawa, Edgar akiwa anatembea kuelekea kwenye makazi yake mapya tofauti na alivyo zowea, alistuka akipitwa na gari aina ya nisani na kuwagiwa maji machafu, nagari kupotea kabisa pasipo kuangalia kilicho tokea, tukio lile halikusaidia kupoteza mawazo yakile alicho kishuhudia kule chuoni, na alipo fika nyumbani, ndipo akakutana na Suzana akiwa na kile kinguo chepesi, hapo ndipo mambo yalipo zidi kuwa mabaya kwake. Edgar akiwa bado amejilaza kitandani, alijikuta anapambana na hisia za hajabu zilizo mtuma kutafuta ata mwanamke mmoja wakujaribu kufanya naye mapenzi, maana hakuwa na namna nyingine, kuhusu ndoto za upadre hakuwanazo tena, kilicho baki ajaribu kupata utamu ambao, watuwengi wanauangaikia, “pale chuo kuna waschana wengi sana, lakini sina pesa za kutosha” aliwaza Edgar akifikilia kiasi cha fedha ambazo alizobakiwa nazo, ni laki moja tu! nakodi ya miezi mitatu ambayo inabidi alipe kesho ni elfu sitini, atabaki na elfu alobaini, ataishi vipi miezi mitatu iliyobakia kumaliza chuo, maana hakuwa nauakika wakutumiwa fedha wazazi wake, hawakuwa na uwezo kifedha na licha ya dada zake, wa nne kuolewa lakini hawakuwa na msaada kwake, kutokana na tabia za mashemeji zake, nitabia zilizo sababisha wazazi wake, wake matumaini makubwa kwake, wakiamini kwamba yeye ndie atakuja kuwa komboa kimahisha, kiukweli Edgar alikuwa na wakati mgumusana usiku hule, lakini mpaka anapitiwa na usingizi, Edgar alikuwa bado dudu yake imemsimama vibaya mno, ** upande wa Suzana pia haikuwa salama, nayeye aliwaza sana juu ya dudu ya Edgar, jinsi ilivyo vimba nakutuna kwenye suruali yake, aliona kama ni tofauti na mzee Mashaka, ambayo niyapekee aliyo wai kuishuhudia katika maisha yake, pia kijana huyu mpangaji wake mpya alionekana mzuri sana, na mwenye mwili wa kimazoezi, hakujiuliza juu ya umri wake maana yeye Suzana alikuwa ana miaka 28, licha yakuwaza hayo kwamuda mrefu,

Mwisho wasiku, akayakemea mapepo hayo ya matamanio, kwani alitambua uwepo wa mzee Mashaka, mwanamumealiemwonyesha mapenzi kwamala yakwanza, licha ya kutomfanya ayafurahie mapenzi kama anavyo sikia toka kwa rafikizake ,taratibu usingizi ulianza kumnyemelea, lakini kabla haujakolea, alistuliwa na mlio wasimu yake ya mkononi, akatabasamu kidogo, maana alizani ninimpenziwake mzee Mashaka, alitaka kumjulisha kuwa amefika salama, lakini ikawa tofauti, alipoitazama simu yake, aliona ni Sophia, akaipokea simuile, kwanza alikutana na sauti zakelele za watu zikiambatana nafujo za music, “hallow Suzie uananisikia?” ilikuwa sauti ya Sophia, ikiaonyesha wazi alikuwa amesha kunywa pombe, “nakusikia wangu, lakini hapo kuna kelele sana,” poa ngoja ni sogee pembeni,

Sophia Mashaka kwasasa alikuwa ni mwajiliwa wizara ya nishati na madini , kitengo cha tanesco, tawi la ubungo, kama mwasibu mkuu, “vipi hapo unanisikia vizuri” “hapo nakusikia, vipi Sophy, mbona usiku hivo?” aliuliza Suzana kwasauti ya usingizi, “usiku, wakati wenzako ndo kwanza kunakucha, vipi kesho utakwenda kazini?” aliuliza Sophia mtoto wa Mzee Mashaka, “mh! Kesho nilitaka nipige simu, kuwa naumwa, vipi kuna mchongo?” aliuliza Suzana uku akijigeuza na kulalia tumbo, akiachia msambwana ukiwa juu ukionekana vyema, “tena mchongo wa maana, kuna jamaa wa tawi la kinondoni wanataka tuwa fanyie mishemishe ya feck account, wana kopeshwa million 80, yakwetu 20” poa nitakwenda mala moja kasha nita ondoka, ila inabidi saa mbili nanusu wapo pale mpaka saa nne tuwe tume funga hiyo account” aliongea Suzana kwashauku, maana ako kalikuwa ni kamchezo kao, yani, pale mashilika ya kiserikari yanapo towa mikopo kwa wafanyakazi wao, kupitia benk ya wananchi, wao uingia mkataba na wale wanaokopeshwa, kasha wana tengeneza account feck, itakayo pitia fedha hiyo, na baada ya kuchukua fedha, ile account ufutwa mala moja, nakupoteza kumbukumbu za mkopo huo, hivyo deni kuwa hasala, “husijari wangu, yani kesho mapema sana, wewe ukufika anza kuifungua account, sisi tukifika tuna maliza, na fedha inaingia,” baada ya kumaliza maongezi yao, ndipo Suzana akaanza kuutafuta usingizi, wakati akiangaika kutafuta usingizi, ndipo alipojikuta akimkumbuka mpangajiwake mpya,yule mwanafunzi, akakumbuka jinsi alivyoiona dudu, iliyosimama nakuonekana vyema kwenyesuluali ya jinsi aliyo ivaa kijana yule, hapo alijikuta akiupaleka mkono wake wakulia, kwenye kitumbua chake, na kulengesha kidole chake kimoja cha kati, kwenye mlango wa kitumbua chake, nakujaribu kukiingiza ndani, huku kiganja chamkono wake wakushoto, akiupeleka kwenye titi lake kubwa kiasi lakulia nakuli binya binya kidogo, mkono wakushoto ulitalihi kwenye mlango wakitumbua, kabla haja rudisha juu nakuishia kwenye kikunde, wenyewe wanaita alaghe, chakula ya baba, akajaribu kuzungusha kitolechake kwasekunde kazaa, akiwaamefumb macho, kwamsisimko aliokuwa anausikia, hakudumu kwamuda mrefu kwenye mchezo ule, akaamua kufutilia mbali mawazo ya kijana yule, akipanga kesho yake kujaribu kufanya kila mbinu, aliyowai kuisikia, au kuisoma kwenye vijarida, iliaweze kukata kiu yake na mzee mashaka, ambae hakujuwa kule aliko anafanya nini, **** saa moja kasolo, Suzana alikuwa nje ya mlango wa kijana Edgar, mpangajiwake mpya, akagonga mlango wachumbahicho, lengo likiwa ni kumjulisha kuwa hatokuwepo, kama alivyo mwambia, anaelekea kazini, Suzana aligonga mala mbili, kabla ya kusikia sauti ya mpangaji wake mpya ikiitikia, “karibu , subiri nakuja” na sekundechache akashuhudia mlango ukifunguliwa na akatokea yule kijana, mpangaji wake mpya Edgar akijitokeza kifua wazi, nikifua kilicho jengeka kiasi, ni kwaajili ya mazoezi, “hooo karibu sana mama, karibu sana, nimekuchelewesha, sikujuwa kama niwewe mama” Suzana nikama alipigwa na butwaa lakisirisiri, akikodowa macho kwakijana huyu, ambae usiku, alitawala mawazo yake, kwa kiasi kikubwa sana, Suzan akamtazama kijana huyu usoni, kwa bahati mbaya Edgar naye alikuwa anausanifu uso mzuri wa mama mwenye nyumba wake, hapo sasa waligongana macho, Suzan akashushamacho yake chini , tatizo nipale alipo shusha machoyake chini, hapo sasa, ilikuwa ni matatizo kwa Suzan, maana alichokiona kilimfanya asisimkwe na mwili, ni kama mjamzito kaona embe bichi, dudu ya Edgar ilikuwa imesimama kiasi cha kuinua kabisa bukta, aliyo kuwa ameivaa, utazani mshikakibendela anaonyesha off side “mh!.. samahani kwa..aa.kukuamsha, maana… mh!” aliongea Suzana akiinua usowake nakutazama kifua cha Edgar, kisha usoni, na kwa malanyingine macho yao, yana gongana tena, wakajikuta wakichekeana “husijari mama, nimimi mwenyewe, ndiyo nimechelewa kuamka”

Maneno hayo ya Edgar hayakusikika masikioni kwa Suzana maana mawazo yake yalikuwa kwenye dudu “HOOO! Nilikuwaaa.. nataka nikujulishe kuwa, natokakidogo naelekea kazini, tutaongea nikirudi” alisema Suzana, huku akiya kwepesha macho yake, yasikutane tena na macho ya Edgar, piaalijitaidi ku kwepa hasi tazame tena kwenye bukta ya huyu mpangaji wake mpya, “sawa mama, nitakuona baadae” hapo Suzana alijichekesha kidogo, akageuka nakuondoka zake, kuelekea alipo acha gari lake toyota la 4, akaingia nakuliwasha, kisha akashuka nakwenda kufungua geti, wakati anafungua geti, ilimlazimu kuinama ilikutowa lock za chini zageti hilo, sasa kitendo hicho chakuinama, kilisababisha makalio yake kuonekana vyema zaidi ndani ya suruali yake ya kitambaa chepesi, pia hips zilitanuka zaidi huku kishati chake, kikipanda kwajuu na kusababisha sehemu ndogo ya kimkanda cha chupi kuonekana, ikifwatia na mfreji uliogawa makalio yake makubwa, kuonekana kidogo, hapo ndani ya bukta ya kijana huyu kulitibuka Zaidi, alipo maliza Suzana aliingia kwenye gari, nakulitoa nje, akashuka tena kwaajili yakwenda kurudisha geti, lakini akamwona tayari Edgar amesogea, nakumsaidia kufunga geti, kitu ambacho Suzana hakukitegemea, akajikuta amesha peleka macho yake kwenye bukta ya Edgar, nakutazama tena dudu ya kijana huyu, ambayo bado ilikuwa imetuna nakusimama aswaaa! “hoooo! asante sana Eddy, ok baadae” aliingia kwenye gari lake na kuondoka zake, huku Edgar akirudi ndani, wakati ana katiza kuelekea kwake akapishana na dada mmoja ambae ni mke wa mpangaji mwenzie “shikamoo dada” Edgar alisalimia kwa heshima, ndivyo alivyo zowea, “hoo!..mambo Eddy, naona jana umechelewa kurudi hen?” aliongea yule dada, huku macho yakiibia kutazama bukta ya Edgar, dada huyu licha ya kumzidi umri Edgar, lakini mwonekano wake ulivutia, na angetosha kabisa kupeana dudu na kijana huyu, ambae kiasi kikubwa cha mawazo yake, kilitawaliwa na kutamani kamchezo hako, “nikweli nilichelewa uwa nabaki chuo kujisomea” alisema Edgar, kabla hajaendelea yule dada “naona ulikuwa unaongea na mama mwenye nyumba” na sasa walikuwa wamesimama kabisa wakiongea ili nalile, lakini Edgar aka gundua kuwa macho ya yule dada, mke wa mpangaji mwenzie, ya naangalia sana sehemu ya mbele ya bukta yake, hapo ndipo alipo stuka na kujiangalia, du! hapo moja kwamoja akaondoka nakuingia chumbani akimwacha yule dada akicheka, moja kwamoja Edgar akaingia bafuni nakuoga, kabla ya kujilaza tena kitandani, maana ilimlazimu kupoteza muda kwalengo la kubana matumizi, akiamka saa tano aende kwa mama ntilie, akapate chai na chapati mbili kwa mia nane, kisha asubili mpaka saa kumi nambili, ndipo ale chips kavu pengine na soda ndogo ya jero, hapo angekuwa ametumia elfu mbili mia tatu siku ingekuwa imepita, wakati akiwa hapo kitandani, akapata wazo, akachukua simu yake, na kukagua kitabu cha majina, mpaka alipo pata jina la dada Selina, huyu ni dada yake wapili kuzaliwa, kwakutumia salio lake dogo alilokuwanalo, kwenye simu yake, akaipiga ilenamba, ya dada yake, baada ya kuita kidogo ikapokelewa , “unasemaje, ?” kauli yakwanza kabisa ya dada yake Edgar, iliyo onyesha ukali wawazi kabisa, baada tu, yakupokea simu, lengo lilikuwa ni kumwomba fedha kidogo, “shikamoo dada” alisalimia Edgar ilikumtuliza dada yake, lakini haikusaidia kitu, dada akaja juu, “weee! Ebu sema shida yako ninakazi zangu hapa” hapo Edgar akapatwa na kigugumizi, na kabala ajasema shida yake , akasikia kiashilio cha simu yake kukatika, akajaribu kuipiga tena, ikasikika sauti ikimwambia, hakuwa nasalio lakutosha kupiga simu, hapo akatafuta namba ya dada yake mkbwa , nakutuma ujumbe wa tafadhari nipigie,**** baada ya kutoka nyumbani, Suzana mahips alielekea mbezi, ambako zipo ofisi zao za tawi la Benk ya wananchi ubungo, njiani alifanya zoezi lakuangalia sehemu za mbele za suluali za wanaume, lakini hakuona anacho taka kukiona, alitalajia kuona dudu ikiwa ime tuna kama ya Edgar, hakuchelewa kufika, alipo fika alitoa taarifa ya udhulu, kwamba baadae ataenda kumwangalia mgonjwa tumbi hospitali, baada ya kuingia ofisini, kitu cha kwanza aliongea na Sophia, ambae alimwambia kuwa yupo njiani anakuja na watu wake, baada ya hapo alikaa ofisini, nakuanza kufungua account feck, baada ya kumaliza , akaaakimsubiri Sophia na watu wake, hakukaa hivi hivi, muda wote ofisini aliendelea na kazi zake kama afanyavyo siku zote, lakini hakuhacha kumtazama kila mwanaume alie ingia ofisini kwake iwe mteja au mfanya kazi mwenzie, lakini hakufanikiwa kuona mwenye dudu iliyo tuna, japo hakujuwa sababu ya yeye kufanya vile, lakini alijisikia tu! kufanya hivyo, huku hamu ya kupata dudu tamu, iki zidi kumkamata alihisi taratibu kitumbua chake kina anza kutekenya akatamani apeleke mkono ili jichezee kikunde chake lakini akashindwa kutokana na camera za ulinzi zilizotegwa kila kona pale bank akajikuta amechukuwa simu nakuandika sms nakuituma sehemu

Mzee Mashaka ndiyo kwanza alikuwa ametoka kuamka, kichwa chake kilikuwa kizito sana,kutokana na pombe, alizokunywa jana usiku, maana ile jana alipo toka nyumbani kwa Suzana, alielekea moja kwamoja Full dose pub, ambapo alilkuwa anamihadi na rafiki yake mzee Haule, kwaajiri ya biashara, usiku ule kabala ya kwenda nyumbani, alifika pale Full dose nakuku tana na mzee Haule, ambae alitkea Songea kwaajili ya mambo ya kibihashara, aliongea sana na mzee huyu, wakakubariana kukutana kesho yake, kwaajiri ya kukabidhiana mzigo ambao ungesafilishwa jumapili, kwenda songea ambapo ofisi za mzee Haule zipo, baada ya hapo wakaendelea kukata maji, wakati wanaendelea kupiga mtungi mzee Mashaka akamwona binti mmoja mrembo sana, alievalia ki gauni kifupi sana, kilisho hacha sehemu kubwa ya utamu , ukiwa wazi asa pale counter alipo kaa juu ya sturi ndefu nakuchanua miguu yake, akiwa na wenzie wawili, nao walikuwa, wamevaa, kama mwnzao, wote walikuwa wakinywa pombe, pale pale mzee Mashaka, akamtamani, nakuanza taratibu za kuongea nae, mwisho wakajikuta wapo meza moja, wakaendelea kunywa pombe mpaka saa saba usiku, ndipo mzee Mashaka akachukuwa jukumu la kumpeleka yule binti nyumbani kwake, kwakutumia usafiri wake NISSAN SAFARI, nikaribu na maeneo hayo ya bar, huku mzee Haule akimchukua binti mmoja kati ya wale wawili waliobakia, na yule mwingine alipotelea mulemule bar, baada yakunywa sana pombe, ndani ya nissan safari mzee Mashaka na yule binti, hawakwenda mbali nikama mita miatatu toka pale bar, kisha yule binti akamwabia mzee mashaka “baby simama hapo hapo” mzee Mashaka akasimamisha gari “vipi tumesha fika?” aliuliza mzee Mashaka kwa sauti ya kilevi “hapana baby, guest ilepale unaipiata, mimi nyumbani na kaa na dada yangu, hatuwezi kulala wote” alijibu yule mwanamke kwa sauti yakilevi, akimaanisha waende guest akampe mambo “hapana mrembo, leo sijisikii vizuri, nazani kesho tutakuwa namuda mzuri wakuenjoy, nilikuwa nakupeleka nyumbani tu!” aliongea mzee mashaka, lakini akashangaa kuona yule binti anamfungua mkanada wa suluwali, “hapana bwana, kesho ni kesho na leo ni leo” mzee Mashaka kabla haja mzuwia, alishangaa kuona yule binti akimalizia kumfungua zipu, na kuingiza mkono ndani ya boxer, nakuitoa dudu yake, kisha akaidumbukiza mdomoni, nakuanza kuinyonya. kilikuwa ni kitendo mabacho mzee Mashaka hakukitengemea, nakutokana nakuwa, alitokakufanya mapenzi mda mfupi uliopita, alijikuta hakishindwa kusimamamisha dudu, ilikufurahia tendo lile, licha ya binti yule kuangaika kwa muda wa nusu saa, akitumia mbinu za kikahaba, akijaribu kuamasha dude, lakini wapi, ndipo yule binti akamwelekeza mzee Mashaka anapo kaa, ikiwa nipamoja nakumpatia namba za simu kisha yule binti akaondoka zake, wakipeana mihadi kwamba, kesho mapema waliamshe dude, mzee Mashaka akaanza safari yakurudi nyumbani kwake, mbezi msakuzi ambapo alifika saa nane usiku, akajitupa kitandani nakupitiwa na usingizi, akaanza kukoroma akimwacha mkewake akikunja sura kwa hasira, mpaka asubuhi alipo amka nakuingia bafuni, kisha kukaa mezani kwaajili ya soup, vitendo vyake mkewe alisha vizowea, maana walisha gombana sana, siku za nyuma ikafikia kipindi akaamua kukaa kimya, japo mala chache alinusulika kuingia majaribuni, maana alikuwa anaweza kukaa ata miezi minne, haja lionja dudu, masikini mama wawatu bado alikuwa anavutia sana, kutokana na umbo lake zuri nasura, pia alikuwa anajipenda nakutunza urembo wake kwa ghalama kubwa, wakati Mzee Mashaka akiwa mezani anafakamia soup ya ngombe, kukata mning’nio, vijana wana ita lock, mala ikaingia sms kwenye simu yake, akaiangalia jina la mtumaji ni Suzana, akaifungua nakuisoma “shikamoo, vipi ulifika salama?” naye akajibu “malahaba mpenzi wangu, nashukulu nilifika salama” Suzan baada ya kuisoma naye akatuma nyingine “vipi bado hupo nyumbani” mzee mashaka akaisoma nakujibu “nipo home napata soup karibu” akaisend na kusubiri jibu, “kwahiyo hupo karibu na mama?” “hapana nipo mwenyewe, vipi kuna inshu?” “ndiyo kama unaweza kuja kwangu leo” “poa husijari nitakuja mchana” “poa nakusubiri kwa hamu” * wakati suzana anamalizia kujibu sms yamwisho na mlango ukafunguliwa, akaingia Sophia akiwa ameongozana na wanaume wawili, “hooo! karibu mwaya, naona umewai” aliwakaribisha Suzana “weee! mbele ya mawe, ebu! tufanye yetu kabla muda haujaenda, siunajuwa leo weekend inaendelea” baada yakusalimiana, bila kusaahau kuwakagua sehemu zao za mbele za suluali Suzana aka tafuta account moja kwenye kwenye computer,niile aliyo kuwa ameiandaa na kuanza taratibu za kuamisha fedha,

