Mama Mwenye Nyumba Sehemu ya Pili
CHOMBEZO

Ep 02: Mama Mwenye Nyumba

SIMULIZI Mama Mwenye Nyumba
Mama Mwenye Nyumba Sehemu ya Pili

Chombezo : Mama Mwenye Nyumba

Sehemu Ya Pili (2)

Kitendo cha haraka sana, Suzan akainuka, nakumfwata mzee Mashaka , ambae alikuwa anakuja usawa wake, alifanya hivyo makusudi, ili Edgar hasihisi kitu chochote kina cho endelea, kati yake na mzee mashaka, lakini licha ya kusimama mzee Mashaka nusu ampite Suzan, kana kwamba hakumwona kabisa * kumbe baada ya kutoka ubungo na kuyakosa mawindo yake, nakuamua kwenda mbezi kwa binti wajana, alipofika tu akaingia ndani ya Full dose pub akiwa ana tazama huku nahuku, kama ataweza kumwona binti wajana, kbaada ya kutupamacho counter, akamwona binti wajana akiwaamevalia kigauni flani ambacho kilisababisha eneo kubwa la chini kuwa wazi kutokana na ufupi wake lakini leo alivaa tait nyeusi, hapo akatabasamu kwa ushindi alioupata, huku akitembea kumfwata binti wajana, ambae bado alikuwa hajamwona mzee Mashaka,alikuwa busy anakata kilaji huku anaongea na rafikizake wawili, wote wakike, wakiwa wame vaa kama yeye, lakini wakati anataka kupita meza moja, akashangaa akidakwa haraka, kutahamaki ni Suzan, ambae alisha tambua kuwa lile tabasamu halikuwa lakwake, inamaanisha, mzee Mashaka alikuja kwa ishu nyingine kabisa pale full dose, “hoo! hupo hapa, sikukuona kabisa”aliongea mzee Mashaka, huku akipepesa macho huku na huku kuangalia kama kuna kiti cha wazi, akae ili kupunguza uwezekano wa kuonekana na binti wa jana, ndipo alipoona meza yenye kijana mmoja mdogo na kuna mkoba wakike pembeni ya kiti kimoja kati ya vitatu ambavyo vilikuwa wazi, “samahani kijana una tuna weza kukaa hapa?” mzee Mashaka alimwambia Edgar, huku Suzan akitajiandaa kumwamisha meza wakakae mbali kidogo, lakini alisha chelewa, “haina tatizo mzee kaa tu” aliongea Edgar akimtazama Suzan usoni, naye akazuga kuwa haina tatizo, japo moyoni alijuwa kuwa yanaweza kuaribika muda wowote, mzee Mashaka alivuta kiti na kukaa, akitazama upande aliotoka, akiipa mgongo counter, “umekuja kupata, lunch, mbona umechelewa sana?” aliongea mzee Mashaka, baada ya kuona mhudumu, wa chakula amesimama pembeni yao “nilikuwa namsubiri huyu, “ hapo mzee Mashaka akazinduka toka kwenye wenge lakumkuta Suzan hapa, “hivi mpo wote nimfanya kazi wenzako” aliuliza mzee Mashaka akimtazama yule kijana Edgar na kuyarudisha macho kwa Suzan, “ni mdogo wangu huyu, mtoto wa mama mdogo, ameamia chuo kile cha kibamba, satamimi nilikuwa sijuwi kamayupo hapa, hivyo leo asubuhi amenipigia simu kuwa anashida ya fedha ambayo imepelea kwenye malipo ya robo muhula,” licha ya Edgar kujiuliza maswali ambayo alijipa majibu yeye mwenyewe, juu ya utambulisho ule lakini bado alikuwa ana unganisha picha moja baada ya nyingine juu ya mzee Mashaka, “ok kijana karibu sana,” aliongea mzee Mashaka, akimpa mkono Edgar, “asante sana mzee” utambulisho uliishia pale kutokana na mzee Mashaka kuwa mwenye haraka yakuzidi, alitowa shilingi laki tano, nakumkabidhi Edgar huku akimsisi tiza ajitaidi kwenye masomo, kisha akamwambia Suzan kwamba anamuai mtu mmoja ambae anamiadi nae pale bar, ni mambo ya kibiashara, hapo mzee Mashaka aliwaachia elfu 20 ya kulipia chakula, kisha akainuka, nakuondoka zake akipishana na muhudumu wa chakula, akiwa na tray la chakula walichoagiza, kisha akaelekea moja kwamoja akiyapita mauwa marefu na kuzunguka nyuma, kiukweli Suzan hakujuwa kama kule watu wanakaaga wakipata burudani, “una sema ulimjulia wapi huyu mzee?” aliuliza Suzan, akijiandaa kuanzakula, “si yule ambae alini mwagia maji machafu sikuile, usiku, lakini nimesha msamehe, daaa elazote hizi, hivi tunagawane hen?” aliongea Edgar kwasauti ya chini nakumfanya Suzan acheke, kisha Edgar naye akacheka pia, hku bado wana endelea kupata chakula, “ugawane nanani, siumepewa wewe, alafu hacha uongo, we ulimwonaje, wakati ilikuwa usiku?” aliuliza Suzan huku moyoni akikilikuwa, anachoongea Edgar niukweli mtupu, “ebu angalia pale wanapo uza pombe”aliongea Edgar akimwonyesha kule counter, Suzan akatazama “unamwona yule dada wakushoto kabisa,?” Suzan aliitikia kwakichwa huku mapigo ya moyo yakimwenda kasi, nakusababisha pumzi kuwa nyingi kifuani kwake, alichofikilia pengine Edgar anataka amwambie yule dada mzuri, au amependeza au kitu chocho ambacho kitaonysha Edgar amempenda maana akakumbuka, wakati wapo na mzee Mashaka alimwona akitazama sana kule counter, “sasa sikuile niliyo kukanda mguu, sijuzi jumamosi?” Suzan akaitikia kwa kichwa huku macho yote usoni kwa Edgar, akiwa amesitisha kula, hapo Edgar alimsimulia kila kitu kilivyo kuwa alipo mwona mzee Mashaka akimchukuwa yule mwanamke na kumpandisha kwenye gari kisha wakasepa, hapo Suzan akakumbuka kuwa sikuile mzee Mashaka alionekana mwenye araka sana, nadiyo siku ambayo Sophy alimkuta baba yake akiwa na mwanamke bar, Suzan akamtazama tena yule mwanamke sasa alimwona akiongea na muhudumu, kisha akawaambia kitu rafikizakewote waka cheka kishangingi, alafu yule mwanamke akaondoka nakuelekea kule alipo kuwa ameeleka mzee Mashaka, Edgar hakuwa na wasi wasi, maana alikuwa anahisi yule mzee, nibosi wa mama mwenye nyumba, kitu cha hajabu kwaupande wa Suzan hakuwa amejisikia wivu, wowote juu ya mzee Mashaka, zaidi alibadilisha maongezi, “hivi ule usiku, hukunifanya wewe?, maana nililala fofofo” angalau kidogo, sasa Edgar alianza kumzowea mpenzi wake, “kukufanya nini?” japo alikuwa ameelewa alicho maanisha Suzan lakini yeye akajitoa ufahamu kidogo, hapo Suzan alicheka sana, kiasi cha watu kugeuka na kumtazama, alipo maliza kicheko, akili zika rudi kwa mzee Mashaka, akimwonea huruma mke wake maanayeye alihapa kuto mpatia kitumbua chake tena, “hivi mama Sohy alikuacha wapi?” swali hilo lili mstua sana, Edgar lakini akatumia ujanja wa hali ya juu na umakini mkubwa, akaficha hali yake, akakumbuka alicho ambiwa na mama Sophy, “panaitwaaaaa, haaa sipale kwenye mabasi mengi” aliongea na kumfanya Suzan acheketena, “kwahi muda wote huu una kumbuka ubungo” “henheeeee, ubungo terminal” hapo nusu apaliwe na chakula kwakicheko,*** mida hii mama Sohy alikuwa bafuni, anaoga mala yapili, baada yakuoga nyumbani peace village, ikiwa ni dakika kumi toka afike hapa nyumbani kwake, nakupitiliza chumbani kwake, kisha kuingia bafuni kuoga, kiukweli mama huyu alikuwa ame simama chini ya bomba lakuogea, tunaita bomba la mvua, huku akiji paka sabuni kila kona ya mwiliwake, nakufanya yale maji yanapo mwagikia yashuke nalile povu, wakati wote ilikuwa ina mjia picha ya tukio ambalo alikuwa ametoka kulifanya mda mfupi uliopita, na kijana Edgar, alikumbuka sana baada ya kushuhudia kijana ana shusha mzigo kwa mala yakwanza, wakati yeye amesha shusha muda mrfu, nawakatiuo mzuka umeshaanza kupanda upya lakini kijana akachoa dudu kwa nakumtazama yeye ambae bado alikuwa amelala nakuonyehs akuitaji dudu, Edgar alianza kumchezea kialaghe, huku akiminya chuchu zake, hapo alisikia utamu nakusababisha azungushe kiuno chake huku akipandisha kwajuu, kuonyesha anaitaji mkanda mizo, bialakutegemea akashangaa kuona dudu ya Edgar ikiwa ina ingizwa kenye kitumbua chake tena ikiwa imesimama imara, , na mziki ukaendelea kama wanaanza, pia alikumbuka style mbalimbali walizo tumia, mwazo hayo yaliendelea ata alipokuwa amemaliza kuoga, na baada ya kumaliza kupamba, kwamafuta akajilaza kitandani huku mawazo hayo yakitwala kichwani kwake, akatamani ange kuwa na namba yake ya simu ange mpigia, ili asikie sauti yake, “nimefanya ujinga kusahau namba yasimu,ebu ngoja nimpigie Suzan iliniongee na Edgar”alijisemea mama Suzan huku akiichukuwa simu yake, na kuanza kutafuta namba ya simu ya Suzan, wakatiwote amejlaza hapo kitandani alikuwa uchi kabisa,…

alipoipata akaipiga, ikaanza kuita naye akatulia kusubiri ipokelewe, huku akiandaa maneno yakuoingea,**** kumbe dakika chache zilizo pita, Suzan na Edgar walikuwa wamesha maliza kula, wakaagiza soda na kuanza kunywa taratibu, kumbe Suzan alitaka ajilizishe na ukweli juu ya mzee Mashaka na yule mwanamke, ambae anaonekana kuwa nikahaba kabisa, maana aliwaza mengi sana juu ya huusiano wa mzee Mashaka na yule mwanamke, akaaga anaenda chooni, akainuka akimwacha Edgar, anametulia akinywa soda, Suzan akwenda chooni, akapitiliza moja kwa moja kuelekea kule alikoelekea mzee Mashaka, alitembea taratibu huku akiombea hasikute kama anavyowaza, yaani alivyo ambiwa na Edgar, alipita mauwa malefu yaliyotenganisha upande ule walio kaa wao na sehemu moja nzuri sana iliotulia, huku akishuhudia watu wamekaa kwenye vimvuli vya miamvuli wakiwa wawili wawili au moja, hapo akasimama na kuangalia huku na huku, kama atamwona mzee Mashaka, alitembeza macho meza moja baada ya nyingine, huku akirudi nyuma kifwata maficho ya mauwa , kwasababu hakutegemea, kuibukia ghafla eneo lile, wakati akitembeza macho meza moja baada ya ningine ndipo alipo ikuta meza ambayo mzee Mashaka amekaa, **** unajuwa nini madau?, kumbe mzee Mashaka alipoachana na Suzan, alienda sehemu aliyo kaa juzi usiku, siku aliyo nyonywa dudu na binti wajana, mala akaja muhudumu, akaagiza bia anayoipenda, kisha akampamaagizo akamwitie binti wajana, alimelekeza alipo kaa, na baada ya muda mfupi alifika, wakakaa pamoja na kuendelea na vinywaji, huku binti wajana akilala mika kuwa bado haja pata chakula chamchana, akiongeza na lawama za kwanini jana hakuja, kiliaizwa chakula, na maisha yaka endelea, baada ya muda mfupi chakula kililetwa, binti wajana alianza kula huku wakati mwingine akimlisha mzee Mashaka, huku miguu yake akiwa ameilaza kwenye mapaja ya mzee Mashaka, ****Suzan aliendelea kushuhudia, yule binti mwenye mwonekano wa kikahaba, akimrisha mzee Mashaka huku miguu yake ameilaza kwenye mapaja ya mzee huyu, kiukweli alihisi miguu ikikosa nguvu, na kuanza kuona kizunguzungu, akageukanyuma, alikotoka na kuanza kutembea kuelekea kwenye meza, waliyo kuwa wame kaa na Edgar, alifika na kukaa macho kwacho yote akimtazama Edgar, nikama mtu ambae amekwama, mfano CD mbovu kwenye deck, inavyo ganda ganda, macho yake yalishuhudia tabasamu lakiume kwampezi wakike, usoni kwa Edgar, naye akajikuta akitabasamu lakini akionyesha kabisa hayuko vizuri kabisa, “mama simu inaita mda mrefu kweli, kwani huisikii,”maneno hayo nikama hakuya sikia, maana kitu ambacho alikuwa anakiwaza hakilini mwake juu ya Edgar, kilimuumiza roho, asa akimwangalia Edgar anavyoonyesha kuwa anampenda, alafu leo hii kama itakuwa kama anavyo zani, haaaa, akashangaa akimwona Edgar anaingiza mkono kwenye mkoba wake wamkononi, nakutowa simu kisha akampa, alipoitazama, ilikuwa ina ita “mama Sophy” alinong’ona Suzan, akipokea simunakuweka sikioni *** mama Sophy aliona simu ikipokelewa, baada ya kupiga mala tatu, mwanzo alipatwa na wasi wasi akijuwa Suzan ame hacha kupokea simu yake, baada yakugundua kuwa, amepewa dudu na Edgar, lakini baada ya kuona Suzan amaepokea simu , moyo wake uka tulia, kabla ata Suzan haja ongea yeye akawai, “mwanagu nikazani umenichunia, vipi lakini kwema” Suzan akajibu “samahani mama nilikuwa msalani , yani nilitaka nikupigie sasa hivi, kukushukuru kwakumpa lifti, Edgar” aliongea Suzan, akijizuwia hasilopoke juu ya anayo ya shuhudia hapa Full dose pub, “husijari huyo niwakwetu wote, siunajuwa wewe umekuwa mmoja wafamilia yetu, hivyo ndugu yako ni ndugu yetu” hapo mama Suzan akasikia sauti ya Suzan akishusaha pumzi, akajuwa ameweza kumzuga kimafumbo, nakwamba SUZAN ameelewa alikuwa amamaanisha nini, kabla Suzan haja ongea lolote, akongeza neno ili kumpoteza maboya kabisa “bado hupo na Edgar kunakitu nataka nimuulize, maana tulipo kuwa kimara, kuna bango tulilisoma sijuwi alishika lile jina?” hapo akatulia kidogo kusikilizia, maana alitegemea kusikia Edgar akipewa simu, “nazani atakuwa darasani maana ameondoka mdamrefu sana hapa” *** Suzan aliongea hayo akimtazama Edgar, kiasi kwamba Edgar alipata uakika kuwa mama mwenye nyumba alikuwa anaongea na nani, nandicho kitu alichokuwa anakihofia, maana aliona jinsi yule mama aliyo changanyikiwa na dudud, kwaku towa mpaka siri za ndani, sasa walipo kuwa wakitafuta bao la mwisho katika rund ya tatu, akakumbuka na kale kahaadi kake ka muamisha kwa Suzan, Edgar akashuhudia Suzan akikata simu, na kuiweka mkobani, “Edgar baba, wai chuo,” aliongea Suzan kisha akatulia kidogo, alfu akaongeza “tukutane kwenye ile bar niliyo kukuta jana, kwaajili ya chakula cha jioni” mh! hapo Edgar akajuwa mama Sophy amesha kolofisha mambo, akainuka taratibu huku akimwangalia Suzan kwamacho ya wasiwasi, kwa Suzan, alimwona Edgar akimwangalia kwa wasiwasi, akatazama chini kuficha machozi ambayo alikuwa anayatarajia muda wowowte, zaidi akimwonea huruma kijana mdogo Edgar, kitendo cha Suzan kutazama chini akibaki pale kwenye kiti, huku yeye akiondoka, tena amebadirika ghafla, akajuwaamesha yakologa, hapo akatembea taratibu huku mwiliwake ukiwa umenyongea, akajilahumu sana kwakitendo alichokifanya na yule mama mtu mzima, akakumbuka jinsi Suzan alivyo mpatia million moja kuwapa wazazi wake, fedha ambayo aiyo kwamba hawaja wai kuipata, lakini kwambine sana, leo hii akuwa nakazi yoyote anwapatia fedha nyingi wazazi wake huku yeye akipewa kila kitu, pamoja na nyumba ya kulala, hachilia hivyo, na mapenzi makubwa akimtambulisha kama ndugu yake, Edgar mapaka ana panda daladala lakwenda kibamba, alikuwa bado akijutia mambo haliyo yafanya na mama Sophy, lakini akiwa ndani ya daladala akapata wazo, ni baada ya kuangalia kwenye begi lake ladaftari, akakuta kuna fedha, aliyopewa na mama Sophy, pia akakumbuka fedha aliyo pewa na mzee Mashaka, akaona bora apende kwanza chuo akachukue masomo waliyo soma wenzake mchana, kisha akaamishe vitu vyake kabla ya saa 12, maana Suzan atakuwa hajarudi, ilikukwepa ahibu, Edgar alidumu na wazo hilo mpaka anafika chuoni mida ya saa tisa jinni, akazama darasani kutafuta notes, alipo zipata akaanza kuzi copy, kwa speed, ili awai kuamisha vitu vyake kwa mama mwenye nyumba, masaa mawili baadae alikuwa amesha maliza, na sasa alikuwa anaongea na Dereva wa Kigali flani hivi, vijana wanaita kilikou, wakipatana bei