Huku nako, Edgar baada ya kulala sana, akaamka saa nne, nakujiandaa kisha akaelekea chuoni, ambako alikaa kwamuda, huku akijaribu kuwaza namna yakupata fedha, zitakazo mfanya aweze kutumia kwa kula, pamoja na kupata japo mwanamke mmoja, wakumpunguzia hamu, akiwa amekaa ndani ya darasa moja peke yake, akiwaza ili nalile ikiwa pamoja nakusubiri simu, toka kwa dada yake aliekuwa amemtumia ujumbe wa, tafadhari nipigie kwa dada yake mkubwa, akiamini kuwa kutokana na shemeji yake, kuwa nakazi nzuri, angeweza kumsaidia fedha kidogo za matumizi, zitakazo msaidia kwenye mipango yake, japo alihiifahamu vyema tabia ya dada zake, yakutokusaidia wazazi wala yeye mwenyewe, ila alijipa moyo, kuwa kwasababu kwa sasa anasoma mbali, nakilakitu kinitaji fedha, ange msaidia “mambo anko?, zatoka jana” alistushwa na sauti yakike, sauti iliyo mfanya ageuke nakumtazama muongeaji, naam alikuwa ni mschana mrembo kiasi, alievalia kinguo cha kubana kwelikweli wenyewe wanaita tait, iliyoishia kwenye magoti nakuonyesha jinsi alivyo jaliwa kuwa nakaumbo potabo, juu alivalia tishert lililo ishia kwenye mapaja, nakumfanya apendeze kidogo, bint huyu hakuwa mgeni machoni mwake, ni binti mmoja kati ya wale wawili, ambao walikuwa wakitazama video yangono jana usiku, akiwa amenyoosha mkono kwa Edgar, akiitaji wasalimiane kwa kushikana mikono, naye akampa wakwake “poa tu!” alijibu kwa kifupi Edgar “naitwa Nancy nipo mwaka wapili, mwenzangu unaitwa nani?” alijitambulisha yule mwanamke “naitwa Edgar nipo mwaka watatu” kiukweli Edgar aliweza kumtazama vizuri binti huyu, ni mrembo mwenye kuvutia nakutamanisha “Edgar unaonekana ni mgeni hapa chuo?” aliuliza yule binti Nancy, huku usowake umepambwa kwa tabasamu laini, “yah! Nina week moja tu hapa” hapo Edgar alishuudia tabasamu likizidi kuchanua usoni kwa Nancy “ok! me nipo singo, kama hutojari unaweza kunitowa dinner, kabla ya darasa la usiku, ilituongee zaidi” alisema Nancy na kuondoka zake akimwacha Edgar ana msindikiza kwa macho, “mh dinner? Mimi mwenyewe dinner” alijisemea Edgar, licha yakuwa kweli alikuwa anaitaji sana mwanamke, hapo Edgar hakuchukuwa muda mrefu akaamua akatafute sehemu ambayo anaweza kupata chai, maana njaa ilianza kushambulia, akiwa njiani aliwaza nivipi amnge weza kutoka na yule binti, maana ana wajuwa waschana wa chuo, kwa siku chache, alizokaa hapa chuo, aliona jinsi wanavyo penda kula vinono sasa bajeti yake yeye buku mbili jero itawezekana vipi, wakati akiwaza hayo akasikia simu yake ikiita alipo itazama alikuwa ni dada yeke,** Wakati huo suzana naye alikuwa amesha maliza kufanya mchongo wake na wakina Sophia, wakagawana chao, kila mmoja yeye na Sophia, akiondoka na million kumi, kasha wakaagana na kilammoja akashika njia yake, Suzan aliaga, ofisini kuwa anaenda kumwona mgonjwa, hospital ya Tumbi kibaha, kisha akatoka nakuelekea kwenye maegesho ya magari, ya wafanyakzi wabenk, akiwa anatembea nje ya jingo la bank, pembezoni mwa mauwa yaliyo pandwa kwa lengo la kupendezesha eneo lile, mala akamwona mjusi, kiukweli Suzan ni mwoga sana wa wadudu kama hawa, alijikuta akijaribu kuruka kwa uoga, kiasi cha kuji stua mguu, kitendo kilicho sababisha, hashindwe kukanyaga vizuri, nakuyumbakidogo na kujigonga, kwenye nguzo moja ya maegesho yamagari, kitendo hicho kili mfanya ajisikie maumivu kwenye paja alilo jigonga kwenye nguzo, na sehemu ya kisigino, iliyo stuka mwanzo, basi akajikongoja mpaka kwenye gari lake, nakuingia ndani, safari ikaanza, huku maumivu akiendelea kuya sikia,*

Hukunako baada ya kuiona kuwa dada yake anapiga simu, Edgar akasogea pembeni ya barabara nakuipokea simu “shikamoo dada” alisalimia baada tu! yakupokea “ebu! ongea haraka unanimalizia vocha” alijibiwa kwasauti yaukari na dada yake “mh! dada lakini ata salamu hutaki” alisema Edgar lakini dada yake akaja juu “salamu kitugani, huna lolote zaidi yakutaka kuomba ela, ungekuwa na heshima husinge fukuzwa upadre” hapo simu ikakatwa, Edgar aliuzunika sana, moyo ulimuuma, nusu atowe machozi kwa uchungu lakini akajikaza kiume, * wakati huo huo Suzana naye ndiyo alikuwa anaingia kibamba, akitokea mbezi, lakini licha yakuwa na vimaumivu kwenye kisigino, na pajani, bado nia yakeilikuwa ni kumfanyia mzee Mashaka utundu , ambao utamfanya ape dudu kiuakika, pia njiani aliendelea nakamchezo kake, kakutazama nyeti za wanaume, kama zimetuna, kamaalivyoona kwa mpangaji wake, lakini hakufanikiwa, “au kunakitu anaficha yule” swali la kijinga, hapo Suzan alijicheka kidogo, wakati anakatisha njia ya kuelekea magengeni, akamwona kijana mpangaji wake Edgar akiwa mwenye mawazo mengi anakuja upande wake, moyo ulimlipuka, wakati huo nayeye alisha fikia karibu na bucha la nyama yang’ombe, kwa Ras,

nakusimama pembeni yake, muuzabucha Ras alisha juwa tabia ya Suzana ya kununua maitaji akiwa ndani ya gari, alipo mwona akatoka buchani na kumfwata kwenye gari” ngapi leo dada yangu?” Ras aliuliza akionyesha kufahamiana na Suzan “naomba kilo mbili, steck” aliagiza nyama nyingi akiwa namaana kesho hasingeweza kutoka, akamkabidhi na fedha, baada ya hapo akamtazama tena Edgar sasa, aliwona akikoswakoswa na pikipiki (bodaboda) huku mnwndesha pikipiki akiachia tusi la nguoni, lililo muusisha mama yake Edgar moja kwamoja, japo pikipiki ile iliyo kuwa mwedo wakasi ilimfwata pembeni kabisa ya barabara, huku yule mwendesha pikipiki akimwachia Edgar tusi zito la nguoni, bado pikipiki ilikuwa ikija kwa kasi usawa wa gari lake, huku yule mwendesha pikipiki, akijaribu kushika brek, kujiokoa hasiligonge gari la Suzan, ambalolilikuwa limepaki pembeni kabisa ya barabara, nakufanya pikipiki isote nakwenda kusimama atua chache mbele ya gari lake, alafu yule mwendesha pikipiki akashuka akiwa amekunja sura kwahasira na kumfwata Suzana, “hivi we malaya unalingia hili gari lakuongwa, unapaki hovyo hovyo njiani ” kauli hiyo ili muumiza sana Suzana, lakini hakuwa na lakufanya akabaki kimya, huku watu wengine, wakisogea nakuanza kumlaumu yule kijana kwa lugha chafu, aliyomtolea Suzan, naukizingatia yeye ndie alievunja sheria ya kuendesha mwendo wakasi, “hapana bwana, hawa wenyemagari wanatunyanyasa sana, alafu magari yenyewe, wanayapata baada yakugawa kum….” kauli hiyo hakuweza kuimalizia, kwani watu wote akiwepo Suzana, walishangaa kumwona yule kijana akiwa juu analea kama gunia lililo shushwa toka kwenye loli, nakjibwaga chini bwaa, Suzan alimwona yule mwendesha pikipiki, akijiinua araka nakumfwata mtu alie mpiga mtama, lakini kilamtu alishuhudia yule kijana mwendesha pikipiki akipokea ngumi nzito ikituwa kwenye shavu, kasha ziki fwatia nyingine sita mfululizo zilizo tuwa usoni,nakumfanya ayumbe na kujibwaga chini kama anaugua kifafa, hapo ndipo walipo weza kushuhudia, akikandamizwa na teke tumbo kama mtu anae kanyanga nnge au mende, kisha akafwatiwa na ngumi mfurulizo za usoni zisizo na idadi, zilizo zidi kuuchafua uso wa kijana yule mkosa heshima, zilizo sababisha damu isambae usoni kwa yule mwendesha pikipiki, hakuna alie amulia zaidi watu walishangilia, mpigaji alipo lizika akamuacha nakuondoka zake, wakati anaondoka ndipo Suzana alipo gutuka na kutaka kumwita, maana alisha mjuwa kuwa ni mpangaji wake mpya, na kitu kilicho mchanganya Zaidi, niuwezo wakijana yule, hakuamini kijana yule mpole anaweza kumfumua yule mwendesha pikipiki namna hile, hakuwa na lakufanya, akamsindikiza kwa macho mpaka alipo potea machoni kwake, akirudi alikotokea upande wa chuoni kwao, hapo Suzana akanunua maitaji yake, huku akisikia jinsi watu pale wakimsifia yule kijana kwakumshikisha adabu, mwendesha pikipiki mjinga, nakabla hajaondoka alishuhudia polisi wakifika pale na kumchukuwa yule kijana, ni baada yakuhoji kilicho tokea, muda mfupi baadae Suzana alikuwa amesha fika nyumbani kwake, akabadirisha nguo zake, nakuvaa nguo nyepesi ambazo upenda kuvaa akiwa mwenyewe nyumbani, au anapokuwa na mpenzi wake mzee Mashaka, ni kigauni chepesi kifupi kinachoishia juu ya magoti, katikati ya mapaja, nakusababisha mapaja yake ma nene na makalio yake makubwa kuonekana vizuri, tena leo hakuvaa nguo za ndani, kuanzia sidilia mpaka chupi, kitu licho sababisha kila kitendo alicho fanya kiliutikisa mwili wote, kuanzia hips makalio na matiti yake makubwa, hapo akaingia jikoni , akanza kupika, saa sita kasolo mzee Mashaka alikuwa amesha malizana na mzee Haule, baada ya hapo akaelekea mbezi pale pale full dose, nia ikiwa moja tu! kwenda kumtafuta yule binti alie mnyonya dudu jana usiku, alifika full dose nakukaa kwenye meza moja iliyo jificha, akaagiza bia, baada yakunywa bia mbili, akampigia simu yule binti ambae alimsevu kwajina la WAJANA, alipata hewani na wakakubaliana aje mala moja pale full dose, haikuchukuwa mda mrefu bint wa jana alikuwa amesha wasili, kwanza aliingia kwambwembwe, alimpiga busu lamdomo, mzee Mshaka baadaya hapo, akakaa nakuagiza bia huku akiagiza aitiwe mtu wa jikoni, baada ya muda mfupi bia ilikuwa imesha letwa na muuza chips alisha agizwa, walitumia saa limoja, kabla mzee Mashaka ajarudisha mawazo kwa Suzana, akijiuliza kwamba atakuwa na shidagani, hakuwaza juu ya ngono, maana haikuwai kutokea Suzana akadai dudu ata sikumoja, mawazo hayo alikuwa akiyawaza toka anatoka nyumbani, hivyo alishajiandaa kwalolote, ikiwa ni kubeba kiasi cha shilingi milioni saba, akijuwa pengine Suzana alikuwa nashida ya fedha, waliendelea kupiga pombe, muda wote binti huyu Wajana, aliakikisha anaegesha mkono wake juu ya mapaja ya mzee Mashaka, nakuchezea dudu ikiwa ndani ya suluali, ilikuakikisha ina simama, nakweli akaishuhudia ikisimama, hapo kazi ikamwa moja tu! kuzidi kumkoleza na kuakikisha mambo hayaharibiki kama jana, walikaa hapo kwamuda mrefu wakinywa pombe, ndipo mzee Mashaka alipo pokea sms toka kwa Suzana akimkumbusha kuwa anamwitaji mchana ule, hapo mzee Mashaka akamwambia binti Wajana, amsindikize mala moja kibamba kunamtu anataka akamwone, safari ikaanza, nusu saa baadae nissan safari lilikuwa limesha simama nje ya nyumba ya Suzana mahips namzee Mashaka yupo ndani ya nyumba hiyo, ni baada ya kumwacha binti wajana kwenye bar moja ya jilani, akimwambia amsubiri kidogo, huku ndani ya nyumba ya Suzana, suzana alikuwa amejilaza kwenye kochi huku kiguochake kifupi kikihacha wazi sehemu kubwa ya mapaja ya Suzana, ni baada yakumaliza kupika, na kuandaa chakula mezani, tayari kula na mzee mashaka, lakini mambo hayakuwa mazuri, licha ya Suzana kuonyesha dalilizote zakuitaji dudu, lakini mzee Mashaka hakuwaonyesha kuitaji kitumbua kwa muda huo, huku akijifanya ana araka sana, alimsogelea Suzana ambae alikuwa amelala juu ya kochi huku kile kinguo chake cha mtego, kikihacha mautamu njenje, “niambie mama, una shida gani?” aliuliza mzee Mashaka, akiwa bado amesimama, karibu na kochi alilo lala Suzana, “baba si ukae kwanza baba” aliongea Suzana, akimshika suluali mzee Mashaka na kumvutia kwake, “hapana mama, hujuwe nime mwacha mzee Haule ananisubiri, wacha nikamalizane nae,” aliongea mzee Mashaka, huku akijitoa kwa Suzana, kasha akafungua mkoba wake wa mkononi, (begi) akatowa maburungutu saba ya noti za elfu kumi kumi, nakuweka kwenye meza, kisha akamwambia Suzana “najuwa hauna tabia yakuniomba fedha, atakama unashida, ebu chukuwa hii itakusaidia, mimi nawai maana mzee Haule ananingoja” aliongea mzee Mashaka huku akijiandaa kuondoka “asante baby” aliitikia Suzana akijifanya kutabasamu, wakati moyoni alichukia sana, hapo Suzana aliinuka na kusindikiza mzee wake ambapo aliishia mlangoni akimsindikiza kwa macho, mpaka mzee Mashaka alipoondoka na gari lake, suzana akarudi kwenye kochi na kujilaza, huku roho ikimuuma sana, lakini dakika chache baadae akasikia hodi, mlango uligongwa na sauti ya kiume ikiita, “hoodiii” akaisikiliza kwa makini ikaita tena akaigunduwa kuwa ni ya Edgar, mpangaji wake mpya, akainuka araka nakuufwata mlango nakuufungua, nikweli alikuwa Edgar, licha ya kuonyesha kuwa kijana huyu alikuwa amechoka na uo husio na Amani, lakini alipo shusha machoyake chini kwenye suluali yajinsi usawa wa zip, suzan alishuhudia, alama ya mtuno ikionyesha sehemu ambayo dudu imelala, hapo Suzana alijikuta akiuma midomo ya chini, “karibu ndani, nani vileeee

Macho ya bwana mdogo Edgar yali tuwa kwenye, kinguo cha mwenye nyumba, duuu hapo kiukweli hali ilikuwa ngumu Zaidi, kwani huko alikotoka, alikutana na mambo makubwa Zaidi, yaliyo mwacha akitemba njia nzima dudu imesimama, unajuwa kwanini?, ilikuwa hivi, baada ya kumpa kichapo yule mwendesha pikipiki, hakiwa haja mwona mama mwenye nyumba wake, alighaili swala la kwenda kunywa chai, akaludi chuoni, moja kwamoja, darasani, ambako kulikuwa wazi kabisa maana wanafunzi wengi, walikuwa wameenda kupata chakula cha mchana, akajaribu kutowa kitabu chake nakujisomea, lakini haikuwa lahisi hivyo, maana mambo yalimchanganya sana kwanza tukio lakupiga mtu, pia maneno ya dada yake kwenyesimu, akabaki amekaa hasijuwe lakufanya,mpaka alipo stuliwa na mwanafunzi mwenzake, “hoya bro njoo tucheki vitu, nimekuja na vitu vipya” kwanza Edgar alijuwa amefanishwa, au kuna mwingine ameongezeka mle ndani, lakini alipomwona mwanafunzi mmoja akiwa amebeba computer mpakato, akikaa karibu yake, alipo mtazama usoni akamkumbuka kuwa ni kati ya wale wavulana wawili, walio kuwa wana angalia video ya ngono, jana usiku, hapo akajiunga na yule mwenzie, ambae alikuwa anaiwasha ile computer, “ hivi bro we nimgeni hapa chuo?” aliuliza yule mwanafunzi huku aki anza kufungua mafaili, “ndiyo, nina week moja tu!” “ok! karibu sana mwanangu, kuna mademu bomba kinoma, sema wanapenda sana mkwanja” waliongea mawili matatu, wakati wakianza kuangalia video moja ya ngono, ambapo leo Edgar aliweza kuona vizuri na kwa umakini sana, kitendo baada ya kitendo, baada ya dakika chache waliongezeka wanafunzi wengine wawili mmoja wao akiwa ni mwanamke, lakini siyo mrembo sana, kama wale wajana, baada yakutazama kwamuda kidogo, akaona hali inazidi kuwa ngumu, akaona bora hajitoe kwenye mapigano, akaondoka kimya kimya, nakukamata njia yakurudi nyumbani, wakati anapita kwenye bar moja, akalion lile gari, lililo mchafua jana usiku, aliona akishuka binti mmoja wakawaida alie pauka kwamkologo, akiwa amevaa nguo za kiasala asala, nakwenda kukaa kwenyeile bar, nakuagiza bia ,huku lile gari likitimua mbio, kuelekea upande wanao kaa wao, “kumbe nikawaida yake ku kimbia ovyo, wakati akiendelea kutembea taratibu, ile video ilikuwa ikijiludia kichwani mwake, nakusababisha muhogo kututumka kwa hasira, kihasi cha kujikuta akitamani kufanya majaribio, kwa binti Nancy, ambae alikuwa amejipendekeza mwenyewe, lakini atapata wapi fedha ya kumtowa dinner binti huyo?, wakati akiwa kazama kwenye ukumbi wamaswali bila majibu, ghafla alistuka lile gari Nissan, lililomkosa jana usiku na kumwagia maji machafu, likija kwa kasi sana, akalipisha kwaalaka sana, japo aliambulia vumbi la maana, “dah! Huyu jamaa, nimshenzi kweli” aliajisemea Edgar, nakuendelea na safari yake, dakika chache akawa amfika nyumbani, akaliona gari lamama mwenyenyumba, likiwa limepaki pale nje, akajuwa atakuwa ameludi , alicho fanya akaingia chumbani kwake akachukuwa fedha, kiasi cha elfu sitini, kodi ya miezi mitatu, akaziweka mfukoni, kasha akatoka na kuelekea kwenye mlango wa nyumba kubwa, ya mama mwenye nyumba, nakugonga hodi, ndipo alipo shuhudia mlango ukifunguliwa, akatokea Suzana, akiwa amevalia kigauni chepesi kifupi, hapo kiukweli mambo yali halibika upya na kuamsha dude, “Eddy… naitwa Edgar” aligutuka Edgar kwambaalikuwa ameulizwa jina, “hooo! Kweli lilinitoka kidogo! Mimi nitakuita Eddy, karibu ndani” hapo Suzan akatazama tena, suluali ya Edgar,kwenye zip, duu! Akaiona dudu bado ikiwa imetuna , hapo kajikuta anasisimka kidogo, nakupatwa na kitu chahajabu, kama shot ya umeme ikitembea kuanzia kwenye mbavu mpaka kiunoni mwake,