kiukweli Edgar alipania kukimbia kwa mama mwenye nyumba, maana aliona jinsi Suzan, alivyo badirika ghafla, naalikuwa ana asilimia mia kuwa mama Sophy amemwambia walicho fanya, japo alikuwa amechukuwa uamuzi huo lakini kiukweli roho ilikuwa ina muuma sana, hapo ndipo alipojuwa kuwa kweli anampenda sana Suzan, “ongea mkubwa mashine hiihapa, atakama unaamia kibwegele au mloga nzila, hii inafika” alijinadi dereva wa kilikou, hapo kidogo jibu likawa gumu kwake, maana mpaka sasa akujuwa anahamia wapi, akawaza kidogo kisha akapata wazo, nikwamba katafute guest, achukuwe chumba, akaehapo wakati anatafuta chumba ambacho kitamsaidia miezi hii mitatu, kabla haja maliza chuo, “kuna guest gani hapa ya ka….” kabla hajamaliza kuulizia akastushwa na mlio wa simu yake, akaitowa mfukoni kwa pupa, nakutazama kwenye kioo cha simu, “mama mwenye nyumba” alinong’ona Edgar akitaka kurudisha simu mfukoni, brother pokea tu simu alafu tataongea, dah! hapo Edgar akagunduwa kuwa alikuwa anaangaliwa sana na Dereva wa kilikou, aksogea pembeni kidogo na kuipokea simu, huku mapigo yamoyo yakionekana jinsi yalivyokuwa yakimwenda mbio, * kumbe basi Suzan baada ya kushuhudia Edgar akipotelea barabarani, alikaapale akiwaza jambo flani, baada ya dakika kama tano, kisha akainuka na kuelekea ofisini kwao, aliingia moja kwamoja kwa muhasibu mkuu, na kumwomba luksa, ya kuwa anaenda nyumbani maana kichwa kina muuma sana, muhasibu mkuu hakuwa na hiyana, akamluhusu awahi kupumzika, huku akimsisitiza kwenda hospital endapo kichwa kitazidi, pia asikose kupiga simu kuwajulisha maendeleo yake, nusu saa baadae Suzan alikuwa kwenye folen, yakuingia mahabara, yahospital, ya Doctor Stellah, bingwa wamagonjwa ya kina mama, aka shangazi, (soma mkasa wa shangazi atanataka) folen iliendelea mpaka zamu yake ikafika akaingia na kuacha damu yake, ikiwa pamoja na kupatiwa namba, akaenda kukaa kwenye bechi, akisubiri majibu ya vipimo maana alipewa dakika kumi natano, majibu yatakuwa tayari, hapo Suzan alikaa huku mawazo yakivuruga kichwa chake maana jinsi alivyomwona yule mwanamke, akaona hapakuwa na usalama kabisa pale, “hivi kama ninao nitafanyanini?” hiloswali lilimjia ghafla akasimama, nakuanza kuondoka zake, akielekea nje ya hospital, wakati ana fika kwenye kingo za balaza la pale hospital, akasikia nambayak ikitajwa, kwamba aende akapokee majibu yake, alisimama ghafla kamaameshikwa shati kwa nyuma, akatazama nyuma kisha akageuka nakuzidi kutoka nje, lakini ile sauti yakuitiwa vipimo ilimsimamisha tena, pale ilipo itaja ile namba kwamala yapili, hapo kama alie simamiwa na MP askari jeshi, akageuka nakuingia, kwenye chumba ambacho aliingia kabala hajaingia mahabara, akamkuta mmama ambae aliongea nae mwanzo, “waooo, karibu tena” aliongea yule mama mtu mzima flani, “asante”aliongea Suzan huku sauti yake ikiambatana na upumuaji wamtu ambae ametoka kukimbia masafa marefu sana, kiasi cha kumshangaza atayule mama, “kuna mtu humekuja nae, ambae unataka ayajuwe majibu yako?” hapo Suzan akajuwa mh tayari, mpaka ushahidi tena “hapana, kwani vipi majibu …” alikatishwa husemi wake na yule mama, kwakicheko cha hali yajuu, alipo maliza kucheka akamwuliza, “wewe utakuwa kuna sehemu umepita na tena kwa ngono uzembe,” Suzan aliitikia kwakichwa huku hofu ikimzidi sana “basi kuanzia leo huwe makini sana maana husitegemee kila siku kuna bahati nzuri,”aliongea yule mama akiinua karatasi mezani nakuligeuza, lilikuiwa limeandikwa maandishi mengi ya ki doctor pia liliwekwa muuli wenye neno NEGATIVE, “salama mrembo wangu jitaidi kuzinga tia kufanya mapenzi salama, tena vyema ukawa na mpenzi mmoja mwaminifu” Suzan aliinika na kutoka nje ya Hospital, baada ya kuihacha kidogo alipiga ukulele wa furaha, mpaka watu waka mshangaa, ila kama kwaida ya jiji hili, kila mtu akashika nazake, Suzan akaanza kutembea akifwata barabara ya morogoro akielekea kibamba, alipo fika mbezi kwa yusuph ndipo alipo stuka kuwa amesahau gari kazini kwake, akapata wazo la kupanda daladala kurudi mbezi mwisho, lakini akakumbuka fedha zipo kwenye mkoba na mkoba ameusahau kwa doctor wa ushauri na majibu, akanza kutembea kurudi hospital ndipo alifwate gari, kazini kwake, hakuwa nahujanja mwingine maana atasimu ilikuwa kwenye begi lake la mkononi, kabla haja fika mbali, mala akona pikipiki ina pita akaamua kupanda pikipiki hiyo mpaka hospital, nikweli alikuta begi lake kwa doctor akatowafedha, nakumlipa yule boda boda ikiwa na kumpeleka kazinii kwake Benk ya wananchi, dakikachache baada alikuwa ndani yagari lake akaingia kwenye maduka macheche akinunua nguo zakiumw na mashati, kisha aknunua simu nzuri ya kisasa, vijana wanaita yakupangusa, akarudi kwenye gari akatazama muda ilikuwa saa 12 kasolo, akajuwa mida hii lazima Edgar atakuwa anatafuta chakula, maana darasani watakuwa wamesha toka, hivyo akachukuwa simu yake nakumpigia, akaisikia ikiita kwa muda mrefu kiasi cha kumtia wivu, karibia ina kata ndipo akasikia ikipokelewa chakwanza kabisa baada ya kupokea simu, Edgar akasikia sauti ya Suzan akishusha pumzi kwanguvu kama ameshusha mzigo mzito, “utaniua mumewangu, mbona hupokei simu?”akiwa ametega sikio kwa tahadhari, maana alishaamua kuwa kama msala nimkubwa bola aende akachukuwe vitu muhimu tu alafu akimbie zake, “samahani…. mama ilikuwa mbali kidogo…” alijibu Edgar ambae alianza kuona kuna utofauti wa jambo flani, maana sauti ya Suzan ilikuwa kimahaba zaidi, ile kuitwa mume pia ilimsisimua “haya baba hupo wapi, lakini sipendi uanapoongea kiuoga, inamaana huja nizowea tu! mumewangu?” mpaka hapo Edgar aliachia tabasamu, anakuanza kutembea kuelekea chuoni, akapungia mkono yule dereva wa kilikou, ambae alikuwa anshangaa, huku akiachia tusi kimoyo moyo, “nipooo, chuoni najiandaa kwenda kula” alisema Edgar ukuakitembea kwa haraka kurudi chuoni, “ok! sasa niagizie nyama yakuchoma, na ndizi za kukaanga, nakuja nikukute hapo hapo unapo kulaga” kiukweli Sauti ya Suzan ilionyesha furaha ya hali yajuu sana, ambayo ilimpamoyo Edgar kuwa hakunakitu kibaya kilicho gundulika, “sawa utanikuta” alijibu Edgar akisimama, na kutaka kugeuka arudi barabarani, “kaa sehemu nzuri husikae pale tulipo kukuta jana” **** wakati huo taya ri ilikuwa saa 12 na lobo Nancy alisha zunguka sana kumtafuta Edgar, lakini hakumwona, akajaribu kuuliza wanafunzi wa mwaka watatu, nao wakamwambia kuwa hawamjiwi, maana jamaa alikuwa mgeni pale chuoni, hivyo akaona bola amtafute Elisha wake, akaelekea saloon, na kwa bahati akamkuta Elisha akiwa ametulia pembeni huku mwenzake akimnyoa mteja mmoja, hapo Elisha akaaga kwamwenzake, kisha wakaongozana na Nancy kuelekea barabarani kwenye ile bar, dakika chache baadae walifika na kutafuta sehemu nzuri hiliyo jificha na kukaa, ikiwa ni ushauri wa Nancy maana hakutaka aonekane mbele ya Edgar, ikitokea akafika pale bar, wakaagiza chipsi yai na soda, nakuanza kula huku akiangaza macho huku nakule kama atamwona Edgar, lakini hakumwona zaidi ya wanafunzi wenzake wengine waliokuwa wamekaa kwamakundi, wengine wakiwa wake kwa waume, na wangine jinsia moja, hapo akajilidhisha kuwa Edgar hayupo, kiukweli kumkosa Edgar kulimuumiza roho yake akajihisi kawavu kakimjia kwambali, waliendelea kula chips yai, huku wakiongea mawili matatu, mala wakasikia salamu “mambo vipi Nancy?” salamu hiyo ilimstua sana Nancy, akabaki ameganda kwa sekunde kadhaa, akiwa ameinamia sahani yake, hakishindwa kuitikia ile salamu, maana sauti ya msalimiaji alikuwa anaifahamu vyema kabisa, “niyule jamaa yako wajuzi, anakufahamu hen?” aliongea Elisha ambae alikuwa amemtazama msalimiaji, ambae alisalimia tu! nakupita zake “hachana naye, nimwanafunzi mwenzetu, ananishobokea sana,” aliongea Nancy akiinua usowake nakumtazama, akamwona Edgar akiifwata meza moja nakukaa, nimeza ya atatu toka walipo kaa wao, muda huo huo akamwona muhudumu mmoja anamfwata ilikumuhudumia, **** mama Sophy alikuwa anajiinua kwenye kitanda baada yakupitiwa na usingizi, maana alipo maliza tu kuongea na Suzan, hakuchukuwa mda mrefu akapitiwa na usingizi na kulala, sasa aliamka akiwa amechoka mwili, asa sehemu za mbavu, akaingia bafuni nakujimwangia maji, hpo ndipo alipo gunduwa kuwa atakwenye kitumbua chake, kulikuwa kume choka, maana akila alipopitisha mikono kujisafisha aliona kuna aliflani ya kutumika, akajikuta anatabasamu peke yake, baada ya dakika chache alikuwa amesha maliza kuoga nakuvaa sasa alienda kuangalia kama binti yake wakazi amesha andaa chakula cha jioni, kwaajili ya wao wawili, maana mume wake hakuwa namuda wakula jioni wala mchana, zaidi ya asubuhi tu! tena ni supu,muda wote mama Sophy kichwa chake kilitawaliwa na mchezo aliokuwa ametoka kuucheza leo mchana, akajilahumu kuto kudai namba ya simu ya Edgar, pale alipoongea na Suzan mida ile, kabla hajalala, akapnga kupiga kesho akipanga sababu za kumwambia Suzan ilia toe namba, maana alikuwa anajuwa fika kuwa anapewa dudu na Edgar, nakwamziki hule lazima ztakuwa na wivu sana kwakijana yule, mala akapata jibu atamwambia kunakazi anataka akamsaidie, hapo Suzan hawezi kukataa kutoa namba za simu, na kisha ata mruhusu alaka sana kuja kwake, muda huo mzee Mashaka alikuwa amekolea kilevi, lakini siyo sana, akiwa sambamba na binti wa jana, wanaendelea kunywa pombe, kwakutumia nafasi yagiza ambalo lilikuwa limeanza kuingia, bint wa jana akaanza kuchezea dudu ya mzee Mashaka, lakini leo alikuwa anaichezea ikiwa ndani ya suluali, huku mzee Mashaka akitamani kuona binti wa jana akiitoa na kuitupia mdomoni, lakini akajipamoyo kuwa, atakuwa ananza kumpandisha mzuka kisha atainyonya, wakati Nancy akiwa na Elisha wana endelea kula chips yai, Nancy alimsisitiza mpenzi wake huyo, wamalize haraka ili yeye akajiandae kwenda darasani, kweli wakaongeza speed yakula, kumbe lengo la Nancy kuwa, wakisha toka pale pindi watakapo hachana, yeye arudi pale bar, kumfwata Edgar ambae mpaka sasa anamwona yupo peke yake, wakati wanajiandaa kunawa mala wakasikia minong’no ya chi chi, “duu! check check, daaa! kuna wanawake wazuri jamani,” maneno kamahayo namengine mengi, huku wengine wakijikooza, na wengine wakifanya kama wale wanao ita paka, Nancy naye akajiunga na umati wamle ndani kuangalia hicho kinacho sifiwa, kwamacho yake alimwona mdada wamaana akipita karibu yake, huku kila atuwa aliyo kanyaga, ilisababisha sehemu za mapaja a makalio yake yaliyo kaa vizuri kutikisika, akamtazama yule dada huku akijaribu kukumbuka alipo mwona, adi yule dada alipo fika kwa Edgar, ambae alikuwa ametulia, akiinamia simu yake ya tochi akicheza game la nyoka, Nancy akamwona yule mdada akimwinamia karibu nasikio, kisha akampiga kibusu kkidogo, hapo Nancy alishuhudia Edgar akistuka, na kusimama nusu amsukume yule mdada, akawaona wana tabasamu, kisha yule mdada anamkubatia Edgar ambae anaonyesha kushangazwa na tukio lilile, kisha anamwona Edgar akiweka kiti vizuri, na yule mdada anakikalia, kisha akaona yule idada anatowa box kwenye mkoba wake na kumpatia Edgar, nisimu tena yakisasa, “hoya nawa twende basi, siunaenda kuji andaa, uende chuo?” Nancy alistuliwa na Elisha, naye akainuka huku akificha uso wake, hasiuone Elisha, maana tayali machozi yalisha anza kumlenga, akiwa ananawa akatupia macho kwenye meza haliyo kaa Edgar, akashuhudia muhu dumu akiwekamezani sahani kubwa la njama choma na ndizi za kukaanga, wakati huo akamwona yule mdada akipokea simu nakuiweka sikioni, **** kumbe basi mzee Mshaka alisubiri sana, ule binti wajana aliamshe dude, lakini hakashangaa ndokwanza anahacha kabisa ata kuchezea “mbona unahacha, mimi mzuka umepanda bwana,” aliongea mzee Mashaka akikaa vizuri zaidi ili binti wajana aweze kuliamsha dudu, lakini chakushangaza wala hakuangaika nayo, “sikia baby, naogopa kukuchokoza alafu nika shindwa kukutuliza” aliongea binti wajana huku akiegemea kwenye mapaja ya mzee Mashaka, “kwanini hunasema hivyo, inamaana leo sipati kitu” aliuliza mzee Mashaka huku akichezea nywele za wajana, “ndiyo hatuwezi leo kampe mkeo”alisema binti wajana kwasauti ya utani akijidekeza, pale mapajani kwa mzee Mashaka, “huyo zilipendwa bwana, kwanini tushindwe” hapo mzee Mashaka akaona kuwa kuna dalili yakuto pata kitumbua siku hiyo, “leo naumwa, nipokwenye siku, kwani umebanwa sana?” aliuliza yule binti akicheka cheka, “sana yani nikichelewa naweza kujikojolea, umesema kwanini hatuwezi?” alihoji mzee Mashaka , akimaanisha bado alikuwa hajamwelewa binti wajana, hapo binti huyu akazidi kuficha uso wake kwenye mapaja ya mzee Mashaka, “nimekwambia nipokwenye siku zangu, kama umebawna ujaribu kwajilani yake” kusikia hivyo mzee Mashaka akaona picha imeungua, nahuyo jilani yake itakuwaje, au anamtega aone uaminifu wake, kwamba anaweza kutembea na rafiki yake, “haaa! umenza lini tena?” aliuliza mzee Mashaka huku akijaribu kuumiza kichwa aende wapi, baada yakuwaza kidogo alipata jibu moja tu! japo hakuwai lakini wacha akamshawishi Suzan amnyonye dudu, maana kiukweli alisha mwona zilipenda, lakini alikuwa anampenda sana, sababu alikuwa mwaminifu sana, naile kuwa mwaname wakwanza kumfanya, ilizidisha mapenzi kwake, “utakubali kuingia kwajilani?” aliongea wajana, lakini hakuwa na uakika kama mzee Mashaka anaelewa ancho maanisha, “hapana siwezi kukufanyia hivyo, yani kuwa hivyo tu! nitembee na rafiki yako, hapana siwezi” hapo wajana akajuwa lugha gongana, mzee Mashaka akainuka kwenda chooni, ambako alimpigia simu Suzan, **** wakati huo Suzan alikuwa ndio anajiandaa kwa chakula, akatazama jina la mpigaji, “mzee Mashaka” hapo mapigo ya moyo yakaenda mbio kidogo, akajisemea kimoyo kuwa, kwajinsi alivyo pania dudu, sasa huyu mzee anataka nini, au amesha mpaka shombo yule dada kahaba, akamtazama Edgar, akaachia tabasamu ambalo liligoma kutoka vizuri, “samahani mpenzi naomba nipokee simu kidogo” hapo Edgar akataba samu kidogo, “kwanini husipokee?, weee pokea tu” alisema Edgar hukuakitabasamu nakumtazama Suzan, macho yao yalipo kutana wakatabasamu kwapamoja, Suzan akapokea simu nakuiweka sikioni, “hallow,” hapo maongezi yakaanza, “niambie mama, vipi hupo nyumbani? mbona kama kuna kele?” aliuliza mzee Mashaka nakusubiri jibu, “sipo nyumbani nipo hapa, kwenye geleji, gari langu lilipata pacha” alidanganya Suzan akimtazama Edgar, nakumkonyeza, kisha wote wakatabasamu, huku moyoni Suzan akijisemea wewe leo nataka unipe utamu, mpaka koo likauke “ok! nitakuja huko baadae, leo nataka nikufundishe kitu,

Suzan alistuka kidogo, akakunja sura huku akiwa anamtazama, Edgar usoni, “kitu gani tena, ebu nidokeze” aliongea Suzan akinyoosha mkono wake mmoja nakuulaza juu ya mkono wa Edgar, na akiupapasa kama anaupooza, “nataka leo uni nyonye mb..o” hapo Suzan alitowa simu yake sikioni nakuitazama, kama labda imekatika, au amepokea simu yamtu mwingine, “hooo! nimeipenda hiyo, lakini hapa namsubiri Sophy, na tuta chelewa kuachana,” hapo hakusikia tena sauti zaidi yaukimya, akaitazama simu ilisha katwa, hapo Suzan akatabasamu hukuakijisemea moyoni “husindwe, kama umenogewa naivyo, wewe endelea huko huko, nakahaba wako” aliongea Suzan akimtazama Edgar ambae alikuwa hajaanza kula anamngoja yeye, “hooo, pole kwakukuchelewesha baba, nilikuwa naongea na bosi wetu, eti kuna kazi, wakati nime wadanganya naumwa na kesho siendi kabisa” walina wanakuanza kula, wakiongea ilil nalile, huku kuna vimawazo flani vya kupendeza vikipita vichwani mwao, Edgar alikuwa akifurahi kumwona Suzan akiwa katika hali ya uchangamfu, na kumwonyesha kwamba anamjari sana, pia alipania sana kama atapata nafasi ya kupewa kitumbua, basi ajitaidi kufanya kama alivyo shuhudia kwenye video, pia alikumbuka jinsi mama Suzan alivyo mnyonya dudu, akatamani kama Suzan nayeye angemnyonya, huku Suzan nayeye, aliwaza yakwake, aliwaza kama mzee Mashaka amekutana na yule kahaba, namepagawishwa kwa kunyonywa dudu, basin a yeye ampagawishe Edgar kwa kumnyonya dudu, akiamini kuwa endapo ataweza, basi kijana huyu atakuwa wakwake mazima, japo hakuai kujaribu atasiku moja hivyo akapania nywe kidogo mvinyo, wakumtoa uoga, iliakianza kazi ifanikiwe, wakati wakiwaza mambo yao hukuwakiendelea kula, mala wakagonganisha macho, wakajikuta wakitabasam, huku uso wa Suzan ukiwa ume tawaliwa na ahibu, akarudisha macho kwenye sahani na kuchukuwa kipande cha ndizi, akavyovya kwenye kachumbali, kisha akamlisha Edgar, naye akaidaka nakukimega, huku akiona ahibu kidogo maana mabo yale adharani duh!, “Edgar mwite muhudumu wa vinywaji, tuagize wine” aliongea Suzan huku akimalizia kile kipande chandizi kilichobakia baada ya Edgar kukimega, “hooo! siunasemaga uwezi kuendesha gari ukiwa umelewa?” aliuliza Edgar, naSuzan akajibu “wala husijari, tunakunywa wote kidogo, kisha tunaenda kumalizia nyumbani” hapo Edgar akaangalia huku na huku,kisha akamwona mhuhudumu wa upande vinywaji, akamwita nayule muhudumu akawasogelea, **** mzee Mashaka akawaza na kuwa zuwa, maana alipania kupata kitumbua, na nilizama akile usiku hule, “sasa huyo jilani yake itakuwaje, simajaribu hayo?” aliwaza mzee Mashaka huku akirudi kwenye meza yake alipo mwacha binti wa jana, alimkuta anakata kilaji, walikaa wakiendelea kunywa pombe, mpaka saa nne usiku, ndipo mzee Mashaka akaamua awai kwa mkewe huku akijisemea “simba akizidiwa” yani mkewake amekuwa nyasi, wakainuka kwapamoja, wakiongozana mpaka pale counter alipo waacha wenza (binti wajana) kisha akampatia fedha kiasi cha elfu 50, kisha akaondoka zake huku mawazo yote namna ya atakavyo tafuna kitumbua cha mkewake, maana alisha kichoka kabisa, kilikuwa kimeoa kiasi kwamba alikuwa anaona uvivu ata kukitafuna, kitu ambacho halikuwa hakijuwi ni kwamba mkewake leo ame nyonya mpaka dudu ya kijana mdogo Edgar, akifanyia mazoezi ya mambo anayo yasikiaga kwa wenzake wakiwa saloon au kwenye maongezi mengine, uwa wana ongelea sana namna ya kumfurahisha mume, lakini mkewake hakupata nafasi hiyo, maanakila akitaka kuulamba mwiko, anakuta umesha tumika na shombo zimejaa, binti wajana aliungana na wenzake nakuendelea kunywa pombe, “vipitena shost, mbona boss anaondaka mapema leo” aliuliza mwenzake, naye akamjibu, “haaa! leo sikopoa kume chafuka” jibu hilo liliwashangaza wenzake, mmoja akasema “ulipo kuwa unaondoka siulisema utamkaribisha kwa jilani?” hapo wakacheka kidogo wakisubiri jibu la wajana, “nimejaribu kumwelewesha weee, wala hajanielewa, inaonyesha hajawai, mimi nikaona bola hawai kwa mkewake” wote wakacheka kwanguvu huku wakigongeana mikono, “hajawai kununua kisavu super market, wewe unge mwonjesha kwanguvu, angeenda kuomba atakwamkewake huyo” wakazidi kucheka huku wakiusifia ule mchezo wao haramu, “ wewe usinge mwambia, ilawakati wa kuingiza una jifanya umekosea, mbona ange kuahidi gari” mwingine akaongezea ushetani wake, ** baada ya Nancy kuya shuhudia aliyo ya shuhudia kwa Edgar na Suzan,, alitoka akiongozana na Elisha mpaka saloon, ambapo alimwacha Elisha kisha yeye akaenda moja kwamoja kwenye nye nyumba aliyo panga, huku roho ikimkeleketa, utazani tumbo la vidonda vya tumbo, “kwanini siku chukuwa ata namba za simu?” alijilahumu Nancy, huku akipiga piga miguu, “ningekuwa nimesha mpigia simu mape sana, hasinge nifumania na huyu?” alijilaza pale kitandani ata wenzake walivyo mpitia kwenda chuo kwa masomo ya usiku, aliwaambia kuwa anaumwa, baada ya wenzake kuondoka yeye akapekua pekuwa kwenye kopo lake la dawa na kuibuka na vida wa vya mafua vinavyo sababisha usingizi, akavibugia viwili, haikumchukuwa mda mrefu akalegezwa na usingizi na kulala kabisa, Sophy naye tokea jana alikuwa anamawazo mengi sana, kwanza juu ya tabia ya baba yake, pili juu ya kugunduwa mpenzi wake anampenzi mwingine, tatu aliwaza namna ya kumnasa Edgar, akaona njia nzuri ni kwenda kimya kimya kibamba akamsake yule kijana bila Suzan kujuwa, kisha akamshawishi kwa pesa yoyote, ataikiwa nyingi kiasi gani, saa mbili na nusu alitoka kwenye ki grocer kimoja karibu na kwake ambapo alikuwa anapata bia, nakuelekea kibamba, nusu saa baadae alisimama kwenye bar moja kubwa, ambayo jana yake walimkuta Edgar pale, ile anaingia akaliona gali la Suzan linatoka pale bar, likiwa limepandishwa vioo mpaka juu, akaona bola akae pale akipata bia mbili tatu kisha aende kwa Suzan , maana akiwai atashindwa kumwona Edgar, nakutimiza lengo lake maana Suzan atakuwa bado yupo macho, kwa sasa atakuwa haja lala, kwakuwa ndio anaelekea kwake, hapo Sophy akatafuta mexa moja nzuri nakukaa, kisha akaagiza pombe, dakikachache aliletewa nakuanza kuinywa taratibu, kwani hakuitaji kulewa sana** saa nne nanusu mzee Mashaka alikuwa anaingia nyumbani kwake, alifunguliwa mlango na binti wakazi, ambae alikuwa ame vaa kanga moja tu! akionyesha kuwa alikuwa amesha anza kupitiwa na usingizi, macho ya mzee Mashaka yakatuwa kwenye kifua cha binti huyu wakazi, ambae kutokana na udogo wamaziwa yake, kifuani pake palionekana kawaida, hapakukuwa na halama yoyote ya matiti wala tuchuchu, zaidi ya fundo la kanga, akaachana naye na kuelekea chumbani, ile anaingia tu macho yake yakatuwa kwenye kitanda, akashuhudia mke wake akiwa huchi kabisa kama alivyo zaliwa akiwa ame lala kifudi fudi, nakuuhacha msambwanda ukimsimanga mzee Mashaka, hapo mzee Mashaka akavua nguo huku kududu yake ikionekana kusimama, tayari kulishambulia kabumbu, akapanda kita ndani kwa fujo, lengo likiwa ni kumwamsha mkewake, pasipo kujuwa kuwa mkewake alikuwa macho kabisa, akimwangalia mumewake, anavyo vuwa nguo moja baada yanyingine, ataalipo maliza na kujirusha kitandani, kwafujo yeye akajikausha, ata mumewake alipo keukia upande wake na kumpandishia mguu kwajuu, huku dudu yake ikimgusa kwenye maeneo ya makalio ambayo alikuwa ame yaacha juu, hapo mama Sophy akajifanya anajigeuza kidogo, nakulala kiubavu, kwamba bado yupo usingizini, nakuufanya mguu wa mume wake utoke juu yake, mzee Msahaka akiwa anajuwa mke wake anakiu ya dudu akaendeleza visa ilitu mkewake adai mwenyewe dudu, kampandishia tena mguu akijifanya amelewa sana, tofauti na ulewaji aliokuwa amelewa leo, akashangaa mkewake akimtoa mguu na kuusukumia pembeni, akona imesha kuwa shida akamkamata kwenye bega nakumgeuzia kwake, “mumewangu, mbona hivyo jamani,?” aliongea mama Sophy nakugeukia upande aliokuwa mwanzo, hapo akaona mumewake, akamshika kaliomoja na kuli panua kisha akapapasa kidogo nakugusa kitumbua chake, kisha akamwona anaikamata dudu yake nakuipaka mate tayari kuingiza, mama Sophy akabana makalio yake makubwa na kujigeuza huku akilala chali,