“ok! ok! Karibu.. karibu ….. ndani “ alisema Suzan akimpisha Edgar aingie ndani, “haaa hapana, nime kuletea ule mzigo wako,” alijitetea Edgar, lakini Suzana akawa king’ang’anizi “husiogope Edy karibu ndani, tena chakula tayari uwa siwezi kula peke yangu, niliandaa kingi nikitalrajia mgeni , lakini mgeni mwenywe haja kaa, ebu karibu ndani bwana” alisema Suzan ambaye sasa alimfwata Edgar na kumshika mkono akimwongoza kuingia ndani, Suzan akiwa mbele na Edgar akiwanyuma, safari hii fupi ilikuwa ngumu sana kwa Edgar, licha ya kufurahi sana alipo sikia juu ya chakula, sababu alikuwa ananjaa kali, lakini pia alisanifu makalio makubwa ya mama mwenye nyumba, yaliyo ning’inia kwenye kiuno chembamba na kubebwa na mapaja manene. Ambayo sasa yalikuwa yanaonekana vyema chini ya kinguo kifupi na chepesi, alichokivaa mwenyeji wake, alihiyo ilisababisha, mambo yaziadi kuaribika, maana dudu ilizidi kuchachamaa, asa mkono wa Suzan ilioushika mkono wake, ulikuwa unakajoto flani hivi,

“Karibu sana Edgar” alisema Suzan aka Suzan Mahips, wakati akimwonyesha Edgar sehemu yakukaa, “asante sana” alisema Edgar huku akikaa kwenye kiti kimoja kati ya vinne, ambavyo vime zunguka meza kubwa ya chakula iliyo beba ma hot pot kadhaa ya vyakula, wakati huo Suzan naye macho yakatuwa tena kwenye zip ya Edgar, Duu! Mapigo yake yamoyo yakaenda mbio nakudunda kama vishindo vya farasi, wakati huo Edgar aliweza kushuhudia mabulungutu ya fedha kwenye meza iliyo zungukwa na makochi, “mh! Watu wana fedha” dakika chache baadae walikuwa wameanza kula, ilikuwa ni bahati kwake, maana hakutegemea kula chakula kitamu kama kile, mchana waleo, waliongea mengi sana wakiwa wamekaa kwakutazama wakitenganishwa, na meza, Suzani muda wote alikuwa akimsifu Edgar, kwakitendo cha kumwazibu yule mwendesha pikipiki, mkosa adabu, hapo ndipo Edgar akakumbuka kuwa aliliona gari kama la mama mwenye nyumba wake, pale kwenye tukio, pia Suzan alimtoa wasiwasi juu ya mahisha yapale nyumbani, waliongea mengi sana, ata walipo maliza kula, Edgar aka shukuru, kasha akatowa fedha ili amkabidhi, “sikia Eddy hizo bakinazo, unaweza kunilipa siku za baadae, wacha zikusaidie kwasasa “Nikauli iliyo ustua moyo wa Edgar na kumfanya hashindwe kuamini masikio yake, “lakini mama …..” “husijari Eddy hakuna tatizo lolote we bakinazo, hisitoshe umenifurahisha sana ulipo mwazibu yule mshenzi” waliongea sana pale, nyumbani kwa Suzie huku kila mmoja akimvizia, nakumtazama mwenzie, sehemu aliyo ipenda kwamwenzie, saa kumi jioni, Edgar aliaga iliakajiandae aende chuoni kwa masomo ya jioni, da! Suzan alihisi unyonge na upweke vikimkabiri, “ok sawa siutawaikurudi usiku, maana umeniondoa upweke sana leo” aliongea Suzie na kuinuka ghafla, ndipo alipo ustua tena mguuwake, akakunja sura kwa maumivu, akaludi chini nakukaa tena kwenye kiti, “vipi tena mama, unatatizo mguuni?” aliuliza Edgar akijaribu kuangalia mguu wa Suzan lakini alikutana na upaja, ulionona wa mama mwenyenyumba, ukiwa wazi kabisa,”.

Akasitisha zoezi, la kutaka kutoa huduma yakwanza “ndiyo nimejiumiza, leo kazini” alijibu suzana akionyesha kujisikia maumivu makari, nikiwai kutoka chuo nita kuja nadawa yakuchua” aliongea Edgar pasipo kutegemea, maana alijikuta akiwa ameamaika kuwa nafuraha ya ghafla asa baada ya kupata msamaha wakodi, “ok! nipenamba yako ya simu, nikukumbushe” hapo wakabadirishana namba za simu, kasha Edgar akaondoka zake, akimwacha Suzan akitafakari, juu ya mpangaji wake mpya, Sophia Mashaka baada ya kuzikamata mil kumi akaenda kwa mama yake mbezi msakaku, kwani yeye alikuwa ana kaa kwamsuguri, alimkuta mama yake, akiwa anaendelea nashughuli ndogo ndogo za nyumbani, kiukweli Sophia alikuwa mzuri, ataumbo lake liliwavutia wanaume wengi sana, taitizo lake alikuwa anapenda sana pombe na starehe, ila kwaupande wa wanaume alikuwanao wawili mmoja alikutananae bar, na mwingine, alikuwa nimfanyakazi mwenzie, baada ya kuongea na mama yake kwamuda mrefu maana hiyo ni kawaida yake, kuonana na mama yake karibu kila siku jioni, anapo toka kazini, na week end kama hivi , kabla hajatoka na kwenda kupata moja baridi, mida ya saa kumi na mbili ilimkutia mitaa ya mbezi, akawasiliana na jamaa yake, ambae miezi michache walikutana bar, moja iliyopo kibanda cha mkaa, wakafahamiana na kuanzisha mausiano, jamaa huyu anaitwa Fredi Kileo, wakaaidiana wakutane full dose pub, hapo Sophia akaelekea moja kwamoja full dose, na kutafuta sehemu nzuri na kukaa, akaagiza bia yake, huku macho akiyaelekeza kwenye mlango wakuingilia, huku akiwaona watu wote wanaoingia nakutoka, pia wanao enda counter na wanaoenda chooni, dakika kumi mbele,akiwa anaendelea kunywabia yake, Sophia akamwona Fred akiingia, akamtumia sms kuwa aende pale alipo, atimae wakakutana, wakakaa nakuendelea kugonga mtungi, wakiwa wamesha kunywa bia kadhaa, na giza likiwa limetanda, mala mambo yakabadirika, Fred akaanza kuinuka mala kwamala, akienda kupokea simu pembeni, kitu hicho kilimstua sana Sophia akajawa nawivu, akaamua afwatilie jambo lile, nikweli haikuchukuwa muda “sorry baby, ngoja kwanza” Fred aliongea huku akiinuka, hapo Sophia alimwesabia atua jamaa yake, kasha akamfwata kule alikoelea, alimwona akipenya kwenye mauwa na kutokeakwenye sehemu, tulivu upande wanyuma, ambako kulikuwa na mwanga afifu sehemu chache huku sehemu kubwa ikitawaliwa na giza, Sophia alimfwata Fred ambae alimwona akiwa mesimama kwenye giza kalibu na mauwa marefu yaliyopndwa kwenye ndoo, nakutengeneza kamsitu, tatizo yale mauwa yalikuwa mbele Zaidi, na Fredi akayapa mgongo, hapo Sophia akapatawazo la kuzunguka nyuma yay ale mauwa ili aweze kuna sa maongezi vizuri, nikweli alifanikiwa, na mbaya Zaidi wasiwasi wake ulikuwa kweli, aliweza kumsikia Frdi akiongea na mtu, ambae walionekana wakipanga miadi ya usiku ule “ namaliza kikao, husijari baby, mida hii hii mimi nakuja” hapo Sophia alipatwa na hasira kari sana, akaangaza huku nahuku kama anaweza kupata japo chupa yabia au soda, amshikishe adabu huyu mshenzi, wakati akipepesa macho ndipo alipo ona kitu kilicho mvutia, aliona wapenzi wawili wakipeana raha, hawakuwa mbali sana nayeye, wakiwanyuma ya mauwayale kwenye viti vyao vinywaji vimejaa mezaniwakifanyia na vitendo vya kimahaba, lakini ile kumwangalia vizuri, haaaa! Alikuwa ni baba yake mzee Mshaka, hapo Sophia alitamani akampasue yule mwanamke, kwani anatambua kuwa baba yake anamsumbua sana mama yake, lakini akaamua kugeuka nakuondoka zake, akuludi tena mezani kwani hakuwa amehacha kitu, na hakuwa anakunywa kwa bili, akiwa na ikamata barabara kuu ya morogoro, aksikia simu yake ikiita, alipo itazama ni fred “baby mbona umeondoka,” lilikuwa swali lakwanza alipo pokea simu, “ilikuwa lazima unihache mimi?” Fred akionyesha kustuliwa na swali lile akazuga hajaelewa, “mbona sikuelewi baby” hapo Sophia akajibu kwamkato, “bwana ninamambo mengi sana kichwani, maliza kikao umwai baby” kisha akakata simu, “dah huyu mzee nimshenzi kabisa” aliwaza Sophia akielekea mbezi kwa msuguri Edgar, naye alikuwa njiani akiludi nyumbani, akitokea chuo, leo aliwai sana kwasababu moja kubwa, maana baada yakutoka pale kwa mama mwenye nyumba, alienda chuoni, akipitia kwenye duka la madawa nakununua mafuta flani, ambayo aliyafahamu akiwa seminal, usaidia sana unapo mtibu mtu sehemu aliyoumia, alipo yapata akaelekea chuo, njiani ilimjia picha ya paja la mama mwenye nyumba, dah! Khapo akazidi kupata matamanio ya kukutana na Nancy, iliafanye mechi ya kirafiki, ukichukulia ana elfu sitini mfukoni, chuoni alikuta wale vijana wenzake, wakendelea kutazama video ya ngono, na sasa walikuwa wengi kidogo ilisha timia saa, kumi na moja jioni, akajishaulisana juu ya kwenda kujiunga nawenzake atazame ile video, au atafute darasa jingine ajisomee, akaona wazo la kujisomea nizuri Zaidi, akatoka kwenye lile dala na kwenda kwenye darasa jingine, ambalo lilikuwa na wanafunzi wachache wakiwa busy kwa makundi wakijisomea, yeye akakaa mwenye nakuanza kujisomea, akiwa na moyo uliotawaliwa nafuraha, baada ya kuipata ile elfu sitini, Edgar aliendelea kujisomea, mpak alipoanza kuona giza linaingia, atimae waka washa taa, mle darasani, na watu wakianza kupungua wakienda kutafuta msosi, hapo akakususanya kilicho chake nakutoka darasani, wakati wote akijaribu kutazama huku nahuko, kama atamwona Nancy, akakumbuka jambo, akaamua kwenda kwenye lile darasa ambalo watu wanatazama video ya ngono, sasa mlendani alikutawana funzi wachache,wakiwa wame izunguka ile computer, bado wana tazama video yao, hapo akashawishika kusogea, nakushuhudia tena mchezo ukiendelea, baada ya kukaa hapo kwa muda wa nusu saa akaona, anazidi kuumia, maana dudu ilikuwa imesimama kama mlingoti wabendera, taratibu akajitoa nakuelekea nje, hukuakijaribu kutazama huku nahuku, lakini hakumwona Nancy, hapo akakata tamaa ya kula kitumbua usiku huu, alicho amua ni kwenda zake nyumbani, lakini kwanza akapitia kwenye bar moja akapate chips na mishikaki,* wakti huo mama mwenye nyumba bibie Suzan alikuwa ndo anastuka toka usingizini, toka alipo lala jioni, mala baada yakuondoka Edgar, aliamka na kwenda kuoga, alipo maliza akavaa kanga moja na chupi tu! kisha akaanza kijiandalia chakula cha jioni, akipiga mahesabu ya kuandaa chakula cha watu wawili, akiwa nauakika Edgar atakula sababu aliahidi kuja kwake kumletea dawa yakuchuwa, akatakaamtumie sms ya kumkumbusha, kuwa hasisahau dawa, lakini hakasita, akiwa nauakika atakumbuka mwenyewe,* kumbe Edgar nae alikuwa amefika kwenye ile bar na kuelekea kwenye jiko la pale bar, akaagiza chips na mishikaki mine, kasha akarudi na kukaa kwenye kiti, kabla muhudu haja fika na kumwuliza atatumia kinywaji gani, Edgar akaagiza soda, wakati anasubiri soda akamwona Nancy akiwa ameongozana na kijana mmoja, wakiingia pale bar, Edgar akapatwa na mshangao, akajipa moyo kuwa atakuwa ni mwanafunzi mwenzao, ambae amekuja nae tu, kwasababu yeye mwenyewe alimwambia yupo pekeyake, hapo akainuka nakumfwata, pale walipo kuwa wameenda kukaa, “mambo vipi Nancy, nimekutafuta sana ulikuwa wapi?” aliongea Edgar akimshika bega, Nancy kutokea nyuma, chakushangaza nancy aliutoa mkono wa Edgar kwenye begaa lake na, kama ameona dudu washa, kasha akamtazama kwamacho ya mshangao “ wewe una nifahamu mimi,?” aliuliza Nancy kwa hasira, akionyesha mshangao, mkubwa, “unavamia tu! watu kwenye pozi zao”