uku anasema kwa ukali “siuniulize kwanza bwana, mwenzio tumbo linauma” “kwani mimi nalifanya tumbo?” aliuliza mzee Mashaka hukuakionyesha ukali kidogo, “inamaana unajifanya hujuwi, nipo kwenye siku zangu” aliongea hivyo akiinuka nakwenda kwenye kabati languo, akaanza kupekuwa akaibuka na taiti akaivaa kisha akarudi kitandani, muda wote mzee Mashaka alikuwa ameganda, macho kwenye siling boad, maswali mengi yakimjia kichwani, mwaisho akajikuta akilopoka, “inamaana wanawake wote wanaingia sikumoja, ile anamaliza akagunduwa alicho kifanya, akatulia kusubiri mke wake atasema nini, lakini akashangaa kuona akilala bila kuongea lolote, siyo kwamba hakusikia, mama Sophi alisikia nakuelewa vizuri kabisa maana ya mumewake, akajisemea moyoni mama Sophi, “imekula kwako baba, mwenzio mpaka kum.. imeshika ganzi” Suzan na Edgar alikuwa sebuleni wame kaa juu ya sofa moja, wakiburudishwa namziki laini, maana toka walipo ingia wali fikia hapo, zaidi Suzan aliingia chumbani akavua nguo alizo vaa toka asubuhi, kisha akajifunga kanga moja nyepesi, nakurudi sebuleni akiwa hajavaa nguo ndogo yandani, walikuwa wana endelea kunywa pombe yao (wine) taratibu, huku wakiongea mawili matatu, huku Suzan akiwa ameilaza miguu yake yote kwenye mapaja ya Edgar, kumbe muda huo Sophy nae akaona hile ndiyo moda ambayo Suzan atakuwa amesha jifungia ndani kwake, hivyo wacha aende akajribu vita yake yakula dudu ya Edgar, kitu ambacho alikuwa hakijuwi, nikwamba Edgar anatoka na Suzan, aliegesha gari lake nje kabisa ya nyumba yaSuzan akaingia kwenye geti akautazama mlango wa Suzan, akaona kama haujafungwa vizuri, akaona ngoja asogee kujilizisha akasikia sauti ya mziki na maongezi ya kunong’ona, akageuza shingo nakutazama chumba cha Edgar akaona kimefungwa na ndani kunaonyesha kunagiza, akaamngalia vyumba vingine ambavyo vipo mbali kidogo napale aalipo simama, yaani mlangoni kwa Suzan akaona milango imefungwa, lakini taa zina waka, hapo machale yakamcheza, akahisi kitu kinaendelea mle ndani, hapo taratibu aka jaribu kufungua kwa kuusukuma ule mlango, akiwa na uakika hato kosa la kujibu endapo ata fumaniwa, kwa jinsi nyumbaile ilivyo jengwa ni vigumu sana kwa mtu wa sebuleni kukuona kilahisi hasa akiwa busy, labda ajuwe kuwa kunamtu anaingia, ndani, Sophya alifanikiwa kuingia ndani, aksogea kidogo nakuingia jikoni kisha kwakutumia dilisha dogo la sehemu ya chakula, akachungulia sebuleni, naam hapo hakuamini macho yake, kwanza aliona kuwa mpango wake umesha vurugika maana amesga gunduwa kuwa Suzan na Edgar niwapenzi, akataka kutoka lakini akaona haita kuwa vyema, bola aone kile kinacho tokea maana hakuwai kuona katika maisha yake labda kwenye video tu! tena zile zakikubwa, alimwona Suzan akijiinua toka kweny sofa nakuchuchumaa mbele ya Edgar kama anataka kumvalisha viatu, kisha akaanza kumlegeza mkanda wasuluali, akamtelemsahakidogo wakisaidianawote, hapo Sophy akajiziba mdomo kuzuwia sauti yake ya mshangao hisitoke nje, pale alipo shuhudia dudu ikifyetuka nakusimama, huku ikinesanesa kama nguzo inayo sumbuliwa naupepe mkali, Sophy, akiwa pale alishuhudia Suzan akiikamata dudu nakuanza kujaribu kuiingiza mdomoni kidogo nakuitoa, akionekana kabisa anajifundisha kula ile cony, akamwona sasa akiishia kuzungusha ulimi kwenye kichwa cha dudu, na mala moja moja akijaribu kuiingiza mdomoni nakuitoa, kisha akamwona anamtazama Edgar usoni, wote wakachekeana, kisha Suzan akamwuliza Edgar “unajisikia utamu hen?” Edgar nae akajibu kwa sauti ya kukwaluza “ndiyo tamu” hapo Sophy akamwona Suzan akiendelea kuilamba kichwa ya dudu nakuingiza mdomoni na kimung’unya kama pipi yakijiti, uku mkono wake mmoja ukiwa una chezea kengere za chini za Edgar, Sophy, alimwona Edgar akiinuwa kichwa juu kusikilizia utamu, kabla Suzan hajasimama naku kujilaza kwenye sopha, akisubili kuingiziwa dudu, Sophy akamwona Edgar akisimama toka kwenye kochi, hapo ndipo alipo itazama vizuri ile dudu, akajikuta akipeleka mkono wake wakulia, kwenye suluali ya jinsi aliyo ivaa, nakuupenyeza ndani usa wa kitumbua chake , ambacho kilisha anza kulowa kwauteute, akachezea kikunde chake, huku macho kwenye dudu ya Edgar, akitarajia kuona Edgar akiichomeka ile dudu kwenye kitumbua cha Suzan, lakini akashangaa kuona, Edgar akisngeza midomo yake kwenye midomo ya Suzan, naye Suzan akaidaka wakaanza kunyonyana ulimi, huku mkono wa Edgar wakulia, ukianza kutembea taratibu, toka kwenye shingo ya Suzan akafanya kama anamkuna taratibu, chini ya kisogo karibu na shingo, Sophy akasikia Suzan akipata shida ya kudoa mguno ulioambatana na pumzimzito za msisimko, kutokana na kuwa wananyonyana ndimizao, hapo akusisimka pekeyake, ata Sophy naye alisisimka, nakuzidi kukisugua kikunde chake kwa mkono wake wa kulia, huku mkono wakushoto humekamata kishati chake, nakukipandisha kwa kujuu ili kuluhusu mkono wake ufanya kazi, japo suluwali yake ilikuwa iana mpashida kutokana na kubana sana, macho akiya elekeza kwa Edgar na Suzan, ambao hawakujuwa kuwa wapo watatu mle ndani, zaidi Edgar aliamisha mkono wake, nakuushusha kifuwani kwa Suzan, wakiwa bado wanaendelea kulana mate, Edgara pale kifuani kwakutumia ncha za vidole vyake, akaanza kuichezea chuchu yaziwa la kulia la mama mwenye nyumba wake, akifanya kama anazichora, kisha anaziminya kidogo, nakumfanya Suzan astuke na kuchezesha kiuno, kama ametekenywa maeneo hayo, huku akitoa kale kamguno kama kamwanzo kakiambatana na pumzi nzito, Sophia akiwa anaendelea kujichezea sehemu yake nyeti yautamu kwenye kitumbua chake, huku macho yake kwenye sofa, alimwona Edgar akiamisha mdomo wake na kuuelekeza kwenye ziwa lakushoto, nakuidumbukiza mdomoni chuchu ile, nakuifanya akama na ivuta kwakutunia midomo yake(lips) kisha akaichomoa mdomoni nakuanza kutunia ulimi kufanya kama anachora mduara kuzunguka ile chuchu, kabla haja idimbukiza tena mdomoni, huku bado mkono wake ukichezea chuchu za ziwa la kulia, hapo Sphia akamwona rafiki yake Suzan akitetemeka, kwamsisimko wahatari, nakumshikilia kichwa maeneo ya kisogoni, namkono mwingine akalishika ziwalake, nakuwa kama mama anaye nyoyesha mtoto, hapo Sophia akasimamisha zoezi lake, lakujichezzea kikunde, huku akipatwa na msisimko, kiasi chakuona kama miguu inakosa nguvu, akajiegmeza kwenye ukuta na kuendelea kutazama mchezo ambao hakuwai kuuona kwamcho, yani mubashara, aliyake ilizidi kuwangumu, pale alipomwona Edgar akiamisha mkono wake wakulia, toka kwenye ziwa na kupeleka chini kabisa kwenye kitumbua, ambapo Suzan alionekana akitanua miguu iliEdgar aweze kukifikia vizuri kitumbua chake, ambacho kilisha anza kulowa ute kama bakuli la mrenda, au akapita kono kono, Suzanophia akamwona Suzan akianza kuzungusha kiuno, kama tayari amsha ingiziwa dudu, huku akiongea neno moja , nakulirudia rudia, kwasauti ambayo ungeshindwa kuitafsili kama alikuwa analia au anasikia utamu “henhee.. henhee.. mmmhh! mmmmh!” Edgar alichezea kikunde cha Suzan, akiwa amesha hacha kunyonya ziwa na sasa ulimi ulikuwa kwenye kitovu cha Suzan, tkio ilo lilidumu kwadakika tano , machoni kwa Sophia, ndipo alipoona Edgar, kijana ambae alizani kuwa nimshamba, akimwinua Suzan nakumwelekeza ainame, Suzan akainuka nakufanya kama alivyoambiwa na Edgar, aliinama akigeuzia msambwanda huku upande wajikoni aliko jificha Sophia, akiwa amelalia kifua kabisa na kufanya kiuno kibinuke sana, miguu kaitanua sana, kiasi cha kusababisha kitumbua chake kuonekana vizuri kabisa, hapo Sophia aka mwona Edgar akija nyuma yake, akajuwa sasa kazi aliyo kuwa anaisubili ndoilikuwa inaanza, lakini chakushangaza akamwona Edgar akipiga magoti nyuma ya Suzan, akashika makalio makubwa ya Suzana huku nahuku, Sophia akiwa anatazama kitu anachotaka kukifanya Edgar, akmwona Edgar akisogeza usowake kwenye makalio ya Suzan na kutoa ulimiwake na kuupeleka kwenye kitumbua, kisha akachezesha ulimi kama anatowa mbegu zapapai kwenye papai, hapo akamwona Suzan akichezesha kiuno kama katekenywa, Edgar akauzamisha ulimi kwenye tundu la Suzan na uuchezesha kwa ndani kama analamba uji, hapo Sophi akujuwa kilichosababisha Suzan arudishe kiuono nyuma, huku anapiga kelele za chini chini “haaaaaassss” sasa Sophia alijikuta akisema kwa sauti yakunong’ona “jamani Suzie anafaidi” huku akishindwa kuendelea kujichezea sehemu zake, maana alimwona Suzan na mpangaji wake mwanachuo wakipeana raha hisiyo mfano, asa Edgar alipo kizamisha lialage chote mdomoni kama vile mtoto anavyo nyonya ziwa la mama yake, kisha kuanza kukinyonya kama pipi kali, aka msikia rafiki yake akilala mika huku akichezesha kiuno, “taaaaammmu, Edgar husi mpe mwingine mpenzi wangu, utaniua, mwenzio nimepima ukimwi leo, tufanyane sisi wanyewe tu mpenzi” Sophia alijikuta akimchukia Suzan ka ubinafsi alionao, akajisemea kimoyo moyo, “kwani wenzako hatutaki utamu?” tukio hili lilidumu kama dakika nne au tano ndipo Sophia alipo mwona Suzan akijitoa pale na kumshika mkono Edgar na kumwinua, kisha akamsukumia kwenye kochi Edgar akafikia kukaa na kuegemea, hapo kama amepandwa na kichaa, akabanda juu ya kochi, nakuchuchumaa, akimweka Edgar kati kati, kama anataka kukalia kibao chambuzi, Sophia akamwona Suzan akijinyanyua kidogo, nakuikamata dudu ambayo ilikuwa imekakamaa nakulala juu yatumbo mpaka usawa wa kitofu, huku ikionekana misuli yake kwa wazi kabisa, hapo Sophia akajilamba midomo, akikodoa macho kumwangalia rafiki yake Suzan, akiikamata dudu akiwa amemweka Edgar kati naye amechuchumaa kama yupo chooni, nakutumia mikono yake kuilengesha dudu kwenye kitumbua chake, akajishusha kidogo, nakuigusidha kwenye mlango wa kitumbua chake, kisha akaichezesha kama anafuta au kupangusa kitu, uku dudu ikisaidiwa na utelezi, uliotapakaa kwenye kitumbua hicho, kisha akailengesha vizuri, nakujishusha chini taratibu, nakusababisha dudu izame taratibu, ikisaidiwa na utelezi wa uteute, “haaasss mmmmh” ilimtoka Suzan uku akijaribu kucheza cheza kama chura anavyo fanyaga, huku akitowa miguno ya utamu, maneno ambayo yalimkela sana Sophia, “mumewangu, naomba unioe, sitaki kukukosa, mpezi. haaass! weee matamu” hapo Sophia akaona anazidiwa, akaanza kunya ata nakuufwata mlango wakutokea, ambao bado ulikuwa wazi, mpaka alipo fanikiwa kutoka nje, akasimama nakutembea mpaka kwenye geti, akatazama mlango wa nyumba ya Suzan, ambapo sasa akusikia sauti zao zaidi ya sauti ya music, “utanisamehe Suzie, lazima tule wote” alisema hayo akipotelea nje ya geti, dakika chache gari lake likasikika likiwashwa nakuondoka, mpaka saa sita usiku mzee Mashaka alikuwa amekosa usingizi kabisa, akiwaza mambo yaliyo mtokea leo, yani ata mke wake, ameshindwa kumpata, aliesabu dali huku akikosoa mafundi walio mjengea, maana siyo siri alishindwa kabisa lakufanya, baada yakukosa usingizi, akapanga kesho mapema kumtafuta Suzan japo akajipooze, japo nimchovu kwenye mavituz, lakini tabia hii yakubadilisha wanawake ambayo sasa alizidisha maladufu, ilimsaidia kuwa furahia mapenzi, alikaamacho mapaka saa saba, muda aliopitiwa na usingizi, Sophia Msahaka naye, alifika nyumbani kwake saa saba usiku, moja kwamoja akapitiliza chumbani kwake, maana sikuzote huwa hamwamshi binti wake wakazi zaidi uwa anatembea nafunguo zake, ata akichelewa uwa anafungua kimya kimya nakwenda kujilalia zake, mle chumbani alianza kuvuwa nguo zake moja baada ya nyingine, mpaka ailpo ifikia chup.. akaivua nakuitazama maana alihisi kitu, dahh! ilikuwa imechafuka sana, naute ute ambao ulisha anza kuganda, nakuonekana kama mtu alijifutia mabaki ya ndizi, akaitupia kwenye kapu languo chafu, akaingia bafuni nakuauoga huku akiwaza atafanyaje amnase, Edgar japo mala moja, ilinaye aonie kile alichopewa rafiki yake Suzan maana aliamini hakuwai kukipata toka ameanza kuchezea dudu za wanaume, alimaliza kuoga kisha akajiandaa kulala, baada ya dakika chache alikuwa juu ya kitanda, huku bado akiwaza, mbinu ya kumnasa Edgar mikononi mwa Suzan, mala akatabasam “yes! nime mpata, nahachomoi” alisema Sophia akiinua simu yake toka kwenye kimeza kidogo, pembeni ya kitanda chake, na kubonyeza kwenye kitabu chamajina ,