Hapo Egar kwahaibu aligeuka na kuondoka zake, hakisahau kama ameagaiza chipsi mishikaki na soda, moja kwamoja akaelekea nyumbani, akiwa amekosa amani kabisa, akijihapiza kutomsogelea tena yule mwanamke, maana alichomfanyia kilikuwa nikitendo cha haibu kabisa, aliwazanjia nzima mpaka alipo fika nyumbani, aliingia moja kwamoja chumbani kwake, muda huo Suzan, au mama mwenye nyumba, muda huo alikuwa jikoni anamalizia kuosha vyombo alivyotumia mchana, ndipo alipo sikia mlango wa chumba cha mpangaji wake mpya, ukifunguliwa, akachungulia dilishani, akamwona Edgar akiingia chumbani kwake, hapo kamoyo kake kakastuka kidogo, kitu ambacho atayeye hakuwa akielewa maanayake, hapo hapo aliosha vyombo haraka sana, kasha akaenda sebuleni, ambako alikuwa amesha andaa chakula mezani, akajilaza kwenye kochi na kuchukuwa simu yake, kasha akatafuta namba moja ya simu, ***kumbe Edgar naye baada yakuingia chumbani akavua nguo zote, nakuingia bafuni, nakuanza kuoga, alipomaliza akajiweka sawa na kuvaa bukta yake ya kulalia aliyo kuwa ameivaa asubuhi wakati wakuamka, kasha akajitupa kitandani, alijilaza kwa mda wadakika kama kumi ndipo alipo sikia mlio wa simu , kuashilia kuwa kuna messeji ime ingia, akakumbuka kuwa ameihacha simu kwenye, suluali akainuka, na kwenda, kuichukua simu yake kwenye mguo aliyokuwa ameitundika kwenye msumali ukutani, akaitoa na kuangalia kwenye kioo, akaona kweli kuna messeji imeingia tena mbili, akafungua akaona zote zinztoka kwa mama mwenyenyumba, mapigo yamoyo yakaenda mbio, kwani alikumbuka alichokuwa anatakiwa kufanya, yakwanza iliamndikwa hivi “Eddy vipi umekumbuka dawa?” nayapili ilisema hivi “mbona hujibu au hauna salio?” hapo hapo kwakuogopa kumkasilisha mama mwenye nyumba , Edgar alivaa kandambili nakuchukua yale mafuta na tishet akaanza kutoka nje tishert mkononi, akaanza kuvaa akiwa njiani, **** akiwa na kanga yake moja bado amejilaza kwenyekochi, baada ya kutuma sms mbili bila majibu, Suzan akawa ameanzakuingiwa na uzuni, lakini ghafla akasikia hodi, akaenda na kufungua mlango kwaharaka pasipo kukumbuka kuwa mguu wake unauma, naam alimwona kijana Edgar, akiwa amevalia bukta yake ambayo alimwonanayo asubuhi, na tishert, “karibu Edgar, ulikuwa umesha lala?” aliuliza Suzan akiachia tabasamu mwanana usoni mwake huku akijizuwia hasitazame mbele ya bukata ya Edgar, “asante mama, nilikuwa naoga, kwanza” alisema Edgar huku akiingia ndani akimfwata nyuma mwenyeji wake, “vipi uliipata ile dawa?” swali la Suzan lilimta Edgar kwenye wenge, maana alishuhudia jinsi makalio ya dada huyu yalivyo kuwa yakiangaika ndani ya kanga moja, “ndiyo nimekuja nayo” walikuwa wamefika ndan, kwanza kabisa Suzan alishauri waanze kula kasha, amkande mguu iliakalale vizuri, muda mchache wakawa wamesha anzakula, wakati wanaendelea kula, walipeana stori za huku nakule, asa stori ya Edgar huko alikokuwa anasoma mwanzo na mambo yaliyo mkuta, mpaka akaamishiwa chuo hicho, waliongea mengi sana huku kila mmoja akiusanifu mwili wa mwenzake , kwamacho ya wizi, walipo maliza, kazi ya kuuchua mguu ikaanza, Edgar akamwambia Suzan, akae kwenye kochi, hapo Suzan alienda na kukaa kwenye sofa kubwa la watu watatu, Edgar akiwa amevalia kibukta chake, alivuta stuli mojsikiliza simu a akiisogeza karibu na alipo kaa Suzan, kasha akaa nakuuinua mguu wa mama mwenye nyumba na kuuweka kwenye mapaja yake, akisababisha sehemu ya kanga aliyo vaa suzan ishindwe kufunika sehemu ya paja la mama huyo, kwa wizi Edgar alitazama lile paja, lililonona huku akiendelea na maandalizi ya kutoa huduma ya kwanza, hapo ndipo walipostuliwa na mlio wa simu, akaitazama akijuwa ni mzee Mashaka, hakuwa yeye ila ni mtoto wake Sophia Mashaka, Suzan akaipokea, huku akimwonesha ishala Edgar yakuendelea na zoezi la uponyaji, “niambie best, unajipya gani leo?” aliongea Suzan kasha akatulia kusikiliza upande wapili, Edgar yeye hakufwatilia maongezi hayo, Zaidi ya kuendelea na kazi yake, akafungua kile kichupa, cha mafuta na kukichuluzushia, kidogo kwenye sehemu ya unyayo ya Suzan, kasha akaweka pembeni, alafu taratibu kwakutumia mikono yake, akaanza kutawanya yale mafuta sehemu yote ya unyayo, adi kwenye kisigino ambacho kili kuwa kina uma, zoezi ilo liliendelea huku akiminya minya unyayo na vidole, wakati huo Suzan alikuwa akisikiliza simu bila kusema chochote, Zaidi ya kuguna, ilionyesha alikuwa anapewa habari ambayo haikumfurahisha, adi mwsho akasikika akisema “ok! utanikuta” hapo akakata simu , akionyesha kuna kitu kime mkela, lakini hali hiyo haikukaa kwamuda mrefu, asa baada ya kusikia kitu flani pale Edgar anapo tembeza mkono wake kwenye nyayo zake, alihisi kitu kama kamtekesnyo kalikoambatanana na utamu, vikitembea toka kwenye unyayo nakupanda juu, alitamani abadiri mguu, lakini ulio kuwa una uma ni mmoja, akakumbuka jambo, akajikuta anatabasamu mwenyewe, Edgar alifanya ile kazi yake vizuri na kwaustadi mkubwa, adi alipo ona inafaa kuishia hapo, ndipo alipo uondoa ule mguu wa mama mwenye nyumba kwenye mapaja yake, na kusimama, kiukweli mambo yalisha anza kubadilika kwenye bukta yake, dudu ilisha anza kujitutumua kwakutamani mali za watu,”hapo ukiamka asubuhi, utakuwa umesha sahau kama uliumia” alisema Edgar akijiandaa kuaga, maana ailona akiendelea kukaa hapa anaweza akajikuta amebaka, “ yani atamimi naona, maana najisikia vizuriiii” alisema Suzan huku akijilaza kwenye sofa nakufunua sehemu ya paja lakushoto, nakuliacha wazi kabisa mpaka karibu na inapo ishia chupi, “malizia kwenye paja, maana hapa ndo nilijigonga kwanguvu” sauti hiyo ya kivivu ilimtua Edgar ambae alikuwa ameduwaa, hapo kama mtu alie tamani kujitoa muanga, alichukua tena kichupa cha mafuta na kuchuluzishia kwenye paja la mama mwenye nyumba, kasha akaanza kufanya kama alivyo fanya kwenye mguu chini, kwaupande wa Suzan alikuwa makini kusikilizia mikono ya Edgar aikifanya kazi ya uponyaji, aliisikia ikitalii mpaka kwenye magoti, nakuzunguka kwanyuma kidogo, kasha ilipanda mpaka juu mpaka mwisho wapaja, kisha akahisi vidole vya kijana huyu viki minya minya mapaja kwandani karibu kabisa na kitumbua chake, ambapo alitamani akiguse ata kwabahati mbaya, huku akiendelea kusikia raha, kwahuduma aliyo kuwa anapewa, akainua macho na kutazama bukta ya Edgar, ambae sasa akuwa amekaa, kama mwanzo, alicho shuhudia mama mwenye nyumba kwa mpangaji wake, ni kitu cha hatari, aliona muhogo ume simama aswa, hapo hapo Suzan akapata wazo, akaajifanya kwa bahati mbaya, akaisogeza Zaidi ile kanga aliyo ivaa nakusababisha, atasehemu ya chupi yake kuonekana ikichora umbo la mtuno wa kitumbua chake, macho kwenye dudu ya Edgar, alishuhudia ikizidi kuinuka, na kucheza cheza kidogo ka mkono wa jeki ya hydrolic, “Edgar hivi una mwanamke wewe?”

swali lililo mstua Edgar ambae licha ya kufanya huduma ya utabibu , lakini alikuwa na halimbaya, “hapana sina mwanamke” alijibu huku akiendelea nakazi yake safarihii alikuwa na tembeza mikono karibu kabisa na kitumbua ambacho alikuwa ana kitanzama uso kwauso japo kwenye chupi, lakini tokea amezaliwa, “mala ya mwisho kuwa na mwanamke lini” aliuliza Suzan huku akiendelea kujilegeza, “sijawai kuwanae,” jibu ambalo Suzan hakulitegemea, lakini kwake ilikuwa lahisi kuamini, sababu ya hisoria ya ki seminary ambayo ametoka kusimiliwa muda mfupi uliopita, “inamaana toka uzaliwe?” aliuliza kwamshangao Suzan, kwa sasa walikuwa wanaongea sati ya chini, hapo Edgar aliitikia kwakichwa juu chini, kimya kidogo kasha kwasauti ya chini iliyo mfanya Edgar amtazame mama mwenye nyumba wake, akiwa haamini alichosikia, lakini alishuhudia tabasamu iliyo pambwa kwa macho legevu, yenye kuona haibu yakike, Suzan akarudia swali “hukipata utaweza kweli?” kiukweli swali hilo Edgar alishindwa kujibu kwa mdomo Zaidi aliitikia kwa kichwa akitazama pembeni, kitnde kilicho sababisha mkono wake ukose adabu na kuguza kitumbua cha mama mwenye nyumba, kitendo kilicho usisimua Zaidi mwili wa Suzan mpaka Edgar analudisha macho alikuwa amsha chezea kidogo kile kitumbua, kabla haja stuka na kutoa mkno araka akijiandaa kuomba msamaha, akashangaa “ngoja nivue hioi ina zidi kuchafuka” hapo alimshuudia mama mwenye nyumba wake akiinuka na kuivua ile chupi, ambayo ilionekana kulowa na uteute kama wa mlenda au wa yai bichi, kasha akiwa nakanga tu akajilaza tena kwenye kochi, hapo Edgar akajuwa anatakiwa afanye kazi, naili afanye kazi yaukweli lizima afwate utaratibu mzima wazoezi kama alivyo ushuhudia kwenye video ya ngono chuoni, hapo Suzan akiwa anajuwa kuwa huyu kijana hkuwa anajuwa lolote liusulo mapenzi, akajuwa yeye ndie mwenye jukumu la kumwongoza Edgar, akamshika bukta nakuishusa chini moja kwamoja alikutana na bakora ya haja, mpaka akaisi kitu kama shot ikitembea toka kwenye kitumbua adi kifuani, suzan akakamata dudu na kuichezea chea kidogo, kabla haja shuhudia Edgar akipitisha kiganja cha mikono wake juu ya kitumbua chake, kabla haja sikia kodole kati cha kijana huyu, kuanza kuchezea, kikunde cheke taratibu, talatibu huku mkono mwingine ukiamia kifuani, nakukamata titi lakushoto la mama mwenye nyumba, ambalo bado lilikuwa ndani ya kanga moja, hapo Edgar alimshuhudia mama mwenye nyumba, akiifungua ilekanga nauihacha ikiangukia pembeni nakuahacha kifua wazi huku akitanua miguu yake, nakuikunja kwajuu, akiluhusu kitumbua kuonekana kwawazi kabisa, hapo Suzan hakukumbuka tena kama kuna kuchezea dudu, alikuwa amefumba macho akisikilizia utamu, Edgar baada yakuona titi kubwa la mama mwenye nyumba wake, na chuchu zilivyo chongoka, akashika kale kachuchu akakipekecha kidogo, uku bado mkono mmoja ukiendelea kuchezea alage bichi, la mwenyeji wake, alitumia mkono wakushoto kupekecha shuchu, uku akimshuhudia Suzan akijinyonga nyonga, kama nyoka alie mwagiwa mafuta yataa, maana Suzan aliupata utamu ambao, alikili kuwa hakuwai kuota kama hipo siku ataupata, alizidi kuchanganyikiwa alipohisi joto tamu la midomo ya Edgar, mala alipodumbukiza chuchuzake mdomoni, “hoooooo ishiiiiiiiii” ukelee ulimchomoka Suzan bila kutegemea, hapo Edgar , aliendela kunyonya chuchu za Suzan huku mkono wake bado kwenye kitumbua cha mama mwenye nyumba, nakidole kikifanya kazi yake palepale kwenye kikunde, Suzan bila kupenda alijikuta akikata viuno, taratubu akienda na biti yak dole kwenye kikunde, ambapo kwamsaana wa utelezi wa ute ute ulio tapakaa kwenye kitumbua, utazani bakuli la mrenda kidole kili teleza vyema , mpaka Edgar alipo mshuhudia suza, akikakamaa kama anaumwa degedege uku akimshika tishet, maeneo ya kifuani, nakumvutia kwake, akiwa bado hajaelewa kifwatacho, hapo Suzan alitanua Zaidi miguu na kuikama dudu ya Edgar ambayo nayo ilishaanzakuvuja machozi mepesi kama yakwenye kitumbua cha Suzan, kasha akamvuta kwanguvu, mpaka Edgar akamlalia juu Suzan hapo kwamkono wake Suzan akailengesha dudu kwenye mlango wakitumbua chake na kujipandisha juu kiuno chake huku Edgar akishuka chini, hapo Suzan akaisikia dudu ikiingia kiukweli, “hoooo asante” ilimchomoka tena, * ilikuwa saa nne usiku, mzee Mashaka akiwa full dose, akiendelea kupata vitu vyake, taratibu pembeni bint wajana naye akipata vitu, waliendela kufanyiana michezo ya kimahaba, lakini sasa walifika mbali kidogo, maana binti yule alifungua zipu yam zee Mashaka na kuingiza mkono nadani ya boxer, kasha akaibuka na dudu ambayo iilkuwa imesimama, akkuchelewa akaichezea kidogo kasha akadumbukiza kichwa cha mdudu mdomoni mwake, kabla ya kukitoa na kulambamba kwa ulimi pekeyake, kasha akadumbukiza dudu yote na kuanza kufanya kama anapiga mswaki, hapo mzee mashaka aliweka bia mezani akashika kichwa cha binti wajana, nakuanza kumsaidia, kwa kukikanda miza na kulegeza mkono, zoezi lile lili endelea kwa dakika mbili, kabla yulebinti aja pandisha kigauni chake, na kuisogeza pembeni, nguo yake ya ndani, kisha akatemea mate kwenye kiganja chamkono wake, nakupakaza kwenye kitumbua chake, alafu akajisogeza kwamzee Mashaka na kuikamata dudu nakuichezea kidogo, kasha akailengesha kwenye kitumbua na kuikalia, kama amepakatwa baada yakukosa kiti, hapo shuguli ya juu chini ikaanza, haikuchukua dakika moja mzee mashaka akawata mashabiki, hapo wakachukua tishu walizokuwa wameletewa, kwaajili ya vinywaji, nakujifutia kasha wakaendelea navinywaji, huku mzee Mashaka akitoa haadi nyingi kwa bint yule,** Sophia alikuwa nyumbani kwake mbezi kwa msuguri, amekaa sebureni akinywa pombe, maana baada ya kutoka full dose akiwa amemfumania baba yake na kugundua mambo ya Fred alipitia kwenye ki grocer cha jilani yao na kununua bia tano akaingia nazo kwake, wakati anakunywa alikuwa anwaza mambo mengi sana, aliwaza jinsi mwenzie Sophia ambavyo apendi kujiusisha na mapenzi, atakama anajiusisha, lakini hayamtesi hivyo, “ngoja kesho niende kwake, nika msimulie vizuri yaliyo tokea” aliwaza hayo ni baada ya kuwa alimpigia sofia simu na kumsimulia juu juu mambo yaliyo mkuta kuusu baba yake na kuusu mpenzi wake fred, alikuwanywa pombe mpaka saa, sita usiku, alipo pitiwa nausingizi nakujibwaga kitandani, **** Nncy naye alikuwa chumbani kwakijana mmoja, ambae alikuwa anamiliki saloon pale kibamba ccm ana itwa Elisha, nasasa alikuwa anajiandaa kuondoka, kuelekea kwenye chumba walicho panga, katika nyumbamoja na wanafunzi wenzake, alivaa nguo zake nibaada kuwa, amesha amtoka kulichezea dudu, alipo vaa alitoka zake nakuelekea kwake, njiani aliwaza juu ya yule mwanafunzi mpole,ambae alikuwa mgeni, naalionyesha kuto kuwa na uwezo kifedha ndo maana akaamua endelee kujimwaga na kinyozi ambae hakosi fedha ya chips yai na soda, lakini alikili moyoni mwake kwamba ,kijana yule anavutu fala ni vinavyo mvutia, asa mwili wake, ambao alionyesha kuwa nimtu wamazoezi, alafu anaonekana anayaweza mambo ya kitandani, pia sikuile wanaangalia video yangono, aliiona dudud ya kijana yule ilivyotuna kwenye suluwali yake nakuchora vyema, “siyo huyu nakibamia chake” alionyesha zalau Nancy wakati akifunua mlango wachumbachake, nakuingia ndani, **** Suzan alikuwa bado amejilaza kwenye kochi kubwa, mtupu kama alivyo zaliwa hoi bin tahaban, kitumbua chake kikiwa kimetambakaa maziwa yangamia, Edgar alikuwa anamalizia kuvaa bukta yake, “mimi naenda” aliaga Eddgar ambapo Suzan aliinua shingo na kumtazama usoni, atamacho yake yaliyo legea yalipo gongana na ya Edgar alitaba samu nakuitikia kwakichwa, wakimalizia kwakucheka kicheko cha kivivu, hapo Edgar aliuednea mlango nakuufungua, kisha akatoka nje, nakuufunga mlango, akimwacha Suzan akiwa amejilaza juu yakochi, ambapo alilala hapo kwamuda wa dakika tano kisha akajizoazoa na kwenda chumbani kwake, ambapo aliingia bafuni na kuoga, kabla haja jitupa kitandani, kwanza alisimama kwenye kioo chake kikubwa kwenye meza yake ya vipodozi, akajitzama kuanzia juu mpaka chini “atimae leo, nime tomb.. maana mh!” hapo Suzan aliwaza mengi ikiwa pamoja na muda walio utumia kutafuna tunda, nimasaa matatu, pia utamu alioupata, muda wote akijisikia kitukama mkojo ukimtoka. Aliwaza sana ataakiwa kitandani, na mpakaalipo pitiwa na usingizi, **** Edgar yeye hakuchelewa kupitiwa na usingizi, tena usingizi mzito, alilala mpaka alipo stuliwa na sauti mlio wa simu ukiashilia messeji, aka chukuwa simu nakutaza simu yake, ilikuwa saa tatu asubuhi, kulikuwa na messeji tatu, zote zimetoka kwa Suzan, yakwanza “Eddy njoo upate soup” yapili “mbona kimya?” yatatu “vipi umechukia, kuusu jana tulicho fanya” hapo Edgar alikulupuka na kuingia bafuni kuoga nakupiga mswaki, **** hukunako Suzan, alikuwa amevalia kigauni chepesi sana kile anachotumia kulalia alikuwa juu yakochi sebuleni, akiwa ameshikili simu yake, mezani palionekana hot pot kubwa la soup na jingine la chapati, macho kwenye simu yake, akitalajia messeji muda wowote toka kwa Edgar lakini wapi, akaanza kukata tamaha uku mwaswali mengi yakisumbua kichwa chake, “au mimi siyo mtamu, maana nasikiaga watu wakisema yule mtamu , yule sijuwi nini.. au” amala akasikia hodi, mlango ukigongwa, akakiulupuka nakwenda kuufungua mlango, naam macho kwamachona Sophia Mshaka, “hooo karibu my, ndo ata messeji kweli” aliongea Suzan hukuwakiingia ndani, nakukaa kwenye makochi, mpaka messeji wakati najuwa wewe ni wanyumbani tu!” walitaniana na kucheka” hivi hukukwenu usalama hupo kweli, maananimeacha gari nje yageti,”aliuliza Sophia na Suzan akamwakikishia kuwa, usalama ni miamia, lakini mawazo ya Suzan yalikuwa kwa Edgar, kunanini mbona hajibu sms zake, “vipi tena mbona soup nyingi sana unamgeni?” aliuliza Sophia na muda huohuo, mlango ukagongwa, wakatazamana, na wakati Suzan ana jishauri akafungue, au la, maana uwepo wa Sophia hapakwake na ugeni wa Edgar, ungeleta mwaswali mengi toka kwa Sophia, ikasikika hodi kwamala yapili, hapo Sophia akaitikia “karibuuu” mwitikio uliofwatia na kufunguliwa kwa mlango, na macho yake yakashuhudia kijana mlefu mwenye kifua cha mazoezi alie valia tishet ya kubana na kaptula ya kaki, yenye mifuko ya pembeni, kama nguo za jeshi (timba land) akiwa mwenye sura ya mshangao, kama hakutegemea kuwa kutapale sebuleni,

“hooo karibuuu” aliongeza Sophia, “asante, asante sana” aliitikia Edgar kwasauti ya kitetmeshi huku macho anamtazama Suzan, “karibu Edgar, umelala sana leo, nilizani umeshaenda chuo” aliongea Suzan baada ya kugundua kwanini Edgar anamtazama, alimaanisha aseme kitu, “karibu kwenye meza kubwa, ule uwai chuo” aliongea Suzan nayeyeakiinuka na kumwonesha ishala Sophia kuwa, akaribie kwenye Soup, “asante mama” muda wote Sophia alikuwa amekodoa macho kwa Edgar, kitendo kilicho mstua Suzan, akajikooza kidogo “Sophia, huyu ni Edgar, mpangaji wangu, nimwanafunzi wa chuo cha habari hapo juu, uwa ananipa kampani hapa nyumbani” utambulisho huo ulimgutua kidogo Sophia na kuludisha katika aliyakwaida, “Eddy huyu ni Sophia, rafiki yangu toka tukiwa chuo, anafanyakazi tanesco ubungo, ofisi zo zipo mbezi” nimeflahi kuku fahamu Edgar, karibu kwangu, Suzie mlete sikumoja aje kutembea” aliongea Sophia akionyesha wazi kuvutiwa na kijana huyu mbele yake, “asante sana” Edgar alijibu kwa sauti ya upole huku kiahibu flani kikimtawala, kiukwli hakuweza kukaa pale kwamudamlefu, baada ya kumaliza kunywa soup aliaga kuwa anaenda chuo kujisomea, Suzana hakuwa naswali lolote akamluhusu haraka, na Edgar akamuaga Sophia, ambae alikuwa anamsisitiza sana, kuja kumtembela kwake, *** Mzee Mashaka alikuwa bado amejilala usingizi mzito, hii nikutokana na mipombe ya jana usiku ambapo saa nane usiku aliludi nyumbani, nakujitupa kitandani akia na nguo zake na viatu, ila mkewake aliinika na kuanza kumvua via tu akafwata shati suluali kisha chupi, lakini wakati, anamvua chupi , kunakitu akakiona, asubuhi hii ya saa nne, mke wake au mama Sophy alimwandalia sopu mezani ili akiamwamshe, akaoge kisha anywe soup, hapo mama Sophy alimwamsha mume wake kwa sauti ya upendo mkubwa alimwambia “pole kwaucho vu mumewangu, nenda kaoge uondoe uchovu ili upate soup ikupe nguvu” hapo kama ambae alikulupushwa kitandani, mzee Mashaka bila kuongea kitu chochote kwamke wake, alielekea bafuni, akimwacha mke wake anashangaa, huku maswali mengi yakimjia kichwani, juu ya mume wake, ni mwazi was aba sasa haja pata dudu, anavumilia, na sekunde chache maji yakasikika kama mvua yaki mwagika, mama Sophia alikosa nguvu ya kusimama kwa vtuko vya mume wake, akakaa kwenye kitanda, nakuendelea kutafakali, ni mwezi wa saba sasa, haja pata dudu, wala kuonyeshwa daliliza kupata dudu, kweli mazowea mabaya, yani licha ya uzuri wa sura huyu mama alijariwa umbo namba nane, lililo mchanganya kila mwanaume walika lake, na wachini yake kidogo ukiachilia vijana wachache wanao penda miji mama kama hawa, kiasi cha kupata usumbufu mwingi sana kutoka kwa wanaume walika lake na wachache wachini yake, eti chahajabu mume wake hana ata hamu naye, na miezi saba yote yeye anavumilia, kitu kibaya leo usiku, mumewake alipo rudi, wakati anamvua nguo, aliona kitukilicho mshangaza kwenye dudu ya mumewake, aliona vitu mime gandia gandi, baada yakuangalia vizuri aligundua ni vipande vya tishu, akajaribu kunusa ile dudu ya mumewake, kiukweli alikutana na alufu ya kitumbua, na leo asubuhi hakutaka, kuonyesha wazi machungu aliyo nayo moyoni, lakini aliona mume wake wala hakumjari, huko bafuni mzee Mashaka alitumia dakika zisizo zidi saba akatoka, “vipi wife, mbona kama uana mawzo mengi sana, au kwasababu nilichelewa sana kuludi jana” aliongea mzee Mashaka akionyesha uchangamfu wa sikuzote, nakumfanya mke wake atabasamu kidogo, maana amani ya moyowake ililejea, “haaaaa wapi namkumbuka mwanangu Tony, yani tokea ameenda huko mtwala, ataki ata kuludi tumwone” alidanganya mama Sophy, maana mtoto wao wakiume Tony, kaka yake Sophy alikuwa ameajiliwa, na kampuni moja ya kununua korosho huko mtwala, “hooo wife bwana, wewe ukiona mtu yupo kimya hujuwe kafanikiwa huyo” alisema mzee Masha huku akivaa bukta yake tayari kwenda kunywa soup, waliongozana na mkewake mpaka sebuleni, akiwa na simu yake mkononi, “ mume wangu leo nimetamnai kutoka” aliongea mke Mzee Mashaka, wakati mzee Mashaka akikaa kwenye kiti nakuanza kuifakamia soup, “he! Kwani mkewangu kuna siku nime kukatalia kutoka?” aliuliza mzee Mashaka akionyesha mshangao, “siyo hivyo bwanaaaaa” aliongea mama Sophi kwa sauti ya kudeka flani, huku akimwegea muwake kwenye mabega, akiwaza labda mumewake ataelewa somo, kuwa anamaanisha anataka nini, “ila?” aliuliza mzee Mashaka akiwa anazuga kuwa haja elewa somo, maana alijuwa mkewake anataka watoke wote, nandiyo ujanja wake asa anapo itaji kufanya mapenzi, uwa anapenda kunywa wine nyekundu, sasa mzee Mashaka alipenda aludi kwa yule binti akanyonywa dudu, maana alinogewa na kale kamchezo, “nime kutoka nikapate bia kidogo, nimechoka kunywea nyumbani” hapo mzee Mashaka alikuwa amesha pata jibu kwa mke wake, “ hoooo! Kumbeeee, ebu sikia mpigie Sophia, akupe kampani, maana mimi nina mihadi na jamaa moja toka Arusha kuanzia saa tisa, mchana” hapo mzee Mashaka akaona mkewake akiingiwa na kaunyonge flani, “ husiwe hivyo mama, jioni si tuta kutana” mzee Mashaka akajikuta akiachia zinga la tabasamu, kwakauli hiyo mama Sophy aka pata jibu sahii, kuwa mume wake amesha elewa somo, ****** “weweeeee, huyu kijana mbona mzuri hivi?” kauli hiyo ya Sophia ili ustua moyo wa Suzan, nakujikuta hali flani ya tahadhari ikigonga kichwani mwake, na hakuwa na jibu Zaidi ya kuishia kucheka, “au ni mtuwako nini?” aliuliza tena Sophia, “ hapana bwana mtumwenyewe nimgeni tu hapa, ata week haja maliza, nianze tu!” alijibu Suzan akijaribu kuwepesha machoyake yasikutane nay a Sophia, maana alikuwa akikumbana na picha ya tukio la jan usiku, mala kwamala, hapo alitani usiku uingie, ajivutie kijana wake, ili ampatie dudu kisawa sawa, “ila huyu kijana mzuri, sema anaonekana bado mdogo, hule urefu wabule tu!” aliendelea kusifia Sophia, “ebu! tuyahache hayo, nipe story zajana” Suzan alibadili tropic, maana aliona kiwivu flani kina mnyemelea, wakati huohuo simu ya Sophia ikaita, alipoiangalia, alikuwa mama yake, akipokea na kumwamkia mama yake, “shikamoo mama” kisha akaakimya kusikiliza upande wapili, kisha akasikika akiitikia, kwa kukubali, “ndiyo mama …..hakuna shida…. ndiyo… sasa nipo nyumbani kwa Suzan…. ndiyonita mwambia….. haya mama….poa baadae” kisha akakata simu, akionyesha tabasamu usoni kwake, “leo mama anataka tumpe kampani, anataka atoke kidogo mchana” Sophia alimwambia Suzan, “nanani, na mimi?” aliuliza Suzan, ndiyo siameniambia nikuambie, ukanywe wine yako, unavyoipenda sijuwi nani alikufundisha?” wote wakacheka, kwapamoja, ndipo Sophia alipoanza, kumsimulia matukio yote mawili ,yajana pale full dose * wakati mama Sophia ana pigasimu kwa mwanae Sophia, nakulitaja jina la Suzan, alipoulizwa yupo wapi, ndipo mzee Mashaka alipo gundua kuna mtu anaitwa Suzan, akamshauli mkewake,amwalike na Suzan, akiamini hakuta kuwa nausumbufu wowote pindi atakapo kuwa na bint wajana, akichezewa dudu, “vipi wamekubari?” aliuliza mzee Mashaka kwashauku, “Suzan hawezi kukataa, watakuja mchana”*** mida hiyo Edgar alikuwa darasani akijisomea, ndani ya darasa wanafunzi wachache walikuwepo wakiendelea na kujipiga msasa, kiukweli machoyake yali tazama maandishi lakini hakuelewa anacho kisoma, maana muda wote ilimjia picha ya mchezo mzuri wajana usiku, mala kwamala alijikuta akijichekea pekeyake, asaakikumbuka jinsi Suzan alivyokuwa analalamika, nawakati yeye alijifanya anaujuwa ule mchezo vizuri, alipitisha masaa mawili pale mpaka saa sita, alipo stuliwa na simu yake, alipoiangalia ilikuwa ni namba ngeni, akabonyeza kipokeleo, lakini simu ikakatika, hapo akajaribu kuipiga ile namba “salio lako alitoshi kupiga simu hii, tafadhali ongeza salio au…”hakusubiri sautihiyo ifikie mwisho, akainuka hara na kutoka nje, akaangalia maduka yaliyotazamana na chuo yakitenganishwa na barabara ya vumbi, akavuka barabara nakuelekea duka moja kati ya maduka mengi yaliyopo pale, “unavocha?” alimwuliza muuza duka, “nieishiwa aisee, ebu! jaribu hilo duka hapo mbele, karibu na saloon” alielekezwa duka jingine, Nancy alikuwa amekaa saloon nje kwenye bench, akiwa na wenzake wawili, ni baada ya kutoka drasani, akaamua ampitie mpenzi wake ambao wameazisha urafiki jana jioni, Elisha kinyozi, ili amwezeshe, pesa ya kwenda kupata lunch (chakula cha mchana) Elisha bado alikuwa anazichanga maana, alazima atomize hesabu ya boss, ela ya umeme, ndiyo apate fedha ya kula yeye na pengine kumpatia mpenzi wake Nancy, ndipo nasi alipo mwona Edgar akitoka darasani mbio akija madukani, akiwa amevalia tishert ya kijivu, iliyo mkaa vyema na pensi la kadet lenyemifuko ya pembeni na raba nyeupe simple, akamwona akiingia duka la kwanza, nakutoka, kisha kuanza kuja kule walipo wao, Nancy alijifanya kama hajamwona kijana yule japo wenzake, walikuwa wana mwangalia, kwamacho ya mshangao, maana alikuwa mgeni machoni mwao, Nancy alishusha presur baada ya kumwona Edgar akisimama kwenye dirisha la duka la jilani, kabla haja wafikia, hakuishia hapo akamwona Edgar akiingiza mkono kwenye mfuko wa nyma wa pensi lake, na kuibuka na kizigo cha noti za elfu kumikumi, nakuchomoa moja, kisha akaludisha nyingine kwenye mfuko hule hule wanyuma

huku ile moja akimpa muuza duka, Nancy ambae alikuwa akimwona Edgar kuwa kijana mnyonge hasiye na uwezo wakifedha, alibaki amekodoa macho akimtazama Edgar sambamba na wenzake, wakshuhudia Edgar akipokea vocha ya elfu moja kisha akaikwangua nakuanza kuiingiza bila kumwangalia muuza duka alie kuwa na mpatia chenji yake, alipo maliza akaonekana akibonyeza namba flani kisha, akaweka simu sikioni huku akiondoka, “weeee kaka chenji yako” hapo Edgar aligeuka na kuipokea chenji na kuendela na safari yake simu sikioni” bila kujuwa kuwa Nancy yupo pale na anamwona, simu iliita naikapokelewa “hallow nani mwenzangu” ilisikika sauti yenye lafudhi ya kingoni, kajuwa licha ya mpigaji kutoifahamu iinamba lakini inawezekana kunamtu wake wakaribu aliitumia simu hiyo, “mimi Edgar …. Edgar Haule, ulini bip, kwanamba hii” alijitambulisha kiufasaha kabisa “hooo! mtoto wa mzee Hauleeee, alikuwepo sasa hivi hapa, tulikuwa tunatoka kanisani, nikikutananaye baadae kwenye ulanzi nita mwambia akubip tena” “haya baba, wasalimie wote” Edgar alikata simu, na kuwaza kidogo, “ kweli haya maisha magumu , nimesahau mpaka kwenda kanisani” alijikuta akicheka, kisha akaitazama simu yake kwalengo la kutama saa, akaona nisaa sita nanusu, wakati huo huo simu ilionyesha maandishi yaliyo maanisha kuwa betri yake imkwisha, akkakumbuka nisiku ya pili leo hakuchaji simu, akaiweka mfukoni, kisha huyo, akaelekea, sehemu ambayo alizani anaweza kwenda kupata chakula cha mchana kisha aelekee nyumbani maana aliona kwamba kwaugeni ule wa Suzan hasingeweza kula pale, wakati huo Suzan alikuwa anamalizia kujilemba baada yakuwa amesha oga amevaa, tayari kwenda kwenye mwaliko wa mama Sophia, ila kuna kitu kili kuwa kina mshawishi kukifanya, kuusu Edgar amsutue waende wote iki wakati wakuludi wawe wawili maana atokwenda na gari lake hivyo atalazimika kuchukluwa taxi, na ataitaji ulinzi wa kijana huyu ambae wameshaonjeshana dudu, akaamua kuchukuwa simu na kuelekea sebuleni, “eti Sophy, unaonaje nikienda na Edgar, kwaajili ya kampani wakati wakuludi,” nijambo ambalo ilo halikupingwa kabisa na Sophia, lakini kiukweli Suzan hakuwa na lengo la kampani, zaidi ya wivu, ata mda ambao Edgar alikuwa chuo, yeye aliona kama kuna mwanamke huko atakuwa anachezea dudu, hapo akaona mpaka kufika jioni atakuwa amekonda kwa mawazo, Suzan alipiaga simu, akaisikia ikiita akidogo kisha ika katika bila kupokelewa, akajitaidi kujizuwia hasionyeshe kuchanganyikiwa, lakini kiukweli, mapigo yamoyo ya Suzan yalienda mbio sana akizani kuwa Edgar amemkatia simu makusudi, akajaribu kuipiga tena simu ika haipatikani, “Sophia naona huyu tuta mpitia chuoni” alisema Suzan akiwaanaludi chumbani kwake kuchukuwa mkoba wake, kisha haooo wakatoka nje nakuingia kwenye gari la Sophia, **** wakati huo huo bahatinzuri kwa Nancy, akamwona Elisha ana toka nje ya saloon, akiwa amefumbata mkono akaushika mkono wa Nancy na kuuweka mkonowake aliokuwa ameufumbata juu ya kiganja cha Nancy na kuweka fedha, lakini haikujulikanani kiasi gani maana ilikuwa imeviligwa na kufichwa, hapo Nancy aliipokea vile vile kama alivyo pewa na o wakainuka na kuondoka huku akishukuru, Nancy akiwa na wenzake walielekea upande ambapo kuna bar kubwa ambayo wanafunzi wengi upenda kukaa wakipata chakula, ata jana jioni, Nancy alikuwa pale na Elisha, mbele yao walimwona Edgar akiwa anaongea na simu, kisha wakamwona akimalinza na kuiweka mfukoni, alafu wakamwona nayeye akielekea kule wanako elekea wao, na pia wakamwona akiingia pale walipokusudi kuingia, Nancy akajiamini kuwa inawezekana Edgar akamshobokea, kwasababu yupo peke yake, hakuwa na mwanaume, kama ilivyokuwa jana, walipo ingia pale ndani ya bar kubwa ambao ilikuwa pemmbeni ya barabara, wakamwona Edgar akiwa amekaa kwenye meza za upande wan je chini ya mwamvuli, akitoa oda kwa muhudumu, na wao wakakaa meza ya jilani wakijifanya kuongea na kucheka kama hawa kuwa na wasiwasi wowote, wala kumjari Edgar, dakika chache muhudumu aliwafwata na kuwasikiliza hapo kila mtu ataagiza kutokana na mfukowake, kiukweli hakuna alie agiza zaidi ya chips na mayai m,awili na soda ya miatano kale kadogo,maana hawakuwa nafedha yakutosha , ata Nancy kumbe alikuwa amepewa elfu mbili mia tano tu! , hakuwa na ujanja zaidi ya chips mayai, wakati huo wakashuhudia mezani kwa kijana Edgar ukishushwa mtray uliofulika ndizi za kukaanga na nyama kubwa ya ng’ombe ya kuchoma, ikifuka moshi, kuashilia ilikuwa ina toka jikoni, dakika chache ata kabla hajaanza kula, walishuhudia akiletewa soda baridi, kisha akanawa nakuanza kula chakula alicholetewa, huku vicheko viki simama na wote waka baki wakikodoa macho kwa Edgar, wakati wanaendelea kumshangaa Edgar, mala wakaona gari haina ya totyota ist, ikipita nakukata kona kuelekea upande wa chuo, lakini ghafla gari ilo lika simama kisha mlango mmoja uka funguliwa, aka shuka mwana dada wa maana mwenye umbo la hajabu, kiasi cha kuwa changanya ata watu waliomwona, tena wale waliokosa uvumilivu wali piga miluzi, ndipo Edgar alipostuka na kutazama watu wanacho kishangaa, macho yake yalishuhudia zinga la toto likija upande wake ilimchukua sekunde kama tano kumtambua kuwa ni mama mwenye nyumba wake, akiwa ameachia tabasamu laini midomoni mwake, Suzan alifurahi sana kumwona Edgar pale, kwanza akuangaika kumpata, pili alimkuta akiwa pekeyake, maana alizani amemkatia simu kwasababu yupo na mwanamke mwingine, “mbona umezima simu,?” ilikuwa sauti ya chini kama ana nong’ona hivi huku akiiegemea meza ya Edgar, huku arufu ya mafuta mazuri ikimfikia Edgar, “hapana mama, mbo……” aliongea Edgar akiangika kuingiza, mkono wakushoto kwenye mfuko wakulia, wa pensi lake ilikutoa simu, hapo wakina Nancy wakiendelea kushangaa tukio lile, wakashuhudia yulele mdada mrembo, akiingiza mkono kwenye mfuko wa kaptula ya Edgar anakusaidia kuitoa simuile, kisha akaitazama akijaribu kuiwasha, kweli ilikuwa ime zimwalakini ilipo washwa, tu ika zima tena “kumbe haina chaji” aliongea yule mdada kisha akachukuwa ndizi moja na kumega kidogo, na kishushia na soda iliyo kuwa mezani, kisha wakina Nancy wakashuhudia wakiongea mawili matatu, alafu wakaona Edgar akiinuka na kunawa kisha huyooo akaongozana na yule dada nakuingia kwenye gari nakuondoka, akiwa amehacha nyama na ndizi nyingi mezani huku soda atanusu haija fika, kiukweli Nancy alijiona hakuwa na bahati kabisa, asa alipo yakumbuka maneno aliyo yaongea jana usiku, pale pale bar, akakodoa macho akiliangalia gari likigeuka na kuikamata barabara kuu nakuelekea mbezi, ****