akatafuta jila lililo andikwa mzee Mwasaga, kaiweka kwenye ukubi wa meseji, nakuandika meseji akisema, “samahani boss kesho sitoweza kja kazini, naumwa sana mida hi indo narudi toka hospital,” mdau kumbuka hii ilikuwa saa saba usiku, hapo Sophia akaiweka simu mezani, huku tabasamu likiwa lime chanuwa usoni mwake, akajaribu kusaka usingizi, lakini haikuwa lahisi hivyo maana kila akilazimisha kufunba macho, ilimjia picha ya tukio la Suzan na Edgar wakila mambo yao, atamuda aliopitiwa na usingizi hakujitambua, siku iliyo fwata asubuhi, mzee Mashaka aliamka mapema, tofauti na kawaida yake, saa moja nalobo tayari alikuwa macho, lakini hakuinuka kitandani, alijilaza huku akiwaza jinsi mambo yalivyo kuwa jana, akajiapiza leo kuto fanya makosa ya jana, huku akiweka mikakati ya kumaliza shughulizake mapema, kisha akamtoe Suzan kazini, akajilie tunda ndipo acheki inshu zingine, aliwaza hayo akiwa na uakika kuwa Suzan hato chomoa, na huwa hanaga tabia ya kumnyima kitumbua, *** Sophia Mashaka ambae akutambua muda aliopitiwa na usingizi, alistuuliwa na binti yake wakazi, akimkumbusha kwenda kazini, ambapo Sophia alitazama simu yake akaona ni saa mbili kasolo, pia kulikuwa na messeji, akaifungua nakutazama mtumaji alikuwa ni boss mwasaga, akimtakia mapumziko mema na kumwombea apone araka, hapo akataba samu nakumjulisha binti wake wakazi kuwa leo hato endakazini, pangine akatembelewa na mgeni, hivyo iwapo muda wowote mgeni atafika, yeye atamruhusu akatembee kidogo,wanamaongezi muhimu na wanaitaji utulivu, hapo akai nyanyua simu yake na kumpigia Suzan, ***** kwa upande wa Suzan alikuwa ndo anaanza kupitiwa na usingizi, kwa mala yapili baada ya kutoka kwenye awamu yapili ailiyo malizika nusu saa hiliyopita, japo ulikuwa ni mchezo wa taratibu ambao aliucheza akiwa amelala kiubavu ubavu mguu moja juu huku Edgar akija toka nyuma yake, nakuikandamiza kitumbua taratibu naye akizungusha kiuno taratibu, akifwata jinsi dudu ilivyo kuwa ikiingia nje ndani, walitoaka hapo wakiwa moja moja, Edgar akaoga zake nakuelekea chuo, japo kabla haja toka aliulizwa kama anafedha ya matumizi kwa sikuile, naye akashangaa sana “ha! mkewangu jana siulinipa ela nyingi tu” aliongea Edgar akionyesha mshangao, huku akimwita jina ambalo jana usiku, wakati wana karibia kubigana bao la tatu, Suzan alimwita Edgar akiitaji kumwambia kitu, “Eddy… Eddy mumewangu tamuuuu, Eddy nako…nako.. nakooo joaaaa! hapo suzan alikuwa ameinama huku Edgar kiwa kama anasukuma gari lililo kwama, akajibu “atamimi atamimi mama.. namaliz..” wakati wapo katika atuwa za mwisho kabisa, Suzan akasema “niite… mke ..mke..wakooo… wewe ni mu..mu..mume wa..wa..wa…” hapo Suzan hakumalizia, maana alimkamata Edgar kwenye mapaja na kumkandamizia kwake, kwanguvu sana wote wakashusha mzigo ikiwa ni mala yatatu, pasipo kujuwa Sophia alikuwepo pale alisha cheki game, kisha akaondoka zake, basi baada ya kujilizisha ndipo Edgar akaondoka na kuelekea chuo, akapnga kupitia kwanza kwenye supu, akatoe lock ndipo aende chuoni, akimwacha Suzan kishindwa kuamka, sana sana alichukuwa simu na kupiga kazi kwake, akiwapa taarifa ya maendeleo yake ya homa,kisha akajifunika shuka, huku tabasamu likimtawala usoni, dakika chache baadae akaanza kupitiwa na usingizi mpaka akalala, lakini kastuliwa na mlio wasimu yake, akaichukuwa nakutazama mpigaji akiombea hasiwe mzee Mashaka, ni kweli hakuwa mzee Mashaka, alikuwa binti yake Sophia, akaipokea “niambie wangu, mambo” alianza Suzan na mazungumzo yakaendelea, “yani jana umenisusaje wangu, yani jana kimya kabisa, au shemeji alikubana sana?” aliongea Sophia, akichomekea swali lakiuchokozi, hapo Suzan akajikuta akijisikia furaha flani hivi moyoni kwake, maana kweli sasa akiambiwa yupo na mpenzi, anajihesabia yupo nampezi kweli, tofauti na zamani, ataakiwa kiwa saloon wenzake wanapo zungumzia kupeana dudu na wapenzi wao, yeye hakuwa na likuchangia zaidi yakusikiliza, maana alikuwa anapakazwa shaombo tu! nakhachwa na mautamu yake, hapo alishindwa kumjibu Sophia, zaidi aliguna tu nakubairisha mada “mh! weachatu, ok nipe story,naona kama haujaenda kazini” Suzan aligunduwa hilo baada ya kusikia sauti ya music, “nimetega leo nina kazi flani hapa, ndomaana nimekupigia simu, ilanaona kama bado hupo kitandani” waliongea kidogo wakicheka na kufurahi pamoja, kisha Sphia akaona ajaribu kueleza shida yake, huku akipangilia maneno kiufundi kabisa akamwambia Suzan kwamba, walikuwa yeye Sphia na mama yake, walikuwa wanaitaji kwenda shambani kwao, mjimwma kigamboni, huvyo walikuwa wanaomba, Edgar awasindikize maana siyo vyema kwenda wao peke yao bila kijana wakiume, hapo Suzan akiwa na kawivu moyoni mwake, akamtetea kuwa mida hii Edgar yupo chuo labda mchana kuanzia saa tano nanusu, atajaribu kumwambia Edgar akama atakuwa na nafasi awasindikize, hapo Suzan akapanga ikifika saa tano azime simu kisha akamchukue Edgar pale chuo na kupotelea nae sehemu yoyote ambayo wataweza kupata starehe, lakini akawaza kidogo nakujiondowa wasi wasi, kuwa kama watakuwepo na mama yake hakuna kitakacho haribika, pia akafurahia kuwa ata rafikizake wanamzowea Edgar, hivyo haita kuwa ngumu kuwatambulisha, pindiwatapoamua kuweka wazi mausiano yao, ****** Nancy akiwa na wenzake watatu wakiwa wanaelekea chuo, walifika usawa wa ile bar kubwa ambayo wanaitumia kupata chakula, moja akaongea “jamani mimi najisikia njaa, nakunywa kwanza chai,” aliongea huku akibadiri uelekeo na kuingia bar huku akifwatiwa na mwingine mmoja, wakiwahacha Nancy na mwenie mmoja anae itwa Joyce, kiukweli wawili hawa waliduwaa wakiwatazama wenzao, wakielekea kwenye viti na kukaa, wakatazamana kiukweli Nancy ni binti mrembo sana, ambae anaye juwa kujipenda kama mabinti wengine wakisasa walivyo , lakini hawezi kumfikia, huyu mwenzie ambae sasa yupo pembeni yake, Joyce alikuwa ni mzuri sana, mwenye sura nzuri, rangi yake ya choklate, umbo lake namba nane, pia ulefu wake wa wastan, kwa pale chuoni alikuwa mwaka wapili, na alisha wai kutoka na mwanafunzi mmoja ambae yupo nae mwaka wapili, anaitwa asoud Kasanzu, lakini wame hachana kama week tatu zilizo pita, baada ya kumfumania, kwenye chumba cha Msoud alicho panga, akitafuna kitumbua cha binti mmoja wa mwaka wa kwanza, licha yakuwa mpole na kutaka waongee na Masoud, lakini Masoud akaleta kiburi, ukizingatia Joyce mwenyewe ndo kawa mpole, ndipo Joyce akaamua kujiweka pembeni, huku Masoud akitalajia kuwa muda wowote Joyce atarudi nakuomba waendelee, alikuwa nauakika kuwa Joyce hapindui kwake, Nancy na Joyce aiyo kwamba hawakuwa na njaa, ila hawakuwa nafedha kabisa, wkaona bola waelekee chuo, kabla hawaja anza kuondoaka wakasikia sauti toka nyuma yao, “mambo vipi Nancy?” wote wakageuka kwapamoja, naam moyo wa Nancy ukalipuka kwa furaha, akaachia tabasamu la matumaini, “poa tu, mboana umeadimika hivyo Edgar?” aliongea Nancy huku bado tabasamu likiwa usoni kwake, “nime adimika?, mboana jana tumeonana mala mbili nzima?” kwakaulihiyo ya Edgar, Nancy akakumbuka tukio la jana usiku pale pale bar, alipo kutwa na Elisha, akaptwa na kikgugumizi hasijuwe lakkujibu, “vipi nado uana enda chuo, umesha kunywa chai?” Edgar aliuliza huku akiwatazama wote wawili kwa zamu, “hapana hatujanywa, kwani muda bado unatosha” alijibu Nancy na Edgar akatowa simu yake mpya mfukoni, nakuitazama, saa moja nanusu, pia kulikuwa na messeji ambayo hhaikusomwa, “muda bado tuna weza kupata supu haraka na kuwai chuoni” aliongea Edgar huku bado kasimama akiifungua ile messeji, wakati huo Nancy akitangulia ndani ya bar, akiwaacha Joyce na Edgar wamesimama, Edgar akisoma messeji, ambayo ilkuwa ina toka kwa Suzan “mumewangu naomba mkitoka darasani saa nne nijulishe” anayeye akajibu, “poa mkewangu” akaituma kisha akaanza kutembea kuingia ndani ya bar, lakini akagunduwa kuwa kuna mmoja amesimama pale pale, akasimama na kumtazama, kweli mwanamke huyu ni mzuri, wali gongana macho, akamwona kama ameduwaa flani hivi, kama hajuwi aelekee wapi, “vipi twende, muda unaisha huu” ndipo kama alietoka usingizini yule binti aka wafwata nakukaa nao meza moja wale wenzao wawili walishangaa kuwaona wanakina Joyce na Nancy, wakiingia pale bar na kukaa meza yakaribu, wakiwa na kijana mmoja ambae waliwaikumwoana sikumoaja pale saloon akinunua vocha, na jana yake pia alipata supu asubuhi na Nancy, wakatazamana nakuanza kunong’onezana “hivi Nancy anatoka na yule makaka au?” aliongea mmoja, namwingine akadakia, “alafu hajatuambia, ngoja tufanye unyaku nyaku tajuta” walishangaa zaidi baada ya kushuhudia sahani tatu za supu yamaana na chapati ikishushwa pale mezani, kiasi chakuiona ile chai yao ni chungu, wao walimaliza haraka nan a kutangulia chuoni, huku njiani wakijadiliana juu ya yule mwanafunzi mgeni, baada ya dakika kumi natano wakina Edgar wakamaliza, muda wote waliongea mambo ya kawaida yanayo usu chuo chao, lakini muda mwingi muongeajai alikuwa Nancy, Edgar likuwa akimshangaa huyu mwanamke mzuri, maana mudawote alikuwa kimya kabisa, mpaka wana hachana chuoni kila mmoja akiingia darasani kwake, **** ilisha gonga saa nne narobo mzee mashaka alipo kuwa anatoka ofisini kwa kina Suzan, nakuelekea kwenye gari lake, hiyo nibaada ya kumkosa Suzan, akiambiwa kuwa leo hajaja kazini, sababu anaumwa, hapo akaenda kwenye huduma ya kutowa fedha akachomoa kiasi cha million nne kisha akaingia kwenye gari na kuanza safari ya kuelekea kibamba, akiwa na mawazo matatu kichwani mwake mawazo ambayo yalimfanya akose amani moyoni mwake, moja uenda kweli mpenzi wake anaumwa, lakini kwanini haku mwambia, au mapenzi yao yamekwisha, pili inawezekana hamedanganya anamwa ili apumzike, lakini kwanini ajamtaalifu iliaende, maana mala ningi uwa wanafanya hivyo wanapo kuwa na miadi, tatu kama amedanganya anamiadi na nani?, hapo akajikuta anachukuwa simu na kumpigia simu mpenzi wake huyo, **** wakatihuo Suzan alikuwa bado amelala kwauchovu wa vitu viwili, kwanza wine aliyo kunywa jana, pili kwa mizigo aliyo ishusha jana usiku na leo asubuhi, mala ikaingia messeji, kutoka Sphia, ikamwamsha toka kwenye usingizi ambao sasa ulikuwa mwepesi sana, kutokana na njaa iliyomkamata, akaisoma ile messeji, “my husiniangushe tuna msubiri Edgar” hapo akawaza kidogo amjbu nini, wakati anawaza mala simu yake ikaita, akajuwa atakuwa ni Sophi, akaipotezea kidogo, kabla haja pata wazo la kujilizisha, kama kweli Sophia ndie alikuwa anapiga, hapana alikuwa ni baba yakemzee Mashaka, hapo moyo wake ukafa ganzi, akajikooza kidogo nakujiweka sawa, “hallow” aliita Suzan kwa sauti ya chini tena yakinyonge sana, maana alijuwa akiongea kawaida huyu mzee atadai mambo, kwazile dalili za jana usiku, lazima leo aje kudai mzigo, “hooo, pole mama, nimeambiwa unaumwa, atasauti yako ianaonyesha kuwa una umwa, kwanini huku niambia?” aliongea mzee Mashaka akiwa amejilizisha kuwa Suzan kweli anaumwa, “niliogopa kupiga nilijuwa hupo na mama” alijibu kwa sauti ile ile, ya kijigonjwesha, “husi jari mama nipo njiani nakuja,sikunyingine wewe tuma ata messeji, siyo vizuri una kaa bila msaada wowote, sasa niku bebee nini mama?” hapo Suzan aliinuka utazani kaona nyoka kitandani, akaelekea sebuleni akiwa uchi kabisa, huku msambwanda hukitikisika kila alipo piga atuwa za haraka haraka, simu bado sikioni,wakatihuo simu ikionyesha ishala kuwa kuna smu nyingine inataka kuingia, akaitazama alikuwa Edgar anapiga, “njoo tu maana nilikuwa naitaji supu, lakin najuwa uwezi kuni bebea nita agizia mtu” alijibu Suzan nakujifaya amekata simu kwa bahati mbaya, hapo akapata nafasi ya kipokea simu ya Edgar, “hallow mumewangu ndio hupo mapumziko?” aliongea Suzan kwa sauti tulivu tofauti navitendo alivyo kuwa anavifanya pale sebuleni aliondowa chupa za wine na grace, ikiwa na kuweka vitu vizuri, ambavyo vilivurugika jana usiku, wakati wamechi kali, baada ya kumaliza akarudi chumbani huku bado anaongea na Edgar, “ndiyo mkewangu” alijibu Edgar na Suzan ambae sasa alikuwa anaficha nguo za Edgar alizo vuwa usiku maana aleo alivaa zile alizoletewa jana, “umeshakula mume mwangu?” aliuliza Suzan kwasauti ileile tulivu na sasa aikuwa anaweka dawa kwenye mswaki, hapo Edgar akacheka kicheko flani hivi kama cakivivu sana, nakujibu “sijaweza kuala mmkewangu, kamasijajuwa wewe umeamka na kula” hapo suzan alisismkwa na mwili nakujisikia furaha sana, “sasa kwanini una nicheka?” alilalamika Suzan kwa sauti ya kudeka flani, “sijakucheka wewe mkewngu, nimefrahi” “umefrahishwa nanini?” aliuliza Suzan huku akisahau kabisa ujio wa mzee Mashaka, najihisi kunenepa kila unvyo niita mimi mumewako, nakupenda sana” hapo Suzan akajikuta anasogelea kitanda nakukaa, akashusha pumzi nzito ambayo sauti yake ilisikika vyema kwenye masikio ya Edgar, kisha kwahisia kali sana Suzan akaongea “nakupenda pia, nizaidi yanavyo weza kutamka, mpenzi husije ukanihacha,” hapo akaweka pose kidogo kisha akakumbuka jambo, kisha akaendelea kuongea na Edgar akimpmaelekezo, yakukutana na Sophia, akimsisitiza kuto kupitia nyumbani maana anaitajika haraka sana, hapo Suzan aliogopa Edgar asije akamkuta mzee Mashaka ikazuwa mswali, akatuma namba za simu kwa wote wawili ili watafutane, pasipo kujuwa anawakuwadia, Suzan alitumia mudamchache sana, kuoga na kurudi kitandani, akajifunika, huku kwambali akisikilizia mlio wa gari la mzee Mashaka likisimama nje ya nyumba yake, akajifanya amelala kabisa, akiwa na uakika kuwa mlango hupo wazi, maana ulifunguliwa na Edgar, dakika mbili mbele akiwa amejifanya amelala akamwona mzee mashaka akiingi chumbani kwake, huku mkononi ameshikilia mkoba wake na hot pot jipya lenye ukubwa wa wastani, hapo akajifanya anastuka, huku akikunja sura kama kwamba anaumwa sana, mzee Mashaka akaweka lile hot pot kwenye mza ndogo ya mle chumbani, kisha akaa kwenye kitanda pembeni ya mpenzi wake, ***** Joyce Bernad ndivyo anavyoitwa huyu binti mrembo moja kati ya rafiki zake Nancy, tokea wanapata supu na Edgar alionekana kumshangaa sana yule kijana, ambae amesha mwona mala kadhaa pale chuoni na jana pale bar asubuhi,ukarimu wake uli mshangaza sana, maana aliwapigisha supu ya nguvu, pasipo kuwa nahuusiano wowte na moja wao, alikuwa na uakika kuwa hakuwa na mausiano na Nancy, kama aliweza kuwaonyesha yule kinyozi Elisha kwanini hasi watambulishe huyu kijana mstaharabu sana, na mwenye moyo wa imani, mpaka wanahachana pale chuoni, bado alikuwa anajaribu kumtafsili Edgar lakni hakuweza kupata jubu, maana hiitabia ya ukarimu ya huyu mkaka alisha wai kuiona atajana pale Nancy alipo enda kumsalimia, ile asubuhi alimpigisha supu yanguvu, pia na kumbuka kabla hawajaondoka wakimwacha, Nancy nayule bwana wake kinyozi, waliona akipita na kuwa salimia Nancy na yule bwana wake, Jyce aliwaza sana ataakiwa darasani na alipo toaka saa nne, alimwona Edgar akiwa busy anajisomea, atalipo piga simu kisha akakata na ata alipo pigiwa simu nakuipokea pia aliwona, ***** Simu ya pili ya Edgar ilitoka kwa Sophia, baada ya kupewa namba na Suzan, akaongea nae wakakubaliana saa sita Edgar apande dala dala mpaka kwa msuguri, hapo atamkuta yeye Sophia na kumpokea, akimwambia kuna kazi anataka akamsaidie, wakakubariana hivyo,

Edgar akiwa anajiuliza nikazi gani ambayo anaitiwa na Sophia, mala akastushwa na sauti ya Nancy, “mambo Eddy,” Edgar akamtazama huku akiweka simu yake mfukoni, “poa tu! niaje?” sasa Edgar alionekana kuchangamka kidogo, tofauti na wikimoja nyuma, ata lugha yake ilianza kuwa ya kimjini mjini,pengine alichoka zarau, “poa, naona ulikuwa unaongea na simu nani huyo?” aliuliza Nancy kama anamuuliza mpenzwake, akiashiria kawivu flani, “kuna dada yangu mmoja hivi, yupo tanesco pale mbezi” alijibu Edgar akitazama pembeni kumwangalia mtu ambae alikuwa ame wasogelea na kusimama pale walipo, Nancy naye aligunduwa uwepo wamtu mwingine pale walipo, “hooo Joy, nilizani umeenda kunywa chai” aliongea Nancy akimtazama rafiki yake Joy, “nime shiba sana asubuhi, siwezi kuongeza chochote, aliongea kwasauti tulivu nanyololo, ni kwamala yakwanza Edgar anaisikia sauti ya binti huyu, akaipenda, “vipi Eddy utatutoa luchi,?” aliuliza Nancy aki shika tisheti ya Edgar kama anamtoa uchafu, “dah!itakuwepo kuna sehemu naenda mala moja, sijuwi kama nitawai” hapo wakatazamana wale wanaweke, “hivi Eddy unajuwa kama umebakiza miezi mine tu, mbona ukai darasani?” aliuliza Nancy, hapo Eddy akatabasam kabla ya kujibu, ”chuo nilichotoka tulisha maliza tropic zote, hapa nafanya revision tu” muda wote Joy alikuwa anawatazama kwazamu, akisoma kitu machoni kwa watu hawa wawili, kwanza aligunduwa kuwa Nancy anampenda sana Edgar, pili aligunduwa kuwa Edgar hakuwa na mpango na Nancy, ila kuna kitu anaangalia kwake, nikweli siyo mala moja Edgar na Joy waligongana macho, pale Edgar alipo kuwa akimtazama Joy kwamacho ya matamanio, “Joy njoo mala moja” wote wali stuliwa na sauti ya kiume, ata Joy mwenye we alipo mwangalia mwita jihuyo mwenye amri zakijeshi, ambae alikuwa ni Masoud licha yakuwa ni mwana chuo mwenzake, pia aliwai kuwa mpenzi wake, hapo akamtazama Edgar usoni kama anaomba luksa ya kuongea na Masoud, kisha kwakusuwa suwa akamfwata Masoud ambae bado alikuwa anatembea kwa mwendo wa haraka akitarajia kuona Joy akimkimbilia, sababu alikuwa na uakika kuwa, kutokana na jinsi alivyo kolea lazima atafanya hivyo, lakini kiukweli siku hiyo, Joy aliona haibu kuonyesha uzaifu wake mbele ya kijana Edgar, amba anatabia yap eke yake na hakuwai kumwona mtu kama huyu toka amezaliwa, hapo Joy alitembea kidogo baada ya kumwona Msoud anaongeza mwendo akaghaili na kurudi walipo Nancy na Edgar, ambapo aliwakuta wanaagana, na kila mmoja akaelekea darasani kwake, **** huku kwa mama mwenye nyumba mzee Mashaka alikuwa bado amekaa pembeni ya kitanda huku Suzan akiwa amekaa kwenye kitanda ameendemea kwenye uukingo mkubwa wakitanda, kwamsaada wa mito naukingo wakitanda chake kizuri, akipata supu ya kuku aliyoletewa na mzee Mashaka, japo Suzan moyoni alichukizwa na mzee Mashaka huku akiona uwepo wake pale umesababisha hashindwe kumwita mpenzi wake Edgar, lakini alijitaidi kumwongelesha maneno mazuri mzee Mashaka ili hasigundue kama moyoni anamchukia kwa tabia yake aliyo ionyesha jana pale Full dose, lakini licha yakutumia muda mrefu sana, wakiongea kuhusu mapenzi yao, ilikuwa tofauti kwa mzee Mashaka ambae alikuwa anavuta muda tu, iliaende kwenye mishe mishe zake, huku pia akiwaza kupata demu wakukata kiu faster, ilisha timia saa sita na nusu “eti baby leo wewe hauendi shamba namama?” swali hilo lilimtoa mzee Mashaka kwenye mawazo yake ya kutafuta mkata kiu, “hapana , hakuna safari ya shamba week hii labda week hijayo” hapo kengele ya tahadhari ika gonga kichwani kwa Suzan, akajichekesha kidogo, “ok! nilijuwa unaenda, nilitaka nikuagize madafu, kwani mama haendi?” aliuliza swali la mtego Suzan akataka kujuwa lengo la Sophi kwa Edgar, “hapana, tena mpaka naodoka ana lalamika kiuno kina msumbua, siunajuwa nyinyi wanawake na mambo yenu” Suzan akashindwa kuvumilia aka inuwa simu yake na kutazama mda, ilikuwa saasita na nusu, akaandika messeji nakuituma kwa Edgar, “hupo wapi, mumewangu?” kisha akasubiri jibu **** kiukweli messeji yaSuzan iliingia kwenye simu ya Edgar, wakati huo Edgar alikuwa nyumbani kwa Sophia walikuwa mezani wanakula, wakwanza kuiona alikuwa ni Sophia, maana ilionyesha kamwanga flani, Edgar alikuwa ametowa sauti ya kuitia na mlio wa mseeji toka akiwa darasani na akasahau kirudisha ikabaki na mtetemeko afifu na ishara ya mwanga, “mh simu yako nzuri,” aliongea Sophia huku akiichukuwa simu ya Edgar mezani na kujifanya ana iangalia, akaiona ile messeji, ikimuuliza Edgar kwamba yupo wapi, tena akimwita mume wangu, akaifuta nakuizima simu, kisha akaiweka mezani, unajuwa kwanini alifanikiwa kuya fanya hayo bila Edgar kujuwa?, nihivi, nusu saa iliyopita baada ya Edgar kutoka darasani, waliwasiliana na Sophia, huku akipanda gari (town bus) la kibamba makumbusho, kisha akshukia kwa msuguri, ambapo alimkuta Sophia akiwa amevalia gauni lefu na amefunga kanga kiunoni, waliingia kwenye gari nakuondoka, kuelekea nyumbani kwa Sophia, dakikachache tu walikuwa wameshafika, akakaribishwa ndani, akaingia nakukuta hapakuwa namtu yoyote tofauti na alivyo tegemea kwamba, angekuta watoto au mume wa Sophia, akakaribishwa kwenye makoch, karibu sana “jisikie kama hupo kwa Suzie, sema unachoitaji, mimi nipo nitakupa, wala husiogope nione kama Suzie,” aliongea Sophia kwa sauti nyololo na ya kubembeleza, kiasi cha kumfanya Edgar kuvutiwa na ukarimu wa Sophia, akajichekesha kuonyesha amekubaliana nae, huku moyoni akamsifu Suzan kuwa nrafiki anae mjari kwa upendo wahali yajuu, “samahani nakuja ngoja nikabadili nguo kidogo” aliaga Sophia nakuingia chumbani kwake, akimwacha Edgar anapepesa macho, kuikagua ile nyumba ambayo ilikuwa nzuri na vitu vya samani, japo hakumfikia Suzan, lakini nayeye pia alijitahidi, pia macho yake yalituwa kwenye meza yachakula iliyo zungukwa na viti sita, ikiwa kwenye umbo la yai, viti viwili kushoto, na viwili kulia, alafu kimoja mbele nakingine upande mwingine, vikitazamana, huku juu yameza kukiwa na hot pot kadhaa na sahani mbili tu!, dakika chache mlango wachumbani ulifunguliwa, akatoka Sophia akiwa amevaa kanga moja nyepesi haijawai kutokea, kiasi cha kumchora mwili wake na kusababisha ata manyonyo yake makubwa yaonekane vyema yalivyo tuna kifuani kwake, huku chini kile kikanga kilikuwa kifupi kiasi cha kuruhusu nusu ya mapaja kuonekana wazi kabisa, “kiukweli hapo atakama niwewe mwanamume mwenzangu, sizani kama ungebaki salama” hapo hapo dudu ya Edgar ika simama, maana Sophia naye sio wapolepole, licha ya kuwa na umbo lililofanana na namba nane, pia alikuwa mrefu kiasi na manyoyo makubwa utazani ame kula dawa zakichina, sambamba na makalio ya maana yenye shep ya mduara, kwenye mapaja sasa utazani ameficha mapochi, kitu kingine kilichomzidishia uzuri wake wa sura ni modomo yake maana alikuwa na lips pana sana, zakuvutia asa anapokuwa amezipaka ile rangi ya midomo kama alivyoonekana sasahivi mbele ya macho ya Edgar, kiukweli Edgar alikuwa akimtazama kwakuibia huyu dada, pasipo kujuwa nay eye alikuwa akimtazama kuona kama mtego wake unafanikiwa au vipi, Sophia alipoangalia mbele ya suluali ya Edgar usawa wazipu, kwanza aliona kama kuna kitu kime tuna mwanzo akazani labda kuna kitu ameweka mfukoni, ndipo alipo pata wazo “karibu chakula Eddy, najuwa unanjaa mpendwa” aliongea huku akimsogelea nakumshika mkono, akamvuta kwakumwinua, huku macho yake ameyaelekeza kwenye zip, ile sehemu iliyo tuna na ku chora ramani ya dudu, hapo ata mwili wa Sophia ulisisimka, maana aliona dudu ime vimba, asa ilipo mjia picha ya jana wakati Suzan alipo kuwa akijaribu kuinyonya dudu hiyo, kisha ongozana nanae kwenye meza ya chakula, nikwelie Edgar alikuwa na njaa, akafwata kama mwanakondoo wa pasaka, mpaka kwenye kiti alicho onyeshwa na Sophia, akaa nakusubiri mwenyeji wake alianzishe, ndipo alipo mwona Sophia akichukua jagi la maji na bakuli nakuliweka bakuri mezani, kisha akamkamata mkono wakulia Edgar anakuuleta usa wa bakuli, kisha akaanza kumnawisha, kwanza alianza taratibu, kisha akaanza kuumbinya taratibu, na kuu kuna kwakutumia kucha zake ndefu kwenye kiganya cha mkono wa Edgar, kitendo hichokili mfanya Edgar ajisikie kutekenya, hapo akashangaa kidogo nakumtazama Sophia usoni, cha hajabu Sophia naye alikuwa anamtazama Edgar usono huku macho ameyalegeza, hapo Edgar alizidi kusisimka, nakujikuta kuna kahali flani ka kutamani kitumbua kana mjia, akachomoa mokono yake, toka kwenye mikono ya Sophia, hapo Sophia akamnyooshea jagi Edgar, kasha akaongea kwa sauti ambayo ilimsisimua Edgar nakumfanya ashangae, maana aliona kuna dalili za kutafuna zigo, maana nisauti ambayo iliashilia kama vile Sophia anamafua, “ninawishe basi namimi” Edgar akakamata jagi nakufanya kama alivyo ambiwa, kasha wakaanza kula, sasa basi hapo vikaanza vituko, mala Sophia asimame nakufunga vizuri kanga yake, wakatimwingine ali mshuhudia akienda kwenye kabati na kuinama akifunguwa drow zachini kabisa, akitafuta kitu ambacho Edgar hakuweza kukifahamu, maana aliinuka mikono tupu, huku akimwacha Edgar katika hali mbaya, maana kila alipo inama kile kinguo kilipanda juu nakushindwa kuya funika vizuri malkalio ya Sophia, vituko hivyo vili mfanya Edgar ashindwe kuiona ata messeji aliyo yumiwa na Suzan, “naona Suzan anakupa vinono, maana unanawili kila siku”aliongea Sophia kwasauti ya kimahaba flani, hku akilegeza macho, kiasi cha Edgar kujiuliza, anamaanisha nini, au Suzan amesha mwambia kuwa wao ni wapenzi, lakini akajipa moyo kuwa hakumaanisha vile, ambavyo yeye anawaza, “haaaa kweli vyakula vya huku tofauti na kwetu” alijibu Edgar akiendelea kula pasipo kuzingatia anacho kifanya Sophi kwenye simu yake, sekunde chache baada ya Sophia kuiweka simu ya Edgar mezani, yakwake ikaita, akaitazama kasha akaiweka mezani, “haa hawa akazini nao wasumbufu sana” aliongea Sophia akiihacha simu ikiita mpaka ika kata yenyewe, ilipo kata tu akaichukuwa na kuizima, huku Suzan akiwa na mzee Mashaka alisubiri jibu toka kwa Edgar akaona kimya akatuma messeji nyingine, hiyo ndiyo kabisaaa haikurudisha majibu, hapo akaingiwa na wasi wasi juu ya Edgar, akawaza amepatwa nanini, bahati nzuri kwake, wakati huo, mzee Mashaka akaaga kuwa anaenda kukutana na wafanya bihashara wenzake akamwachia pesa kiasi cha million mbili, alafu akainuka nakutoka zake akimwacha Suzan amejilaza kitanzani, baada kuakikisha mzee Mashaka amesha ondoka, kwakusikia mlio wa gari lake NISSANI SAFARI, hapo akapiga simu kwa Edgar haikupatikana, mapigo yamoyowake yakaongeza kasi, wivu ulimshika, akajilahumu kumruhusu Edgar kwenda kawa Sophia, akaamua mapigie simu Sophia, nayo iliita mpaka ikakata, bila kupokelewa, akarudia tena, “simu unayo piga haipatikani kwa sasa” hapo akadata, akaamua bola ajilizishe kwa mama Sophi, kama kweli wameenda shamba, akapiga simu kwa mama Sophi, mama Sophi alikuwa anapata chakula chamchana, huku akili yake ikiwa anamkumbuka Edgar, kwamambo aliyo mfanyia jana, akapiga mahesabu ya kumtafuta Suzan ampatie namba ya Edgar, lakini wakati anachukuwa simu ampigie Suzan, akashangaa kuona simu ya Suzan inaingia, akatabasamu, “haaaaa huyu kijana ameletwa kwaajili yangu” akapokea simu na kutega sikio, baada ya kusalimiana na Suzan, mama Sophi akapokea habari ambayo moja kwamoja ili utibua moyo wake, eti yeye anasafari ya shamba, kwanza kabisa alipoulizwa swali hilo, alijuwa kuwa ni Edgar amedanganya labda analengo la kumtafuta yeye, hapo akajibu “ndiyo vipi ni Edgar amekuambia,?” aliuliza mama Sophia, “hapa ni Sophi, sasa na wapigia simu nijuwe walipo fikia lakini hawapatikani” hapo mama Sophi ata tumbo lilichemka, nakuunguruma akaanza kunawa mikono, maana ta chakula hakikunoga tena, “hooo nisawa wamenipigia simu kuwa wametangulia mimi nilikuwa napitia hapa duka la pembejeo, nazani network inasumbua” hapo mama Sophi aliongea huku akikimbilia chumbani kwake, akikata simu ya Suzan nakumpaigia, Sophia mwanae, akasikia sautu ya kike ikimwambia imu haipatikani ajaribu baadae, “saa ngapi?” alijibu mama Sophi huku akivamia lango wa chumbani kwake, nakuchukuwa mkoba wake na funguo zagari, akatoka mbo kuelekea kwenye gar lake akaingia akawasha gari nakuondowa gari kwafujo akwaacha watu wakimshangaa, wakijuwa kuwa, mama Sophi amepata taharifa ya zarula anawai,

Huku nako, Edgar alikuwa ametulia juu ya kochi kubwa, akitazama TV baada ya kuwa amemaliza kula, kichwa ni mwake alikuwa anawaza juu yamambo yanayomtokea juu yawana wake, wakati huo Sophi alikuwa meingia chumbani, ambako hakukaa muda mrefu, akatoka nakukaa kenye kochi moja linalo tazamana na alilo kaa Edgar nakuwafanya wawe wanatazamana, kimya kilitawala kwamda, huku Edgar akiwaza ili nalile, aliwaza sana juu ya Suzan jisni anavyomwonyesha upendo wa hali yajuu, pamoja namchangowake mkubwa, katika mahisha yake kwa sasa, ikiwa na sehemu ya kuishi pesa ya matumizi na upendo wakweli, pia alionyesha kumjari, nakumchukulia kama mume wake, “Edgar mbona kama una mawazo sana, au umeshamkumbuka Suzie?” Edgar alistuliwa na Sophia, aka inuwa macho yake nakumtazama Sophia huku akijichekesha kidogo “haa hapana, ninaangalia tu!..T T T…. TV” kigugmizi cha ghafla kilimpata Edgar, baada ya macho yake kutazama mkao wa Sophia, ambao uliruhusu kitumbua chote kuonekana, maana Sophia likuwa amepandisha mguu mmoja kwenye ukingo wa kochi, nakufanya kile kinguo alicho kivaa kupanda juu, nakusababisha sehemu hiyi nyeti kuonekana wazi, huku Sophia akionekana kutokuwa na habari, Huku nako mama Sophi, aliendesha gari kwa speed mpaka ofisi zashilika la umeme, zilizopo mbezi, akaingia ofisini kwa mwanae, ambako aliambiwa kuwa Sophia sikuhiyo akuja kazini, alikuwa anaumwa, hapo mama Sophi akakulupuka kuelekea kwenye gari lake, huku kichwani mwake ikimjia picha tofauti juu ya safari ya shamba yamwanae na dogo dogo wake, “ngoja nika kuchukulie juice upooze koo” aliongea Sophia akijiinua toka kwenye Kochi na kulifwata kabati, huku Edgar akimsindikiza kwa macho, akamwona akiinama nakufungua droo ya chini kabisa, huku kinguo chake kikiinuka, nakuhacha wazi sehemu kubwa ya makalio yake makubwa wastani kuonekana, kisha Sophia akatowa grasi moja, alafu akaelekea kwenye fliji, nako akatowa jagi la grasi, lililo jaa juice tayari kulipeleka mezani, akatembea taratibu mpaka alipo kaa yeye Edgar, Edgar bado macho yake yalikuwa kwa Sophia japo sasa alikuwa anamwangalia kwawizi, lakini kabla haja weka juice mezani, ghafla kilekinguo alicho kivaa Sophia kikaanguka, nakumwacha mtupu kabisa akishindwa kuidaka, kutokana na kuwa nagrass na jug mkononi, hapo Edgar akatazama pembeni, kukwepa kile anachokiona mbele yake, nitukio lakusisimua lililomfanya Edgar asisimkwe, nakutamani kuingia kwenye mchezo muda hule hule, lakini akajikaza kwakutambua umuhimu na upendo wa kweli wa Suzan, Sophia aliweka vitu vile mezani kisha taratibu akainama kuiokota nguo yake, huku akimtazama Edgar, ambae alikuwa ametazama pembeni, lakini Sophia alipo tazama kwenye suluali ya Edgar, maeneo ya ikulu, akaona jinsi dudu ya kijana huyu ilvyo chachamaa, akajilamba midomo, nakuchuchumaa, tukio hilo lilimtua Edgar nakumfanya geuze uso wake kumtazama mwenyeji wake, ambae nayeye macho yake yaliyo legea ghafla kama yanausingizi, “Edgar.. naona unakiu, namba unipe kama unavyo mpaga Suzie,” Edgar alisikia vyema kabisa, sauti ya Sophia iliyo kuwa kama anamafua, japo alijihisi kuwa yupo ndotoni, akashuhudia mkono wa Sophia huki tuwa kwenye ikilu yake, nakupapasa kidogo, kisha akashikamkanda nakuanza kuufungua, huku chuoni nako Joy alishangazwa na tabiayake yakutamani kumwona Edgar, aliwaza mengi sana akiwa nje ya darasa lao, kiukweli alijikuta akizidi kuzama kwenye tamaa ya kumnasa Edgar, kikubwa ambacho kilimfanya Joy ampende Edgar, ni ukarimu wake ambao anauonyesha kwao, tena pasipo kuomba chochote kama walivyo wanaume wengine, “hivi wewe unajifanya kiburi siyo” Joy alistuliwa na sauti ya Msoud Joy akamtazama kisha akaludisha usowake mbele, kama hakuwa anamjuwa, “inamaana hunisikii?” aliuliza tena Msoud, safari hii Joy hakumtazama, lakini akajibu “nime hamua kuhachana na mambo ya mapenzi

kauli hiyo ilimstua Masoud, kwani akuitegemea kabisa, maana sikuzote alijuwa kuwa Joy nimtumwa wapenzi lake, alikumbuka kipindikile licha yakumfumania akiwa na mwanamke mwingine, lakini Joyce alimbeleza kuwa hasimwache, Masoud alikumbuka jinsi alivyo mletea pose, huku akijitapa kwawenzie, kuwa kuwa Joyce kafa kaoza kwake, anauwezo wakumfanya lolote, “kumbe yule mjinga mjinga ndie anakupa kiburi siyo? tutaona” aliongea Masoud kisha akaondoka zake,* Sophia akiwa bado amechuchumaa mbele ya Edgar, alifanikiwa kifungua mkanda wasuluali wa Edgar kisha akafwata zip, alipoifungua akaingiza mkono kwenye nguo yandani yaEdgar, nakuibuka na dudu iliyo simama, tena ilisha anza kutoa machozi ya utelezi, hapo Sophia aliishika vizuri kama mwimbaji anavyoshika mic, akaitaza kisha akapitisha kichwa cha dudu ile kwenye matiti yake makubwa, akirudia rudia kwanamna ya kupunguza ule uteute ulioanza kutoka kwenye muogo ule, “Eddy nifanye kama ulivyo mfanya Suzan jana” alirudia Sophia maneno yaliyo mchanganya sana Edgar, akashindwa ajibu nini, zaidi alijiuliza maswali mengi pasipo majibu, “huyu amejuwaje mambo yajana? inamaana wanasimuliana, au wamepanga huu mchezo, kwa mba mimi nije huku kufanya hivi?” lakini hakutaka kuamini kuwa Suzan amemleta huku makusudi, aje kulatunda la Sophia, maana aliyakumbuka maneno ya Sophia, kuwa awe anampa peke yake, “sasa huyu kajuwaje?” Sophia akiwa bado ana kisugua kichwa chadudu kwenye manyonyo yake, aligundua kuwa Edgar hakuwa sawa, “husi hofu Eddy, Suzan awezi kujuwa” hapo Edgar akapata jubu la swali moja, kuwa Suzan hakuwa anaujuwa mpango wa Sophia, sasa Edgar alimshuhudia Sophia akiielekeza dudu mdomoni, lakini kabla hajaifikisha wakastuliwa namlio wa gari, likiingia kwa kasi ya hajabu pale nyumbani kwa Sophia, ikifwatia malalamiko ya msuguano wa tairi za gari hilo, kwa breck za ghafla, pasipo kujuwa ninani, mojakwamoja Sophia akajuwa kuwa, atakuwa ni Suzan, “njoo huku” aliongea Sophia, akiinuka nakuchukuwa simu ya Edgar mezani kisha aka mshika mkono, na kumvuta Edgar kuelekea jikoni huku dudu ikiwa inaning’inia, ambako alifungua mlango na kumtoa Edgar, ambae alikuwa anaangaika kuvaa vizuri suluali yake, “nitakutafuta tena, Suzan akikuuliza akimkabidhi Edgar simu yake, kisha akarudisha mlango nakurudi sebleni, moja kwamoja mlangoni, kumtazama mgeni wake, hapo Sophia akashusha pumzi nzito,* Suzan akiwa kitandani alijaribu kupiga simu mala kadhaa, pasipo mafanikio, akaamua kutulia japo alipatwa na wasi wasi kidogo, akajiinua pale kitandani nakwenda kusimama mbele ya kioo chake kikubwa, akaanza kujitazama, juu mpaka chini, huku akikumbuka mambo waliyo yafanya jana usiku na Edgar, alijisikia laha sana, maana siyo kwa mautamu yale, hakuwai kufaidi kama anavyo faidi kwa Edgar,akavuta picha jinsi alivyo nyonywa kunde, hapo akaona usiku unachele “ haa..mh! sito mwacha, nitamfanyia kilakitu azidi kunipenda” alijisemea Suzan akielekea kwenye kabati languo, akafungua na kutoa gauni jepesi nakuli vaa bila nguo yoyote ndani, kisha akatoka nakuelekea sebleni kisha jikoni, alitazama jinsi mlivyo akatikisa kichwa, akimaanisha kujisikitikia kwa kazi nzito iliyopo mbele yake, mala akaonyesha tabasamu, alipata wazo la kwenda kula pale bar, lakini alipanga kumsubiri kwa mpenzi wake Edgar, Suzan akaanza kazi ya kufanya usafi mle jikoni, ikiwa pamoja na kuosha vyombo, akiwa naendelea nakazi zake, nibaada yakutumia kama lisaa lizima, ndipo alipo sikia simu yake ikiita, kwanza moyo wake ulilipuka, akaichungulia simu kuona mpigaji, hapo alitabasamu kidogo, maana mpigaji ndie alie mkusudia, mama Sophia alikaribishwa na mwanae, akaingia ndani huku akitarajia kumwona dogodogo wake, lakini zaidi ya jagi la juice hakukuwa na mtu mwingine, “mbona simu yako umeizima?” lilikuwa swali lakwanza baada ya mama Sophi kukaa nakusalimiana, “hivi simu yangu imezima” alijifanya kushangaa Sophia huku akimlahumu mama yake kumkatiza kula dudu, Sophia aliifwata simu yake kwenye meza ya chakula nakuiwasha, hapo hapo ikaingia sms toka kwa Suzan, mama Sophia hakuona dalili ya uwepo wa Edgar mlendani, hivyo akashindwa kuuliza, lakini kengele ya hatari ikagonga kichwani kwake, “hapa tunaweza, kuliwa wote” aliwaza mama Sophi, ** wakati huo Edgar alikuwa anakaribia kibamba, ni baada ya kufanikiwa kuondoka nyumbani kwa Sophia, aliliona gari lililoingia nyumbani kwa Sophia, akalitambua kuwa ni gali la mama Sophi, ambali walikuwanalo jana yake, hapo kwaumakini mkubwa sana aliondoka pasipo kuonekana na waliokuwa ndani, alifwata njia njia waliojia akiwa na Sophia, njiani Edgar ilimjia picha ya tukio lililo tokea nyumbani kwa Sophia, ilimjia picha ya Sophia alivyo kaa vibaya, nasasa aligundua ilikuwa makusudi, akakumbuka alipo mshuhudia akiwa mtupu kabisa, “lakini siyo mzuri kama Suzan” alijisemea Edgar akiwa anaingia kituo cha daladala, nakusubiri magari yaendayo kibamba, aliendelea kuwaza ingekuwaje kama angetembea na Sophia maana yake, angekuwa amekula mama na mwana, “Suzan peke yake, ndie mwenye mapenzi ya ukweli” aliwaza Edgar akikumbuka mambo yote aliyo mfanyia, hapo Edgar alikumbuka kuwapigia simu wazazi wake, kuwakumbusha kwenda kupokea mzigo kwenye ofisi za basi, kwabahati nzuri wakati huo dala dala likasimama, Edgar akaingia na kuifwata siti moja ambayo ilikuwa aina mtu, akakaa na kuitoa simu yake, akajaribu kuibonyeza iliapige Songea kwa mzee Ngonyani, akashangaa kuona simu haitoi mwanga, ilikuwa imezimwa, hapo akakumbuka tukio la Sophia kuishika simu yake, akaiwasha kisha baada ya sekunde chache, akafungu kitabu cha majina na kutafuta namba ya mzee Ngonyani, kisha akaipiga, iliita sana bila kupokelewa, akaipiga tena bila mafanikio, akarudia zaidi yamala tatu bila mafanikio, akajaribu mala yamwisho, haikupokelewa pia, akaona bola ajaribu kuwasiliana na dada yake mkubwa, ikiwezekana wasimamie kupokea huo mzigo, lakini wakati anatafuta namba ya dada yake simu yake ikaita, alikuwa mzee Ngonyani, ikakatika malamoja, alikuwa anabip, siyo kwamba mzee Ngonyani akuisikia simu ilpokuwa inaita, ila alishindwa kuitoa mfukoni, wakati huo alikuwa anaendesha baiskeli na alikuwa kwenyeamtelemko mkali wa milima ya Mahilo, hivyo akatililika mpaka alipo fika kwenye mwinuko akasimama na kuitoa simu yake mfukoni, aliona mpigaji ni kijana wa rafiki yake mzee Haule, akaibip, kisha akasubiri kidogo nasimu yake ikaanza kuita, akaipoke “hallow hujambo kijana” alisalimia mzee Ngonyani, baada ya kusalimiana Edgar akaeleza zumuni lake lakupiga simu, lakini ikawa bahati mbaya, maana wasinge weza kunana na mzee Haule, sababu yeye alikuwanjiani anaelekea matimila angerudi kesho,** hapo Edgar akaona bola ampigie dada yake mkubwa, akatafuta namba ya dada yake kisha akaipiga, simu iliita mpaka ikakatika, akarudia zaidi ya mala saba bilamafanikio, ailipo jaribu tena, mala yatisa simu ikaita kidogo nakukatika, akapata moyo kuwa mwenye simu yupo karibu, pengine ktk kupokea akaikata kwabahati mbaya, akapiga tena “namba yasimu unayopiga hipatikani” dah! hapo akaona hisiwe tabu akampigi shemeji yake mume wa dada yake mkubwa, simu iliita kidogo nakupo kelewa, kwanza alisikia sauti zakelele za watu na mziki, kisha akasikia sauti yakilevi ya shemiji yake “hallow nani mwenzangu?” haikumshangaza Edgar maana ile simu, alipewa na baba yake wakati anaondoka Songea kuja dar es salaam, ilinunuliwa kwa mtu kwakutumia zile fedha za mkopo wa Tsh laki nane, waliowekea bondi shamba lao, hivyo hii namba wengi hawakuwanayo, “mimi Edgar, habari za huko shemeji” alijitambulisha Edgar, “hoo shem safi bwana, sasa nipo kwenye kikao kidogo, nitakupigia baadae” aliongea shemeji kisha Edgar akasikia batan zasimu zikitoamilio, ikiashilia inabonyezwa bonyezwa alafu ikatulia ukubado anasikia sauti za kelele zikiendelea, akajaribu kuita japo amwachie ujumbe haraka, lakini hakuna jibu, zaidi kwambali akasiki yamwana mke, nani huyo mpenzi unaemdanganya” mwanzo Edgar alizani kuwa ni dada yake, “ndio maana hakuisikia simu yangu” lakini wazohilo halikuwa sahii, aligunduwa hilo baada ya kusikia jibu la shemeji yake, “shemeji yangu mmoja hivi, yupo chuo, niomba omba mpaka inakela,” sauti ya shemeji yake iliyo jaa dharau ilifwatiwa na kicheko cha kejeri toka kwayule mwanamke, “hahahahaaaa ukome kuoa familia masikini” kiukweli kuri hiyo ilimuumiza sana Edgar, ktk kumbukumbu zake huyu semeji yake, hakukuwai kumpa atashiringi, leo anamwita omba omba, tena kaoa familia masikini, wakati malanyingi uwa wanaenda kugongea maindi au mpunga kwa mzee Haule, kitu ambacho wanashindwa ata kuchangi fedha za mbolea nakulimia, kiukweli Edgar alitokwa namachozi, “hoya broo msho wa gari hapa” alistuliwa na sauti ya kondactor, akakurupuka nakutoa nauli kisha akashuka, alipo tazama sehemu alipo kiukweli madhingila yalikuw ni mageni kabisa machoni kwake, akarudi kwa konda, “et broo samahani, hivi hapa ni wapi?” yule konda alicheka kidogo kisha akamjibu kiufupi, “kibamba shule” kisha yule konda akadandia gari lililokuwa linaondoka, hapo Edgar akazidi kuchnganyikiwa, akapata wazo lakumpigia simu Suzan, Suzan lifuta mikon yake ambayo ilikuwa namaji, kisha akapokea simu, “hupo wapi mpenzi wangu, mbona ulizima simu, utaniua mwenzio” maswali yalikuwa mengi sana mfululizo, lakini jubu lilikuwa fupi “nimepotea” Suzan aliisikia sauti ya Edgar ambayo ilikuwa turivu na yakinyonge, Suzan alistuka sana kusikia hivyo, “ inamaana huyu Sophi ameshindwa kuja kukupokea?” alifoka Suzan kabla Edgar haja ongea, Suzan akaongeza, “niambie mpenzi wangu hupo wapi niku fwatwe,” hapo Suzan liongea huku akikimbilia chumbani kwake, nakuchukuwa funguo za gari lake, akavuta kanga nakujfung kiunoni simu sikioni, “eti! unasema?” Suzan alisimama ghafla, baada yakusikia jibu la Edgar, “wanapaita, kibamba shule” kiukweli Suzan alishindwa kuvumilia, aliangua kichekeko, kilicho mshangaza Edgar, “ok! ok!ok! simama hapo hapo stend nakuja” **** Edgar baad ya kuwasiliana na Suzan alifarijika kidogo, huku akishangaa kwanini Suzan amecheka sana, Edgar alitfuta sehemu nakukaa akitegemea kumsubiri Suzan kwamuda mrefu sana, lakini dakika tano baadae simu yake iliita, alipo itazama mpigaji alikuwa Suzie, u mama mwenye nyumba kama alivyo isevu, akaipokea “hallow hupo wapi mbona sikuoni?” aluliza Suzan “mh! inamaana umeshafika?” aliuliza Edgar kwasauti ya chini ilyo jaa mshango, “ndiyo, ebu angalia mwisho wastendi” Edgar aliinua mcho yake, kutazama alikoelekezwa, alishangaa kuliona gari la Suzan, kitu ambacho hakukijuwa ni kwamba kutoka pale alipo mpaka kibamba ccm, ni mta mia tano tu, Edgar alicheka sana, maana ukiwa pale kibamba shule unapaona vizuri kabisa kibamba ccm, wakiwa njiani kuelekea kibamba ccm, kisha huoni akamalizie kazi za chuo, Edgar alimsimulia kuhusu kugailishw kwasafari ya shamba, pia alimsimulia kitu kilicho sababisha apitilize kituo, akimsimulia dada yake alivyo kata kupokea simu nakuizima, piamaneno machafu ya shemeji yake, hapo kwa mala yakwanza Suzan anaelewa mfumo wamisha na tabia za dadazake Edgar, “mh! hao mawifi zangu nitatizo” alitania Suzan wakiwa wanasimama nje ya majengo ya chuo, ilikuwa saa kumi nanusu, mida ambayo wanafunzi walikuwa wanaingia pale chuoni, kujisomea kama kawaida yao kilasiku, Suzan ali mtazama Edgar kishaakambusu, wakitegemea vioo vyenye tinted “ila husijari mume wangu, kuna rafiki yangu yupo tawi la benk yetu Songea, nita mpigia akapokee mzigo kisha utamwelekeza nyumbani” hapo Edgar alituliza akili, wakakubariana baada ya kumaliza kujisomea, wakutane kwenye hile bar wakapate chakula, ****** kumbe tokea gari la mama mwenye nyumba linaingia nakusimama pale chuo, Joyce alikuwa anashuhudia, pia alishuhudia busu mwanana la Suzan kwa Edgar, akjisikia wivu, japo siyo sana, Joyce aliwatazama mpaka alipo mwona Edgar akishuka toka kwenye gari nakuelekea darasani, huku gari likiondoka, hapo Joy alimfwata Edgar ambae alielekea darasani kwake, Joy aliingia darasa lakina Edgar, akamwona akiomba notes kwawenzake wakampati vitini, kisha akaenda kukaa kwenye meza yake akipekuwa begi lake, kisha akaanza kupitia vile vitini, muda wote Joyce alikuwa amesimama mlangoni, akimtazama Edgar, baada ya dakika chache akaanza kutembea kumfwata Edgar pale alipo kaa, pasipo kujuwa anachoenda kukifanya

Joyce alitembe taratibu mpaka alipo kaa Edgar, ambae alikua ameinamishakisha kichwachini macho kwenye kitini, akipitia masomo waliyo yasoma wenzake wakati hayupo, Joyce akiwa nyuma ya Edgar alimgusa bega “mambo Eddy?” alisalimia Joyce huku akiinama kidogo, akitazama kile kitini huku machuchu yake yakimgusa mgongoni Edgar, “hooo! niwewe, poa tu!” alongea Edgar aliongea baada ya kumtazama Joy ikonyesha bado amjuwi jina, “me nipo, vipi ndo umerudi?” aliuliza Joyce huku akijitoa kwa Edgar nakwenda kukaa kwenye kiti chapembeni ya Edgar, “yah! ndio nimeingia, vipi ndo umekuja kujisomea?” aliuliza Edgar huku akirudisha macho kwenye kitini chake, “mh mh!, ndiyo nimekuja kujisomea” aliongea Joy kwasauti regevu huku akilaza mkono wake kwenye meza nakufwatia kichwa juu ya mkono wake, kiukweli Joyce ni mzuri wa sura na mwili, “Edgar nikikuuliza kitu utanijibu?” ongea Joyce akimtazama Edgar kwa macho ya bashasha, “kwanini nisikujibu, we uliza tu!” aliongea Edgar akigeuza usowake nakumtazama Joyce, macho yao yakakutana, Joyce akaziba usowake kwa kiganja chamkono wake, huku akicheka kicheko flani chakivivu, chenye kuliamsha dude, “usinitazame bwana, nitaona aibu” kauli hiyo ya Joyce ilimstua na kumsisimua Edgar, maana aliona dalili zawazi kabisa za Joyce kuitaji kitu kutoka kwake, “ok! poa mimi nasoma we! niulize,” aliongea Edgar huku akigeuza uso wake nakutazama kitini chake, hapo Joyce akatulia kidogo, kisha akajikooza kama mtu anayetaka kuimba, “he! kumbe mpo hapa!” walistuliwa na sauti ya Nancy wote waka geuka na kumtazama, “hooo Nancy, ulikuwa wapi?, niligonga sana kwenye chumba chako, lakini nikaona kimya” aliongea Joyce kwa maneno mfurulizo, huku moyoni akimlahumu kwa kuja kwake pale “nili kuwa model room, mime kutafuta sana, yani hapa emeniambia Masoud kuwa hupo humu” Nancy alikuwa anaelewa story yote ya mausiano ya Masoud na Joyce, Edgar kiukweli alikuwa ametulia akiendelea kutazama kitini, japo hakuweza kusoma chochote, kutokana na maongezi ya wanawake hawa, kitu kingine alishindwa kuelewa lengo la urafiki wa mabinti hawa kwake, wakati akiwaza hayo mala simu ikaita akaitazama, ilikuwa imeandikwa Sophia mapigo ya moyo yakaongeza kasi, maana alona hatari ya mchezo anaoutaka kuufanya Sophia, ni wazi unaweza kumwingiza matatani, nakuvuruga huusiano wake na mama mwenye nyumba yaani Suzan, kitu ambacho hakuitaji kitokee **** Kumbe kule nyumbani kwa Sophia, Sophia na mam yake waliongea mengi huku wakinywa Juice iliyo kuwa pale mezani, huku kilammoja akiwaza lakwake, mama Sophi akiwaza juu yamchezo uliotokea, leo kuhusu mwanae Sophia na Edgar, akitamani kumwuliza mwanae juu yaujio wa kijana huyu, lakini hakujuwa aanzie wapi, huku Sophia naye alikuwa ana mlahumu mama yake kwakuharibia mechi yake, kiukweli hakuwa tayari kupoteza mechi hii kwa siku ya leo, akapatawazo akatasamu kidogo, kisha akainuka nakutoka nje, akimwacha mama yake ambae akuutambua ujio wake unalengo gani, akazunguka nyumba kisha akapiga simu kwa Edgar, iliita sana bila kupokelewa huku akiwa kama Edgar atapokea simu mbele ya Suzan azuge vipi, kiukwli simu haikupokelewa, “ata kama lazima unitomb.. leo, mimi ndo Sophia siyo kwa utamu ule wajana” alijisemea Sophia huku akirudi ndani, alikuta mama yake akiwa ametulia macho kwenye TV grass ya juice mkononi, ***** ilisha timia saa kumi nambili narobo ndio muda ambao wanfunzi wachuo hiki cha waandishi wa habari na Sanaa, walianza kutoka nje ya madarasa nakuelekea sehemu mbalimbali wanapo ishi, kwenda kujiandaa kwa chakula na masomo yausiku, Masoud alikuwa ame jibanza kwenye kona moja akitazama mlango wadarasa la kina Edgar alipo waona akiingia mpenzi wake Joyce, akiamini kuwa alikuwa anamfwata yule mwanafunzi mpya masaa kadhaa yaliyopita, kiukweli ukaribu wa Joyce na huyu jamaa ulimkela sana, japo sikuzote akuonyesha kujari kuusu mpenzi wake huyo, naalijisikia fahari sana alipo mwona Joyce akinyongea juu yake, nakuwaambia rafiki zake kuwa, Joyce hakuwa na ujanja wowote kwake, na alikuwa nauwezo wakumnyanyasa apendavyo, lakini ghafla Joyce amebadilika haonyeshi tena kumnyenyekea, na mbaya zaidi alionyesha kuto kuwa nampango nae kabisa, Masoud aliona wanafunzi wakitoka kwenye lile darasa, aliwatazama mmoja baada ya mwingine, adi alipowana Nancy, Joyce na Edgar wakitoka huku wakipiga story nakucheka kwafuraha, tofauti na alivyozowea kumwona Joyce, ndani ya hizi wiki mbili thtu zilizo pita, muda wote alionekan kuwamnyonge namwenye mawazo mengi sana, Masoud alitamani mfwate pale alipo lakini akaona hisingekuwa vyema endapo ata mtosa pale itakuwa aibu kwake na wenzie watamwona nizaifu, akapata wazo lakuwa amfwate baadae nyumbani kule aliko panga na wakina Nancy, nikweli Edgar na wale wanawake wawili waliongea mengi ya kuchekesha nakuburudisha huku wana tembea zao kuelekea upande wa barabara kuu, ambako ndiko kuna njia ya kwenda kwao waliko panga, japo walionyesha kuongea kwa furaha, lakini kila mmoja moyoni mwake aliwaza yake, Nancy aliwaza kumwambia Edgar kuwa anampenda, nakwamba anaitaji mechi, lakini kila alipo kumuka siku aliyo msemea vibaya akiwa na Elisha pale bar alivunjika moyo kabisa, huku Joyce na yeye aliwaza namna yakumshawishi Edgar amtamkie kuwa anampenda, licha ya kushuhudia akibusiana na yule mdada kwenye gari, lakini yeye haikumuumiza kichwa, ***** mida hii ilimkuta mzee Mashaka akiwa naegesha gar lake mbezi, kwenye bar moja anayo ipenda sana, Full dose pub, akashuka kwenye gari nakwenda ku kaa kwenye ile sehemu anayo ipendaga siku zote, yeye anaita mafichoni, kisha akaagiza kinywaji na chakula, hii ni baada ya kutoka kwa Suzan alipitiliza mjini kwenye bihashara zake, alipiga mishemishe zake kisha akaingia benk nakuifadhi pesa, kiasi cha Tsh 20 million, kuhusu fedha mzee Mashaka alikuwa ana miliki pesa ya maana, baada yakutoka benk akaelekea kimara akachaua bar moja na kutulia akipiga mtungi, kiukweli ile bar licha ya kukaa kwamda mrefu lakini haikumflahisha maana haikuwa na wahudumu wengi wakike, akaona bora aende zake full dose anawezakuokota chochote, muda wote aliwaza sana juu ya mke wake, jinsi alivyo mjibu kiukaudhu jana usiku, wakati anawaza hayo mala akamwona binti mmoja akija kwenye eneo lile, nakukaameza ya tatu kutoka pale alipo kuwa amekaa yeye, hapo akatabasamu kama samba lie onamawindo, mala akatoke muhudumu akaelekea kwenye meza ya yule binti mrembo, akaonekana yule binti akitoa maagizo yake, kisha yule muhudumu akaondoka, ilakabla hajafikambali mzee Mashaka akamwita yule mhudumu, “mwambie yule mrembo, naomba nimlipie vinywaji nakila atakacho kiagiza kwaleo” alongea mzee Mashaka kisha yule mhudumu akaondoka zake, kwenda kufwata vinywaji, wakati huo huo macho ya mzee Mashaka yaliona mrembo mwingine akiingia eneo lile nakumsimamisha yule mhudumu, japo hakumwona usoni lakini umbo lamrembo huyu lilimkumbusha, mkewake alipokuwa bado binti kipindi hicho wanahuusiano mchanga, “leo nikujichagulia tu!” yule mrembo wapili aliongea maneno machache na mhudumu huyo, kisha wakahachana, mhudumu akapotea na yule mrembo wapili akatafuta meza moja yapembeni na kukaa, kisubiri alicho kiagiza, hapo mzee Mashaka akapata nafasi ya kuiona sura ya yule binti mrembo alieingia mala yapili, macho yakamtoka kama amefumaniwa na mfanyakazi wa ndani, nikweli yule binti alikuwa amefanana na mkewake, tena kwa kilakitu, “Sophia”

alinong’ona mzee Mashaka akificha sura yake hisionekane mbele ya mwanae Sophia, dakika chache yule muhudumu alirudi akiwa na tray lenye bia mbili na chupa mbili za mvinyo mwekundu, mzee Mashaka kwa macho yakuibia akisaidiwa nagiza lililo tanda mida ile, alimshuhudia yule mhudumu akianzia kwa mwanae Sophia, aliweka mezani chupa moja ya bia na zile chupa mbili za mvinyo mwekundu, mzee Mashaka alishuhudia mwanae akiifungua ile bia nakuanza kuigugumia, mzee Mashaka akatazama kwenye meza ya mrembo wa kwanza, wakagongana macho yule mrembo akaachia zinga la tabasamu kisha akapunga mkono, tayari alikuwa amesha hudumiwa, napengine alishapewa ujumbe na mhudumu, akiwa anajiuliza afanye nini, akamwona yule binti akiinuka na kuchukuwa bia yake nakimkoba chake kisha akaelekea pale alipo kaa yeye, hapo mzee Mashaka akomba mwanae hasije kutazama nakumwona pale alipo yeye, japo watu walikuwa wachache, lakini giza aliamini litamsaidia, akamtazama mwanae ambae sasa alikuwa anaweka chini chupa ya bia ikiwa tupu, akasimama nakukusanya chupa zake za mvinyo, nakuondoka zake akionekana mwenye araka sana, hapo mzee Mashaka akapumua kidogo nakumta zama yule mrembo, ambae alikuwa amsha karibia kwenye meza yake, “hooo! karibu mrembo” aliongea mzee Mashaka akimtazama usoni yule binti, “asante shemeji” aliitikia yule binti akikaa, kitendo cha kuitwa shemeji kilimshangaza mzee Mashaka, “hoooo samahani, kwani tunafahamiana?” aliuliza mzee Mashaka akimtazama vizuri yule dada, nikweli sura yake siyo ngeni kwake, “vibaya hivyo shemeji, mimi ni rafiki yake Queen,” bado hilo jina likawa geni kwake, “Queen.. Queen.. Queen.. Queen?, yupi huyo mbona sinakumbukumbu ya mtu kama huyo,” hapo yule binti aka onekana kukumbuka jambo flani, “hooo, nimechanganya majina, jana wewe ulikuwa na nani hapa?” aliuliza yule binti na mzee Mashaka akarudiwa nakumbukumbu, “hoooo wajana hivi leo yupo wapi?” kumb basi saa limoja lililopita Subira aliingia hapa bar akiwa na mwenzie binti wa jana, ambae jina lake ni queen, japo nalo siyo jina lake alisi, waka kaa counter kama kawaida yao wakisubiri mawindo yao, leo mwenzo Kidawa hakuwepo, alikuwa na midi nmtu flani hukooo, waliendele kupata bia huku macho mlangoni, wakitazama aingiane na atokae, mala akaja mtu mmoja nikijana wawastani, akatupa ndowano yake kwa binti wa jana, wakakubaliana mambo matatu, kwanza malipo yakitu wanachokwenda kukifanya pili nja watakayo tumia, maana bado njia yarami ilikuwa imechafuka simba walikuwa wanafanya mazoezi, inabdi wapiti kwajirani yake, tatu yule kijana aliomba waame ile bar, maana mke wake uwa anapenda sana kupitia pale, kupata chakula wakati akitoka kazini, ndipo binti wajana alipo kusanya kilakilcho chakwake kisha huyoooo, akaondoka na yule kijana, akimwacha Subira anaendelea kuwinda, ndipo baadae akamwona mzee Mashaka anaingia, licha yakumtambua kuwa ni shemeji yake, akainuka kwenda kumtega, maana aliamini atakuwa na ugwadu sana, akizingatia jana Queen alimwambia alishindwa kuduu na mzee huyu, ile kukaa pembeni nikwamba, alikuwa ana mpimia kama alikuja na mtu au vipi, “ametoka leo, alienda tabata kwa shangazi” Subira kisha kimyakika tawala kila mmoja akiwaza njia ya kumnasa mwenzake, huku Sophia alieekea kwenye gari lake nakuingia ndani kisha akajifungia, akaziweka zile chupa za wine nyekundu kwenye kiti cha abiria, kisha akaupekuwa mkoba wake na kuibuka na kichupa kidogo chenye maji maji meupe, akaingiza tena mkono kwenye mkoba wake nakuibuka na bomba la kuchomea sindano, likiwa nani ya kimfuko chake likionyesha alijatumika, akalifungua kisha akaichomeka sindano kwenye bomba, akachoma kwenye kifuniko cha ilechupa, akavuta yale maji kisha akachoma kwenye kifuniko cha chupa moja ya mvinyo, akarudia tena kwenye chupa ile yapili, alipo lizika akatupa yale mabomba ya sindano, kisha akawasha gari akuondoka zake,**** Suzan alikuwa amesimama kwenye dirisha la jikoni kwake akitazama nje, ni baada ya kumpigia simu rafiki yake Selina ambae yupo Songea kwenye tawi la benki ya wananchi linaloitwa mfaranyaki, alisha mweleza juu yakwenda kupokea mzigo stendi kwenye kampuni ya mabasi ya Ngoni Trans, alafu atamjulisha kwakupeleka, nusu saa baada kuongea na Selina, Selina alipiga simu kuwa amesha pata mzigo, akimlaumu sana kutuma fedha nyingi kiasikile kwenye bus, wakati benk hipo, Suzan alijitetea kuwa alifanya vile kwasababu kwanza kabisa wazee alio watumia mzigo hawakuwa na acoount benk, pili hile simu hisingeweza kutumwa benk, pia Suzan akamwambia kuwa atampigia ilikumpa maelekezo ya wapi mzigo uende, lengo likiwa ni kumsubiri Edgar ili aelekeze mwenyewe, ni kweli baada ya kukaa pale dirishani huku vitu flan viki mtekenya, maana tukio la jana usiku lilizidi kumfanya aamini kuwa hakuwai kupewa dudu toka amevunja ungo, akiwa pale dirishani mala akamwona Edgar anaingia kwenye geti na begi lake begani, aka tamani amwite lakini akawaiwa “heee anko unapotea, au ndo kubanwa na masomo” alikuwa ni dada mke wampangaji mwake, alimwona yule dada mwenye msepu wamaana tena malazote upenda kuvaa kanga nakufungia kifuani, “nikweli nipo busy sana vip bro yupo” Suzan aliyasikiliza mongezi yao , “mida yake saa nneeee, tena jana usiku alikuja kukutazama akasema hukuwepo, alitaka kuulizia kama ulikutana na mama mwenye nyumba” nikweli alikuwa na jukumu la kuulizia hivyo, maana yeye ndie alie mpokea Edgar na kumjulisha Suzan, nampokeaji kabisa alikuwa huyu dada, “kweli sijamjulisha mwambie nimesha onana nae” hapo Suzan akamwona Edgar akiachana na yule dada nakuufata mlango wake, huku yule dada akielekea kwenye chumba chake, Suzan baada yakuona yule dada amepotea, akatoka na haraka na kuelekea nje, ambako moja kwa moja aliufwata mlango wa chumba cha Edgar, akaingia ndani moja kwa moja lakini hapakuwa na mtu, zaidi alisikia sauti ya maji bafuni, akapiga atua za kunyatia kufwatamlango wa bafu ambo haukuwa na kifungio yani mlango wenyewe, alipo ufikia Suzan alimwona Edgar akiwa anaoga lakini kitu cha kilicho mvutia dudu yake ilikuwa imesimama barabara, unajuwa ilikuwaje, Edgar alipoingia chumbani akaweka begi kitandani akavua nguo zake kwalengo kuwa akaoge haraka, kisha aende kwa mama mwenye nyumba iliwatoke wakapate chakula chajioni, wakati naanza kuoga ndipo kumbu kumbu ya tukio lililotokea nyumbani kwaSophia likamjia kichwani akalinganisha na jinsi alivyofaidi jana usiku kitumbua cha mama mwenye nyumba, hapo akajikuta analiamsha dude, akatamani kutafua kitumbua bila maji, lakini wakati anaendelea kuoga akastuka nakutazama mlangoni, moyo wake uka stuka sana kiasi cha Suzan naye kujuwa kama Edgar alistuka sana, kwa uwepo wake wa kimya kimya, “pole mume wangu, nimekustua sana?” aliongea Suzan kwasauti ya polepole, huku akiachia tabasamu moja la usiku wa manane, kisha akaanza kuvua gauni lake na kubaki uchi kabisa, Edgar alibaki ameduwaa, akamwona Suzan akimsogelea pale alipo simama huku maji yakimmwagikia, akamsogele kabisa nakugusana vifua, sasa wote maji yalikuwa yana wamwagikia, Suzan alipeleka mkono mmoja kwenye dudu ya Edgar iliyo simama vyema, nakuanza kuichezea huku akitazama chini kwa aibu yakike flani, Edgar alisha msoma Suzan kuwa nimtu wa ambae hajabobea sana kwenye huu mchezo, maana ametawaliwa na aibu sana, japo alijitaidi kumzowea yeye kwa haraka sana, hapo Edgar alimkamata kichwa kwmikono miwili nakuuinua uso wa Suzan kumtazama yeye, kisha akamsogezea mdomo Suzan akafumba macho hukua akilegeza midomo yake, Edgar nae akafumbamacho huku kiikutanisha midomo yake na yaSuzan, tayalikwa kulana denda,