mzee Mashaka alitoka mapema kidogo akimwacha mkewake anajiandaa kwamtoko, mzee Mashaka alienda moja kwa moja, mjini ambako alikuwa na ahadi ya kukutana na watuwake wa biashara mitaa ya ubungo maziwa, walikuta kwenye bar moja inayoitwa Soweto, ambapo walikuwa wamefikia wale wafanya biashara wenzake toka arusha, maana kuna nyumba ya kulala wageni hapo hapo, ilikuwa ni mida ya saa nane alipo wasili maali hapo, aliwakuta wakimsubiri, huku wakinywa bia zao taratibu, alikuwa ni mzee Nko na kijanawake mmoja na dereva wao, “hooo karibu bwana Mshaka, nilizani ungechelewa kweli kweli,” alisema mzee Nko huku akiinuka na kumpa mkono kwa salam, “asante bwana Nko, yani ata hapa nilizani nime chelewa sana, kumbe mmetulia hapa mna hamsha gambe” mda huo huo ata kabla haja kaa muhudumu mmja wakike zlie valia kisketi kifupi, alikuwa amesimama ana subiri kumsikiliza, hapo mzee Mashaka alikodoamacho akimsamini sha yule mhudumu kuanzia juu mpaka chini kisha akaganda kwenye mpasuo wa pembeni wakisketi kile, cha yule binti muhudumu, “nikuhudumie nini tafadhari” aliongea yule bnt akiachia tabasamu laini lililopambwa kwa midomo iliyopakwa langi nyekundu, “naitaji huduma nyingi toka kwako, kwa sasa lete bia, kisha wewemwenyewe kunywa unacho taka,” alijikuta akiongea mzee Mashaka akimwacha yule bint akicheka cheka nakuondoka, baada ya muda mfupi akalejea na bia, akaifungua kisha aka inama sikioni kwa mzee Mashaka akamwambia, “siruhusiwi kunywa nikiwa kazini , kama huto jari natoka saa kumi, mimi nakaa kimara, tuna weza kuelekea mitaa ya karibu nahuko” hapo mzee Mashaka akaona ameokota chenza chini ya mwalobaini, “poa ukitoka nistue” alijibu mzee Mashaka na yule binti akaondoka akwaacha wakina mzee Mashaka wanaanza maongezi yao, Sophia Suzan na Edgar walikuwa wamekaa kwenye bar moja kubwa mbezi mwisho, ng’ambo ya barabara kuu ya morogoro ikitazamana na stendi mpya, mezani kulikuwa na vinywaji kadhaa Sophia alikuwa na bia kama kwaida yake Suzan alikuwa na chupa kubwa ya mvinyo mwekundu, pia grasi mbili zote zikiwa na mvinyo mwekundu, ni baada ya Suzan kumshawishi Edgar ajaribu kutumia mvinyo, kweli Edgar alipoonja alisema inafanana na divai, akaendelea kunywa kitu kilicho mshangaza Sizan nikwamba Sophia alikuwa ana mshangaa sana Edgar muda wote mwacho yalikuwa kwa Edgar, hapo alijaribu kuingiza story mbalimbali ilikumwondoa Sophia kwenye bumbuwazi la kumkodolea macho Edgar, muda huo tayari walisha toa oda ya chakula, na walikuwa wakimsubiri mama Sophy aje ili chakula kije mezai, wakati huo mama Sophy alikuwa anapaki gari maeneo ya ile bar pembeni ya gari la mwanae Sophia, kisha akashuka na kuelekea walipo kaa watu wengine, akipepesa macho kuangalia walipo kaa wakina Sophia na Suzan, kiukweli mama Sophia licha ya umri kwenda sana na kutimiza miaka 49, lakini alionekana kuwa mzuri wakutamanisha, alipita meza kadhaa uku bahadhi ya wanaume wakimkodolea macho kwa matamanio, hakuchukuwa mda mrefu alipo waona wakina Sophia walipo kaa, aliwatambua vizuri kabisa kasolo kijana mmoja alie kaanao, akapiga hatua kuwa fwata, hakuna aliemwona , maana Suzan alikuwa akipiga porojo na Sophia akimkodolea macho kijana yule, kitukilicho mshangaza yule mama, aladi anafika pale ndipo nawao walipo stuka na kumkaribisha “karibu mama, hooo! umependezaa” alikaribisha Suzan nakumfanya Sophia nae atambue uwepo wa mama yake, “asanteni jamani, vipi mmefikia pombe baada ya chakula” aliongea mama Sophy huku akivuta kiti na kukaa pembeni ya Edgar, na kua anatazamana na wakana Suzan na Sophia, walisalimiana wote kisha ukafwatia utambulisho wa Edgar, “hooo nashukuru kuku fahamu, aliongea mama Sophia akimpa mkono Edgar “karibu dar, jitahidi kusoma uwe kama hawa dada zako” alongea mama Sophia wakati huku akiwa bado amemshika mkono Edgar, “asante mama, nita jitahidi” alingea Edgar akiachia tabasamu la mtoto kwa mama, kipi hicho mama Sophia akamwachia mkono, na mambo mengine yaka endelea, ikiwemo chakula na vinywaji namaongezi ya furaha, moyo mwa watu hawa kila mmoja aliwaza la kwake, ukianzia kwa Edgar, kwanza alishangaa kuona mama yule licha ya kuwa na mtoto mkubwa kama Sophia lakini bdado alionekana kuwa mrembo, wazo jingine lililo tawala hakili yake ni juu ya mchezo wajana, aliwaza kama na leo ata pata fulsa yay a kucheza na msambwanda wa mama mwenyenyumba, mawazo hayo yalipelekea kuwa anamwangalia Suzan kwakuibia, lakini ikawa ka hajari, kila alipo kuwa anamtazama macho yao yaligongana, nawote wakajikuta wakitabasamu, kwasababu Suzan na ye alikuwa anawaza jinsi atakavyo faidi dudu usiku waleo, maana jana ilikuwa kama yakustukiza, sasa leo alipanga ku faidi kisasa sawa, wakatihuo mama Sophy naye mala kwa mala alikuwa akiwaza na mna yakufanya ili mumewake, ili adumu kwenye mchezo muda mrefu, maana anamfahamu vizuri, uwa anamichezo ya jogoo, kudandia faster na kushuka, atakama wamekaa mwaka, kwaSophia yeye aliwaza juu ya huyu mpangaji wa Suzan, alimvutia sana, alitamani kama angepata nafasi ya kudondoka nae kwa kitanda angalau usiku mmoja tu, tena alitamani kumwambia Suzan jambo hili lakini moyo wake kama ukawa una sita hivyo akaona atafute nafasi, ya kumweleza ukweli kijana huyu, wote wali waza hayo huku mambo ya vinywaji story na story zikiendelea, wakti hayo yakiendelea Edgar alikumbuka jambo, akamnong’oneza Suzan naye akatoa simu yake na kupatia Edgar, ambae aliinuka na kusogea pembeni, kisha akabonyeza namba kadhaa, alafu akapiga, nakuiweka simu sikioni, baada ya sende chache akaanza kuongea, “dada ni mimi Edgar,..nili..” hakuwaikumalizia kuongea alicho kusudia kabla ya dada yake kumkatisha, kwa sauti ya ukali, “umeamua kuanzima simu ili niki sikilize nimesema sina fedha, tena koma kuni sumbua” alikuwa ni dada yake mkubwa “ lakini dada nili kuwa nataka…” hapo simu ilikatwa kabla haja maliza kuongea, alicho taka kusema, hapo aka bonyeza tena namba nyingine, kisha aka piga nakusikilizia, iliita sana ndipo ilipo pokelewa, “hallow, nani mwenzangu?” aliuliza dada yake baada ya kupokea simu, “wewe tena, umeamua nakubadilisha simu, nimesema sina ela na hukome kupigania wanawake fyoooo” alimalizia kwa msonyo ulio fwatia kukatwa kwa simu, hapo Edgar ambae alitaka kuwajulisha kuwa simu yake ime zima na alikuwa anataka kuongea na baba yake maana namba aliyo itumia mwanzo, hipo kwenye simu iliyo zimika, basi taratibu, alirudi mezani walipo wenzake na kukaa, Suzan aliiona ali yaunyonge waghafla aliyokuwanayo Edgar, Suzan akawaza mawili matatu juu ya hali ya Edgar, kubwa alilo waza labada alimdanganya anaongea na dada zake, kumbe anataka kumpigia demu wake, maana hakuamini kama huyu kijana hkuwa na mwanamke kwa shuguli hile yajana, “kuna tatizo Edgar, mbo na umebadirika ghafla?” aliuliza Suzan na wengine wote waka mtazama kijana huyu, “haa wakina dada wame ni katia simu, lakini siyo mbaya, nikichaji simu nita mpigia yule mzee niongee na baba,” aliongea Edgar akianza kurudisha aliyake ya uchangamfu“kwani baba yako anaga simu?” aliuliza Sophia ndiyo anatumia ya jilani yake mmoja hivi” alijibu huku anainua gras ya mvinyo ambao ulisha anza kumchangamsha, hii siyo mala yake ya kwanza kunywa pombe, wakati akiwa shuleni mala kadhaa alisha kunywa wine walizokuwa wanaziiba kwa mapadre, “ok! husijari kesho nikitoka kazini nitajitahidi nikutafutie simu, kisha tuta ituma kwenye mabasi” Suzan akiwa amemeleza macho, alijikuta amesha ongea huku akiwa ameulaza mkono wake juu ya kiganja cha Edgar,nakufanya kama anaupooza kwa kuusugua taratibu na kiulaini, kitendo ambacho Sophia na mama yake walikiona,

kwaupande wa Sophia kili msisimua na kutamani kama yeye ndie angekuwa Suzan, ameweka mkono wake kwa Edgar, mama Sophia yeye aliangalia mala moja na kupotezea huku moyoni akijisemea “vijana hao waache wafaidi” haikuwa taztizo sana kwao,maana kila mmoja alikuwa amesha anza kukolea kinywaji, kilometa nyingi sana toka alipo Edgar, yapata kilometa zaidi ya mia tisa pembeni ya mji wa Songea mkoani Ruvuma, kijiji cha luhuwila, kwenye nyumba moja kuukuu walionekana, wazee kadhaa wakiwa wame kaa kwenye viti na magogo mbalimbali kwakuzunguka, hukukati kati yao, kuna vyombo vili vyo jaa pombe aina ya ulanzi uku mziki ukiwaburudisha na arufu ya nyama za kuchoma zikiburudisha pua zao, “wewe kijana wako hapatikani bwana, yule muhuni ndomaana ameshindwa upadre” aliongea mzee ngonyani, yule ambae baba yake Edgar alitumia simu yake kumpigia mwanae asubuhi, aki ingizia utani kidogo, “yani wewe hujuwi tu, yule dogo amefanya vizuri kuhacha upadre, sababu nisinge pata wajukuu wakuendeleza jina, hawa mabinti wote , hawana ata mpango na mimi ” japo walikuwa wame lewa lakini wenzake walimwelewa vizuri mzee Haule, licha ya kusimuliwa, pia waliona kwamacho yao jinsi watoto wamzee haule waliyo kuwa wakimtenga baba yao bila msaada wowote, japo kuwa wanamaisha yenye uafadhari, lakini hawakusubutu kuwsaidia wazazi wao, ata fedha ya kumpeleka Edgar chuo, ilikuwa ni kwamkopo ambao waliweka poni, mashambayao hekali kumi, na kwamba kwa million moja hisipo lipwa kwa muda wa mwaka mmoja, mashamba yanataifishwa, kiukweli watuwengi waliokuwa wanafahamu tabia ya watoto wamzee haule waliuzunishwa sana, na tabia ya watoto wake wote, saa moja jioni ilimkutia Nancy akiwa anatoka darasani, kwenda saloon kumpitia mpenzi wake mpya Elisha akamnunulie, chakula cha jioni, alipofika pale alikuta Elisha anamalizia kumnyoa mteja mmoja na mwingine anasubiri, akaingia na kukaa kwe benchi la wateja wanao subiri kunyoa, huku akilahumu kimoyo moyo “haaa! yani mpaka ammalize na huyu” lakini haikuchukuwa muda mrefu sana nikama nususaa hivi Elisha alikuwa amesha malizana na wateja wake na ndicho kipindi alicho tokea kinyozi mwenzie nakumsalimia shemeji yake kisha wakaondoka wakimwacha yule alieingia, wao wakaelekea kwenye hile bar ya jana huku njiani wakiongea ili nalile liusulo penzi lao jipya, huku ahadi nyingi zikitolewa, lakini muda wote bado Nancy alijiwa na tukio la mchana pale bar aliomwona Edgar akiondoka na yule mdada huku akihacha vyakula mezani, kiukweli kitu kama wivu kilimjai na kum keleketa moyoni, **** saa mbili usiku mzee Mashaka akiwa na yule bint alie mkuta pale bar kule ubungo maziwa alikuwa kimara stop over kwenye bar moja kubwa pia, wakiendelea kunywa pombe, huku muda wote, binti yule ambae hakumjuwa ata jina alikuwa aki mpeti peti kimahaba, na kutokana na mwanga kuwa afifusehemu ile waliyo kuwa wamekaa, binti yule mala chache alikuwa ana chezea kwenye lisani yam zee Mashaka na kuifanya dudu isimame mala kwa mala, hapo mzee Mashaka akapiga mahesabu ya halaka halaka akapata jibu akajikuta anatabasamu, waliekaa hapo bar kwa muda mrefu sana wakinywa pombe huku waki endelea kufanyiana michezo ya kimapenzi mpaka ilipo gonga saa tatu husiku, ndipo mzee Mashaka akamnong’oneza japo yule bint naye akaitikia kwakichwa kisha wakainuka nakushikana mikono, wakatokanje nakuelekea kwenye gari la mzee Mashaka, lilikuwa limeegeshwa chini yamti ambayo ilikuwa ime funikwa na giza lakutosha, kwakaingia kwenye siti ya nyuma, kisha yule binti alaka sana akamfunua zipu mzee Mashaka nakuitoa dudu, kisha akaitikisa kidogo, nayo ikaanza kututumka kisha akapitisha ulimi kwenye kichwa cha dudu hiyo mpaka maeneo ya shingoni, kabla haja idumbukiza madomoni nzima nzima, nakumfanya mzee mashaka aanze kugugumia kwa raha alizokuwa anazipata, kelele za mzee Mashaka zilikuwa zikizidi kupanda kila sekunde kila yule binti alipoongeza kasi ya kuinyonya dudu, nayeye alizidisha miguno adi yule binti alipo isi sasa anaweza akaikalia dudu, lakini alikuwa kachelewa maana mzee mashaka alishaanza kuwaita mashabiki, atayule binti alipo ichomoa dudu mdomoni ili ajiandae kui kalia alisha ngaa vitu ya moto viki mwagikia mikono ni mwake, hapo hakuwa nanamna akavua chupi yake na kumvutia mzee Mashaka kisha mikono yake, hapo mzee mashaka akatowa elfu hamsini , na kumkabidhi yule binti, kisha wakaagana na kila mmoja akashika njia yake, mida hiyo Edgar na Suzan walikuwa ndiyo wanaingia nyumbani, baadaya kuagana na wakina Sophia na mama yake, nusu saa hiliyopita, wote wane walikuwa wame lewa vyakutosha, wakina Edgar walikuwa wame kodi gari (texi), ambayo iliwafikisha hapo nyumbani, kutokana na pombe ambazo walikuwa wame kunywa hawakuona zambi kuingia wote kwapamoja, pasipo kujali macho ya wapangaji, wakaongozana ndani kwa Suzan, moja kwamoja mpaka chumbani kwamala yakwanza Edgar alishuhudia chumba cha ukweli, chumba chenye kilakitu, pamoja na kitanda changuvu, chumba kina nukia, japo alikuwa amepata pombe kidogo lakini aliwez kuona jinsi mle ndani mlivyo pendeza, Suzan moja kwamoja alivua nguo zote na kumsogelea Edgar na kumvua nguo moja baada ya nyingine kisha aka ingia bafuni kuoga akimvuta mkono Edgar, hapo waliogaeshana kimahaba, huku kila mmoja wao akiamasika kimapenzi, baada ya dakika kadhaa walitoka bafuni hapo suzan akaelekea kwenye kbatidogo mle mlemle chumbani akatoa chupa ya mvinyo mwekundu, iliyokuwa nusu chupa, akaifungua na kuiweka mdomoni kisha akaigugumia kwa fujo, nakuishusha akimnyooshea Edgar, akimwacha Edgar akizubaa, naye akaipokea nakuinywa kidogo akijiandaa kupanda kitandani wote walikuwa kama walivyo zaliwa “Edgar nenda kahakikishe mlango kama nimefunga vizuri” hapo Edgar akachukuwa taulo nakujifunga kiunoni kisha akatoka chumbani nakwenda kuakikisha milango, kamaimefungwa alikuta mlango walioingilia ulikuwa hauja fungwa akaanza kuufunga, aliangaika nao kamama dakika kumi hivi ndipo alipo fanikiwa, akarudi chumbani kwemba akafaidi kitumbua, alipo ingia chumbani alimkuta mama mwenye nyumba akiwa amelala chali mguu mmoja huku na mwingine kule, nakusababisha kitumbua kiwe wazi kabisa, kiukweli Edgar alishuhudia dudu yake ikisimama vilivyo maana leo alishuudia ile kitumbua yamaana , kwauwazi zaidi kuliko jana, maana alikuwa anaitazama kwauoga,

lakini tatizo Suzan alikuwa ameshapitiwa na usingizi, nayeye akapangalia huku nahuku, kisha akaiona chaja ya simu ya Suzan, japo simu yake ilikuwa ni ndogo lakini ziliingiliana chaja nay a Suzan, akachomeka simu yake kisha akajilaza taratibu pembeni ya Suzan, mama Sophia, aliingia nyumbani mida ya saa tatu na nusu hakumkuta mumewake, akaingia bafuni kuoga kisha akajilaza kitandani, akimsubiri mumewake pasipo kujuwa kuwa mumewake , yupo mbezi mwisho anapiga za kwenda kulalia baada yakutoka, stop over, alipitia kwenye bar moja iliyopo njia yakuelekea kwake mbezi msakuzi, kaka nakuagiza bia mpaka alipo kuja kustuka ilikuwa ina karibia saa sita, akaamua kurudi nyumbani, wakati huo mama Sophy alikuw amesha pitiwa nausingizi mzito, nakutokana na pombe alizo kunywa, ndo kabisaaaa, anakuja kustka ni baada yakusikia mkoromo ya mumewake, ambae alifunguliwa mlango namfanyakazi wandani, maana watoto wa mzee masha wote walikuwa sehemu mbalimbali ukiachilia Tony na Sophia wengine walikuwa shuleni na vyuoni, hapo mama Sophia akajisemea, “leo lazima anipe, kwanamna yoyote ile” kwanza alijaribu kumwamsha mumewake, hakuonyesha dalili ya kuamka, akasimama yeye mwnyewe, nakumvua nguo zote mumewake, kisha akaikagua dudu ile, akaona ina dalili ya kutoka kutumika, akaachia msonyo wanguvu nakujifunika kwahasira, huku amenuna kweli kweli, ukichukulia na maandalizi aliyoyafanya, kwaajili ya kulifaidi dudu, sasa anashuhudia mwenye dudu anakoroma vibaya sana, Suzan aliamka baada ya kusikia kelele za mlio wa simu yake alarm, ilikuwa saa kumi na mbili kamili, aliangalia alipo lala, nusu ya mwili wake ulikuwa juu ya mwili wa Edgar, wote akiwa uchi kabisa, akahisi kuwa amegandamiza kitu kigumu kwapaja lake, akajiinuwa nakutazama alicho kishuhudia ni, hatari, aliona dudu ikijikujuwa, huku ime kasilika mpaka mishipa ya damu inanekana wazi wazi, akaitazama kwa sekunde chache kisha akainuka na kumfunika vizuri Edgar alafu akaingia bafuni, huko alitumia mda mrefu kidogo kisha akatoka, akiwa amesha oga nakupiga mswaki, akaanza maandalizi ya kwenda kazini, nusu saa baadae alikuwa njiani akiwa amebeba amemwacha Edgar amelala, njiani aliwaza mambo mengi sana yanayo usu penzi lake jipya na kijana Edgar, alijisikia furaha sana aliona kama amepata utajiri mkubwa katika ulimwengu huu, kwakuwa na bwana mdogo huyu, Edgar aliamka saa moja kamili, baada ya kusikia mlio wasimu yake ambao ulikatika, ghafla, akajikuta yupo chumbani kwa mama mwenye nyumba, tena akiwa pekeyake, akakulupuka toka kitandani na nakuanza kuvaa nguo zake, alipomaliza akaangalia simu yake kwenye chaji haikuwepo, akaanza kuitafuta akijiuliza kuwa itakosekana vipi kuonekana wakati ameisikia ikiita muda uleule, mala akasikia ikiita tena, akatazama mlio unapotokea, ilikuwa juu ya meza ya vipodozi akaifwata, wakati anaichukuwa simu yake kuna kitu kika mshangaza, ile simu ilikuwa juu ya noti kumi za elfu kumi kumi, akaitazama simu kumtambua mpigaji ni mama mwenyumba, alaipokea “niambie baba umesha amka?” ilisikika sauti ya Suzan ambayo ilikuwa kama kiburudisho kwenye masikio ya Edgar, “ndiyo mama, nili lala sana”aliongea Edgar kwasauti ya nizamu kwa mama mwenye nyumba wake, “hilo jina silipendi , ebu tafuta jina lolote, ukishindwa niite Suzan,” aliongea Suzan kwa utani wa kimahaba, “nime kuelewa, sitorudia tena” aliongea Edgar akionyesha kupunguza ule uoga wa mpangaji , kwamama mwenye nyumba, “ok sawa! nime kuamsha ujiandae kwenda chuo mume wangu,” hiyo kauli ilitaka kumdondosha Edgar “alafu nimekuwekea laki moja hapo mezani, itakusaidia kwa chakula cha mchana, alafu baadae nitakupigia simu, tujuwe tunafanyaje, kuhusu simu yakumpelekea baba Songea,”aliongea Suzan ambae alionyesha kuwa amesha fika kazini, “alafu akikisha mlango umeufunga na huo funguo baki nao, mimi ninao mwingine kama tuta pishana” walimaliza kuongea kisha Edgar akatoka kwa Suzan, nakuingia kwenye chumba chake, nakuanzakujiandaa,kwenda chuo ambapo wanaingia saa mbili kamili, ila mpango wake ukiwa ni kupitia kwanza kwenye bar yapale njiani akapate supu, kisha aende chuoni, * Tusafiri kidogo mpaka Songea, mzee Haule alikuwa amebeba jembelake, pamoja namkewake anaelekea shambani, njini walikuwa wanaonge mawili matatu, yanayohusu maisha yao na jinsi watoto wao wanavyo watenga nakushindwa kuwasaidia,wakati wanakiacha kijiji, nakuingia mapolin safari ya mashambani, mala wakasikia sauti ya mzee Ngonyani, wakasimama lilkumsikiliza baada ya kusalimiana, ndipo mzee Ngonyani, akasema kuwa kijana wao Edgar atapiaga simu baada ya dakika tano, nikweli haikuchukuwa mda mrefu kabla simu haija ita, wakwanza kuongea na Edgar alikuwa ni mama yake walisalimiana kwa furaha sana, ukichukulia toka kijanawao ameenda dar wiki moja iliyo pita, awakuwai kuongea kwasimu, wakaongea mawili matatu, kisha ikawa zamu ya baba yake, baada ya kusalimiana, Edgar alimweleza baba yake juu ya mpango wa kumtumia simu, kesho yake ambapo angeipata kesho kutwa jioni, au siku itakayo fwata hivyo waka weka mikakati ya kuwasiliana ili aweze kuupata mzigo wake, walipo maliza maogezi kila mmoja akaendelea na safari zake, *** Mida hiyo Nancy alikuwa ameongozana wenzake, wanaelekea chuoni, nasasa walikuwa wanapita maeneo ya bar ambayo wanafunzi wengi utumia kwaajili ya kupata chakula na wale wanywaji upata vinywa hapo, pale bar palikuwa na watu wachache ambao walionekana wakiwa wanafakamia supu, au chai, “yule kaka wajanayuleee” aliongea mschana mmoja kati ya wale alioongozana nao Nancy, wote waka geuka nakutazama bar, wakamwona Edgar, moyo wa Nancy uka lipuka, akajikuta amesimama, kisha ghafla akaanza kupiga atua akielekea kwenye ile bar, pale alipo kaa Edgar ambae alikuwa ameinamia bakuli la supu ilililo jaa paja kubwa la kuku, na mchuzi, chapati tatu zikiwa kwenye sahani, na yanne ikiwa kipande, huku soda ikiwa pembeni ikivuja maji kama umande, kuonyesha kuwa niya baridi sana, Nancy alifika pale na kusimama mbele ya meza ya Edgar, “Eddy mambo” ilikuwa sauti nyembamba yautulivu uliochanganyika na wasi wasi, iliyo mstua Edgar ambae hakujuwa kama kuna uwepo wa mtu mwingine mbele yake, akainua usowake na kumtazama alie salimia, “poa” aliitikia kisha akaendelea kuifakamia supu yakuku, “samahani Eddy naomba tuongee kidogo” Nancy alionea akiwa bado amesimama, kwasauti ile ile yamwanzo, hapo Edgar akainua tena uso wake, nakumtazama Nancy, kwasekunde kadhaa, kisha kwasauti tulivu akasema “samahani dada yangu, kwani tuna fahamiana?

hapo kilimshika kitu kama haibu ata miguu yake ika kosa nguvu, akajikuta akikaa kwenye kiti kilicho kuwepo kwenye meza hile, alitulia kidogo na kuwatazama wenzake ambao walisha anza kutembea kuelekea chuoni, kisha akamtazama Edgar nakuongea kwasauti ya upole yakutia huruma “samahani Eddy, najuwa kuwa nilikukosea, lakini…”alisita kidogo baada ya muhudumu kufika nakusimama pembeni yake, “samahani anti nikuletee nini?” wali hilo lilikuwa gumu sana kwake, kwa sababu hakuwa ata na shilingi mbovu, akabaki ametumbua macho nakumkodolea Edgar ambae alikuwa ameinua uso wake na kumtazama Nancy, Edgar alishuhudi kitu kama machozi yakiwa yame anza kufunika maho ya binti huyu alie mzalilisha sikumbili zilizopita, “mletee kama hii, kasolo chapati tuta gawana hizi” sauti hiyo ya Edgar ilikuwa kama mauza uza, masikioni kwa Nancy, “nasoda pia?” aliuliza yule muhudumu, “muulize mwenye ata kunywa soda gani?” alijibu Edgar nakuendelea kuishambulia supu yake, hapo Nancy alitabasamu kidogo, akimwangalia Edgar ambae macho yake yalikuwepo kwenye supu, “Edgar naomba unipe nafasi, …. naitaji kuongea na wewe” aliongea Nancy, kwasauti ya kubembeleza, “ongea” Edgar alijibu kimkato, kitu ambacho kilimshangaza Nancy, maana yeye alijuwa kuwa yamekwisha, baada ya kupewa offer ya supu, “samahani kama nakuudhi, baba yangu, simahanishi hapa, sehemu nyingine” hapo hakuna jibu lililotoka kwaEdgar kika tawalakimya muhudumu alikuja na kuleta vitu alivyo agiziwa Nancy naye akaanza kpata supu ya kuku ikiwa kama ndoto maana hakuna mwanaume ambae angefanya vile, walikula kimya kimya mpaka, walipo maliza japo Edgar alianza kula, kabla ya Nancy, lakini walimaliza pamoja, baada ya kunawa Nancy akashuhudia Edgar akifungua waleti yake iliyo kuwa na noti nyingi za elfu kumi kumi, nakuchomoa moja kisha akampatia yule muhudumu, ambapo akarudishiwa chenji, kisha akainuka tayari kuelekea chuoni, hapo Nancy akainua begi la vitabu la Edgar nakuliunganisha naleke, aakayaweka begani,safari ikaanza kuelekea chuoni, njia nzima Nancy alikuwa anaomba kupata nafasi ya kuongea nae, ili amwombe msamaha, baada ya kuomba sana Edgar akamjibu “ok tutaangalia nikipata muda”kisha akachukuwa begi lake nakuungana nawenzake kuelekea darasani kwao, huku Nancy naye akiingia darasani kwao, ukuakijipa moyo, kuwa atafanikiwa kumpata Edgar, kijana ambae alitokea kuuteka moyo wake,ilsha timia saa tano asubuhi, mzee mashaka alikuwa amesha jiandaa, kwakutoka kwenda katika shughuli zake za kila siku, “mumewangu naomba leo, tutke wote usije kulewa kama jana mpaka ……” alongea mama Sophy akijiegemeza kwa mumewake ambae alikuwa amesimama mbele ya kioo kikubwa akijiweka sawa, “mpaka nini,?” aliuliza mzee Mashaka akionyesha kuwa, hakuwa na utani kwa siku hiyo, maana alisha juwa anacho taka mke wake, “kuona hivyo mama Sophy akajuwa kuwa mumewake hataki utani, akaamua kuzuga, “kuna jambo nili taka tuongee, lakini naona hupo busy sana” hapo ata uso wa mzee Mashaka uka badirika, nakuonyesha tabasamu, “jambo gani hilo mke wangu?” hapo mama Sophy akachezesha akili kwa haraka nakusema, “nilikuwa naitaji fedha kidogo si unajuwa week ya pili sasa sija enda mjini,” hapo mzee Mashaka akmtazama mke wake, huku akiwaza kidogo “ok! nitapitia kwenye Benk ya wananchi kisha nita twa fedha nakumwachi, yule rafiki yake Sophy, ..sijuwi anaitwa nanani vileee, alafu wewe utaipitia pale” wakaafikiana jambo lile, japo MAMA Sophy hakuwa na safari yoyote ya mjini lakini akaanza kujiandaa, ili atomize wajibu, huku mumewake akiwa amesha toka, kituo chakwanza chamzee Mashaka kilikuwa Benk ya wananchi, pale mbezi akatowa fedha kiasi cha milioni tano nakuingia nzo ofisini kwa Suzan ambae alimkuta ndiyo kwanza ametoka kununua simu, “hooo karibu baba , yani umenisusaaaa” aliongea suzan huku akiona kama ametembelewa na mtu ambae hakupenda awepo pale mda hule, walikumbatiana kisha waka kaa, nakuulizana habai za iku mbili zilizo pita, huku mzee Mashaka akijifanya kuwa yupo busy, na Suzan alimzodoa kwakuwa alikuwa nazo taharifa zakuwa, anashinda bar na wanawake, ingawa usoni Suzan alionyesha hali ya tabasamu, mzee Mashaka hakukaa sana, akamkabizi Suzan million tano, tatu zikiwa za Suzan na mbili za mkewake, akamweleza kuwa mama Sophy angezipitia pale, kitu kama hicho walisha wai kufanya mala kadhaa, kwahiyo isingekuwa shida kwaleo, le mzee Mashaka anaondoka tu!, Suzan ali mng’ong’a kisha akajisemea, “hunichezei tena, wewe kahaba la kiume”, hapo Suza akaangalia simu yake ilikuwa saa sita na lobo, akaichukuwa simu yake na kumpigia Edgar, namba ilikuwa imeandikwa mpangaji chuo, Edgar alipo ipokea akamwambia ajitaidi aende pale ofisini kwake alaka akiaihi kumwelekeza pindi atakapo fika mbezi, muda huo ndio muda ambao mama Sophy alikuwa anatoka nyumbani kwake mbezi msakuzi, akiwa ndani ya garilake Toyota vits, aliendesha taratibu huku akijiuliza hii tabtabia yamumewake ya kumnyima dudu itaisha lini, maana kiukweli ataalipo kuwa ana waza hayo alihisi kuna kidudu kina tembe kwenye kitumbua chake, nakumtekenya vibaya sana, mawazo hayo yali koma alipo ingia benk ya wananchi, ambapo alielekea moja kwa moja ofisini kwa Suzan, “hooo! mama karibu zatoka jana” walisalimiana huku Suzan akihisi msuto katika nafsi yake kwani aliomna ubaya anao ufanya kutembea na mume wahuyu mama, alijiapita kuto kumpa utamu maze Mashaka, kwani hali muonea huruma huyu mama warafikiyake, maana alijuwa kabisa kuwa kutokana na kibamia cha mzee Mashaka huyu mama hakuwa anafaidi dudu, ukizingatia yeye amesha ona siri ya mafanikio kwa Edgar, “safi tu mwanangu, vipi jana mlifika salama?” walisalimiana, nakuongea mabo mawili matatu, wakati Suzan akimkabidhi mama Sophy, fedha mill 2, na mlango wa ofisi nao uka gongwa kuashilia kuna mtu anaitaji kuingia, Suzan akausogele a mlango akimwacha mama Sophy, anaweka fedha kwenye mkoba wake, alikuwa Edgar, “ho! umesha fika, karibu” ilikuwa nusu wakumbatiane, maana wote walikuwa wana hamu ya kuingiziana dudu, kutokana na kukatishwa kwa pambano la jana na usiku, lakini walishindwa kutokana na uwepo wa mama sophy, Edgar alimsalimia mama Sophy, kisha Suzan aka mkabidhi simu pamoja na tsh mill moja, za kwenda kutuma kwa wzazi, hapo Edgar akataka kuaga , lakini Suzan alimwombea lift kwa mama Sophy, huku akimsisitiza Edgar kuwai kurudi, iliwapate chakula cha mchana pamoja, japo mama Sophy hakuwa na safari ya mjini, lakini aliamuwa kuzuga, akipanga kumfikisha Edgar ubungo, kisha amwache nakugeuka zake, dakika chache baadae mama Sophy na Edgar walikuwa ibanda cha mkaa wakielekea mjini, njiani walikuwa kimya kila mmoja akiwaza yakwake, mama Sophy alikuwa anawaza juu ya tabia ya mume wake, ya kurudi nyumbani akiwa na shombo kwenye dudu, mama Sophy aliumia sana kwa tabia hiyo ya mume wake, alikosa la kufanya kwasababu hakuwa na tabia ya kutoka nje ya ndoa, wakati mama Sophy akiwaza hayo, huyku Edgar naye alikuwa amezama katika mwazo juu ya tukio la jana usiku huku picha ya tukio la jana usiku iki mjia kichwani, aliiona jinsi Suzan alivyo kuwa amelala huku ame chanua miguu yake, na kitumbua kikionekana wazi kabisa, hapo akaisikia ata dudu yake ikiinuka na kusimama, kiasi cha kutuna kwenye suluwali yake ya kitambaa chepesi, wakati huo walikuwa kwenye foleni ya kuingia kimara mwisho, ambapo foleni ilikuwa inaanza kutembea, na mama Sophy alitazama gia ili aingize D atembee, kwa bahati mabaya akaangalia kwenye zip ya Edgar, akaona kitu kime vimba, na kutngeneza ramani, iliyoonekana kwa uwazi, akajikuta koo likimkauka , akameza mate kulainisha koo, uku akisahau kama alitakiwa kutembea baada ya magali kuaza kusogea, akastuliwa na honi ya magari ya nyuma yake, hapo akaingiza gia nakuondoa gari, akiwa haja amini macho yake kile alicho kiona, akawa anaibia kutazama kila anapo pata nafasi, nikweli haku kosea ilikuwa dudu, tena ilionekana kuwa nakiu ya hajabu, hapo akatabasamu na kumtazama Edgar, ambae alikuwa amezama kwenye mawazo, “hupo mwaka wangapi mwanangu?” kwamala ya kwanza wakavunja ukimya, “nipo mwaka watatu mama” alijibu Edgar kwasauti yenye uzani mkubwa wanizamu, “hu! kumbe karibu unamaliza hen?” hapo wakaanza kuongea huku mala kwamala alikuwa anatazama kwenye dudu ya Edgar, wakati akiya fanya hayo, alianza kuisi unyevu unyevu kwenye kitumbua chake, mbacho kilikuwa kina kiu ya miezi mingi, hakijaonja dudu, walivuka mataa nakuingia stend kuu ya ubungo na kuingia ndani ya stendi hiyo, waliitavuta ofisi ya busi la ngoni trans, hawakutumia muda mrefu kuipata, waka kabidhi mzigo nakupewa taratibu ambazo mpokeaji anatakiwa azifwate, Edgar alipiga simu kwa mzee Ngonyani akampaujumbe wakumpelekea baba yake, alipo maliza akamuaaga mama Sophy huku akimshukuru kwa msaada wake, lakini mama Sophy alimwambia amindikize kwanza, ili warudi wote, alimwambia kwamba alikuwa anakikao na wageni wake kwenye hotel ya NYUMBANI PEACE VILLAGE, hivyo waende pamoja na hawata tumia muda mrefu, watrakuwa wanarudi nyumbani, haikuwa na pingamizi kwaupande wa Edgar, wakaingia kwenye Toyota vits, nakuanza safari ya kuelekea kwenye hotel ya nyumbani peace village, ambayo hipo atuwa chache toka stendi ya ubungo, walipo fika mama Sophy alimwambia Edgar amsubiri kwenye gari, akatoka akimwacha Edgar akishangaa mazingila mazuri ya pale hotelini, akamwona mama Sophy ana rudi, akamwambia ashuke kwenye gari, kisha amfwate, baada ya kufunga milango ya gari, wakaongozana kuelekea ndani ya hotel hiyo, walipita hukumbi wa chakula na vinywaji, wakanyoosha kwenye kimlango kidogo, ambapo Edgar alimwona mama Sophy akiponye vinamba kisha ule mlango uka funguka kama wa daladala, wakaingia ndani kisha akabonyeza tena mlango ukajifunga, sekunde chache baadae ukajifungua, wakatoka nakuufwata mlango ulio andikwa Nairobi, mama Sophy akatoa funguo nakufungua malangohuo wakaingia ndani, kiukweli kilikuwa chumba kikubwa na kizuri sana chenye kila kitu pamoja na makochi kama sebuleni, Edgar akaenda nakukaa kwenye kochi moja, akimwacha mama Sophy akachukuwa taulo na kuingia bafuni, hapo Edgar akaikodolea macho TV ambayo likuwa ikionyesha marudio ya mpira wa miguu, mama Sophi alitumia dakika kama tano kule bafuni kisha akatoka amejifunga taulo, huku akionyesha kuwa hakuwa na nguo nyingine, Edgar akainuka alaka toka kwenye kochi, “samahani mama, sikujuwa kama una..una.. ngoja niku pishe baas..”