baada ya kuachana na Edgar Nancy na Joyce walielekea moja kwamoja waliko panga, njiani kila mmoja alikuwa akiwaza lakwake, tukinza na Nancy yeye aliwaza juu ya Edgar anamchukuliaje, baada ya tukio lasikuile pale bar alipo mwambia hamjuwi mbele ya mpenzi wake Elisha, maana licha yakuongea nae vizuri nakucheka nae pia alidiliki ata kumnunulia chakula cha ghalama sana, lakini hakuonyesha dalili ya kumtaka kimapenzi, pia akapata wazo lakuwa baadae amfwate mpenzi wake Elisha, maana Edgar alisema leo hasinge weza kuwanao usiku hule, kwaupande wa Joyce alishajuwa sababu ya Edgar kutokuwa nao usiku hule ni kwakuwa atakuwa na yule dada mwenye Toyota lav 4, na alisha waikumona nae pale bar jumapili mchana, hivyo akaona bola akaoge kisha achukuwe buku mbili, kati ya akiba yake ya elfu 30, aliyo nayo akakae bale bar kujaribu kama atamwona Edgar, je akimwona atafanya nini?, kiukweli Joyce akiliyake ilimtuma kwenda tu akamwone, akiisi moyo wake utatulia, * chumbani kwa Edgar bado walikuwa bafuni Suzan akiwa anatoa miguno yakusikilizia utamu, maana alikuwa ameegemea ukuta ulio tapakaa tylize (malu malu) mguu moja amekanyaga kwenye bega la Edgar ambae alikuwa amechuchumaa mbele yake akimnyonya kitumbua, nakumfanya Suzan apige kelele huku akimshika kichwa Edgar kwamkono mmoja nakumkandamizia kisawa sawa kwenye bupa, huku mkono mwingine akijishika machuchu,** kumbe basi baada ya kuachana na Edgar yule dada mke wa mpangaji, aliingia kwake lakini kunakitu alitaka kumwuliza Edgar, kuhusu chakula kama ange penda apewe, maana kilikuwa kingi, lakini wakati anatoka tu! alimwona mama mwenye nyumba wake akiingia kwenye chumba cha Edgar, akatulia kwanza ilia one mwisho wake, maana ule uingiaji ulimshangaza, Suzan aliingia bila hodi, yule dada alisogea kwenye chumba kile kisha akatega sikio, lakini akshindwa kuwasikia vizuri pia akagunduwa kuwa walikuwa bafuni, akazungukia dirisha la bafuni, kwanza ilikuwa kimya, kisha taratibu akaanza kusikia miguno yasauti yakike, ambayo ni ya Suzan, kiukweli mapigo ya moyo yalimsimama kwamuda, hakuamini kile kinacho tokea maana ndani yadakika kumi alisikia wazi wazi kilicho endelea, ”inatosha..mumewangu… ingiza.. ingiza kwanza, mwenzio nime zidiwa” dakika chache akaanza kusiki miguno ikizidi, nasasa ilienda sambamba na sauti ya pa!pa!pa! ikimaanisha Suzan alikuwa ameinama, na Edgar alikuja nyuma yake dudu ikiwa ndani huku viuno ni nje ndani, huku kengere za Edgar ziki cheza na kuchapa kikunde cha Suzan nakusababisha kelele hizo, kitendo cha pumb.. kupiga kiarage kili mfanya Suzan asikie utamu, alichanganyikiwa nakuanza kuongea “asant..asante mumewangu, unanitomb.. vizuri” he! mneno hayo yalimstua yule mdada, akiwa aamini masikio yake kwa jinsi anavyo mchukulia yule dada ambae ni mama mwenye nyumba wake, kuwa anajiheshimu sana pia mtaratibu, leo hii anajimaliza kwakijana yule mdogo,wakati huo miguno iliendelea huku maneno yakimtoka “mumewangu, simpi mtu wingine, Eddy .. Eddy maliza chuo unioe” mh! makubwa yule dada akamua ajitoe taratibu, nakurudi kwake akaingia ndani nakusimama dirishani akichungulia nje, du! umbea kazi yule dada alisimama hapo kwa muda wa nusu saa ndipo alipo waona Edgar na mama mwenye nyumba wakitoka nje nakuingia nani ka mama mwenye nyumba, dada yule aliishiwa pozi, “inaonyesha wamefaidi” aliwaza yule mke wa mpangaji, baada yakuingia ndani Suzan chakwanza alipokelea namlio wasimu yake, akaikimbilia simu yake nakutazama mpigaji, “Selina” huku vialama vya missed call vikionekana akasubiri ikatike ili apige yeye, ilipo katika akaiona missed call ya Sophia pia, akaona bola aipige kwanza ya Selina ** Selina alikaa sana nyumbani kwake akisubiri simu toka kwa ikawa kimya, alipenda aende mapema huko kwenye kupeleka huo mzigo iliawai kujiandaa na kesho kazini, ndipo alipo amua kupiga simu ya Suzan mala mbili bila majibu, mala simu yake ikaita alipo tazama alikuwa ni Suzan alikuwa ana mpigia, akaipokea nakuiwekasikioni, kilicho fwata ni kupeana maelekezo, namna ya kufika kwa mzee Haule, dakika chache baadae Selina alikuwa njiani akielekea luhuila seko, anakokaa mzee Haule , ni jilani kabisa na shule ya sekondali ya wavulana Songea , kwakuwa alikuwa na gali lake TOYOTA SIENTA haikuwa kazi numu kwake, ukichukulia jinsi alivyo ishi vizuri na Suzan tokea wakiwa chuo, atasasa endapo anaitaji kitu toka Dar, umwagiza Suzan nayeye umchukulia nakumtumia mala moja,** mama Sophia baada yakuachana na Sophia mwanae alirudi nyumbani kwake akipanga kesho yake amfwate Edgar chuoni, akamchukue ili akampe mambo, pia amtaazalishe hasiwe karibu na Sophia, kwakuofia kuliwa yeye namwanae, alipo fika nyumbani mama Sophi alibadili ngu zake kisha aka toka nakujiunga na binti wake wakazi jikoni, huku mda wote akiwaza namna ya kuiteka akili ya Edgar mazima hasimkumbuke kabisa Suzan ikiwezekana amwamishe kabisa nyumbani kwa Suzan, baada yakuwaza sana akapata jibu, akajikuta anatabasamu peke yake, mbinu aliyo ipata ni kutumia fedha nyingi sana kumshawishi Edgar, maana alijuwa kuwa kwamapenzi asinge weza, kwani hakuwa mrembo na kamzuri kama Suzan pengine ata kitandani hasingeweza kumfikia Suzan, pia umri wake nivigumu sana kwa kijana kma Edgar kumpenda toka moyoni, hivyo ni lazima atumie fedha tena nifedha za mumewake, Ilikuwa saa mili kasoro dakika tano baada yakumaliza kuongea na Selina, Suzan akampgia Sophia “niambie wangu, hupo wapi?” aliuliza Sophia baada tu! yakupokea simu, “najiandaa kutoka kidogo, vipi kuna inshu?” aliuliza Suzan wakitoka nje ya geti nakutembea taratibu kuelekea kwenye hile bar ambayo wanafunzi wanaitumiaga kwa chakula na ata starehe, maana ilikuwa ina vyakula vya aina zote kwabei zote, “unaelekea wapi wangu, mimi nipo njiani nakuja na mvinyo mwekundu” kiukweli Suzan nimpenzi mkubwa wa kinywaji hicho, “hoo tupo hapa karibu tu! kwenye ile bar kubwa tuliyo mkuta Edgar, tunaenda kupata chakula,” alijibu Suzan, “he! hupo nanani?” Sophia aliuliza huku akijifanya hajuwi kinachoendelea, “nipo na Edgar ukifika kibamba tujulishe tukuelekeze tulipo kaa” aliongea Suzan akizungusha mkono wake kwenye mabega ya Edgar, kisha kukata simu na kumlamba kisi moja ya maana shavuni Mtaa wa luhila seko hupo nje kidogo ya mji wa Songea, ndani ya nyumba moja kubwa iliyoanza kuchakaa ikionekana kuzungukwa na mimea mbali mbali asa upande wanyuma midizi mingi sana iliyo beba ndizi, na miti ya matunda mbali mbali, ndani ya nyumba hiyo mzee Haule usiku wa leo alikuwa ametulia nyumbani, ni baada ya kumkosa mshirika wake mzee Ngonyani, ambae alikuwa amesafiri kwenda kijijini Matimila, nahii inatokena na kuwa mzee Ngonyani ndie ane msaidia kwa viela vya kununulia ulanzi, kama nilivyo kudokeza mwanzo, mzee Haule licha yakuwa na mabinti wakubwa walio olewa na watu wenye uwezo wa kifedha japo siyo mkubwa sana, lakini hawakuwa na msaada kwa mzee huyu wala mke wake, yani mama yao, leo mia hii ya saa mbili, mzee Haule alikuwa nyumbani tena kitandani amejifunika blanket, mke wake alikuwa anaweka vitu sawa tayari kufunga mlango ili aingie chumbani kulala, mzee Haule aliwaza mengi sana juu ya watoto wake, yani licha yakuwa hapa hapa mjini, lakini ukiwaona wamekuja kumtembelea hujuwe wamekuja kuzowa maloba ya mhindi au ndizi, kiukweli aliishi kama akuwa na watoto, zaidi aliweka matumaini kwa mtoto wake wamwisho Edgar ambae kwasas yupo chuo huko Dar, licha yakuwa nakumbukumbuku yakuwa alimwambia kunamzigo amemtumia, lakini hakuamini sana, maana kuondoka kwake tu! kumesha mpotezea mashamba yake, kwakuweka poni ambayo kwa muda wa mwaka mmoja hasingeweza lipa, sasa leo atapata wapi fedha ya kumnunulia simu, wakati akiwaza hayo, mala akasikia sauti ya muungurumo wa gari nje, akasikia gali likisimama, dakika moja baadae mkewake mama Edgar aliingia chumbani akamwambia kuna mgeni, hapo mzee Haule akaamka haraka haraka akajifunga kitenge kiunoni na kuelekea sebuleni, kwanza kabisa alistushwa na ujio wa yule dada mrembo, tena usiku kama huu, aliweza kumwona kupti mwanga afifu wa korobihi, isitoshe hakuwa na undugu na binti mrembo kama huyu alieonekana kuvaa sale za wafanya kazi wa benk ya wananchi, “karibu mama,” alikaribisha mzee Haule, akionyesha tabasamu, baada ya kusalimia Selina alijitambulisha na kueleza zumuni la ujiowake usiku ule, kiukweli ktk siku ambazo mzee Haule na mkewake walifurahi katika maisha yao moja apo niile, ukiachia siku ambayo walimpata mtoto wakiume, ni baad ya kupata uzaowa watoto wakike tupu, leo akiwa na mke wake anaishngaa simu nzuri ya kisasa huku mke wake akisaidiwa na Selina kuhesabu zile noti za elfu kumi kumi zilizo timiza hesabu ya million moja, huku wakiongea nakucheka wote kwapamoja, japo ilikuwa ni mala yake ya kwanza Selina kukutana na wazee awa lakini aliwazowea araka sana, licha ya ucheshi waliokuwanao wazee awa pia walikuwa wakalimu sana, maana usiku ule wali mpatia mikungu miwili ya ndizi, mmoja ni ndizi mshale, namwingine ni kisukari zilizo wiva, pia wali mwahidi kesho yake kumpitishia mtunda mbali mbali kazini kwake, maana walipanga kesho wakamalize lile deni la shamba, kisha wakafanye shoping zao za mvazi namaitaji mengine , lakini mzee Haule alikuwa naswali lake moyoni,litamani kijuwa mwanae ametoa wapi fedha nyingi kiasi kile, Selina baada ya kuakikisha amesha ufikisha mzigo sehemu usika, alimwelekeza mzee Haule na mkewake mtumizi ya ile simu, kisha wakampigia Edgar, * wakati simu hiyo inapigwa, Edgar na Suzan walikuwa kwenye ile bar wame kaa pembeni kidogo sehemu iliyo jificha huku meza yo ikiw ime pambwa na minofu ya mbuzi wakuchoma, ndizi za kuchoma vikolombwezo kama kachumbali nachachandu vilioneka, soda mbili pembeni zikivuja umande, “naona baba anapiga,” aliongea Edgar akiitazama simu yake, “Selina atakuwa amesha fika kwa wazee” alisema Suzan akichukuwa kipande cha mnofu na kumwekea Edgar mdomoni, “hallow shikamoo baba” alisalimia Edgar baada ya kupokea simu nakuweka loud speeker, hapo Edgar na Selina waliwaikia wazee wao, wakiongea kwa furaha sana huku wazee wakipokezana simu, wakimsifu Selina kuwa ni mkarimu na mwenye nizamu, mwisho simu akapewa Selina, naye akaongea na Suzan akiwa sifia wazee wale mbele yao “besti wakwe zako ni wachehi mpaka raha” hapo pnde zote zilisimamish mapigo ya moyo, siyo kwa wazee kule Songea wala kwa Suzan na Edgar huku dar, “ok poa best nitakupigia kesho, ila waambie kama wakiwa na shida y dharula wakuambie, alafu mimi nawewe tutajuwana” aliongea Suzan kisha akawasalimia wazazi wa Edgar, wakaagana kisha simu ikatwa, meza ya nne toka walipo kaa Edgar na Suzan alikuwepo Nancy na Elisha ambo wlikuwepo hapo toka mapema sana, ata wakati Edgar na Suzan wanaingia pale, wakiwa wameshikana mikono, waliwaona,kwa Elisha ilikuwa ni burudani tu!, kama wnaume wengi mle bar wlivyo fanya, asa kutokana na mwonekano wa Suzan, lakini kwa Nancy ulikuwa mwiba wamoyo, aliwaona wakiongea na simu, mpaka walipo maliza, ndipo alipo mwona Joyce akiwa amependeza vilivyo, akija upande ule waliokaa wao, huku akiangaza macho huku nakule, baada yamuda akamwona anaifwata meza ya kina Edgar, wakati huo alimwona yule mdada alie kaa na Edgar akipokea simu, “ok! ingia kwenye hii bar kubwa kish pitiliza mpaka nyuma huku kwenye mauwa mengi” aliongea Suzan kimshangaa binti mmoja ambe alikuwa amesimama mbele ya meza yao, huku Edgar akiwa bado hajamwona, “nani huyo Sophia?” aliuliza Edgar akiinua uso wake na kumtazama Suzan, hapakuwa na jibu zaidi alimwona Suzan kama alikuwa anashangaa, nayeye akaangalia alikokuwa anaangalia Suzan,

hoo! Joyce mambo vipi?” alisalimia Edgar baada yakumwona Joyce amesimama akimtazama Suzan huku akitabasamu, “safi tu Edgar hujenda chuo?” aliitikia Joyce na Suzan akadakia, kumbe nasoma wote, karibu ule kabla hujaenda kujisome,” kauli hii ya Suzan atakama ilikuwa ya uongo, lakini Joyce aliipokea kwa mikono miwili, maana alivuta kiti nakukaa mala moja huku muudumu akija nakumwuliza kitu atakacho tumia, kwanza alisitasita kabla Suzan haja mtoa wasi wasi “agiza tu mdogo wangu, husiwe na wasi wasi” hapo Joyce akaonyeshea kidole chake mezani mezani, akimaanisha kuwa aletewe kam wanavyo kula wenzake, kabla ata muudumu ajaondoka akaingia Sophia, “hooo husiondoke kwanz nikuagize” aliongea Sophia huku akivuta kiti nakukaa kiweka mkoba wake chini, “dada niletee bia ya baridiiiii” aliongea Sophia akimwelekeza yule muhudumu, kisha aka mgeukia Suzan nkumsalimia, alafu akafwatia kwa Joyce, ambapo Suzan akatoa na utambulisho kidoo, “huyu anaitwa Joyce, ni rafiki yetu, anasoma na Edgar” Sophia alistuka kisiri siri, kisha akajifanya kutania, “Edgar au ndiyo wifi yetu?” hapo kauli hiyo kila mmoja kwa watatu hawa ilimwingia kivyake, kwa upande wa Edgar alijuwa kuwa Sophia anamchukulia joyce kuwa mwenye tabia kama yakwake ya unyakuzi, hivyo anajidai kubumbuluwa, kwa upnde wa Joyce yeye aliipenda hii kauri, japo alimjuwa mwenyewe mwenye mali, tena yupo hapa hapa, akajikuta akimkodolea macho Suzan, tena yale ya aibu ya kike huku akijichekesha, macho yao yakakutana, huku Suzan akitabasam na mco yake yame tawaliwa na aibu flani, huku akiwaza kuwa dudu apewe yeye asingiziwe mwingine, tena metoka kufaidi mdamfupi uliopita, “hahahaaa! hapana da’ Sophi mbona mwenyewe yupo, utamjuwa tu! mda ukifika” kauri hiyo ilimfanya Suzan ajione malkia, “ok! mzigo wangu hupo wapi?” aliuliza Suzan na Sophia bila kuongea neno aliinama kwenye mkoba wake nakuibuka na mvinyo mwekundu, kisha akarudisha kenye mkoba, “hii ni awamu ya nyumbani” aliongea Sophia akiungwa mkono na Suzan, wakati huo muhudumu alikuwa ana shusha vinywaji na chakula alicho agiza Joyce, huku Edgar na Suzan wakiagiza mvinyo mwekundu, wakidai ni wakuanzia, pale full dose pub mzee Mshaka na binti Subira walisha nza kuchangamka, baada ya vinywaji kupanda kichwani, “vipi shem mbo na kimya? au una mkubuka mtu wako?” alichokoza Subira “hapana.. kwani ume sema ameenda wapi?” aliuliza mzee Mashaka akijifanya kujiweka sawa, “ameenda kwa shangazi yake Tabata, ila husi jari shem mimi nipo, au nime punguwa nini?” aliongea Subira akiinua kiti chake na kuki songeza karibu na mzee Mashaka, kisha akaweka mkono kwenye paja moja la mzee Mashaka, “ nakuaminia shemeji, umeniondoa upeke maana sijuwi inge kuwaje?” aliomgea mzee huyu huku akijiweka sawa juu yakiti chake, “husi jari we niambie chochote unachotaka, mimi nitakupa” hapo mzee Mashaka alihisi mwili hukimsisimka, akashndwa kuongea neno, akabaki anacheka kicheko cha kibabe, “mbona unanicheka jamani?” aliongea Subira kwa sauti iliyotokea puani, ikiambatana na deko la kikahaba, huku akijiegemeza begani kwa mzee Mashaka, namkono wake mmoja akiuamisha toka kwenye paja, ankuusogeza kwenye usawa wa dudu ya mzee huyu nakuibinya kidogo, akisikia ikitutumka nakuanza kusimama, “hoo! hapana sikucheki, umeniflahisha sana, utafaidi sana kama mwenzio” alisema mzee Mashaka huku akiusikilizia mkono wa binti huyu ukichezea dudu yake ambayo badoilikuwa ndani ya Suluali, “asante sana, mimi nakuambia utamsahau Queen,” akimaanisha binti wa jana, aliongea Subira huku akikusudia kuiteka akili ya mzzee huyu kwa muda huu, alifungu zip ya suluali ya mzee Mshaka nakuitoa dudu ambayo alisha ipima kuwa inakubwa akawad tu na hisinge msumbua zaidi ya kumpakaza shombo, maana lisha simuliwa na rafiki yake uzaifu wa mzee huyu, akaichezea kidogo na kuidumubukiza mdomoni kwake kisha kuanza kuinyonya taratibuuu, akimwacha mzee wawatu akifumba macho nakunza kutoa miguno ya kula muwa ilisha timia saa nne kasoro ndipo wakina Suzan walipo agana na Joyce kisha waka elekea nyumbani huku Joyce nae akieleka kwake, alipo fika nuymbani kwake akakutana na Nancy, nye akitoka kwa Elisha, kiukweli kumbe Nancy akupendezwa na kitendo cha Joyce kukaa kwenye meza ya kina Edgar, akihofia kuzidiwa kete, alishindwa kuvumilia ikabidi amweleze nia yake kwa Edgar, kwamba ni kuwanae, lakini Joyce licha ya kuwa alisha mpenda kijana huyo na lengo lake ni kama la Nancy, akamwambia “mh! unaweza kuwa nae lakini yule mdada ni mpenzi wake,” pia kajidai kumpa ushauri wa kubakia na Elisha, kitu kilichopingwa vikari na Nancy, mpaka kilammoja anaingia kwenye chumba chake walikuwa hawaja pata mwafaka, wakati huo Suzan Edgar na Sopha, waliingia kwenye gari nakuelekea nyumbani kwa Suzan, dakika chache baadae walikuwa ndani ya nyumba hiyo sebuleni huku wakiwa wamechangamka kwakinywaji, sasa chupa mbili za mvinyo mwekundu zilikuwa mezani, na Suzan alikuwa naifungu chupa moja nakumimina kinywaji kwenye grasi mbili, huku Sophia akinywa bia yakopo, macho yake akiyakodoa kwa Suzan anapo mimina kile kinywaji kisha aka mwona akiinua grass moja na kumsogezea Edgar ambae likuwa amekaa kwenye kochi la peke yake, huku yeye akikaa kochi moja na Sophia, akainua iliyo bakia nakuiweka mdomoni, hapo Sophia aka tabasamu kwa ushindi, **** Songea mtaa wa mfaranyaki, mida hii mume wa dada mkubwa wa Edgar , ndiyo alikuwa anaingia nyumbani ni baada ya mke wake kumngoja sana, japo ni kawaida yake kuchelewa kurudi lakini leo alikuwa na swala moja la kumweleza, nikwamba alikuwa anaitaji pesa kwaajiri ya vikoba mbavyo ukopeshana na wenzake, na fedha hiyo ulipa kwa kutegemea mshahala wa mume wake, pia ndizo fedha ambazo utumika kwenye starehe za mume wake huyu, “mwambie huyu, mpumbavu alieshindwa upadre haache usumbufu, leo ame nibip nampigia et hooo shem naomba unisaidie fedha, kwahiyo nitakuwa nmtumia kila siku” hiyo ilikuwa ni kauli ya kwanza ya mume wake, baada ya kuingi ndani huku kipepesuka kwa kuzidiwa na ulevi,…

tena aliongea akiigiza sauti ya Edgar kwa kubana tundu lake moja la pua, “husi jari mume wangu nita mkomesha huyu mshenzi,” aliongea dada mkubwa wa Edgar, huku akiinua simu yake toka mezani, nakutafuta namba ya Edgar na kuipiga, huku mume wake akiongoza njia ya chumbani, simu ile iliita bila kupokelewa, ata alipo rudia mala kadhaa haiku pokelewa, akaachia sonyo mkali kisha akamfwata mume wake chumbani, lo! alimkuta mume wake amesha jitupa kitandani huku nguo na viatu vipo mwilini, dada akatikisa kichwa na kuanza kumvua nguo na viatu mume wake, alipo maliza akaanza kusachi mifuko ya mume wake kama kuna chochote akitunze vizuri, kwanza alitoa simu, pili aka towa kalatasi la malipo ‘bili’ aka litazama kwa araka araka kisha akaona jumla ni lakimoja na hamsini, akatikisa kichwa kisha akaiweka mezani nyumbani kwa Suzan ilikuwa ni hatari, Sophia alionekana akiwa amekaa jilani na Suzan huku Suzan na Edgar wakionekana wame lewa sana, kiasi cha kuto kujitambua kabisa, kiasi chakuitana wapenzi mbele ya Sophia, wakishindwa kutunza siri yao, “Edgar mume wangu najisikia nime choka nipeleke chumbani” aliongea Suzan akimnyooshea mkono Edgar, kwamba amnyanyue, lakini Edgar akuweza maana alipo jaribu kuinuka alijikuta akirudi kwenye kochi kama mtoto anejifunza kusimama, kitendo cha arak asana Sophia akamshika mkono Suzan na kumnyanyua, kisha kwa mendo wa kuyumba yumba, akaingia nae chumbani, wakinusurika kuanguka mala kadhaa, mle chumbani aliakikisa ame mlaza kitandani na kumzimia taa, kish katulia dakika kadhaa adi alipo sikia Suzan akianza kukoroma, ndipo alipo toka na kurudi sebuleni alipo mwacha Edgar, akijuwa ni muda wa kufaidi dudu maana mwenyewe amesha lala hoi, lakini kule sebuleni alimkuta Edgar nae ame jilaza kwenye kochi akia amepitiwa na usingizi “leo lazima unitomb..” alisema Sophia akisogelea pale alipo lala Edgar, kisha aka mfungua mkanda wa suluali aliyo ivaa, nakuishisha mpak magotini, kisha akamshusha boxer mpaka magotini, akiiacha dudu ikiwa imejilaza upande mmoja wa paja la kijana huyu, akaishika vizuti mkononi, kama mteja wa matango anaepima tango linalo mtosha, akaanza kuichezea kama anamchua, akaona ina stuka na kuanza kusimama, hapo aka sogeza mdomo wake kenye dudu, kisha kwakutumia ulimi wake akaanza kuchezea kichwa cha ile dudu ambayo ilizidi kuimalika kilasekunde, licha yakuimalika nakuzidi kusimama, lakini pia iliongezeka ukubwa, tofauti na alipoanza kuichezea, Sophia lizungusha ulimi wake kwenye kichwa cha dudu, huku akipitisha pia kwenye shingo ya ile dudu nkuchezea asa chini ya kichwa kile ch dudu, alipoona dudu ime zidi kusimama, kaidumbukiza mdomoni, nakuanza kuifanya kama analamba malai waswahili tuna ita barafu, kingoni wanaita ice cream, alifanya hivyo wakati mwingine akiizamisha mpaka karibu na koo na kuichomoa, kisha kuichezea kwa mkono, huku mkono mwingine akiupeleka kwenye kitumbua chake kilicho tapakaa ute ute, akaipeke nyua chupi yake ya vimikanda vye mbamba, (bikini) na kuanza kuchezea kikunde chake kwa kutumia kidole chake chakati, alifanya ivyo kwa dakika chache, kisha akasimama na kunza na kuanza kumvuta Edgar akimshusha toka kwenye kochi, nakumlaza chini, alipo mlaza vizuri, Sophia aka simama akiweka Edgar kati kati yake, akapandisha gauni lake juu alafu akachuchuchumaa kama anataka kujisaidia, usawa wa dudu ya Edgar ambayo ilisha anza kusinzia, hapo Sophia kwakutumia mikono yake akaikamata dudu kwa mkono wa kulia, alafu mkono wa kushoto ukaipekenyua chupi yake na kuivuta pembeni, kisha akaanza kukisugua kichwa cha dudu ya Edgar kwenye kikunde chake wakati mwingine akiisogeza mpaka kwenye mlango wa kitumbua kilicho zidi kulowa ute, Sophia alizidi zaidi nakuongeza speed ya mcezo ule wakati mwingine akipeleka kichwa cha dudu mpaka mlango wa jikoni, alipoona dudu ime simama tena kama mwanzo, aka ilengesha kwenye kitumbua na kuikalia taratibu, na kwamsaada wa utelezi ulio tapakaa kwenye kitumbua hicho, dudu iliteleza kam ugari kwa mlenda, hapo kazi ikaanza, ndani ya dakika 20 Sophia alicheza kichura chura juu ya dudu ya Edgar ambae alikuwa hajitambui kabisa, kelele zakilio cha kushangilia utamu wa dudu zilisikika wazi kabisa, Sophia akiwa ametazama kwenye miguu ya Edgar msambwanda kauacha nyuma ukitwanga, nje ndani yuu chini, kama yupo kwenye bodaboda inayopita njia mbovu, nasasa alianza kuona wazungu wana karibia ndipo alipo stuka Edgar akimshika kiuno kwa mikono miwili, Sophia alistuka akijuwa lazima yata aribika, akasitisha viuno vyake “endelea mkewangu, mbona unahacha?” Sophia alimsikia Edgar akiongea huku na yeye akianza kupump, akajuwa Edgar anahisi yupo na Suzan, Sophia hakujivunga akaendelea kucheza chura “leo..leo unaenda speed sana mke wangu tofauti na saa zile bafuni” hapo Sophia aka stuka “inamaana ametoka kutomb..na, jioni hii, duu kijana yupo vizuri” kabla ajakaa sawa akashangaa kumwona Edgar akimwinua na yeye pia kuinuka, hapo Sophia akajuwa Edgar amestuka, akamtazama usoni, kitu cha kushangaza alimwona Edgar katika hali ya kuto kujitambua, akaona kuwa bado ananafasi ya kuendelea kufaidi dudu, lakini kabla ajafanya chochote, alishangaa Edgar akimshika kiuno nakumgeuzia kwenye kochi, “mkewangu kum.. yako inanipa raha sana” aliongea Edgar akimwinamisha Sophia akashikilie kochi, Sophia akabong’oa akiachia kiuno juu, nakufanya kitumbua kionekane vizuri kabisa, hapo akaisikia dudu ikiingia taratibu kwenye kitumbua chake, nakufwatia mikito ya maana, samba mba nakelele za shangwe, aikuchukuwa mda mrefu kabla Sophia ajatangaza ushindi, ikabaki zamu ya Edgar kutafuta gori lake, mchezo uli dumu kwa dakika nyingine kui na tano, Sophia akatangaza ushindi wapili, lakini kwa Edgar ni kama anaanza, licha ya kubadili mitindo yote mitamu lakini Sophia alijikuta akirudi kati kwa mala yatatu huku Edgar akiwa bado mpya kabisa, mchezo ukaendelea, ndipo mambo yakaanza kuwa magumu kwa Sophia, “Eddy kojoa mpenzi, kum.. inawaka moto, kujoa mpenzi.. kojoa baba.. mwenzio tayari mala tatu,” nikama alikuwa anaongea na simu Edg aliendelea kutwanga,

mziki huo ulidumu dakika nyingine kumi, huku Sophia mtoto wa mzee Mashaka akihisi kitumbua chake kikiwa ka moto, ilifikia kipindi akajitoa kwa nguvu toka kwa Edgar nakwenda kukaa kwenye kochi jingine, kisha akapumzika kidogo, lakini haikupita ata dakika moja, akamwona Edgar akimfwata “jamani Eddy! mbona hivyo jamani” aliongea Sophia akiinama na kisha kutemea mate mkononi yalitoka kidogo maana kooni alikauka kwa kiu yamaji, alafu akapekenyua kichupi chake cha bikini, alafu akayapakaza yale mate kwenye kitumbua chake kisha aka ikamata dudu ya Edgar, ambae alikuwa nyuma yake, akajaribu kuiingiza sehemu yake, lakini akaisi kitu kama moto kwenye kitumbua chake, akageuka ka kuidumbukiza dudu mdomoni, akainyonya kwa lengo la kuipaka mate, kisha aka geuka tena na kuinama akaishika na kuichomeka, safari hii ika ingia kiulaini kidogo, japo kwambali alisikia msuguano, baada ya kuingiaza tu kazi ikaanza, dakika tano mbele Sophia alianza tena kuona utamu una kuja, akaongeza tena speed huku akiisi koo lake liki kauka kwa kiu ya maji, haikuhukuwa mda mrefu kabla yeye Sophia haja rudi tena kati kwa mala ya nne, huku Edgar naye akimwaga wazungu kwa mala ya kwanza, alitumia sekunde kama sekunde selathini kushusha mzigo, alipo maliza akajibwaga kwenye kochi, hapo haraka sana Sophia akakimbilia kwenye friji, nakuchukuwa kopo la maji la lita moja, akaligugumia kwa mkupuo mpaka ile kushusha lipo nusu, akaligugumia tena nakumaliza, ndipo akarudi kwenye kochi alipomwacha Edgar, akammkut amesha lala anakoroma, “shenzi kabisa we mtoto, yani mpaka inawaka moto” aliongea Sophia huku akijaribu kujicungulia kwenye kitumbua chake huku akitabasamu, alishuhudia yala mananii yakichuruzika kwenye mapaja yake, yakitokea kwenye kitumbua, “mh! huyu mtoto balaha” aliongea Sophia huku akijiivua chupi yake na kujifuta kidogo akaitumbukiza kwenye mkoba wake, akatowa kitambaa cha mkononi aka msogelea Edgar pala kwenye kochi, akaishika dudu akaitazaa kwa sekude kazaa, akaitikisa kidogo huku akiigeuza geuza, mudawote tabasamu likia alikauki usoni mwake, alipo lizika akajaribu kuifuta ile dudu, lakini akashindwa kuokana na kuaza kukauka kutokana na kaupepo ka feni, akaelkea jikoni moja kwamoja kwenye sinki la kuoshea vyombo, akafungua bomba la maji na kulowesha kile kitambaa, kisha akafunga bomba na kurudi sebuleni, kisha taratibu kaa anamasafisha mtoto mchanga wasiku moja akaanza kuifuta dudu ya Edgar, wakati anaifuta uku akiigeuza geuza mala akashangaa kuona dudu inaanza kusimama, “una umwa nini, nani anataka tena ujinga na hiyo mipombe yako” aliongea Sophia akimpandisha nguo Edgar nakumvalisha vizuri, kisha akamvuta mkono kujaribu kama ataamka, Edgar akaitikia wito akainuka hapo Sophia akampeleka chumbani na kuakikisha kuwa amepanda kita ndani, kisha yeye akaingia bafuni akanawa, alipo maliza akarudi sebuleni na kuchukuwa kilicho chake kisha akatoka nje, Dada yake Edgar usiku ule akulala vizuri muda wote alijawa na hasira akiwaza juu ya mume wae kumtumia mdogo wake fedha, maan mume wake hakuwa aerudi na fedha yoyote, mapenzi kipofu licha ya kukuta bili kuwa ya matumii ya kwenye bar ya mume wake lakini dada huyu aliona kuwa kosa ni kumtumia Edgar fedha, ambapo jambo hilo lilikuwa ni uongo, “lazima nia lipe fedha ya watu, we ngoja naenda kulipa ele ya chakula, alafu nitaenda kuchukuwa mahindi na maarage kwa baba” aliiwaza dada huyu huku akipanga kesho kumpigia Edgar na kumtukana sana,

ilsha timia saa tano usiku mze Mashaka akiwa bado pale full dose na Subira, sasa walikuwwanaagana, ni baada ya mude ule Subira ku mnonya dudu mzee Mashaka kisha wakaaia kwenye gari, wakimwagiza mhudumu awaangalizie vinywaji vyao, huko ndani ya gari bini Subira alianza kwa kumnyonya tena dude mpaka alipoona mee wawatu anataka kuwa kaibisha wazungu, ndipo alipo shusha nguo yake, huku akiwa haja vaa nguo ya ndani akaikalia juu dudu ya mzee Mashaka, ambapo haikuchukua dakika mbili mzee huyu akatangaza ushindi, na mchezo ukaishia hapo, wakarudi sehemu waliyo kuwa wam kaa mwanzo na kuendelea na vinywaji huku waipeana ahadi za kilevi, mpaka mida hii walipo amua kuagana, huku mzee Mashaka akimpatia Subira elfu hamsini, kisha wakaahidiana kukutana kesho endapo wajana au Queen atokuwepo, * ilikuwa saa mbili asubuhi ndipo Suzan au mama mwenye nyumba alipo stuliwa na mlio wa simu ya Edgar, huku kichwa chake kikiwa kizito sana kwa mning’nio wa pombe ya jana, akaitazama, iliandikwa dada ndiyo mpigaji, akammtazama Edgar alikuwa amelala fofofo, akajaribu kumwamsha, lakini wapi hakuamka, alikuwa amezidiwa na usingizi mzito, akajaribu kumstua lakini wapi, Suzan akabonyeza kipokeleo, akawekasimu sikioni, “shenzi kabisa wewe mtoto, uoni hata ahibu, hivi tumeolewa wote famila nzima maana mkiwa na shida mna msumbua mumewangu nasema ukome,” Suzan alikutana na mvua ya matusi mala tu baada ya kupokea simu, wakati anajiandaa kujibu japo ajitambulishe na kumweleza kuwa yeye siyo mwenye simu, aka sikia simu yake ikiita akaitazama, iliandikwa ‘manage’ akastuka kidogo akachungulia dirishani, jua lilikuwa lime komaa kuashilia kuwa mda umeenda kidogo, akatazama saa ya ukutani, saa mili narobo, “hallow we mshenzi we nikalie kimya tu….” sauti ya dada yake Edgar iliendelea kusikika, akifoka kama mlevi wa nini sijuwi, samahani wifi mimi ni kewake, mwenyewe bado amelala” aliongea Suzan pasipo kujuwa anaongea nini kwa maana hipi, kisha akaikata ile simu nakuipokea ya kwake, “hallow, shikamoo boss” aliita Suzan kwa sauti ya taratibu sana utazani mgonjwa maututi, akatulia kusubiri lawama za boss wake huyo kwakuto kwrnda kazini nakurto kutoa taarifa yoyote, naa sikuona vyema niwahache bila kuwapa japo kidogo hii story maana leo nim banwa kidogo na miangaiko, matokeo ya kauri ya suzan kwa dada yake Edgar, pia kujuwa alicho ongea manage wa Suzan nakuusu Sophia

sauti ya dada yake Edgar iliendelea kusikika, akifoka kama mlevi wa nini sijuwi, samahani wifi mimi ni kewake, mwenyewe bado amelala” aliongea Suzan pasipo kujuwa anaongea nini kwa maana hipi, kisha akaikata ile simu nakuipokea ya kwake, “hallow, shikamoo boss” aliita Suzan kwa sauti ya taratibu sana utazani mgonjwa maututi, akatulia kusubiri lawama za boss wake huyo kwakuto kwenda kazini nakuto kutoa taarifa yoyote..

ilikuwa hivi baada ya kutoka kwa Suzan akiwa amesha pata dudu kisawa sawa, Sophia binti Mshaka alienda moja kwa moja adi nyumbani kwake mbezi kwa musuguri, alifungua mlango kama kawaida yake utembea na funguo ya akiba, kisha akaingia ndani mwake nakuelekea moja kwa moja chumbani kwake, akavua nguo zake zote na kuingia bafuni, akaanza kuoga huku akivuta picha ya kile kilicho mkuta nyumbani kw Suzan, “mwanamke anafaidi yule, yani vile Eddy alikuwa hajitambui, sasa je akiwa aanajitambua itakuwaje, ngoja kwanza nimvizie siku moja nione” aliwaza Sophia akichuchu maa kwenye kalo la choo kwaajili ya kikojoa, “haaaaaa!” alipiga ukelele Sophia baada ya mkojo kuanza kutoka, maana alisikia maumivu makli ya kuchoma choma kama ametia pilipili kwenye kidonda, “ameniumiza sana mshenzi yule, bola nisinge mwekea dawa ya kulewesha”alijisemea Sophia huku akijimwagia maji kwenye kitumbua chake kuondoa chumvi chumvi ya mkojo kwenye michubuko, dakika hache baadae alikuwa amesha maliza kuoga na kupanda kwenye kitanda, hapo haikumchukuwa mda mrefu akapitiwa na usingizi, alikuja kustuka saa moja kasolo mda ambao kila siki lazima saa yake ya mezani, igonge alarm ambayo ina mwamsh kwenda kazini, akaamka nakujiandaa mpaka saa mbili kasolo alikuwa maeneo ya benk ya wananchi, akaenda mapokezi akamwulizia Suzan akaambiwa kuwa Suzan toka jana yake hakuja alikuwa anaumwa na yeye akaona lengo lake litafanikiwa maana alijuwa kuwa kwa ile dawa aliyo mchanga nyia lazima asingeweza kuja kazini, hivyo akaingia kwenye ofisi ya manage, ambae anamfahamu vizuri sana Sophia kwanza baba yake ni maalufu sana na nimteja wao mkubwa kwenye tawi hili, pia Sophia ni rafiki mkubwa sana wa Suzan ambpo uja mala kwa mala kumtembelea, Sophia alikutana na manage na kutoa taifa ya kuumwa kwa Suzan, na kwamba ata leo asingeweza kuja kazini, Sophia alimwacha manage akifanya utaratibu w kupiga simu kwa Suzan ili amjulie hali mfanya kazi wake huyo mwadilifu, “pole sana Suzan, tumepokea taarifa yako toka kwa rafiki yako Sophia kuwa bado unamwa sana, vipi unaendeleaje na homa?” aliongea boss wa Suzan kwa auti nzito ya utulivu, huku Suzan mwenyewe akishusha pumzi ya auweni, “bado najisikia homa nime sha pata dawa naendelea kunywa” alionge Suzan kwa sauti ya utulivu kama mgonjwa kweli, “ok! we endelea kupumzika, jitahidi kutujulsha hali yako mal kwamala” alimalizia boss kisha wakagana na kukata simu, hapo Suzan aka tabasamu huku anamwangalia Edgar ambae bado alikuwa hajitambui kabisa kwa usingizi, akaitazama ya Edgar akakumbuka maneno makali ya dada yake Edgar, akamtazama tena mpenzi wake usoni, akavuta picha ya maisha yao huko nyumbani kwao Songea, “mh hivi mbona hawa wifi zangu wanaonekana wana loho za hajabu” kiukweli ilikuwa lazima shangae sana, maana kwao yeye na ndugu zake walionyesha kujaliana sana, kaka zake ni walimu wa shule za sekondari, palepale Iringa, wote usaidiana wanapo kwama pia uwasaidia wazazi wao, kwa kila kitu, licha ya kuwajengea nyumba nzuri na kuwawekea kila kitu ndani pia waliwasaidia kwa kilimo, sasa alishangaa mtu anapig simu tena bila ata salamu anapolomosha matusi, akajikuta anamwonea huruma mpenzi wake kwa manyanyaso ya dada zake, akamtazama usoni mpenzi wake kwa dakika kadhaa, huku anapitisha kidole chake kwenye nyusi za mpenzi wake huyu, akamfunua shuka akakuta amelala na suluali aka jitazama na yeye alilala na gauni, hapo akakumbuka jambo aka, “hivi Sophia aliondoka sangapi?” aliwaza Suzan “mh ina maana jana tulilewa sana?” kiukweli kumbukumbu ya matukio ya jana ilikuwa fupi kwake, asa mala baada ya kuanza kunywa mvinyo alioletewa na Sophia, hakukumbuka ata alivyoingia chumbani na kulala, kiukweli ilimshangaza sana sababu mvinyo ule uwa anaunywa mala nyingi sana lakini haumchukui kiasi cha kuto kujitambua, “ok siku azifanani” alipotezea Suzan huku akiinuka nakuingia bafuni kukojoa, nakupiga mswaki kisha akanza kuoga, wakati anaanza kuoga akahisi mikono ina mgusa tokea nyuma, akageuka “hooo, Eddy umeamka” alikuwa Edgar nayeye alisha vua nguo zote, “daa! sijuwi kwanini nimelala hivi alafu kichwa kina niuma sana”aliongea Edgar kwasauti ya kukwaluza flani, wakiungana kuoga kwapamoja, baada ya Edgar kupiga mswaki na kukojoa “mh! kumbe atawewe, mimi nilizani peke yangu” walioga kwapamoja kwaki suguana sehemu mbali mbali zamiili huku wakipakana sabuni nakumwagiana maji, Suzan alipaka sabuni dodoki na kuana kimsafisha mpenzi wake kwenye muhogo, aikukuchukuwa sekunde nyingi alishuhudia dudu limeamka akamtazama Edgar usoni, “inataka cha asubuhi” aliongea Sazan akiendelea kuichezea dudu na lile dodoki, kabla aja liweka pembeni na kuimwagia maji dudu kisha akamsogelea zaidi mpenzi wake, akanyanyua mguu mmoja edgar akaudaka, hapo Suzan huku akijishikilia kwenye mabega ya Edgar namkono mmoja, mkono mwingine hukiikamata dudu nakuilengesha kwenye kitumbua chake, kisha kuizamisha ndani, kitendo kilicho wafanya wote wasisi mkwe na mwili “hooo! cha asubuhi kinanoga” alinong’ona Suzan akisogeza midomo yake kwenye midomo ya Edgar, nakuamza kulana denda huku dudu ikiwandani ikisaidiwa na viuno wima vya wapenzi awa, “husiniache Edgar mume wangu, mwenzio sijaona kama wewe” ilikuwa vigumu kwa midomo ya Suzan kufunga, ikianzia miguno ya utamu na maneno mengi yenye maombi na ahadi, waliendelea kufanya yao na hakuna mu alie sikia mlio wa simu zote mbili ya Edgar wala ya Suzan mwenyewe, mzee Mashaka aliamka mapema kidogo akajiweka sawa tayari kwenda kwenye miangaiko yake akipanga ampitie kwa Suzan akajuwe hali yake, alipo toka tu nyumbani kwake mbezi msakuzi akaanza kupiga simu kwa suzan ilikumjulisha kuwa anaenda, lakini haikupokelewa, licha ya kurudia zaidi ya ala tano lakini wapi, ikabidi aingie kwanza kwenye bar moja iliapate supu huku akiendelea kumtafuta Suzan aliofia wasije kupisha, pengine akaenda kazini au hospital, akaingi kwenye bar ndogo pembeni ya barabara iendayo kwao msakuzi, akaagiza supu ya kuku na soda ya baridi, wakati anaendelea kuifakamia ndipo akasikia simu yake inaita, alipo itazama alikuwa ni Suzan, ** maana bada ya kumaliza walichokuwa wana kifanya kule bafuni Suzan na Edgar walitoka bafuni nakujiandaa wakipanga waende wote wakapate supu kisha warudi kupumzika, maana Edgar alikuwa anajisikia kichwa kizito sana, lakini wakati wanatoka wakiwa nadani ya Toyota lav 4, ndipo walipo tazama simu zao, zote zilikuwa na missed call ya Edgar ilikuwa na messeji pia, akaifungua ile messeji, ilikuwa inatoka kwa dada yake mkubwa, “una jifanya jeuri siyo?” mwanzo Edgar alihisi ni kwakuto kupokea simu, lakini alipoisoma zaidi, akagunduwa kuwa shemeji yake ameongea uongo kwa dada yake, kuwa ametumia fedha, edgar aakacheka pekeyake, “unacheka nini ebu na mimi nisome” alinyang’anya simu Suzan anakuisoma ile sms, “mh huyu dada yako kiboko, nimekutana na matui leo sinilipoke simu yako” wote wakacheka uku wakielezana jinsi shemeji yake alivyo mpiga dada mtu changa lamacho, wakajadiliana kwamuda mfupi hawakupata jibu shemeji alikuwa na maana gani, Suzan akamwomba Edgar akae kimya anataka kuongea na boss wake, kisha akapiga simu kwa mzee Mashaka,**

ITAENDELEA

Mama Mwenye Nyumba Sehemu ya Tatu

Isikupite Hii: Dalili za Kuonyesha Mwanamke Anataka Umpeleke Chumbani

Also, read other stories from SIMULIZI;

Leave a Comment