aliongea Edgar akielekea malangoni, kabala hajadakwa mkono na mama Sophy huku lile taulo liki anguka na kumwacha mama Sophy kama alivyo zaliwa, “hapa Edgar wala husiwe na wasi wasi, nataka unipe unacho mpa Suzan,”aliongea mama Sophy huku akimvutia Edgar kwake, anaye akaja akiwa mwepesi ka m’bua na kugota kwenye kifua cha mama Sophy, na kutokana na uzitowake wali yumba mpaka kweny kochi na kuji kiata hapo akitangulia mama Sophy ambae alifikia kwenye kingo ya kocho, nayeye kuona kijana amelegea akaanza kumtowa shati akifwatia suluwali na kisha boxer, hapo akaiona bakola ya kijana huyu ikiwa ime simama kama askari wamalkia, akaishika dudu na kuichezea huku akimtazama Edgar usoni, Edgar alikuwa ametulia akimtazama huyu mamaambae alikuwa akiangaika kama mfungwa kaona pilau, kiukweli tukio lile hakulitegeme kabisa, japomuhogowake ulikuwa umesimama asa baada ya kuona kitumbua na umbo la huyu mama, lakini nikama alikuwa anabakwa, mala akamwona yule mama akichuchumaa pale yake na kuikamata dudu kisha akaiogeza mdomoni kwake, kisha kwakutumia ulimi wake akaanza ku chezea tundu lililopo kwenye dudu yake, huku wakati mwingine akiupaleka ulimiule kwenye shingo ya dudu yake, naku chezesha ma fundi rangi anavyo piga msasa, hapo Edgar alitamani kupiga kelele, kwautamu alio usikia , kwake ilikuwa ni hajabu sana, hakutegemea kufanyiwa vile, maana aliona kwenyeideo aliyo iona kwa yule mwanafunzi mwenzake pale chuoni, sasa alishuhudia yule mama akiingiza mdomoni dudu yote na kuinya kama analamba ice cream, alifanya hivyo kwa dakika kumi nzima, wakati mwingine akichezea pumb.., kengele zake kwa ncha za vidole vyake, nakumfanya ajisikie rah asana, mama Sophy alipoona kuna kautamu ka chumvi chumvi anakasikia kwenye ulimi wake, akaona sasa ndio muda mwafwaka wa kuingiziwa dudu, maana ataalipo paleka mkono wake kwenye kitumbua chake,aliona kuna ute ute wa utelezi mwingi sana, kiasi chakutaka kuchuluzika chini, akachomoa dudu mdomoni mwake nakuishika mkononi nakuichezea huku akiipima , akaona ina tosha kumpa burudani, “haa!mtu mwenyewe na kadudu kama kidole, alafu anani baniaaaa” aliwaza mama Sophy akimnanga mume wake, aliichezea dudu ya Edgar ambayo ilikuwa ime lowa mate mchanganyiko na ute ute, kisha akamwachilia na kutangulia kitandani n kujilaza kitandani, hapo Edagar hakuwa na hujanja akamfwa na kumtanua miguu mama Sophy, ambae alikuwa amejiandaa kuingiziwa dudu, mama Sophy alimwona Edgarnaye akipanda kitandani na kupiga magoti mbele yake, kisha aakauvuta mto mmoja wakulalia na kuusokomeza kwenye kiuno cha mama Sophy, hapo mama Sophy hakujuwa huyu kijana anataka kufanya nini, akamwona akishika kitumbua chake na kwakutumia vidole vyake aka itanua na kufanya kiarage kionekane wazi, kisha mkono mwingine wakulia akaikamata dudu, na kuanza kukisugua kikunde kwakutumia kichwa cha dudu yake, hapo mama Sophy alijikuta taratibu akianza kukata viuno, maana alisikia utamu wahajabu, huku akitoa sauti kama ya mtu anae kula muwa, Edgar alifanya hivyo kwamuda mrefu kidogo hukuwakati mwingine akiachia kitumbua hku bado anasugua kunde kwenye kitumbua, nakushika ziwa ambalo lilionyesha lime sha nyonyesha watu wengi, “Eddy ..ed ..eeddy nitoo… mb … Eddy …ing…ingii.. zaaa mpenzi” hakuwai kumalizia kuongea mama Sophy, alikaka,maa kama anaye pigwa shoti za umeme, alijaribu kuidaka dudu ili aisokomeze ndani lakini hakuweza, alikuwa amechelewa maana alisha fika kileleni, akiwa haelewi chchote Edgar akalielekeza dudu kwenye mlango wakitumbua hili lile utamu, akaanza ku pumpu huku mama Sophy akiwa ametulia, lakini kadri Edgar twanga ndivyo mama Sophy alivyo anza taratibu kuchekecha, akiwaameanza kutafuta bao lapilli, huku kelele za utamu ziki tawala chumba kizima, atawatu walio pita kwenye kolido walisikia mziki ule. wamama Sophy, mzee Mashaka naye alikuwa amesha maliza mizunguko yake ya kibihashara, na sasa alielekea ubungo maziwa. kwenye ile bar yajana, kwasababu alitamani kupewa utamu wajana wa yule dada wajana, ambae alimfanya ashushe mzigo bila kuingia kwenye kitumbua, alifika na kukaa kwenye meza aliyo kaa jana, akaja muhumu mwingine kabisa, nakusalimia,kisha akamuliza atatumia kinywaji gani, kwamaana aliitaji kumuhudumia, mzee Mashaka aka agiza bia, dakika chache baadae akaletewa, ikafunguliwa akaanza kuinywa huku akipepesa macho kutafuta yule dada wajana yupo wapi, lakini hakumwona, adi anamaliza bia ya tatu hakuwa amemwona hapo akabadilisha maamuzi , akaona bola amfwate yule wambezi binti wajana, akamaliza bia yake na kuinuka, kisha akaelekea kwenye gari, **** Suzan baada yakutazama saa nakuona ni saa saba na lobo akastuka, “mh muda wote huu, anafanya nini huyu?” alijiongelesha peke yake huku akichukuwa simu yake nakubonyeza namba ya Edgar nakuipiga, aliisikilizia ikiita bila majibu, mpaka ika kata, “huyu, mwanamume hataki kupokea simu yangu, noja leo atakiona kilicho iponza shngo ya kanga ika kosa manyoya” alisema Suzan akiiweka simu mezani,

Suzan alisha piga simu mala tano lakini haikupokelewa, akajikuta akiingiwa na wivu, ingawa wakati mwingine alijipa moyo, pengine Edgar yupo kwenye gari hivyo ameshindwa kuisikia simu kutokana na kelele, Suzan akachukuwa tena simu yake nakuangalia muda, ilikuwa saa saba nanusu Chuoni nako Nancy aikuwa amesimama nje ya darsa la kina Edgar akitazama wanafunzi wanao toka darasani, akitalajia kumwona Edgar, lakini hakuweza kumwona, aliesababu mmoja baada yamwingine, huku moyoni mwake akipania, kumbana mpaka kieleweke, lakini mpaka mwanafunzi wamwisho anatoka hakuwa amemwona Edgar, akzani labda amebaki darasani, akaamua kuingia ndani ya darasa, hakukuwa na mtu wote walitoka kwaajili ya kwenda kupata chakula chamchana, hapo akanyongea sana kwakuto kumwona Edgar, akajitoa na kuwatafuta afiki zake, saa saba na nusu hiyo, yahotel Nyumbni Peace Village Edgar na na mama Sophy walikuwa wanatoka kwenye chumba walichokuwa wame chukuwa, nakuelekea kwenye gari tayari kwa safari ya kuelekea mbezi, nibaada ya kuwa wame galagazana sana, kiasi cha mama Sophi kutowa kilio mtu anaye jichuma na sindano, pia wakati mwingine, akitowa sauti ya kula muwa, ilifikia kipindi akajikuta anatowa siri za mumewake, huku akishusha matusi mazito, asa wakiwa katika stayle ya mbuzi kagoma kwenda machinjoni, maana alijuwa kulalia kifua na kubinuwa mkia, mnene, aliojaliwa kisha kwakuona haipati vizuri Edgar akaa kibadach stance, (wanajuwa wacheza karate) yani kama anataka kuchu maa lakini akaishia kati kati, kisha akaingiza dudu, ambayo mama Sophi aliisikia ikienda kugusa sehemu ambayo ilimfanya ajisikie utamu kama vile leo ndiyo malayake ya kwanza kuingiziwa dudu, ebu tuya hache hayo, turudi kwenye gari, Edgar na mama Sophi wakiwa wametulia kwenye mataa ya ubungo, wakisubiri taa zakijani, wote wlikuwa kimya, wakioneana ahibu, asa mama Sophi ambae alikuwa anakumbuka alivyo kuwa analopoka wakati akishangilia utamu wa dudu, pia Edgar, ambe alikuwa akiangalia umri wayule mama kisha akimvua nguo kimawazo kama alivyokuwa kule chumbani, akaona haibu kabisa, pia aliwaza sana juu ya kitendo cha kufanya kitendo kile na mama Sophy, maana aliona kuwa amemkosea sana Suzan, japo hakujuwa mwisho wa mausiano yao, au lengo la mausiano yaoni kama kula kisha tambaa au mahaba ni funge kamba nisikimbie, mama Sophy aliondowa gari baada ya taa ya kijani kuwaka, wakati huo akatambua kuwa Edgar yupo kwenye mawazo mazito, akaanza kujishuku, akaamua kuvunja ukimya akitafuta kujuwa anacho kiwaza Edgar “asant sana mpenzi, kwakunitoa kwenye kifungo cha hiyari” aliongea mama Sophi huku akiajichekesha na kuachia mkono wakushoto kwenye mskanio wagari, nakumpiga kikofi Edgar kwenye paja lakulia, kusikia hivyo Edgar mwili wote ulisisimka, maana mama mtu mzima kama huyu anamwita mpenzi, kama yeye ndie angekuwa anaendesha gari, angetoka nje ya barabara, japo alikili kuwa yule mama yupo vizuri zaidi ya mama mwenye nyumba, lakini aliona nihatari sana kwake kulala na yule mama, ukichukulia ni mke wamtu alau anawatoto wakubwa ka Sophy, hapo Edgar hakujibu kitu, zaidi alitabasamu tu, kisha mama Sophy akaongeza “hongera mpenzi una dudu nzuri, na unaweza kuitumia, Suzan anafaidi sana” hapo Edgar alianza kumzowea hakustuka sana, akqcheka kidogo, bila kuongea lolote, akimwacha mama Sophy anaongea mwenyewe tu! “inabidi nikuamishe kwa Suzan, nita kutafutia nyumba nzima” neon ilo ambalo Edgar alilichukulia kama utani, lilimfanya acheke kidogo, safari ilikuwa inaendelea, ambapo mama Sophy aliongea mengi sana akimsifia Edgar pia aliuliza maswali ambayo Edgar alishindwa kuya jibu, kama alipo muuliza “hivi Suzan unamfanyaga kama ulivyonifanya mimi” kiukweli hayo majibu yake kwa Edgar yalikuwa nikicheko, walifikambezi huku kilammoja akiiona safari kwa namna yake, wakati mama Sophy aliona kuwa safari nifupi, wakati Edgar aliiona nindefu sana, maana alitaka awai kakutane na Suzan, mama Sophy alisimamamisha gari kituo cha polisi yazamani, kisha aka chuwa mkoba wake nakuoa.. sijuwi niiteje, ilikiwe Kiswahili sahihi, nakutowa maburungutu ya noti za elfu kumi kumi, yakiwa kumi akamiakabidhi Edgar, ambapo Edar akazipokea kwa kusita sita, “ haya baba tutaonana, naomba husininyime nikiwa naitaji” aliongea mama Sophy huku akiwamwacha, “nikamwambiaje wakati nampa,?” aliuliza Edgar akiwa amezishika zile fedha, nakuziweka kwenye begi lake la daftali na document za chuo, kunakitu nilisahau kuwaambia , siku yaleo ndiyo siku ambayo Edgar, ame kamata fedha nyingi, ambayo niyakwake pasipo kupangiwa matumizi, kwanza ile yakuwatumia wazazi, “kumpanani ten a mpenzi, hinamaana unataka kwenda kumpa Suzan, tuta gombana”alisema yule mama Sophy huku bado Edgar akiwa haelewi maana ya tukio lile, “sasa hizi ele nipeleka wapi?” maana Edgar hakutaka kutumwa mbali, sababu alikuwa anataka amwai mpezi wake, mama mwenye nyumba, “zipeleke unapo taka, sababu nizakwako, lakini hasizione Suzan” Edgar alijihisi kama yupo ndotoni, aliganda kama sanamu huku kengere ya hatar ikigonga kichwani kwake, kuwa huyu mama hakuwa na utani juu ya kupewa utamu, alistushwa na mkono wa mama Suzan ambao uli mshika shingini nakumvuta kwake kisha akamlamba midomo, kitendo ambacho akukitalajia, baada ya sekende kadhaa akamwachia, “wai baba husimchukize mwenye mali, lakini nakutafutia nyumba uame kwa Suzan” apo ndipo Edgar akaona kuwa huyu mama hakuwa na utani kwa swala hili, akafunguwa mlango wagari nakushuka, ilikuwa imetimia saa nane kamili, akamwona mama Sophy akiondowa galilake na kuingia barabarani, akirudi alikotoka, wakati anampita alishusha kioo na kumpungia mkono huku akiachia zinga la tabasamu, naye Edgar ali punga mkono huku usowake ukiwa umejawa na furaha, wakatihuo ndipo alipo stuka kuwa simu yake ina ita, * mzee Mashaka akiwa bado ana piga gamebe pale ubungo maziwa ndani ya Soweto bar, aliangalia huku nahuku kama atamwona yule binti alie mnyonya dudu janayake, lakini ikawapatupu, akaona bora amtafute wajana maana naye alikuwa nasifa ya pekee, alikuwa anauwezo wa kuliamsha take a way, yani lile dude la papo kwa papo, akamalizia bia yake na kuondoka zake kuelekea kwenye gari lake, akaingia ndani ya gari nakuondoka zake, kuelekea barabara ya morogoro, akiwa njiani ilimjia kumbukumbu ya mkewake, asubuhi wakati ana taka kumwomba fedha, pia akakumbuka kuwa mke wake anadai dudu, akajikuta anakunja midomo kwa dharau, “haaaa! umechooookaaaa, alafu bado unataka kuni sumbua mambo yenywe ni yaleyale, aliongea mzee Mashaka, ambae amegundulia kamchezo ka kuwa dandia wanawake pale wanapo jilengesha, aliwaza hayo huku akikumbuka mambo mengi aliyo yafanya na wanawake, ndipo ilipo mjia kumbukumbu ya Suzan, “ngoja niki mkosa huyu nita enda kibamba” aliwaza mzee Mashaka akimaanisha akikosa windo lolote ataenda kwa Suzan, **** kumbe Suzan baada ya kupiga simu ya Edgar ana kuto kupokelewa, aliamua kutulia kwamuda kidogo, huku akijiapiza kumwadabisha Edgar akiwa anadhani yupo na mwanamke mwingine, lakini ikawa ina jia wazo, kuwa edgar, dar nimgeni ametokea Ruvuma, “hawezi kuwa na mwanamke mjini” alijiambia yeye mwenyewe, huku anainuwa simu na kuichagua namba ya Edgar nakuipiga, safari hii haikuita sana ilipokelewa mapema, hapo Suzan aka shusha pumzi kwanguvu baada ya kisikia “jallow mama nimesha fika mbezi” aliongea Edgar nauzan akiwa mkono mmoja ameuweka tumboni, akilichzea tumbo kama wafanyavyo wazee wakiume wenye vitambi, “nani mama yako? sinimekuambie uchague jina lakuniita?” aliongea Suzan kwa sauti tulivu huku aki achia tabasamu la matumaini lejea” hapo Edra akiwa anajishuku kutokana nakitendo alichotoka kukifanya na mama Sophy, “samaani nilisahau” aliongea kwa sauti nzito na tulivu, iliyo mfanya Suzan asisimke na kukumbuka mambo ya juzi usiku, “haya niite jina ulilo chagua” aliongea Suzan, kwa sauti flani ya kilevi, au kama anamafua akiwa anapandisha mguu na kuukayaga kwenye meza, huku mkono ukiamia kwenye sehemu ambayo kitumbua kina kaa, nakufanya kama anaupitisha mkono kwakupangusa kituflani, “hapo Edgr alishajuwa anachotakiwa kusema kiukweli majina yote ya kimapenzi yalikuwa mageni kwake, “nichagulie wewe ambalo litakufaa, ilina wewe uwe uwe umechagua jina la kuniita” hapo suzan alicheka kile kicheko cha kulegea, basi suzan alimwelekeza edgar sehemu ya kwenda kukaa ili wakale chakula cha mchana, akimtaka atangulie, palikuwa ni full dose pub, Edgar akafwata maelekezo na kuitafuta hiyo sehemu, dakika chache baadae aliipata, wakatia ana ingia pale akaliona gari la Suzan likiingia akasimama, kumsubiri ashuke waongozane, Suzan aliegesha gali vizuri kisha aka shuka na kumfwata Edgar ambae alikuwa amesha mwona, wakati Edgar anamwangalia Suzan alivyo pendeza sana na yale ma bastola aliyo fungasha kwenye ma paja, Suzan akagunduwa, maana wanaume wengi upenda kumsifia kuwa ana mapaja mazuri, ila edgar alisona kuna gari ina ingia, na kama alissha wai kuliona sehemu, akawa anawaza aliwai kuliona wapi, mpaka Suzan ana mfikia nakumshika mkono kuelekea ndani ya bar ambayo kwa mala ya kwanza aliletwa na mzee Mashaka, nakupenda chakula chao, ikawa sehemu yake ya kupata lunch, walitafuta sehemu moja nzuri na kukaa, lakini sasa wakati wana subiri muhudumu aje wamwagize, ndipo Edgar alipo pata jibu, akamgusa Suzanbega “unakumbuka sikuile uliniuliza nimechafka kwanini? suzan akaitikia kwakichwa ialakiukweli hakukumbuka siku hiyo ilikuwa, “ebu geuka alafu mwangalie hyo mzee anaye pita nyuma yako, ndie alie kuwa na lile gari” pasipo kujiuliza Suzan aligeuza shingo nakutazama nyuma, laaah macho kwamcho na mzee Mashaka, ambae alimwona akitabasamu baada ya kuona wame tazamana,

ITAENDELEA

Mama Mwenye Nyumba Sehemu ya Pili

Isikupite Hii: Dalili za Kuonyesha Mwanamke Anataka Umpeleke Chumbani

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment